kizazi cha adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc ·...

21
Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi Sehemu ya 2 Kizazi cha Adamu (Toleo La 1.0 19980627-19980627) Mstari wa kizazi cha Adamu kupitia kwa Sethi na Kaini unamaana na umuhimu wa namna yake katika Mpango wa Wokovu jambo ambalo halieleweki kwa jmla na kuelezeka kinagauubaga. Mwonekano wa mipangilio miwili ina maana inayoelezeka na hadithi inayoelezeka ya Mpango wa Mungu na inaitangaza kutoka mwanzoni. Christian Churches of God PO Box 369, WODEN ACT 2606, AUSTRALIA E-mail: [email protected] (Hati Miliki © 1998 Wade Cox and Storm Cox) (Tr. 2014) Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama

Upload: doankiet

Post on 27-May-2019

272 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu[248]

Fundisho la Asili ya DhambiSehemu ya 2

Kizazi cha Adamu(Toleo La 1.0 19980627-19980627)

Mstari wa kizazi cha Adamu kupitia kwa Sethi na Kaini unamaana na umuhimu wa namna yake katika Mpango wa Wokovu jambo ambalo halieleweki kwa jmla na kuelezeka kinagauubaga. Mwonekano wa mipangilio miwili ina maana inayoelezeka na hadithi inayoelezeka ya Mpango wa Mungu na inaitangaza kutoka mwanzoni.

Christian Churches of GodPO Box 369, WODEN ACT 2606, AUSTRALIA

E-mail: [email protected]

(Hati Miliki © 1998 Wade Cox and Storm Cox) (Tr. 2014)

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:http://www.logon.org na http://www.ccg.org

Page 2: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Page 2 Kizazi cha Adamu

Kizazi cha Adamu

Kitabu cha Mwanzo kinaelezea juu ya anguko la mwanadamu lililotokea kwenye Bustani ya Edeni, ambalo tumeliongelea sana kwenye jarida la sehemu ya 1 ya mlolongo huu. Baada ya kufukzwa kutoka Edeni, na kulaaniwa kwa ardhi kwa ajili ya dhambi ya kwanza, Adamu aliifanya kazi aliyoagizwa na kaminiwa na Mungu. Kazi yake ya kwanza ilikuwa ni kijaza nchi.

Mwanzo 4:1-26 Adamu akamjua Hawa mkewe; naye akapata mimba, akamzaa Kaini, akasema, Nimepata mtoto mwanamume kwa Bwana. 2 Akaongeza akamzaa ndugu yake, Habili. Habili alikuwa mchunga kondoo, na Kaini alikuwa mkulima ardhi.

Andiko hili hapa linasema Nimezaa mwanaume kutoka kwa Bwana lakini andiko lenyewe asilia hasa halisemi mwanaume kutoka kwa Bwana bali linamaanisha hasa mwanaume hata Yahova (kwa Kiebrania ‘ith ‘esh Yahova sawa na isemavyo Companion Bible n. to v. 1). Neno akamjua mke wake lililotumika hapa linamaana sawa na kusema Alimjua mkewe ambalo Rashi anaamini kwa linamaana kabla hawajafkzwa bstanini (sawa na Soncino n. to v. 1). Kwa hiyo kuna mambo muhim machache hapa, ambayo hayajaelezewa kwa maelekezo na fafanzi za kina na watoa fafanuzi marabi au Soncino Chumash.

Nia ya Hawa hapa inaonekana kuwa kumuweka Yahova, kama Shetani alivyojaribu kufanya au kujifanya kuwa kama sawa nay eye. Nia yake hasa na iliyo wazi imeelezwa kwa inakusu diaa hapa, ni kumzaa elohim hata Yahova. Rashi anashikilia kuamini andiko hili kwamba:

Ni yeye peke yake ndiye aliyetmba sisi sote, lakini kwenye uumbaji wa mtoto huyu sisi watatu tuliswhiriki (Soncino).

Nachmanides anaonekana kupanua maana yake zaidi akisema

Mtoto huyu atakuwa mali ya Bwana, ambaye kama tutakufa anaweza kumtumikia (alivyosema Soncino ibid.).

Andiko hili limechkliwa pia kutoka kwa Rambam akisema kwamba

Huyu (kichanga) wa kiume atakuwa milki na

mali yangu kwa faida ya Mungu, kama vile alimtoa wakfu mwana wake ili afanyike kuwa ni mtumishi wa Mungu baada ya yeye na Adamu kufariki (cf. Stones Chumash).

Tafsiri hii ina ugumu kimatazamo wa harakati zilivyo kwenye andiko hili.

Watoto hao wawili walikuwa ni Kaini (milki) na Abeli (au Hebel katika Soncino) kuashiria kwamba chochote anachokipata mtu hapa duniani ni ubatili (hebel). Nachmanides anaamini kwamba:

Hakupenda kulifanya tumaini hili kirahisi, kwa hiyo Maandiko Matakatifu hayakutoa tafsiri ya jina hili la Abeli kama yalivyofanywa kwa jina la Kaini pia (anasema Soncino).

Tafsiri ya Strong inasema kwamba Abeli inamaanisha mpito au mapito.

Hakuna hata moja katika vitabu vya ufafanuzi vya marabi vilivyoweza kuridhisha usuluhishi wa tatizo hili kubwa la andiko hili hapa linalomunye Zekaria 12:8 linasema kwamba watu wale watakuwa elohim na linamaanisha Malaika wa Yahova ambaye kichwa chake ni kama elohim pia.

Zekaria 12:8 Katika siku hiyo Bwana atawalinda wenyeji wa Yerusalemu; na yeye aliye dhaifu miongoni mwao atakuwa kama Daudi siku hiyo; nayo nyumba ya Daudi itakuwa kama Mungu, kama malaika wa Bwana mbele yao.

Kwa kuongezea, Rashi anaonyesha kuwa kijisemi ishara kinachosema eth mbele ya maneno Kaini, ndugu yake na Abeli ni ya nyongeza, yanayoonyesha ama kuashiria mapacha wa kike waliwazaa.

Rashi anazidi kuelezea kwa kina kwamba neno lisemalo mchngaji wa kondoo linalomtabulisha kazi ya Abeli linamaana kwamba:

Aliacha ana alijiepusha kuilima ardhi kwa kwa ilikuwa imelaaniwa (sawa na Soncino).

Hii inaonekana kashiria mawazo au mtazamo wa vizazi ziwili tofauti. Mtazamo huu pia inaonyesha kuashiria kitu kilichowiana na nia aliyokwa nayo Hawa kutokana na andiko hili.

Ikawa hatimaye Kaini akaleta mazao ya ardhi, sadaka kwa Bwana. 4 Habili naye akaleta wazao wa kwanza wa wanyama wake na sehemu

Page 3: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Kizazi cha Adamu Page 3

zilizonona za wanyama. Bwana akamtakabali Habili na sadaka yake; 5 bali Kaini hakumtakabali, wala sadaka yake. Kaini akaghadhibika sana, uso wake ukakunjamana.

Abeli alileta dhabihu au sadaka na mafuta yake kwa Bwana, na Bwana akaikubali. Kaini akatokea akiwa na sadaka ya mazao aliyoyapata kutoka ardhini na inaonekana alikuwa anailazimisha ardhi impe kitu. Mazao yaliyotoka kwenye ardhi ilikuwa ni sadaka ya kiwango cha chini ukilinganisha wanyama kwa sababu nyingi sana. Ilikwa ni ya kiwango cha chini kwa sababu ardhi ilikuwa imelaaniwa. Kaini alikuwa anafanya kosa la kuleta mazao yanayotokana na ardhi iliyolaaniwa wakati ambapo ni kweli kabisa alijua kwamba sadaka ya damu ndiyo iliyokwa inahitajika. Zaidi ya yote ni kwamba sadaka ya Abeli ilitokana na malimbuko sawa kabisa na ilivyohitajika kufanyika kwa mujibu Torati. Sadaka ya Kaini haikuwa ya malimbuko (kwa Kiebrania: minchah). Habari sadaka hii ya Kaini inaonekana pia kwenye waraka wa Yuda 11.

Yuda 11 inasema: Ole wao! Kwa sababu walikwenda katika njia ya Kaini, na kulifuata kosa la Balaamu pasipo kujizuia, kwa ajili ya ujira, nao wameangamia katika maasi ya Kora.

