katiba ya chama cha mapinduzi 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na...

212
KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977 TOLEO LA 2010 BEI SH.500/- KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 1

Upload: others

Post on 22-Sep-2020

17 views

Category:

Documents


2 download

TRANSCRIPT

Page 1: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI

1977

TOLEO LA 2010

BEI SH.500/-

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 1

Page 2: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 2

Page 3: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

KATIBAYA

CHAMA CHA MAPINDUZI

1977

TOLEO LA 2010

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 3

Page 4: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 4

Page 5: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Toleo hili la Katiba ya Chama ChaMapinduzi la 2010 ni Toleo la Kumina Nne tangu Katiba hii itungwe kwamara ya kwanza mwaka 1977.

Kwa hali hii ni Toleo ambalolimezingatia na kuweka pamojamarekebisho yaliyofanywa katikaKatiba ya Chama Cha Mapinduzi ya1977 matoleo ya 1980, 1982, 1984,1987, 1990, Machi 1992,Septemba1992, 1994, 1995, 1997 ,2005 na 2007.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 5

Page 6: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 6

Page 7: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi i

YALIYOMO

Uk.1. Azimio la Mkutano Mkuu wa Taifa wa

pamoja wa TANU na ASP ........................1

2. SEHEMU YA KWANZA:-Jina, Imani na Madhumuni .......................5

3. SEHEMU YA PILI:-Wanachama na Uongozi..........................11

4. SEHEMU YA TATU:-(i) Vikao vya Shina ..............................21(ii) Vikao vya Tawi ................................29(iii) Vikao vya Kata/Wadi .......................51(iv) Vikao vya Jimbo ..............................73(v) Vikao vya Wilaya..............................93(vi) Vikao vya Mkoa...............................121(vii) Vikao vya Taifa ..............................149

5. SEHEMU YA NNE:-Wazee na Jumuiya za Wananchi ..........195

6. SEHEMU YA TANO:-Mengineyo ..........................................197

7. Ahadi za Wanachama wa Chama cha Mapinduzi .........................201

8. Katiba, Kanuni na Taratibu za Utekelezaji .......................................202

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 7

Page 8: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 8

Page 9: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 1

KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI

AZIMIO LA MKUTANO MKUU WA TAIFAWA PAMOJA WA TANU NA ASP

Kwa kuwa Mkutano Mkuu wa Taifa wa pamoja, kwaniaba ya Wana-TANU na Wana-ASP, kwa pamojaunaelewa na kukubali kwamba jukumu letu katikaHistoria ya Taifa ni kuimarisha Umoja, kuletaMapinduzi ya Kijamaa Tanzania na kuendelezamapambano ya Ukombozi katika Afrika na koteduniani;

Kwa kuwa tunatambua kuwa Mapambano ya KujengaUjamaa katika Tanzania na kushiriki kwetu kwaukamilifu katika harakati za Mapinduzi ya Afrika naDunia kunahitaji Chombo madhubuti chauongozi kinachounganisha fikira na vitendo vyawafanyakazi na wakulima;

Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri yakimapinduzi na ya mafanikio makubwailiyokwishafanywa na TANU na ASP katikakumwondoa Mwafrika kutoka kwenye unyonge wakunyonywa, kunyanyaswa na kudharauliwa nakumfikisha kwenye uhuru na kuheshimiwa;

Kwa kuwa tunatambua kuwa Umoja wa TANU na ASPunatokana na ushirikiano wetu wa miaka mingi tanguwakati wa Mapambano ya kupigania Uhuru hadi sasa,na unatokana pia na Siasa yetu moja ya Ujamaa naKujitegemea;

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 9

Page 10: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi2

Kwa kuwa tunatambua pia kwamba kuweko kwaVyama viwili katika mazingira ya Chama kimoja chaSiasa kunapunguza upeo wa Nguvu na Umoja wetukatika kuendeleza mapambano ya kujenga ujamaanchini na kushiriki kwa pamoja kwa ukamilifu katikaharakati za mapinduzi ya Tanzania, ya Afrika na yadunia;

Kwa kuwa, kihistoria, tumeongozwa na kumbukumbuya kitendo kama hiki cha kimapinduzi na busaraambacho Waanzilishi wa TANU, chini ya Uongozi waMwalimu Julius K. Nyerere walikifanya hapo awali chakuvunja Chama cha African Association na kuundaTANU, na waanzilishi wa ASP chini ya uongozi waMarehemu Abeid Amani Karume, walikifanya hapoawali cha kuvunja Vyama vya African Association naShiraz Association na kuunda ASP, shabaha yao woteikiwa ni kuunda Chama kipya madhubuti na chakimapinduzi chenye uwezo mkubwa zaidi wakuongoza mapambano ya wananchi wetu katikamazingira mapya ya wakati huo.

Kwa hiyo basi:-

(1) Sisi wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wapamoja wa TANU na ASP tuliokutana leotarehe 21 Januari, 1977 mjini Dar es Salaam,chini ya uongozi wa pamoja wa Mwalimu JuliusK. Nyerere Rais wa TANU na Ndugu AboudJumbe, Rais wa ASP, kwa kauli moja tunaamuana kutamka rasmi kuvunjwa kwaTanganyikaAfrican National Union (TANU) na

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 10

Page 11: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 3

Afro Shirazi Party (ASP) ifikapo tarehe 5Februari, 1977, na wakati huo huo kuundwakwa Chama kipya cha pekee na chenye uwezowa mwisho katika mambo yote kwa mujibu waKatiba.

(2) Vyama vya TANU na ASP vinavunjwa kwataadhima kubwa. TANU na ASP havikuamuakujivunja kama vyama kwa kuwa vimeshindwakutekeleza jukumu lao. Kwa hakika TANU naASP ni Vyama vilivyopata mafanikio ya kipekeekatika Afrika katika kulitekeleza jukumu lakihistoria na mafanikio hayo ndiyo leoyamewezesha kitendo hiki cha Vyama viwilikujivunja vyenyewe. TANU na ASPvitaheshimiwa siku zote kama viungo muhimukatika Historia ya Mapambano ya Ukomboziwa Taifa letu na wa Bara la Afrika, nawaanzilishi wa TANU na ASP watakumbukwadaima kama mashujaa wa taifa letuwaliotuwezesha leo kupiga hatua hii yakufungua ukurasa mpya katika Historia yaTanzania.

(3) Tumeamua kwa pamoja kuunda Chama kipyacha kuendeleza mapinduzi ya kijamaa nchiniTanzania na Mapambano ya Ukombozi waAfrika juu ya misingi iliyojengwa na TANU naASP.

Chama tunachokiunda tunataka kiwe chombomadhubuti katika muundo wake na hasa katika fikra

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 11

Page 12: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 4

zake na vitendo vyake vya kimapinduzi vya kufutiliambali aina zote za unyonyaji nchini, na kupambana najaribio lolote lile la mtu kumuonea mtu au shirika auchombo cha nchi kuonea na kudhalilisha wananchi,kudhoofisha uchumi au kuzorotesha maendeleo yaTaifa;

Chama tunachokiunda tunataka kishike barabarahatamu za uongozi wa shughuli zote za umma kwamaslahi ya Wafanyakazi na Wakulima wa Taifa letu;

Chama tunachokiunda tunataka kiwe kiungo kati yaWanamapinduzi wa Tanzania na Wanamapinduziwenzetu kokote waliko.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 12

Page 13: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 5

SEHEMU YA KWANZA

JINA, IMANI NA MADHUMUNI

1. Jina la Chama litakuwa CHAMA CHAMAPINDUZI, kwa kifupi CCM.

2. Makao Makuu ya CCM yatakuwa Dodoma nakutakuwa na Afisi Kuu ya Chama ChaMapinduzi Zanzibar na Ofisi Ndogo ya MakaoMakuu Dar es Salaam.

3. Bendera ya CCM itakuwa na rangi ya kijanikibichi, ambayo itakuwa na alama ya Jembe(alama ya mkulima) na Nyundo (alama yamfanyakazi) kwenye pembe ya juu upande wamlingoti.

4. Chama Cha Mapinduzi kinaamini kwamba:(1) Binadamu wote ni sawa.

(2) Kila mtu anastahili heshima yakutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.

(3) Ujamaa na Kujitegemea ndiyo njiapekee ya kujenga jamii ya watu waliosawa na huru.

5. Kwa hiyo Malengo na Madhumuni ya CCMyatakuwa yafuatayo:-(1) Kushinda katika Uchaguzi wa Serikali

Kuu na Serikali za Mitaa Tanzania Bara

Jina la Chama

Makao Makuuya Chama

Bendera yaCCM

Imani ya CCM

Malengo naMadhumuni yaCCM

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 13

Page 14: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi6

na Zanzibar ili kuunda na kushikaSerikali Kuu na Serikali za Mitaa katikaJamhuri ya Muungano wa Tanzaniakwa upande mmoja na Zanzibar kwaupande wa pili.

(2) Kulinda na kudumisha Uhuru wa Nchiyetu na raia wake.

(3) Kuhimiza ujenzi wa Ujamaa naKujitegemea kwa mujibu wa Azimio laArusha.

(4) Kusimamia utekelezaji wa Siasa yaCCM pamoja na kuendeleza fikra zaviongozi waasisi wa vyama vya TANUna ASP, kama zilivyofafanuliwa katikamaandiko mbali mbali ya Vyama hivyo

.(5) Kuona kwamba kila mtu anayo haki ya

kupata kutoka katika Jamii hifadhi yamaisha yake na mali yake kwa mujibuwa sheria.

(6) Kuona kwamba katika Nchi yetu kilamtu aliye na uwezo wa kufanya kazianafanya kazi; na kazi maana yake nishughuli yoyote halali inayompatia mturiziki yake.

(7) Kusimamia haki na maendeleo yaWakulima, Wafanyakazi na wananchi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 14

Page 15: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 7

wengine wenye shughuli halali zakujitegemea; na hasa kuona kwambakila mtu ana haki ya kupata malipoyanayostahili kutokana na kazi yake.

(8) Kuona kwamba kwa kutumia Vikaovilivyowekwa, raia anayo haki yakushiriki kwa ukamilifu katika kufikiauamuzi wa mambo ya Taifa nayanayomhusu, na kwamba anaouhuru wa kutoa mawazo yake, wakwenda anakotaka, wa kuamini Dinianayotaka na kukutana na watuwengine,maadamu havunji Sheria auTaratibu zilizowekwa.

(9) Kuona kwamba Nchi yetu inatawaliwakwa misingi ya kidemokrasia na yakijamaa.

(10) Kuhifadhi, kukuza na kudumisha imanina moyo wa kimapinduzi miongonimwa Watanzania pamoja na ushirikianona wanamapinduzi wenzetu kokotewaliko.

(11) Kuweka na kudumisha heshima yabinadamu kwa kufuata barabara Kanuniza Tangazo la Dunia la Haki zaBinadamu.

(12) Kuona kwamba Dola inakuwa Mhimiliwa Uchumi wa Taifa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 15

Page 16: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi8

(13) Kuona kwamba Serikali na Vyombovyote vya Umma vinasaidia kwavitendo kuanzishwa na kuendelezashughuli za Ushirika na za ujamaa, nashughuli nyinginezo halali za wananchiza kujitegemea.

(14) Kuona kwamba matumizi ya utajiri waTaifa yanatilia mkazo maendeleo yaWananchi na hasa jitihada zakuondosha umasikini, Ujinga naMaradhi.

(15) Kuona kwamba Serikali na vyombovyote vya umma vinatoa nafasi zilizosawa kwa raia wote, wanawake nawanaume bila kujali rangi,kabila, Dini, au hali ya mtu.

(16) Kuona kwamba katika nchi yetu hakunaaina yoyote ya dhuluma, vitisho,ubaguzi, rushwa, uonevu na/auupendeleo.

(17) Kuendelea kupiga vita UkoloniMamboleo, Ubeberu na Ubaguziwa aina yoyote.

(18) Kuimarisha uhusiano mwema naVyama vyote vya Siasa vya Nchinyingine vyenye itikadi kama ya CCMambavyo kweli vinapinga Ukoloni,

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 16

Page 17: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 9

Ukoloni Mamboleo, Ubeberu naUbaguzi wa aina yoyote.

(19) Kushirikiana na Vyama vingine katikaAfrika, kwa madhumuni ya kuletaUmoja wa Afrika, na kuona kwambaSerikali inaendeleza na kuimarishaujirani mwema.

5 A. Katika katiba hii, maneno yafuatayoyatakuwa na maana inayoonyeshwa kwa kilaneno linalohusika:

‘Wabunge wa aina nyingine’ maana yake niWabunge wa Viti Maalum, Wabunge wakuteuliwa pamoja na Wabunge wa Bunge laAfrika Mashariki, wanaotokana na CCM.

‘Wawakilishi’ maana yake ni Wajumbe waBaraza la Wawakilishi la Zanzibar wanaotokanana CCM.

‘Kanuni zinazohusika’ maana yake ni Kanuni zaCCM zinazohusika, zilizoorodheshwa katikaNyongeza ‘B’ ya Katiba hii.

Kwa ajili ya kuondoa utata unaowezakujitokeza, inafafanuliwa zaidi kwamba endapoKanuni yoyote itaonekana kuwa inapingana naMasharti ya Katiba hii, masharti ya Katibandiyo yatakayofuatwa.

Ufafanuzi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 17

Page 18: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 18

Page 19: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 11

SEHEMU YA PILI

WANACHAMA NA VIONGOZI

FUNGU LA 1:

WANACHAMA

6. Kila mtu aliyekuwa mwanachama wa TANU auwa ASP mara kabla ya kuvunjwa kwa Vyamahivyo, na aliyekuwa anatimiza masharti yaUanachama wake, atakuwa mwanachama waChama Cha Mapinduzi, isipokuwa kamaatakataa mwenyewe.

7. Raia yeyote wa Tanzania mwenye umriusiopungua miaka 18, anaweza kuwaMwanachama wa Chama Cha Mapinduziiwapo anakubali Imani, Malengo naMadhumuni ya CCM.

8. Mtu atakayekubaliwa kuingia katika CCM, aukuendelea kuwa Mwanachama, ni yuleanayetimiza Masharti yafuatayo:-(1) Kuwa mtu anayeheshimu watu.

(2) Kuwa mtu anayefanya juhudi yakuielewa, kuieleza, kuitetea nakuitekeleza Itikadi na Siasa ya CCM.

WanachamaWaasisi

WanachamaWapya

Masharti yaUanachama

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 19

Page 20: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi12

(3) Kuwa mtu mwenye kuamini kuwa kazini kipimo cha Utu, na kuitekeleza imanihiyo kwa vitendo.

(4) Kuwa mtu anayependa kushirikiana nawenzake.

(5) Kuwa mtu ambaye siku zote yukomstari wa mbele katika utekelezaji wamambo yote ya Umma, kulingana naMiongozo ya CCM.

(6) Kuwa wakati wote ni mfano wa tabianzuri kwa vitendo vyake na kauli yake,kuwa mwaminifu na kutokuwa mlevi aumzururaji.

(7) Kuwa ama Mkulima, Mfanyakazi, aumwenye shughuli nyingine yoyote halaliya kujitegemea.

9. Mtu atakayetaka kuwa Mwanachama atajazafomu ya maombi na kuipeleka kwa Katibu waTawi anapoishi.

10. Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCMya Tawi itafikiria na kutoa uamuzi wa mwishokuhusu maombi ya Uanachama.

11. CCM itakuwa na Mpango wa kutoa Mafunzokwa wanachama wake juu ya Imani, Malengona Madhumuni ya Siasa ya CCM kwa jumla.

Utaratibu wakuombaUanachama

Utaratibu wakufikiriamaombi yaUanachama

Mafunzo kwaWanachama

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 20

Page 21: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 13

12. (1) Mtu akikubali kuwa Mwanachamaitabidi atekeleze haya yafuatayo:-

(a) Atatoa kiingilio cha Uanachama.

(b) Atalipa ada ya Uanachama kila mwezi isipokuwa kama akipendaanaweza kulipa ada ya mwaka mzimamara moja.

(c) Atatoa michango yoyoteitakayoamuliwa.

(2) Viwango vya kiingilio, ada na michangovitawekwa na Halmashauri Kuu ya Taifa.

13. (1) Uanachama wa mwanachamautakwisha kwa:-

(a) Kufariki.

(b) Kujiuzulu mwenyewe.

(c) Kuachishwa kwa mujibu wa Katiba.

(d) Kufukuzwa kwa mujibu wa Katiba.

(e) Kutotimiza masharti ya uanachama.(f) Kujiunga na Chama kingine chochote

cha siasa.

(2) Mwanachama ambaye uanachamawake unakwisha kwa sababu yoyote ilehatarudishiwa kiingilio alichokitoa, adaaliyotoa wala michango yoyotealiyoitoa.

Kiingilio naAda za Uanachama

KuondokakatikaChama

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 21

Page 22: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi14

(3) Mwanachama aliyeachishwa aukufukuzwa Uanachama akitaka kuingiatena katika CCM, itabidi aombe upya,na atapeleka maombi yake hayo amakatika Halmashauri Kuu ya Wilaya amakikao kilichomwachisha au kumfukuzaUanachama.

(4) Mwanachama aliyejiuzulu akitakakuingia tena katika CCM ataombaupya kwa kufuata utaratibu wa kuombaUanachama kwa mujibu wa Katiba yaCCM.

14. Mwanachama yeyote atakuwa na hakizifuatazo:-

(1) Haki ya kushiriki katika shughuli zote zaCCM kwa kufuata utaratibu uliowekwa.

(2) Haki ya kuhudhuria na kutoa maoniyake katika mikutano ya CCM paleambapo anahusika kwa mujibu waKatiba.

(3) Haki ya kuomba kuchaguliwa kuwaKiongozi wa CCM na ya kuchaguaviongozi wake wa CCM kwa mujibu wa Katiba, Kanuni na Taratibu za CCM.

(4) Haki ya kujitetea au kutoa maelezo yakembele ya Kikao cha CCM

Haki zaMwanachama

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 22

Page 23: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 15

kinachohusika katika mashtaka yoyoteyaliyotolewa juu yake, pamoja na hakiya kukata rufani ya kwenda katika Kikaocha juu zaidi cha CCM kama kipoendapo hakuridhika na hukumuiliyotolewa.

(5) Haki ya kumuona kiongozi yeyote waCCM maadam awe amefuata utaratibuuliowekwa.

(6) Haki ya kupiga Kura yake ya Maoni kwawagombea wa CCM wa nafasi zaUdiwani wa Kata/Wadi, Ubunge naUwakilishi wa Jimbo kwa kufuatamasharti ya Kanuni za CCM.

15. Kila Mwanachama atakuwa na wajibuufuatao:-(1) Kujua kwamba Chama Cha Mapinduzi

ndicho chenye nguvu, uwezo nakwamba nguvu hizo zinatokana naumoja wa Wanachama, fikira sahihi zaCCM na kukubalika kwake na umma.Kwa hiyo kulinda na kuendelezamambo hayo ni Wajibu wa kwanza wakila Mwanachama.

(2) Kutumikia nchi yake na watu wake wotekwa kutekeleza wajibu wake bila hofu,chuki wala upendeleo wa nafsi yake,rafiki au jamaa.

Wajibu waMwanachama

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 23

Page 24: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi16

(3) Kujitolea nafsi yake kuondoshaUmasikini, Ujinga, Maradhi naDhuluma, na kwa jumla kushirikianana wenzake wote katika kujenga Nchiyetu.

(4) Kuwa wakati wote mkweli, mwaminifuna raia mwema wa Tanzania.

(5) Kukiri kwa imani na kutekeleza kwavitendo Siasa ya CCM ya Ujamaa naKujitegemea.

(6) Kujielimisha kwa kadiri ya uwezo wake,na kutumia elimu hiyo kwa faida yawote.

(7) Kuwa tayari kujikosoa na kukosolewa ilikuweza kuwa na msimamo sahihi wasiasa ya CCM.

(8) Kuwa wakati wowote hadaiwi adazozote za Uanachama.

(9) Kuhudhuria mikutano ya CCMinayomhusu.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 24

Page 25: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 17

FUNGU LA II

VIONGOZI

16. Kiongozi wa CCM ni kila Mwanachamamwenye dhamana yoyote katika CCMaliyechaguliwa au kuteuliwa kwa mujibu waKatiba.

17. Pamoja na kutimiza masharti ya Uanachamakama yalivyoelezwa katika Katiba, Kiongozisharti pia awe na sifa zifuatazo:-

(1) Awe ni mtu aliyetosheka na asiwe mtualiyetawaliwa na tamaa.

(2) Awe ni mtu anayependa kuenezamatunda ya Uhuru kwa wananchi wotekwa ajili ya manufaa yao na maendeleoya Taifa kwa jumla.

(3) Awe na sifa nyingine kama zilivyowekwakatika Kanuni zinazohusika.

18. Ni mwiko kwa kiongozi:-(1) Kutumia madaraka aliyopewa ama kwa

ajili ya manufaa yake binafsi au kwaupendeleo, au kwa namna yoyoteambayo ni kinyume cha lengolililokusudiwa madaraka hayo.

Maana yaKiongozi

Sifa zaKiongozi

Miiko yaKiongozi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 25

Page 26: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi18

(2) Kupokea mapato ya kificho, kutoa aukupokea rushwa, kushiriki katikamambo yoyote ya magendo au mambomengine yaliyo kinyume cha lengolililokusudiwa madaraka hayo.

(3) Miiko mingine ya Viongozi itakuwakama ilivyowekwa katika Kanunizinazohusika.

19. (1) Uongozi wa kiongozi utakoma kwa:-

(a) Kufariki

(b) Kujiuzulu mwenyewe.

(c) Kuachishwa kwa mujibu waKatiba.

(d) Kufukuzwa kwa mujibu waKatiba.

(e) Kung’atuka /kuacha kazi.

(f) Kujiunga na chama kinginechochote cha siasa.

(2) Kiongozi aliyeachishwa au kufukuzwauongozi anaweza kuomba tena nafasiya uongozi wowote na maombi yakeyatafikiriwa na kutolewa uamuzi nakikao kilichomwachisha au kumfukuzauongozi.

Kuondokakatikauongozi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 26

Page 27: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 19

20. (1) Mwanachama anayeomba nafasi yauongozi wa aina yoyote katika CCMhatakubaliwa kuwa amechaguliwa mpaka aweamepata zaidi ya nusu ya kura halali zilizopigwa.

(2) Katika uchaguzi wa kujaza nafasi nyingikwa pamoja, ushindi utahesabiwa kwa kufuatawingi wa kura alizopata mwombaji wa nafasihiyo zaidi ya wenzake, bila kujali kama kurahizo zinafikia nusu ya kura halali zilizopigwa.

(3) Kanuni za Uchaguzi wa CCM zitawekavifungu mahsusi, vitakavyowezesha uwakilishiwa Wanawake katika vikao vya CCM hatimayekuwa si chini ya asilimia 50 ya wajumbe wotewanaochaguliwa kujaza nafasi za makundi,kwa kila ngazi ya uongozi wa Chama.

Kiwango chakura katikauchaguzi waViongozi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 27

Page 28: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 28

Page 29: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 21

SEHEMU YA TATU

VIKAO VYA CCM

FUNGU LA 1:

VIKAO VYA SHINA

21. Kikao cha mwanzo kabisa cha CCM kitakuwani kikao cha Shina. Hapa ndipo kilamwanachama atadhihirisha uanachama wakekwa kutekeleza kwa vitendo wajibu wake wauanachama. Aidha hapa ndipo alamazinazokitambulisha Chama kama vile bendera,zitakapoanzia kutumika.

22. (1) Kutakuwa na aina zifuatazo zaMashina:-

(i) Mashina ya Ndani ya Nchi:-

(a) Mashina yaliyoundwa katikamaeneo ya makazi katikanyumba kumi zilizohesabiwa nakuwekwa pamoja kwamadhumuni ya kuunda shina.

(b) Mashina maalum yaliyoundwakatika Ofisi za CCM, Jumuiya zaWanainchi zinazoongozwa naCCM na Taasisi nyingine zaCCM.

Shina

Aina zaMashina

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 29

Page 30: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi22

(c) Mashina ya Wakereketwa/Maskani yaliyoundwa nawanachama wa CCM katikamaeneo husika, baada yakupata idhini ya Kamati yaSiasa ya Wilaya.

(ii) Mashina ya Nje ya Nchi:-Mashina yaliyoundwa Nje ya Nchikatika maeneo wanakoishi wanachamawa CCM, baada ya kupata idhini yaKamati Kuu ya Halmashauri Kuu yaTaifa.

(2) Ili Wanachama waweze kuunda Shina,idadi yao isiwe chini ya watano.

(3) Kila Shina la eneo la makazi au lililo njeya nchi na kila Shina Maalum litachaguaKiongozi wa Shina kwa mujibu wautaratibu uliowekwa ambaye atajulikanakama Balozi wa Shina. Aidha kila Shinala Wakereketwa/Maskani litachaguaKiongozi wa Shina kwa utaratibuuliowekwa ambaye atajulikana kamaMwenyekiti wa Shina la Wakereketwaau la Maskani.

