an nuur 1128

16
ISSN 0856 - 3861 Na. 1128 SHAABAN 1435, IJUMAA , JUNI 6 - 12, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz facebook: [email protected] (7) AMKA, MUISLAMU MTANZANIA! MUISLAMU MTANZANIA , Unajua kuwa Tanzania tuko nyuma sana katika utekelezaji wa nguzo ya Hijja? Tunakwenda wachache sana, na wengi wetu tukiwa wazee tumeshachoka. Mtume(saw) amehimiza watu waende Hijja wakiwa vijana. Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Wahi kulipa uitakase mali yako na uboreshe Hijja yako. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141 /0657606708. Muislamu abanikwa mishikaki, aliwa Askofu aliagiza nyama wapewe nguruwe Usanii wa kuchoma moto Makanisa balaa Ni matunda ya Nunda lenye Vichwa Viwili Dkt. Shein, Seif wapiga chenga siasa za Kisonge Wasifia Serikali Umoja wa Kitaifa Salmin Awadh anamtumikia nani? Azingatie punde Kisiwandui itamtupa SHULE ya Kiislamu Mivumoni iliyo chini ya Msikiti wa Mtambani imetishiwa Mtambani watishiwa kufungiwa Ni kwa kupumzika Ijumaa badala ya Jumapili Wenyewe wasema haijaathiri masomo bali… Baraza Kuu, Kundecha watetea msimamo huo kuchukuliwa hatua kutokana na ratiba yake ya kupumzika Ijumaa na kufanya Jumapili siku ya masomo. Mapema hivi karibuni Mkaguzi Mkuu wa Shule Kanda ya Dar es Salaam, aliiandikia barua Shule hiyo akiitaka kutoa maelezo kwa nini Inaendelea Uk. 3 Habari Uk. 4 AYODELE Joseph Oritsejafor, ni Mchungaji na Rais wa Christian Association of Nigeria (CAN). Soma Uk. 8. WAISLAMU wakiwa katika Msikiti wa Mtambani, Jijini Dar es Salaam. Na Bakari Mwakangwale

Upload: zanzibariyetu

Post on 23-Nov-2015

897 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • ISSN 0856 - 3861 Na. 1128 SHAABAN 1435, IJUMAA , JUNI 6 - 12, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz facebook: [email protected]

    (7) AMKA, MUISLAMU MTANZANIA!MUISLAMU MTANZANIA , Unajua kuwa Tanzania tuko nyuma sana katika utekelezaji wa nguzo ya Hijja? Tunakwenda wachache sana, na wengi wetu tukiwa wazee tumeshachoka. Mtume(saw) amehimiza watu waende Hijja wakiwa vijana. Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Wahi kulipa uitakase mali yako na uboreshe Hijja yako. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141/0657606708.

    Muislamu abanikwa mishikaki, aliwaAskofu aliagiza nyama wapewe nguruweUsanii wa kuchoma moto Makanisa balaaNi matunda ya Nunda lenye Vichwa Viwili

    Dkt. Shein, Seif wapiga chenga siasa za Kisonge

    Wasifi a Serikali Umoja wa KitaifaSalmin Awadh anamtumikia nani?Azingatie punde Kisiwandui itamtupa

    SHULE ya Kiislamu M i v u m o n i i l i y o chini ya Msikiti wa Mtambani imetishiwa

    Mtambani watishiwa kufungiwaNi kwa kupumzika Ijumaa badala ya JumapiliWenyewe wasema haijaathiri masomo baliBaraza Kuu, Kundecha watetea msimamo huo

    kuchukuliwa hatua kutokana na ratiba yake ya kupumzika Ijumaa na kufanya Jumapili siku ya masomo.

    Mapema hivi karibuni

    Mkaguzi Mkuu wa Shule Kanda ya Dar es Salaam, aliiandikia barua Shule hiyo akiitaka kutoa m a e l e z o k w a n i n i

    Inaendelea Uk. 3 Habari Uk. 4

    AYODELE Joseph Oritsejafor, ni Mchungaji na Rais wa Christian Association of Nigeria (CAN). Soma Uk. 8.

    WAISLAMU wakiwa katika Msikiti wa Mtambani, Jijini Dar es Salaam.

    Na Bakari Mwakangwale

  • 2 AN-NUURSHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014AN-NUUR

    S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.

    www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected] zetu zipo: Manzese Tip Top

    Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Habari

    S H U K U R A N I z o t e anastahiki Mwenyezi Mungu, Mola wa viumbe vyote.

    Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unakaribia. Hivi sasa Waislamu wapo katika funga ya mwezi wa S h a a b a n a m b a y o inakamilika mwishoni mwa mwezi huu. Shaaban itakapokuwa imekwisha, mwezi wa Ramadhani utaandama.

    Ramadhani ni mwezi pekee wenye fursa kubwa kwa waja kujiweka katika uchamungu na kupata msamaha wa Mola wao. Kuta fakar i ha tma ya maisha ya mpito katika ulimwengu huu uliojaa starehe zenye karaha na zenye ukomo.

    M w e z i M t u k u f u wa Ramadhani ni chuo maalum cha mafunzo ya kila mwaka kwa ajili ya maisha ya hapa duniani na yale milele ya akhera, yenye starehe za kweli, zisizo malizika wala kuwa na ukomo.

    Kulingana na utukufu w a k e n a u m u h i m u wake kwa maisha ya Muislamu, ndio maana tumeona umuhimu wa kukumbushana na kufanya maandalizi na mapema kuiendea ibada hiyo tukufu na nguzo ya Uislamu kati ya nguzo zake tano.

    Haturajii kuwa ibada ya funga ya Ramadhani inakuja na kuondoka na kuja tena nyingine, nayo ikaondoka na ikatuacha bila ya mabadiliko yoyote kimwili na kiroho.

    Ni wajibu wetu kuitumia fursa hii kujikagua na kupanga mikakat i ya kweli kuuendea ili kuwa waja wa kweli wa Allah na kuikamilisha funga kwa usahihi.

    Ramadhani ni fursa ya kutekeleza majukumu tuliyopewa na Mwenyezi Mungu Muumba wetu katika maisha ya kila siku.

    Ramadhani ni mwezi wa ibada, mwezi wa toba, mwezi wa neema, mwezi wa mavuno. Na zaidi ni kwamba ni mwezi ambao kwa hekima zake Mola wetu ametuteremshia Quran , ambayo ndio mwongozo na uongofu kwa watu.

    Aidha Mwenyezi mungu

    Tujiweke tayari Ramadhani inakujakwa fadhila zake kwa Waislamu, amewatengezea usiku wa cheo, usiku wa Laylatul Qadri ambao ni bora kuliko miezi elfu.

    Kutokana na neema hizi, sote tunawajibika kwa Ramadhani kwa vitendo. Hivyo basi, litakuwa ni jambo la msingi kwa kila M u i s l a m u k u j i a n d a a barabara kuupokea mwezi huo, ili tufanikiwe hapa duniani na kesho akhera.

    Wakati tunaukaribia M w e z i M t u k u f u wa Ramadhan, kuna haja ya kusahau tofauti na hitilafu zetu na kuwa mfano bora wa umoja na udugu wa Kiislamu.

    H a k u n a s a b a b u ya kuendeleza hitilafu za kuonekana mwezi wa kufunga na kufungua, ambazo kwa namna moja au nyingine zimekuwa zikileta picha ya kuwatofautisha n a k u w a t e n g a n i s h a Waislamu.

    Tujikumbushe Surat al Imran, aya 103 inayosema: Na shikamaneni katika k a m b a ya M we n ye z i Mungu wala msifarikiane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu; vile mlivyokuwa nyinyi kwa nyinyi maadui, naye akaz iunganisha nyoyo zenu; kwa neema yake mkawa ndugu.

    Tuitukuze Ramadhani kwa umoja wa Kiislamu katika hali ya amani, utulivu na mshikamano badala ya kuendeleza mazoea ya umoja wa madhehebu.

    Sote tunafahamu kuwa m w e z i M t u k u f u w a Ramadhan ni wa neema kibiashara. Lakini itakuwa vizuri neema ikawa ni kwa pande zote mbili, kwa wauzaji na kwa wanunuzi.

    M u u z a j i a n a t a r a j i a kuuza b idhaa nyingi zaidi, kutokana na soko lililoletwa na Mtukufu Ramadhani.

    Hata hivyo tunatoa rai na mapema kwamba wafanyabiashara wanao lenga soko la Ramadhani, wahakikishe kwamba bidhaa zao zina ubora na wanachuma faida halali kwa wanachokiuza.

    Mnunuzi naye anahitaji kupewa bei iliyo nafuu, ili kuwawezesha wananchi kupata unafuu wa kumudu g h a r a m a z a b i d h a a wanazohitaji itakapoingia

    Ramadhani.T u m e l a z i m i k a

    kutoa inthari hiyo kwa kuwa tumezoa kuona wafanyabiashara wakiwa w a m e p a n i a k u v u n a zaidi visivyo halali pale Ramadhani inapoingia.

    L i m e k u w a n i jambo la mazoea kwa wafanyabiashara wengi wenye tamaa, kutumia mwanya wa mahi ta j i mkubwa wa huduma za bidhaa katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani kulangua watu ili wapate faida kubwa.

    Mazoea hayo yamekuwa yakisababishia Waislamu shida kubwa ya mahitaji k a t i k a m w e z i w a Ramadhan. Tunawashauri wafanyabiashara, hasa wa bidhaa za vyakula kuwa waadilifu katika hili, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kwamba vipimo vya kuuzia ni vya halali na sahihi.

    Kwa watu wengine wasiowajibika na saumu, ni vyema wakatoa ushirikiano na wawe wastahamilivu kwa wenzao wanaofunga.

    Wale wasiowajibika kufunga kwa sababu mbali

    mbali wajitahidi kutumia fursa hiyo kistaarabu bila ya kuwakirihisha wengine.

    M w e n y e z i M u n g u atuwezeshe kuiendea ibada ya Saumu ya Ramadhani katika hali ya umoja, mshikamano, amani na utulivu.

    Atuongezee mapenzi ba ina yetu i l i tuz idi kuhurumiana. Atufanyie wepesi katika kupata riziki za halali.

    Atuzidishie imani zetu kwake na atujaalie mavuno bora ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

    U T U R U K I i m e s e m a i t a e n d e l e a k u k u z a u h u s i a n o w a k e w a kiuchumi na kiutamaduni kati yake na Zanzibar, ili kuimarisha uhusiano huo uliodumu kwa kipindi kirefu sasa.

    Ahadi hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mhe. Ahmet Davutoglu, wakati akizungumza na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, ofisini kwake Migombani.

    Bw. Davutoglu alisema kuwa Uturuki na Zanzibar zimekuwa ziki j ivunia uhusiano wa muda mrefu katika nyanja mbalimbali, zikiwemo za kiuchumi na utamaduni na kutaka uhusiano huo uendelezwe kwa maslahi ya pande zote mbili.

    Waziri huyo aliongeza k u w a Z a n z i b a r n i m i o n g o n i m wa n c h i za kwanza kuonesha ustaarabu katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati na kwamba, Uturuki itaendelea kushirikiana nayo kuona kuwa ustaarabu na utamaduni wa Zanzibar unaendelezwa.

    Aidha al i fahamisha kuwa Uturuki ambayo ni nchi ya saba duniani kwa maendeleo ya kilimo na utalii, inayo nafasi kubwa ya kutoa mchango wake kwa Zanzibar katika maeneo hayo kwa lengo la kuchangia maendeleo ya Zanzibar.

    A l i s e m a k a t i k a k u h a k i k i s h a k u w a uhusiano kati ya Uturuki na Tanzania unaimarishwa, U t u r u k i i n a k u s u d i a kufungua kituo maalum jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuwasaidia watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino).

    N a y e M a k a m u wa Kwanza wa Rais Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, a l i t u m i a f u r s a h i y o kuwakaribisha wawekezaji

    Uturuki kukuza mahusiano na ZanzibarNa Mwandishi Maalum,

    Zbar

    wa Uturuki kuja kuwekeza Zanzibar, hasa katika sekta za utalii na viwanda vidogo vidogo.

    Alisema Zanzibar ni nchi ya visiwa hivyo haina nafasi ya kuwekeza viwanda vikubwa, lakini ina fursa nzuri kwa viwanda vidogo vidogo vikiwemo vya usindikaji wa matunda, hasa kwa kuzingat ia uwepo wa matunda mengi kila unapofika msimu wa matunda hayo.

    Maal im Sei f a l i ta ja m a e n e o m e n g i n e ya uwekezaji kuwa ni pamoja na ule wa hoteli za hadhi ya juu pamoja na vituo maalum vinavyoweza kuhudumia mikutano ya kimataifa.

    A l i s e m a k a t i k a kuhakikisha kuwa mambo h a y o y a n a f a n i k i w a , serikali imekuwa ikiweka mazingira mazuri ya uwekezaji, ikiwa ni pamoja na kuimarisha miundo mbinu ya barabara, viwanja vya ndege na umeme.

    Kuhusu elimu Maalim Seif alisema Zanzibar bado inakabiliwa na uhaba wa wataalamu, hasa katika taaluma za sayansi hivyo kuiomba nchi hiyo kutenga nafasi maalum za masomo kwa ajili ya Zanzibar wakati itakapotoa nafasi hizo kwa Tanzania.

    Alisema hatua hiyo

    itasaidia kutoa fursa kwa vijana wa Zanzibar kupata nafasi za masomo nchini Uturuki na kupunguza tatizo la upungufu wa wataalamu wa fani za Sayansi.

    Wakati huo huo Maalim Seif, ambaye ni Katibu Mkuu wa CUF, alifungua m k u t a n o M k u u w a Uchaguzi (CUF) Wilaya ya Magharibi Unguja na kuwasisitiza wajumbe wa mkutano huo kuchagua viongozi watakao kuwa tayari kukitumikia chama hicho.

    Alisema wajumbe hao wana jukumu kubwa la kuchagua viongozi jasiri, wenye busara na hekima na wasioweza kurubuniwa na hatimaye kukisaliti chama kwa maslahi binafsi.