Maelezo yote kwa kuelewa utaratibu na utoaji wa malimbuko vilijulikana vyema tangu mwanzoni. Kila kipengele cha mpango wa Mungu na Amri Kumi chini ya sheria au torati vilijulikana tangu zama za mwanzoni za kitabu cha Mwanzo. Hata jina la Yahova na pia dhana ya Amri ya Tatu ilijulikana sana tangu nyakati za Adamu na Sethi (tazama aya ya 26) na sio kama inavyodaiwa kufundishwa kimakosa au kwa uwongo wakati ilipotolwa na kpewa Musa pale Sinai.

Kukataliwa kwa Kaini kulisababishwa na nia hii hii ambayo tunamuonanayo Shetani akikataliwa kutokana na uroho wake kwa kujilimbikizia na kufanya biashara au kujitafutia faida (sawa na inavyosema Ezekieli sura ya 28 na Isaya 14). Hapa wazo hili la kutenda dhambi na kukataliwa linawekwa ndani ya moyo wa Kaini.

Bwana akamwambia Kaini, Kwa nini una ghadhabu? Na kwa nini uso wako umekunjamana? 7 Kama ukitenda vyema, hutapata kibali? Usipotenda vyema dhambi iko,

inakuotea mlangoni, nayo inakutamani wewe, walakini yapasa uishinde.

Dhambi hapa zinajidhihirisha kwa Kaini. Kukataa kwake Mngu sadaka ya Kaini na kuikubali kwake ile ya Abeli hakuwa ni mtu asiyefuata utaratibu au mtu holelaholela. Hapa Kaini hakuwa na haki ya kuona wivu. Zaidi sana ni kwamba alitakiwa kurekebisha makosa na mambo yake yaliyokwa kwenye uwezo na mikononi mwake Kaini (anasema pia Sforno; Soncino).

Tafsiri ya aya hii imefafanuliwa na kuandikwa vema kwenye kitabu cha Targum (Rashi) kama ifuatavyo:

Kama utazirekebisha njia zako, dhambi zako zitafutwa; bali kama hutazirekenisha njia zako, dhambi zako zinakusubiri kwa siku ya kiyama na hukumu, kwa kuwa hakika utahukumiwa kama hutatubu; bali kama utatubu, utasamehewa wewe (anasema Soncino).

Swali hapa ni kuhusu kiumbe hiki kikatili kuinuliwa juu yule aliyekuwa ameanguka (ansema Rashi). Nachmanides anaamini kuwa inamaanisha kwamba angeinuliwa juu zaidi kuliko ndugu yake kwa kuwa alikuwa mzaliwa wa kwanza (anasema Soncino). Sforno anaamini kuwa habari hii inamaanisha kuwa angefikia kina kirefu cha kutukuzwa. Mtazamo wa marabi ni kwamba kumtii Mungu ni chanzo au mlango wa kupendwa na kukubalika naye.

Kijisemi kisemacho wewe nndiye chaguo lake kwa ajili ya dhambi kama inavyoelezewa na Soncino ni kiambisho kinachovutia na kupendeza. Tafsiri ya The KJV inalielezea andiko hili hivi:

Kama ukitenda vyema, hutapata kibali? Usipotenda vyema dhambi iko, inakuotea mlangoni, nayo inakutamani wewe, walakini yapasa uishinde.

Neno la Kiyahdi kuhusu dhambi ni chat’a (sawa na inavyosema Comp. Bible) kumaanisha dhambi. Neno danganya linalotaja jinsia ya kiume, sadaka ya dhambi ni la kike. Kiebrania inasomeka Kwenye mlango pa kuingilia [wa kiume] anadanganya, sadaka ya dhambi. Marabi wanaamini kuwa mlango ni mlango wa kaburi (ambako hukumu inakungojea Rashi).

Page 4: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Page 4 Kizazi cha Adamu

Nachmanides anaamini kuwa inasimama mlangoni ikitafuta kumsababisha mtu aanguke. Sforno anaamini kuwa inammanisha kwamba dhambi inakungojea na utaongeza zaidi ya hiyo liyokwisha kuifanya. Kijisemo cha tama yako itakwa kwake kwa mtazamo wa Soncino unachukuliwa kumaanisha kuwa Mvuto tapenda kukuvutia wewe (Rashi). Abraham ibn Ezra anafanya mrejesho kuhusu maana yake hata hivyo kwa kusomeka Dhambi itakupelekea kushindwa kama utaipenda.

Huenda huu ni mwanzo wa fmbo. Tafsiri ya KJV inajaribu konyesha maana mbalimbali na tofauti: Tamaa yake itakuwa kwako nawe utakmtawala. Hii ni tafsiri iliyo kinyume kati ya Malaika waasi na viumbe walio wa uzao wa Adamu. Ilifikia kiwango chake cha juu au kilele chake kwa jaribio alilolifanya Shetani kumjaribu Masihi alipompeleka kwene kilele cha Mlima na kumhakikishia kuwa angevipata vitu vyote iwapo kama tu angemsujudia huyo Shetani. Andiko hili kuhusu uongozi ama mamlaka limeonekana pia kwenye Mwanzo 3:16. Maandiko haya pamoja na husiano wake yanavyosema kwenye heshima kamili ya mapenzi au mawazo ya mwanadamu ni uadui kwa Mungu na kwenye mfumo wa mambo yake alyojiwekea hapa duniani kupitia kwa wana wa Adamu. Makosa yalijitokeza mara moja. Kaini hakuweza kutubu na kurejea kwa Mungu. Wazo la kwamba mwanaume alilalia kwenye mlango kama sadaka ya dhambi ilikuwa inamuashiria Masihi akiongea na Kaini kama Yahova elohim.

Halafu Kaini kama wote walivyofanya hapo mwanzoni. Kaini akaongea na Abeli na kisha akamuua. Namna uovu unavyotenda kazi zake ni kujihesabia haki na kutafuta makosa. Wakati kunapotokea kosa halionekani, unageukia kwenye fujo au machafuko. Hivyo ndivyo ilivyotokea kwa Kristo na kufatia mateso ya kanisa. Wateule kwa uwepo wao wanasimama kama mashahidi dihi ya ulimwengu. Abeli (au Hebeli) alisimama kama shahidi dhidi ya Kaini. Kaini akamuua Hebeli akiwa kama dini Kongwe zenye wafuasi wengi zilivyowatesa na kuwaua wateule.

Kaini akamwambia Habili nduguye, [Twende uwandani]Ikawa walipokuwapo uwandani,Kaini akamwinukia Habili nduguye, akamwua.

Rashi anaamini kwamba Kaini alianza majadiliano na Abeli ili kumchokoza aingie kwenye malumbano na ugomvi. Kipindi hiki walikuwa mbali na walipokuwa wazazi wao (anasema Sforno; sawa na anavyosema pia Soncino). Neno ilinenwa ni ‘kiambisho ambacho kwa Kiebrania ni lazima ifuatiwe na maneno yaliyonenwa (kama ilivyopingana na dabar) lakini maneno haya yamefutwa kwenye tafsiri ya Biblia ya the Masoretic Text (MT). Maneno halisia ya Kaini yamehifadhiwa kwenye Torati ya Wasamaria inayojulikana kama Septuagint (LXX), ya Kisyria, ya Vulgate, ya Targum, ya Jerome, na ya MSS ambazo maneno yameandikwa hebu na twende uwandani. Tafsiri ya\MSS ambayo haina maneno haya inaviashiria vinavyoonyesha kuwepo uwezekano wa kuruka maandiko haya (sawa na inavyosema Comp. Bible n. to v. 8).

Kwamba ndipo alipouawa ambavyo ni kwa mpito (au kama ilivyokuwa kama upepo na ndipo pia ubatili au matumaini).

Kuna maana yake muhimu kwa mtu kitwa Hebeli. Kwa kuwa hilo ndilo hasa lilikwa jina lake (SHD 1893 ambalo ndilo lilikwa sawa na ilivyo kwenye SHD 1892). Amani ktoka kwa Adamu haikudumu kati ya wana wa Adamu sambamba na dhambi.

Bwana akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu? 10 Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi.

Yahova elohim aliuliza maswali ili kumpafursa Kaini ya kukiri dhambi yake na kutubu (Rashi).

Neno damu lililotumika hapa ni la uwingi kwenye lugha ya Kiebrania. Uwezekano unaonekana kwanza kabisa wa kuwa kwamba damu ya Abeli na damu ya vizazi vyake ilikuwa inamlilia (sawa na Mathayo 23:35). Rashi anaamini ilikuwa ni kwa sababu alikuwa ameumizwa mara nyingi kwa mauaji ya kikatili ambayo Kaini hakujua

Page 5: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Kizazi cha Adamu Page 5

kuwa ingemsababishia madhara au maafa (Soncino). 1 Yohana 3:12 inaonyesha sababu ya kumuua kwake ikisema:

Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ndugu yako kwa mkono wako; 12 utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake; utakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani.

