mandy na fanny

62
Kshs Kshs Kshs MANDY na FANNY Hali ya Baadaye ya Kilimo Endelevu Bhagirath Choudhary na Kadambini Gaur Kielezo na Irfan Khan

Upload: hahanh

Post on 22-Jan-2017

295 views

Category:

Documents


2 download

TRANSCRIPT

Page 1: MANDY na FANNY

KshsKs

hs

Kshs

MANDY na FANNYHali ya Baadaye ya Kilimo Endelevu

Bhagirath Choudhary na Kadambini GaurKielezo na Irfan Khan

Page 2: MANDY na FANNY
Page 3: MANDY na FANNY

MANDY na FANNYHali ya Baadaye ya Kilimo Endelevu

Kuna salama zaidi, bora zaidi,chakula rahisi na mazingira ya kijani

Page 4: MANDY na FANNY

“kimetunukiwa kwa Dr. Clive W. James, Glenys Menai James and ISAAA ”Bhagirath Choudhary & Kadambini Gaur

Kimechapishwa na: huduma ya upataji na utumizi wa kilimo cha kibayoteki (ISAAA)

Haki ya Kunakili: ISAAA 2011: Haki zote zimehifadhiwa. Ingawa ISAAA inahimiza ushirikiano wa ujuzi kiutandawazi, hairuhusiwi kuchapisha makala haya ikiwa ni pamoja na majina na picha za wahusikakwa njia yoyote ile au kwa mbinu zozote zile, kwa vitumeme, kitambo, kutoa nakala, kurekodi au kua namna nyinginezo bila ruhusa ya haki za wamiliki. Uchapishaji wa makala haya, au sehemu yoyote kwa minajili ya mafunzo na sio kwa ajili ya kibiashara kunakubaliwa kwa kutoa taarifa, vilevile kwa kupewa ruhusa kwa maandishi na ISAAA. Waandishi na sio ISAAA ndio wanawajibika kikamilifu kwa maelezo ya chapisho hili na kwa makosa yoyote upungufu au kutoeleweka vyema.

Dondoo: Choudhary, B. & Gaur, K. 2011. Mandy na Fanny: Hali ya Baadaye ya Kilimo Kiendelevu. Matoleo ya uhushiwa mazao yakibayoteki: Ithaca, NY.

ISBN: 978 – 1 – 892456 – 51 – 6

Maagizo ya makala. Tafadhali wasiliana na ofisi ya ISAAA ya kusini mwa Asia upate nakala yako kwa [email protected] [email protected]

Ofisi ya ISAAA ya Asia Kusinic/o ICRISAT, NASC ComplexDPS Marg, Opp. Todapur VillageNew Delhi, India

Habari za ISAAA: Kwa maelezo kuhusu ISAAA tafadhali wasiliana na kituo kilicho karibu nawe:

ISAAA Americenter417 Bradfield HallCornell UniversityIthaca NY 14853USA

ISAAA AfriCenterP.O. Box 70ILRI Campus, Old Naivasha RdUthiru, Nairobi 00605Kenya

ISAAA SEAsiaCenterc/o IRRIDAPO Box 7777Metro ManilaPhilippines

Mtandao wa ISAAA: Kwa maelezo ikiwa ni pamoja na nakala za sanamuzilizochaguliwa na video za Mandy na Fannyangalia www.isaaa.org na www.isaaa.org/india

Page 5: MANDY na FANNY

Jambo!!mimi ni MANDY!!

1

Page 6: MANDY na FANNY

2

Mimi huwapafamilia chakula kamilifu

ambacho huwafanya kuwa na nguvu na

afya njema.

2

Page 7: MANDY na FANNY

3

Ugali, uji na githeri zote huwaletea watoto wako

furaha usoni.

3

Page 8: MANDY na FANNY

44

Wapenda pepeta za mahindi, bisi za kukaanga na mandazi yaliyo pikwa na mafuta ya mahindi?

Vyote ni VIZURI SANA kwakuwa zimetokana na mimi

44

Page 9: MANDY na FANNY

5

Wamjua rafiki yangu FANNY- lile bunda la

pamba nyeupe

5

Page 10: MANDY na FANNY

6

Bunda jeupe ambalolinakuvisha wewe nguo nzuri, hukurushia tiara yakona kukuponyesha

vidonda vyako.

6

Page 11: MANDY na FANNY

7

Yule jamaa nikama mimi pia.

7

Page 12: MANDY na FANNY

8

Sisi sote ni wenye NGUVU siku-hizi.

8

Page 13: MANDY na FANNY

9

Rafiki zetu katika baadhi ya nchi zinginehawana nguvu na ushupavu kama tulivyo.

Wanaendelea kuogopa kustawi kwenyeshamba.

9

Page 14: MANDY na FANNY

10

Wadudu huwauma!