    Katika mkutano huo uliofanyika ofisi za CUF Wilaya ya Magharibi z i l i z o p o K i l i m a h e wa Zanzibar, Maalim Seif pia aliwasihi wajumbe hao kuepuka makundi na vitendo vya rushwa katika kuwapata viongozi bora.

    M k u t a n o h u o w a uchaguzi ni mfululizo wa mikutano ya uchaguzi ndani ya chama hicho katika ngazi za Wilaya, ambapo wilaya za Zanzibar zinatarajia kukamilisha chaguzi hizo mwishoni mwa wiki hii.

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Ahmet Davutoglu.

  • 3 AN-NUURSHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014Habari

    Mtambani watishiwa kufungiwaInatoka Uk. 3i s i chukul iwe hatua kwa kutofuata ratiba ya masomo kwa mujibu wa sheria za Elimu.

    Katika barua hiyo yenye Kumbukumbu namba UKKC/DSM/E.2/373/04, i m e e l e z a k w a m b a ilibainika kuwa Shule h i y o i n a r a t i b a ya masomo inayoanza siku ya Jumamosi na kuishia Jumatano, ambapo ni kinyume cha sheria.

    K w a b a r u a h i i u n a t a k i w a k u t o a maelezo ya kwa nini usichukuliwe hatua za kisheria kwa kutofuata r a t i b a ya m a s o m o iliyowekwa kwa mujibu wa sheria za Elimu.

    Imesema sehemu ya barua hiyo iliyosainiwa na Grace Mafwele, kwa niaba ya Mkaguzi Mkuu wa Shule Kanda ya Dar es Salaam.

    Katika majibu yao kwa Mkaguzi huyo, U o n g o z i wa S h u l e hiyo, ulieza kwamba pamoja na utaratibu huo bado wanazo siku tano za kazi kwa wiki na masaa manane ya kazi kwa siku na wanafunzi wanapumzika siku mbili kwa wiki.

    Barua hiyo ilieleza kuwa awali waliomba m w o n g o z o k u t o k a kwa Mkaguzi huyo unaoainisha ni siku z i p i r a s m i z a k a z i katika wiki na zipi za m a p u m z i k o , j a m b o ambalo hawajapatiwa jibu mpaka sasa.

    Hivyo kwa dhamira njema ya kujenga Taifa hili na mustakabali wa vijana wa Tanzania, n ingependa kupata m w o n g o z o h u o i l i uweze kunisaidia katika utendaj i wangu wa kuleta ufanisi katika elimu.

    Imesema barua hiyo ya majibu iliyosainiwa na Mkuu wa Shule Dadi Hemed, kwa niaba ya Mkurugenz i wa Sekondari ya Mivumoni.

    Barua hiyo, imekiri kuwa ina rat iba ya masomo in ay oan za J u m a m o s i h a d i

    Jumatano, na kutoa ufafanuzi kwamba siku za Alhamisi hutumika kwa wanafunzi kufanya mitihani ya wiki na Ijumaa hutumiwa kwa ajili ya ibada ya Ijumaa.

    Ambapo, imeeleza zaidi kuwa wamekuwa wakitumia utaratibu huo tangu kuanzishwa kwa shule hiyo mwaka 2006, bila kuathiri mtaala na mihutasari katika usomeshaji wao.

    Akitoa maoni yake juu tishio hilo la Wizara, Amiri wa Shura ya Maimamu na Mbunge katika Bunge la Katiba Sheikh Mussa Kundecha amesema kuwa haoni ni tatizo kusoma Jumapili na kupumzika Ijumaa kwani wanafunzi na wazazi hawajalalamika.

    Sheikh Kundecha, a l i s e m a s u a l a h i l o lingekuwa ni mtihani e n d a p o w a d a u wa k e wa n g e p e l e k a m a l a l a m i k o k w a w a s i m a m i z i h a o w a E l i m u , k u w a hawafurahishwi na ratiba ya Shule hiyo.

    W a l i p a s w a walalamike wanafunzi au wazazi ambao watoto wao wanasoma katika Shule hiyo lakini wao wameona sio tatizo, kwa

    sababu kile wanacho kihi ta j i wanakipata katika ubora unaotakiwa sawa na wale wanaosoma Ijumaa na kupumzika Jumamosi na Jumapili.

    Unapokuja na kuanza kuwalazimisha wewe ambaye hujalalamikiwa na wanaopata huduma hiyo katika Shule ya Kiislamu, pamoja na kuona taratibu zako zime kiukwa sasa ujue unatafuta jambo lingine ambalo mwisho wake utakuwa sio mzuri. Alisema Amir Kundecha.

    Mbunge huyo wa Katiba mpya, akasema katika kipindi hiki na huko mbele ifike nyakati na siku za ibada kwa Waislamu zitambulike rasmi katika Katiba, ili kuepusha migongano isiyo ya lazima kama hiyo vinginevyo ikiachwa hivyo hivyo hali itakuwa ngumu mika hamsini ijayo.

    Alisema, anaamini kwamba Shule kama Mivumoni, iliyopo chini ya Masjidi Mtambani, kwa kutenga siku ya Ijumaa kuwa ni siku ya ibada na kuitumia siku ya Jumamosi kwa masomo haiathiri mfumo wa kisilabasi kwa maana ya muda, masomo, vipindi

    na idadi ya siku ambazo mwanafunzi anatakiwa ashiriki vimebaki kuwa sawa bila ya tatizo lolote.

    Hayo pia ndiyo maoni ya Katibu wa Baraza Kuu, Ramadhani Sanze a m b a y e a l i w a t a k a Waislamu kutokubali k u o n a s h u l e h i y o i n a h u j u m i w a k w a kisingizio cha kusoma Jumapili.

    Kwa upande wake K a t i b u w a M a s j i d M t a m b a n i , S h e i k h Abdallah Mohammed Ally, alisema Shule yao imekuwa ikiitumia siku ya Ijumaa kama siku ya Ibada na mapunziko huku siku ya Alhamisi kuwa ni siku ya mitihani kwa wanafunzi wote shuleni hapo.

    Alisema, wamekuwa wakitumia utaratibu h u o t a n g u S h u l e ilipoanzishwa mwaka 2 0 0 6 h a d i s a s a , h u k u wa k i z i n g a t i a kutumia siku tano na masaa yanayohitajika k u w a f u n d i s h a wanafunzi kwa mujibu wa sheria za Elimu nchini.

    K a t i b u h u y o , ambaye Msikiti wake n d i y o u n a o m i l i k i na kuiendesha Shule

    hiyo yenye wanafunzi kuanzia Shule ya awali (Chekechea), Shule ya Msingi na Sekondari, a l isema wamefanya hivyo kwa kuzingatia s i k u h i z o n i s i k u maalum kwa mujibu wa imani yao hata hivyo walizingatia hawavurugi mtaala na mihutasari ya ufundishaji kwa mujibu wa sheria.

    Pamoja na kufuata u t a r a t i b u h u o t u l i o j i p a n g i a k w a kuzingatia uhuru wa kuabudu, matokeo na mwenendo wa kitaaluma kwa wanafunzi wetu ni mzuri, lakini hivi sasa wameanza kutusakama ili tubaki katika mfumo ambao sisi unatukwaza katika uhuru wetu wa kuabudu. Al isema Sheikh Abdallah.

    Akifafanua Katibu huyo, alisema ratiba ya Serikali (Wizara ya Elimu) inasema masomo yafundishwe kwa siku tano na masaa nane kwa siku, lakini haijaanisha ni siku ipi na ipi katika siku hizo tano.

    K a t i b u A b d a l l a h , alisema utaratibu huo kwao una tija na hauna athari yoyote kitaaluma, kwani vijana wanapata muda uleule wa kusoma na kujifunza wakati wengine wanazitumia Jumamosi na Jumapili k wa a j i l i ya i b a d a kwa mujibu wa imani zao, wanafunzi wao huendelea na masomo bila manunguniko, na Ijumaa hupata muda mpana wa ibada na kupumzika.

    Alisema, kwa mfumo huo huo wanaoutumia kwa wahitimu wao wa awali kidato cha nne mwaka 2009, waliweza kutoa mwanafunzi bora na mwaka jana (2013) k a t i k a m a t o k e o ya kidato cha nne katika wanafunzi kumi bora wavulana kitaifa mmoja alitoka katika Shule hiyo.

    Amana kwa upande wa Shule ya Msingi, alisema wanafunzi wao pia hufanya vizuri zaidi kwani wote hufaulu na huchaguliwa katika Shule za Serikali kwa ufaulu wa juu kabisa.

    SHULE ya Kiislamu Mivumoni na Shule ya Awali na Msingi ya Mtambani zote zilizopo katika Msikiti wa Mtambani Kinondoni, Jijini Dar es Salaam.

  • 4 AN-NUURSHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014Habari/Tangazo

    Muslim University of Morogoro (MUM) invites suitably qualified Tanzanian and non-Tanzanian candidates to apply for admission into various degree programmes shown below for the academic year 2014/2015.

    Candidates must fill in the Application Forms, give full particulars of citizenship (including a copy of birth certificate), and provide photo copies of academic Certificates as indicated in the application forms, e.g. Olevel and A Level or Diploma, etc. Dully completed Application Forms should be submitted to the Muslim University of Morogoro either in person, or by mail, using the following address:-

    Deputy Vice-Chancellor (Academic), Muslim University of Morogoro, P.O. Box 1031, Morogoro. TANZANIA, Telephone: +255 023 2600256. Fax +255 023 2600286. E-mail address: [email protected] or [email protected] OR You can apply directly online through our website: www.mum.ac.tz

    Please note that Muslim University of Morogoro continues to use the conventional admission system of applying directly to the University.

    NB: The deadline for submitting Application Forms is 31ST August, 2014.

    Admission RequirementsCandidates who wish to study at Muslim University of Morogoro (MUM) may apply through the following categories:

    Category A: Direct Entry Qualification - Minimum Requirement:

    A Certificate in Secondary Education Examination (CSEE) with THREE Credit passes or its equivalent certificate with FIVE passes in approved subjects appropriate to the programme applied for, obtained prior to sitting for Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE). For details of required qualification and combination for degree programmes, see the table below:

    MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGOROP.O. BOX 1031 Morogoro, Tanzania

    Tel: +255 23 2600256 Fax: +255 23 2600286 E-mail Address:[email protected], Website: www.mum.ac.tz

    Programme Faculty Admission Requirements MinimumACSEEpoints for Admission

    ProgrammeDuration

    1 Bachelor of Arts with Education

    Ar t s and Humanities

    Two principal passes in teaching subjects

    2.0 3 years

    2 B a c h e l o r o f Science w i th Education

    Science Two principal passes in teaching subjects

    2.0 3 years

    3 B a c h e l o r o f Islamic Studies with Education

    I s l a m i c Studies

    Two principal passes in History, English, Kiswahili, Arabic, one of which should be Islamic Knowledge

    2.0 3 years

    4 B a c h e l o r o f Ar ts in Mass Communication

    A r t s and Humanities

    Two principal passes, with a pass in English or a credit in History at O-Level education

    2.0 3 years

    5 B a c h e l o r o f B u s i n e s s Studies

    B u s i n e s s Studies

    Two principal passes one of which should be in business subjects, economics or mathematics

    2.0 3 years

    6 Bachelor of Law with Shariah

    L a w a n d Shariah

    Two principal passes in History, Kiswahili, English, Arabic, Geography, Islamic Knowledge

    2.0 4 years

    7 Bachelor of Arts in Languages & Interpretation

    A r t s and Humanities

    Two principal passes in Kiswahili, Arabic, French, English and any other language offered, in the Faculty

    2.0 3 years

    UNDERGRADUATE ADMISSIONS FOR THE 2014 /2015 ACADEMIC YEAR

    NB: The above points in ACSEE are based on the following scales: ACSEE BEFORE 2014A = 5, B = 4, C = 3, D = 2, E = 1, S= O.5. ACSEE 2014A = 5, B+ = 4, B = 3, C = 2, D = 1, E= O.5.Category B: Equivalent Qualifications - Minimum Requirement: Applicants eligible for equivalent admission for an undergraduate degree programme must hold one of the following qualifications:

    (i) Ordinary Diploma of an overall average not below C or a GPA of 2.7

    (ii) Academic Ordinary Diploma obtained from higher learning institution.

    (iii) University Certificate of an outstanding performanceIn addition of the above qualifications, applicants must have THREE Credits orFOUR passes in their Certificates of Secondary Education Examination (CSEE).

    Dkt. Shein, Seif wapiga chenga siasa za KisongeNa Mwandishi Wetu

    RAIS wa Zanzibar Dkt. Shein amezipiga kumbo siasa za Kisonge pale alipoisifia Serikali ya Umoja wa Kitaifa.

    Dkt. Shein amesema, SUK imeleta amani, usalama na utulivu jambo ambalo linaleta mazingira mazuri hata kwa wawekezaji wa nje.

    Akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Ahmed Davutoglu, ofisini kwake Ikulu mapema wiki hii, Dk. Shein alisema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyo katika mfumo wa Umoja wa Kitaifa ambayo ilianzishwa kwa lengo la kuhakikisha kunakuwepo na amani na utulivu Zanzibar, imepata mafanikio makubwa.

    Kutokana na mafanikio hayo akatoa wito kwa wawekezaji wa Uturuki kuitumia fursa hiyo kushiriki katika kujenga uchumi wa Zanzibar kwa kuwekeza mitaji yao katika sekta mbalimbali.

    Alisema ni matumaini yake wawekezaji kutoka Uturuki watatumia fursa ya kuwepo ushirikiano huo mzuri kati ya nchi mbili hizo pamoja na hali ya utulivu na amani iliyopo Zanzibar iliyojengwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa, kuja kuweka vitega uchumi vyao nchini.

    Kauli hiyo ya Rais Shein inakwenda kinyume na kauli za baadhi ya wana-CCM Zanzibar ambao wanaonekana kupania kutaka kuvunja serikali hiyo ya umoja wa kitaifa.

