10 - shujaaz.fm - chapta 10
DESCRIPTION
Chapta 10 - Full ComicTRANSCRIPT
CHAPTA 10NOT FOR SALE
unaweza dhani kila msee a
naishi life ya kawaida. Lakini si hivyo...
Hapa Kenya, nchii ya w
atu wanakaribia 38 million,
Hapo kwa shule zenu, kwa m
asham
ba, kwa m
asoko, na ma-hao, kuna watu special
Wanaitwa SH
UJA
AZ
. Kw
a hii comic, unaweza cheki stori zao.
Labd
a uta-discover
kuw
a wew
e ni mm
oja wa hawa
SH
UJA
AZ!
Ili ku-help ma-youth wa-improve lives zao, Boyie, ambaye hu-spend life yake akiunda ma-electronics, alijenga a pirate radio station - Shujaaz.FM. Akijiita DJ B, anaendelea ku-empower vijanaa huku anajificha from Chief na ma-gangs. 3
KUJENI NYOTE MFANYIWE HIV TESTING NEXT WEEK KWA CLINIC YETU JUU TUTAKUWA NA OPEN DAY.
TUKO TAYARI, TUNA-ENCOURAGE WASEE WAKUJE MAPEMA ILI WAONE TUTASHINDA MATCH MAPEMA NA TWENDE HOME MAPEMA.
MNAFANYA HII TALENT SHOW MARA NGAPI?
KUMBE...
kumbe wanajenga
hapa...
Equipment ya Boyie ililipuka! Shujaaz.FM ime-die?
...Mara hiyo hiyo, chief akamua kuanzisha TV station yake...
...Scarface na ma-gangs wakagundua, na ni kama wana mpango wao....
hapo awali...
share risto yako!
4
WAAAAAAAA!
EQUIPMENT YETU IMESANYWA!
TUTAAMBIA CHIEF NINI?
ATI NINI!? NI WALE MA-GANGS WASHENZI
WAMEFANYA HIKI KITENDO! NAJUA! WATAKIONA, SITAWA-SPARE!!!
5
CHIEF NI LOSER...
HIYO WIRE SI YA HAPO! FALA HII! WEE NYAMAZA! NAJUA KILE
NINAFANYA! SI HII SHIMO NI YA ROUND?
wacha mchezo! uta-blow fuse!
SOON TUKIANZISHA HII TV STATION, TUTAKUWA FAMOUS DUNIA NZIMA!
SEMENI KING SCAR-FACE!
KING SCAR-FACE
MFALME!!
KING SCAR-FACE
MFALME!!
6
MAZE NIKO-DISCOURAGED! TUMEPATA HIZI EVENTS zote lakini HAKUNA TV STATION YA KUZI-PLAY.
haidhuru, HATA HIYOEQUIPMENT HAINGE WORK, ni YA kitambo!
si tunaweza post videos kwa website?
NDIO MSEE! INTERNET NDIO THE FUTURE!
HIYO NI IDEA POA!
EEE! HATA SI NGUMU KU- upload!
NA NDIO NJIA BEST YA KUJULISHA KIJIJI KILE KINA- FANYIKA HUKU!
hiyo idea iko juu. nitajulisha beshte ya mine, itambamba!
7
ka-pussy, nikipata hawa wakora wanajiita ma-gangs! ee?
watajuta siku ile waliniona mara ya kwanza!!
woooi!!
nimerudi na shujaaz.fm ni stronger na even better! niko na website ya kiajabu! icheki www.shujaaz.fm!
tap
semeni, ni king scar-face...
malaika nakupenda, malaika...
tuko gangare kuruka!niaje ma-fans? hii ni shujaaz.fm, ikiletwa na the one and only dj b!
malaika nakupenda...krrrkk...
nyamaza! ni siku gani nitakaa na amani?
aah...pengine tv ina mazuri.
8
DJ B: Nini kilikufanya u-decide ku-join KNN?
Steve: Nilikuwa nikitaka ku-portray ile side positive ya mtaa ile hizi media zingine hazifanyangi.
DJ B: Ni stories gani zimekubamba zaidi ku-do?
Steve: Ile story poa nili-do ni about HIV/AIDS. Unajua watu wengi wako positive na wanaogopa ku-come out na wabonge juu ya hali yao.
DJ B: Ukifanya hii jobo ni part gani unapenda kufanya?
Steve: Mi hubambika niki-edit story na kuona ime-postiwa kwa You tube na wasee wamei-watch.
DJ B: Asante Steve!