Laana ilitokana na ardhi ikiashiria kwamba isingeweza kukoma mapatilizo yake. Hapa ardhi ilitumika ili kufichia uovu wa mauaji aliyoyafanya na ambayo kwayo tokea hapo ingetumika kama chombo au kifaa cha kumuadhibia (wanasema kina Nachmanides na Sforno; Soncino). Bullinger anaamini kuwa lafudhi au usemi wa Kiebrania unaoonekana mbele ya neno laana inaonyesha kuwa ilikuwa ni laana iliyo zaidi ya kulaaniwa kwa ardhi (kama kwenye sura na aya zifuatazo: 3:17; hadi aya ya 11 kwenye Comp. Bible).

Wazo ni kama hilo la haki kwenye adhabu. Uhai ulichukuliwa na uhai ndiyo pekee uliochukuliwa kuwezeshwa tu kwa njia ya kufanya kazi nguvu.

Kaini akamwambia Bwana, Adhabu yangu imenikulia kubwa, haichukuliki. 14 Tazama, umenifukuza leo katika uso wa ardhi, nitasitirika mbali na uso wako, nami nitakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani; hata itakuwa kila anionaye ataniua.

Tafsiri iliyoko kwenye KJV na ile iliyo kwenye Soncino ni tafsiri iliyofanywa na Abraham ibn Ezra. Hata hivyo, Rashi anaiwekea maswali yafuatayo: Je, dhambi yang uni kubwa sana kuweza kuibeba? na Nachmanides anaiweka hii kwa usemi wa kwamba lakini dhambi yang uni kubwa sana kuweza kusamehewa (Soncino). Je, uovu wangu ni mkubwa sana kuweza kusamehewa? Inatokana na uandishi wa nakala za Septuagint, Vulgate, Syriac, Arabic, Targum wa Onkelos, Torati ya Wasamaria(Samaritan Pentateuch) na ya Kiyunani na ya makasisi wa Kilatini. Ni tafsiri iliyofuatia baadae ya MT inakubaliana nayo, au inaweka msingi wa ile ya KJV unapoisoma (sawa na Comp. Bible sura hiyohiyo hadi aya ya 13). Dhana iliyoko hapa kwenye aya ya 14 ni kwamba aliondolewa mbali na usoni pa nchi na kutoa

uhai wa mtu mwingine. Aliondolewa au kukatiliwa mbali kutoka kwenye uwepo wa Mungu na uwezekano way eye kutoa sadaka kwa aibu (inasema Nachmanides).

Hapa kuna mlolongo wa matatizo yanayoshangaza. Kila mtu atakayekutana na Kaini atamuua ni maneno mageni kusikika na hasa kwa kuwa ilijulikana kwamba ni watu wawili tu wanaume ambao ni yeye Kaini mwenyewe na Adamu baba yake ndio waliokuwepo eke yao juu ya uso wa dunia kipindi kile. Ni wazi sana kwamba kulikuwa na kitu kingine zaidi kilichokuwepo kuendelea pia. Nachmanides na Rashi waliliona tatizo fulani kwa dhahiri kwenye mchakato wa uumbaji na wakaitafsiri ayah ii kumaanisha kitu chochote na kuichukulia aya ya 15 kuwa ilikuwa inawaongelea wanyama wa porini.

Mtazamo wa Nachmanides ulikuwa ni kuwa, Kaini hakujenga nyumba kwa ajili ya kujilinda na pasipo ulinzi wa Mungu angeuawa na wanyama wa porini.

Usemi usemao wataniua ulichukuliwa kama unaashiria adhabu iliyokuu zaidi ya hukumu iliyotangazwa (Nachmanides na Sforno)

Maneno yaliyotamkwa na Yahova elohim hapa yametafsriwa kwa namna hiyo na marabi wa Kiyahudi, ambayo inaashiria kuwa ndiyo mtazamo ulioelezwa kwenye Agano Jipya.

Bwana akamwambia, Kwa sababu hiyo ye yote atakayemwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba. Bwana akamtia Kaini alama, mtu amwonaye asije akampiga.

Aya ya 15 imetafsiwa na Rashi kama ifuatavyo:Kwahiyo yeyote atakaye muua Kaini ataadhibiwa (kifungu na usemi huu unabakia ukiwa haujafafanuliwa vizuri); kama ulikuwa unamhusu Kaini mwenyewe, kuwa kisasi kitafanywa juu yake baada ya vizazi kadhaa vilivyomfuatia (atakapouawa, lakini hadi kutakapokuwa hakuna aliyemdhuru). Ibn Ezra, Nachmanides na Sforno wanaandika namna inayofanana lakini Sforno imeandikwa vipindi vitatu vya sabini na mbili au sabini na mbili mara tatu, sawa na

Page 6: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Page 6 Kizazi cha Adamu

baada ya vizazi kumi na nne. Vizazi kumi na vinne vimetolewa kutoka kwa Ibrahimu kwenye mlolongo wa vizazi vitatu kwenye kitabu cha Mathayo. Lakini vizazi kumi na vinne kutoka Adamu vinaangukia kwa Sila baba wa Eberi na kwa mtazamo huu Waebrania walitajwa lakini kulikuwa hakuna kanuni yoyote kwa mlolongo huu wa vizazi kumi na vinne. Kwa hiyo Sforno hayuko sahihi. Vizazi saba vina umuhimu sana. Sforno angekuwa sahihi kama ingechukuliwa kwa kuashiria kwamba vizazi saba vimetajwa kwenye mistari miwili ya uzao wa Sethi na Kaini pekee.

Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana, akakaa katika nchi ya Nodi, mbele ya Edeni. 17 Kaini akamjua mkewe; naye akapata mimba, akamzaa Henoko; akajenga mji akauita Henoko, kwa jina la mwanawe.

Kwa hiyo, Kaini akaishi katika nchi ya Nodi au nowd (SHD 5113) ambayo ni nchi iliyo upande wa mashariki mwa Edeni. Ni sawa kama ilivyoandikwa kwenye kamusi ya SHD 5112 na inamaanisha vuruvuru au tangatanga. Hii ina maana iliyo kinyume na SHD 5115 na 5116 navah maana yake kupumzika na kwa hiyo ni nyumbani au makao na pia kuliendeleza au kulipanua hekalu la Mungu na pumziko lake. Maana lengwa ya maneno haya ni kukatiliwa mbali kutoka kwa Mungu na kwa lugha ya Kiebrania inaliendeleza kwa kina wazo hili wakati kwenye Kiingereza hakifanyi hivyo. Dalili iliyoko hapa kuhusu nchi ya kutangia tangia ni muhimu katika kulipa wazo kuwafikiria viumbe wengine kuwepo duniani. Alipigwa chapa au alama kwenye kipaji cha uso wake na mamlaka mbalimbali za marabi zimetafsiri hii ikimaanisha kwamba alama iliyowekewa inaweza kuwa ni herufi za jina lake. Rashi anadhania kuwa Mungu aliweka woga wa kiasilia ya mwanadamu kwa wanyama kufuatia wazo la kwamba walikuwa ni wao waliomtisha. Ibin Ezra anaamini kuwa Bwana alimuwekea alama Kaini ili kila atakayekutana naye asimpige na kumdhuru au kumuua. Kwa hiyo, tunaona kwamba walikuwapo watu wangalioweza kumpiga na kumuua Kaini angali badi hai hata wakati ule. Ni nani basi hawa?

Kaini alitoka na kuondoka zake kutoka

machoni au mbele za Bwana. Andiko linasema kwa kifupi tu kwamba alimjua kewe baada ya kuondoka kwake na kuelekea nchi ya Nodi. Alipata uzao au watoto. Baada yam tota ke Enoshi kuzaliwa, Kaini aliujenga mji na na akauita kwa jina la mwanae, Enoshi. Enoshi maana yake fundisho au chuo; kwa hiyo maana yake inakuwa ni ni mwanafunzi wa au kufundisha. Majina yanayohusu mji ni: alikuwa anajenga kwa maneno mengine ni mchakato endelevu. Alikuwa amelaaniwa na kwa hiyo aliuita mji ule kwa jina la mwanae na inaonekana kuwa alikuwa anajaribu kujiondolea laana (sawa na asemavyo Nachmanides; Soncino).

Bullinger anaamini huu kuwa ni mji uliokutikana chini ya uwanda wa matofali ulioko huko Nip[p]ur upande wa Kusini mwa Babeli uliojengwa (sawaa na sura hiyohiyo hadi aya ya v. 17 kwenye Companion Bible). Bullinger anaamini kuwa ugumu wa Kaini inatoka kwenye Kizazi cha Mbinguni na Duniani waliozaliwa baada ya kuuawa kwa Abeli.