    Mmoja wa wana-CCM hao ni Mheshimiwa Salmin ambaye hivi karibuni amenukuliwa akisema kuwa serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar imepoteza maana ya kuwepo kwake na hivyo inatakiwa kuvunjwa.

    Kauli hiyo inayoungwa na baadhi ya Wawakilishi wa CCM katika Baraza la Wawakilishi, ikafikia mahali pa Wawakilishi hao kutaka kuandaa hoja binafsi na kuiwasilisha bungeni kutaka SUK ivunjiliwe kwa mbali.

    Kwa upande wake wana-CCM katika maskani maarufu Kisonge kama kawaida yao, hakuwasita kuandika katika bango lao wakitaka kuvunjwa kwa SUK wakidai kuwa haina maana yoyote.

    Hongera Vijana wa CCM kwa kukataa Ser ikal i ya Kitaifa isiyokuwa na masilahi. Muungano Daima.

    N i k a u l i y a K i s o n g e waliyokuwa wameandika katika ubao wao wa matangazo.

    Awali mnadhimu wa Baraza la Wawaki l i shi Zanzibar (BLW), Salmin Awadh Salmin (CCM) amenukuliwa akisema kuwa wawakilishi wa CCM wanajiandaa kuwasilisha hoja binafsi kwenye Baraza hilo, ili kuwapa nafasi wananchi waulizwe iwapo wanataka kuendelea na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), au la.

    Aliyasema hayo wakati akihutubia mkutano wa hadhara

    wa chama hicho ulioongozwa na Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana kwenye Viwanja vya Kibandamaiti , Unguja hivi karibuni.

    Salmin aliye Mwakilishi wa Magomeni, amesema ni vyema wananchi wakaulizwa kama bado wanautaka mfumo huo au ule wa zamani urejeshwe.

    Katika hotuba yake, Salim alimwomba Rais wa Zanzibar, D k A l i M o h a m e d S h e i n k u u n g a m k o n o h o j a h i y o itakapowasilishwa ili kutoa nafasi mpya ya kidemokrasia kwa wananchi wake kujua kama wanataka mfumo wa sasa au wa zamani.

    Kauli na msimamo wa Rais Shein ambao ndio msimamo pia wa Makamo wa Pili wa Rais Balozi Idd Seif kupitia kauli yake ya hivi karibuni, wananchi wanabaki wakihoji, hawa akina Salmin na Kisonge yao wanamtumikia nani?

    Swali hilo linakuja kufuatia ukweli kuwa wananchi walio wengi wasingependa kurejea kule walikotoka kwenye siasa za chuki na uhasama ambapo watu walikuwa wakiambulia vipigo, mauwaji na uharibifu wa mali bila vyombo vya dola kuchukua hatua.

    Na havikuchukua hatua kwa sababu vilikuwa vipigo na mauwaji ya kisiasa yaliyokuwa yakibarikiwa na wanasiasa waliokuwa madarakani.

    Kama wananchi hawataki siasa za Kijanjaweed na wakuu wa CCM na SUK nao wanasifia hali ya amani na utulivu iliyoletwa na SUK, hawa akina Salmin na Kisonge wanamtumikia nani?

    Anahoji mwananchi mmoja k a t i k a m j a d a l a u l i o k u wa ukiendelea katika moja ya masikani mashuhuri Malindi.

    Maoni ya wengi ni kuwa wanaolilia kurejea kwa siasa za mabavu, chuki na uhasama ni wale ambao wanaona kuwa hawawezi kubaki madarakani kwa njia za kidemokrasia na halali ila kwa kutumia mabavu na nguvu za kipolisi na jeshi.

    N a h i y o i n a w e z e k a n a unapounda mazingira ya chuki na uhasama baina ya vyama na miongoni mwa wananchi, hapo ndio Chama tawala na walio madarakani hupata fursa ya kutumia vyombo vya dola kinyume na sheria ili muradi tu wabaki madarakani.

    H a t a h i v y o w a t u h a o wametakiwa kuzingatia kuwa hata kama watabaki madarakani, bado kuna kifo kinawasubiri ambapo watakwenda kujibu yale waliyochuma kwa mikono yao na vinywa vyao ambayo yaliwadhuru wananchi wenzao wasio na hatia.

    N a wa k a t i h u o u k i f i k a hakutakuwa na Kisiwandui wala Dodoma ya kuwatetea mbele ya Hakimu wa mahakimu, Mfalme wa Siku ya Malipo.

  • 5 AN-NUURSHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014Habari za Kimataifa/TangazoBAADA ya mazungumzo ya l i y o c h u k u a m u d a m r e f u h a t i m a y e viongozi wa Taliban na Serikali ya Marekani wamekubaliana kwa pamoja kubadilishana wafungwa.

    Mazungumzo hayo yaliyokuwa yakiongozwa na Serikali ya Qatar, hatimaye yamefanikiwa ambapo sasa Marekani italazimika kuwaachia wafungwa wa Taliban inaowashikilia katika gereza lake la mateso la Guantanamo Bay lililoko huko Cuba , na wao kukabidhiwa askari Bowe Berdagal.

    Wa n a h a r a k a t i w a Imaratu Is lamiah ya Afghanistan imemwachia Askari wa Kimarekani aliyekamatwa mwaka 2009 kwenye mapigano yal iofanyika sehemu m b a l i m b a l i n c h i n i Afghanistaan.

    B o w e B e r d a g a l , amepata uhuru wake upya huku Mujahidina watano a m b a y o wa l i m a l i z a m i a k a 1 3 n d a n i ya Gereza i l iyokuwa ya mateso ya Guantanamo wameachiwa huru na Serikali ya Marekani .

    K w a m u j i b u w a vyanzo vya televisheni ya Al-Jazeera, imeelezwa kuwa miongoni mwa Mujahidina walioachiwa huru kwa upande wa Taliban, yumo aliyekuwa Waziri wa Masuala ya Ndani ya utawala Taliban na viongozi wengine muhimu wa kijeshi wa Taliban.

    Taarifa rasmi iliyotolewa na Imaratul Islamiah ya Afghanistan imesema kuwa makubaliano ya kubadilishana wafungwa kati yake na Serikali ya Washington imekamilika.

    A m i r i wa Ta l i b a n S h e i k h A l M u j a h i d Mullah Omar, ametoa taarifa akiwa katika ofisini kwake Afghanistaan na kuthibitisha kuachiwa huru kwa wafungwa w a t a n o w a l i o k u w a w a k i s h i k i l i w a n a Marekani.

    M a z u n g u m z o yaliokuwa yakifanyika h a d i k u f i k i w a makubaliano, yalikuwa ya siri na Mjumbe Mkuu wa mazungumzo hayo alikuwa ni Serikali ya Qatar, ambayo ni swahiba mkubwa wa Serikali ya Marekani.

    Amiri wa Mujahidina wa Taliban amemshukuru Amir wa Qatar, Tamiin Bin Hamad Bin Khaliif, kwa Juhudi zake za

    Marekani yawaachia huru makamanda wa Taliban

    Yenyewe kukabidhiwa Bowe Berdagal

    MUHAMMED Nabi Omar

    MULLA Mohammad Fazl

    ABDUL Haq Wasiq. KHIRULLAH Said Wali Khairkhwa

    MULLAH Norullah Noori

    kuachiwa wafungwa hao Mujahidina waliokuwa wakishikiwa kwa muda wa miaka 13 katika gereza la Guantanamo.

    Marekani imekubali k u w a a c h i a h u r u makamanda watano wa Taliban kutoka jela ya kijeshi ya Guantanamo B a y , C u b a h u k u

    yenyewe ikipewa askari jeshi wake aliyekuwa katika operesheni huko Afghanistan Sajenti Bowe Bergdahl, ambaye alikuwa akishikiliwa na Taliban.

    Kwa mujibu wa gazeti la The Washington Post, Sajenti Bowe Bergdahl atabadilishwa na Kamanda K h i r u l l a h S a i d Wa l i

    Khairkhwa (47), ambaye alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani wa Taliban ambaye anasadikiwa ndiye aliyesaidia sana kuleta mapinduzi na kuiweka Tal iban kwenye dola mwaka 1994. Alikamatwa walinzi wa mipakani wa Pakistan Februari 16, 2002.

    Kamanda mwingine

    anayeachiwa huru kwa kubadilishana na Bowe ni Mullah Mohammad Fazil (47)

    Fazil alikuwa Kamanda wa ngazi ya juu katika jeshi la Taliban miaka ya 1990s.

    K a t i k a k e s i iliyofungunguliwa akiwa Guantanamo, alielezwa kuwa alishiriki mgomo wa wafungwa gerezani mwaka 2001 uliosababisha kuuliwa jasusi wa CIA, Johnny Michael Spann.

    Inaelezwa kuwa Fazi alijisalimisha Novemba 2 0 0 1 n a k u p e l e k wa gerezani Desemba.

    Mullah Norullah Noori (47) alikuwa Gavana katika utawala wa Taliban. Naye alijisalimisha mwenyewe b a a d a ya t a a r i f a z a kusakwa na Marekani Novemba 2001.

    A b d u l H a q Wa s i q (43) alikuwa Mkuu wa Upelelezi wa utawala wa Taliban. Yeye alidaiwa na Marekani kwamba a l i t u m i a o f i s i y a k e kuisaidia al Qaeda na kwamba alikuwa mtu muhimu katika kusaidia j i t i h a d a z a Ta l i b a n kuungana na makundi mengine ya Waislamu wenye msimamo mkali. Wasiq alitiwa gerezani Novemba 2001.

    Mfungwa mwingine a l iyeach iwa huru n i Mohammed Nabi Omari (46). Marekani ilikuwa i k i m t u h u m u k u w a ni mmoja wa viongozi muhimu sana wa Taliban na kudaiwa kuwa kiungo muhimu kati ya utawala wa kundi Taliban na al Qaeda. Omari alikamatwa Septemba 2002.

    Wote hao walikuwa ni viongozi halali wa serikali ya Taliban i l iyokuwa inaongoza Afghanistan kabla ya utawala huo kuangushwa na Majeshi ya Marekani na washirika wake nchi za NATO, kwa kile kilichodaiwa kuwa serikal i hiyo i l ikuwa ikiwahifadhi viongozi wa kundi la Al Qaeda.

    CAIROTume ya uchaguzi nchini

    Misri Jumanne wiki hii imemtangaza Mkuu wa zamani wa jeshi, Abdul-Fattah al-Sisi kuwa ameshinda uchaguzi wa Rais uliofanyika siku kadhaa zilizopita.

    Tume hiyo imebainisha kwamba Jenarali Al Sisi alipata asilimia 96.91 ya kura zote zilizopigwa. Tume ilitangaza kwamba jumla ya

    Al-Sisi atangazwa rasmi mshindi uchaguzi wa Raiswaliopiga kura ni asilimia 47.

    Kwa mujibu wa Tume hiyo, mpinzani wa pekee wa al-Sisi kwenye uchaguzi huo, Bw. Hamdeen Sabbahi amejipatia asilimia 3.09 ya kura zote.

    Akizungumza kupitia televisheni ya taifa punde b a a d a ya k u t a n g a z wa matokeo hayo, Abdul-Fattah al-Sisi aliwataka Wamisri kujiandaa kwa kipindi cha

    ujenzi wa taifa lao. Alisema kazi yake ya

    kwanza n i ku imar i sha usalama na kukabiliana na matatizo ya kiuchumi. Kiongozi huyo wa zamani wa jeshi anatarajiwa kuapishwa Jumamosi ijayo.

    Al-Sisi alijipatia umaarufu mwaka jana baada ya jeshi lililokuwa chini ya uongozi wake kumpindua Dkt .

    Mohammad Morsi, Rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Misri.

    Ta n g u w a k a t i h u o amekuwa akiendesha siasa za kuwakandamiza wapinzani hususan viongozi na wafuasi w a Wa n a h a r a k a t i w a Ikhwanul Muslimin, ambayo kwa sasa wameorodheshwa kama kundi la k igaidi nchini Misri, huku viongiozi wake na mamia ya wafuasi wakishikiliwa magerezani.

    SAJENTI Bowe Berdagal

  • 6 AN-NUURSHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014Makala

    BAADA ya magaidi wa Boko Haram (BH) k u w a t e k a n y a r a wanafunzi wasichana za idi ya 200 nchini N i g e r i a , k wa m u d a wa wiki mbili hakuna tamko lolote lililotoka kwa Rais Goodluck Jonathan. Baada ya hapo hatua ilichukuliwa na mke wake, Bi Patience J o n a t h a n , a m b a y e aliwaita waandishi wa habari na akaonyesha huzuni na masikitiko yake. Jonathan naye akawataka waandishi wamsaidie kuwatafuta wasichana kwa sababu eti wao wanaelewa zaidi kuhusu ulinzi na usalama wanchi.

    Waandishi walipigwa n a b u m b u w a z i . I n a w e z e k a n a j e w a o waelewe usalama wa nchi zaidi ya mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu?

    Iweje Rais ambaye serikali yake inatumia Naira trilioni moja (dola bilioni sita) kila mwaka kwa ajili ya ulinzi na u s a l a m a a w a o m b e waandishi wamsaidie?

    L a k i n i w e n g i hawakushangaa. Kwani ni rais huyu wakati mmoja a l i wa h i k u h u d h u r i a mkutano wa kampeni mjini Kano akishiriki katika ngoma, huku mjini Abuja zaidi ya watu 70 wakiuawa kutokana na bomu lililoripuliwa na magaidi.

    Ndipo wazazi wawili wa wasichana hao walijitolea k we n d a k u wa t a f u t a mabinti zao. Mara moja walikamatwa na kutiwa kifungoni kwa tuhuma za kuiaibisha serikali ya Jonathan na first lady wake.