Umewahi watch TV na ku-wish ungekuwa news reader? Sasa unaweza!
haiya! woooi!!
ati tunasemaa? toa pesa...
hizi fuse zina nuks!
si nilikuambia usicheze na wire?
kwa
bw a m!a
Nilibonga na Steve, member wa KNN, na ali-share hizi experiences...
KNN ina youth members 20 kama Steve wenye wana-record storos interesting wakitumia ‘flip cameras’. Then wana-download hizo storo kwa www.youtube.com ili stories zionekane kwa internet na wanakijiji.
Wanakijiji hu-encourage-iwa kutumia KNN SMS juu ya vitu zinafanyika Kibera.
Anzisha kitu kama hii kwa area yenyu na kuwa citizen journalist kisha unitumie story yako. Nitaiweka kwa website yangu www.shujaaz.fm then sote tunaweza kuwa ma journalists. Hapo vipi?!
Steve, Collins na Jacob
.knn
kibera news network
Kibera News Network
9
si story za sembe tu
10
achenikupigana!
leo utakipata!
nishakula!maji yakimwagika hayazoleki!
nini kina-happen?
nilikuwa na maziwa kwa bag yangu na ni huyu ameiiba.
sikuiba, imagine nilikuwa naskia njaa.
hatukula supper jana.
kwetu hatuna dooh mob na tuko wengi. food huwaga kitu light kama sukuma na supu mob. si story za sembe tu. yaani ni food ya kudanganya tumbo, leo niliamka nikiskia njaa , supper ilikuwa supu ya beans.
11
12
karibu, ni poa mme-come! niko na
karibu lunch! nimewapikia chapati imepikwa na butter, pilau na nyama mob. mtakunywa maziwa kama drink. tudishi wasee!
maziwa huwa na proteins, vitamins na iron.
ding! d
ng!
ding! do
ng!
surprise!
13
hii food ni poa lakini siwezi i-afford.
ulikuwa ukisema? meza food tuone nani anaweza mwengine!
sema kile unataka kusema juu mimi ni m-thin, lakini si kupenda kwangu.
ooh, hutaki kula na unataka vita?
aaai, wasee, acheni kupigana! ni kweli hii food ni expensive, lakini si lazima ukule hivi. unahitaji maziwa na nyama kidogo tu kila siku ili kupata nutrients unahitaji kujenga mwili.
chap!
munch! chap!
boof!
Kwanza, uliniibia maziwa, na saa hizi unajifanya hautaki
kula?
14
shika hii kuku. itakupatia mayai ya kula. then utaweza kupata chicks zingine.
asante malkia!
woooi!
na kakuku kameku-like!
chakula imeenda wapi? ilikuwa ya uncle yako! usijali...
uncle yanguni m-fat, ha-need kukula zaidi!
Bwaar !!
a kpo
op!
KULA CHAKULA KUTOKA KWA MIFUGO...Unakuwanga m-sick kila time? Basi labda ni poa
u-change diet yako! Food yenye inatoka kwa animals kama mayai, nyama na fish, zinaweza kuku-help kupona kama wewe ni m-sick, na pia
kukupatia nguvu.
Benefits za kufuga kuku: Ni rahisi kuchunga, na ni cheap kulisha. Kuku
hutaga mayai yenye unaweza kula ama kuuza. Na dooh zenye uta-get
kwa kuuza mayai, unaweza ku-buy nayo nyama na maziwa!
Pia unaweza fuga sungura ama mbuzi.
KAA RADA NA HEALTH YAKO!Wasee wasipokula animal products za kutosha, wanaweza kuwa wa-sick sana. Products za animals zina ma-vitamins na ma-minerals zenye zitakupe nguvu na afya poa.
Usi-worry ati ni expensive. Ukifuga wanyama home, una-get food virahisi, kwanza hapo tu kwako!
Mayai ni poa kwa eyesight na hukinga msee na heart attacks.
Nyama itakupatia nguvu.
Maziwa ina-strengthen mifupa na meno, na skin yako pia itakuwa poa. Itaku-help kujikinga na ma-sickness mob.
Ukikula poa, hauta-need kuenda kwa doki kila time,so uta-save dooh!