Henoko akamzaa Iradi, Iradi akamzaa Mehuyaeli; Mehuyaeli akamzaa Methushaeli; Methushaeli akamzaa Lameki.

Majina yaliyo kwenye orodha hii yanamaana kubwa sana. Iradi maana yake mkimbizi (SHD 5897 sawa na 6166). Bullinger anauona huu kama Mji wa Mashahidi lakini hana uhakika na hilo. Mpangilio wa miji ya makimbilio kama unavyoonekana kwenye totati unaweza kuwa ni mapema sana kabla ya matendo au matukio haya ya Kaini.

Hii kwa hiyo ingeashiria kiwango cha sheria au kanuni zikiwepo kwenye ukamilifu tangu mwanzo. Kutoka nje ya mji wa mafunzo au kuhitimisha, kumtenganisha na Mungu, akawa mkimbizi.

Mehuyaeli (kwa Kiebrania Mehijael sawa na Soncino; SHD 4232 sawa na 4229, 410) maana yake Aliyepigwa na Eli, au Mungu. Hii hatimaye kumtangulia Methusela (SHD 4967 sawa na 4962) maana yake Mtu ambaye ni Eli au Mungu.

Somo la kujifunza hapa linaonekana kuwa ni maswali ya kujihoji yanayopelekea mtengano

Page 7: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Kizazi cha Adamu Page 7

na kisha kujifunza katika muundo ambao ulipelekea yeye kuwa mkimbizi. Kwa uumbaji wa Mungu mwanadamu anaweza kutembea chini ya maelekezo ya Mungu.

Kwa hiyo mchakato ulimtoa Lameki. Lameki ni wa saba kwenye mlolongo wa uzao wa Adamu. Lameki, kwa mujibu wa SHD 3929 Lemek ni mtu asiyezoeleka na kiini cha kabila la Waebrania kwa maana isiyo rasmi. Inataja mababa wawili, mmoja kutoka kila upande kutoka Adamu. Kwenye upande wa Kaini, Lameki ndiye wa saba kwenye mlolongo wa uzao wao toka Adamu. Kwenye mstari mwingine, Enoshi ndiye alikuwa wa saba ambaye anaitwa kwa jina lenye maana ya kizazi cha tatu na motto wa Kaini. Kwa hiyo, ujumbe ni kwa mlolongo na usawa wa mafunzo kama yote yanavyomaanisha kufundishwa au kuwezeshwa na kufanywawa wanafunzi. Mmoja, Enoko alikuwa mtakatifu na wengine hawakuwa hivyo. Kwa hiyo, kipindi na mchakato wa mafunzo ni lililo gumu kulijua.

Lameki kwenye mlolongo wa uzao wa Kaini ni mtu wa kwanza kuandikwa kuwa na wake wawili. Rashi anaamini anapolinganisha na andiko hili kwamba tendo la kawaida la kizazi cha gharika kuu kilijulikana kuwa ni watu walioishi na mke mmoja kwa kusudi la kuzaa watoto na wengine ni kwa ajili ya kuendeleza makazi yao (sawa na anavyoamini Soncino). Huenda hii inatokana na mtazamo wa marabi unaotokana na majina yalivyo.

Lameki akajitwalia wake wawili, jina la wa kwanza ni Ada, na jina la wa pili ni Sila.

Kwa mujibu wa Rashi, Ada anaonekana kurudi nyuma na kwa hiyo alikuwa kwa ajili ya kuzaa watoto na aliruhusiwa aendelee kuwa mbaya na mume wake aliachana naye au alimuacha (sawa na anavyosema Soncino). Maana ya neno lake kwa mujibu wa Strong linamaanisha kinyume chake. Jina hilo kwa mujibu wa SHD 5711, linadhaniwa kumaanisha Manukato na limechukuliwa kutoka kwenye SHD 5710 ‘âdâh ambayo inamaanisha kuendelea na kwa hivyo inamaanisha kupitisha au kuendelea na

kusababisha kuondoa’ hasa inamaanisha kurembesha au kuinukiza manukato na kwa hiyo inaweza kumaanisha kupamba, kuremba mtu mwenyewe, kupitiwa, au kuchukulia mbali.

Sila (au Tsillâh SHD 6741) anachukuliwa na Rashi kuwa alikuwa ni wa kustarehe naye tu na hivyo kumfanya wakati wote kwenye matukio yake ama kuwa karibu naye (tsêl au kuwanaye pamoja). Kwa hiyo, jina lake linamaanisha kivuli (soma Soncino). Jina hili ni la kike, kwa mujibu wa SHD 6738 tsêl ambalo linaaminika kumaanisha kivuli lakini linaweza pia kumaanisha ulinzi. Kwa hiyo majina yanaweza kumaanisha shambulio na ulinzi au kinga njema kwa maana iliyotolewa na Rashi. Hii ina zaidi ya kufanya kwenye matatizo ya kiroho ya malaika, ambayo yalipelekea maangamizo ya gharika kuu na yanapaswa kufumbuliwa. Jambo hili linapelekea kwa maana maneno ya watoto.

Ada akamzaa Yabali; huyo ndiye baba yao wakaao katika hema na kufuga wanyama. 21 Na jina la nduguye aliitwa Yubali; huyo ndiye baba yao wapigao kinubi na filimbi.

Yabali (SHD 2989) alikuwa ni baba yao wapiga filimbi na aliishi hemani na wao pamoja na mifugo. Hii inaweza kuwa vigumu kupata maana rahisi kama Abeli alikuwa ni mfugaji wa kwanza kama tulivyojionea hapo juu na alitoa sadaka yake kwa Bwana, ambayo ilikubalika sana kuliko ile aliyoitoa Kanini ya nafaka. Neno linalotumika kulitaja hema hapa linamaana moja na ile ya hekalu za sanamu na Midrash anatangaza kuwa alikuwa wa kwanza kujenga hekalu za kuabudia sanamu na kuwatolea sadaka. Ndipo tunaona kwamba Ada ana kanuni ya kupamba kwa mtindo tofauti na sanamu na ndipo akapitiwa au hakuachwa au hakurudi nyuma (soma jarida la Mwanzo wa Kuvaa Bangili na Vito vya Dhahabu Katika Zama za Kale (Na. 197) [The Origin of the Wearing of Earrings and Jewellery in Ancient Times (No. 197)].

Jina Yubali (SHD 3106) baba wa wote wanaopiga vinubi na filimbi alitokea kuwa kutoka SHD 2986 na inamaanisha kijito. SHD 2987 inamaanisha kuleta au kubeba na ni sawa na 2986. Hii ina maana sawa na kiini

Page 8: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Page 8 Kizazi cha Adamu

kama Yubali (SHD 2989) ambalo lina maana sawa na ile ya SHD 2988 chanzo cha maji au kijito.

Rashi anafuatia kutoka kwenye maelezo ya mwanzo na anasema kwamba alikuwa wa kwanza kuutambulisha (kuuleta au kuubeba) muziki kwenye ibada za sanamu.

Maelezo yaha na ufafanuzi wake vimeelezwa kwa kina kwenye majarida ya Chanzo cha Krismas na Easter (Na. 235) na Fundisho la Chanzo cha Dhambi Sehemu ya 1 Bustani ya Edeni (Na. 246) [The Origins of Christmas and Easter (No. 235) and The Doctrine of Original Sin Part I The Garden of Eden (No. 246)] tunaona kwamba imani ya Utatu ilikuwa ni mtindo wa kale zaidi ya ibada za sanamu. Ilichukuliwa kutoka kwa ulimwengu wa kipindi cha kabla ya gharika kuu sawasawa na tutakavyojionea kutoka kwa mabaki yao, kama vile yale ya Stonehenge.Ufafanuzi na maelezo ya Rashi yanaangukia kusema kuwa Sila alikuwa na watoto pia na jina lake la kiume aliitwa Tubalkaini ingawa haonekani kuona vyema yeye mwenyewe.Rashi na Ibn Ezra wameandika mghushaji kama kinoleo (sawa na Soncino).

Sila naye akamzaa Tubal-kaini, mfua kila chombo cha kukatia, cha shaba na cha chuma; na umbu lake Tubal-kaini alikuwa Naama.