    H i l i s i j a m b o l a kushangaza, kwani kwa muda mrefu wanajeshi wa Nigeria wamekuwa wakiendesha operesheni dhidi ya watu waliokuwa wakiwashuku kuwa ni wafuasi wa BH. Ripoti ya Shirika la Amnesty International inasema kuwa kuanzia Januari hadi Machi mwaka huu watu 1,500 walikufa kutokana na mapambano baina ya jeshi na magaidi wa BH. Nusu yao waliuawa na wanajeshi kwa kuwashuku kuwa walikuwa wafuasi wa BH. Tena wengi wao walikuwa wamekamatwa

    Boko Haram ni fursa kwa majeshi ya kibeberu kuenea AfrikaNa Nizar Visram

    na wanasubiri kufikishwa m a h a k a m a n i . K w a mujibu wa gazeti la New York Times (Marekani) mwaka jana wanajeshi wa Nigeria walichoma moto kijiji cha Baga, wakiwaua wananchi wasiopungua 200. Waliojaribu kukimbia walipigwa risasi. Mtoto a l iye jar ibu kutoroka alikamatwa na kutupwa n d a n i y a k i b a n d a kilichokuwa kinaungua.

    Kuna habari pia kuhusu mauaji yaliyoendeshwa karibu na mipaka ya Niger katika miezi ya Mei na Juni 2013. Gazeti hilo hilo la New York Times liliripoti kuwa katika mji wa Bosso mamia ya vijana wal iokuwa wamevaa mavazi ya Kiislamu waliuawa bila ya kuulizwa maswali.

    Wengine walichukuliwa n a w a n a j e s h i n a h a w a k u s i k i k a t e n a , alisema mwandishi wa gazeti hilo, Adam Nossiter, akiwanukuu mashuhuda wa mashambul iz i ya majeshi kutoka angani na nchi kavu.

    Kwa upande wa pili, Machi mwaka huu, waasi wanaoshukiwa kuwa ni BH walishambulia kambi ya jeshi na gereza katika mji wa Maiduguri, maili 80 kutoka Chibok w a l i k o t e k w a n y a r a wasichana. Mamia ya wafungwa wakatoroka.

    Baada ya hapo vijana 200 wal ikamatwa na kulazimishwa kulala chini. Gazeti la Times linasema wa n a j e s h i wa k a a n z a

    kufyetua risasi na kuwaua. Shahidi mmoja anasema a l i h e s a b u wa t u 1 9 8 waliokufa papo hapo.

    Kwa mujibu wa shirika la Amnesty, zaidi ya watu 600 wasio na silaha waliuawa na wanajeshi k w a n j i a h i i h u k o Maiduguri. Wengi wao walikuwa wametoroka kutoka jela. Wengine 950 waliuawa mwaka jana wakiwa katika mahabusu za kijeshi.

    Amnesty imemnukuu afisa mwanadamizi wa kijeshi akisema bila ya kutaja jina lake, Mamia ya wananchi wameuawa w a k i w a m a h a b u s u kwa kuwapiga risasi au kutokana na kutopata hewa ya kutosha. Kila siku watu huletwa mahabusi na kisha huuawa.

    M wa k a 2 0 0 9 j e s h i la Nigeria lilimkamata k i o n g o z i wa B H n a w a k a m u u a w a k a t i walikuwa wamemfunga pingu, kisha wakawaua w a s h u k i w a 1 , 0 0 0 waliowakamata. Video i l iyotangazwa na Al J a z e e r a i l i o n y e s h a j i n s i m a u a j i h a y o yalivyofanyika wakati washukiwa walilazwa chini.

    Mwanajeshi mmoja alisikika akimwambia mwezie, Huyo mwenye kofia usimpige risasi kichwani. Mpige kifuani hiyo kofia yake nzuri naitaka

    Yote haya hayakupewa kipaumbele na vyombo vya habari. Hawakuona

    umuhimu sana kutangaza. Ulimwengu ulikaa kimya. Sasa ghaf la kampeni k u b wa ya k i m a t a i f a i m e a n z a k u w a o k o a wasichana 200 waliotekwa na magaidi wa BH.

    Hali ya wasiwasi sasa imezidi kuongezeka, hasa baada ya kutangazwa kwa hali ya hatari kaskazini mwa Nigeria. Jeshi sasa ndiyo limepata sababu ya kutumia silaha popote na kama wapendavyo, hasa kutoka angani.

    Kutokana na operesheni hii inayoendeshwa wakati imetangazwa hal i ya hatari, hata jeshi lenyewe limeanza kujiuliza. Askari wengi wa vyeo vya chini n i k u t o k a k a s k a z i n i a m b a k o n d i k o wa t u wengi wanakamatwa na kuuliwa. Matokeo yake wa m e a n z a k u p u u z a amri wanazopewa na makamanda wao.

    Na wakat i huohuo o p a r e s h e n i h i i s a s a imekuwa ya kimataifa, kutokana na majeshi ya nje yanayoingia nchini Nigeria.

    Mwandishi Glen Ford anasema utekaji nyara wa wasichana umeisaidia sera ya Marekani katika Afrika. Kama vile muasi Joseph Kony na kikundi chake cha LRA alivyosaidia kuingia kwa majeshi ya Marekani si tu huko Uganda bali hata katika nchi za jirani kama DRC, Rwanda, Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) na Sudan Kusini, vivyo hivyo na BH nayo imesaidia majeshi ya

    Marekani kuingia si tu katika Nigeria bali katika nchi za Afrika Magharibi. Uingereza na Ufaransa nazo zimeingiza majeshi yao huko ili kuwalinda Waafrika.

    Ndiyo maana unakuta m a j e s h i ya n c h i z a Magharibi yamejenga ngome zao katika nchi za Kiafrika kama Mali, Djibout, Niger na CAR, wakidai kuwa wanasaidia kupigana na magaidi na maharamia.

    Majeshi ya Marekani y a n a o n g o z a k a t i k a utumiaji wa ndege zisizo na rubani (drones). Ndege hizi zimewekwa nchini Niger, ikiwa sehemu ya vikosi vya Marekani katika Bara la Afrika (Africom). Sasa drone zimeingizwa Nigeria.

    Kwa maneno mengine, n c h i z a M a g h a r i b i , zikiongozwa na Africom, zinaeneza majeshi yao katika maeneo ya Ghuba ya Guinea. Kuna uwezekano kuwa watajenga vituo vya kijeshi katika mwambao wa Nigeria.

    Sababu wanayotoa ni kulinda shehena zao za mafuta zisishambuliwe na maharamia, kama wafanyavyo katika fukwe za Afrika Mashariki.

    Rais Jonathan tayari ametoa kibali kwa majeshi ya kigeni yalinde ufukwe wa Nigeria. Ukiongeza na mradi huu wa kuwasaka BH, maana yake Africom sasa inaingia kusini na kaskazini mwa Nigeria. Wakati huohuo ndege za drone zilizowekwa nchi ya jirani ya Niger zitaingia anga ya Nigeria bila ya wasiwasi.

    Hapo awali walijaribu k u f u n g u a k i t u o c h a drone katika Nigeria l a k i n i w a k a k w a m a . Miaka michache iliyopita Marekani i l i taka pia kuweka kituo cha Africom katika Nigeria lakini ombi lao lilikataliwa. Sasa wanaing ia kwa mlango wa nyuma, tena wanaingia kirahisi. Na Ufaransa nayo imeweka majeshi yake katika Mali na nchi za jirani. Haya pia yatatumiwa katika Nigeria.

    M a t o k e o ya h a t u a ya majeshi ya NATO k u u p i n d u a u t a w a l a wa Muamar Gaddaf i nchini Libya, yamekuwa n i k u wa we z e s h a n a

    Inaendelea Uk. 7

    RAIS Goodluck Jonathan wa Nigeria (kushoto) katika picha ya pamoja na Rais Barack Obama wa Marekani.

  • 7 AN-NUURSHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014Habari

    Boko Haram ni fursa kwa majeshi ya kibeberu kuenea AfrikaInatoka Uk. 6kuwakuza wapiganaji wenye msimamo wa Al Qaeda. Hawakuwa katika Libya tu bali mtandao wao ulienea katika nchi za Sahel zilizo Afrika Magharibi kama Mali, Niger na CAR (AQIM).

    M wa n d i s h i A j a m u B a r a k a ( M a r e k a n i ) a n a s e m a n c h i h i z i ziliingiliwa na makundi ya Kiislamu yanayodai yanapigana jihadi.

    Baada ya kuangushwa kwa Gaddafi wapiganaji hawa walienea katika nchi za Sahel. Tukawaona ghafla wakiwa wamepata m a f u n z o ya k i j e s h i , wakitembea na magari na wakiwa wamebeba silaha nzito. Watawala wa Kiafrika wakaelemewa na wakalazimika kuomba misaada ya kijeshi kutoka nchi kama Ufaransa na Marekani , anasema

    Baraka.Ya a n i u va m i z i wa

    N AT O n c h i n i L i b ya umesaidia kuenea kwa Al Qaeda kuanzia Afrika mpaka Syria. Hata Rais Jonathan alipokuwa Paris aliwaambia waandishi kuwa, Boko Haram si tena magaidi wa Nigeria tu, bali ni sehemu ya oparesheni ya Al-Qaeda katika Afrika Magharibi.

    Wakati tunawalaani BH na tunalaani ugaidi, ni vizuri kujua mazingira a m b a y o y a n a l e t a kuchipuka na kukua kwao nchini Nigeria.

    BH wametokana na mfumo wa jamii uliojaa umasikini, njaa, ukosefu wa kazi, udhalilishwaji, uonevu na unyonyaji, w a k a t i w a c h a c h e wanaogelea katika utajiri wa kupindukia.

    Yote haya yamezidi katika muda wa miaka

    14 tangu kuanza kwa kile kinachoitwa demokrasia. Kabla ya hapo wananchi waliambiwa utawala wa kijeshi ni mbaya na kwa hiyo ni vizuri kuwa na katiba ya wananchi na serikali iliyochaguliwa k i d e m o k r a s i a . K w a mwananchi wa kawaida h i k i n i k i i n i m a c h o kwa sababu hali yake haikuboreka.

    U t a w a l a a m b a o unatumia zaidi ya Naira trilioni moja (dola bilioni 6) kwa ajili ya majeshi wakati hautumii hata robo yake katika huduma za elimu na matibabu, ni utawala ambao unasaidia kulea vijana waliokata tamaa.

    Ndiyo maana padiri mmoja wa Kinigeria , Rev Agbonkhianmeghe E. Orobator (SJ, PhD) ameandika barua ya wazi kwa Rais Jonathan

    akimuuliza kwa nini i l imchukua wiki tatu kutoa tamko lake kuhusu kitendo cha BH, wakati akiwa anashughulika na kampeni ya uchaguzi?

    Ni rais yupi anayeomba kura katika jimbo ambako wato to za id i ya 200 wametekwa nyara? Katika jamii ya kistaarabu na yenye maadili kiongozi kama wewe angejiuzulu mara moja kwa kushindwa na kudharau kuwalinda raia wa nchi yake. Badala yake wewe unajifungia katika jumba la kifahari lenye ulizi wa kijeshi.

    Mheshimiwa Rais, kwa heshima na taadhima nakuomba ustaafu mara moja na kumpisha rais mwengine atakayelinda haki na maisha ya raia wa Nigeria, inasema barua hiyo. (Kwa hisani ya gazeti la Raia Mwema, Toleo la 355 , 28 May 2014)

    RAMALLAH MAWAZIRI wa serikali mpya ya Umoja wa Kitaifa Palestina wameapishwa Jumatatu wiki hii katika sherehe zilizoongozwa na Rais wa Mamlaka ya Palestina, Mahmoud Abbas.

    Serikali hiyo ya Umoja wa Kitaifa inaongozwa na Waziri Mkuu, Rami Hamdallah ikihusisha mawaziri na watendaji kutoka vyama vya FATH na HAMAS.

    K u u n d w a k w a Baraza hilo la Mawaziri kumetokana na maridhiano ya kitaifa yaliyofikiwa na vyama vikuu vya kisiasa Palestina vya HAMAS na FATAH yaliyofikiwa na kusainiwa Aprili 23 mwaka huu.

    Habari zaidi zinasema kuwa, mawaziri 17 katika serikali hiyo ya Umoja wa Kitaifa, wanatoka katika makundi mbal imbal i ya Pales t ina ambapo wanaharakati wa HAMAS wamepewa nafasi tano.

    Ser ikal i hiyo ni ya k w a n z a k u u n d w a tangu HAMAS na Fath kuvurugana na kutengana katika serikali baada ya uchaguzi wa mwaka 2007.

    Tayari Utawala ghasibu w a I s r a e l u m e p i g a makelele punde baada ya kukamilika sherehe

    Mawaziri serikali ya Umoja wa Kitaifa Palestina waapishwaza kuapishwa mawaziri wapya wa Palestina.

    Taarifa kutoka Tel Aviv imeitaka jamii ya kimataifa kutoitambua serikali hiyo.

    Kufuatia hatua hiyo ya Wapalestina kuweka hitilafu zao mbali na kuwa kitu kimoja, tayari Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu, ameonyesha kukasirishwa na maridhiano yaliyofikiwa na Wapalestina.

    B w . N e t a n y a h u amekosoa vikali hatua ya Umoja wa Ulaya kuunga m k o n o m a k u b a l i a n o yaliyofikiwa baina ya Hamas na Fat-h huko Palest ina na kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.

    Taarifa zinasema kuwa, Kamati ya Usalama ya Israel tayari imeshampa Bw. Netanyahu jukumu la kuandaa vikwazo vipya dhidi ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina.

    A w a l i k a b l a y a kutangazwa Baraza la Mawaziri, Bw. Netanyahu alidai kwamba Hamas ni wanaharakati ambao wanataka utawala wa Israel utokomezwe, hivyo akaitaka jamii ya kimataifa kutoitambua rasmi serikali ya umoja wa k i ta i fa i t a k a y o wa s h i r i k i s h a wanaharakati hao.

    Aidha utawala huo

    wa Kizayuni wa Israel umetangaza kwamba utakata uhusiano wake na Mamlaka ya Ndani ya Palestina, baada ya kuundwa serikali hiyo ya umoja wa kitaifa.