10

Page 15: MANDY na FANNY

11

Unyunyuziaji dawahuwafanya wawe

wagonjwa na wachafu

11

Page 16: MANDY na FANNY

1212

Wateja kule njehawawapendi

12

Page 17: MANDY na FANNY

1313

Inakuwa ni mzigo kwawakulima ambao hawawezikushindana na mazao yetu.

1313

Page 18: MANDY na FANNY

14

Unajua ni KWANINI !!

14

Page 19: MANDY na FANNY

15

Sisi tuko salama kutokanana wadudu wachoyo.

15

Page 20: MANDY na FANNY

16

Hapo zamani, wadudu walikuwawanatuuma na kutuharibu wakatitukiwa na umri mdogo. Tulikuwa

dhaifu ukuaji wetuulidumazwa.hata walitufanya

tuwe na sura mbaya

16

Page 21: MANDY na FANNY

17

Hatukupendwa nawakuzaji wetu.Walitukimbiakwani walipatazingine bora zaidi.

17

Page 22: MANDY na FANNY

18

Leo wakuzaji wetu wanatupenda na hupendeleasisi tukitabasamu kwenye mashamba yao.

18

Page 23: MANDY na FANNY

19

RUDINI!

RUDINI!

Baadhi ya watu badohututisha sisi kwa kuwa

tumeboreshwa kwaugeuzaji jeni. Lakini kwakweli tu salama na bora

zaidi ya tulivyokuwa

19

Page 24: MANDY na FANNY

20

Kuelewa badiliko hili,tunatakiwa kukufanyawewe utujue vizurizaidi …

Page 25: MANDY na FANNY

21

Tumeundwa kwa kutumia jeni.mimi mwenyewe nina jeni 50,000.

Page 26: MANDY na FANNY

22

Nimeundwa kwa kutumia jeni 59,000 zaidi kidogo ya rafiki yangu Fanny.Jeni hizi zina umuhimu mkubwa wa kutufanya tuwetulivyo na jinsitunavyoonekana.

Page 27: MANDY na FANNY

23

Jeni zinatuundia mizizi yetu, shina, vikonyo,majani, maua, chavua na matunda. jenizinatupatia maisha, zinatukuza na hututunzampaka tufe.

Page 28: MANDY na FANNY

24

Kwa kweli hizi jeni ndogo zinashangaza.

24

Page 29: MANDY na FANNY

25

Angalia, ninazo baadhi ya jeni zakipekee ambazo hunipa doti zarangi ya zari kwenye sikio.

25

Page 30: MANDY na FANNY

26

Pia zinafanya mimininyooke na mwenyenguvu.

26

Page 31: MANDY na FANNY

27

Nina zingine ambazo hufanya tumba zangu ziwe LAINI na KUJAA. Mimi ni wa kisasa. Niko rwenye.

27

Page 32: MANDY na FANNY

2828

Kuna baadhi ya jenizinazofanana kati yetu sisiambazo hutusaidia kupiganana wadudu. Zinginehutusaidia kukua katikamazingira magumu.

28

Page 33: MANDY na FANNY

29

Baadhi ya jeni hutusaidia kubadilika nakufuatana na mazingira ya hali ya hewa na zingine zinatufanya tuonekane warembo.

29

Page 34: MANDY na FANNY

3030

PROTINI

Jeni ndizo ambazohuleta protini / vitamin�na viini vingine ambavyowanunuzi wetuhuangalia wakatiwanapotununua sokoni

30

Page 35: MANDY na FANNY

313131

Eehe!!! Sisi sotetunahusika na jeni.

31

Page 36: MANDY na FANNY

3232

Je unajua wakuzaji wetu wana jeni chache kuliko sisi. Inaonekana wao

sio makini kama tulivyo. Wameumbwa kwa nusu ya jeni zote tulizo nazo.

32

Page 37: MANDY na FANNY

33

Kama wakuzaji wetu, hata sisi tuna kosa jeni ambazo zinaenda sambamba na protini zilizo muhimu kwa kutulinda dhidi ya wadudu na

magonjwa.

33

Page 38: MANDY na FANNY

3434

Lakini Mandy si wakuzaji wetu kwakawaida humeza tembe ya dawawakati wakiwa wagonjwa. Ingawa sisi ni makini kuliko wao hatuigi hivyo.

34

Page 39: MANDY na FANNY

3535

Kweli Fanny. Hawa jamaawanameza tembe za dawa

zilizo tengenezwa na protini.

35

Page 40: MANDY na FANNY

36

Baadhi ya tembe hizo hutengenezwa na jeni zinazotoa protini zinazotakiwa ku-ponya magonjwa ya zamani na mapya. Kwa urahisi kuliko tembe za kidesturi

36

Page 41: MANDY na FANNY

37

Zinaitwa tembe zakibayoteki.

37

Page 42: MANDY na FANNY

383833333333

Ooh. Nimefahamu. Ndivyo sababu tembe hizi mpya zinapendwa

sana siku hizi.Nandivyo

tulivyo!!

38

Page 43: MANDY na FANNY

39

Lakini sisi twasifiwa tu nchi ambazo sisi hupandwa.