Tubal-kaini aliendeleza vema (tabal) kazi ya Kaini, akiandaa silaha kwa kuulia watu au umwagaji wa damu (kila chombo chenye makali au cha kukatia) kwa mujibu wa Rashi, ambayo inamaanisha majambia na visu (anasema Soncino). Kitabu cha Soncino kimeandikwa kuwa andiko hili kama mtengenezaji wa kila chombo cha kukatia chenye makali cha shaba ba chuma. Tafsiri ya KJV na maandiko mengine yanaonyesha kwamba kulikuwa na watu wengine waliofundishwa na yeye. Nachmanides analichukulia andiko hili kama lilivyo na kuongeza maelezo ya Targum kwamba neno baba yao linamaanisha alikuwa wa kwanza kutengeneza vifaa hivis (sawa na Soncino). Hili ni sawa na tunavyosema kuwa Shetani ni baba wa uwongo kuwa ni sababu inayotokana nay eye kuwa wa kwanza kusema uwongo na kuwafundisha wengine kufanya hivyo. Inaweza kuchukuliwa

kumaanisha kuwa Tubalkaini alikuwa ni chombo katika kutengeneza silaha za vita kwenye ulimwengu wa zama za kabla ya gharika kuu.

Dada yake alikuwa Naama (SHD 5279) ikimaanisha wa kuipendeza ambalo ni la mrengo wa kike SHD 5277 Na’am maana yake burudani au kupendeza. Rashi anasema kuwa Naama alikuwa ni mke wa Nuhu (sawa na Soncino). Jina hili linaonekana hatimaye tena kwa Waamoni. Madiu ya kuwa alikuwa ni mke wa Nuhu bila shaka yametolewa ili kuelezea matatizo ya Wakanaani na ndugu zao. Inaonekana hakumaanishi kujumuishwa kwake hapa zaidi ya kumuunganisha na matatizo yaliyojitokeza kutokana na ibada potofu zilizojitokeza kutokana na imani ya mungu wa Utatu na miungu Mwezi, Jua na sayari ya Venus, Utatu uliofanyizwa kutokana na imani za Kibabeloni (sawa na jarida la Ndama wa Dhahabu (Na. 222) [The Golden Calf (No. 222)]. Alama ya sayari pia inafuatia utaratibu huu unaohusiana na Mjumuisho wa msalaba wa jua kwa dunia ukionekana hivi , pamoja na Venus akiwa mwanamke na Mars kama mwanaume (sawa na sehemu ya 1 na jarida la Msalaba: Chanzo Chake na Maana Yake (Na. 39) [The Cross: Its Origin and Significance (No. 39)]. Mlolongo huu unawakilisha mgawanyo wa pande robo ya ulimwengu na kwa hiyo serikali inawekwa duniani.

Lameki akawaambia wake zake, Sikieni sauti yangu, Ada na Sila; Enyi wake za Lameki, sikilizeni usemi wangu; Maana nimemwua mtu kwa kunitia jeraha; Kijana kwa kunichubua; 24 Kama Kaini akilipiwa kisasi mara saba, Hakika Lameki atalipiwa mara sabini na saba.

Andiko hili tata lina uwezekano mdogo. Mapokeo ya marabi yanasema kuwa Lameki alikuwa kipofu na alikuwa anaongozwa na Tubalkaini. Siku moja Tubalikaini alipomuona Kaini, alimwambia Lameki kuwa kulikuwa na paa mbele yake na akamuomba ampige kwa mkuki ambao ulimuua. Ndipo Lameki alipogundua kuwa alikuwa amenuua mtoto wake. Hii iliwachukiza wake zake ambao walijitenga naye. Rashi anasema kwamba hatimaye alijaribu wakurejesha kwake. Wengine kama vile Nachmanides na Sforno, wanaamini kuwa wale wakeze waliogopa kuwa huenda

Page 9: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Kizazi cha Adamu Page 9

angeuawa naye akawahakikishia usalama wao (sawa na Soncino).

Mlolongo huu ndipo unaendelea tangu Adamu hadi Lameki kupitia kwa Kaini kama vizazi saba kilichokatiliwa mbali na Mungu na hatimaye Kaini aliuawa na kizazi hiki cha saba kutoka Kaini kilichoitwa cha Tubalkaini. Kwa hiyo, mlolongo ulirudiwa tena. Lameki alikuwa kwenye juhudi kubwa ya kujiona hana hatia na hatimaye akalipizwa kisasi mara sabini na saba zaidi. Muono wa marabi ni kwamba lilikuwa ni swali nyeti na halikuhitaji uwajibikaji kwa mauaji yale ambayo Lameki alimuua Kainni kwa bahati mbaya. Utata ulioko ni kwamba kwa namna yoyote ile Kaini alikuwa na alama ya ulinzi aliyowekewa na Mungu na kwa hiyo Yule aliyemuua alipaswa kuadhibiwa mara saba ya sabini.

Lameki bila shaka alichukua mahala pa hukumu ya Mungu. Hii ni namna nyingine ya kuitendea kazi sheria inayohusiana na amri ya tano. Soncino inaamini kwamba kwa maelezo na fafanuzi zote, mwanadamu anaonekana kuwa alimdanganya Lameki na kijana wa kiume kwa Tubalkaini. Hata hivyo, hii inaonekana kuwa ni upuuzi. Mtazamo ni kwamba mtu aliyeuawa kwa kumchubua au kujeruhi Lameki alikuwa Kaini na mtu aliyemchubua alikuwa Tubalkaini. Lameki aliumizwa kwenye mnyororo wa uzao wao kwa kukatiliwa mbali na Mungu na kuchubuliwa kwa kuwa mtoto wake mwenyewe ndiye alikuwa ni mhusika way eye kumuua Kaini. Kizazi cha saba cha Adamu kilikuwa ndicho kimemuua Kaini na mchokozi aliuawa pia.

Rashi anaamini kuwa ni hatua muhimu sana kuhusianisha na andiko hili. Anasema kwamba inamaanisha kwamba kama hukumu ilicheleweshwa kwa vizazi saba kwa Kaini ndipo kwa jambo hili lingecheleshwa kwa vizazi sabini na saba. Gharika kuu ikatokea sio mbali sana tangu hapo na hakuna maelezo mengine ya kina kutolewa kuhusu kizazi hiki cha Lameki hadi kufikia watoto hawa waabudu sanamu wa Ada.

Dini ya uwongo ya Utatu kwa kweli iliingia

hadi katika kizazi hiki cha sabini na saba na hatimaye ilipata mwanya zaidi kwenye Ukristo miaka elfu tatu iliyofuatia baadae kwenye karne ya saba ya ya nane ya zama hizi tulizonazo. Dokezo linaloonekana kuchukuliwa hapa kuhusu imani za dini hizi za uwongo. Kwa hakika, mstari wa uzao wa Kaini wa Wanefili walifutiliwa mbali kwenye gharika kuu. Hakuna kitu kilichosemwa zaidi hapa kuhusu upande wa uzao wa Kaini hadi tunapokutana na maandiko yanayowataja Wanefili kwenye Mwanzo 6:4. Madai ya kwamba Naama na Nuhu walikuwa mke na mume huenda yanaweza pia kutuama kwenye unabii huu uwe na msingi fulani kwa kweli.

Mstari wa uzao wa SethiTunarudi nyuma tena hadi kwa Adamu na kuzaliwa kwa Sethi.

Adamu akamjua mke wake tena; akazaa mwana mwanamume, akamwita jina lake Sethi; maana alisema, Mungu ameniwekea uzao mwingine mahali pa Habili; kwa sababu Kaini alimwua.

Sethi (SHD 8352 Shêth) maana yake ni aliyechukua nafasi mbadala na linatokana na SHD 7896 shîyth linalomaanisha kufidia (Huenda hii ndiyo sababu pia ya neno la Kiingereza sheath (ngao) kwa ajili ya silaha).

Sethi naye akazaa mwana; akamwita jina lake Enoshi. Hapo ndipo watu walipoanza kuliitia Jina la Bwana.

Tangu kipindi hiki watu walianza kuliitia jina la Yahova/ kwa hiyo, madai ya kwamba jina hili lilikuwa halijulikani hadi walipofika Sinai ni ya uwongo. Torati au sheria ilitolewa na kupewa wanadamu tangu mwanzoni na Yahova alikuwa ni sehemu mfumo na utaratibu uliotolewa. Ile inayojulikana kama Sheria za Nuhu ni uwongo wa marabi tu ili kuhalalisha na imehalalisha dini za Wababeli na Talmud. Zinapaswa kuwa na msimamo wa njia panda kati ya kukosewa, mapokeo yasiyo wezekana na dhana nyinginezo maarufu, wanaosoma Biblia lakini bado wapo kwenye ushawishi wa imani ya Utatu.