    Kiongozi mmoja wa utawala huo ameiambia ofisi ya Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina k w a m b a , u t a w a l a wa Kizayuni utakata m a h u s i a n o y o t e n a mamlaka hiyo, isipokuwa k a t i k a m a s u a l a y a kiusalama.

    Viongozi wa Israel

    pia wametangaza kuwa, hawatatoa fursa kwa mawazir i watatu wa serikali ya umoja wa kitaifa kutoka Gaza kuelekea Ramallah, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kushiriki kwenye sherehe za kuapishwa.

    Kuna taarifa kwamba

    k i o n g o z i m w i n g i n e wa kisiasa Israel naye amenukuliwa akisema k u wa , u t a wa l a h u o h a u t a f a n y a t e n a mazungumzo na serikali m p ya ya Pa l e s t i m a , kwa vile serikali hiyo i n a i s h i r i k i s h a n a wanaharakati wa Hamas.

    TANGU kuzuka ghasia na kufanyika mauaji dhidi ya jamii ya Waislamu nchini Myanmar , kwa mara ya

    EU yakutana na Myanmar kujadili haki, dhulmakwanza Umoja wa Ulaya (EU) umekutana na serikali ya Myanmar na kufanya kikao cha kujadili suala la haki za binadamu katika nchi hiyo.

    K u f u a t i a t u h u m a , malalamiko, kulaani na shinikizo la muda mrefu ya makundi ya wanaharakati wa kutetea haki za binadamu, hatimaye mkutano huo ulifanyika katika mji wa Naypyidaw Myanmar.

    K a t i k a m k u t a n o h u o , imeelezwa kuwa pande zote mbili zimesisitiza umuhimu w a k u s h i r i k i a n a k a t i k a kuboresha uhuru wa wananchi na kushikamana na sheria za kimataifa zinazolinda haki za binadamu.

    Hata hivyo, lililosikitisha we n g i n i E U k u s h i n d wa kubainisha moja kwa moja m a d h i l a w a n a y o w a p a t a Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.

    P a m o j a n a m a s h i r i k a mbal imbal i ya Kimata i fa ukiwemo Umoja wa Mataifa kulaani mauji, dhulma na ukatili wanaofanyiwa Waislamu na jamii ya Buddha nchini humo huku serikali ikipiga kimya, imedaiwa kuwa EU haikugusia moja kwa moja madhila hayo.

    Kadhia ya Waislamu nchini Myanmar kwa muda mrefu imetawala katika vyombo vya habari mbalimbali dunia kote, ambapo watu wa jamii ya Waislamu nchini humo wamekuwa wakiuliwa hovyo, makazi yao yakichomwa moto na mali zao zao ziliharibiwa, jambo lililowalazimu mamia kukimbilia nchi jirani za Thailand na Bangladesh kutafuta usalama lakini na huko hali haikuwa nzuri.

    Waziri Mkuu, Rami Hamdallah (kushoto) na Rais Mahmoud Abbas.

  • 8 AN-NUURSHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014Makala

    Inaendelea Uk. 9

    Na Omar Msangi

    CHUKI na uhasama baina ya Waislamu na Wakristo, imefikia kiwango cha kutisha Nigeria.

    K i wa n g o a m b a c h o kimewatoa ubinadamu na kuingia katika anga za kishenzi na ukatili kiasi cha kulana nyama.

    Huku kundi la watu wakishuhudia na kupiga picha, kundi la Wakristo limembanika kijana wa Kiislamu na kumla nyama.

    Ni zuciyan na ke so. Ik iwa na maana mi nataka moyo kwa lugha ya Kihausa.

    K a s a g i s h i r i ? Umeweka chumvi?.

    Hiyo ni sehemu ya mkanda wa video ukieleza ripoti ya mpasha habari wa BBC, Rob Walker aliyeshuhudia tukio hilo ambapo vijana wa Kikristo Nigeria walichoma mwili wa Muislamu na kumla nyama.

    Taarifa hiyo iliyopewa k i c h wa c h a h a b a r i : Nigerian Christians Kill and Eat Muslims-BBC reporter, Rob Walker wi tness e s Christian cannibalism.

    I n a e l e z a n i k w a kiwango gani chuki baina ya Waislamu na Wakristo imefikia katika nchi hiyo na madhara yake.

    Katika video ambayo mwandishi wa makala hii ameitizama kutoka katika mtandao, linaonekana kundi la watu likiwa limewazunguka vijana waliokuwa wakichoma mwili wa Muislamu.

    Anaonekana ki jana akiwa na panga anashikilia mguu wa maiti hiyo ya Muislamu iliyobanikwa na kuanza kukata minofu. Anashikil ia mguu na kuanza kuukata katika goti mithili unavyoona n y a m a i k i k a t w a buchani. Anafanikiwa kuutenganisha mguu na mwili kutokea gotini halafu anasimama juu ya gari iliyochomwa moto na kuanza kunyofoa minofu akila. Haya yakifanyika, wa t u wa l i o z u n g u k a wanachukua picha za video na za kawaida.

    What I find most ironic is that these butchers and party are communicating in Hausa language, the language of their slain enemy or rather, their meal and not their own native berom language.

    Akielezea hali hiyo ya kutisha, mpasha habari

    Muislamu abanikwa mishikaki, aliwa

    h u y o w a B B C , R o b Walker, anasema kuwa kilichomshangaza ni kuwa

    waliokuwa wakimchoma Muislamu na kumla nyama, wal ikuwa wakiongea

    lugha ya Kihausa, sawa na lugha ya mbaya wao wanayemla nyama, ikionyesha kuwa wote ni watu wamoja lakini sumu imepandikizwa miongoni mwao, sasa wanakulana nyama, sio kwa sababu ya njaa au hakuna chakula kingine, lakini kwa sababu ya chuki iliyopandikizwa miongoni mwao.

    Hata hivyo anasema, la kutisha zaidi ni kuwa wakati karamu hiyo ya nyama ya Muis lamu ikiendelea, polisi walio n a s i l a h a wa l i k u wa j i ran i ndani ya gar i l a o w a k i t i z a m a n a hawakuchukua hatua yoyote, na kwamba hali hii inaibua maswali mengi yasiyo na majibu.

    Hilo sio tukio jana au mwaka huu. Ni mwaka 2011. Ilikuwa Jumatatu Septemba 29, 2011 siku ya Eid el Fitri, ambapo Waislamu katika eneo moja la Jos wakati wakiwa katika swala ya Eid, walivamiwa na kundi la vijana wa Kikristo wakiwa na silaha wakachoma moto zaidi ya magari 60 na pikipiki nyingi na kuharibu maiti za waliouliwa ikiwa ni pamoja na kula baadhi yao waliowabanika kama mishikaki.

    Matukio ya kutisha na ya kishenzi kama haya, ni mengi Nigeria ambapo sasa inaonekana ni jambo la kawaida watu kuvamiwa ama wakiwa Msikitini au Kanisani na kuuliwa.

    Swali ni je, Nigeria w a m e f i k a j e h a p o ? Wamefikiaje kiwango hiki cha chuki, uhasama na hasira za kisasi?

    Pastor Ayodele Joseph Oritsejafor, ni mchungaji na Rais wa Christian Association of Nigeria (CAN), katika moja ya mahubiri yake na ujumbe wake kwa waumini na wafuasi wake, amekuwa akihimiza serikali ya

    KIASI miaka mitatu i l i y o p i t a v i o n g o z i wa taasisi mbalimbali z a K i i s l a m u waliitahadharisha serikali na jamii ya Wanigeria juu ya walichokiita kauli za baadhi ya Wachungaji za kuchochea hasira, chuki na ulipizaji kisasi kwa waumini wao dhidi ya Waislamu. Walitoa tahadhari hiyo kufuatia k u k i t h i r i m a d a i ya matukio ya uchomaji moto makanisa lakini p i a y a k i a n d a m a n a na matukio kadhaa ya kukamatwa vijana wasio Waislamu wakifanya u h a l i f u h u o h a l a f u husingiziwa Waislamu.

    Matukio ya uchomaji moto yakikithiri, huku mengine yakigubikwa na utata kuonyesha kuwa ni mambo ya kupangwa, yalisindikizwa na kauli k a l i z a wa c h u n g a j i kuhamasisha ulipizaji

    Masheikh walionya na mapemaPropaganda za uchomaji makanisaKuchochea uhasama, chuki za Wakristo

    kisasi. Miongoni mwa walioongoza Crusade hiyo alikuwa Mchungaji Oritsejafor ambaye katika tukio moja kule Kaduna aliwachochea vijana wa Kikristo likazuka balaa ambapo mamia ya watu waliuliwa.

    The federal government and Nigerians have been told to hold the President of Christian Association of Nigeria (CAN), Pastor Ayo Oritsejafor responsible for the recent crisis that led to the death of hundreds of people in Kaduna state.

    Ndivyo vilivyoripoti vyombo vya habari baada ya Masheikh kuandika waraka serikalini kuhoji ni kwa nini baadhi ya viongozi wa kidini hufanya uchochezi na hakuna hatua zinazochukuliwa.

    Katika waraka huo wa 12 Julai, 2012 Baraza Kuu la Shariah kwa pamoja AYODELE Joseph Oritsejafor, ni Mchungaji na Rais wa

    Christian Association of Nigeria (CAN). Inaendelea Uk. 9

    NDEGE inayomilikiwa na Mchungaji Ayodele Oritsejafor (pichani kulia).

    MKE wa Mchungaji Ayo Oritsejafor akiwa kasimama pembeni mwa gari lao la kifahari.

  • 9 AN-NUURSHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014Makala

    Inatoka Uk. 8

    Muislamu abanikwa mishikaki, aliwaNigeria itunge sheria i t a k a y o w a w e z e s h a Wakristo kutembea na silaha kwa kile alichodai kuwa ni kuji l inda na ugaidi wa Waislamu siasa kali.

    Ayo Oritsejafor anadai k u wa Wa i s l a m u wa Nigeria wana agenda ya kuisilimisha nchi hiyo na kwamba wamefanikiwa kuanza kusimamisha sheria zao kuelekea katika kufuta Ukristo. Anatoa mfano akisema kuwa Benki za Kiislamu hazitakiwi kuwepo kwa sababu hiyo ni moja ya mikakati ya kuisi l imisha Nigeria. Yalipoibuka mashambulizi ya Boko Haram, Ayo Oritsejafor anadai kuwa m a s h a m b u l i z i h a y o yamelenga kuwamaliza Wakristo na kwamba huo ni katika mikakati ya Waislamu. Katika kukoleza chuki ya Wakristo dhidi ya Waislamu, Ayo Oritsejafor akawahimiza wafuasi wake kuwa wakibahatika kuuwa Boko Haram, kwa maana ya Muislamu, basi wakatekate maiti yake na watupie nguruwe wale. Anayasema hayo baada ya kuwa z ishapigwa propaganda nyingi na uwongo mwingi wa akina Habila Adam na Deborah Peters juu ya hadisi za Waislamu kuvamia vijiji na kuuwa Wakristo wote au kuchoma makanisa na kuuwa Wachungaji. Sasa badala ya vijana wake kuwafaidisha nguruwe kwa nyama ya Muislamu, wakaona wale wenyewe!!!

    Mwaka 2012 Pastor Ayo Oritsejafor alialikwa k u h u d h u r i a k i k a o cha Bunge la Congress l a M a r e k a n i wa k a t i l ik izungumzia sua la la Boko Haram. Katika maelezo yake, Pastor Ayo Oritsejafor, alisema kuwa Boko Haram ni lazima watizamwe kuwa ni watu wanaobeba na kubebwa na dini (Uislamu) iliopania kufanya mauwaj i ya Kimbari ulimwenguni kote . Akasema kuwa maana ya Boko Haram, ni kukataa elimu ya Kizungu/M a g h a r i b i , n a h i y o maana yake ni kukataa U k r i s t o i k i m a a n i s h a kuwa wanachopigania n i k u w a a n g a m i z a W a k r i s t o w o t e i l i wabakishe Nigeria iwe nchi ya Waislamu watupu.

    Akakoleza akisema kuwa zaidi ya makanisa 1000 y a s h a c h o m w a m o t o

    na maelfu ya Wakristo kuuliwa.

    Boko Harams intent

    is to exterminate western inf luence in Niger ia and end Christianity,

    alisema Mchungaji huyo na kuishangaa serikali ya O b a m a i n a f a n ya nini haijavamia Nigeria kuwaangamiza Waislamu aliodai ni siasa kali ambao ndio hao hao Boko Haram.

    Wakristo wanauliwa kila uchao Nigeria, ni jambo la wakati tu, hatimae watamalizwa na Boko Haram watahamia hata huku kwenu Marekani wakati huo ukifika hata Rais wenu atakuwa hana salama tena.

    Alinukuliwa Oritsejafor na vyombo vya Marekani akisema ambapo vilimsifu kuwa-kapasua mbarika, a l i k u wa m u wa z i n a kuwajuza Wamarekani wakaelewa vizuri kitisho cha Boko Haram.

    Ilikuwa ni katika vikao h i v y o v ya C o n g r e s s ambapo walialikwa pia akina Habila Adam kutoa ushuhuda wa uwongo kuwa walipigwa risasi za puani zikatokea kichogoni lakini bado ni wazima.

    Mwaka 1993 lilizuka zogo hapa nchini juu ya kile

    Inaendelea Uk. 10

    Masheikh walionya na mapemaInatoka Uk. 8na Baraza la Maimam na Ulamaa uliosomwa mbele ya waandishi wa habar i kule Kaduna, viongozi hao wa Kiislamu w a l i i t a k a s e r i k a l i (Federal Government) k u w a c h u k u l i w a W a c h u n g a j i k a m a Oritsejafor kuwa ndio maadui namba moja wa amani ya Nigeria na ni lazima hatua zichukuliwe k u wa k o m e s h a k a b l a mambo hayajaharibika.