(4) Kila Shina lenye Wanachamawasiopungua kumi (10) litachaguaKamati itakayoitwa Kamati ya Uongoziya Shina yenye wajumbe watano

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 30

Page 31: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 23

akiwemo Balozi/Mwenyekiti wa Shinahilo. Katibu wa Shina atachaguliwa naKamati ya Uongozi ya Shina.

23. Pamoja na wajibu mwingine wowoteunaowahusu wanachama kwa jumla, kila Shinalitakuwa na wajibu ufuatao:-

(1) Kulinda na kuendeleza Siasa ya CCMkatika Shina.

(2) Kuona kwamba unakuwepo ulinzi nausalama wa umma katika eneo lake.

(3). Kueneza itikadi na Siasa ya CCM katikaShina.

(4) Kutekeleza ipasavyo maamuzi namaagizo ya ngazi za juu ya CCM na yaSerikali pamoja na shughuli nyinginezoza umma.

24. Kutakuwa na vikao vifuatavyo vya CCM katikakila Shina:-

(1) Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shina.

(2) Mkutano wa Wanachama wote waShina.

(3) Kamati ya Uongozi ya Shina pale panapohusika.

25. (1) Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shinautakuwa na wajumbe wafuatao:-

Wajibu waShina

Vikao vyaCCMvya Shina

Mkutano waMwaka waCCMwa Shina

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 31

Page 32: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi24

(a) Balozi/Mwenyekiti wa Shina

(b) Wajumbe wa Kamati ya Uongoziya Shina pale panapohusikakwa mujibu wa Katiba.

(c) Wanachama wengine wote waShina hilo.

(2) Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shinandicho kikao kikuu cha CCM katikaShina.

(3) Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shinautafanyika kwa kawaida mara moja kwamwaka, lakini unaweza kufanyikawakati wowote mwingine endapoitatokea haja ya kufanya hivyo, au kwamaagizo ya vikao vya juu.

(4) Balozi/Mwenyekiti wa Shina ataongozaMkutano wa Mwaka wa CCM wa Shina.Lakini Balozi/Mwenyekiti wa Shinaasipoweza kuhudhuria, Mkutanounaweza kumchagua mjumbemwingine yeyote miongoni mwao kuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutano huo.

26. Kazi za Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shinazitakuwa zifuatazo:-(1) Kufikiria taarifa ya kazi za CCM katika

Shina na kutoa maelekezo yautekelezaji wa Siasa ya CCM kwakipindi kijacho.

Kazi zaMkutanowa Mwaka waCCM wa Shina

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 32

Page 33: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 25

(2) Kuzungumzia mambo yote yanayohusumaendeleo kwa jumla katika Shina.

(3) Kuhakikisha kwamba maazimio namaagizo ya ngazi za juu yanatekelezwaipasavyo.

(4) Unapofika wakati wa uchaguzi,Mkutano wa Mwaka wa CCM wa Shinautashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kumchagua Balozi/Mwenyekitiwa Shina.

(b) Kuwachagua wajumbe waKamati ya Uongozi ya Shinapale panapohusika.

27. (1) Kutakuwa na Mkutano wa Wanachamawote wa Shina kwa kila Shina.

(2) Mkutano wa wanachama wote waShina utazungumzia mambo yenyemaslahi ya CCM na ya wananchi mahalipale Shina lilipo, kama vile shughuli zaUlinzi na Usalama, maendeleo katikaShina na kufikisha mapendekezo yawanachama katika vikao vya juu.

(3) Utawapigia kura za maoni wana-CCMwanaogombea nafasi ya Mwenyekiti waKitongoji/Mtaa wakati wa uchaguzi waSerikali za Mitaa.

Mkutano waWanachamawote wa Shina

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 33

Page 34: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi26

(4) Mkutano wa Wanachama woteutafanyika kwa kawaida si chini yamara moja kwa mwezi.

(5) Kiwango cha mahudhurio katikamikutano ya wanachama wote katikaShina kitakuwa ni zaidi ya theluthi mojaya wajumbe walio na haki yakuhudhuria kikao hicho.

(6) Balozi/Mwenyekiti wa Shina ataongozaMkutano wa wanachama wote waShina lakini asipoweza kuhudhuria,Mkutano utamchagua mjumbemwingine yeyote miongoni mwao kuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutano huo.

28. Kamati ya Uongozi ya Shina palepanapohusika kwa mujibu wa Katiba itakuwana wajumbe wafuatao:-

(1) Balozi/Mwenyekiti wa Shina

(2) Wajumbe wanne wa Kamati ya Uongoziya Shina.

29. Kazi za Kamati ya Uongozi ya Shina zitakuwazifuatazo:-

(1) Kuongoza na kusimamia utekelezaji wamaamuzi yote ya CCM na utendaji kazikatika Shina.

Kamati yaUongozi yaShina

Kazi za Kamatiya Uongozi yaShina

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 34

Page 35: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 27

(2) Kuandaa shughuli za vikao vyote vyaCCM vya Shina.

30. (1) Balozi/Mwenyekiti wa Shina atachaguliwa na Mkutano wa Mwakawa CCM wa Shina.Atakuwa katika nafasi ya Uongozi kwamuda wa miaka mitano, lakini anawezakuchaguliwa tena baada ya muda huokumalizika.

(2) Atakuwa na madaraka ya kuangaliamambo ya CCM na utendaji kazi katikaShina.

(3) Atakuwa kiungo cha wanachama wotekatika Shina.

(4) Atakuwa ndiye mwenezi namhamasishaji mkuu wa Siasa yaCCM katika eneo lake.

(5) Atakuwa na wajibu wa kuwaelezaWanachama maamuzi yote ya CCM,kuwaongoza na kuwashirikisha katikautekelezaji wa maamuzi hayo, nakufikisha mapendekezo ya wanachamakatika vikao vya juu.

(6) Atakuwa na wajibu wa kufuatiliautekelezaji wa mambo yote ya siasakatika Shina lake.

Balozi waShina

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 35

Page 36: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi28

(7) Atakuwa na wajibu wa kujengauhusiano mwema wa wakazi wa Shinalake kwa lengo la kuunda mazingiraya amani na utulivu.

(8) Ataongoza Kamati ya Uongozi ya Shinapale panapohusika.

(9) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkutano waMwaka wa CCM wa Shina, na Mkutanowa Wanachama wote wa Shina.

(10) Katika Mikutano anayoongoza zaidi yakuwa na kura yake ya kawaida,atakuwa pia na kura ya uamuzi, endapokura za wajumbe wanaoafiki nawasioafiki zitalingana.

Isipokuwa kwamba kama Kikaoanachokiongoza ni Kikao chaUchaguzi, Mwenyekiti atakuwa nakura yake ya kawaida tu. Hatakuwa nahaki ya kutumia kura yake ya uamuziendapo kura za Wajumbe zimelingana.Wajumbe wa kikao wataendeleakupiga kura mpaka hapo mshindiatakapopatikana.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 36

Page 37: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 29

FUNGU LA II

VIKAO VYA TAWI

31. (1) Kutakuwa na aina nne za Matawi ya CCM kama ifuatavyo:-

(a) Matawi ambayo yameundwavijijini ambayo yataitwa Matawiya Vijijini.

(b) Matawi ambayo yameundwakatika maeneo wanayoishi watumijini ambayo yataitwa Matawiya Mitaani.

(c) Matawi maalum ambayoyameundwa kwenye Ofisi zaCCM, Taasisi za CCM, naTaasisi nyingine zinazoongozwana CCM.

(d) Matawi ambayo yameundwa njeya nchi yenye wanachama waCCM wengi wanaoishi katikasehemu mbalimbali za nchi hiyona ambao wana Mashina yao.Matawi haya yatafunguliwa kwaidhini ya Kamati Kuu.

(2) Tawi litafunguliwa tu iwapo mahali hapopanapohusika kuna Wanachamawasiopungua hamsini na wasiozidi miasita.

Aina za Matawiya CCM

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 37

Page 38: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi30

32. Kutakuwa na vikao vifuatavyo vya CCM katikakila Tawi:-

(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawi.

(2) Mkutano wa Wanachama wote waTawi.

(3) Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawi.

(4) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Tawi.

(5) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Tawi.

33. (1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawi utakuwa na Wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi.

(b) Katibu wa CCM wa Tawi.

(c) Katibu wa Siasa na Uenezi waTawi.

(d) Katibu wa Uchumi na Fedha waTawi.

(e) Wajumbe wote wa HalmashauriKuu ya CCM ya Tawi.

(f) Mwenyekiti wa Serikali yaKijiji/Mtaa/Kitongoji anayetokanana CCM, anayeishi katika Tawihilo.

Vikao vyaCCMvya Tawi

Mkutano Mkuuwa CCM waTawi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 38

Page 39: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 31

(g) Wajumbe wote wa MkutanoMkuu wa CCM wa Kata/Wadiwaliomo katika Tawi hilo.

(h) Wajumbe wote wa MkutanoMkuu wa CCM wa Wilayawaliomo katika Tawi hilo.

(i) Mabalozi wa Mashina wa Tawihilo.

(j) Wenyeviti wa Mashina yaWakereketwa/ Maskani ya Tawihilo.

(k) Mwenyekiti na Katibu wa Tawiwa Jumuiya inayoongozwa auiliyo jishirikisha na CCM, naMjumbe mmoja mwingineambaye ni Mwanachama waCCM aliyechaguli wa na kilaJumuiya iliyomo katika Tawi hilo.

(l) Diwani anayetokana na CCManayeishi katika Tawi hilo.

(m) Wanachama wengine wote waTawi hilo.

(2) Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawindicho kikao kikuu cha CCM katikaTawi.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 39

Page 40: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi32

(3) Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawiutafanyika kwa kawaida mara mojakwa mwaka, lakini unaweza kufanyikawakati wowote mwingine endapoitatokea haja ya kufanya hivyo au kwamaagizo ya kikao cha juu.

(4) Mwenyekiti wa CCM wa Tawiataongoza Mkutano Mkuu wa CCM waTawi. Lakini Mwenyekiti asipowezakuhudhuria, Mkutano huo unawezakumchagua mjumbe mwingine yeyotemiongoni mwao kuwa Mwenyekiti wamuda wa Mkutano huo.

34. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawizitakuwa zifuatazo:-

(1) Kupokea na kujadili Taarifa ya Kazi zaCCM katika Tawi, iliyotolewa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Tawi nakutoa maelekezo ya utekelezaji waSiasa ya CCM kwa kipindi kijacho.

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio namaagizo ya ngazi za juu yanatekelezwaipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yote yanayohusuUlinzi na Usalama na Maendeleo kwajumla katika Tawi hilo.

(4) Unapofika wakati wa uchaguzi,Mkutano Mkuu wa CCM wa Tawi

Kazi zaMkutanoMkuu wa CCMwa Tawi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 40

Page 41: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 33

utashughulikia mambo yafuatayo:-(a) Kumchagua Mwenyekiti wa

CCM wa Tawi.

(b) Kuwachagua wajumbe watanowa kuhudhuria Mkutano Mkuuwa CCM wa Kata/Wadi.

(c) Kumchagua mjumbe mmoja wakuhudhuria Mkutano Mkuu waCCM wa Jimbo na wa Wilaya.

(d) Kuwachagua wajumbe kumi wakuingia katika Halmashauri Kuuya CCM ya Tawi.

(5) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuu waCCM wa Tawi kwa kadriitakavyoonekana inafaa.

35. (1) Kutakuwa na Mkutano wa Wanachamawote wa CCM katika kila Tawi.

(2) Mkutano huo utazungumzia mamboyaliyo na maslahi ya CCM na yawananchi mahali pale Tawi lilipo, kamavile shughuli za Ulinzi na Usalama, namaendeleo katika Tawi.

(3) Mkutano wa Wanachama woteutafanyika kwa kawaida mara mojakatika kila miezi mitatu, lakini unaweza

Mkutano wawanachama wote wa Tawi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 41

Page 42: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi34

kufanyika wakati wowote endapoitatokea haja ya kufanya hivyo au kwamaagizo ya kikao cha juu.

(4) Kiwango cha mahudhurio katikaMikutano ya Wanachama wote katikaTawi kitakuwa zaidi ya theluthi moja yaWajumbe wake wenye haki yakuhudhuria kikao hicho.

(5) Mwenyekiti wa CCM wa Tawiataongoza Mkutano wa Wanachamawote wa Tawi, lakini Mwenyekitiasipoweza kuhudhuria, Mkutanoutamchagua mjumbe mwingine yeyotemiongoni mwao kuwa Mwenyekiti wamuda wa Mkutano huo.

(6) Siku ya kupiga Kura za maoni kwawagombea wa ngazi za Kijiji na Mtaa,wana CCM wote watapiga Kura zao zamaoni wakiwa katimka Matawi ya Vijijiniau Mitaani ambako wanaishi naambako wao ni wanachama.

36. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawi itakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi.

(b) Katibu wa CCM wa Tawi.

(c) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Tawi.

HalmashauriKuu ya CCMya Tawi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 42

Page 43: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 35

(d) Katibu wa Uchumi na Fedha waTawi.

(e) Wajumbe kumi waliochaguliwana Mkutano Mkuu wa CCM waTawi.

(f) Wajumbe watano wa MkutanoMkuu wa CCM wa Kata/Wadiwaliochaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa Tawi hilo.

(g) Mwenyekiti wa Serikali yaKijiji/Mtaaanayetokana na CCManayeishi katika Tawi hilo.

(h) Mjumbe mmoja wa MkutanoMkuu wa CCM wa Wilayaaliyechaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa Tawi hilo.

(i) Mwenyekiti na Katibu wa Tawiwa Jumuiya inayoongozwa auiliyojishirikisha na CCM, naMjumbe mmoja mwingineambaye ni Mwanachama waCCM aliyechaguliwa na kilaJumuiya inayohusika iliyomokatika Tawi hilo.

(j) Wenyeviti wa Vitongojiwanaotokana na CCMwanaoishi katika Tawi hilo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 43

Page 44: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi36

(k) Diwani anayetokana na CCManayeishi katika Tawi hilo.

(l) Mabalozi/Wenyeviti wote waMashina katika Tawi hilo.

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawiitafanya Mikutano yake ya kawaidamara moja kila miezi mitatu lakiniinaweza kufanya Mkutano usiokuwa wakawaida wakati wowote endapoitatokea haja ya kufanya hivyo.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Tawiataongoza Mkutano wa HalmashauriKuu ya CCM ya Tawi;. lakini Mwenyekitiasipoweza kuhudhuria, Katibu waCCM wa Tawi atakuwa Mwenyekiti wamuda wa Mkutano huo.

37. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya kila Tawizitakuwa zifuatazo:-

(1) Kuongoza na kusimamia Ujenzi waUjamaa na Kujitegemea katika eneo laTawi.

(2) Kueneza Siasa na kueleza mipango yaCCM kwa Wanachama wote wa Tawina kutafuta kila njia inayofaa yakuimarisha CCM katika eneo la Tawi.

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Tawi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 44

Page 45: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 37

(3) Kutoa msukumo wa utekelezaji waIlani ya Uchaguzi ya CCM nakufanya kampeni za uchaguzi nakampeni nyinginezo katika Tawi.

(4) Kuona kwamba unakuwepo Ulinzi na Usalama katika eneo la Tawi.

(5) Kuangalia mwenendo na vitendo vyawanachama na viongozi wa CCMkatika Tawi, na inapolazimu kutoataarifa kwa vikao vya CCMvinavyohusika.

(6) Kuongoza Mashina ya Tawi hilo katikavitendo na njia zinazofaa za kuimarishaCCM.

(7) Kufikisha maazimio na maagizo yaVikao vya CCM vya juu kwaWanachama, na kufikishamapendekezo ya Wanachama katikavikao vya juu.

(8) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawiitashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kufikiria na kufanya Uteuzi waMwisho wa wanachamawanaoomba nafasi za uongoziwa Shina la CCM na za uongoziwa Shina la UVCCM.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 45

Page 46: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi38

(b) Kumchagua Katibu wa CCM waTawi;

(c) Kumchagua Katibu wa Siasa naUenezi wa Tawi.

(d) Kumchagua Katibu wa Uchumina Fedha wa Tawi.

(e) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaCCM ya Kata/Wadi juu yaWanachama wa CCMwanoomba kugombea Uenyekitiwa Vitongoji kwa mujibu waSheria za uchaguzi wa Serikaliza Mitaa.

(f) Kuwachagua wajumbe watanowa kuingia katika Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Tawi kutoka miongonimwao.

(9) Kujaza nafasi wazi za uongozizinazotokea katika Tawi isipokuwanafasi ya Mwenyekiti wa CCM wa Tawi.

(10) Kuunda Kamati Ndogo za Utekelezajikama itakavyoonekana inafaa kwa ajiliya utekelezaji bora zaidi wa Siasa nakazi za CCM katika Tawi.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 46

Page 47: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 39

(11) Kupokea na kujadili taarifa za Kamati Ndogo za utekelezaji wa kazi za CCMkatika Tawi.

(12) Kupokea, kuzingatia na kuamua juu yamapendekezo ya vikao vya CCM vilivyochini yake.

(13) Kuunda Kamati ya Usalama na Maadiliya CCM ya Tawi.

38. (1) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Tawi itakuwa na wajumbewafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi.

(b) Katibu wa CCM wa Tawi.

(c) Katibu wa Siasa na Uenezi waTawi.

(d) Katibu wa Uchumi na Fedha waTawi.

(e) Wajumbe watano waliochaguliwana Halmashauri Kuu ya CCM yaTawi kutoka miongoni mwao.

(f) Mwenyekiti wa Serikali yaKijiji/Mtaa anayetokana naCCM anayeishi katika Tawi hilo.

(g) Diwani anayetokana na CCManayeishi katika Tawi hilo.

Kamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Tawi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 47

Page 48: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi40

(h) Mwenyekiti wa Tawi wa kilaJumuiya ya Wananchiinayoongozwa na CCM iliyomokatika Tawi hilo.

(2) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Tawi itakutana si chini ya maramoja kila mwezi.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Tawiataongoza Mkutano wa Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu ya Tawi.Lakini Mwenyekiti asipowezakuhudhuria, Katibu wa CCM wa Tawiatakuwa Mwenyekiti wa muda waMkutano huo.

39. Kazi za Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Tawi zitakuwa zifuatazo:-

(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika eneolake.

(2) Kueneza itikadi na Siasa ya CCM katikaTawi.

(3) Kuandaa mikakati ya kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezo katikaTawi.

(4) Kusimamia Utekelezaji wa kila siku waSiasa na maamuzi ya CCM chini yaUongozi wa Halmashauri Kuu ya CCMya Tawi.

Kazi za Kamatiya Siasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Tawi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 48

Page 49: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 41

(5) Kupanga mipango ya kukipatia Chamamapato, kusimamia kwa dhatiutekelezaji wa mipango hiyo, kudhibitimapato na kusimamia matumizi bora yafedha na mali za Chama katika Tawi.

(6) Unapofika wakati wa Uchaguzi, Kamatiya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCMya Tawi itashughulikia mamboyafuatayo:-

(a) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati ya Siasaya Halmashauri Kuu yaKata/Wadi juu ya wanachamawanaoomba kugombeanafasi za uongozi wa Tawi hilo;na uongozi wa jumuiya za CCMkupitia Tawi hilo.

(b) Kufikiria na kutoa mapendekezokwa Halmashauri Kuu ya CCMya Tawi juu ya Wanachamawanaoomba nafasi ya uongoziwa Shina la CCM na UVCCMkatika Tawi hilo.

(c) Kufikiria na kutoa mapendekezokwa Halmashauri Kuu ya CCMya Tawi juu ya wanachama waCCM wanaoomba nafasi yaMwenyekiti wa Kitongojiwakati wa Uchaguzi wa Serikaliza Mitaa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 49

Page 50: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi42

(d) Kufikiria na kutoa mapendekezokwa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi juu ya Wanachamawanaoomba nafasi ya Ujumbewa Halmashauri Kuu ya Tawi,Ukatibu wa Siasa na Uenezi waTawi, Ukatibu wa Uchumi naFedha wa Tawi, Udiwani,Uenyekiti wa Mtaa, Ujumbe waKamati ya Mtaa, Uenyekiti waKijiji na Ujumbe wa Halmashauriya Kijiji kupitia Tawi hilo kwamujibu wa sheria za uchaguziwa Serikali za Mitaa.

(e) Inapofika siku ya kupiga kura za maoni kwa waombaji wa nafasiza Udiwani, Ubunge naUwakilishi: Kamati ya Siasa ya HalmashauriKuu ya Tawi itakuwa na wajibuwa kuhakiki uhalali wauanachama wa CCM kwa kilamwanachama wa CCM wa Tawilake anayefika katika kituo chakupigia kura za maonikilichowekwa katika Tawi hilo ili mwanachama huyo awezekuruhusiwa kupiga kura zamaoni

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 50

Page 51: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 43

(7) Kufikiria na kutoa uamuzi wa mwishokuhusu maombi ya Uanachama.

(8) Kuandaa mikutano ya Halmashauri kuuya CCM katika Tawi

(9) Kuona kwamba unakuwepo Ulinzi naUsalama wa umma katika Tawi.

40. Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM yaTawi itakuwa na wajumbe wafuatao:

(a) Katibu wa CCM wa Tawi ambayeatakuwa Mwenyekiti.

(b) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Tawi.

(c) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Tawi.

(d) Makatibu wa Matawi ya Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa na CCM.

41. (1) Majukumu ya Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Tawi yatakuwa yafuatayo:-

(a) Kuongoza na kusimamiashughuli za Chama katika Tawi.

(b) Kuandaa Vikao vyote vya CCMkatika Tawi.

(2) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya Tawiyatagawanyika ifuatavyo:-

Sekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Tawi

Majukumu yaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Tawi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 51

Page 52: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi44

(a) Katibu wa CCM wa Tawi.

(b) Idara ya Siasa na Uenezi yaTawi.

(c) Idara ya Uchumi na Fedha yaTawi.

(d) Idara ya Organaizesheni ya Tawi.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya Tawi isipokuwakwamba Katibu wa CCM wa Tawiatakuwa ndiye Katibu waOrganaizesheni katika Tawi.

42. (1) Kutakuwa na Wakuu wa CCM wafuataokatika Tawi:

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Tawi

(b) Katibu wa CCM wa Tawi

(c) Katibu wa Siasa na Uenezi waTawi.

(d) Katibu wa Uchumi na Fedha waTawi.

43. (1) Mwenyekiti wa CCM wa Tawiatachaguliwa na Mkutano Mkuu wa Tawi.Atakuwa katika nafasi hiyo ya uongozi kwamuda wa miaka mitano, lakini anawezakuchaguliwa tena baada ya muda huokumalizika.

Wakuu waCCM wa Tawi

Mwenyekitiwa CCM waTawi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 52

Page 53: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 45

(2) Atakuwa na madaraka ya kuangaliamambo yote ya CCM katika Tawi.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Tawi, Mkutano waWanachama wote wa Tawi, Mkutanowa Halmashauri Kuu ya Tawi naMkutano wa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Tawi.

(4) Katika Mikutano anayoiongoza, zaidi yakuwa na kura yake ya kawaida,Mwenyekiti wa CCM wa Tawi atakuwapia na kura ya uamuzi, endapo kura zawajumbe wanaoafiki na wasioafikizitalingana. Isipokuwa kwamba kamaKikao anachokiongoza ni Kikao chaUchaguzi, Mwenyekiti atakuwa nakura yake ya kawaida tu. Hatakuwa nahaki ya kutumia kura yake ya uamuziendapo kura za Wajumbe zimelingana.Wajumbe wa kikao wataendeleakupiga kura mpaka hapo mshindiatakapopatikana.

44. (1) Katibu wa CCM wa Tawi atachaguliwana Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawi lake.Atakuwa katika nafasi hiyo ya uongozi kwamuda wa miaka mitano, lakini anawezakuchaguliwa tena baada ya muda huokumalizika.

Katibu waCCM wa Tawi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 53

Page 54: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi46

(2) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu wa CCMkatika Tawi, na atafanya kazi chini yauongozi wa Halmashauri kuu ya CCMya Tawi lake. majukumu yake ni hayayafuatayo:- .

(a) Kuratibu kazi zote za CCMkatika Tawi.

(b) Kuitisha na kuongoza vikao vyaSekretarieti ya Halmashauri Kuuya Tawi kwa madhumuni yakushauriana, kuandaa agendaza Kamati ya Siasa ya Tawi nakuchukua hatua za utekelezajiwa maamuzi ya CCM.

(c) Kusimamia kazi za Utawala naUendeshaji wa Chama katikaTawi.

(d) Kufuatilia na kuratibu masualaya Usalama na Maadili yaChama katika Tawi.

(e) Kusimamia Udhibiti wa Fedhana Mali ya Chama katika Tawi.