Madai ya kwamba ilikuwa ni baada ya vizazi viwili ndipo walipoanza kuliitia jina la Bwana yanaonyesha kukusudia kutenganisha na Mungu na umuhimu wa kufanya hivyo

Page 10: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Page 10 Kizazi cha Adamu

kupitia majaribu na mateso.

Mwanzo 5:1-32 Hiki ndicho kitabu cha vizazi vya Adamu. Siku ile Mungu alipoumba mtu, kwa sura ya Mungu alimfanya; 2 mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.3 Adamu akaishi miaka mia na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi. 4 Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake. 5 Siku zote za Adamu alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa.

Kwenye andiko hili tunajionea urefu wa kipindi cha Mababa ukionekana. Adamu alikuwa hai wakati wa kuzaliwa kwa Sethi na mtoto wa Sethi na mtoto wake na kadhalika kwa vizazi vyake kadhaa. Zaidi ya yote, uwezo wa kuwachunga wanawake pia uliongezeka kwenye kipindi hiki kirefu. Wana na binti waliozaliwa na Adamu na Hawa ia wameongezeka. Hawa alimchukua mtoto kipindi kirefu cha nyuma wakati alipokuwa na umri wa miaka 130 na kwa kweli alipokuwa na umri wa miaka.

Sethi akaishi miaka mia na mitano, akamzaa Enoshi. 7 Sethi akaishi baada ya kumzaa Enoshi miaka mia nane na saba, akazaa wana, waume na wake. 8 Siku zote za Sethi ni miaka mia kenda na kumi na miwili, akafa.

Ni sawasawa tu na Sethi aliishi kipindi kimoja na “Adamu” baba yake na mama yake kwa miaka mamia. Sethi alikuwa ni wa mbadala au alichukua mahala pa Abeli kiumbe aliyeishi kipindi kifupi cha mpito na aliyeuawa. Enoshi alikuwa ni mtoto wa kwanza wa Sethi na jina lake maana yake ni mwenye kufa (sawa na Strong’s HD 582 ‘enôwsh na 583) na haina heshima kuliko ile ya kwenye SHD 120 Adamu maana yake pia ni mwanadamu. Kwa hiyo kuna mabadiliko kwenye daraja la mstari wa kizazi cha Adamu kwa ajili ya chanzo cha dhambi.

Enoshi akaishi miaka tisini, akamzaa Kenani. 10 Enoshi akaishi baada ya kumzaa Kenani miaka mia nane na kumi na mitano, akazaa wana, waume na wake. 11 Siku zote za Enoshi ni miaka mia kenda na mitano, akafa.

Kanaani (SHD 7018 Qêynân) alikuwa mtoto Enoshi. Jina lake linatokana na kamusi hiihii ya SHD 7064 imerekebishwa na 7077 maana yake kusimamisha kwenye mtazamo wa ujenzi au kumiliki kama kiota.

Kenani akaishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli. 13 Kenani akaishi baada ya kumzaa Mahalaleli miaka mia nane na arobaini, akazaa

wana, waume na wake. 14 Siku zote za Kenani ni miaka mia kenda na kumi, akafa.

Mtoto wake aliitwa Mahalaleli ambalo ni mjumuisho wa maneno mawili SHD 4110 mashuhuri au sifa na 410 el au Mungu. Hivyo basi jina hili maana yake ni msifu Mungu. Tunaona hali bhapa kwamba kutoka kwenye usimamishaji mzuri wa nyumba na kumlea kijana kumsifu Mungu ndiko kunatakiwa kuanzishwe kiusahihi.

Mahalaleli akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.16 Mahalaleli akaishi baada ya kumzaa Yaredi miaka mia nane na thelathini, akazaa wana, waume na wake. 17 Siku zote za Mahalaleli ni miaka mia nane na tisini na mitano, akafa.

Yaredi alikuwa mtoto wa kwanza wa kiume wa Mahalaleli. Jina lake Yered (SHD 3382) maana yake ni heshima au mwenye kuheshimika. Ingawa njia sahihi ya kuilea nyumba na familia kwa heshima na marejesho ya Mungu yawe yanawezekana.

Yaredi akaishi miaka mia na sitini na miwili, akamzaa Henoko. 19 Yaredi akaishi baada ya kumzaa Henoko miaka mia nane, akazaa wana, waume na wake. 20 Siku zote za Yaredi ni miaka mia kenda na sitini na miwili, akafa.

Yeredi akamzaa Enoshi ambaye tumeona maana yake kuwa ni kufanyizwa au kufundiswa (SHD 2585 Chanowk ambalo linatokana na kamusi ya SHD 2596 kubananisha maana yake ni kushamirisha au kuadibisha). Kwa hiyo, kupitia na heshima ya Mungu kufundisha mwenendo wa mwanadamu kufanya iwezekane. Ndipo mwanadamu akamilike. Hii ni tofauti na kuweka kitu mbadala ya jina la wana wa Kaini ambao Enoshi alikuwa wa damu moja na Kaini kupitia kukamatwa na kumilikiwa na Mungu. Hii ndiyo tofauti iliyopo kati ya mistari hii miwili. Kwa Mungu mmoja alijieneza mwenyewe kwa kupenda ajifunue na kuwainua watu kwa ajili yake mwenyewe. Kwa upande mwingine ni kusema kwamba Kaini alitafuta kushikilia masharti yale na akaua kufanya hivyo. Hii ndiyo tofauti iliyoko kati Kristo na Shetani kwenye Wafilipi 2:5-8.

Wafilipi 2:5-8 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; 6 ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; 7

Page 11: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Kizazi cha Adamu Page 11

bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu; 8 tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.

Adamu na mstari ule kupitia kwa Sethi pia walikuwa kwenye maisha ya ucha Mungu bali hawakujihesabia kuwa sawa na Mungu ni kitu cha kukishikilia. Huu ulikuwa ni mwanzo wa dhambi bali haikuwa ni dhambi ya Adamu peke yake. Dhambi ile ilifanywa na Shetani ambaye hatimaye alimshawishi Hawa kuifanya kwa muktada kama ule ule. Naye akamshawishi Adamu kuitenda. Ndipo mstari wote mzima ukaathirika na kuwa dhaifu kuliko ungalivyokuwa. Ni pale tu kwenye mstari ulio kwenye mchakato mpya ndipo mwanadamu angeweza kufanikiwa na kwamba kupitia kwenye uzao na mwingilio kati wa Yahova-elohim ambaye hatimaye akifanyika kuwa mwanadamu kwa maongozi ya Mungu Aliye Juu Sana, Eloa, Mungu wa Pekee na wa Kweli aliyemtuma Masihi aje kuwakomboa wanadamu (soma Yohana 17:3). Uzoefu huu uliofichika wa dini siri inayotuama kwenye imani zisizo wazi zilizoshika nyoyo za Wababeloni ni kinyume kabisa na mapenzi ya Mungu na ufunuo wake mwenyewe. Inatafuta na kulenga kujiinua juu na kujiunganisha na Mungu katika uholela na imani yenye usiri au msingi wa kihisia.

Henoko akaishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.22 Henoko akaenda pamoja na Mungu baada ya kumzaa Methusela miaka mia tatu, akazaa wana, waume na wake. 23 Siku zote za Henoko ni miaka mia tatu na sitini na mitano. 24 Henoko akaenda pamoja na Mungu, naye akatoweka, maana Mungu alimtwaa.

Henoko alitembea na Mungu na ndipo Mungu alimtwaa. Henoko alionyeshwa mchakato wa mwisho na alichukuliwa akafanye shughuli nyingine. Na ndivyo alivyofanywa Eliya pia na hawa ndio wanadamu wawili peke yao waliotwaliwa pasipo kuona mauti. Ibin Ezra anakiona kitendo hiki kama tunu ya heshima.

Lakini watakufa hatimaye kama ilivyoandikwa kwamba watu wote lazima wafe mara moja (Waebrania 9:27 sawa na jarida la Mashahidi (PAmoja na Mashahidi Wawili) (Na. 135) [The Witnesses (including

the Two Witnesses) (No. 135)]. Henoko alionyesha kwa namna hii kama Masihi ni sawa pia kama alivyofanya Eliya. Henoko alikuwa pia baba yake Methusela. Kwa mujibu wa mapokeo, mke wake alikuwa anaitwa Edna (sawa na kitabu cha M. A. Knibb, kinachoitwa The Ethiopic Book of Enoch, 85:2, Vol. 2, [Kitabu cha Historia ya Henoko cha Waethiopia] Oxford Clarendon 1982 p. 195). Methusela (SHD 4968 methûwshelach) maana yake ni mtu wa kukurupuka. Limechukuliwa kutoka mjumuisho wa 4962 na 7973. 4962 Math (kutokana na maana hiyohiyo kama ilivyo kwenye 4970) inayomaanisha mtu mzima kutoka kwenye dhsns ys kufikis urefu kamili. Alifikisha urefu kamili wa miaka. Neno lililo kwenye 7973 shelach linamaana ya mzinga wa kushambulia kama vile mkuki. Kwa hiyo ni mtu wa kukurupuka. Hii ingetatanisha kama isingekuwa na ukweli kwamba inamaanisha pia kuwa chipukizi likualo kwa wazo hilohilo linalomaanisha mkuki wa mmea na ndipo inamaanisha Tawi na pia ni ukurupukaji au ukuaji. Pia inamaana ya mtu mwenye Tawi. Kwa hiyo maana yake inapelekea kuwa na maana mpya tunapogundua kuwa Kristo alikuwa ni mtumishi wa Mungu ambaye ni Tawi (SHD 6780 tsemach maana yake ni kuchipuza au kupiga au chipukizi).