    Hoja ya msingi ya viongozi hao il ikuwa k w a m b a m e n g i y a matukio yanayodaiwa ya kuchoma makanisa yalikuwa ya kupangwa na watu wasio Waislamu au wanaotumiwa kwa kupewa pesa, na matukio hayo hayo ndiyo Wachungaji hao huyatumia kutoa kauli kali za kichochezi kuchochea chuki na hasira za Wakristo.

    M f a n o u l i t o l e w a juu ya kauli ya vijana watano waliokamatwa wakitaka kuchoma kanisa na wakakir i kwamba

    wal ipewa pesa k ias i Naira 7000 kila mmoja kufanya kazi hiyo. Lakini inapokuja kwa Wachungaji huwahamasisha waumini wao kuwa walipize kisasi wakidai kuwa huo ni mpango wa Waislamu kuangamiza Wakristo.

    Anata jwa mchunga j i Pastor Ayo Oritsejafor aliyewahimiza Wakristo kulipa kisasi na kwamba w a k i u w a M u i s l a m u wamkatekate nyama yake walishe nguruwe.

    Mwenyekiti wa Baraza la Maimam na Ulamaa, Sheik

    Usman Abubakar akisoma tamko la viongozi wa Kiislamu, alikariri baadhi ya kauli za Mchungaji Ayo akihimiza ulipizaji kisasi na kwamba mapambano hayatasita mpaka Nigeria isambaratike, igawike

    Inaendelea Uk. 11

    RAIS Goodluck Jonathan wa Nigeria (kulia) akiwa na Mchungaji Ayo Oritsejafor

  • 10 AN-NUURSHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014MAKALAkilichodaiwa na baadhi ya Wachungaji na wanasiasa kuwa ni agenda ya Rais Alhaj Alli Hassan Mwinyi kuisilimisha Tanzania. Ilidaiwa kuwa Mwinyi a l i k u wa a k i t e k e l e z a agenda ya Islam in Africa O r g a n i z a t i o n ( I A O ) ambayo ilidaiwa kuweka mkakati wa Kuisilimisha Afrika na moja ya mikakati kuhakikisha kuwa nafasi zote muhimu serikalini zinashikwa na Waislamu. Ilikuwa ni katika kipindi hicho ikajengwa hoja kuwa Mawaziri Waislamu wasiofika hata asilimia 15% ya Mawaziri wote katika Baraza la Mawaziri, ilikuwa katika kutekeleza mkakati huo. Zogo likawa kubwa sana baada ya kudakwa na vyombo vya habari, akiandamwa Mzee Mwinyi na mawaziri waliokuwa na majina ya Kiislamu.

    Hata hivyo, haikupita muda ikagundulika kuwa kilichodaiwa kuwa ni Islam In Africa, Abuja Communique, ilikuwa taarifa za kughushi.

    Wa i n j i l i s t i wa w i l i , mtu na mkewe, Edwin n a J o d d y M i t c h e l l , walichukua maazimio ya mmoja wa mikutano ya OIC na Islam In Africa, wakaghushi maazimio ya ziada wakaongeza katika maazimio halisi, halafu ili kukoleza propaganda yao, wakapiga muhuri wa k u g h u s h i we n ye maandishi ya Kiarabu. Ilikuwa ni waraka huo wa kughushi uliosambazwa miongoni mwa Wakristo wa Nigeria kwa kuanzia (kwa vile mkutano wa Islam In Africa ulifanyika katika nchi hiyo, kisha ukasambazwa na huku kwetu. Aidha waraka huo wa kughushi uliwekwa kuwa sehemu ya kitabu cha Wachungaj i hao, mtu na mkewe, kitabu walichokipa jina Two Headed Dragon ikiwa na maana ya Nunda lenye Vichwa viwil i . K a t i k a m a e l e z o ya o nunda hilo ni Uislamu uliokamia kuangamiza Ukristo Afrika. Ulitajwa pia Ukatoliki ikionyesha kuwa kuna kugombea waumini baina ya Katoliki na Pentekoste. Hata hivyo, kichwa cha Nunda hili kilichoonekana hatari zaidi na kuwekewa mkakati wa

    Nunda la Vichwa Viwili linafanya kazi

    kupigiwa propaganda ili kuvuta nguvu za kimataifa kuliangamiza, ilikuwa ni

    Uislamu.Ilikuwa ni baada ya

    kusambazwa urongo

    h u o n a w a c h u n g a j i hao kutoka Marekani, waliibuka wachungaji

    k a m a P a s t o r A y o Oritsejafor, na kuanza kusambaza chuki na kupandikiza uhasama baina ya Waislamu na Wakristo. Visa vya madai ya kuchomwa m a k a n i s a v i l i a n z a kuibuka na kusambaa n a k i l a l i k i t o k e a tukio, hudaiwa kuwa ni katika ule mkakati mkuu wa kuisilimisha Nigeria. Walioshikilia s a n a b a n g o h i l o wakawa ni wachungaji w a m a d h e h e b u y a K i p e n t e k o s t e /K i l o k o l e a m b a y o mengi yanafadhiliwa kutokea Marekani. Kwa upande wake Kanisa la Kikatoliki lilijiweka mbali na propaganda za akina Ayo, hata likajitoa katika Umoja wa Wakristo Nigeria, CAN, ambao kwa sasa Rais wake ni Pastor Ayo Oritsejafor.

    I l ikuwa ni kat ika kilele cha propaganda hizo, Boko Haram nao wakaibuka. Ukitizama namna Boko Haram w a l i v y o i b u k a , n a n a m n a i l i v y o k u wa kwamba baadhi ya v i jana wa Kikr i s to walikuwa wakitumika k u l i p u a m a k a n i s a halafu inadaiwa kuwa ni Boko Haram, inatoa p i c h a k u w a k a z i anayofanya Mchungaji Ayo Oritsejafor, ndiyo hiyo hiyo wanayofanya Boko Haram. Wote wanamtumikia bwana mmoja. Kwamba wote, kila mmoja kwa namna ya k e , wa n a t u m i wa kupandik iza chuki na machafuko katika n c h i . B o k o H a r a m w a n a t u m i w a /wanadaiwa kufanya vitendo vya kuuwa na k u l i p u a m a k a n i s a , jambo ambalo linafanya Wakristo wawachukie Waislamu, kwa upande mwingine akina Ayo nao wanakoleza kwa kupiga propaganda kuwa Waislamu wamepania kuwaangamiza Wakristo na ushahidi ni vitendo vya Boko Haram.

    At 12 minutes, several of them clearly admitted to eating (chopping) the pieces of roasted human esh he saw with them that they brought home to the Christian sector. They were very happy and glad in their expression. Certainly cannibalistic.

    Rob: This is the christian community here, and there is a very large group of people gathered.that is the army fi ring in the air, stones are being thrown, rocks are being thrown. Crowd is now dispersing rapidly. Rob: What about this body here, who is this body here?

    Christian 1.Yah, This is Muslim body.people that brought the bomb?

    Rob: So you are saying this body which is being burned is People that brought the bomb?

    Christian 1: Yah, yah, that is the body.

    Rob: But there is no legs or arm or head

    C h r i s t i a n 1 : We a r e

    Kwa wanaojua Kiingereza someni BBC Broadcast Transcript ifuatayo:BBC broadcast transcript-

    chopping the meat, we are chopping the meat!Christian Lady: some eatChristian 2: And someeat itC h r i s t i a n L a d y : A n d s o m e o f i t e a tChr is t ian 1 : We eat i tChristian 3: We eat the meat!

    Rob: Some of the people here eat it?

    C h r i s t i a n 1 : Y e sChristian 2: Really, really!

    Rob: But why will you do that, why will you eat the meat

    Christian 1: Why will we not chop the meat?

    C h r i s t i a n 1 : W e n e e d t o f i g h t t h e mC h r i s t i a n 2 : W h y w o n t w e c h o p i tChristian 3: Thats why we chop it.

    Rob: There is a man now with a part of the body on a stake, he raised it up. Will there be peace now?

    . C h r i s t i a n s : . . t h e Hausa doesnt want peacewe want the soldier to go, we need peace,

    Rob: but the soldiers protect. Christians: the soldiers should go let the batt le be once and forever..

    Rob: Reports of isolated cases like this of Christian youth burning and eating

    the flesh of their enemies emerged in in Jos 3 months ago. Some residents say it is a means of humiliating opponents. Others say it is a way of binding together those involved in the violence. Whatever the case it gives you some idea of the extremes of the violence here. The police say they werent sure who the target of the bomb att ack. What is sure is if it wasnt for the heavy presence of the Nigerian army, the violence will be much worse here.

    Finally he goes to a noble community in Jos where Muslims and Christians live in peace, cooperate and protect each other, and they explain that the prevalence of violence and rioting in other areas is likely politically motivated by politicians who live in secure, rich areas and set up these ignorance and poverty clashes. They said it may be Christians pretending to be Muslims bombing Christians and likewise Muslims pretending to be Christians bombing Muslims, all as agents of wicked politicians, acting under the umbrella of religion and taking advantage of the poverty in the region.. The politicians push out opponents in their area for instance with these att acks, so they can win elections Inaendelea Uk. 11

    VIJANA waliokamatwa na kukiri kupewa pesa kuchoma Kanisa, Nigeria.

  • 11 AN-NUURSHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014MakalaM c h u n g a j i A y o

    Oritsejafor anatajwa kuwa miongoni mwa matajiri wakubwa kabisa Nigeria. Ana ndege binafsi ya kusafiria huku mkewe a k i t e m b e l e a g a r i ya kifahari aina ya Limousine.

    Ndege hiyo ilinunuliwa kutoka Canada, lakini awali ilikuwa imesajiliwa New Jessey, Marekani, kule kule Jimboni kwa Mbunge wa Bunge la Congress Chris Smith a l iyekwenda Niger ia kumchukua Habila Adam kumpeleka Washington D.C. kufanya usanii wa kupigwa risasi puani na kuangamizwa kwa Wakristo wote wa kijijni kwake.

    Zaidi ya kuwa Rais wa Christian Association of Nigeria (CAN), Pastor Ayo Oritsejafor ni Mchungaji Mkuu na mwanzilishi wa Kanisa la Word of Life Bible Church, Warri, Delta State.

    Siku ya kupokea ndege yake binafsi ya kifahari, k u l i f a n y i k a k a r a m u kubwa inayotajwa kama ya kifahari katika dhifa zi l izowahi kufanyika N i g e r i a n a k wa m b a Rais Goodluck Jonathan alikuwa miongoni mwa waalikwa na alihudhuria. Ndege hiyo ya kifahari, kwa ndani imenakishiwa kwa dhahabu (gold-plated) ikiwa ni pamoja na meza ya kulia na kufanyia kazi zake akiwa safarini, vyoo vyake na vifaa mbalimbali ndani ya ndege-vyote ni vya dhahabu pia.

    Taarifa zinaeleza kuwa ndege hiyo- Canadian-made Bombardier jet, ikiwa na namba za usajili za Marekani N431CB, awali ilikuwa ikifaya kazi New Jersey ikitumiwa na C R BARD IN of Murray Hill, New Jersey. I l i s a f i r i s h wa k u t o k a Morristown, New Jersey, Septemba 2012 kupelekwa Canada ambapo ilifanyiwa ukarabati (service) na kisha kupelekwa kwa Mchungaji Oritsejafor, Oktoba 2012.

    HitimishoWa t a n z a n i a b a d o

    tunakumbuka sakata la mwaka 1993 ambapo ilidaiwa kwamba Tanzania ilikuwa imejiunga kwa siri na Shirikisho la kidini Afrika l inalo jul ikana kama Islam in Africa O r g a n i z a t i o n ( I A O ) , l enye makao makuu yake mjini Abuja, Nigeria t a n g u 1 9 8 9 . K a m a nilivyotangulia kueleza,

    Ni kazi inayolipa lakini kwa gharama ya kuangamiza nchi

    ni IAO inayodaiwa kuja na agenda ya Kusilimisha Afrika, ikiwemo Tanzania. Na kama nilivyoeleza pia agenda ya kuisilimisha A f r i k a n a u w o n g o u l i o a m b a t a n i s h w a uliosambazwa na Edwin na Joddy Mitchel, katika kitabu chao, The Two- Headed Dragon of Africa (Zimwi lenye vichwa viwili la Afrika), uliutizama Uislamu kama Nunda (Dragon) l i l i lotakiwa kukatwa kichwa mara moja kabla hali jaleta madhara.

    Uwongo huo wa akina Mitchel l unaonekana kuwa ndiyo d i ra ya Makanisa ya Kipentekoste na yamekita katika fikra za baadhi ya viongozi wa makanisa hayo na wafuasi wao. Daniel Mwankemwa katika makala yake The Secret Agenda of Islam in East Africa: Be Aware ( Juni 7, 2010) anakariri propaganda hiyo pale anaposema kelele na madai yanayotolewa na Waislamu katika kudai Mahakama ya Kadhi pamoja na kudai haki sawa katika elimu na nafasi mbalimbali katika ajira serikalini na taasisi za umma, ni katika mkakati wa kutekeleza agenda ya Abuja (IAO) ili hatimaye Ta n z a n i a i t a w a l i w e Kiislamu na kusiwe na Wakristo.

    What is the secret behind of all these tireless movements which by the way is against the constitution? The answer is obvious, to excute the Abuja Declaration to take over the entire continent of Africa under Islam regime. God forbid !!!!

    A n a s e m a D a n i e l Mwankemwa akinukuu mkutano wa Islam In Africa Organization wa Novemba 28, 1989, Abuja.

    Kisa kilichosimuliwa mwanzoni mwa makala hii, kinaonyesha kiwango cha chuki na uhasama kilichofikiwa baina ya Waislamu na Wakristo N i g e r i a . L a k i n i c h a kufahamu hapa ni kuwa chuki hii haikuja yenyewe. Imefanya kupandikizwa na waliotumika ni watu wa dini hao hao ambao walitarajiwa kuhubiri upendo na amani.

    Hapa nchini kumekuwa n a k a u l i n a m a d a i yanayoendelea kusemwa na kufanywa ni jambo la kukubalika kuwa makanisa yanachomwa moto na wanaodaiwa kufanya uhalifu huo ni Waislamu.