(f) Kuitisha mikutano ya Kamati yaSiasa ya Tawi, Halmashauri Kuuya Tawi na Mkutano Mkuu waTawi baada ya kushauriana naMwenyekiti wa CCM wa Tawi.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 54

Page 55: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 47

(3) Atakuwa ndiye Mkurugenzi waUchaguzi katika Tawi.

(4) Atashughulikia masuala yote yaOrganaizesheni ya CCM katika Tawi,ambayo ni:-

(a) Masuala yote ya wanachama.

(b) Kufuatilia vikao na maamuzi yavikao vya Chama.

(c) Kusimamia Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa naCCM na Wazee wa Chama.

(d) Kusimamia masuala yote yaUchaguzi wa ndani ya CCMngazi ya Shina na Tawi, na ulewa Uwakilishi katika vyombovya Dola,

(e) Kusimamia Muundo, Katiba,Kanuni na Taratibu za Chamana Jumuiya zinazoongozwa naCCM.

45. Katibu wa Siasa na Uenezi wa Tawiatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaTawi na atashughulikia masuala yote ya Siasana Uenezi katika Tawi. Majukumu yake ni hayayafuatayo:-

Katibu waSiasa naUenezi waTawi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 55

Page 56: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi48

(a) Kusimamia, kueneza na kufafanuamasuala yote ya Itikadi, Siasa na Seraza CCM katika Tawi.

(b) Kushughulikia mafunzo na maandaliziya Makada na Wanachama katika Tawi.

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera za CCMza kijamii na Ilani za uchaguzi za CCMkatika Tawi.

(d) Kuwa na mipango ya mawasiliano nauhamasishaji wa Umma katika Tawi.

(e) Kufuatilia hali ya kisiasa na harakati za Vyama vya Siasa katika Tawi.

(f) Kufuatilia mwenendo wa Jumuiya zaKijamii katika Tawi.

46. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Tawiatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaTawi na atashughulikia masuala yote yaUchumi na Fedha katika Tawi. Majukumu yakeni haya yafuatayo:

(a) Kuhamasisha na kufuatilia utekelezajiwa Sera za CCM za Uchumi katikaTawi.

(b) Kubuni njia mbalimbali za kukipatiaChama mapato.

Katibu waUchumi naFedha waTawi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 56

Page 57: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 49

(c) Kutekeleza mipango ya uchumi nauwekezaji wa Chama katika Tawi.

(d) Kusimamia mapato na matumizi yafedha na kutoa taarifa kwa Kamati yaSiasa ya Tawi.

(e) Kusimamia mali za Chama na kutoataarifa kwa Kamati ya Siasa ya Tawi.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 57

Page 58: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 58

Page 59: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 51

FUNGU LA III

VIKAO VYA KATA/WADI

47. Kutakuwa na Vikao vya CCM vifuatavyo katikakila Kata ya Tanzania Bara yenye Matawi yaCCM yasiyopungua mawili, na katika kila Wadiya Zanzibar:-

(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadi.(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya

Kata/Wadi.

(3) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaKata/Wadi.

(4) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Kata/Wadi.

48. (1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadiutakuwa na Wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM waKata/Wadi.

(b) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi.

(c) Katibu wa Siasa na Uenezi waKata/Wadi.

(d) Katibu wa Uchumi na Fedha waKata/ Wadi.

Vikao vyaCCM vyaKata/Wadi

MkutanoMkuu wa CCMwa Kata/Wadi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 59

Page 60: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi52

(e) Mbunge na Mwakilishi waJimbo linalohusika anayetokanana CCM anayeishi katikaKata/Wadi hiyo, au katikaKata/Wadi ambayo atakuwaameichagua mwenyewe kwamadhumuni hayo.

(f) Wenyeviti wote wa CCM waMatawi ya Kata/Wadi hiyo.

(g) Makatibu wote wa CCM waMatawi ya Kata/Wadi hiyo.

(h) Makatibu wa Siasa na Ueneziwa CCM wa Matawi yaKata/Wadi hiyo.

(i) Makatibu wa Uchumi na Fedhawa CCM wa Matawi yaKata/Wadi hiyo.

(j) Wajumbe watanowaliochaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa kila Tawikuhudhuria Mkutano Mkuu waKata/Wadi.

(k) Mjumbe mmoja anayewakilishaTawi la CCM kwenye MkutanoMkuu wa Jimbo na wa Wilaya.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 60

Page 61: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 53

(l) Wajumbe watano waliochaguliwana Mkutano Mkuu wa CCMwa Kata/Wadi kuingia katikaHalmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi.

(m) Wajumbe kumi waliochaguliwana Mkutano Mkuu wa CCM waKata/Wadi wa kuhudhuriaMkutano Mkuu wa CCM waWilaya na wajumbe watano wakuhudhuria Mkutano Mkuu waJimbo Zanzibar.

(n) Wajumbe waliochaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM waKata/Wadi wa kuhudhuriaMkutano Mkuu wa CCM waMkoa, mmoja kutoka kila Kataya Tanzania Bara na watanokutoka kila Wadi yaZanzibar.

(o) Wenyeviti wote wa Serikali zaVijiji/Mitaa wa Kata/Wadi hiyowanaotokana na CCM.

(p) Diwani wa Kata/Wadianayetokana na CCManayewakilisha Kata/Wadi hiyo,na Madiwani wa aina nyinginewanaoishi katika Kata/Wadihiyo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 61

Page 62: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi54

(q) Wajumbe wa Halmashauri Kuuya Wilaya wanaoishi katikaKata/Wadi hiyo.

(r) Mwenyekiti na Katibu waKata/Wadi wa jumuiyainayoongozwa au iliyojishirikishana CCM na mjumbe mmojamwingine ambaye nimwanachama wa CCMaliyechaguliwa na kila Jumuiyainayohusika iliyomo katikaKata/Wadi hiyo.

(2) Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadindicho kikao kikuu cha CCM katikaKata/Wadi.

(3) Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadiutafanyika kwa kawaida mara moja kwamwaka, lakini unaweza kufanyikawakati wowote mwingine endapokutatokea haja ya kufanya hivyo au kwamaagizo ya kikao cha juu.

(4) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadiataongoza Mkutano Mkuu wa CCM waKata/Wadi lakini Mwenyekiti asipowezakuhudhuria, Mkutano huo utamchaguamjumbe mwingine yeyote miongonimwao kuwa Mwenyekiti wa muda waMkutano huo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 62

Page 63: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 55

49. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadizitakuwa zifuatazo:

(1) Kupokea na kujadili taarifa ya kazi zaCCM katika Kata/Wadi iliyotolewa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadina kutoa maelekezo ya utekelezaji waSiasa ya CCM kwa kipindi kijacho.

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio namaagizo ya ngazi ya juu yanatekelezwaipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yote yanayohusuUlinzi na Usalama, na maendeleokwa jumla katika Kata/Wadi.

(4) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Mkutano Mkuu wa CCM waKata/Wadi utashughulikia mamboyafuatayo:-

(a) Kumchagua Mwenyekiti waCCM wa Kata/Wadi.

(b) Kuwachagua wajumbe watanowa kuingia katika HalmashauriKuu ya CCM ya Kata/Wadi.

(c) Kuwachagua wajumbe watanowa kuhudhuria Mkutano Mkuuwa Jimbo kwa upande wa

Kazi zaMkutano Mkuuwa CCMwa Kata/Wadi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 63

Page 64: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi56

Zanzibar na wajumbe kumi wakuhudhuria Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya.

(d) Kuwachagua wajumbe wakuhudhuria Mkutano Mkuu waCCM wa Mkoa, mmoja kutokakila Kata ya Tanzania Bara nawatano kutoka kila Wadi yaZanzibar.

(5) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuu waCCM wa Kata/Wadi kwa kadriitakavyoonekana inafaa.

50. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadiitakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM waKata/Wadi.

(b) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi.

(c) Katibu wa Siasa na Uenezi waKata/Wadi.

(d) Katibu wa Uchumi na Fedha waKata/Wadi.

(e) Mbunge na Mwakilishi waJimbo linalohusika anayetokanana CCM anayeishi katikaKata/Wadi hiyo, au katikaKata/Wadi ambayo atakuwa

HalmashauriKuu ya CCMyaKata/ Wadi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 64

Page 65: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 57

ameichagua mwenyewe kwamadhumuni hayo.

(f) Diwani anayetokana na CCManayewakilisha Kata/Wadihusika, na Madiwani wa ainanyingine wanaoishi katikaKata/Wadi hiyo.

(g) Wajumbe watanowaliochaguliwa na MkutanoMkuu wa Kata/Wadi hiyo.

(h) Wenyeviti wote wa CCM waMatawi ya Kata/Wadi hiyo.

(i) Makatibu wote wa CCM waMatawi ya Kata/Wadi hiyo.

(j) Makatibu wote wa Siasa naUenezi wa Matawi yaliyomokatika Kata/Wadi hiyo.

(k) Makatibu wote wa Uchumi naFedha wa Matawi yaliyomokatika Kata/Wadi hiyo.

(l) Wenyeviti wote wa Serikali zavijiji/Mitaa wanaotokana naCCMkatika Kata/Wadi hiyo.

(m) Wajumbe wa Halmashauri Kuuya Wilaya waliomo katikaKata/Wadi hiyo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 65

Page 66: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi58

(n) Mwenyekiti na Katibu waKata/Wadi, na mjumbe mmojamwingine ambaye nimwanachama wa CCMaliyechaguliwa na kila Jumuiyaya wananchi iliyomo katikaKata/Wadi hiyo.

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadiitafanya Mikutano yake ya kawaidamara moja kila baada ya miezi mitatu,lakini naweza kufanya mikutano isiyo yakawaida wakati wowote endapokutatokea haja ya kufanya hivyo.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadiataongoza Mkutano wa HalmshauriKuu ya CCM ya Kata/Wadi; lakiniMwenyekiti asipoweza kuhudhuria,Katibu wa CCM wa Kata/Wadi atakuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutano huo.

51. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi zitakuwa zifuatazo:-

(1) Kuongoza na kusimamia ujenzi waUjamaa na Kujitegemea katika eneolake la Kata/Wadi.

(2) Kusimamia uenezi wa Itikadi na Siasaya CCM, na kueleza mipango ya CCMkwa Matawi yote ya Kata/Wadi na

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Kata/Wadi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 66

Page 67: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 59

kubuni mbinu zinazofaa zakuimarisha CCM katika eneo laKata/Wadi inayohusika.

(3) Kupanga mikakati ya kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezo.

(4) Kutoa msukumo wa utekelezaji wa Ilaniya CCM na kusimamia utekelezaji wasiasa na maazimio ya CCM kwa jumla.

(5) Kuona kwamba unakuwepo Ulinzi naUsalama katika eneo la Kata/Wadi hiyo.

(6) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCMza Matawi yaliyomo katika Kata/Wadihiyo kuhusu vitendo na njia zinazofaaza kuimarisha CCM.

(7) Kuangalia mwenendo na vitendo vyawanachama pamoja na viongozi waCCM na inapolazimu kutoa taarifa kwavikao vinavyohusika.

(8) Kufikisha Matawini maazimio namaagizo ya vikao vya juu na kufikishakwenye Vikao vya juu mapendekezokutoka Matawini.

(9) Unapofika wakati wa UchaguziHalmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadiitashughulikia mambo yafuatayo:-

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 67

Page 68: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 60

(a) Kumchagua Katibu wa CCM waKata/Wadi.

(b) Kumchagua Katibu wa Siasa naUenezi wa Kata/Wadi.

(c) Kumchagua Katibu wa Uchumina Fedha wa Kata/Wadi.

(d) Kuwachagua wajumbe watatuwa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi kutoka miongonimwao.

(e) Kwa Tanzania Bara itafikiria nakufanya uteuzi wa mwishowa wanachama wanaoombakugombea Uenyekiti waVitongoji vya Kata hiyo.

(f) Kufikiria na kufanya uteuzi wamwisho wa Wanachamawanaoomba Ujumbe waHalmashauri Kuu ya Tawi,Wajumbe wa Mkutano Mkuu waCCM wa Kata/Wadi, Jimbo naWilaya wanaotoka katika Tawihilo.

(g) Kufanya uteuzi wa mwisho wa majina ya wanachama wa CCMwatakaosimama katika uchaguzi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 68

Page 69: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 61

wa Mwenyekiti na Katibu waTawi wa kila Jumuiyainayoongozwa na CCM nawajumbe wa kuiwakilisha kilaJumuiya katika vikao vya CCMvya Matawi yaliyomo katikaKata/Wadi hiyo

(10) Kujaza, kwa niaba ya Mkutano Mkuuwa CCM wa Kata/Wadi, nafasi zauongozi zinazokuwa wazi, isipokuwaya Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadi.

(11) Kupokea, kuzingatia na kuamua juu yamapendekezo ya vikao vya CCM vilivyochini yake.

(12) Kumsimamisha uanachamamwanachama yeyote wa ngazi yaTawi au Shina ambaye mwenendo natabia yake vinamuondolea sifa zauanachama.

(13) Kuunda Kamati Ndogo za Utekelezajikwa kadri itakavyoonekana inafaa kwaajili ya utekelezaji bora zaidi wa kazi zaCCM katika Kata/Wadi hiyo.

(14) Kupokea na kujadili taarifa za KamatiNdogo za Utekelezaji wa kazi za CCMza Kata/Wadi na Kamati za MkutanoMkuu wa CCM wa Kata/Wadi.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 69

Page 70: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi62

(15) Kuunda Kamati ya Usalama na Maadiliya CCM ya Kata/Wadi.

52. (1) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Kata/Wadi itakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM waKata/Wadi.

(b) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi.

(c) Katibu wa Siasa na Uenezi waKata/Wadi.

(d) Katibu wa Uchumi na Fedha waKata/Wadi.

(e) Diwani anayetokana na CCManayewakilisha Kata/Wadi hiyo,na Madiwani wa aina nyinginewanaotokana na CCMwanaoishi katika Kata/wadi hiyo.

(f) Wajumbe watatu waliochaguliwana Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi hiyo.

(g) Mwenyekiti wa Kata/Wadi wakila Jumuiya ya Wananchiinayoongozwa na CCM katikaKata/Wadi hiyo.

Kamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Kata/Wadi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 70

Page 71: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 63

(2) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Kata/Wadi itakutana si chini yamara moja kila mwezi.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadiataongoza Mkutano wa Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu ya CCMya Kata/Wadi. Lakini Mwenyekitiasipoweza kuhudhuria Katibu wa CCMwa Kata/Wadi atakuwa Mwenyekiti wamuda wa Mkutano huo.

53. Kazi za Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Kata/Wadi zitakuwa zifuatazo:-

(1) Kutoa uongozi wa Siasa katikaKata/Wadi hiyo.

(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM katikaKata/Wadi hiyo.

(3) Kuandaa mikakati ya kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezokatika Kata/Wadi hiyo.

(4) Kusimamia utekelezaji wa shughuli zakila siku za CCM katika Kata/Wadi chiniya uongozi wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Kata/Wadi hiyo.

(5) Kumsimamisha uongozi kiongoziyeyote wa ngazi ya Tawi au Shinaendapo itaridhika kwamba tabia na

Kazi za Kamatiya Siasa yaKata/Wadi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 71

Page 72: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi64

mwenendo wake vinamuondolea sifaya uongozi.

(6) Kupanga mipango ya kukipatia Chamamapato, kusimamia kwa dhatiutekelezaji wa mipango hiyo, kudhibitimapato na kusimamia matumizi boraya fedha na mali za Chama katikaKata/Wadi.

(7) Unapofika wakati wa Uchaguzi Kamatiya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCMya Kata/Wadi itashughulikia mamboyafuatayo:

(a) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaWilaya juu ya wanachamawanaoomba nafasi ya uongoziwa CCM kupitia Kata/Wadi hiyo.

(b) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaWilaya juu ya wanachamawanaoomba Udiwani, Uenyekitiwa Mtaa, Ujumbe waKamati ya Mtaa, Uenyekiti waKijiji na Ujumbe wa Halmashauriya Kijiji kwa mujibu washeria za uchaguzi wa Serikali zaMitaa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 72

Page 73: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 65

(c) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaKata/Wadi juu ya Wanachamawa CCM wanaoomba Uenyekitina Ukatibu wa Tawi wa Jumuiyaya Wananchi inayoongozwa naCCM, na Ujumbe wakuiwakilisha kila Jumuiya katikavikao vya CCM vya Kata/Wadihiyo.

(8) Kuandaa mikutano ya Halmashauri Kuuya CCM ya Kata/Wadi.

(9) Kuona kwamba masuala wa Ulinzi naUsalama katika Kata/Wadiyanazingatiwa.

54. Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi itakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi ambayeatakuwa Mwenyekiti.

(b) Katibu wa Siasa na Uenezi Kata/Wadi.

(c) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Kata/Wadi,

(d) Makatibu wa Kata/Wadi wa Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa na CCM.

Sekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Kata/Wadi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 73

Page 74: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi66

55. (1) Majukumu ya Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadi yatakuwa yafuatayo:-

(a) Kuongoza na kusimamiashughuli za Chama katikaKata/Wadi.

(b) Kuandaa Vikao vyote vyaChama vya Kata/Wadi.

(2) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya Kata/Wadiyatagawanyika ifuatavyo:-

(a) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi.

(b) Idara ya Siasa na Uenezi yaKata/Wadi.

(c) Idara ya Uchumi na Fedha ya Kata/Wadi.

(d) Idara ya Organaizesheni yaKata/Wadi.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadiisipokuwa kwamba Katibu wa CCM waKata/Wadi atakuwa ndiye Katibu waOrganaizesheni katika Kata/Wadi.

Majukumu yaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Kata/Wadi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 74

Page 75: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 67

56. Kutakuwa na Wakuu wa CCM wafuatao katikaKata/Wadi:-

(1) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadi.

(2) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi.

(3) Katibu wa Siasa na Uenezi waKata/Wadi.

(4) Katibu wa Uchumi na Fedha waKata/Wadi.

57. (1) Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadi atachaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM wa Kata/Wadi. Atashika nafasi hiyo ya uongozi kwa muda wa miaka mitano lakini anaweza kuchaguliwa tena baada ya muda huo kumalizika.

(2) Atakuwa na madaraka ya kuangaliamambo yote ya CCM katika Kata/Wadi.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Kata/Wadi, Mkutano waHalmashauri Kuu ya CCM ya Kata/Wadina Mkutano wa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi.

(4) Katika mikutano anayoiongoza, zaidi yakuwa na kura yake ya kawaida,Mwenyekiti wa CCM wa Kata/Wadi pia

Wakuu waCCM waKata/Wadi

Mwenyekiti waCCM wa Kata/Wadi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 75

Page 76: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi68

atakuwa na kura ya uamuzi endapokura za Wajumbe wanaoafiki nawasioafiki zitalingana. Isipokuwakwamba kama kikao anachokiongozani kikao cha uchaguzi, Mwenyekitiatakuwa na kura yake ya kawaida tu.Hatakuwa na haki ya kutumia kura yakeya uamuzi endapo kura za Wajumbezimelingana. Wajumbe wa Kikaowataendelea kupiga kura mpaka hapomshindi atakapopatikana.

58. (1) Katibu wa CCM wa Kata/Wadi atachaguliwa na Halmashauri Kuu yaCCM ya Kata/Wadi.

(2) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu wa CCMkatika Kata/Wadi na atafanya kazi chiniya uongozi wa Halmashauri Kuu yaKata/Wadi yake. Majukumu yake nihaya yafuatayo:-

(a) Kuratibu kazi zote za CCMkatika Kata/Wadi.

(b) Kuitisha na kuongoza vikao vyaSekretarieti ya Halmashauri Kuuya CCM ya Kata/Wadi kwamadhumuni ya kushauriana,kuandaa agenda za Kamati yaSiasa ya Kata/Wadi nakuchukua hatua za utekelezajiwa maamuzi ya CCM.

Katibu waCCM waKata/Wadi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 76

Page 77: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 69

(c) Kusimamia kazi zote za Utawalana Uendeshaji wa Chama katikaKata/Wadi.

(d) Kufuatilia na kuratibu masualaya Usalama na maadili yaChama katika Kata/Wadi.

(e) Kusimamia Udhibiti wa Fedhana Mali ya Chama katikaKata/Wadi.

(3) Ataitisha Mikutano ya Kamati ya Siasaya Kata/Wadi, Halmashauri Kuu yaKata/Wadi na Mkutano Mkuu waKata/Wadi baada ya kushauriana naMwenyekiti wa CCM wa Kata Wadi.

(4) Atakuwa ndiye Mkurugenzi waUchaguzi katika Kata/Wadi.

(5) Atashughulikia masuala yote yaOrganaizesheni ya CCM katikaKata/Wadi, ambayo ni:-

(a) Masuala yote ya wanachama.

(b) Kufuatilia vikao na maamuzi yaVikao vya Chama.

(c) Kusimamia Jumuiya zawananchi zinazoongozwa naCCM na Wazee wa Chama.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 77

Page 78: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi70

(d) Kusimamia masuala yote yaUchaguzi ndani ya Chama naule wa uwakilishi katika vyombovya Dola,

(e) Kusimamia Muundo, Katiba,Kanuni na Taratibu zaChama na Jumuiyazinazoongozwa na CCM.

59. Katibu wa Siasa na Uenezi wa Kata/Wadiatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi na atashughulikia masuala yote yaSiasa na Uenezi katika Kata/Wadi. Majukumuyake ni haya yafutayo:-

(a) Kusimamia, kueneza na kufafanuamasuala yote ya Itikadi, Siasa naSera za Chama katika Kata/Wadi.

(b) Kupanga na kusimamia mafunzo namaandalizi ya Makada na wanachamakatika Kata/Wadi.

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera za Chamaza Kijamii na Ilani za Uchaguzi zaChama katika Kata/Wadi.

(d) Kuwa na mipango ya Mawasiliano naUhamasishaji wa Umma katikaKata/Wadi.

Katibu waSiasa naUenezi waKata/ Wadi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 78

Page 79: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 71

(e) Kufuatilia hali ya kisiasa na harakati zaVyama vya Siasa katika Kata/Wadi.

(f) Kufuatilia mwenendo wa Jumuiya zaKijamii katika Kata/Wadi.

60. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Kata/Wadiatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi na atashughulikia masuala yote yaUchumi na Fedha katika Kata/Wadi. Majukumuyake ni haya yafuatayo:-

(a) Kuhamasisha na kufuatilia utekelezajiwa Sera za CCM za Uchumi katikaKata/Wadi.

(b) Kutekeleza Sera za CCM za Uchumi nauwekezaji wa Chama katika Kata/Wadi.

(c) Kubuni njia mbalimbali za kukipatiaChama mapato.

(d) Kusimamia mapato na matumizi yafedha na kutoa taarifa kwa Kamati yaSiasa ya Kata/Wadi,

(e) Kusimamia mali za Chama na kutoataarifa kwa Kamati ya Siasa yaKata/Wadi.

Katibu waUchumi naFedha waKata/ Wadi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 79

Page 80: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 80

Page 81: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 73

FUNGU LA IV

VIKAO VYA JIMBO

61. Kwa upande wa Zanzibar, kutakuwa na Vikaovya CCM vifuatavyo katika kila Jimbo:-

(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimbo.

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo.

(3) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaJimbo.

(4) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Jimbo.

62. (1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimbo laZanzibar utakuwa na wajumbewafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo.

(b) Katibu wa CCM wa Jimbo.

(c) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Jimbo.

(d) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Jimbo.

(e) Mbunge au Mwakilishianayetokana na CCM, na

Vikao VyaCCM vyaJimbo

MkutanoMkuu waCCM waJimboZanzibar

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 81

Page 82: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi74

wabunge au Wawakilishi waaina nyingine wanaoishi katikaJimbo hilo.

(f) Wenyeviti wote wa CCM waMatawi ya Jimbo hilo.

(g) Makatibu wote wa CCM waMatawi ya Jimbo hilo.

(h) Makatibu wa Siasa na Ueneziwa CCM wa Matawi yote yaJimbo hilo.

(i) Makatibu wa Uchumi na Fedhawa CCM wa Matawi yote yaJimbo hilo.

(j) Mwenyekiti na Katibu wa CCMwa kila Wadi ya Jimbo.

(k) Makatibu wa Itikadi na Ueneziwa CCM wa Wadi zote zaJimbo.

(l) Makatibu wa Uchumi na Fedhawa CCM wa Wadi zote zaJimbo.

(m) Wenyeviti na Makatibu waJumuiya za CCM wa Wadi zoteza Jimbo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 82

Page 83: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 75

(n) Wajumbe watano waliochaguliwana Mkutano Mkuu wa Jimbokuingia katika Halmashauri Kuuya CCM ya Jimbo.

(o) Wajumbe watano waliochaguliwana Mkutano Mkuu wa CCM wakila Wadi iliyomo katika Jimbohilo.