Kwanini tusipandweulimwenguni kote?

39

Page 44: MANDY na FANNY

40

Aha ni kwa sababu kuna baadhi ya watu katika nchi hizo ambao wao hutegemea tembe za kibayoteki kwa wingi mno lakini wanaupotosha umma kutuhusu.

STOP!

STOP!‘NO’TOBT!

40

Page 45: MANDY na FANNY

41

Lakini kile ninachojua nikwamba wao wote wanapendakuvaa nguo zilizotengenezwa

kutokana na mimi.

41

Page 46: MANDY na FANNY

4242

Wao wote hula mlounaotengenezwa nasi.

NITAMU!

42

Page 47: MANDY na FANNY

43

Je wao ni wanafiki??

43

Page 48: MANDY na FANNY

44

Fanny hakunamchezo hapa!

Kwa hivyotabu iko?

44

Page 49: MANDY na FANNY

45

Wanasema tuna jeni za ziada ambazo

hatupaswi kuwa nazo.

Lakini jeni hizohuua maadui wetuwakuu pekee nahazimdhurumwingine yeyoteWadudu wale wengine wadogo navijidudu vyenye faida huishi kwa furaha na sisi.

45

Page 50: MANDY na FANNY

46

Kweli Fanny. Twahitaji kufahamisha wengine kwamba jeni ni jeni. Usiwaogope. Jeni ni vitu vya thamana.

46

Page 51: MANDY na FANNY

47

Eehe!!! Nisawa tu na tembe za kibayoteki. Sasa kwanini watu wengine wanasema kuwa sisi sio jamaa wazuri. Kuwa sisi sio salama na kwamba tunaweza

kuharibu mazingira yao.

Ahaa.ahaa.ahaa.

47

Page 52: MANDY na FANNY

48

48

Ha ha ha Wao hawajui kwamba sisitumeundwa ilikuwasaidia kulinda

mazingira yao, kuzalisha chakula zaidina cha bei nzuri ya chini.

48

Page 53: MANDY na FANNY

49

Ndio maana wakuzaji wetu hupenda kutupanda sisi. Tuna-wasaidia mwaka baada ya nyingine kupunguza unyunyiziaji wa dawa. Kwa sababu yetu sasa wanafaidika kwa wadudu wenye faida na wakirafiki zaidi kwenye mashamba tunayo-pandwa. Tunawasaidia wakuzaji wetu kuvuna mavuno mazuri zaidi na kuzalisha pesa zaidi. Wakuzaji wetu ni matajiri zaidi ya vile walivyokuwa. Wote watupenda

49

Page 54: MANDY na FANNY

50

Inaonekana kuwa bado kuna fununu mingi za uongo zinazoenezwa na baadhi ya watu mitaani.

Kataenibayoteknolojia

semenihapana!!

50

Page 55: MANDY na FANNY

5151515151

Kwa bahati mbaya ndivyo ilivyo Fanny. Hizo fununu za uwongo zaendelea kuwaathiri wa-tengenezaji sera na serikali kwenye nchi hizi.

Ingawa ukweli ni kwamba wakulima wana hamu kuu ya kupanda sisi.

51

Page 56: MANDY na FANNY

52

Nafahamu ni swala lakusikitisha sana. Rafiki zetu

wengine waendelea kutesekasio kama sisi.

52

Page 57: MANDY na FANNY

53

Je, tutafanya nini? Ni hasara kwao. Ni hasara ya wakulima wao na hasara kwa uchumi wao.

Wakuzaji wetu wana raha na wametosheka jinsi wanavyoendelea kushinda mazao yao

kwenye soko.

53

Page 58: MANDY na FANNY

54

Jameni amkeni. Hakuna njia nyingine.Twahitajika.

Tunakuhitaji!

54

Page 59: MANDY na FANNY

55

Sisi ndio wenyekilimo endelevu!

55

Page 60: MANDY na FANNY

56

Je unakumbuka?�������������� �����������

����� �����������������������������������������

������������������ � ���������������� ������������������������������������������ �

!��"������#���������$�������������������������������������������������%�������������������

���"��'������'����������������*����������+������

-���������������������������������;���������< ���=��������#������ ��#���#�+�;�����$������$���$��������������������������������������������

���" ����� ����>������ ����E����$����������������%�������

Q��X[\\\�����������������'������������������������ ������+�������������������'�������������������'�����������+��������#�����'���"��������%����'���������������������%�;����������������+�����+�������

��� �]^_������]]_�`���]]^�����!qq_�

{��|+��"�+����}��~�+���#����'�����������'�����`�������|���������������+�����������X[\\\������'����'�����\��������"����������'�����������������������������������#�������� ����������]�q��>�������#�������������������#�����

�����%����'�����%�� ������%����'�����������������%����'����������������%����'������� ����

�� ����{�����Q�����-�����!����������

Page 61: MANDY na FANNY
Page 62: MANDY na FANNY