* Si lazima ukule animal products kila time. Ukizipata mara chache tu kwa wiki, uta-cheki difference! 15
Tips Juu Ya Ku-Deal Na Authority
Mimi hu-print tisho na kuuzia wasee gheto! Hii talent ilianza nikiwa mtoi. I used 2 print ma tyshoz using biro ink but I thank God now niko poa! Of late na-work in hand na beshte yangu 4rm Nai ambaye namtumia hizo tysho den anauza kwa chuo yao! So wid dat nimeweza kufungua bank account yangu na I have saved more dan 10k n am waiting nimade chuo so dat i can fully commit ma self na ma talent!Dave Kangusty.
talents
Me nilipoenda kuregister ID niliishia peke yangu. Huyo msee wa registrar alikuwa ananiuliza maswali lakini alipo-ona nina confidence akanishughulikia mara pap! Ahmed Mohammed Abdallah
Vile unaweza fanya ni kujua rights zako. Dont beg coz they’l take advantage of u. Definitely don’t bribe, kuwa firm but respect pia is important. Rachie Prity Prittie
If u want to speak to someone in authority, 1st u have 2 b very keen on wat u want 2 talk about. If u have 2 go thru other rep. b4 being directed don’t tell dem all the facts just be brief n to d point then be patient. When ur wid the person present your issues point by point giving room 4 discussion. Mind your language, kuwa courteous n manner counts a lot. I think even the person will hear n understand u n may help u. That’s my opinion. Monique Sherylin
Niaje, DJ B! Mimi ni stude KU, nina bizna ya kushona viatu kampo na mi huget poke kutoka kwa hii bizna. From Marx.
Ka una talent ya kusing unaeza kuparticipate kwa ma-concert na compe za muzik na uget
doh kama mimi.Steve Okach.Thogotto locition.
15 yearz.
Wow! DJ B I wish kungekuwa na Shujaaz TV. I like playing drum sets. Many pupils in Gilgil DEB like calling me DJ-C. So know u have your partner. Cylus.M.Njoroge, Gilgil. I love Shujaaz.fm.
Big up kwa ma-fans wote wa Sh comic. Tumeendelea sababu ya kupata en
messages kutoka congrats kwa wal
kwa messages mmeshinda t-s
Check out ma-fans using their talents
in many ways...
16
latf
ideas za ku-make dooh
healthy seed
Tunafaa first ku-understand purpose ya hii trust fund ndio hizi doo ziki miss-appropriatiwa tuweze kujua na tu-find which is the best course of action to take. We can also come up with our own projects to ensure pesa hai lay idle kwa hizo trust funds. Christopher Mwai
Niaje DJ B. Nina idea ya kumake chap take ile waste ya makaa ile vumbi mix na red soil hazin mould the mixture into sizeable balls n live them to dry in th e sun atlist 1wk then sell them. They burn 4a longer time hii ni plan b ya charcoal ni Sam from Utawalaa.
DJB this season ni hot sana maze. Watu mob hawaja plant seeds zao, nimevumbuwa siri ya healthy seeds ku-soak-iwa kwa maji before zipandwe, nimeshow wa kulima na wamefata instractions, maze mimea kwa sasa zina grow vizuri sana, maze tuko happy kwa hiyo. Oduor Butula.
Maze hio risto ya seeds ime-help sana.shosho yangu ju aliziwekaga ovyoovyo.but tumepata solution. Thanks DJB (gtg)
a hujaaz.FM
a ku-grow couraging
kwenyu. liopata
zao, sho!
Endelea kunitumia ideas poa poa kama hizi juu ya Shujaaz kwa kuni-SMS on 3008,
Facebook: DJ Boyie fan page. Tuendelee kujijenga
sisi vijanaa ili tujenge Kenya yetu!
shujaa of the month!
Hi DJ B! Wazee mnani-inspire vinoma. Baada yakua na water-shortage huku Kisumu ndogo nilijolea kutafuta maji na kuuzia raia kweli nilimake dooh. Ndunda from Malindi.
This is my 2nd time kuchop shujaaz mag. Kimenitowa kwa state of idleness na sasa nimeanza kusave little cash ili ni start bizna tuki-end semester. Big up. Niko nanyinyi na blood yangu ina-taste Shujaaz. Ben. Kisii.
“I attended a LATF meeting 4 our ward and had the opportunity 2 ask the council some
questions. This waz afta reading the Shujaaz comic. I’m proud of what I did coz I had a say in development matters in ma locality. It’s time we held our leaders accountable. There waz a certain project that had stalled mid-way. It waz a social hall n they explained that it
waz goin 2 be finished by March. That’s why I’ll make sure I will attend any development meeting in the area n take ma yuts coz it’s
part of being a responsible citizen.”
Kila mwezi, nitapatia mmoja wenyu ma-fans award ya
Shujaa of the month! Ili kupata hii award, unahitaji kuwa umefanya
kitu unique.