    Masheikh walionya na mapemaInatoka Uk. 9mapande mapande.

    "We call on the federal government and all the security agencies to declare Pastor Oritsejafor as 'number one enemy of peace in Nigeria and take appropriate action against him. If not, it would be assumed by the Muslims that he has support of government".

    Walisema Masheikh hao kwamba kama serikali haitawachukulia hatua wachungaji hao, itakuwa sawasawa na kuwaambia Waislamu kuwa serikali ipo pamoja na wachungaji h a o w a n a o c h o c h e a uhasama na kuzua urongo dhidi ya Waislamu,

    N a y o J u m u i y a inayowakilisha Waislamu wa Nigeria Kaskazini, Jamaatu Nasril Islam, walitoa tamko wakilani kile walichodai kuwa ni Wakristo wanaojifanya k u w a W a i s l a m u wakachoma makanisa ili kuchochea uhasama na uadui miongoni mwa

    wananchi.Iliwahi kutolewa habari

    ya kutisha hapa nchini kuwa kuna makanisa y a m e c h o m w a m o t o Yombo, lakini viongozi wa serikali za mitaa wa maeneo h a y o wa l i p o f u a t i l i a ikaonekana habari zile zilikuwa urongo mtupu. Ni matukio kama haya ya kuzua au kupanga na kisha kuyafanya vielelezo vya kupandikiza uhasama b a i n a y a Wa i s l a m u n a Wa k r i s t o , n d i y o wanayozungumzia hawa Jamaatu Nasril Islam.

    Kwa upande wa viongozi wa Christian Association of Nigeria, wao walipuuza madai hayo wakisema kuwa hakuna Mkristo anayeweza kuchoma k a n i s a a k a s i n g i z i a Waislamu.

    Yapo madai na matukio mengi yanayodaiwa ya uchomaji makanisa hapa nchini, Bara na Zanzibar, ambayo yanaleta sura kama hii wanayoilalamikia Waislamu wa Nigeria. Katika hali kama hii, kama kweli serikali imedhamiria

    kulinda amani ya nchi hii, kinachotakiwa ni kuwa panapotokea madai ya uchomaji moto makanisa, kwanza l ichunguzwe vizuri na kujua ukweli kama ni kweli kuna kanisa l imechomwa na nani kafanya uhalifu huo, na lichukuliwe kama uhalifu na muhusika ahukumiwe kama muhalifu, lisipewe sura ya dini.

    L a k i n i p i a k a m a itathibitika kuwa kuna watu wana mchezo wa kupanga matukio kama hayo na kisha kuyapa sura ya kupandikiza chuki na uhasama wa kidini, basi nao wachukuliwe hatua madhubuti na za haraka. Hii kawaida ya baadhi ya viongozi wetu wa serikali na vyombo vya dola kukimbilia kuimba wimbo wa Makanisa yanachomwa, Makanisa y a n a c h o m w a , h a i t a t u s a i d i a s a n a . Zaidi itatuangamiza na kutufikisha ilipo Nigeria-Mungu aepushilie mbali. Inaendelea Uk. 14

    Pichani juu ni ndege ya Ayo Oritsejafor. Pichani chini gari ya kifahari ya mkewe.

  • 12 AN-NUURSHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014Mashairi/Habari

    Kwa kweli hapana budi, kuhoji huu unyama,Kwa kasi unoshtadi, huko Kenya hizi zama, Si sawa nyuma kurudi, na kisha kuutazama,Hali hii hadi lini, ya huu uhayawani?

    Aula ni kuurudi, japo hata kwa kusema, Hata wakiukaidi, itawasuta mitima, Kwako ALLAH yu SHAHIDI, hukuuridhi unyama,Hali hii hadi lini, ya huu uhayawani?

    Wauwawa makusudi, Mashekhe na Maulama, Wema wa ALLAH abidi, pasi hata na jarima,Kosalo kubwa juhudi, ya kuuzindua umma!,Hali hii hadi lini, ya huu uhayawani?

    Falau kuna mazidi, ni yao istikama, Ya kudhukuru jihadi, kwa insi wa hizi zama,Wapate yao majadi, kadhalika taadhima,Hali hii hadi lini, ya huu uhayawani?Kwazo sifa magaidi, ndivyo kufari asema,

    Kwa inda na yake kedi, huwasaka kuwazima,Kwa mtutu di! di!di! di!, huwatungua kinyama,Hali hii hadi lini, ya huu uhayawani?

    Kukumbusha sina budi, 'waloshutiwa' kinyama,SAMIR naye ABOUD, pamwe na IBRAHIMA,'MAKABURI' kiidadi, wa nne kwenye ikama,Hali hii hadi lini, ya huu uhayawani?

    Na juzi ABDURASHID, 'ameshutiwa' kinyama,Ubiniwe MUHAMMAD, ni insani si mnyama,Wote hawa ni abidi, wauwaweje kinyama!,Hali hii hadi lini, ya huu uhayawani?

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    MAUAJI YA MASHEKHE KENYA UNYAMA HUU HADI LINI?

    Ewe Mola nijaliye, mwendo na kauli njema,Yote mema tuusie, Ilunga aliyosema,Tutasutwa baadaye, tutakaposhindwa soma,Makazi kwa Mola wake.

    Makazi kwa Mola wake, karejea kwa Qarima,Ilunga si yeye peke, walo hai ni lazima,Waume na wanawake, dunia tutaihama,Msiba kwa Ikhiwani.

    Msiba kwa Ikhiwani, sote waja tuna dhima,Si makazi duniani, uwa limekwisha hama,Hakuna dawa dukani, angalibakia mama,Kifo ni kwa hayawani.

    Kifo ni kwa hayawani, hufariki waja wema,Kuuliwa Ikhiwani, mbona twashindwa kusema,Twapagawa kulikoni, katangulia msema,Twawahofu ikhiwani.

    Twawahofu Ikhiwani, hakuchelea kusema,Twaa ni kwa Manani, si kwa mtoto wa mama,Hutoweka duniani, vikabakia vilima,Kesho ni mimi na wewe. Kesho ni mimi na wewe, au leo waja wema,Elewa usielewe, kifo hakina huruma,Akaondoka mkewe, ukaachiwa walema,Sisi kesho au leo.

    Sisi kesho au leo, waloamini ni dhima,Udhaifu wako leo, Imani imetuhama,Tunavithamini vyama, vilivyojaa lawama,Sisi tunakisubiri.

    Kifo tunakisubiri, Dar Moro na Dodoma,Hasan Bin Amiri, Tanganyika alihama,Selemani Takadiri, wazee walimuhama,Kwa Mola katangulia. Kwa Mola katangulia, zitangulie Rehema,Duwa tuna muombea, ni duwa za waja wema,Hakuna wa kusalia, makazi kwake daima,Twangoja ahadi zetu.

    Na Masare- 0713 616 3132

    Sheikh Ilunga amerejea

    M a r e k a n i i n a p o d a i kuanzisha, kusaidia na kutoa mafunzo kwa vikosi vinavyodaiwa vya kupambana na ugaidi, basi vikosi hivyo ni vya wauaji na watoa roho.

    Na lengo ni kuzidi k u c h a f u a a m a n i n a kuchochea ghasia kwa kuwatia hasira wananchi dhidi ya vikosi vya serikali au dhidi ya watu wa dini fulani.

    Katika makala yake, Boko Haram a Blessing for Imperialism in Africa: U.S. Training Death Squads, Glen Ford anasema kuwa mauwaji yanayotokea Congo yanayokaribia kuihil ikisha jamii ya Wakongo, ni matokeo ya alichokiita death squads waliopewa mafunzo na Marekani.

    Masheikh Kenya wazidi kuuliwaInatoka Uk. 16 Anasema, American

    Death squads are , by definition, destabilizing; they poison the political and social environment beyond repair, as Central Americans who lived through the 80s can attest.

    Kwamba vinapoingia vikosi hivyo vya mauwaji h u v u r u g a k a b i s a mfumo wa kisiasa na kijamii na kuutia sumu inayouharibu kabisa kiasi cha kutokutengezeka tena.

    N d i o m a a n a l e o i m e k u w a v i g u m u kurejesha hali ya amani ya kudumu Congo (DRC) na sehemu nyingine zenye machafuko yenye mkono wa mabeberu.

    Inapokuwa vikosi vya serikali (ATPU) vinauwa Masheikh, kwa maana kuwa serikali iliyotakiwa kulinda wananchi ndiyo sasa inawauwa tena kwa

    namna ya kinyama kama wanavyofanya ATPU wa Kenya, hapana shaka Wais lamu watakuwa wakipandwa na hasira na kufikia mahali pa kukata tamaa na kuamua lolote na liwe. Wataunda vikundi vyao vya kupambana na ATPU. Wakifanya hivyo, wanazidi kutangaziwa ugaidi, wanauliwa zaidi nao wanapanda munkari zaidi.

    Hapo ndipo Marekani inapotaka kuwafikisha Wakenya kupitia msaada wake kwa kikosi cha watoa roho (death squad) ATPU.

    N a h i c h i n d i c h o kitendawili tata kwa Waislamu wa Kenya. Kwa upande wa Serikali ya Uhuru Kenyatta, yenyewe inaonekana ishakubali kutumiwa kuitosa Kenya kwenye machafuko.

    UMOJA wa Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania (HAY ATUL ULAMAA) umepokea kwa huzuni kubwa taarifa za kifo cha Sheikh Manzi Said Manzi kilichotokea usiku wa kuamkia Jumanne ya tarehe 3.6.2014 sawa na mwezi 5 Shaabani 1435H.

    Marehemu Sheikh Manzi amefariki baada ya kuugua ugonjwa wa shinikizo la damu kwa muda mfupi.

    Hadi kufikia terehe 2.6.2014 Sheikh Manzi a l i k u wa a m e l a z wa k a t i k a w o d i y a Mwaisela Hospital i ya Taifa Muhimbili . Baadhi ya Masheikh w a l i p o m t e m b e l e a kumjulia hali, miongoni m w a o n i , S h e i k h Suleiman Kilemile, S h e i k h A b d a l l a h B a w a z i r , S h e i k h A b d a l l a h N d a u g a , Sheikh Ali Basaleh, Sheikh Ibrahim Ghulaam na wengineo.

    Sheikh Manzi alipata elimu yake ya dini ya Kiislamu katika chuo cha Almarkaz Al islamy cha Chang`ombe, ambacho ni tawi la Chuo cha Alhazhar cha nchini Misri pamoja na kusoma kwa Masheikh mbalimbali

    Sheikh Manzi Said Manzi amefarikiHAY ATUL ULAMAA YATUMA SALAMU ZA TAAZIA

    maarufu nchini pamoja na Masheikh kadhaa wa nje ya nchi waliotembelea Tanzania.

    Sheikh Manzi alikuwa mjumbe katika Umoja w a Wa n a z u o n i w a Kiislamu Tanzania (HAY-ATUL-ULAMAA) tangu kuas is iwa kwake na amekuwa na mchango mkubwa wa hali na mali kufikia maendeleo ya taasisi hio.

    S h e i k h M a n z i amekuwa na mchango mkubwa katika shughuli mbalimbali za kidini na kijamii katika maeneo tofauti. Mpaka anafariki alikuwa akishikilia nafasi mbalimbali za uongozi u l i o l e t a m a f a n i k i o . Alikuwa na nyadhifa muhimu katika Msikiti wa Mwinyimkuu pamoja na Taasisi ya Mwinyimkuu.

    Sheikh Manzi alikuwa ni mpenzi wa watu wengi kama ambavyo alipendwa na watu wengi pia na alijitahidi kumpa kila mtu nafasi yake anayostahiki.

    Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Hay-atul Ulamaa inachukua fursa hii kutoa mkono wa taazia kwa familia na umma wa Kiislamu Tanzania kwa kuondokewa na mmoja wa Maulamaa waliotoa

    mchango mkubwa kwa maendeleo ya Uislamu na Waislamu.

    N A S H E I K H IBRAHIM A. HAMAD

    KATIBU MTENDAJI HAY ATUL ULAMAA

    TEL: 0658 88 22 12

    Al-Marhuum Sheikh Manzi Said Manzi.

  • 13 AN-NUURSHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014Makala

    May 29 2014 (Mtandao wa Kupashana Habari - Black Agenda Report)

    KIJESHI, Afrika inakaribia k a b i s a k u wa b a r a l a Marekani. Barack Obama, ambaye amekuwa rais kwa miaka yote isipokuwa mwaka wa kwanza wa kuwepo kwa AFRICOM ( K a m a n d i M a a l u m ya Marekani kwa Afrika), amefaulu kuunganisha vikosi vya Marekani, kambi, mbinu za ufundishaji askari, vifaa na upatikanaji wa fedha na mifumo ya kijeshi ya takriban nchi zote za Afrika, kuacha tatu au nne. Ndoto ya mwanamapinduzi na rais wa kwanza wa Ghana Kwame Nkrumah ya kuunganisha Afrika kijeshi kimsingi imefikiwa - ila ni Wamarekani na Ulaya walioshika hatamu. Chini ya bango la kutoa misaada ya kibinadamu, Obama amepanua kwa mbali mapito ya Afrika ya marais waliotangulia, Bill Clinton na George Bush, hivyo kuna vipande vichache katika ramani ya bara hili vilivyo nje ya ukanda wa operesheni za Marekani. Eritrea na Zimbabwe zinangara kwa kutohusika - na hivyo, zitalengwa baadaye.

    A f r i k a n i e n e o linalokaliwa. Umoja wa Afrika hata haujaribu kudai kuwa umeshika hatamu za shughuli zake dhaifu za vikosi vya kulinda amani, ambazo si zaidi ya nafasi murua za majeshi ya Afrika kulipwa kwa kufanya kazi za maslahi ya nchi za Magharibi. China na Brazil inaelekea zinachukua sehemu kubwa zaidi ya biashara mpya na Afrika, lakini wenye bunduki ni watiifu kwa AFRICOM - sugar daddy mpya wa tabaka la wanajeshi barani humu. Majeshi ya Marekani sasa yanalala katika kambi za Afrika, ndugu wa kivita wa maofisa wa kijeshi wa Kiafrika ambao wanaweza kuamua nani atalala hivi punde katika Ikulu ya nchi.