(p) Wajumbe watano waliochaguliwana Mkutano Mkuu wa CCM wakila Jimbo wa kuhudhuriaMkutano Mkuu wa CCM waWilaya.

(q) Wajumbe waliochaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM waJimbo wa kuhudhuria MkutanoMkuu wa CCM wa Mkoa,watano kutoka kila Wadi yaZanzibar.

(r) Madiwani wanaotokana na CCMwanaowakilisha Wadi zilizomokatika Jimbo husika, naMadiwani wa aina nyinginewanaoishi katika Wadi zaJimbohilo.

(s) Wajumbe wa Halmashauri Kuuya Wilaya na Mkoa waliomokatika Jimbo hilo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 83

Page 84: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi76

(t) Mwenyekiti na Katibu wa Jimbowa jumuiya inayoongozwa auiliyojishirikisha na CCM, namjumbe mmoja mwingineambaye ni mwanachama waCCM aliyechaguliwa na kilaJumuiya iliyomo katika Jimbohilo.

(2) Mkutano Mkuu wa Jimbo ndicho kikaokikuu cha CCM katika Jimbo.

(3) Mkutano Mkuu wa Jimbo utafanyamikutano yake ya kawaida mara mojakwa mwaka, lakini unaweza kufanyikawakati wowote mwingine endapoitatokea haja ya kufanya hivyo, au kwamaagizo ya vikao vya juu.

(4) Mwenyekiti wa CCM wa Jimboataongoza Mkutano Mkuu wa CCM waJimbo. Lakini Mwenyekiti asipowezakuhudhuria, Mkutano utamchaguamjumbe mwingine ye yote miongonimwao kuwa Mwenyekiti wa muda waMkutano huo.

63. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimbozitakuwa zifuatazo:-(1) Kupokea na kujadili taarifa ya kazi za

CCM katika Jimbo iliyotolewa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo na

Kazi zaMkutanoMkuu waCCM waJimbo

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 84

Page 85: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 77

kutoa maelekezo ya utekelezajiwa Siasa ya CCM kwa kipindi kijacho.

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio namaagizo ya ngazi ya juu yanatekelezwaipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yote yanayohusuUlinzi na Usalama na maendeleo kwa jumla katika Jimbo.

(4) Unapofika wakati wa uchaguzi,Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimboutashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kumchagua Mwenyekiti waCCM wa Jimbo.

(b) Kuwachagua wajumbe watanowa kuingia katika HalmashauriKuu ya CCM ya Jimbo.

(c) Kuwachagua wajumbe watanowa kuhudhuria Mkutano Mkuuwa CCM wa Wilaya.

(d) Kuwachagua wajumbe watatuwa kuhudhuria Mkutano Mkuuwa CCM wa Mkoa.

(5) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuuwa CCM wa Jimbo kwa kadriitakavyoonekana inafaa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 85

Page 86: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi78

64. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo itakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo.

(b) Katibu wa CCM wa Jimbo.

(c) Katibu wa Siasa na Uenezi waJimbo.

(d) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Jimbo.

(e) Mbunge na Mwakilishiwanaotokana na CCMwanaowakilisha Jimbo husika,na Wabunge au Wawakilishi waaina nyingine wanaoishi katikaJimbo hilo.

(f) Madiwani wanaotokana naCCM wanaowakilisha Wadizilizomo katika Jimbo husika, naMadiwani wa aina nyinginewanaoishi katika Wadi za Jimbohilo.

(g) Wajumbe watano waliochaguliwana Mkutano wa Jimbo kuingiakatika Halmashauri Kuu yaJimbo.

(h) Wenyeviti wote wa CCM waWadi za Jimbo hilo.

HalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 86

Page 87: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 79

(i) Makatibu wote wa CCM waWadi za Jimbo hilo.

(j) Makatibu wote wa Siasa naUenezi wa Wadi za Jimbo hilo.

(k) Makatibu wote wa Uchumi naFedha wa Wadi za Jimbo hilo.

(l) Wajumbe wa Halmashauri Kuuya Wilaya ya CCM waliomokatika Jimbo hilo.

(m) Mwenyekiti na Katibu wa Jimbowa Jumuiya inayoongozwa auiliyojishirikisha na CCM, naMjumbe mmoja mwingineambaye ni mwanachama waCCM aliyechaguliwa na kilaJumuiya inayohusika iliyomokatika Jimbo hilo.

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimboitafanya mikutano yake ya kawaida kilabaada ya miezi mitatu, lakini inawezakufanya mikutano isiyo ya kawaidawakati wowote endapo itatokea hajaya kufanya hivyo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 87

Page 88: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi80

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Jimboataongoza Mkutano wa HalmashauriKuu ya Jimbo; lakini Mwenyekitiasipoweza kuhudhuria, Katibu waCCM wa Jimbo atakuwa Mwenyekitiwa muda wa Mkutano huo.

65. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimbozitakuwa zifuatazo:-

(1) Kuongoza na kusimamia ujenzi waUjamaa na Kujitegemea katika eneolake la Jimbo.

(2) Kusimamia uenezi wa Itikadi na Siasaya CCM, na kueleza mipango ya CCMkwa Wadi zote za Jimbo, na kubunimbinu zinazofaa za kuimarisha CCMkatika eneo la Jimbo.

(3) Kupanga mikakati ya kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezo.

(4) Kutoa msukumo wa utekelezaji wa Ilaniya CCM na kusimamia utekelezaji waSiasa na maazimio ya CCM kwa jumlakatika Jimbo.

(5) Kuona kwamba unakuwepo Ulinzi naUsalama katika eneo la Jimbo.

(6) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCMza Wadi za Jimbo kuhusu vitendo nanjia zinazofaa za kuimarisha CCM.

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 88

Page 89: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 81

(7) Kuangalia mwenendo na vitendo vyaWanachama pamoja na Viongozi waCCM waliomo katika Jimbo hilo, nainapolazimu, kutoa taarifa kwa vikaovinavyohusika.

(8) Kufikisha kwenye Wadi maazimio namaagizo ya vikao vya juu na kufikishakwenye Vikao vya juu mapendekezokutoka Wadi.

(9) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimboitashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kumchagua Katibu wa CCM waJimbo.

(b) Kumchagua Katibu wa Siasa naUenezi wa Jimbo.

(c) Kumchagua Katibu wa Uchumina Fedha wa Jimbo.

(d) Kuwachagua Wajumbe watatuwa kamati Siasa ya HalmashauriKuu ya CCM ya Jimbo kutokamiongoni mwao.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 89

Page 90: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi82

(e) Kufanya uteuzi wa mwisho wamajina ya wanachama wa CCMwatakaosimama katika uchaguziwa Mwenyekiti na Katibu waWadi wa kila Jumuiyainayoongozwa na CCM nawajumbe wa kuiwakilisha kilaJumuiya katika vikao vya CCMvya Wadi zote za Jimbo hilo.

(10) Kujaza kwa niaba ya Mkutano Mkuu waCCM wa Jimbo nafasi za uongozizinazokuwa wazi, isipokuwa yaMwenyekiti wa Jimbo.

(11) Kupokea, kuzingatia na kuamua juu yamapendekezo ya vikao vya CCM vilivyochini yake.

(12) Kuunda Kamati Ndogo za Utekelezajikwa kadri itakavyoonekana inafaakwa ajili ya utekelezaji bora zaidi wakazi za CCM katika Jimbo.

(13) Kupokea na kujadili taarifa za KamatiNdogo za Utekelezaji wa Kazi za CCMza Jimbo na kamati za Mkutano Mkuuwa CCM wa Jimbo.

(14) Kuunda Kamati ya Usalama na Maadiliya CCM ya Jimbo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 90

Page 91: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 83

66. (1) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Jimbo itakuwa na wajumbewafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo.

(b) Katibu wa CCM wa Jimbo.

(c) Katibu wa Siasa na Uenezi waCCM wa Jimbo.

(d) Katibu wa Uchumi na Fedha waCCM wa Jimbo.

(e) Mbunge na Mwakilishiwanaotokana na CCMwanaowakilisha Jimbolinalohusika na Wabunge auWawakilishi wa aina nyinginewanaoishi katika Jimbo hilo.

(f) Madiwani wanaotokana na CCMwanaowakilisha Wadi husika naMadiwani wa aina nyinginewanaoishi katika Wadi za Jimbohilo

(g) Wajumbe watatu waliochaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM yaJimbo hilo.

(h) Mwenyekiti wa Jimbo wa kilaJumuiya ya wananchiinayoongozwa na CCM katikaJimbo hilo.

Kamatiya Siasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 91

Page 92: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi84

(2) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaJimbo itafanya mikutano yake yakawaida mara moja kila baada ya miezimiwili.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Jimboataongoza Mkutano wa Kamati yaSiasa ya Jimbo. Lakini Mwenyekitiasipoweza kuhudhuria, Katibu waCCM wa Jimbo atakuwa Mwenyekitiwa muda wa Mkutano huo.

67. Kazi za Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Jimbo zitakuwa zifuatazo:-

(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika Jimbo.

(2) Kusimamia utekelezaji wa shughuli zakila siku za CCM Jimboni chini yauongozi wa Halmashauri Kuu ya CCMya Jimbo.

(3) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM katikaJimbo.

(4) Kuandaa mikakati ya kampeni zauchaguzi na kampeninyinginezo katika Jimbo.

(5) Kupanga mipango ya kukipatia Chamamapato, kusimamia kwa dhatiutekelezaji wa mipango hiyo, kudhibiti

Kazi za Kamatiya Siasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 92

Page 93: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 85

mapato na kusimamia matumizi boraya fedha na mali za Chama katikaJimbo.

(6) Unapofika wakati wa Uchaguzi, Kamatiya Siasa ya Jimbo itashughulikiamambo yafuatayo:-

(a) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake wa Kamati ya Siasa yaWilaya juu ya wanachamawanaoomba nafasi zaUenyeketi na Ukatibu wa CCMwa Kata/Wadi, Ukatibu waSiasa na Uenezi wa Kata/Wadi,Ukatibu wa Uchumi na Fedhawa Kata/Wadi na Wanachamawanaoomba Uongozi wa CCMwa Jimbo kupitia Jimbo hilo.

(b) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati ya Siasa yaWilaya juu ya wanachamawanaoomba Udiwani auUwakilishi wa aina nyinginekatika Serikali za Mitaa kwamujibu wa Sheria zilizopo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 93

Page 94: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi86

(c) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaJimbo juu ya wanachama waCCM wanaoomba Uenyekiti naUkatibu wa Wadi wa kilaJumuiya ya wananchiinayoongozwa na CCM; naujumbe wa kuiwakilisha kilaJumuiya katika vikao vya CCMvya Wadi.

(7) Kuandaa mikutano ya Halmashauri Kuuya CCM ya Jimbo.

(8) Kuona kwamba masuala ya Ulinzi naUsalama katika Jimbo yanazingatiwa.

68. Sekretarieti ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Jimbo itakuwa na wajumbewafuatao:-

(a) Katibu wa CCM wa Jimboambaye atakuwa Mwenyekiti,

(b) Katibu wa Siasa na Uenezi waJimbo,

(c) Katibu wa Uchumi na Fedha waJimbo,

(d) Makatibu wa Jimbo wa Jumuiyaza wananchi zinazoongozwa naCCM.

Sekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 94

Page 95: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 87

69. (1) Majukumu ya Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo yatakuwa yafuatayo:-

(a) Kuongoza na kusimamiashughuli za Chama katikaJimbo.

(b) Kuandaa vikao vyote vyaChama vya Jimbo.

(2) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya Jimboyatagawanyika ifuatavyo:-

(a) Katibu wa CCM wa Jimbo.

(b) Idara ya Siasa na Uenezi yaJimbo.

(c) Idara ya Uchumi na Fedha yaJimbo.

(d) Idara ya Organaizesheni yaJimbo.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya Jimbo isipokuwakwamba Katibu wa CCM wa Jimboatakuwa ndiye Katibu waOrganaizesheni katika Jimbo.

Majukumu yaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Jimbo

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 95

Page 96: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi88

70. Kutakuwa na Wakuu wa CCM wafuatao katikaJimbo:-

(1) Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo.

(2) Katibu wa CCM wa Jimbo,

(3) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Jimbo,

(4) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Jimbo.

71. (1) Mwenyekiti wa CCM wa Jimboatachaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimbo. Atashika nafasi hiyoya uongozi kwa muda wa miaka mitanolakini anaweza kuchaguliwa tena baadaya muda huo kumalizika.

(2) Atakuwa na madaraka ya kuangaliamambo yote ya CCM katika Jimbo.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Jimbo, Mkutano waHalmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo naMkutano wa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Jimbo.

(4) Katika mikutano anayoiongoza zaidi yakuwa na kura yake ya kawaida,Mwenyekiti wa CCM wa Jimbo piaatakuwa na kura ya uamuzi endapokura za Wajumbe wanaoafiki nawasioafiki zitalingana. Isipokuwa

Wakuu waCCM katikaJimbo

Mwenyekiti waCCM waJimbo

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 96

Page 97: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 89

kwamba kama kikao anachokiongozani kikao cha uchaguzi, Mwenyekitiatakuwa na kura yake ya kawaida tu.Hatakuwa na haki ya kutumia kurayake ya uamuzi endapo kura zawajumbe zimelingana. Wajumbewa kikao wataendelea kupiga kurampaka hapo mshindi atakapopatikana.

72. (1) Katibu wa CCM wa Jimbo atachaguliwa na Halmashauri Kuu yaCCM ya Jimbo.

(2) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu wa CCMkatika Jimbo na atafanya kazi chini yaHalmashauri Kuu ya Jimbo lake.

Majukumu yake ni haya yafuatayo:-(a) Kuratibu kazi zote za CCM

katika Jimbo.

(b) Kuitisha na kuongoza vikao vyaSekretarieti ya Halmashauri Kuuya Jimbo kwa madhumuni yakushauriana, kuandaa agendaza Kamati ya Siasa ya Jimbo nakuchukua hatua za utekelezajiwa maamuzi ya CCM.

Katibu wa CCM waJImbo

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 97

Page 98: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi90

(c) Kusimamia kazi za Utawala naUendeshaji wa Chama katikaJimbo.

(d) Kufuatilia na kuratibu masualaya Usalama na Maadili yaChama katika Jimbo.

(e) Kusimamia Udhibiti wa fedha namali ya Chama katika Jimbo.

(3) Ataitisha Mikutano ya Kamati ya Siasaya Jimbo, Halmashauri Kuu ya Jimbona Mkutano Mkuu wa Jimbo baada yakushauriana na Mwenyekiti wa CCM waJimbo

(4) Atakuwa ndiye Mkurugenzi waUchaguzi katika Jimbo.

(5) Atashughulikia na kusimamia masualayote ya Organaizesheni ya CCM katikaJimbo, ambayo ni:-

(a) Masuala yote ya wanachama.

(b) Kufuatilia vikao na maamuzi yavikao vya CCM.

(c) Kusimamia Jumuiya zawananchi zinazoongozwa naCCM na Wazee wa Chama.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 98

Page 99: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 91

(d) Kusimamia masuala yote yaUchaguzi wa ndani ya Chamana ule wa Uwakilishi katikaVyombo vya Dola.

(e) Kusimamia Katiba, Muundo,Kanuni na Taratibu za Chamana Jumuiya zinazoongozwa naCCM.

73. Katibu wa Siasa na Uenezi wa Jimboatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaJimbo na atashughulikia masuala yote ya Siasana Uenezi katika Jimbo. Majukumu yake nihaya yafuatayo:-

(a) Kusimamia, kueneza na kufafanuamasuala yote ya Itikadi, Siasa na Seraza CCM katika Jimbo.

(b) Kupanga na kusimamia Mafunzo namaandalizi ya Makada na Wanachamakatika Jimbo.

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera za Chamaza Kijamii na Ilani za Uchaguzi za CCMkatika Jimbo.

(d) Kudumisha uhusiano mzuri na vyombovya habari na kuwa na mipango yamawasiliano na uhamasishaji wa Ummakatika Jimbo.

Katibu wa Siasa na Uenezi wa Jimbo

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 99

Page 100: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi92

(e) Kufuatilia hali ya kisiasa na harakati zaVyama vya Siasa Jimboni.

(f) Kufuatilia mwenendo wa Jumuiya zaKijamii katika Jimbo.

74. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Jimboatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaJimbo na atashughulikia masuala yote yaUchumi na Fedha katika Jimbo. Majukumuyake ni haya yafuatayo:-

(a) Kuhamasisha na kufuatilia utekelezajiwa Sera za CCM za Uchumi katikaJimbo.

(b) Kutekeleza Sera za CCM za uchumikatika Jimbo.

(c) Kubuni na kutekeleza njia mbalimbali zakukipatia Chama mapato.

(d) Kusimamia mapato na matumizi yafedha na kutoa taarifa kwa Kamati yaSiasa ya Jimbo.

(e) Kusimamia mali za Chama na kutoataarifa kwa Kamati ya Siasa ya Jimbo.

Katibu wa Uchumi na Fedha waJimbo

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 100

Page 101: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 93

FUNGU LA V

VIKAO VYA WILAYA

75. Kutakuwa na Vikao vya CCM vifuatavyo katikakila Wilaya:-

(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya.

(2 Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya.

(3) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Wilaya.

(4) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Wilaya.

(5) Kamati ya Madiwani wote wa CCM.

76. (1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilayautakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya.

(b) Katibu wa CCM wa Wilaya.

(c) Mkuu wa Wilaya ambayeanatokana na CCM.

(d) Katibu wa Siasa na Uenezi waWilaya.

(e) Katibu wa Uchumi na Fedha waWilaya.

Vikao vya CCM vya Wilaya

Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 101

Page 102: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi94

(f) Mbunge au Wabungewanaotokana na CCM,wanaowakilisha Majimboyaliyomo katika Wilaya hiyo, naWabunge wa aina nyinginewanaoishi katika Wilaya hiyo.

(g) Wawakilishi wanaotokana naCCM, wanaowakilisha Majimboyaliyomo katika Wilaya hiyo, naWawakilishi wa aina nyinginewanaoishi katika Wilaya hiyo

(h) Wajumbe wote wa MkutanoMkuu wa CCM wa Taifawaliochaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa Wilaya hiyo.

(i) Wajumbe wa Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa wanaoishikatika Wilaya hiyo.

(j) Mwenyekiti na Katibu wa Wilayawa kila jumuiya ya wananchiinayoongozwa au iliyojishirikishana CCM, na mjumbe mwinginemmoja ambaye ni mwanachamawa CCM aliyechaguliwa na kilaJumuiya inayohusika iliyomokatika Wilaya hiyo.

(k) Wajumbe wote ambao niwanachama wa CCM kutoka

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 102

Page 103: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 95

kila Jumuiya ya Wananchiinayoongozwa au iliyojishirikishana CCM wanaowakilishaJumuiya hizo katikaMkutano Mkuu wa CCM waTaifa wanaoishi katika Wilayahiyo.

(m) Madiwani wanaotokana na CCMwanaowakilisha Kata/Wadizilizomo katika Wilaya husika naMadiwani wa CCM wa ainanyingine wanaoishi katikaWilaya hiyo.

(n) Meya wa Manispaa auMwenyekiti wa Halmashauri yaWilaya anayetokana naCCM.

(o) Makatibu wa Siasa na Ueneziwa Kata/Wadi za Wilaya hiyo.

(p) Makatibu wa Uchumi na Fedhawa Kata/Wadi za Wilaya hiyo.

(q) Wajumbe kumi waliochaguliwana kila Kata ya Wilayahiyo.

(r) Mjumbe mmoja aliyechaguliwana Mkutano Mkuu wa kila Tawila Wilaya hiyo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 103

Page 104: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi96

(s) Wenyeviti wote wa CCM waMatawi katika Wilaya hiyo.

(t) Makatibu wote wa CCM waMatawi katika Wilaya hiyo.

(u) Makatibu wa Siasa na Ueneziwote wa Matawi ya CCMyaliyomo katika Wilayahiyo.

(v) Makatibu wa Uchumi na Fedhawote wa Matawi yaliyomokatika Wilaya hiyo.

(w ) Wajumbe wengine wote waMkutano Mkuu wa Mkoawanaoishi katika Wilaya hiyo.

(x) Kwa Wilaya za Zanzibar,Wajumbe wengine wa MkutanoMkuu wa Wilaya ni hawawafuatao:-

- Wenyeviti na Makatibuwote wa CCM wa Majimbo.

- Makatibu wa Siasa naUenezi wa Majimbo.

- Makatibu wa Uchumi naFedha wa Majimbo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 104

Page 105: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 97

- Wenyeviti na Makatibu waMajimbo wa Jumuiyazinazoongozwa na CCM.

- Wajumbe wa MkutanoMkuu wa Wilaya na Mkoakupitia kila Jimbo linalohusika.

(2) Mkutano Mkuu wa Wilaya ndicho kikaokikuu cha CCM katika Wilaya.

(3) Madiwani wote wanaotokana na CCMkwa pamoja watakuwa Kamati yaMadiwani wa CCM ambayo kazi yakeitakuwa ni kusimamia kwa jumlautekelezaji wa ilani ya CCM na siasa ya CCM katika shughuli zotezinazoendeshwa na Halmashauri zaWilaya, pamoja na kutekeleza kazinyingine ambazo zimeainishwa katikakanuni zake zinazohusika. Vikao vyaKamati hii vitafanyika kwa mujibu waKanuni zake zinazohusika. Kwa upandewa Wilaya za Zanzibar, kwa kuwaWilaya hizo zina Wabunge wengipamoja na Wawakilishi wengiwanaotokana na CCM wanaowakilishaMajimbo ya Uchaguzi yaliyomo katikaWilaya husika, pamoja na Wabunge naWawakilishi wa aina nyingine wanaoishikatika Wilaya hiyo, utaratibu utakuwakwamba Wabunge wanaohusika

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 105

Page 106: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi98

watachagua wajumbe wawili kutokamiongoni mwao; na Wawakilishiwanaohusika pia watachaguawajumbe wawili kutoka miongonimwao, ambao ndio watakuwaWajumbe wa Kamati ya Madiwani wotewa CCM katika Halmashauriinayohusika.

(4) Mkutano Mkuu wa Wilaya utafanyamikutano yake ya kawaida mara mojakila mwaka, lakini unaweza kukutanawakati wowote endapo itatokea haja yakufanya hivyo au kwa maagizo ya vikaovya juu.

(5) Mwenyekiti wa CCM wa Wilayaataongoza Mkutano Mkuu wa CCM waWilaya; lakini Mwenyekiti asipowezakuhudhuria Mkutano utamchaguamjumbe mwingine yeyote miongonimwao kuwa Mwenyekiti wa muda waMkutano huo.

77. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilayazitakuwa zifuatazo:-

(1) Kupokea na kujadili taarifa ya kazi zaCCM iliyotolewa na Halmashauri Kuuya CCM ya Wilaya, na kutoa maelekezoya utekelezaji wa Siasa ya CCM kwakipindi kijacho.

Kazi zaMkutano Mkuuwa CCM waWilaya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 106

Page 107: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 99

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio namaagizo ya ngazi za juu yanatekelezwaipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yote yanayohusuulinzi na usalama na maendeleo kwajumla katika Wilaya.

(4) Unapofika wakati wa uchaguzi MkutanoMkuu wa CCM wa Wilayautashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kumchagua Mwenyekiti waCCM wa Wilaya.

(b) Kuwachagua Wajumbe kumikuingia katika Halmashauri Kuuya CCM ya Wilaya.

(c) Kuwachagua Wajumbe wawilikuhudhuria Mkutano Mkuu waCCM wa Mkoa.

(d) Kuwachagua Wajumbe watanokuhudhuria Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa.

(5) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya kwa kadriitakavyoonekana inafaa.

(6) Mkutano Mkuu wa Wilaya wawezakukasimu madaraka yake kwaHalmashauri Kuu ya Wilaya kuhusuutekelezaji wa kazi zake kwa kadriutakavyoona inafaa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 107

Page 108: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi100

78. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilayaitakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya.

(b) Katibu wa CCM wa Wilaya.

(c) Mkuu wa Wilaya ambayeanatokana na CCM.

(d) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya,

(e) Katibu wa Uchumi na Fedha waWilaya.

(f) Mbunge au Wabungewanaotokana na CCMwanaowakilisha Majimboyaliyomo katika Wilaya husika,na Wabunge wa aina nyinginewanaoishi katika Wilaya hiyo.

(g) Wawakilishi wanaotokana naCCM wanaowakilisha Jimbohusika, na Wawakilishi wa ainanyingine wanaoishi katikaWilaya hiyo.

(h) Wajumbe kumi waliochaguliwana Mkutano Mkuu wa CCM waWilaya.

HalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 108

Page 109: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 101

(i) Mwenyekiti, Katibu wa Wilayana Mjumbe mmoja ambao niwanachama CCM kutoka kilaJumuiya ya Wananchiinayoongozwa au iliyojishirikishana CCM iliyopo Wilayaniwanaowakilisha Jumuiya hiyokwenye Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya.

