06 - shujaaz.fm - chapta 6
DESCRIPTION
Chapta 6 - Full ComicTRANSCRIPT
CHAPTA 6
INSPIRING KENYAN YOUTH
NOT FOR SALE
item 3b ni redio ilio na fm, a.m. frequency, naniatainunua kwa mia mbili? chief ameipata kwa mara ya kwanza, ya pili na ya tatu!
...liiii... ...liii..
habari mama, una shida gani?
vitu zangu ndizo zinauzwa kwa auction!
BOYIE
sob
sob
sob
sob
BOYIE aweka chiefkwa noma
C
M
Y
CM
MY
CY
CMY
K
page 1.pdf 1 7/13/10 12:44 PM
3
mambo yaliharibika baada ya mume wangu kufariki.Watu walinitumia SMS wakiniambia nihame sababu mimi si mwenyeji
“mume wangu alikuwa na deni kubwa...
“AUCTIONEERS WALICHUKUA VITU VYA NYUMBA
“niliuliza chief usaidizi na akakataana kusema hasaidii watu wa kabila yetu...
NA KUTUHAMISHA KWA SHAMBA YETU...
“NILIPOKUWA MSICHANA NILIKUWA NATAKAKUWA NA SALON. LAKINI SINA MBELE WALA NYUMA. SINA PESA ZA KUJIENDELEZA...”
USIJALI MAMA NITAAMBIA RAFIKI YANGU ALIYE NA KIPINDI YA KUENDELEZA VIJANA KWA REDIO
Siskii kama niko safe hapa na ni lazima nihame
yaani shujaaz fm NA ATAWEZA KUKUSAIDIA.
4
hii ni shujaaz fm na kijana wenu djb! niaje mafans? nimepata sms kutoka kwa rafiki yangu ambaye mali yake yote iliuzwa na auctioneers!!! amepoteza mali yake yote!
Ni responsibility yetu kama community kusaidiana hata kama ni watu wa community ingine
big-ups kwa mafans wanaonitumia ideas poa za kujiendeleza kama vijanaa...
nitumie ideas za kusaidiafriend ya mine on 3008.
big-ups kwa fan aliyenitumia smsna kuniambia ana idea ya kusaidia friend ya mine ya kujiendeleza. nitawa-connect mara hiohio!
natafuta mama teresa.
ni mimi.
5
yaani chief hakusaidia? pole, sikujua kuwa maisha yako magumu HIVO
niliskia story yako kutoka kwa
MImi ni kiongozi wa District peace commitee na ninataka kukusaidia.
redio na nikaona naweza kukuSAIDIA twende nikuambie njiani.
unajua nimezoea kufanya kibaruaya kuosha na kupata 50 bob kila siku. lakini haitoshi kutuchunga mimi na watoto...
nashukuru sana.
unajua juu ya women’s fund?
hapana NA SIKUMALIZAMASOMO YANGU, SINA PESA ZA KUFUNGUA ACCOUNTNA KUNUNUA FORM.
HaUHITAJI VITU HIVYOVYOTE. KUPATA FORM NI BURE, NA HAWATAKU-ULIZA JUU YA MASOMO YAKO. TWENDE KWA OFISI YA WOMEN’SFUND ILI UPATE UJUMBE.
ndio hii women’s fund office. twende uongee na wao ili waweze kukusaidia.
mume wangu alikufa, mali yangu ikachukuliwa na auctioneers na hata chief alikuwa anawaangalia wakifanya haya yote. nilimuulizaanisaidie akakataa kwa sababu
ya kabila yangu.
so, ulikuwa unataka kunisaidia kivipi?
6
hakikisha ujaze hizo forms nauzirudishe kwa women’s fund office
asante sana. sikufikiria ingekuwarahisi hivi ku-apply women’s fund.
asante pia.all the best.
munch!!hcnurk
MUME WANGU! Kwanini hungesaidia huyo mama ILI ASIFAGILIWE na auctioneers?!? wewe ni mkabila! niliskia HIYO STORY KWA show ya
kijana dj b na ikanisumbua sana!
sasa huyo mama hata hana kikombe! unadhani watoto wake wanaishi wapi na
wamefukuzwa kwa nyumba YAO?
NILIFIKIRI KAZI YAKO NI KUCHUNGA WANANCHI KUTOKANA NA MAOVU! YAANI
CHEO YAKO INAKUKUBALISHA KUFANYA HIVO?
NAJUA HAYA YOTE NILIOSEMA HUJASKIA LAKINI LAWAMA NI KWAKO!!!
C
M
Y
CM
MY
CY
CMY
K
page 5.pdf 1 15/07/2010 10:08:19
7
! ! ! U U U U K
SASA ALIKUWA AKIONGEA JUU YA NINI? NIKIPATA HUYO DJ B NITAMFUNGIA STATION AACHE MAKELELE MINGI!!
ASANTE BOYIE KWA KUNISAIDIA! NILI-SAIDIWA NA MAMA MWINGINE KUPATA WOMEN’S FUND .
NITAAMBIA RAFIKI YANGU DJ B KUWA ALIKUSAIDIA.
SAWA, LAKINI NILIKUWA NATAKA KUMSHUKURU IN PERSON .