    K a s i y a M a r e k a n i kupenya Afrika Magharibi imeongezeka kias i cha kushangaza kuanzia 2011, wakati Obama alipopiga mabomu kuondolea mbali serikali ya Libya ya Muammar G a d d a d i , a k a f u n g u l i a gharika ya wapiganaji jihad na silaha kwenda Syria kwa upande wa Mashariki na kuvuruga nchi za ukanda wa

    Sahel . Mparaganyiko ulitokea - mparaganyiko murua, kama wewe ni

    Boko Haram ni faraja kwa ubeberu Afrika-1Marekani yaanza mafunzo ya vikundi vya wauajiNa Glen Ford

    mpanga mikakati ya kijeshi wa Marekani anayetafuta sababu za kuandaa shughuli kubwa zaidi za uingiliaji. Mashambulizi ya NATO nchini Libya ndiyo yaliyozaa mkanganyiko kusini ya Sahara ambao ulihalalisha kukamatwa kwa Mali na Niger na majeshi ya Ufaransa na Marekani. Wapiganaji Jihad wa Afrika Kaskazini, wakiwa wamewezeshwa k w a m a b o m u , s i l a h a na fedha za Marekani , waliwafunza na kuwapa nyenzo ndugu zao barani humu, wakiwemo washirika wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria. Wapambanaji wanaozungumza ki-Yoruba (lugha inayotumika zaidi eneo la Magharibi ya Nigeria na nchi zinazopakana na eneo hilo) halafu wakaipa AFRICOM zawadi inayozidi nyingine zote: wasichana wa shule karibia 300 wanaohitaji kuokolewa, mchanganuo usio na doa wa kuingilia kwa sababu za kibinadamu,

    H a k u n a a n a y e h i t a j i kumwabia Obama mara mbili Fanya chochote!

    Wakuu wa nchi za Nigeria, Chad, Niger , Benin na Cameroon waliitwa Paris (kujifanya ni wazo lao) ambako walitangaza vita bila mpaka dhidi ya Boko Haram, huku watazamaji kutoka Marekani, Ufaransa, Uingereza na Umoja wa Afrika (washikadau wa zamani na wa baadaye barani Afrika) wakiangalia. Rais Francois Hollande alisema mpango wa jumla na wa kikanda ungepatikana katika mkutano huo.

    Wa k u u wa n c h i z a Nigeria, Chad, Niger, Benin na Cameroon waliitwa Paris ambako walitangaza vita isiyo na mpaka dhidi ya

    Boko Haram.Ni wazi kuwa nchi hizo

    tano za Kiafrika hazina fedha, mafunzo, nyenzo au mitandao ya kijasusi inayohitajika kwa mpango kama huo. U n g e k u wa n i m p a n g o wa Ulaya na Marekani wa ulinzi na usalama wa Afrika Magharibi - dhidi ya Waafrika wengine Mara moja, Marekani ilipeleka kikosi cha askari 80 kwenda Chad (ambayo jeshi lake kwa miaka mingi limekuwa kama jeshi la kukodiwa la Ufaransa) kufungua kituo kipya cha ndege zisizo na rubani za drone, kuongezea vituo vya drone ambavyo tayari vipo nchini Niger, Burkina Faso, Ethiopia, Somalia, visiwa vya Seychelles, Djibouti (ambako kuna kambi kubwa ya majeshi ya Ufaransa na Marekani) na maeneo mengine ya shughuli za shirika la ujasusi la Marekani (CIA) ambayo hayana ulazima wa kutajwa.

    Mfungamano huu mpya wa usalama katika Afrika Magharibi ukawa na sura ya NATO mara moja, kivuli chake kitakachosimamiwa na wapanga mikakati ya kijeshi kukabil iana na maadui wanaochaguliwa na Marekani na Ufaransa. Ni kioja gani cha uingiliaji kijeshi kwa mahitaji ya kuwaokoa watu walio hatarini! Wasichana hao walikuwa wamepotea kwa mwezi mmoja tu, na h u e n d a w a s i o k o l e w e wakiwa hai, lakini nchi tano za Kiafrika zinazopakana - mojawapo ikiwa na uchumi mkubwa zaidi katika bara la Afrika - tayari zimekokotwa kuingia katika mfungamano wa kijeshi unaosimamiwa na NATO pamoja na nchi nyingine za Afrika ambazo pia zimejumuishwa katika mfungamano huo.

    Ikaanza kusikika kuwa AFRICOM tayari ilikuwa na uhusiano maalum na jeshi la Nigeria ambao haukuwa umetangazwa hadi wasichana hao walipotekwa. AFRICOM itafundisha kikosi cha askari takriban elfu moja wa Nigeria katika mbinu za vita ya kupambana na ugaidi, ambako ni mara ya kwanza Kamandi Maalum ya Afrika inatoa mafunzo ya upana mkubwa kwa nchi ya Kiafrika kwa ukubwa huo

    (idadi ya askari).H u k u wa n a n c h i wa

    Marekani wakiwa katika Waokoe wasichana wetu, k a m a m w e l e k e o wa o , mikakati iliyoundwa kwa siri ghafla ikaibuka hadharani. Gazeti la New York Times linafichua kuwa Marekani i m e k u w a i k i e n d e s h a mpango wa siri wa kufunza vikosi vya ukubwa kama huo kupambana na ugaidi nchini Mali, pia. Mtoa habar i mmojawapo wa gazeti hilo hakuacha shaka kuwa operesheni ambazo zilikuwa siri kabla zina lengo la kufunika ukanda huo na vikundi vya wauaji vilivyofunzwa na Marekani. Michael Sheehan (mtoa habari mmojawapo) alikuwa hadi mwaka jana msimamizi wa Operesheni maalum katika makao makuu ya jeshi la Marekani, maarufu kama Pentagon - ambayo pia ni maskani kuu ya uundwaji wa makundi ya watoa roho - ambako aliweka msukumo wa kupatikana watoa mafunzo zaidi kwa majeshi ya Afrika. Sheehan sasa anashikilia kiti cha mwanataaluma aliyebobea katika kitengo cha kupambana na ugaidi cha Chuo Kikuu cha Kijeshi cha Westpoint nchini Marekani. Katika miaka ya 1980 alikuwa ni kamanda wa vikos i maalum katika ukanda wa Amerika Kusini - ambayo inamaanisha jambo moja tu, vikundi vya watoa roho.

    GEORGE Bush Rais wa zamani wa Marekani. Rais Barack Obama.

    Mjumbe wa Kamati ya Jumuia na Taasisi z a K i i s l a m u ( T ) , Sheikh Aman Mushi, amefariki dunia.

    Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Imam wa Masjidi T u n g i , U s t a d h i Shaabani Ibrahim, amesema Mzee Mushi amefariki usiku wa Jumatatu ( Juni 3) kuamkia Jumanne (Juni 4), mwaka huu akiwa nchini Dubai, ambako alikwenda kwa ajili ya matibabu y a m a r a d h i y a saratani yaliyokuwa yakimsimbua kwa muda mrefu.

    I m a m S h a a b a n , alisema mwili wa m w a n a h a r a k a t i huyo , u l i tara j iwa kuwasili nchini usiku

    Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raaji'uunSheikh Mushi amefariki

    wa Alhamisi au leo I j u m a a , a m b a p o mipango ya kumswalia inafanyika na huenda akaswaliwa katika viwanja vya Shule ya Kiislamu Nuryakini, j i rani na viwanja vya Mwembeyanga, Temeke Jijini Dar es Salaam.

    Kama mwili wa Mzee Mushi, utafika hapa Jijini, Waislamu watamswalia katika uwanja wa Nuryakini kabla ya kusafirishwa kwao Moshi kwa ajili ya maziko. Alisema Imam Shabaan.

    Alisema kwa kifupi kuwa, fami l ia ya marehemu imeamua k we n d a k u m z i k a n y u m b a n i k w a o Moshi.

    Mwenyezi Mungu Amrehemu Mahala Pema Peponi. Amin.

  • 14 AN-NUURSHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014Makala/Tangazo

    Viongozi wote wa Kamati ngazi ya Mkoa na Wilaya mnaalikwa kuhudhuria Tamasha la Ujenzi wa Kituo cha Kiislamu Shenge Juu Pemba litakalofanyika kuanzia tarehe 13 20 Juni, 2014.

    Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria kwa wingi. Wasio na wasaa wa kuhudhuria wachangie fedha na vifaa vya ujenzi.Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa tumefanya biashara na Allah (s.w) kwa mafanikio ya hapa duniani na malipo ya Pepo Quran (61:10-13)

    Muhimu: Kwa kupitia Tanga nauli ya kwenda na kurudi kwa usafi ri wa ndege ni-. Tsh 180,000/= (0715 894111/0787 894111). Kwa kupitia Dar es Salaam nauli ni Tshs. 98,000/- kwenda na kurudi.(Kwa meli) Kuripoti Dar es Salam ni tarehe 10/06/2014 0654 064215/0689 665045. Kila msa ri awe na kitambulisho.

    Wabillah Tawfi iq

    AMIR- TAIFA

    KAMATI YA KUENDELEZA UISLAMU TANZANIA

    TAMASHA LA KITAIFA, SHENGE JUU PEMBA 13 20 JUNI , 2014

    HitimishoInatoka Uk. 11Lakini maadhali katika mkakati wa mabeberu w a k u z i v u r u g a n a kuzikalia nchi za Kiafrika kijeshi kinachotakiwa ni kupandikiza kitisho na ubaya wa Waislamu dhidi ya Wakristo, ili hatimaye wapambane na kuuwana; hata ikitokea Mkristo akiwafanyia Waislamu uhalifu wa kweli, jambo h i l o h a l i p e w i u z i t o . Tu m e s h u h u d i a k u l e Geita ambapo wakati wa sakata la kuchinja baadhi ya Wachungaji walifanya u c h o c h e z i m k u b wa , lak in i hakuna hatua zozote zilizochukuliwa. Katika sakata hilo hilo, tulishuhudia lile tukio la Wakristo kuchoma na kuharibu Msikiti kule Tunduma, lakini hakuna hatua zilizochukuliwa. H u s i k i i n a h u e n d a h u t a s i k i a v i o n g o z i wa serikali wakisema Misiki t i inachomwa moto, bali makanisa tu. Hilo ndilo utasikia kutoka kwa Waziri Mkuu na viongozi wengine wa serikali na vyombo vya ulinzi na usalama.

    Hii unaweza kusema kuwa ni sawa na yale matukio kule Nigeria ATHARI za vurugu nchini vurugu zinazoendelea nchini Nigeria.

    a m b a p o b a a d h i y a v i j a n a w a K i k r i s t o walikuwa wakikamatwa wakichoma Kanisa na kusingizia Boko Haram, lakini hakuna hatua zinazochukuliwa. Au sawa na hili analoshangaa m wa n d i s h i wa B B C

    ambaye alishuhudia watu wakimla nyama Muislamu huku Polisi wakitizama.

    A k i n a Pa s t o r A y o Oritsejafor kule Nigeria hivi sasa wanatembelea ndege zao maalum za kifahari (private jet) na Limousine. Yawezekana

    hata hapa kwetu kuna mapesa yanamwagwa katika vitengo mbalimbali kwa ajili ya propaganda hii ya kutuangamiza.

    Yapo matukio kama yale ya kule Mwanza ambapo baadhi ya watu wanakuja na kudai kuwa ni halali Muislamu kupora mali ya Mkristo kwa kutumia mtutu wa bunduki (ujambazi wa kutumia silaha) na kutaka

    wafuasi wao wawe na silaha kinyume cha sheria. Kama akina Mchungaji Ayo Oritsejafor, nao hivi sasa wanatembelea magari ya kifahari. Na kwa hakika huo ni mtaji kwa mabeberu na pengine ndio sababu watu kama hao wanaachwa kusema mambo yasiyofaa lak in i hakuna hatua z i n a z o c h u k u l i w a . I k i s h a z o e l e k a n a kujulikana kuwa kuna kundi la watu kama hao, wanaohimiza ujambazi wa kutumia silaha na uhalifu kwa jina la Jihad, hufanywa tukio. Nani atafanya tukio la kutisha, hiyo sio muhimu-i tatangazwa kuwa waliofanya ni Salafi Jihad. Anti-Terror Police Unit, wataingia kazini. Wakristo nao watajiweka sawa kulipiza kisasi. Lakini tusisahau kuwa wapo pia na hawa wachungaji na wanasiasa ambao kila uchao wanaimba wimbo wa kuchomwa makanisa. Wao kazi yao itakuwa kukoleza chuki na hasira za Wakristo za kulipiza kisasi. Machafuko tayari.

    T u s i p o z i b a u f a , tutajenga ukuta. Watu k a m a h a w a n d i o waliowafikisha Nigeria walipo leo. Wanakulana nyama.

  • 15 AN-NUURSHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 6 - 12, 2014Tangazo ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

    P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

    MAFUNZO MAALUM YA UALIMU TARAJALI NGAZI YA STASHAHADA KWA KIDATO CHA NNE MASOMO YA SAYANSI/HISABATI NA ENGLISH:MUDA MIAKA 3

    1. UTANGULIZI Mafunzo haya yatatolewa katika vyuo vya Ualimu Kirinjiko Islamic Same na Ubungo Islamic Dar kuanzia Julai, 2014. Miaka miwili ya mwanzo yaani

    kidato cha tano na sita mwanafunzi atasoma tahasusi (combination) ya masomo matatu, mawili kati ya yaliyotajwa hapa chini na somo la tatu ni Ualimu (Education).

    Baada ya matokeo ya kidato cha sita na kufaulu, mwalimu tarajali atarejea chuoni mwaka wa tatu kukamilisha mafunzo ya Ualimu hasa katika mbinu za ufundishaji, mazoezi ya kufundisha kwa vitendo (B