(j) Wenyeviti wa CCM wa Majimboyaliyomo katika Wilaya hiyo.

(k) Makatibu wa CCM wa Majimbo yaliyomo katika Wilaya hiyo.

(l) Makatibu wa Siasa na uenezi waMajimbo yaliyomo katika Wilayahiyo.

(m) Makatibu wa uchumi na Fedhawa Majimbo yaliyomo katikawilaya hiyo

(n) Wenyeviti wa CCM waKata/Wadi zilizomo katikaWilaya hiyo.

(o) Makatibu wa CCM waKata/Wadi zilizomo katikaWilaya hiyo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 109

Page 110: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi102

(p) Makatibu wa Siasa na Ueneziwa CCM wa Kata/Wadi zilizomokatika Wilaya hiyo.

(q) Makatibu wa CCM wa Uchumina Fedha wa Kata/Wadi zilizomokatika Wilaya hiyo.

(r) Mwenyekiti wa Halmashauri yaMji, Manispaa au Mwenyekiti waHalmashauri ya Wilaya hiyoanayetokana na CCM.

(s) Madiwani wanaotokana na CCMwanaowakilisha Kata/Wadizilizomo katika Wilayahusika, na Madiwani wa ainanyingine wanaoishi katikaWilaya hiyo.

(t) Wajumbe wengine wote waHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa wanaoishi katika Wilayahiyo.

(u) Wajumbe wengine waHalmashauri Kuu ya Wilayawanaopatikana kwa mujibu wakifungu 80 (9) (d).

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilayaitafanya mikutano yake ya kawaida

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 110

Page 111: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 103

mara moja kila baada ya miezi mitatu.Lakini inaweza kufanya mkutanousiokuwa wa kawaida wakati wowoteendapo itatokea haja ya kufanya hivyo.

(3) Mkutano wa Halmashauri Kuu yaWilaya utakaofanyika katika kipindi chamiezi sita ya kwanza ya kila mwakautakuwa pia na Kazi Maalum yakupokea na kujadili Taarifa yaUtekelezaji wa Ilani ya CCMunaofanywa na mamlaka za Serikali zaMitaa katika Wilaya hiyo, katika mwakawa Fedha uliopita wa mamlaka hizo,uliomalizika tarehe 31 Desemba yamwaka unaohusika. Isipokuwa kwambakwa Halmashauri ya Jiji, ambalo mipakayake inaunganisha Wilaya zaidi yamoja, Taarifa zake zitapokelewa nakujadiliwa na Halmashauri Kuu yaMkoa unaohusika na Mamlaka hiyo.

(4) Mwenyekiti wa CCM wa Wilayaataongoza Mkutano wa HalmashauriKuu ya CCM ya Wilaya, lakiniMwenyekiti asipoweza kuhudhuria,Katibu wa CCM wa Wilaya atakuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutano huo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 111

Page 112: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi104

79. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilayazitakuwa zifuatazo:-

(1) Kuongoza na kusimamia ujenzi waUjamaa na Kujitegemea katika eneo laWilaya.

(2) Kusimamia Uenezi wa Itikadi na Siasaya CCM na kueleza mipango ya CCMkwa Kata/Wadi na Majimbo yote yaWilaya, na kubuni mbinu zinazofaa zakuimarisha CCM katika Wilaya.

(3) Kupanga mikakati ya kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezo katikaWilaya.

(4) Kutoa msukumo wa utekelezaji wa Ilaniya CCM na kusimamia utekelezaji waSiasa na Maazimio ya CCM kwa jumla.

(5) Kuona kwamba shughuli za maendeleoya Ulinzi na Usalama zinazingatiwakatika Wilaya.

(6) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCMza Kata zote upande wa Tanzania Bara;na za Wadi na Majimbo upande waZanzibar, kuhusu njia zinazofaa zakuimarisha CCM na kuleta maendeleoWilayani.

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 112

Page 113: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 105

(7) Kuangalia mwenendo na vitendo vyawanachama pamoja na viongozi waCCM katika Wilaya na inapolazimukutoa taarifa kwa vikao vinavyohusika.

(8) Kufikisha kwenye Kata, Wadi, Jimbomaazimio na maagizo ya vikao vya juuna kufikisha kwenye Vikao vya juumapendekezo kutoka kwenyeKata/JWadi na Jimbo.

(9) Unapofika wakati wa uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilayaitashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kuwachagua kutoka miongonimwao Wajumbe watano kwaWilaya za Tanzana Bara, nawatatu kwa Wilaya za Zanzibarkuingia katika Kamati ya Siasaya Halmashauri Kuu ya Wilaya.

(b) Kumchagua Katibu wa Siasa naUenezi wa CCM wa Wilaya.

(c) Kumchagua Katibu wa Uchumina Fedha wa CCM wa Wilaya.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 113

Page 114: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi106

(d) Kuwachagua wanachamawasiozidi watatu waHalmashauri Kuu ya CCMya Wilaya kutokana namapendekezo ya Mwenyekiti waCCM wa Wilaya.

(e) Kufikiria na kufanya uteuzi wamwisho wa wanachamawanaoomba Uenyekiti naUkatibu wa CCM wa Tawi,Ukatibu wa Siasa na Uenezi waTawi, Ukatibu wa Uchumi naFedha wa Tawi, Ujumbe waHalmashauri Kuu ya CCM yaKata/Wadi, Uenyekiti waMtaa,Ujumbe wa Kamati yaMtaa, Uenyekiti na Ujumbe waHalmashauri ya Kijiji.

(f) Kufanya uteuzi wa mwisho wamajina ya wanachama wa CCMwatakaosimama katika uchaguziwa Mwenyekiti na Katibu waKata na Jimbo kwa upande waZanzibar wa kila Jumuiya yaWananchi inayoongozwa naCCM na Ujumbe wakuiwakilisha kila Jumuiya katikavikao vya CCM vya Kata naMajimbo katika Wilayainayohusika.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 114

Page 115: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 107

(10) Kujaza kwa niaba ya Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya nafasi za Uongozizinazokuwa wazi isipokuwa yaMwenyekiti wa CCM wa Wilaya.

(11) Kupokea, kuzingatia na kuamua juu yamapendekezo ya vikao vya CCM vilivyochini yake.

(12) Kuunda Kamati Ndogo za Utekelezajikama itakavyoonekana inafaa kwa ajiliya utekelezaji bora zaidi wa kazi zaCCM katika Wilaya. Isipokuwa kwambaHalmashauri Kuu ya Wilaya itaundaKamati Ndogo kwa kila Jimbo laUchaguzi wa Wabunge/Wawakilishilililomo katika Wilaya hiyo, ambayoitaitwa Kamati ya Jimbo. Kamati hiyoitakuwa na Wajumbe wote waHalmashauri Kuu ya Wilaya wanaotokakatika Jimbo la Uchaguzi linalohusika,na itakuwa na uwezo wa kuchaguaMwenyekiti na Katibu wake. Kazikubwa ya Kamati ya Jimbo la Uchaguziitakuwa ni kubuni mbinu za kuimarishaChama katika Jimbo hilo, pamoja nakupanga mikakati inayofaa ya Kampeniza uchaguzi kwa lengo la kuipatia CCMushindi.

(13) Kupokea na kujadili taarifa zautekelezaji wa Kazi za CCM za Wilaya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 115

Page 116: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi108

na Kamati ya Madiwani wa CCM waWilaya.

(14) Kumwachisha au kumfukuza uongoziMwenyekiti au Katibu wa CCM wa Tawi.

(15) Kuunda Kamati ya Usalama na Maadiliya CCM ya Wilaya.

(16) Halmashauri Kuu ya Wilaya yawezakukasimu madaraka yake kwa Kamatiya Siasa ya Wilaya kuhusu utekelezajiwa kazi zake kwa kadri itakavyoonainafaa.

80. (1) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Wilaya itakuwa na wajumbewafuatao:

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya.

(b) Katibu wa CCM wa Wilaya.

(c) Mkuu wa Wilaya ambayeanatokana na CCM.

(d) Katibu wa Siasa na Uenezi waWilaya;

(e) Katibu wa Uchumi na Fedha waWilaya.

(f) Mbunge au Wabungewanaotokana na CCM

Kamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 116

Page 117: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 109

wanaowakilisha Wilaya hiyo auWabunge wa aina nyinginewanaoishi katika Wilaya hiyo.

(g) Kwa Upande wa Wilaya zaZanzibar zenye Wabungewengi wanaotokana na CCMwanaowakilisha Majimbo yaUchaguzi yaliyomo katikaWilaya husika, na Wabunge waaina nyingine wanaoishi katikaWilaya hiyo, kwa pamojawatachagua wajumbe wasiozidiwatano kutoka miongoni mwao,ambao ndio watakuwa wajumbewa Kamati ya Siasa ya Wilayainayohusika.

(h) Kwa upande wa Wilaya zaZanzibar zenye Wawakilishiwengi wanaotokana na CCMwanaowakilisha Majimbo yauchaguzi yaliyomo katika Wilayahusika, pamoja na Wawakilishiwa aina nyingine wanaoishikatika Wilaya hiyo, kwa pamojawatachagua wajumbe wasiozidiwatano kutoka miongoni mwao,ambao ndio watakuwa wajumbewa Kamati ya Siasa ya Wilayainayohusika.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 117

Page 118: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi110

(i) Wajumbe waliochaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM yaWilaya kuingia katika Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Wilaya watano kwaWilaya za Tanzania Bara nawatatu kwa Wilaya za TanzaniaZanzibar.

(j) Mwenyekiti wa Halmashauri yaMji, Manispaa au Mwenyekiti waHalmashauri ya Wilaya hiyoanayetokana na CCM.

(k) Mwenyekiti wa Wilaya wa kilaJumuiya ya Wananchiinayoongozwa na CCM iliyomokatika Wilaya hiyo.

(l) Mwenyekiti na Katibu wa Kamatiya Madiwani wa CCM.

(2) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaWilaya itafanya mikutano yake yakawaida mara moja kwa mwezi.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Wilayaataongoza Mkutano wa Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Wilaya. Lakini Mwenyekitiasipoweza kuhudhuria Katibu wa CCMwa Wilaya atakuwa Mwenyekiti wamuda wa Mkutano huo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 118

Page 119: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 111

81. Kazi za Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Wilaya zitakuwa zifuatazo:-

(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika Wilaya.

(2) Kusimamia utekelezaji wa shughuli zakila siku za CCM Wilayani chini yauongozi wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Wilaya.

(3) Kueneza Itikadi ya CCM katika Wilaya.

(4) Kuandaa mikakati ya kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezo.

(5) Kupanga mipango ya kukipatia Chamamapato, kusimamia kwa dhatiutekelezaji wa mipango hiyo, kudhibitimapato na kusimamia matumizi bora yafedha na mali za Chama katika Wilaya.

(6) Unapofika wakati wa uchaguzi, Kamatiya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCMya Wilaya itashughulikia mamboyafuatayo:-

(a) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa juu ya wanachamawanaoomba nafasi za uongoziwa CCM kupitia Wilaya hiyo.

Kazi za Kamatiya Siasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 119

Page 120: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi112

(b) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuuya CCM ya Wilaya juuya wanachama wanaoombaUenyekiti na Ukatibu wa CCMwa Tawi; Ukatibu wa Siasa naUenezi wa Tawi, Ukatibu waUchumi na Fedha wa Tawi;Ujumbe wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Kata/Wadi; Uenyekitiwa Mtaa, Uenyekiti na Ujumbewa Halmashauri ya Kijiji.

(c) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa juu ya Wanachamawanaoomba Uenyekiti naUkatibu wa CCM wa Jimbo;Katibu wa Siasa na Ueneziwa Jimbo; Katibu wa Uchumi naFedha wa Jimbo; Ujumbe waMkutano Mkuu wa Jimbo,Wilaya na Mkoa, Ujumbe waHalmashauri Kuu ya CCM yaJimbo, Uenyekiti na Ukatibuwa CCM wa Kata/Wadi, Katibuwa Siasa na Uenezi waKata/Wadi; Katibu wa Uchumina Fedha wa Kata/Wadi nawagombea Udiwani wa CCMkwa mujibu wa sheria zilizopo zauchaguzi wa Serikali za Mitaa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 120

Page 121: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 113

(d) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa, juu ya Wanachamawanaoomba nafasi zaMwenyekiti na MakamuMwenyekiti wa Halmashauri yaWilaya na Mji, Meya na NaibuMeya wa Manispaa zilizomokatika Mkoa huo na wanachamawanaoomba nafasi za Ubungena Uwakilishi.

(e) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaWilaya juu ya wanachama waCCM wanaoomba Uenyekiti naUkatibu wa Kata na Jimbo kwaupande wa Zanzibar wa kilaJumuiya ya Wananchiinayoongozwa na CCM nawanaoomba Ujumbe wakuiwakilisha kila Jumuiya katikavikao vya CCM vya Kata naMajimbo katika Wilayainayohusika.

(7) Kumsimamisha uongozi kiongoziyeyote wa Kata/Wadi na Jimboendapo itadhihirika kwamba tabia namwenendo wake vinamwondolea sifaza uongozi.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 121

Page 122: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi114

(8) Kuandaa mikutano ya Halmashauri Kuuya CCM ya Wilaya.

(9) Kuona kwamba masuala ya Ulinzi naUsalama yanazingatiwa katika Wilaya.

82. Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM yaWilaya itakuwa na wajumbe wafuatao:-

(1) Katibu wa CCM wa Wilaya ambayeatakuwa Mwenyekiti.

(2) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya.

(3) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Wilaya.

(4) Makatibu wa Wilaya wa Jumuiyazinazoongozwa na CCM.

83. (1) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya yatakuwayafuatayo:-

(a) Kuongoza na kusimamia shughuli za Chama katika Wilaya.

(b) Kuandaa shughuli za vikao vyote vya Chama vya Wilaya.

(2) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya CCM yaWilaya yatagawanyika ifuatavyo:-

(a) Katibu wa CCM wa Wilaya.

(b) Idara ya Siasa na Uenezi yaWilaya.

Sekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

Majukumu yaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Wilaya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 122

Page 123: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 115

(c) Idara ya Uchumi na Fedha yaWilaya.

(d) Idara ya Organaizesheni yaWilaya.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya Wilaya isipokuwakwamba Katibu wa CCM wa Wilayaatakuwa ndiye Katibu waOrganaizesheni katika Wilaya.

84. Kutakuwa na Wakuu wa CCM wafuatao katikaWilaya:-(1) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya.

(2) Katibu wa CCM wa Wilaya.

(3) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya.

(4) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Wilaya.

85. (1) Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya atachaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya. Atashika nafasi hiyo kwa muda wa miaka mitano, lakini anaweza kuchaguliwa tena baada ya muda huo kumalizika.

(2) Atakuwa na wajibu wa kuangaliamambo yote ya CCM katika Wilaya.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Wilaya, Halmashauri Kuu

Wakuu waCCM katikaWilaya

Mwenyekiti waCCM waWilaya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 123

Page 124: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi116

ya CCM ya Wilaya na Kamati ya Siasaya Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya.

(4) Katika mikutano anayoiongoza zaidi yakuwa na kura yake ya kawaida,Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya piaatakuwa na kura ya uamuzi endapokura za wajumbe wanaoafiki nawasioafiki zitalingana. Isipokuwakwamba kama kikao anachokiongozani kikao cha Uchaguzi, Mwenyekitiatakuwa na kura yake ya kawaida tu.Hatakuwa na haki ya kutumia kura yakeya uamuzi endapo kura za wajumbezimelingana. Wajumbe wa kikaowataendelea kupiga kura mpaka hapomshindi atakapopatikana.

86. (1) Katibu wa CCM wa Wilaya atateuliwa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(2) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu wa CCMWilayani na atafanya kazi chini yauongozi wa Halmashauri Kuu ya CCMya Wilaya.

Majukumu yake ni haya yafuatayo:-

(a) Kuratibu kazi zote za CCMkatika Wilaya.

Katibu waCCM waWilaya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 124

Page 125: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 117

(b) Kuitisha na kuongoza vikao vyaSekretarieti ya Halmashauri Kuuya CCM ya Wilaya kwamadhumuni ya kushauriana,kuandaa agenda za Kamatiya Siasa ya Halmashauri Kuuya Wilaya na kuchukua hatua zautekelezaji wa maamuzi yaCCM.

(c) Kusimamia kazi za Utawala naUendeshaji wa Chama katikaWilaya,

d) Kufuatilia na kuratibu masualaya Usalama na Maadili yaChama katika Wilaya.

(e) Kusimamia Udhibiti wa Fedhana Mali ya Chama Katika Wilaya.

(3) Kuitisha mikutano ya Kamati yaSiasa ya Wilaya, Halmashauri Kuu yaWilaya na Mkutano Mkuu wa Wilayabaada ya kushauriana na Mwenyekitiwa CCM wa Wilaya.

(4) Atakuwa ndiye Mkurugenzi waUchaguzi katika Wilaya.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:58 AM Page 125

Page 126: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi118

(5) Atashughulikia na kusimamia masualayote ya Organaizesheni ya CCM katikaWilaya, ambayo ni:-

(a) Masuala yote ya wanachama.

(b) Kufuatilia vikao na maamuzi yavikao vya Chama.

(c) Kusimamia Jumuiyazinazoongozwa na CCM naWazee wa Chama.

(d) Kusimamia masuala yote yaUchaguzi wa ndani ya Chamana ule wa Uwakilishi katikaVyombo vya Dola.

(6) Kusimamia Katiba, Muundo, Kanuni naTaratibu za Chama na Jumuiyazinazoongozwa na CCM.

87. Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilayaatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaWilaya na atashughulikia masuala yote yaSiasa na Uenezi katika Wilaya. Majukumu yakeni haya yafuatayo:

(a) Kushughulikia masuala yote ya Itikadi,Siasa na Sera za CCM katika Wilaya,

(b) Kupanga na kusimamia Mafunzo namatumizi ya fedha na kutoa taarifa kwaKamati ya Siasa ya Wilaya.

Katibu waSiasa naUenezi waWilaya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 126

Page 127: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 119

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera za Chamaza Kijamii na Ilani za Uchaguzi za CCMkatika Wilaya.

(d) Kudumisha uhusiano mzuri na Vyombovya Habari na kuwa na mipango yamawasiliano na uhamasishaji wa ummakwa ujumla katika Wilaya

(e) Kufuatilia hali ya Kisiasa na harakati zaVyama vya Siasa Wilayani.

(f) Kufuatilia mwenendo wa Jumuiya zakijamii katika Wilaya.

88. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Wilayaatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya Wilaya naatashughulikia masuala yote ya Uchumi naFedha katika Wilaya. Majukumu yake ni hayayafuatayo:-

(a) Kuhamasisha na kufuatilia utekelezajiwa sera za CCM za Uchumi katikaWilaya,

(b) Kubuni na kufuatilia mipango ya VitegaUchumi na Uwekezaji wa Chama katikangazi ya Wilaya.

(c) Kutekeleza mipango ya vitega uchumina uwekezaji wa Chama katika ngaziya Wilaya.

Katibu waUchumi naFedha waWilaya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 127

Page 128: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi120

(d) Kuchochea na kuratibu vitega uchumina mipango ya uwekezaji wa Chamakatika ngazi za chini za Wilayainayohusika,

(e) Kutafuta na kusimamia mapato namatumizi ya fedha na kutoa taarifa kwaKamati ya Siasa ya Wilaya.

(f) Kusimamia mali za Chama na kutoataarifa kwa Kamati ya Siasa ya Wilaya.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 128

Page 129: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 121

FUNGU LA VI

VIKAO VYA MKOA

89. Kutakuwa na Vikao vya CCM vifuatavyo katikakila Mkoa:

(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoa.

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa.

(3) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa.

(4) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa.

90. (1): Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoautakuwa na Wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa.

(b) Katibu wa CCM wa Mkoa.

(c) Mkuu wa Mkoa ambayeanatokana na CCM.

(d) Katibu wa Siasa na Uenezi waMkoa.

(e) Katibu wa Uchumi na Fedha waMkoa

(f) Mjumbe au Wajumbe waHalmashauri Kuu ya CCM ya

Vikao vyaCCM vyaMkoa

MkutanoMkuu waCCM wa Mkoa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 129

Page 130: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi122

Taifa nafasi ya Mkoa naWajumbe wengine waHalmashauri Kuu ya Taifawanaoishi katika Mkoa huo.

(g) Wabunge wote wanaotokana naCCM wanaowakilisha Majimboyaliyomo katika Mkoa husika, naWabunge wa aina nyinginewanaoishi katika Mkoa huo.

(h) Wawakilishi wote wanaotokanana CCM wanaowakilishaMajimbo yaliyomo katika Mkoahusika, na Wawakilishi wa ainanyingine wanaoishi katika Mkoahuo.

(i) Wajumbe wote wa HalmashauriKuu ya CCM ya Mkoa.

(j) Mwenyekiti, Katibu, Mjumbe waMkutano Mkuu wa Taifa waMkoa na Mjumbe mwinginemmoja aliyechaguliwa nakila Jumuiya ya Wananchiinayoongozwa na CCMiliyomo Mkoani.

(k) Meya wa Jiji au Mji wenye hadhiya Jiji.

(l) Wajumbe wawili waliochaguliwakutoka kila Wilaya.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 130

Page 131: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 123

(m) Wenyeviti na Makatibu wote waCCM wa Wilaya za Mkoa huo.

(n) Wakuu wote wa Wilaya ambaowanatokana na CCM katikaMkoa huo.

(o) Makatibu wa Siasa na Ueneziwa Wilaya za Mkoa huo.

(p) Makatibu wa Uchumi na Fedhawa Wilaya za Mkoa huo.

(q) Wenyeviti wa Halmashauri zaMiji, Meya wa Manispaa naWenyeviti wa Halmashauri zaWilaya katika Mkoa huo.

(r) Wajumbe watano wa MkutanoMkuu wa CCM wa Taifa,wanaowakilisha kila Wilaya yaMkoa huo.

(s) Wenyeviti na Makatibu wa CCMwa Majimbo ya Mkoaunaohusika, wa Zanzibar.

(t) Wenyeviti na Makatibu wa CCMwa Kata/Wadi zilizomo katikaMkoa huo.

(u) Makatibu wa Siasa na Uenezi;na Makatibu wa Uchumi naFedha wa Majimbo ya CCM yaMkoa unaohusika wa Zanzibar.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 131

Page 132: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi124

(v) Madiwani wote wanaotokana naCCM wanaowakilisha Kata/Wadizilizomo katika Mkoa husika, naMadiwani wa aina nyinginewanaoishi katika Mkoa huo.

(w) Makatibu wa Siasa na Uenezi;na Makatibu wa Uchumi naFedha wa Kata/Wadi zilizomokatika Mkoa huo.

(x) Mjumbe mmoja kutoka kila Katakwa upande wa Tanzania Barana Wajumbe watano kutoka kilaWadi kwa upande wa Zanzibarwaliochaguliwa na MkutanoMkuu wa CCM wa kilaKata/Wadi iliyomo katika Mkoahuo.

(y) Wajumbe watatu waliochaguliwakutoka kila Jimbo la Mkoaunaohusika wa Zanzibar.

(z) Wajumbe wa Baraza Kuu la Tifaambao ni wanachama wa CCMwa kila Jumuiya ya wananchiinayoongozwa au iliyojishirikishana CCM iliyomo Mkoani

(2) Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoandicho kikao kikuu cha CCM katikaMkoa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 132

Page 133: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 125

(3) Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoautafanya mikutano yake ya kawaidamara tatu katika kipindi cha miakamitano. Mikutano miwili itakuwa yauchaguzi na mmoja wa kazi. Lakinimkutano usio wa kawaida unawezakufanyika wakati wowote endapoitatokea haja ya kufanya hivyo au kwamaagizo ya kikao cha juu.

(4) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoaataongoza Mkutano Mkuu wa CCM waMkoa, lakini asipoweza kuhudhuriamkutano huo utamchagua Mjumbemwingine yeyote miongoni mwao kuwaMwenyekiti wa muda wa mkutano huo.

(5) Madiwani wote wanaoishi katika Jiji auMji wenye hadhi ya Jiji wanaotokana naCCM kwa pamoja watakuwa ni Kamatiya Madiwani wa CCM ya Mkoa katikaJiji au Mji unaohusika. Kazi yakeitakuwa ni kusimamia kwa jumlautekelezaji wa Ilani ya CCM naSiasa ya CCM katika shughuli zotezinazoendeshwa na Halmashauri yaJiji au Halmashauri ya Mji wenye hadhiya Jiji, pamoja na kutekeleza kazinyingine ambazo zimeainishwa katikakanuni zake zinazohusika. Vikao vyaKamati hii vitafanyika kwa mujibu waKanuni zake hizo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 133

Page 134: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi126

91. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoazitakuwa zifuatazo:-

(1) Kupokea na kujadili taarifa ya kazi zaCCM iliyotolewa na Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa na kutoa maelekezoya utekelezaji wa Siasa ya CCM kwakipindi kijacho.