Kama Henoko, Kristo alikubalika kwa Mungu na Mungu alimchukua. Uzao wake, Kanisa ambalo walikuwa wanaume wa kurupuka au chipukizi au tawi. Dunia haitaanoch Christ was acceptable to God and God took higamizwa hadi kanisa litakapokuwa limetimiliza siku zake na wale 144,000 watakapopigwa mhuri nao na wengine wengi watakapotolewa watoke duniani. Ndipo ule mwisho utakapokuja.

Maana yaje ni kwamba hii inampendeza Mungu na kukubalika na inaongeza siku za mtu za kila mzawa/ kanisa ni familia na uzao wa wateule. Kwa hiyo maezi ya watoto hayamaanishi lazima kuufikia wokovu. Wateule hata hivyo, wanatakiwa wawalee na kuwafundisha warithi wao na kulisaidia taifa. Mchakato huu unauhusiano wa moja kwa moja na kanisa. Ile dunia waliyokuwamo wao

Page 12: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Page 12 Kizazi cha Adamu

kama ilivyojulikana haikuangamizwa hadi Methusela alipotimiliza siku zake na mwaka aliokufa ndio gharika kuu ilipokuja. Kitabu cha Waethiopia cha Historia ya Henoko kinaonekana kufanana na historia nzima yote hadi kipindi cha nyuma cha anguko la malaika na uingilianaji uliojitokeza wa malaika na wanadamu na kinataja Meli nyeupe na meli nyingine kumi na mbili (moja iliyotolewa kwa majeshi menguine, kama ya Yuda) na kukiwa na meli nyingine nyingi zilizotawanyikana hapo. Hii inaonekana wazi kuwa alikuwa anaonyeshwa kanisa (Knibb ibid., p. 195-202ff.).

Methusela akaishi miaka mia na themanini na saba, akamzaa Lameki. 26 Methusela akaishi baada ya kumzaa Lameki miaka mia saba na themanini na miwili, akazaa wana, waume na wake. 27 Siku zote za Methusela ni miaka mia kenda na sitini na kenda, akafa.

Methusela akamuacha wanae Lameki. Maana ya jina Lameki yatakuwa yamepotea kwenye uovu. Wote wawili wanaonekana kama kwa vyovyote vile ni wakomeshaji wa ulimwengu wa zama za kabla ya gharika kuu. Huyu Lameki wa Methusela alikuwa ndiye baba wa Nuhu na Lameki wa mstari wa Kaini pia ni baba wa Naama, ambaye Rashi anaamini kuwa alikuwa ni mke wa Nuhu na kwa hiyo anaunganisha pande zote mbili. Wana wakengeufu na waabudu sanamu wa Ada wanaaminika kuwa walikufa na ni yeye tu peke yake kutoka upande ule aliyeokoka. Huenda haya ni mafundisho tu ya marabi ya Roshi akielezea kilichotokea baada wa Wanefili baada ya gharika kuu.

Lameki akaishi miaka mia na themanini na miwili, akazaa mwana. 29 Akamwita jina lake Nuhu, akinena, Huyu ndiye atakayetufariji kwa kazi yetu na kwa taabu ya mikono yetu katika nchi aliyoilaani Bwana. 30 Lameki akaishi baada ya kumzaa Nuhu miaka mia na tisini na mitano, akazaa wana, waume na wake. 31 Siku zote za Lameki ni miaka mia saba na sabini na saba, akafa. 32 Nuhu alikuwa mwenye miaka mia tano, Nuhu akawazaa Shemu, na Hamu, na Yafethi.

Siku za Lameki ni jumla ya miaka mia saba na sabini na saba ambao ni mlolongo kamili na timilifu na unasimama kwenye mkanganyo wa moja kwa moja ulio kinyume na tarakimu ya mnyama au ya Shetani ya mia sita sitini na sita. Mchakato wa kitarakimu ya Kiutatu au ya mnyama haupo tu kuwa ni kitu kilichoanzishwa katika kaanisa la karne ya

kwanza. Mkanganyo na tofauti iliyopo ni ile inayosimama kama Shetani na itikadi yake dhidi ya kanisa na imani halisi ya Mungu chini ya Masihi. Matokeo ya mwisho ya mlolongo ule wa uzao ulikuwa ni mwandamano kamili wa wana wa Mungu.

Kama alivyofanya kwa suala la gharika kuu, Mungu atafanya maangamizo kuiangamiza dunia katika siku za mwisho na ndipo hadithi yote itafikia kkomo chake kutoka mwanzo hadi mwisho wake na kueleweka kirahisi kwa mafundisho ya manabii wa siku za mwisho na Kanisa. Mchakato wa muda hata hivyo unahitimisha mpango wa uumbaji wa jumla ya kipindi cha millennia saba.

Anguko la MalaikaKuelewa Anguko la la Malaika ni jeraha kubwa sana kwa undani sana hakika katika uumbaji wa wanadamu na mwingiliano wa kingono waliouliofanya na binti za wanadamu. Hii imeelezewa kwa kina kwenye jarida la Wanefili (Na. 154) [The Nephilim (No. 154)] lakini imeelezwa hapa katika uhusiano na maandiko ya kitabu cha Mwanzo na maandiko mengine ya marabi na inavyoonekana kwenye Fundisho la Asili au Chanzo cha Dhambi.

Mwanzo 6:1-8 Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao, 2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua. 3 Bwana akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini. 4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile;tena ,baada ya hayo ,wana wa Mungu walipoingia kwa binti za binadamu,wakazaa nao wana;hao ndiyo waliokuwa watu hodari zamani ,watu wenye sifa. 5 Bwana akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote. 6 Bwana akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani, akahuzunika moyo. 7 Bwana akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya. 8 Lakini Nuhu akapata neema machoni pa Bwana.

Andiko lililoko kwenye Mwanzo 5:32 linaonyesha kuwa Nuhu alikuwa na umri wa miaka mia tano alipowazaa kina Shemu,

Page 13: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Kizazi cha Adamu Page 13

Hamu na Yafethi. Kuna maelezo yanayotolewa na marabi kuhusu sababu mbalimbali kuhusu kuchelewa kuzaa kwa Nuhu. Moja wapo nay a muhimu kuhusu kuchelewa kwake ilikuwa ni kwa sababu za kusafisha uzao chafu uliokuwepo kati ya mpya wa kwake na ule wa zamani pamoja na imani zao na uadilifu wao wa matendo yao yaliyokuwa nyakati za Nuhu. Rashi anaamini kwamba wakati Yafethi alikuwa mzaliwa wa kwanza, Shemu ametajwa kwanza kwa kuwa alikuwa ni mtu mwenye haki na inasemekana kwamba alizaliwa akiwa ametahiriwa (sawa na anavyosema Soncino). Hii ni ishara inayoonyesha agano la Ibrahimu na inaonyesha kwamba uhusiano ulijulikana na marabi kabla ya gharika kuu. Na ndiyo maana kwa mtazamo huu tunaona kwamba imani kuhusu Sheria za Nuhu sio sahihi (sawa na linavyosema jarida la Melkizedeki (Na. 128)).

Kwenye andiko la Mwanzo 6:1 tunaona kwamba mafundisho ya marabi yana rahibu kwa namna yoyote ile. kwenye aya ya kwanza Rashi anafafanua kuhusu hawa wana wa Mungu ambao wana wa elohim na kwa mtazamo huu Rashi anaona hawa kuwa ni wana wa wafalme na wakuu ambao elohim anaonyesha kusimama imara na Mungu na kwa hiyo kuwa ni uongozi au mamlaka na inafanya rejea yake kwenye Kutoka 4:16; 7:1. Walipaswa kuilinda imani lakini walifanya machafuko ya dhahiri. Nachmanides anakubaliana na mtazamo huu (sawa na Soncino). Haya ni matumizi ya Elohim ambapo kila misimamo ni imara kwa Eloa. Jambo la kuelewa ni hili, kwamba elohim ni jina la uwingi la mjumuisho wa jamaa ya Mungu.