ABDUL VIDUKER 18 years old,
from athi river
17
Cooker yenu ni mzee inatumiwa na national museum kuonyesha
evolution!
Wewe ni fala hadi ukinunua smokie
unaenda kukulia kwa smoking zone!
Nyinyi ni wa-weird design, nyi hupika chapo
na Robb ndio zikue chapo menthol! Buda wako ni
mnono, siku za wedo wana borrow shati yake
watumie kama tent!
Una kichwa ndogo, ukisoma gazeti watu
wanadhani ni fullstop!Gari yenu ni
mzee hadi imemea kitungu kwa stering!
Gari yenyu ni mzee ukipiga start inatoa
kikohozi!
mungorio (n) Mobile phone.eg: Mongori ya yuas ina ringtones smatta!
nudhu (n) Nusu mkate.mbwekiko (n) Suit.
eg: Naona umeng’ara bwakiko brandy! Waenda harusi nini?
ololo (n) Kaloleni.eg: Anti wa mine anatulia Ololo
pax (v) Pause/relax.eg: Hebu pax hiyo ngoma ni-chat na Mdhamas
third mobile operator (n) Mobile thief.eg: Huyo mgedes ni third mobile operator.
paisha (v) Drive.eg: Budaz hupaisha mat ya Kaloleni.
murenga (n) Car.eg: Neighbour ame-buy murenga ya yellow.
cold case (n) Cold food.eg: Manze mi sipendi cold case. Itanipatia minyoo.
Sheng Dictionary mchongoano
Shujaaz(TM) is published by Well Told Story Ltd. , P. O. Box 1700 00502 Nairobi, Kenya. Tel: 02 02603214 / 0719 407512 www.wts.co.ke. Printed by Colourprint Limited, P. O. Box 44466 - 00100 Nairobi GPO. Produced in collaboration with: Safaricom, Twaweza, RIU. Distributed by Saturday Nation and Safaricom.
Content producers: Audrey Wabwire, Purity Mumbi Content: Paul Peter Kades, Bridget Deacon, Charles Ouda, David Ouma Art Producer: Fatima Aly Jaffer Layout Design: Joe Barasa Art: Daniel Muli, Eric Muthoga, Kevin Mmbasu, Movin Were, Salim Busuru, Joe Barasa Radio team: Audrey Wabwire and Eunice Maina Special thanks to Sodnet and Just A Band for their fantastic music on ShujaazFM radio Well Told Story © 2010 All rights reserved. No part of this publication may be reproduced, stored in any retrieval system or be transmitted in any form or by any means, electronic or mechanical without prior permission of the publishers. Although every effort has been taken to ensure the accuracy of information
contained in this publication, in no event shall the publishers be liable for any incidental, indirect, consequential losses or damages of any kind without limitation arising out of or in connection with the use of the information in this publication.
Kumbuka SMS ni 3008 na
Facebook fan page ni DJ Boyie! Pia niambie Jina, age na kwenye
unatoka
18
Sasa Musa, karibu!
ahsante, lakini hata
sikai...
Mtoto wangu ameambiwa asirudi
shule kama hajalipa pta fees...
Musa, si uambie MP atusaidie na hii
maneno ya fees?
aii!! mp huwezi kumwona tu hivihivi... ana
security kali!
Si wewe ni wa kabila
yake?
acha nitajaribu kumwambia,
asante.
unaweza nisaidia?Ukini-lend dooh
kidogo, nitairudisha nikipata.
Pole Musa, unajua sikuwagi na
dooh mob. Umemuliza Kaunda? Maybe
anaweza kuku-loan.
kwa kaunda...
huyu dem wa mtaa ni orphan anaye-raise bro
wake, na huku anang’ang’ana na chuo.
Ana-face challenges mob sana, Lakini hakubali
anything kumzuia kuzima corruption. mafala pekee
ndio hu-try kum-challenge.
only the brave hujaribu kum-ask out!
uta-do?
19
Yaani 3 hours zimepita na bado tuko kwa line!
Wooi, githeri yangu itaungua nikiendelea
kuwa hapa!
Mhemishiwa ako-busy kwa
mkutano. Ngojeni atawaona akimaliza.
Okay, hebu niende kidogo.
Niambie tukipata-score ingine!
Okay, Daddy!
Gooooaaal!
Daddy, tumeshinda!!
20
Ahem…Hamjambo wananchi! Ehe, shida yako ni gani, ndugu?
Mtoto wangu hajapata bursary!