(2) Kuhakikisha kwamba maazimio namaagizo ya ngazi za juu yanatekelezwaipasavyo.

(3) Kuzungumzia mambo yote yanayohusuUlinzi na Usalama, na maendeleo kwajumla katika Mkoa huo.

(4) Unapofika wakati wa uchaguzi,Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoautashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kumchagua Mwenyekiti waCCM wa Mkoa.

(b) Kumchagua Mjumbe mmojakwa Mikoa ya Tanzania Bara naWajumbe wanne kwa Mikoa yaZanzibar wa kuingia katikaHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa nafasi za Mkoa.

(c) Kuwachagua Wajumbe wawilikutoka kila Wilaya ya Tanzania

Kazi zaMkutanoMkuu waCCM wa Mkoa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 134

Page 135: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 127

Bara na Wajumbe watanokutoka kila Wilaya ya Zanzibarkuingia katika Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa.

(4) Kuunda Kamati za MkutanoMkuu wa CCM wa Mkoa kwakadri itakavyoonekana inafaa.

(5) Mkutano Mkuu wa Mkoawaweza kukasimu madarakayake kwa Halmashauri Kuu yaMkoa kuhusu utekelezaji wa kazizake kwa kadri utakavyoonainafaa.

92. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa itakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa.

(b) Katibu wa CCM wa Mkoa.

(c) Mkuu wa Mkoa ambayeanatokana na CCM.

(d) Katibu wa Siasa na Uenezi waMkoa.

(e) Katibu wa Uchumi na Fedha waMkoa.

(f) Mjumbe au Wajumbe waHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa, nafasi za Mkoa huo.

HalmashauriKuu ya CCMya MKoa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 135

Page 136: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi128

(g) Wenyeviti wote wa CCM waWilaya za Mkoa huo.

(h) Makatibu wa CCM wa Wilaya zaMkoa huo.

(i) Makatibu wa Siasa na Uenezi naMakatibu wa Uchumi na Fedhawa Wilaya za Mkoa huo.

(j) Wabunge wote wanaotokana naCCM wanaowakilisha Majimboya Uchaguzi yaliyomo katikaMkoa husika, na Wabunge waaina nyingine wanaoishi katikaMkoa huo.

(k) Wawakilishi wanaotokana naCCM wanaowakilisha majimboya uchaguzi yaliyomo katikaMkoa husika, na Wawakilishi waaina nyingine wanaoishi katikaMkoa huo.

(l) Meya wa Jiji au Meya wa Mjiwenye hadhi ya Jiji anayetokanana CCM

(m) Wenyeviti wa Halmashauri zaMiji, Meya wa Manispaa auWenyeviti wa Halmashauri zaWilaya katika Mkoa huowanaotokana na CCM.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 136

Page 137: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 129

(n) Wajumbe wa Halmashauri Kuuya Mkoa wanaochaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM waMkoa, wawili kutoka kila Wilayaya Tanzania Bara na watanokutoka kila Wilaya ya Zanzibar.

(o) Mwenyekiti na Katibu wa Kamatiya Madiwani wa CCM ya Mkoawenye Jiji au Mji wenye hadhi yaJiji.

(p) Mwenyekiti, Katibu waMkoa na Mjumbe auwajumbe ambao niWanachama wa CCM waBaraza Kuu la Taifa wakila Jumuiya yaWananchi inayoongozwa auinayojishirikisha na CCM iliyopoMkoani.

(q) Wajumbe wengine waHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa wanaopatikana kwamujibu wa kifungu 94 (10) (d). (2) Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa itafanya mikutano yakeya kawaida mara moja kilabaada ya miezi mitatu, lakiniinaweza kufanya mkutanousiokuwa wa kawaida wakati

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 137

Page 138: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi130

wowote endapo itatokea hajaya kufanya hivyo au kwamaagizo ya Kikaocha juu.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoaataongoza Mkutano wa HalmashauriKuu ya CCM ya Mkoa. LakiniMwenyekiti asipoweza kuhudhuria,Katibu wa CCM wa Mkoa atakuwaMwenyekiti wa muda wa mkutano huo.

93. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoazitakuwa zifuatazo:-

(1) Kuongoza na kusimamia ujenzi waUjamaa na Kujitegemea katika Mkoa.

(2) Kusimamia Uenezi wa Itikadi na Siasaya CCM, kueleza Mipango ya CCM kwaWilaya za CCM za Mkoa huo, na kubunimbinu zinazofaa za kuimarisha CCMkatika Mkoa.

(3) Kupanga mikakati ya Kampeni zaUchaguzi na kampeni nyinginezo katikaMkoa.

(4) Kutoa msukumo wa utekelezaji wa Ilaniya CCM na kusimamia utekelezaji waSiasa na maazimio yaliyopitishwa naMkutano Mkuu wa CCM wa Taifa naMkutano Mkuu wa CCM wa Mkoa.

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 138

Page 139: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 131

(5) Kuona kwamba shughuli za Maendeleona za Ulinzi na Usalama katika Mkoazinazingatiwa.

(6) Kupokea, kuzingatia na kuamua juu yamapendekezo ya vikao vya CCM vilivyochini yake.

(7) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCMza Wilaya katika njia zinazofaa zakuimarisha CCM, na za kuletamaendeleo katika Mkoa.

(8) Kuangalia mwenendo na vitendo vyaWanachama na viongozi wa CCMkatika Mkoa na inapolazimu kutoataarifa kwa vikao vinavyohusika.

(9) Kufikisha maazimio na maagizo yavikao vya juu kwa ngazi za chini yake,na kufikisha mapendekezo kutokangazi hizo kwa vikao vya juu.

(10) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoaitashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kuwachagua Wajumbe waKamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCMya Mkoa, watano kwa Mikoa yaTanzania Bara, na watatu kwaMikoa ya Zanzibar kutokamiongoni mwao.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 139

Page 140: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi132

(b) Kumchagua Katibu wa Siasa naUenezi wa Mkoa.

(c) Kumchagua Katibu wa Uchumina Fedha wa Mkoa.

(d) Kuwachagua wanachamawatatu wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa kutokana namapendekezo ya Mwenyekiti waCCM wa Mkoa.

(e) Kwa upande wa Tanzania Bara,itafikiria na kufanya uteuzi wamwisho wa wanachamawanaoomba Uenyekiti wa CCMwa Kata, Ukatibu wa CCMwa Kata, Ukatibu wa Siasana Uenezi wa Kata, Ukatibu waUchumi na Fedha wa Kata,Udiwani, Ukatibu wa Siasa naUenezi wa Wilaya, Ukatibu waUchumi na Fedha wa Wilaya,Ujumbe wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Wilaya na Mkoa,Ujumbe wa Mkutano Mkuu waCCM wa Wilaya, Mkoa, naTaifa.

(e) Kwa upande wa TanzaniaZanzibar, itafikiria na kufanyauteuzi wa mwisho wawanachama wanaoomba

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 140

Page 141: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 133

Uenyekiti wa CCM wa Wadi;Ukatibu wa CCM wa Wadi;Ukatibu wa Siasa na Ueneziwa Wadi; Ukatibu wa Uchumi naFedha wa Wadi, Udiwani;Uenyekiti wa CCM na Ukatibuwa CCM wa Jimbo, Ukatibu waSiasa na Uenezi wa Jimbo;Ukatibu wa Uchumi naFedha wa Jimbo; Ukatibu waSiasa na Uenezi wa Wilaya,Ukatibu wa Uchumi na Fedhawa Wilaya, Ujumbe waHalmashauri Kuu ya CCM yaJimbo, Wilaya na Mkoa, Ujumbewa Mkutano Mkuu wa CCM waWilaya, Mkoa na Taifa.

(f) Kufanya uteuzi wa mwisho wamajina ya wanachama wa CCMwanaogombea Uenyekiti waWilaya wa kila Jumuiya yaWananchi inayo ongozwa naCCM; na majina ya kuiwakilishakila Jumuiya katika vikao vyaCCM vya Wilaya za Mkoaunaohusika.

(11) Kujaza kwa niaba ya Mkutano Mkuu waCCM wa Mkoa nafasi za uongozizitakazokuwa wazi isipokuwa yaMwenyekiti wa CCM wa Mkoa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 141

Page 142: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi134

(12) Kuunda Kamati Ndogo kwa kadriitakavyoonekana inafaa kwa ajili yautekelezaji bora zaidi wa kazi za CCMkatika Mkoa.

(13) Kupokea na kujadili taarifa za KamatiNdogo za utekelezaji wa kazi za CCMza Mkoa na Kamati ya Madiwani waCCM ya Mkoa pale panapohusika.

(14) Kumwachisha au kumfukuzaUanachama Mwanachama yeyoteendapo itaridhika kwamba tabia namwenendo wake vinamwondolea sifaza Uanachama. Mwanachamaanayeachishwa au kufukuzwaUanachama anaweza kukata rufaakwa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa.

(15) Kumwachisha au kumfukuza uongozikiongozi yeyote ambaye uteuzi wakewa mwisho unafanywa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa.

(16) Kuunda Kamati ya Usalama na Maadiliya CCM ya Mkoa.

(17) Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoayaweza kukasimu madaraka yake kwaKamati ya Siasa ya Mkoa kuhusuutekelezaji wa Kazi zake kwa kadriitakavyoona inafaa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 142

Page 143: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 135

94. (1) Kutakuwa na Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa katika kila Mkoa ambayo itakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa.

(b) Katibu wa CCM wa Mkoa.

(c) Mkuu wa Mkoa ambaye nianatokana na CCM.

(d) Katibu wa Siasa na Uenezi waMkoa.

(e) Katibu wa Uchumi na Fedha waMkoa.

(f) Mjumbe au Wajumbe waHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa nafasi za Mkoa huo.

(g) Mwenyekiti wa Mkoa wa kilaJumuiya ya wananchiinayoongozwa na CCM katikaMkoa huo.

(h) Wajumbe waliochaguliwa naHalmashauri Kuu ya Mkoakuingia katika Kamati ya Siasaya Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa, watano kwa mikoa yaTanzania Bara na watatu kwaMikoa ya Zanzibar.

Kamati yaSiasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 143

Page 144: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi136

(i) Meya wa Jiji ambalo mipakayake inaunganisha zaidi yaWilaya moja anayetokana naCCM.

(j) Mwenyekiti na Katibu wa Kamatiya Madiwani wote wa CCM waJiji au Mji wenye hadhi ya Jiji.

(2) Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa itafanya mikutano yakeya kawaida mara moja kila mwezi.

(3) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoaataongoza Mkutano wa Kamati yaSiasa ya Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa. Lakini Mwenyekiti asipowezakuhudhuria, Katibu wa CCM wa Mkoaatakuwa Mwenyekiti wa muda waMkutano huo.

95. Kazi za Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa zitakuwa zifuatazo:-

(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika Mkoa.

(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM katikaMkoa.

(3) Kuandaa mikakati ya kampeni zauchaguzi na kampeni nyinginezo katikaMkoa.

Kazi za Kamatiya Siasa yaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 144

Page 145: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 137

(4) Kusimamia utekelezaji wa shughuli zakila siku za CCM na maamuzi yote yaCCM chini ya Uongozi wa HalmashauriKuu ya CCM ya Mkoa.

(5) Kupanga mipango ya kukipatia Chamamapato, kusimamia kwa dhatiutekelezaji wa mipango hiyo, kudhibitimapato na kusimamia matumizi bora yafedha na mali za Chama katika Mkoa.

(6) Unapofika wakati wa Uchaguzi, Kamatiya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCMya Mkoa itashughulikia mamboyafuatayo:-

(a) Kwa upande wa Tanzania Bara,itafikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa juu yawanachama wanaoomba nafasiya Mwenyekiti wa CCM waKata, Diwani, Katibu wa Siasana Uenezi wa Kata, na Wilaya;Katibu wa Uchumi na Fedhawa Kata na Wilaya; Ujumbe waHalmashauri Kuu ya CCM yaWilaya na Mkoa. Ujumbe waMkutano Mkuu wa CCM waWilaya na Mkoa na Ujumbe waMkutano Mkuu wa CCM waTaifa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 145

Page 146: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi138

(b) Kwa upande wa TanzaniaZanzibar, itafikiria na kutoamapendekezo yake kwaHalmashauri Kuu ya CCMya Mkoa juu ya wanachamawanaoomba nafasi yaMwenyekiti wa CCM wa Jimbo,Katibu wa CCM wa Jimbo,Mwenyekiti wa CCM wa Wadi,Katibu wa CCM wa Wadi,Katibu wa Siasa na Uenezi waWadi na Jimbo. Katibu waUchumi na Fedha wa Wadi,Diwani, Katibu wa Siasa naUenezi wa Wilaya; Katibu waUchumi na Fedha wa Wilaya;Mjumbe wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Jimbo, Wilaya naMkoa, na Mjumbe wa MkutanoMkuu wa Wilaya, Mkoa na Taifa.

(c) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa juu ya wanachamawanaoomba nafasi ya uongozikatika kila Wilaya na Mkoa waTanzania Bara ambao uteuziwao wa mwisho hufanywa navikao vya juu.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 146

Page 147: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 139

(d) Kufikiria na Kutoa mapendekezoyake kwa Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya Taifa juu yaWanachama wanaoomba nafasiza uongozi katika kila Wilaya naMkoa wa Zanzibar ambaouteuzi wao wa mwishohufanywa na vikao vya juu.

(e) Kwa upande wa Tanzania Bara,itafikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM juu yaWanachama wanaoomba nafasiza Umeya wa Jiji na Ubunge.

(f) Kwa upande wa Zanzibar,itafikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCMya Taifa juu ya Wanachamawanaoomba nafasi zaUmeya wa Jiji, au Manispaayenye hadhi ya Jiji, Ubunge naUwakilishi.

(g) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa juu yaWanachama wa CCMwanaoomba nafasi za uongozikatika Jumuiya za Wananchi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 147

Page 148: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi140

zinazoongozwa na CCM, ngaziya Wilaya, ambazo uteuzi wakewa mwisho hufanywa naHalmashauri Kuu ya CCM yaMkoa unaohusika. Vile vileitafikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati Kuu na KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu yaTaifa kuhusu Wanachama waCCM wanaoomba nafasi zauongozi wa kila Jumuiya yaCCM ngazi ya Mkoa.

(h) Kufikiria na kufanya uteuzi wamwisho wa majina yawanachama wa CCMwatakaogombea nafasi zaMwenyekiti na MakamuMwenyekiti wa Halmashauri zaWilaya, na Naibu Meya waHalmashauri za Manispaa naMiji.

(7) Kumsimamisha uongozi kiongoziyeyote wa ngazi ya Wilaya endapoitaridhika kwamba tabia na mwenendowake vinamwondolea sifa za uongozi,isipokuwa kwamba haitakuwa nauwezo wa kumsimamisha uongoziKiongozi ambaye uteuzi wake wamwisho haukufanywa na HalmashauriKuu ya CCM ya Mkoa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 148

Page 149: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 141

(8) Kuandaa mikutano ya Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa.

(9) Kuona kwamba masuala ya Ulinzi na Usalama na ya Maendeleoyanazingatiwa katika Mkoa.

96. Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa itakuwa na wajumbe wafuatao:-

(1) Katibu wa CCM wa Mkoa ambayeatakuwa Mwenyekiti.

(2) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Mkoa.

(3) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Mkoa.

(4) Makatibu wa Mkoa wa Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa na CCM.

97. (1) Majukumu ya Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Mkoayatakuwa yafuatayo:-

(a) Kuongoza na kusimamiashughuli za Chama katika Mkoa.

(b) Kuandaa shughuli za vikaovyote vya Chama vya Mkoa.

(2) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya Mkoayatagawanyika ifuatavyo:-

Sekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

Majukumu yaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Mkoa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 149

Page 150: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi142

(a) Katibu wa CCM wa Mkoa

(b) Idara ya Siasa na Uenezi yaMkoa.

(c) Idara ya Uchumi na Fedha yaMkoa.

(d) Idara ya Organaizesheni yaMkoa.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya CCM ya Mkoaisipokuwa kwamba Katibu wa CCM waMkoa atakuwa ndiye Katibu waOrganaizesheni katika Mkoa.

98. Kutakuwa na Wakuu wa CCM wafuatao katikaMkoa:-

(1) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa.

(2) Katibu wa CCM wa Mkoa.

(3) Mjumbe au Wajumbe wa HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa nafasi ya Mkoa.

(4) Katibu wa Siasa na Uenezi wa Mkoa.

(5) Katibu wa Uchumi na Fedha wa Mkoa.

99. (1) Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa atachaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM wa Mkoa na atashika nafasi hiyo ya Uongozi kwa muda wa miaka

Wakuu wa CCM wa Mkoa

Mwenyekiti waCCM wa Mkoa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 150

Page 151: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 143

mitano, lakini anaweza kuchaguliwa tena baada ya muda huo kumalizika.

(2) Atakuwa na madaraka ya kuangaliamambo yote ya CCM katika Mkoa.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Mkoa, Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa na Kamati ya Siasa yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Mkoa.

(4) Katika Mikutano anayoiongoza zaidi yakuwa na kura yake ya kawaida,Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa atakuwapia na kura ya uamuzi iwapo kura zawanaoafiki na wasioafiki zitalingana.Isipokuwa kwamba kama kikaoanachokiongoza ni kikao cha Uchaguzi,Mwenyekiti atakuwa na kura yake yakawaida tu. Hatakuwa na haki yakutumia kura yake ya uamuzi endapokura za wajumbe zimelingana.Wajumbe wa kikao wataendeleakupiga kura mpaka hapo mshindiatakapopatikana.

100. (1) Katibu wa CCM wa Mkoa atateuliwa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa

(2) Atakuwa Mtendaji Mkuu wa shughulizote za CCM katika Mkoa na atafanyakazi chini ya uongozi wa Halmashauri

Katibu wa CCM wa Mkoa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 151

Page 152: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi144

Kuu ya CCM ya Mkoa wake. Majukumuyake ni haya yafuatayo:-

(a) Kuratibu kazi zote za CCMkatika Mkoa.

(b) Kuitisha na kuongoza vikao vyaSekretarieti ya Halmashauri Kuuya CCM ya Mkoa kwamadhumuni ya kushauriana,kuandaa agenda za Kamatiya Siasa ya Mkoa na kuchukuahatua za utekelezaji wamaamuzi ya CCM.

(c) Kusimamia kazi za Utawala naUendeshaji wa Chama katikaMkoa.

(d) Kufuatilia na kuratibu masualaya Usalama na Maadili yaChama katika Mkoa.

(e) Kusimamia Udhibiti wa Fedhana Mali ya Chama katika Mkoa.

(3) Ataitisha Mikutano ya Kamati ya Siasaya Mkoa, Halmashauri Kuu ya Mkoa naMkutano Mkuu wa Mkoa baada yakushauriana na Mwenyekiti wa CCM waMkoa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 152

Page 153: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 145

(4) Atakuwa ndiye Mkurugenzi waUchaguzi katika Mkoa

(5) Atashughulikia na kusimamia masualayote ya Organaizesheni ya CCM katikaMkoa, ambayo ni:-

(a) Masuala yote ya wanachama.

(b) Kufuatilia vikao na maamuzi yavikao vya Chama.

(c) Kusimamia Jumuiyazinazoongozwa na CCM naWazee wa Chama.

(d) Kusimamia na kuratibu masualayote ya Uchaguzi wa ndani yaChama na ule wa Uwakilishikatika vyombo vya Dola.

(e) Kusimamia Katiba, Muundo,Kanuni na Taratibu za Chama naJumuiya zinazoongozwa naCCM.

101. Katibu wa Siasa na Uenezi wa Mkoaatachaguliwa na Halmashauri Kuu yaCCM ya Mkoa na atashughulikia masuala yoteya Siasa na Uenezi katika Mkoa. Majukumuyake ni haya yafuatayo:-

(a) Kusimamia, kueneza na kufafanuamasuala yote ya Itikadi, Siasa na Seraza CCM katika Mkoa.

Katibu waSiasa naUenezi wa Mkoa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 153

Page 154: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi146

(b) Kupanga na kusimamiaMafunzo na Maandalizi yaMakada na Wanachama katikaMkoa.

(c) Kufuatilia utekelezaji wa Sera zaChama za Kijamii na Ilani zaUchaguzi za CCM katika Mkoa.

(d) Kudumisha uhusiano mzuri naVyombo vya Habari na kuwa namipango ya mawasiliano naUhamasishaji wa Ummakwa jumla katika Mkoa.

(e) Kufuatilia hali ya Kisiasa Mkoani.

(f) Kufuatilia mwenendo waJumuiya za Kijamii Mkoani

102. Katibu wa Uchumi na Fedha wa Mkoaatachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM yaMkoa na atashughulikia masuala yote yaUchumi na Fedha katika Mkoa. Majukumuyake ni haya yafuatayo:-

(a) Kuhamasisha na kufuatilia utekelezajiwa Sera za CCM za Uchumi katikaMkoa.

(b) Kubuni na kufuatilia mipango ya VitegaUchumi na Uwekezaji wa Chama ngaziya Mkoa.

Katibu waUchumi naFedha waMkoa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 154

Page 155: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 147

(c) Kuchochea na kuratibu vitega uchumina mipango ya uwekezaji wa Chamakatika Wilaya zote za Mkoa.

(d) Kusimamia mapato na matumizi yafedha na kutoa taarifa kwa Kamati yaSiasa ya Mkoa.

(e) Kusimamia mali ya Chama na kutoa taarifa kwa Kamati ya Siasa ya Mkoa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 155

Page 156: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 156

Page 157: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 149

FUNGU LA VII

VIKAO VYA TAIFA

103. Kutakuwa na Vikao vifuatavyo vya CCM vyaTaifa:-

(1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa.

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(3) Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa.

(4) Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu yaTaifa ya CCM (Zanzibar).

(5) Sekretarieti ya Halmashauri Kuu yaCCM Taifa.

(6) Sekretarieti ya Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(7) Kamati ya Wabunge wote wa CCM.

(8) Kamati ya Wajumbe wa Baraza laWawakilishi wote wa CCM (Zanzibar).

104. (1) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa utakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM.

Vikao vyaCCM vya Taifa

MkutanoMkuu waCCM wa Taifa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 157

Page 158: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi150

(b) Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzaniawanaotokana na CCM.

(c) Makamu wawili wa Mwenyekiti waCCM.

(d) Rais wa Zanzibar anayetokana naCCM.

(e) Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muunganowa Tanzania, na Waziri Kiongozi waSerikali ya Mapinduzi Zanzibarwanaotokana na CCM.

(f) Katibu Mkuu wa CCM

(g) Manaibu Katibu Mkuu wa CCM.

(h) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waOrganaizesheni.

(i) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waItikadi na Uenezi.

(j) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waMambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa.

(k) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifawa Uchumi na Fedha.

(l) Wajumbe wote wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 158

Page 159: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 151

(m) Wabunge wote wanaotokana naCCM au kama Bunge limevunjwawale wanachama wote waliokuwaWabunge mara kabla ya kuvunjwaBunge; na Wabunge wote wa Bunge laAfrika Mashariki wanaotokana na CCM.

(n) Wajumbe wote wa Baraza laWawakilishi wanaotokana na CCMau kama Baraza hilo limevunjwawale wanachama wote waliokuwaWajumbe wa Baraza la Wawakilishimara kabla ya kuvunjwa kwa Barazahilo.

(o) Makatibu wa Siasa na Uenezi wote waMikoa.

(p) Makatibu wa Uchumi na Fedha wotewa Mikoa

(q) Wenyeviti wote wa CCM wa Wilaya.

(r) Makatibu wote wa CCM wa Wilaya.

(s) Makatibu wote wa Siasa na Uenezi waWilaya.

(t) Makatibu wote wa Uchumi na Fedhawa Wilaya.

(u) Mwenyekiti na Katibu wa Kamati yaWabunge wote wa CCM.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 159

Page 160: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi152

(v) Mwenyekiti na Katibu wa Kamati yaWajumbe wote wa Baraza laWawakilishi wanaotokana na CCM.

(w) Mwenyekiti, Katibu Mkuu na MakamuMwenyekiti wa kila Jumuiya yaWananchi inayoongozwa auiliyojishirikisha na CCM ambao niwanachama wa CCM.

(x) Wajumbe watano waliochaguliwa naMkutano Mkuu wa CCM wa kila Wilaya.

(y) Wajumbe watano waliochaguliwa namkutano mkuu wa kila wilaya yaCCM ya Vyuo vya Elimu ya Juu nchini.

(z) Mwenyekiti, Katibu wa Mkoa naMjumbe mwingine mmojaaliyechaguliwa kutoka kila Mkoa waBara na Zanzibar kwa kila Jumuiya yawananchi inayoongozwa auiliyojishirikisha na CCM ambao niwanachama wa CCM.