Rab. Judan anaamini kuwa kwa kusema maneno ambayo ni haki ya ius primae noctis ililazimishwa kuliko mtemi au chifu; aliyechukua kwa nguvu yeyote waliyemchagua (anasema Nachmanides sawasawa na Soncino).

Mtazamo wa marabi ulikuwa ni kwamba Mungu alitajwa kuwa ni Roho ya Kimbinguni na asingeweza tena kabisa kuishi na wanadamu kwa ajili ya upunguzaji huu

wa siku za kuishi. Mwanadamu alipewa miaka 120 ikiwa ni kipindi cha kutubu na kumrudia. Hivyo basi, tangu mwanzo wa kukua alikuwa na yubile mbili kamili kabla ya maangamizo. Kipindi hiki cha mpito kitatolewa tena kwenye ufufuo wa pili wa wafu ili kuwapa wote fursa ya kutubu (soma Isaya 65:20).

Mwanzo 6:4 kwa hiyo inaendelea kushughulika na Wanefili na hapa mamlaka ya marabi yanafanya mrejeo hadi nyuma kwenye uelewa alisia wa andiko linalowaelezea Malaika walioasi. Rashi anaamini kuwa waliitwa Wanefili kwa kuwa “walianguka” (naphal) na pia waliisababishia dunia kuanguka. Ibn Ezra anaamini pia kuwa mioyo ya wale waliowaona ilisisimka kwa mshangao kwa kuona urefu wao wa kushangaza.

Neno lililoambishwa kwenye siku hizo linakitaja kizazi cha Enoshi nna wana wa Kaini. Rashi anarejea nyuma kwenye wasifa wa kale na kwamba neno hili linahusiana na pia kwenye uharibifu wa kizazi cha Enoshi na kile cha tatu cha dunia kiliangamizwa na bahari iliyovunja kuta na kingo zake lakini bado hawakutubu. Ibn Ezra analifafanua andiko hili kuwa ni baada ya gharika kuu. Nachmanides anaamini mtazamo usemao kwamba ama ni wake wa watoto wa Nuhu wanaweza kuwa walitokana na uzao huo na ndiyo maana watoto walio wazaa walikuwa warefu na wakupendeza au mfano wao ulikuwa ni Ogu mfalme wa Bashani alikuwa ni mmoja wao na aliepuka gharika na wengine wengi pamoja naye (anasema Soncino).

Nachmanides anatafsiri kifungu hiki kuwa kinawaashiria Adamu na Hawa kuwa ndiyo alitajwa kuwa ni wana au watoto wa Mungu pamoja na Sethi na Henoko na anashikilia kuamini kuwa Wanefili walikuwa “watu dhaifu.” Ananukuu pia na kuthibitisha fafanuzi zilizotolewa na R. Eliezar Mkuu, ambazo zinapatikana katika Midrash, zisemazo kwamba Wanefili walikuwa ni malaika alioanguka kutoka mbinguni mahali ilipo maskani yao na anaichukulia hii kuwa ni maana sahihi na inayomaanisha zaidi.

Page 14: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Page 14 Kizazi cha Adamu

Sforno anajaibu kuyawekea ukomo maneno ya nyakati hizo hadi kwenye siku za toba.

Rashi anaamini kuwa neno hili linalosema binti za wanadamu linamaanisha kwamba walizaa majitu kama wao wenyewe. Usemi wa “watu hodari” unamaana kuwa walikuwa walikuwa hodari kwenye matendo maovu na uasi kwa Mungu (wanaamini hivyo Rashi na Soncino).

Usemi wa kwamba watu wenye sifa (shem) maana yake walikuwa ndio watu walioleta ukengeufu na uharibifu (shemamon) duniani.

Rashi anaamini kuwa usemi wa kwamba ilimtubia (wayinnachem) Bwana kwenye aya ya 6 maana yake ilikuwa inamhurumia yule ambaye hakuwaumba watu kuwa ni viumbe muhimu kana kwamba ndiye angeweza kuanzisha uasi katikati ya malaika. Andiko hili linajulikana na wengine kuwa kama la kianthropomofia. Korani inasema kuwa Ibilisi (Shetani) aliasi kwa sababu ya wivu wa kuumbwa kwa mwanadamu. Mwanadamu hakuumbwa kwa umbo la kimbinguni ili kwamba Malaika wajaribiwe kwa imani.

Nachmanides anafafanua kwamba nexno moyoni mwake linamaana kwamba hakumtuma nabii kuwaonya. Neno kusema wote wanadamu na mnyama linaaminika kuwa huenda linamaanisha kwamba wanyama walikuwa pia wameharibika. Ni Nuhu tu ndiye alipata rehema au neema machoni pa Mungu (wanasema kina Nachmanides na Soncino).

Mamlaka za marabi ndizo zimeendelea hadi mwishoni mwa aya ya 8 kudai kwamba Haphtarah Bereshith imechukuliwa kutoka kwenye Isaya 42:5-43:10 kuanzia inaposema “Bwana asema hivi.” Andiko hili ni la muhimu katika kushughulikia masuala ya wokovu na marejesho mapya ia Israeli. Ni wazi kabisa kwenye utaratibu huu kuwa marejesho mapya ya Israeli katika siku za mwisho yanaonekana kuwa ni jambo linaloendana na mchakato wa kuuelewa uumbaji hadi kipindi cha gharika kuu na usafishaji wa dunia. Jambo hili ni somo kwa

haki yake yenyewe.

Tulichonacho hapa kwenye andiko la aya za kitabu cha Mwanzo ni kwamba mnyororo mzima wa uzao wa wana wa Adamu ulikuwa umeharibiwa na hawa Maaika walioasi na kwamba walipaswa tu kuangamizwa na Nuhu tu ndiye alikuwa mkamilifu katika nj9ia zake kwenye kizazi hiki chote.

Wazo lililokuwepo hapa ni kwamba mwanamke alidanganyika na kuanguka na ataokolewa na mtoto aliyemzaa na kumbeba.

1Timotheo 2:13-15 Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye. 14 Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa. 15 Walakini ataokolewa kwa uzazi wake, kama wakidumu katika imani na upendo na utakaso, pamoja na moyo wa kiasi.

Tumeona kwamba wokovu haujalishi wala kutegemea na kuzaa kwa mtoto hasa kwa mtu mmoja mmoja anayelitaja kanisa na kuanzisha kwa taifa na kuwafundisha wateule walio kwenye imani ile. Mungu ametuweka na kutufana kuwa familia (Mathayo 12:50; Waefeso 3:15).

Kunamashaka kutoka hapa na kwenye aya za Yuda 6 na pia 1Wakorintho 11:10 (sawa na Mwanzo 24:65) malaika walijulikana kuwa waliharibu uumbaji na viumbe waliokuwemo. Wanawake walifunikwa vitambaa kwa sababu ya dhambi hii ya kwanza ya mapema hata kabla ya andiko hili la Mwanzo na uingilianaji wa malaika wote na viumbe wanadamu.

Kusudi la uumbaji lilikuwa ni ili kwamba Mungu ajipanue mwenyewe na hatimaye awe ni yote katika yote na ndani ya yote kwa viumbe wote ni kama ilivyotakiwa kuenea kwenye muundo wa kifamilia pasipo mwingilio wa hawa malaika. Muundo wa dhambi ya sili uliingiliwa na kuharibiwa kwa mwanadamu na ndiyo maana Augustine wa Hippo alikosea kwenye uelewa wake kuhusu makusudi na nia ya maandiko yaliyo kwenye sura sita za kwanza za kitabu cha Mwanzo. Mlolongo wa vizazi vya Adamu unaonyesha kwamba wokovu unaoweka utaratibu kwa watu wazima unaendelea mbele hadi kwenye

Page 15: Kizazi cha Adamu [248] - kiswahili.ccg.orgkiswahili.ccg.org/weblibs/study-papers-word/p248.doc · Web viewMakanisa Ya Kikristo Ya Mungu [248] Fundisho la Asili ya Dhambi. Sehemu ya

Kizazi cha Adamu Page 15

mchakato vizazi vilivyofundishwa vya kutosha na wana. Kwa hiyo dhana ya dhambi ya asili haiwezi kuwaokoa au kuleta wokovu kwa mtoto mdogo. Tutaandika kuelezea au

kufafanua kiwango cha Mafundisho.