Nitaiangalia.
Hello. Eh? Kweli! Oh!
Aaaa… Nakuja!
Tumeingisha ingine?
Ndio na tumeshinda!
Excuse me, Mheshimiwa. Ni
hii karatasi…
Iko sawa. Print and distribute.
Poleni tena, lakini mkutano umeanza.
Kujeni mwezi ujao na
nitawahudumia nyote.
ala!
21
Pole hukuona MP, Musa. Shika 5 sok. Najua utanirudishia,
najali kijana yako na masomo yake.
Asante Kaunda. Kweli wewe ni
beshte m-real.
Thanks for tip yako, Kaunda
alinisaidia sana.
Maria Kim!
Haya, tuonane baadaye…
22
cheki... Ili wekwa chini ya mlango
wangu...
Nonsense!
Hakuna mtu ataskia hu ufala! Tusha-learn lesson ya ukabila the
hard way.
Kweli na-hope
tume-learn!
23
Zawadi ni yako!Kweli wewe ni
beshte m-real.
Manze, M
usa lazim
a
a-make
decision hardest.
Ana-
need sana do
h za ku-su
pport
family y
ake. Sa
sa, aku
bali kulipw
a
na MP ndio afu
kuze w
asee w
a
kablia d
ifferent?
Ama, akata
e
hizo doh za
MP na achunge
beste yake
?
Musa hajui a-choose side gani, ya urafiki na Kaunda au ya ukabila na MP wake. Je, wewe unge chagua kufanya?
Cheki ma-ad
vice
wasee w
amempatia kw
a
Fan Pag
e ya DJ
Boyie ya
Facebook…
Thanks sana m
a-youth
s kwa
advice yenu po
a. Musa a
tabambika
kujua
mnam-suppo
rt. Ukich
eki MP am
a leade
r
yeyote aki-b
ehave kwa nj
ia haiku
baliki,
m-report kwa ka
cc -
Kenya Anti-Corruption Commission
Helen Teresia M. Musa! First your MP did not meet
u to assist u when u needed him most. But Kaunda
was there for you. He lent you money to pay for
ur fees. Kaunda is a true friend. Keep him – don’t
harm him. Tell ur MP off, u r 4 peace. Also record a
statement with the police station near you. Musa,
remember we are all one family despite it all.
Mary O. Ethnicity sio poa. It all starts with u and
me 4 any change 2 occur. Origin,authority and
destiny- strong words with some sense. Origin-
urbackground doesn’t matter. Authority - u’ve
the power 2 change whateveryour hurdle is.
Destiny- it can b different if u take a risk. E.g the
referendumwas an ideal example.
Alex Nicks N. Ma hood iz Kiambu n i will tell Musa
that tribalism ilipitwa na wakati. We are all
Kenyans. We r one people irrespective of our
ethinic backgrounds. Musa! Pls don fight. Just
report yr MP to the relevant authority!! Mavijana
ukabila tumesare!
Kalary Dymian N. Musa - you r in a dilemma but
u r not at fault. Your MP is misleading u bcoz he
is supposed to set a gud example. Kaunda is an
example of a caring Kenyan. He did not consider ur
tribe when he helped u. Ur MP is one of the people
hu is thea to b seen n not to act. Report this matter
to the authorities.
Jesse M. What you have there aint a leader. He is
someone who should be visiting court rooms. What
does he help you with even if he is of your tribe?
NOTHING – he just creates enmity btwn you and
people who help you. You are a better thinkers than
him to follow his stupid advise.
Beatrice G. Musa remember dat we have only 2
tribes in Kenya 1. Rich. 2. Poor. Why hurt ur fellow
Kenyan who is of d same tribe as u?
Helen Teresia M. Nikiongezea kidogo, pia kupigia
police simu kiplani. Ndio wa save watu on time.
Nipoa kua na number za simu za police station /
Chief’s office near u.
Timothy Timo M. Weh 2na nja ya ma big fish wa
post election alafu huyu MP analeta mouth ya hate
speech. Weh, Musa huyu mse apelekwe mbele mara
pap na nyinyi majaji mkiletewa mse ka huya akuna
ati kesi kuahirishwa kama kuna stong evidence
omito mara pap.
KACC Hotlines: 020 2717468,
0727-285663, 0733-520641
email: [email protected]
24
...seed poa... ...seed
poa...
...seed poa...
...seed poa...
...seed mbaya...
...seed mbaya...
...seed mbaya...
...seed mbaya...
hii kazi inachosha!