(2) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifautakuwa ndicho Kikao Kikuu cha CCMkupita vyote na ndicho kitakachokuwana madaraka ya mwisho.

(3) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifautafanya mikutano yake ya kawaida

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 160

Page 161: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 153

mara tatu katika kipindi cha miakamitano. Mikutano miwili kati ya hiyoitakuwa ya uchaguzi na mmoja utakuwawa kazi. Kalenda ya vikao vya Chamaitaonyesha ni lini mikutano hiyo mitatuitafanyika. Lakini mkutano usiokuwawa kawaida unaweza kufanyika wakatiwowote ukiitishwa na Mwenyekiti waCCM au ukiombwa na theluthi mbili yawajumbe wote wa Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa.

(4) Taarifa ya kukutana Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa ni lazima itolewe si chiniya miezi mitatu kabla ya tarehe yakukutana. Lakini inaweza kutolewataarifa ya muda mfupi zaidi ya huo ikiwaunafanyika mkutano usiokuwa wakawaida.

(5) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifaunaweza kukiagiza kikao chochote chaCCM kufanya kazi zozote ambazo ni zaMkutano huo bila Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa wenyewe kuathiri uwezowake wa kufanya kazi hizo.

(6) Wabunge wote wanaotokana na CCMkwa pamoja watakuwa ni Kamati yaWabunge wa CCM ambao kazi yakeitakuwa ni kusimamia kwa jumla

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 161

Page 162: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi154

utekelezaji wa Ilani ya CCM na Siasa yaCCM katika shughuli zotezinazoendeshwa na Bunge, pamoja nakutekeleza kazi nyingine ambazozimeainishwa katika Kanuni zakezinazohusika. Vikao vya Kamati hiivitafanyika kwa mujibu wa Kanuni zakehizo.

(7) Kamati hii itakuwa na uwezo wakutunga Kanuni zake kwa ajili yauendeshaji bora wa shughuli zake.Kanuni hizo itabidi ziidhinishwe naHalmashauri Kuu ya Taifa kablahazijaanza kutumika.

(8) Mwenyekiti wa CCM anaweza kuamuakuitisha vikao vya pamoja baina yaHalmashauri Kuu ya Taifa ya CCM naKamati ya Wabunge wote wa CCM kwaajili ya kushughulikia mambo kamaitakavyoonekana inafaa.

(9) Mwenyekiti wa Kamati ya Wabungewote wa CCM pamoja na Katibu waKamati hiyo watakuwa Wajumbe waKamati Kuu ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa.

(10) Unapofika wakati wa uchaguzi, Kamatiya Wabunge wote wa CCM itachaguaWajumbe kumi (10) kutoka miongoni

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 162

Page 163: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 155

mwao, kuwa Wajumbe wa HalmashauriKuu ya Taifa.

(11) Wajumbe wote wa Baraza laWawakilishi wanaotokana na CCM kwapamoja watakuwa ni Kamati yaWajumbe wa Baraza la Wawakilishi waCCM ambayo kazi yake itakuwa nikusimamia kwa jumla utekelezaji waIlani ya CCM na Siasa ya CCM katikashughuli zote zinazoendeshwa naBaraza la Wawakilishi, pamoja nakutekeleza kazi nyingine ambazozimeainishwa katika Kanuni zakezinazohusika. Vikao vya Kamati hiivitafanyika kwa mujibu wa Kanuni zakehizo.

(12) Kamati hii itakuwa na uwezo wakutunga Kanuni zake kwa ajili yauendeshaji bora wa shughuli zake nakwamba Kanuni hizo itabidiziidhinishwe na Halmashauri Kuu yaTaifa kabla ya kuanza kutumika.

(13) Mwenyekiti wa CCM anaweza kuitishavikao vya pamoja baina ya HalmashauriKuu ya Taifa ya CCM na Kamati yaWajumbe wa Baraza la Wawakilishi waCCM kwa ajili ya kushughulikia mambokama itakavyoonekana inafaa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 163

Page 164: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi156

(14) Mwenyekiti wa Kamati ya Wajumbe waBaraza la Wawakilishi wa CCM pamojana Katibu wa Kamati hiyo watakuwaWajumbe wa Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya Taifa.

(15) Unapofika wakati wa uchaguzi, Kamatiya Wajumbe wote wa Baraza laWawakilishi wanaotokana na CCMwatachagua Wajumbe watano (5)kutoka miongoni mwao kuwa Wajumbewa Halmashauri Kuu ya Taifa.

(16) Kiwango cha mahudhurio ya MkutanoMkuu wa CCM wa Taifa kitakuwa nitheluthi mbili ya Wajumbe kutokaTanzania Bara na theluthi mbili yaWajumbe kutoka Zanzibar.

(17) Mwenyekiti wa CCM atakuwaMwenyekiti wa Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa na asipowezakuhudhuria, mmoja wa Makamu waMwenyekiti wa CCM ataongozaMkutano huo. Iwapo itatokea kwambawote watatu hawawezi kuhudhuriaMkutano fulani, Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa itamchagua Mjumbemwingine yeyote miongoni mwao kuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutano huokwa ajili ya shughuli hiyo. Kutokana nahali hiyo Halmashauri Kuu ya CCM ya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 164

Page 165: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 157

Taifa inaweza kukutana hata kamaMwenyekiti na Makamu wote wawili waMwenyekiti hawapo.

105. Kazi za Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifazitakuwa zifuatazo:-

(1) Kupanga Siasa ya CCM na kusimamiautekelezaji wa shughuli zote za CCM.

(2) Kupokea na kufikiria taarifa ya kazi zaCCM iliyotolewa na Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa na kutoa maelekezo yamipango na utekelezaji wa Siasa yaCCM Kwa kipindi kijacho.

(3) Kuthibitisha, kubadili, kukataa aukuvunja uamuzi wowote uliotolewa nakikao chochote cha chini yake au nayeyote wa CCM.

(4) Kubadili sehemu yoyote ya Katiba yaCCM kwa uamuzi wa theluthi mbili zaWajumbe walio na haki ya kupiga kurakutoka Tanzania Bara na theluthi mbilikutoka Zanzibar.

(5) Unapofika wakati wa uchaguzi,Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifautashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kuwachagua Mwenyekiti waCCM na Makamu waMwenyekiti wa CCM.

Kazi zaMkutano Mkuuwa CCM waTaifa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 165

Page 166: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi158

(b) Kuchagua jina moja laMwanachama atakayesimamakatika uchaguzi wa Rais waJamhuri ya Muungano waTanzania.

(c) Kuchagua jumla ya Wajumbethemanini na tano kutokaTanzania Bara na Zanzibar wakuingia katika Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa kutoka orodhaya Taifa.

(6) Kuunda Kamati za Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa kwa kadriitakavyoonekana inafaa.

(7) Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifawaweza kukasimu madaraka yake kwaHalmashauri Kuu ya Taifa kuhusuutekelezaji wa kazi zake kwa kadriitakavyoona inafaa.

106. (1) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa itakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM.

(b) Rais na Makamu wa Rais waJamhuri ya Muungano waTanzania wanaotokana na CCM.

(c) Makamu wawili wa Mwenyekitiwa CCM.

HalmashauriKuu ya CCMyaTaifa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 166

Page 167: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 159

(d) Rais wa Zanzibar anayetokanana CCM.

(e) Waziri Mkuu wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, naWaziri Kiongozi wa Serikaliya Mapinduzi Zanzibarwanaotokana na CCM.

(f) Katibu Mkuu wa CCM

(g) Manaibu Katibu Mkuu wa CCM.

(h) Katibu wa Halmashauri Kuu yaTaifa wa Organaizesheni.

(i) Katibu wa Halmashauri Kuu yaTaifa wa Itikadi na Uenezi.

(j) Katibu wa Halmashauri Kuu yaTaifa wa Mambo ya Siasa naUhusiano wa Kimataifa.

(k) Katibu wa Halmashauri Kuu yaTaifa wa Uchumi na Fedha.

(l) Wenyeviti wote wa CCM waMikoa.

(m) Makatibu wote wa CCM waMikoa.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 167

Page 168: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi160

(n) Mwenyekiti, Katibu Mkuu naMakamu Mwenyekiti kutoka kilaJumuiya ya wananchiinayoongozwa auinayojishirikisha na CCM.

(o) Wajumbe wengine wote waHalmashauri Kuu ya Taifawanaopatikana kwa mujibu wavifungu: 92(4)(b); 105(10);105(15); 106(5)(c) na 108(13)(e).

(p) Mwenyekiti na Katibu wa Kamatiya Wabunge wote wa CCM

(q) Mwenyekiti na Katibu wa Kamatiya Wajumbe wa Baraza laWawakilishi wa CCM.

(r) Spika wa Bunge la Jamhuri yaMuungano wa Tanzaniaanayetokana na CCM na Spikawa Baraza la WawakilishiZanzibar anayetokana na CCM.

(s) Wajumbe wa Heshima wasiozidiwatano walioteuliwa naMwenyekiti wa CCM kuingiaKamati Kuu, kutokana nauongozi wao uliotukuka

(2) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitafanya mikutano yake ya kawaidamara moja kila baada ya miezi minne,

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 168

Page 169: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 161

lakini inaweza kufanya mkutanousiokuwa wa kawaida wakati wowoteendapo itatokea haja ya kufanya hivyoau kwa maagizo ya kikao cha juu.Mkutano wa Halmashauri Kuu yaTaifa utakaofanyika katika kipindi chamiezi sita ya mwisho wa kila mwakautakuwa pia na kazi maalum yakupokea na kujadili taarifa yautekelezaji wa Ilani ya CCMunaofanywa na Serikali ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzania pamoja naSerikali ya Mapinduzi ya Zanzibarkatika mwaka wa fedha uliopita waSerikali hizo ambao ulimalizika tarehe30 Juni ya mwaka unaohusika.

(3) Katika mikutano yote ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa, uamuzi utafikiwakwa makubaliano ya jumla, au kwawingi wa kura za Wajumbewaliohudhuria na kupiga kura. Lakiniukitokea uamuzi unaohitajika kutolewakuhusu vyombo vya Serikali ya Jamhuriya Muungano wa Tanzania au vyombovya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibarau kuhusu muundo wa Serikali yaJamhuri ya Muungano wa Tanzania naSerikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,uamuzi huo ni lazima upitishwe kwaazimio lililoungwa mkono na theluthimbili ya kura za Wajumbe kutoka

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 169

Page 170: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi162

Tanzania Bara na theluthi mbili ya kuraza Wajumbe kutoka Zanzibar.

(4) Mwenyekiti wa CCM atakuwaMwenyekiti wa Mkutano waHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa,lakini Mwenyekiti wa CCM asipowezakuhudhuria, mmoja wa Makamu waMwenyekiti wa CCM atakuwaMwenyekiti wa muda waMkutano huo.

107. Kazi za Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifazitakuwa zifuatazo:-

(1) Kutoa uongozi wa Siasa ya CCM kwajumla kwa Tanzania nzima. Kwa hiyoitakuwa na uwezo wa kubuni, kujadili,kuamua na kutoa Miongozo ya Siasa yaCCM katika mambo mbalimbali.

(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCM,kuongoza mafunzo ya Siasa ya CCM nakukuza nadharia na Itikadi ya CCM yaUjamaa na Kujitegemea.

(3) Kuongoza na kusimamia ujezi waUjamaa na Kujitegemea nchini.

(4) Kuandaa Ilani ya CCM ya Uchaguzi nakutoa msukumo wa utekelezaji wa Ilanihiyo.

Kazi zaHalmashauriKuu ya CCMyaTaifa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 170

Page 171: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 163

(5) Kufikisha maazimio na maagizo yaCCM katika Mikoa na kufikiria na kutoauamuzi juu ya mapendekezo kutokavikao vya CCM vya chini.

(6) Kuona kwamba shughuli za Maendeleona za Ulinzi na Usalama wa Taifazinazingatiwa.

(7) Kuandaa mikakati na mbinu za kampeniza uchaguzi na kampeni nyinginezo zakitaifa.

(8) Kudumisha uangalizi juu ya vitendo vyaWanachama na Viongozi wa CCM naendapo itadhihirika kwamba tabia namwenendo wa Mwanachama fulanivinamwondolea sifa za Uanachamaau Uongozi itakuwa na uwezo wakumwachisha au kumfukuzaUanachama au Uongozi alio nao.Kuhusu mtu aliyeachishwa aukufukuzwa Uanachama, HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa ndiyoitakayokuwa na uwezo wa mwisho wakumrudishia Uanachama wake kwamujibu wa Katiba, endapo itaridhikakuwa amejirekebisha.

(9) Kuziongoza Halmashauri Kuu za CCM za Mikoa kuhusu vitendo na njiazinazofaa za kuimarisha CCM na zakuleta maendeleo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 171

Page 172: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi164

(10) Kuandaa Katiba, Kanuni na kuwekataratibu za kuongoza shughulimbalimbali za CCM.

(11) Kuandaa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa

(12) Kuteua Makatibu wa CCM wa Mikoa.

(13) Unapofika wakati wa Uchaguzi,Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kuteua jina la Mwanachamaatakayesimama katika uchaguziwa Mwenyekiti wa CCM, namajina mawili ya Wanachamawatakaosimama katika uchaguziwa Makamu wa Mwenyekiti waCCM.

(b) Kupendekeza kwa MkutanoMkuu wa CCM wa Taifamajina yasiyozidi matatuya Wanachama wanaogombeanafasi ya Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania nakuyawasilisha mbele yaMkutano Mkuu wa CCM waTaifa.

(c) Kuchagua jina moja laMwanachama atakayesimamakatika uchaguzi wa Rais waZanzibar.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 172

Page 173: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 165

(d) Kuwachagua Katibu Mkuu waCCM, Manaibu Katibu Mkuu waCCM, Katibu wa HalmashauriKuu ya Taifa wa Organaizesheni,Katibu wa Halmashauri Kuu yaTaifa wa Itikadi na Uenezi,Katibu wa Halmashauri Kuu yaTaifa wa Mambo ya Siasa naUhusiano wa Kimataifa naKatibu wa Halmashauri Kuu yaTaifa wa Uchumi na Fedha.

(e) Kuwachagua Wanachamawasiozidi kumi kuwa Wajumbewa Halmashauri Kuu ya CCMya Taifa kutokana namapendekezo ya Mwenyekiti waCCM.

(f) Kuwachagua Wajumbe kumi nawanne wa Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya Taifa kutokamiongoni mwao, wakiwemowanawake wasiopungua wanne,wawili kutoka Tanzania Bara nawawili kutoka Zanzibar.

(g) Kufikiria na kufanya uteuzi wamwisho wa majina yaWanachama wanaoomba nafasiya Ubunge na majina yaWanachama wanaoomba

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 173

Page 174: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi166

nafasi ya Ujumbe wa Baraza laWawakilishi kwa mujibu washeria zilizopo za uchaguzi huo.

(h) Kufikiria na kufanya uteuzi wamwisho wa majina yaWanachama wanaoomba nafasiya Ujumbe wa Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa; Uenyekiti waCCM wa Wilaya na Mikoa,Ukatibu wa Siasa na Ueneziwa Mkoa, Ukatibu wa Uchumina Fedha wa Mkoa.

(i) Kufanya uteuzi wa mwisho wamajina ya Wanachama wa CCMwanaogombea Uenyekiti waMkoa, Uenyekiti wa Taifa naUkatibu Mkuu wa kila Jumuiyaya Wananchi inayoongozwa naCCM, na majina ya Wanachamawatakaochaguliwa kuiwakilishakila Jumuiya katika vikao vyaCCM vya Mkoa na Taifa.

(j) Kuwachagua jumla ya Wajumbewanane wa Baraza laWadhamini kutoka TanzaniaBara na Zanzibar.

(14) Kujaza kwa niaba ya Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa, nafasi za uongozi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 174

Page 175: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 167

zitakazokuwa wazi, isipokuwa yaMwenyekiti wa CCM na Makamu waMwenyekiti wa CCM.

(15) Kuunda Kamati au Tume kwa shughulimaalum bila kuathiri majukumu yaKamati Kuu ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa.

(16) Kupokea na kujadili taarifa za Tume naKamati Maalum za CCM, Kamati yaWabunge wa CCM, na Kamati yaWajumbe wa Baraza la Wawakilishi waCCM.

(17) Kuweka kiwango cha kiingilio katikaCCM, ada za Uanachama na michangomaalum.

(18) Kusimamisha kwa maslahi ya CCMutumiaji wa kifungu chochote chaKatiba ya CCM au kuruhusu kifungukutumika kabla ya kuingizwa ndani yaKatiba. Uamuzi huo sharti uungwemkono na theluthi mbili ya Wajumbekutoka Tanzania Bara na theluthi mbiliza Wajumbe kutoka Zanzibar. Hatahivyo Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitafikisha uamuzi wake mbele yaMkutano Mkuu wa CCM wa Taifa kwauamuzi wa mwisho.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 175

Page 176: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi168

(19) Kushughulikia uhusiano kati ya CCM naJumuiya mbalimbali za wananchi nakuziorodhesha Jumuiya zinazoongozwaau zinazojishirikisha na CCM.

(20) Kutengeneza na kurekebisha Muundowa CCM katika maeneo na nyanjambalimbali kwa kadri itakavyoonekanainafaa.

(21) Kumsimamisha Mwenyekiti wa CCM auMakamu Mwenyekiti wa CCM iwapomwenendo na utendaji wake wa kazivinamwondolea sifa za uongozi. Hatahivyo Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitafikisha mapendekezo yake mbele yaMkutano Mkuu wa CCM wa Taifa kwauamuzi wa mwisho.

(22) Kumwachisha au kumfukuza Uongozikiongozi yeyote ambaye uteuzi wakewa mwisho ulifanywa na HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa.

(23) Kuunda Kamati ya Usalama na Maadili.

(24) Kuidhinisha Kanuni za Kamati zaWabunge wote wa CCM, Wawakilishiwote wa CCM, Madiwani wote waCCM; Katiba/Kanuni za Jumuiya zawananchi zinazoongozwa na CCMna kuidhinisha marekebisho yaKatiba/Kanuni hizo.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 176

Page 177: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 169

(25) Halmashauri Kuu ya Taifa yawezakukasimu madaraka yake kwa KamatiKuu kuhusu utekelezaji wa kazi zakekwa kadri itakavyoona inafaa.

108. (1) Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa itakuwa na wajumbe wafuatao:-

(a) Mwenyekiti wa CCM.

(b) Rais na Makamu wa Rais waJamhuri ya Muungano waTanzania wanaotokana naCCM.

(c) Makamu wawili wa Mwenyekitiwa CCM.

(d) Rais wa Zanzibar anayetokanana CCM.

(e) Waziri Mkuu wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, naWaziri Kiongozi wa Serikaliya Mapinduzi Zanzibarwanaotokana na CCM.

(f) Katibu Mkuu wa CCM

(g) Rais Mstaafu wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania ambayepia alikuwa Mwenyekiti waCCM.

KamatiKuu yaHalmashauriKuu ya CCMyaTaifa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 177

Page 178: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi170

(h) Rais Mstaafu wa Zanzibarambaye pia alikuwa MakamuMwenyekiti wa CCM.

(i) Manaibu Katibu Mkuu wa CCM.

(j) Katibu wa Halmashauri Kuu yaTaifa wa Organaizasheni.

(k) Katibu wa Halmashauri Kuu yaTaifa wa Itikadi na Uenezi.

(l) Katibu wa Halmashauri Kuu yaTaifa wa Mambo ya Siasa naUhusiano wa Kimataifa.

(m) Katibu wa Halmashauri Kuu yaTaifa wa Uchumi na Fedha.

(n) Spika wa Bunge la Jamhuri yaMuungano anayetokan a naCCM, na Spika wa Baraza laWawakilishi la Zanzibaranayetokana na CCM.

(o) Wajumbe wengine wasiozidikumi na wanne waliochaguliwana Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa wakiwemo wanawakewasiopungua wanne, wawilikutoka Tanzania Bara nawawili kutoka Zanzibar.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 178

Page 179: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 171

(p) Mwenyekiti wa Taifa wa kilaJumuiya ya Wananchiinayoongozwa na CCM.

(q) Mwenyekiti na Katibu wa Kamatiya Wabunge wa CCM.

(r) Mwenyekiti na Katibu wa Kamatiya Wajumbe wa Baraza laWawakilishi wa CCM.

(t) Wajumbe wengine waHeshima wasiozidi watanowatakaopendekezwa naMwenyekiti wa CCM kutokanana uongozi wao uliotukuka.

(2) Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa itafanya mikutano yakeya kawaida mara moja kila miezi miwili.

(3) Mwenyekiti wa CCM atakuwaMwenyekiti wa Mkutano wa KamatiKuu ya Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa, lakini Mwenyekiti wa CCMasipoweza kuhudhuria, mmoja waMakamu wa Mwenyekiti atakuwaMwenyekiti wa muda wa Mkutano huo.

109. Kazi za Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa zitakuwa zifuatazo:

Kazi za Kamati Kuu yaHalmashauriKuu ya CCMya Taifa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 179

Page 180: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi172

(1) Kutoa uongozi wa Siasa katika nchi.

(2) Kusimamia utekelezaji wa shughuli zakila siku za CCM.

(3) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCMnchini.

(4) Kusimamia kampeni za Uchaguzi nakampeni nyinginezo.

(5) Kuteua Makatibu wa CCM wa Wilaya,Katibu wa Sekretarieti ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa, MakatibuWasaidizi Wakuu wa Idara na Wakuuwa Vitengo vya Makao Makuu yaChama.

(6) Unapofika wakati wa Uchaguzi KamatiKuu ya Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa itashughulikia mambo yafuatayo:-

(a) Kufikiria na kutoa mapendekezokwa Halmashauri Kuu ya CCMya Taifa juu ya Wanachamawatakaosimama katika uchaguziwa Mwenyekiti wa CCM.

(b) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa juu majina yaWanachama wasiozidi watano

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 180

Page 181: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 173

wanaoomba kugombea kiti chaRais wa Jamhuri ya Muunganowa Tanzania.

(c) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa juu yaWanachama watakaosimamakatika uchaguzi wa Makamu waMwenyekiti wa CCM.

(d) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa juu ya majina yaWanachama wasiozidi watatuambao wanaomba kugombeakiti cha Rais wa Zanzibar.

(e) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa juu yaWanachama wanaoomba nafasiza uongozi katika CCM naJumuiya zinazoongozwa naCCM ambao uteuzi wao wamwisho unafanywa naHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa.

(f) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa juu ya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 181

Page 182: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi174

Wanachama wanaoomba nafasiya Ubunge na Wanachamawanaoomba nafasi ya Ujumbewa Baraza la Wawakilishi.

(g) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Halmashauri Kuu yaTaifa juu ya Wanachama waCCM wanaoomba nafasi zauongozi katika Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa naCCM, ngazi ya Mkoa na Taifa,ambazo uteuzi wake wa mwishohufanywa na Halmashauri Kuuya CCM Taifa.

(h) Kufikiria na Kufanya uteuzi wamwisho wa wanachama waCCM wanaoomba kugombeanafasi ya Spika waBunge/Baraza la Wawakilishi,Meya wa Halmashauri yaJiji/Manispaa.

(7) Kumsimamisha uongozikiongozi yeyote isipokuwaMwenyekiti wa CCM naMakamu wa Mwenyekiti waCCM endapo itaridhika kwambatabia na mwenendo wakevinamwondolea sifa za uongozi.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 182

Page 183: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 175

(8) Kuona kwamba masuala yaUlinzi na Usalama wa Taifa naMaendeleo yanazingatiwa.

(9) Kuandaa mikutano yaHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa.

(10) Kuwa na mikakati endelevu yakuimarisha Chama kimapato,kudhibiti mapato na mali zaChama na kuthibitisha matumiziya Chama katika ngazi ya Taifa.

110. Kutakuwa na Sekretarieti ya Halmashauri Kuuya CCM ya Taifa ambayo itakuwa na wajumbewafuatao:-

(1) Katibu Mkuu wa CCM ambaye atakuwaMwenyekiti.

(2) Manaibu Katibu Mkuu wa CCM.

(3) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waOrganaizesheni.

(4) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waItikadi na Uenezi.

(5) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waMambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa.

Sekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMya Taifa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 183

Page 184: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi176

(6) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waUchumi na Fedha.

(7) Makatibu Wakuu wa Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa na CCM.

111. (1) Majukumu ya Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa yatakuwa yafuatayo:-

(a) Kusimamia shughuli zote zautendaji za Chama kitaifa.

(b) Kuandaa shughuli za vikao vyaChama ngazi ya Taifa.

(2) Majukumu ya Sekretarieti yaHalmashauri Kuu ya Taifayatagawanyika ifuatavyo:-

(a) Katibu Mkuu wa CCM.

(b) Idara ya Organaizesheni.

(c) Idara ya Itikadi na Uenezi.

(d) Idara ya Mambo ya Siasa naUhusiano wa Kimataifa.

(e) Idara ya Uchumi na Fedha.