Phew!
na hao vijana wangu wako wapi nikihitaji
usaidizi?
Daddy! mambo?!?
uta-plant gani na tutakula gani???
una-sort seeds???
hii ni pile ya seed poa???
unafanya???
na ile ni pile ya seed
mbaya???
Mgeni wa ajabu
25
eh?
siwezi waste seed poa shambani! Hizo ndizo
tunakula!
nitapanda hizo seed
mbaya shambani...
kweli seed mbaya kama hizi zinaweza kumea kitu
safi?
sauti hiyo inatoka huku...
26
tunaikula lini?
charlie pele! umetokezea
wapi?!?! hii siikuli!mahindi hii hapa ndiyo naitumia shambani!
tangu zamani sana, imekuwa muhimu
kutumia mimea nzuri ku-plant tena, ili
mimea zako shambani ziendelee vyema.
wacha niifunike isiguzwe na ma-hawks. naenda ku-harvest sorghum
kutoka sehemu nyingine ya shamba.
nilikuambiaje? hawa majirani
hawaelewi mambo...
nadhani kuna mwizi shambani!
LO!
27
ndiyo huyo...
oho! nimemmulika
mwizi!
ahm... ahem... pole kwa kukuamsha... urm... unajua, mahindi yako
ni nzuuuuuri sana, ehm...
nilikuwa nimekuja
kui-admire tu! iko smartest!
iko juu tu sana....
si tuisherekee pamoja, labda kamA "midnight
snack"???
lakini niliwaambia, siikuli! naipanda
shambani!
wajinga tu ndio hupanda seed
mzuri badala ya kuila! sawa basi!
kaa nayo!
aki wewe!
28
charlie huyo ni wewe?
nilikuambia nini juu ya kurukaruka
usiku?
fafa!
pole kwa kukushtua!
sema!
...lakini nimekuja kukuonya.
...vile unavyochagua mbegu zako za
kutumia shambani...
...unavyolea mtoto ndivyo
anavyoendelea maishani. na
shamba yako si tofauti.
unajua...
ukichagua sorghum mbaya ya
kupanda, kila generation itaendelea na shida
iliyotangulia.
nimeona generations nyingi
za wakulima ambapo watu
hawaelewi umuhimu wa kuganga
yajayo.
29
ona shamba yako...
...na ya jirani
wako...
...kumbuka yote niliyokwambia...
zake zitakaa miaka mingi...
...ili watoto wako wasife njaa...
JANA ALiKUWA ANAPANGA KU-PLANT SEED MBAYA LAKiNi LEO AMECHUKUA SEEDS POA
YA UJi NA KUZiPANDA SHAMBANi...
Chagua mbegu poa utapata mavuno poa!Ulijua unaweza pata seed kutoka kwa mmea? Ni poa! Chagua
mimea few iliyo-healthy kwa shamba itakayokupatia seeds za kupanda
next season!
Mark mimea utakayotumia kupata mbegu za kupanda kwa kufunga cloth kidogo kwa stem. Hii itakusaidia kujua hiyo plant ni ya ku-produce mbegu na itavunwa separate na mimea ingine.
Ngojea plant yako itoe maua na pods au mbegu. Hii itakuwa possible kama area ni ya baridi especially kwa sukuma wiki. Seeds zako zitakuwa za quality poa kama hutazi-harvest leaves au part yeyote kabla ya wakati wa kuvuna. Funika seeds za mimea uliyochagua na gunia ili seeds zizikuliwe na ndege.
Vuna mimea uliyo-select ili upate seeds za kupanda kama iko tayari.
Safisha mbegu kwa kutoa dust, mabaki ya mimea na vitu vingine, kisha ukaushe na ku-grade mbegu kabla ya kuzi-store.
Kabla ya ku-store mbegu, i-test kama ita-germinate kwa kuweka seeds chache kwa cotton wool safi iliyo na maji. Ziki-germinate, jua seeds zako ziko poa za kupanda.
Toa seeds zile: zimeoza zime-change rangi zilizo diseased. zilizovunjika za aina tofauti na
mbegu zingine.
Chagua seeds zile: za size moja hazijaharibiwa na
VarietyChagua variety ya seeds zilizo marketable na
zilizo resistant kwa diseases na wadudu.
Unaona? Ni rahisi sana! Jaribu na kisha u-share na DJ B matokeo
kwa kutumia sms on 3008 au kwa facebook fanpage ya DJ Boyie ili
tuwe ngangare kama vijana!
insects kwa shamba. with thanks to CABI for their help & advice.30