(3) Kila Idara itaongozwa na Katibu waHalmashauri Kuu ya Taifa ya CCM.Idara ya Utawala na Uendeshaji Bara

Majukumu yaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCMyaTaifa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 184

Page 185: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 177

au Zanzibar itaongozwa na NaibuKatibu Mkuu wa CCM.

(4) Kila Idara ya Makao Makuu ya Chamaitakuwa na Kamati ya Ushauri yenyeWajumbe wasiozidi watano akiwemo naKatibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa.Wajumbe hao watateuliwa na KamatiKuu ya Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa.

112. Kazi za Idara za Sekretarieti ya HalmashauriKuu ya Taifa:-

(1) Idara ya Organaizesheni:-

(a) Kushughulikia masuala yote yawanachama wa CCM.

(b) Kufuatilia vikao na maamuzi yavikao vya Chama.

(c) Kusimamia Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa naCCM na Wazee wa Chama.

(d) Kusimamia masuala yote yaUchaguzi wa ndani ya CCM naule wa Uwakilishi katika Vyombovya Dola.

(e) Kusimamia Katiba, Muundo,Kanuni na Taratibu za Chama naJumuiya zinazoongozwa naCCM.

Kazi zaIdara zaSekretarieti yaHalmashauriKuu ya CCM ya Taifa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 185

Page 186: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi178

(2) Idara ya Itikadi na Uenezi:-

(a) Kushughulikia masuala yamsingi ya Itikadi na Sera zaChama Cha Mapinduzi.

(b) Kueneza na kufafanua Itikadi naSera za CCM.

(c) Kupanga na kusimamiaMafunzo na Maandalizi yaMakada na Wanachama.

(d) Kusimamia Vyombo vya Habarivya Chama, Mawasiliano naUhamasishaji wa Umma kwajumla

(e) Kuongoza na kusimamiamaandalizi ya Sera, Programuna Ilani za Uchaguzi za CCM.

(f) Kusimamia Utafiti, Maktaba naNyaraka za Chama.

(3) Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusianowa Kimataifa:-

(a) Kufuatilia hali ya kisiasa nchini.

(b) Kufuatilia utekelezaji wa Ilani yaUchaguzi na Sera za Kijamii zaCCM.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 186

Page 187: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 179

(c) Kufuatilia harakati za Vyama vyaSiasa nchini.

(d) Kufuatilia maendeleo yaJumuiya za Kijamii nchini.

(e) Kuratibu uhusiano na ushirikianowa CCM na vyama vya siasavya kidugu, kirafiki na vyakimapinduzi.

(f) Kufuatilia hali ya kisiasa katikanchi jirani na nchi nyinginezoduniani.

(g) Kufuatilia maendeleo ya Kamatiza Urafiki na mshikamano katiya Watanzania na wananchi wanchi rafiki.

(h) Kushughulikia masuala ya Itifakindani ya Chama.

(4) Idara ya Uchumi na Fedha:-

(a) Kufuatilia utekelezaji wa Sera zaCCM za Uchumi.

(b) Kuratibu mapato ya fedha zaChama nchini kote kwa ajili yamaamuzi ya uwekezaji waChama.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 187

Page 188: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi180

(c) Kusimamia vitega uchumi nauwekezaji katika Chama.

(d) Kusimamia Mali za Chamanchini kote.

(e) Kusimamia mapato na matumiziya Chama katika ngazi zote zauongozi wa CCM.

113. (1) Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa Zanzibar itakuwa naWajumbe wafuatao:-

(a) Makamu Mwenyekiti wa CCMZanzibar.

(b) Naibu Katibu Mkuu wa CCMZanzibar.

(c) Rais wa Zanzibar anayetokanana CCM.

(d) Waziri Kiongozi wa Zanzibaranayetokana na CCM.

(e) Wajumbe wa Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM Taifakutoka Zanzibar.

(f) Wenyeviti wa CCM wa Mikoa yaZanzibar.

(g) Makatibu wa CCM wa Mikoa yaZanzibar.

KamatiMaalumu yaHalmashauriKuu ya CCM ya TaifaZanzibar

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 188

Page 189: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 181

(h) Wajumbe wote wa HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa wanaotokaZanzibar.

(2) Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa itafanya mikutano yake yakawaida mara moja kila miezi miwili.

(3) Mwenyekiti wa Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifaatakuwa Makamu Mwenyekiti wa CCMkutoka Zanzibar. Katibu wa KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu ya CCMya Taifa atakuwa Naibu Katibu Mkuu waCCM kutoka Zanzibar.

(4) Mwenyekiti wa Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifaataongoza mikutano ya Kamati Maalumya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.Lakini Mwenyekiti asipowezakuhudhuria, Mkutano huo utamchaguaMjumbe mwingine yeyote miongonimwao kuwa Mwenyekiti wa muda wamkutano huo.

114. Kazi za Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa zitakuwa zifuatazo:-

(1) Kusaidia Kamati Kuu kutoa Uongozi waSiasa Zanzibar.

(2) Kueneza Itikadi na Siasa ya CCMZanzibar.

Kazi za KamatiMaalumu yaHalmashauriKuu ya CCMya TaifaZanzibar

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 189

Page 190: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi182

(3) Kuisaidia Kamati Kuu katika kusimamiautekelezaji wa shughuli za kila siku zaCCM Zanzibar.

(4) Kutafuta na kubuni njia au mbinumbalimbali zinazoweza kukifanyaChama kujitegemea kimapato Zanzibar.

(5) Kuandaa mikakati na mbinu za kampeniza uchaguzi na kampeni nyinginezo.

(6) Kuona kwamba masuala ya Ulinzi naUsalama na ya Maendeleoyanazingatiwa.

(7) Unapofika wakati wa Uchaguzi KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu ya CCMya Taifa itashughulikia mamboyafuatayo:-

(a) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM yaTaifa juu ya Wanachamawanaoomba nafasi za uongozikatika CCM kutoka Zanzibar,ambao uteuzi wao wa mwishounafanywa na Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa.

(b) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati Kuu ya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 190

Page 191: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 183

Halmashauri Kuu ya Taifa juu yaWanachama wanaoomba nafasiya Rais wa Zanzibar, Ubunge naUjumbe wa Baraza laWawakilishi Zanzibar.

(c) Kupendekeza kwa Kamati Kuukumsimamisha uongozi kiongoziyeyote wa CCM wa Zanzibarisipokuwa Makamu Mwenyekitiwa CCM endapo itaridhikakwamba tabia na mwenendowake vinamwondolea sifa zauongozi.

(d) Kamati Maalum ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa inawezakuunda Kamati Ndogo za CCM.Aidha, inaweza kujiwekeautaratibu wake wa kufanya kazikwa kadri itakavyoona inafaakwa ajili ya kufanikisha shughuliza CCM Zanzibar.

(e) Kuwachagua Katibu wa KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu yaTaifa wa OrganaizesheniZanzibar, Katibu wa KamatiMaalum ya Halmashauri kuu yaTaifa wa Itikadi na UeneziZanzibar, Katibu wa KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu ya

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 191

Page 192: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi184

Taifa wa Mambo ya Siasa naUhusiano wa Kimataifa Zanzibarna Katibu wa Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya Taifa waUchumi na Fedha, Zanzibar,kutoka miongoni mwao.

(f) Kupokea na kujadili taarifa za Kamati Ndogo za CCM.

(g) Kufikiria na kutoa mapendekezoyake kwa Kamati Kuu juu yaWanachama wa CCMwanaoomba nafasi za uongozikatika Jumuiya za Wananchizinazoongozwa na CCM, ngaziya Mkoa na Taifa kwa upandewa Zanzibar, ambazo uteuziwake wa mwisho hufanywa naHalmashauri Kuu ya Taifa.

115. Sekretarieti ya Kamati Maalum ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa itakuwa na wajumbewafuatao:-

(1) Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar)ambaye atakuwa Mwenyekiti.

(2) Katibu wa Kamati Maalum wa Idara yaOrganaizesheni.

(3) Katibu wa Kamati Maalum wa Idara yaItikadi na Uenezi.

Sekretarieti ya KamatiMaalumu yaHalmashauriKuu ya CCMya TaifaZanzibar

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 192

Page 193: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 185

(4) Katibu wa Kamati Maalum wa Idara yaMambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa.

(5) Katibu wa Kamati Malum wa Uchumi naFedha.

(6) Manaibu Katibu Mkuu wa Jumuiya zaWananchi zinazoongozwa na CCMwanaoishi na kufanya kazi Zanzibar.

116. (1) Majukumu ya Sekretarieti ya Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa yatakuwa yafuatayo:-

(a) Kusimamia na kuratibu shughulizote za utendaji za ChamaZanzibar.

(b) Kuandaa shughuli za vikao vyaKamati Maalum ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa Zanzibar.

(2) Majukumu ya Sekretarieti ya KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu ya TaifaZanzibar yatagawanyika ifuatavyo:-

(a) Naibu Katibu Mkuu wa CCM(Zanzibar).

(b) Idara ya Organaizesheni,Zanzibar.

Majukumu yaSekretarieti yaKamatiMaalumu

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 193

Page 194: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi186

(c) Idara ya Itikadi na Uenezi,Zanzibar

(d) Idara ya Mambo ya Siasa naUhusiano wa Kimataifa,Zanzibar.

(e) Idara ya Uchumi na Fedha,Zanzibar.

(3) Kila Idara ya Zanzibar itaongozwa naKatibu wa Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya Taifa ambayeatateuliwa na Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(4) Idara za Sekretarieti ya Kamati Maalumya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifazitatekeleza kazi na majukumu ambayokwa upande wa Bara yanatekelezwa naIdara za Sekretarieti ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa.

117. Chama cha Mapinduzi kitakuwa na Wakuu waCCM wafuatao:-

(1) Mwenyekiti wa CCM.

(2) Makamu wawili wa Mwenyekiti waCCM.

(3) Katibu Mkuu wa CCM.

Wakuu waCCM

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 194

Page 195: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 187

118. Mwenyekiti wa CCM ndiye kiongozi mkuu nandiye msemaji mkuu wa CCM.

(1) Atachaguliwa na Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa na atakuwa katika nafasihiyo ya uongozi kwa muda wa miakamitano, lakini anaweza kuchaguliwatena baada ya muda huo kumalizika.

(2) Anaweza kuondolewa katika uongozikwa azimio litakalopitishwa katikaMkutano Mkuu wa CCM wa Taifa nakuungwa mkono na theluthi mbili zaWajumbe kutoka Tanzania Bara natheluthi mbili za Wajumbe kutokaZanzibar.

(3) Atakuwa Mwenyekiti wa Mkutano Mkuuwa CCM wa Taifa, Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa na Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(4) Katika mikutano anayoiongoza zaidi yakuwa na kura yake ya kawaidaMwenyekiti atakuwa pia na kura yauamuzi endapo kura za Wajumbewanaoafiki na wasioafiki zitalingana.Isipokuwa kwamba kama kikaoanachokiongoza ni kikao cha Uchaguzi,Mwenyekiti atakuwa na kura yake yakawaida tu. Hatakuwa na haki yakutumia kura yake ya uamuzi endapo

Mwenyekiti waCCM

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 195

Page 196: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi188

kura za wajumbe zimelingana.Wajumbe wa kikao wataendeleakupiga kura mpaka hapo mshindiatakapopatikana.

119. (1) Kutakuwa na Makamu wa Mwenyekiti wa CCM wawili watakaochaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa.Kutakuwa na Makamu wa Mwenyekitianayeishi na kufanyia kazi zake Tanzania Bara; na kutakuwa na Makamu wa Mwenyekiti wa CCM anayeishi na kufanyia kazi zake Zanzibar. Isipokuwa kwamba kuishikwao hivyo hakutapunguza upeo wamadaraka yao ya kushughulikia kazi za CCM kwa Tanzania nzima.

(2) Makamu Mwenyekiti wa CCM atakuwakatika madaraka hayo kwa muda wamiaka mitano, lakini anawezakuchaguliwa tena baada ya muda huokumalizika.

(3) Makamu wa Mwenyekiti wa CCManaweza kuondolewa katika madarakahayo kwa azimio litakalopitishwa naMkutano Mkuu wa CCM wa Taifa nakuungwa mkono na theluthi mbili zaWajumbe kutoka Tanzania Bara, natheluthi mbili za Wajumbe kutokaZanzibar.

Makamu waMwenyekiti waCCM

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 196

Page 197: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 189

(4) Makamu wa Mwenyekiti watakuwandiyo wasaidizi wakuu wa Mwenyekitiwa CCM na watafanya kazi zote zaCCM watakazopewa na Mwenyekitiwa CCM.

120. (1) Katibu Mkuu wa CCM atachaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(2) Atakuwa Katibu wa Mkutano Mkuu waCCM wa Taifa, Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa, na Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(3) Atakuwa ndiye Mtendaji Mkuu wa CCMna atafanya kazi chini ya uongozi waHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(4) Atakuwa na wajibu wa kuitishaMikutano yote ya Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa,Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa naMkutano Mkuu wa CCM wa Taifa.

(5) Ataitisha na kuongoza vikao vyaSekretarieti ya Halmashauri Kuu yaCCM ya Taifa kwa madhumuni yakushauriana, kuandaa agenda zaKamati Kuu, na kuchukua hatua zautekelezaji wa maamuzi ya CCM.

(6) Atakuwa ndiye Mkurugenzi waUchaguzi wa Chama nchini.

Katibu Mkuuwa CCM

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 197

Page 198: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi190

(7) Kazi na majukumu ya Katibu Mkuu waCCM:-

(a) Kuratibu kazi zote za ChamaCha Mapinduzi.

(b) Kusimamia kazi za Utawala naUendeshaji katika Chama.

(c) Kufuatilia na kuratibu masualaya Usalama na Maadili katikaChama.

(d) Kusimamia Udhibiti wa Fedhana Mali za Chama.

121. Kutakuwa na Viongozi wengine wa CCM waKitaifa wafuatao:-

(1) Naibu Katibu Mkuu Bara na NaibuKatibu Mkuu Zanzibar.

(2) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waOrganaizesheni.

(3) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waItikadi na Uenezi.

(4) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waMambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa.

(5) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waUchumi na Fedha.

Viongoziwengine waKitaifa waCCM

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 198

Page 199: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 191

122. (1) Kutakuwa na Manaibu Katibu Mkuu waCCM wawili.

(2) Kutakuwa na Naibu Katibu Mkuu waCCM atakayeishi na kufanyia kazi zakeTanzania Bara, na kutakuwa na NaibuKatibu Mkuu wa CCM atakayeishi nakufanyia kazi zake Zanzibar. Isipokuwakwamba kuishi kwao hivyohakutapunguza upeo wa madarakayao ya kushughulikia kazi za CCM kwaTanzania nzima.

(3) Naibu Katibu Mkuu wa CCMatakayefanya kazi Zanzibar atakuwa nawajibu wa kuandaa na kuitishamikutano ya Kamati Maalum yaHalmashauri Kuu ya CCM ya TaifaZanzibar, na ataitisha na kuongozavikao vya Sekretarieti ya KamatiMaalum ya Halmashauri Kuu ya CCMya Taifa Zanzibar.

(4) Manaibu Katibu Mkuu wa CCMwatakuwa ndio wasaidizi wakuu waKatibu Mkuu wa CCM na watafanyakazi zozote za CCM watakazopangiwana Katibu Mkuu wa CCM.

123. (1) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waOrganaizesheni atachaguliwa na Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

Manaibu KatibuMkuu wa CCM

Katibu waHalmashauriKuu ya TaifawaOrganaizesheni

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 199

Page 200: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi192

(2) Atakuwa ndiye Msimamizi Mkuu waOrganaizesheni ya CCM.

(3) Atakuwa Naibu Mkurugenzi waUchaguzi wa Chama nchini na atafanyakazi hii chini ya uongozi wa KatibuMkuu wa CCM ambaye ndiyeMkurugenzi wa Uchaguzi wa Chama.

124. (1) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waItikadi na Uenezi atachaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(2) Atashughulikia masuala ya msingi yaItikadi na Sera za CCM.

(3) Atakuwa ndiye Msimamizi Mkuu washughuli za Uenezi wa Itikadi, Siasa naSera za CCM.

125. (1) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waMambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa atachaguliwa na HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa.

(2) Atakuwa ndiye Msimamizi Mkuu waMambo ya Siasa na Uhusiano waKimataifa ndani ya Chama.

(3) Atashughulikia masuala ya kuimarishauhusiano mwema baina ya CCM navyama vya siasa vya nchi nyingine; na

Katibu waHalmashauriKuu ya Taifawa Itikadi naUenezi

Katibu waHalmashauriKuu ya Taifawa Mambo yaSiasa naUhusiano waKimataifa

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 200

Page 201: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 193

harakati za vyama vya siasa namaendeleo ya Jumuiya za Kijamiinchini.

126. (1) Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa waUchumi na Fedha atachaguliwa naHalmashauri Kuu ya CCM ya Taifa.

(2) Atakuwa ndiye Msimamizi Mkuu wamasuala ya Uchumi, Fedha na Mali zaChama.

(3) Atafuatilia utekelezaji wa Sera za CCMza Uchumi na ataratibu mapato yafedha za Chama nchini kote kwa ajili yamaamuzi ya uwekezaji wa Chama.

Katibu waHalmashauriKuu ya TaifawaUchumi naFedha

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 201

Page 202: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 202

Page 203: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 195

SEHEMU YA NNE

WAZEE NA JUMUIYA ZA WANANCHI

127. Kutakuwa na Sehemu ya Wazee ambamowatakuwemo Wazee wote wanaokubali imani,malengo, na madhumuni ya CCM.

128. Chama Cha Mapinduzi kitakuwa na uhusianona Jumuiya mbalimbali za Wananchi:-

(1) Kutakuwa na Jumuiya zinazoongozwana CCM ambazo kwa sasa ni:-

(a) Umoja wa Vijana wa CCM(UVCCM),

(b) Umoja wa Wanawake Tanzania(UWT).

(c) Umoja wa Wazazi (WAZAZI).

(2) Kutakuwa na Jumuiya nyinginezilizojishirikisha na CCM.

(3) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifainaweza kuongeza na kupunguza katikaorodha, Jumuiya zinazoongozwa auzilizojishirikisha na CCM.

(4) Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifaitakuwa na uwezo wa kushauri, kutoa

Sehemu yaWazee

Jumuiya zaWananchi

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 203

Page 204: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi196

maagizo ya jumla, na maelekezomaalum kwa Jumuiya zinazoongozwana CCM.

(5) Halmashauri Kuu ya Taifa itathibitishaKanuni/Katiba ya kila Jumuiyainayoongozwa na CCM namarekebisho yake kabla hazijatumika.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 204

Page 205: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 197

SEHEMU YA TANO

MENGINEYO

129. (1) Kutakuwa na Baraza la Wadhamini waCCM.

(2) Baraza hilo litakuwa na Wajumbewafuatao:-

(a) Mwenyekiti ambaye atateuliwana Mwenyekiti wa CCM kutokamiongoni mwa Wajumbe waBaraza.

(b) Wajumbe wanane waliochaguliwana Halmashauri Kuu ya CCM yaTaifa.

(c) Wenyeviti wa Mabaraza yaWadhamini ya Jumuiyazinazoongozwa na CCM.

(3) Baraza la Wadhamini la CCM litafanyaVikao vyake kila baada ya miezi minne,yaani si chini ya mara tatu kwa mwaka.

(4) Baraza hili litakuwa na uwezo wote ulewa wadhamini kwa mujibu wa Sheria.

(5) Mali yote ya CCM inayoondosheka naisiyoondosheka, itakuwa mikononi mwaBaraza la Wadhamini.

Baraza laWadhaminiwa CCM

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 205

Page 206: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi198

(6) Kazi za Baraza hilo zitakuwa zifuatazo;

(a) Kusimamia Mali zote zaChama zinazoondosheka nazisizoondosheka

(b) Kufanya tathmini ya mara kwamara ya mali za Chama.

(c) Kutoa ushauri juu ya mabadilikoyoyote yanayohitajika katikaumiliki wa mali za Chama, kwamfano kuhusu mali zinazostahilikuuzwa.

(d) Kutekeleza majukumu mengineyoyote ambayo yatakabidhiwakwake na Kamati Kuu yaHalmashauri Kuu ya Taifa.

(7) Baraza hili litafanya kazi chini yauongozi wa Kamati Kuu ya HalmashauriKuu ya CCM ya Taifa na litawajibikakutoa taarifa yake kwa kikao hicho.

(8) Mdhamini atashika nafasi hiyo yauongozi kwa muda wa miaka mitano,lakini anaweza kuchaguliwa tenabaada ya muda huo kumalizika.

(9) Iwapo Mwenyekiti wa Baraza hilihataweza kuhudhuria Mkutano

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 206

Page 207: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 199

wowote, Baraza lenyewe litachaguaMjumbe mwingine miongoni mwaoatakayekuwa Mwenyekiti wa muda waMkutano huo.

130. Isipokuwa kama imeagizwa vingine katikaKatiba hii ya CCM, kiwango cha mahudhuriokatika mikutano ya CCM kitakuwa ni zaidi yanusu ya Wajumbe walio na haki ya kuhudhuriakatika kikao kinachohusika.

131. Isipokuwa kama imeagizwa vingine katikaKatiba hii ya CCM uamuzi utafikiwa katikavikao vyote vya CCM kwa kufuatamakubaliano ya jumla au wingi wa kura zaWajumbe waliohudhuria na kupiga kura. Lakinikatika shughuli zozote za uchaguzi waViongozi, kura zitakuwa za Siri.

132. Wakati wowote kunapotokea nafasi wazimiongoni mwa viti vyovyote vya CCM, kikaokinachohusika kitajaza nafasi hiyo bilakuchelewa kwa kufuata utaratibu uliowekwa.

133. (1) Mwanachama anayetaka kujiuzuluatafanya hivyo kwa kuandika baruaya kujiuzulu kwake na kuipeleka kwaKatibu wa Tawi lake.

(2) Kiongozi anayetaka kujiuzulu atafanyahivyo kwa kuandika barua ya kujiuzulukwake na kuipeleka kwa Katibu waKikao kilichomchagua au kumteua.

Kiwango chaMahudhuriokatika kufikiaUamuzi

Kiwango chaKura katikakufikia Uamuzi

Nafasi zikiwawazi

Kujiuzulu

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 207

Page 208: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi200

134. (1) Kiongozi anayetaka kung’atuka atafanya hivyo kwa kuandika barua ya kung’atuka kwake na kuipeleka kwa Katibu wa kikao kilichomchagua aukumteua, au

(2) Kwa kutangaza uamuzi wa kung’atukakwake mbele ya kikao kilichomchagua.

135. Mjumbe yeyote wa kikao chochotekilichowekwa na Katiba hii ataacha kuwaMjumbe wa kikao hicho iwapo hatahudhuriamikutano mitatu mfululizo ya kikao chakeisipokuwa kama ni kwa sababu zinazokubaliwana kikao chenyewe.

Kung’atuka

KuachaUjumbewa Kikao

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 208

Page 209: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi 201

NYONGEZA “A”

AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMACHA MAPINDUZI

(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika nimoja

(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote.

(3) Nitajitolea nafsi yangu kuondosha umaskini,ujinga, magonjwa na dhuluma.

(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoarushwa.

(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu walacha mtu mwingine kwa faida yangu.

(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu nakuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.

(7) Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchiyetu.

(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.

(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCMna raia mwema wa Tanzania na Afrika.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 209

Page 210: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Katiba ya Chama Cha Mapinduzi202

NYONGEZA “B”

Katiba, Kanuni na Taratibu za utekelezajizilizotungwa katika kuongoza shughuli mbalimbali zaCCM ni hizi zifuatazo:-

(1) Taratibu za Sehemu ya Wazee.

(2) Kanuni za Uchaguzi wa CCM.

(3) Kanuni za Utendaji kazi za Uongozi katikaChama Cha Mapinduzi.

(4) Kanuni za Fedha na Mali za Chama.

(5) Kanuni za Umoja wa Vijana wa CCM.

(6) Katiba ya Umoja wa Wanawake wa Tanzania.

(7) Kanuni za Umoja wa Wazazi.

(8) Kanuni za Uongozi na Maadili.

(9) Kanuni za Uteuzi wa Wagombea Uongozikatika Vyombo vya Dola.

(10) Kanuni za Kamati ya Wabunge wote wa CCM

(11) Kanuni za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishiwote wa CCM.

(12) Kanuni za Madiwani wote wa CCM.

(13) Kanuni za Utumishi wa Chama Cha Mapinduzi.

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 210

Page 211: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 211

Page 212: KATIBA YA CHAMA CHA MAPINDUZI 1977...uongozi kinachounganisha fikira na vitendo vya wafanyakazi na wakulima; Kwa kuwa tunazingatia na kuthamini kazi nzuri ya kimapinduzi na ya mafanikio

Imetolewa na Makao Makuu ya CCM,S.L.P. 50, DODOMA

KATIBA YA CCM:Layout 1 6/5/10 11:59 AM Page 212