C
M
Y
CM
MY
CY
CMY
K
Page 6.pdf 1 7/14/10 4:01 PM
Women’s FundMwaka wa 2007, serikali ilianzisha womens fund ili kusaidia wanawake kujiendeleza kiuchumi watajitegemee kifedha na kuwa more confident na ku-participate kwa maendeleo ya nchi. Kila constituency imepewa 1 million shillings ili wanawake waweze ku-apply na kui-pata. Womens fund inasaidia ku-build capacity ya wamama wanao omba loans, kwa kusaidia ku-market bidhaa zao na
kuwa-link na companies. Ni wanawake wachache wame-apply kupata women’s fund juu hawajui re-quirements za ku-apply sababu, hawana mali yao, na kuona ikiwa process refu ya ku-apply loans.
Kuna aina mbili za womens fund loans:1. C-WES loan
“Tuinuke Loan”. 0% interest. Unaweza pata loan ya up to 50,000
bob na kurudisha malipo within 12 months (Unaanza kulipa loan baada ya 3 months za kupata loan).
Hii loan inapewa tu kwa groups, si individuals.
Enda kwa CWES office ilio karibu ili kupata more info.
2. Financial intermediaries Registered group ama individual
anaweza-apply. Hizi hupewa na banks na saccos
zilme-authorize-iwa na womens fund.
Interest ni 8 %. Unaweza pata loan ya up to
Ksh.500,000. Malipo ya loan yanaanza kurudiswa within 36 months.
Ili ku-apply kwa womens fund unahitaji1. Kuwa 18yrs and above.2. Kuwa from registered group ilio na
more than 10 members kwa zaidi ya 3 months. Unaweza pata loan kuto-ka kwa Constituency Women Em-powerment Scheme (CWES) inayo-manage-iwa na District Gender and Social Development Officer kwa kila district.
3. Kuwa na account ya bank au sacco.4. Men wanaweza apply kama wana
30% representation kwa group ya wamama.
Hizi loans ni revolving na lazima watu warudishe malipo ili wengine wai-benefit. Securities za CWES loan ni kama household items na business stocks.Tumia DJ B views na opinions juu ya hii storo ya womens funds on 3008.
8
Tayari Malkia?! Out!
Nitarudi jioni!!
Habari Malkia? Asantekwa kunitembelea
aenda shagz
9
Twende tuchunge kondoo
Nyanya! Zitaniumiza!
Kondoo ni mnyama mtulivu, hawezi kukuumiza
Aaaaaa. Nakumbuka mamako alipokuwa mdogo
Alikuwa analipisha watoto wa kijiji na kuwabeba na
kondoo
Kweli?! Nitamcheka!
Asubuhi na mapema watoto walikuwa wanapanga lainikwa kondoo wakingojea
mamako awafungulie Mama na kondoo!!Haha ha ha ha
Nisaidie na kazi kidogo
Sawa nyanya
Natayarisha kupandamaharagwe. Unajua
kulima?
Hapana nyanya
Kukamua ng’ombe?
Hapana nyanya
Huyu ng’ombe anatoa maziwa mEngi
Ndio nyanya KAAP!!
Kootwaash!
Miguu kubwa kama meli!! Nyanya, kumbe unajuakuchongoa?!
Nilikuwa nikichongoa nilipokuwamdogo. Ingine inaenda, wewe ni
mweusi mpaka kukiwa na gizaunatafutwa na unga ya ugali
Ha!
Ha! Ha!Ha!Ha!
Ha!Ha!
Ha! Ha!
Mapua kubwa kamafirimbi ya jakobo
Una mdomo kubwa hadi ukiifunga inalia kama mlango.
Ha ha ha ha
10
Twende tuchunge kondoo
Nyanya! Zitaniumiza!
Kondoo ni mnyama mtulivu, hawezi kukuumiza
Aaaaaa. Nakumbuka mamako alipokuwa mdogo
Alikuwa analipisha watoto wa kijiji na kuwabeba na
kondoo
Kweli?! Nitamcheka!
Asubuhi na mapema watoto walikuwa wanapanga lainikwa kondoo wakingojea
mamako awafungulie Mama na kondoo!!Haha ha ha ha
11
Mamangu alipenda wanyama gani?Na alisumbua walimu shuleni?Alikuwa na boyfriends wangapi
Uliza mamako, ndie anawezakujibu maswali haya yote.
Mama hana wakati wa kuongeana mimi ninapotoka shule
anashughuli nyingi
Pole, najua mamako anakupendasana na anafanya kazi kwa bidii
ili uwe na maisha mema. Sawa, nisaidiekufanya kazi ingine
Niletee ile ndoo.
Nyanya maharagwe ikondani ya maji
Niliziweka jana usiku ili ziwe tayari kupanda.Kuweka mbegu kwa maji kabla ya kupandainasaidia mbegu zote kumea haraka wakati
wa kiangazi na kupatia mavuno mapema. Ni rahisisana. Twende shambani.
BAADAYE KWA NYANYA
12
Sikuelewa sababu ya kuweka mbegu kwa maji
Nilikuwa napanda mbegu shambani chache ndio zilikua. Nilipata hasara
hadi nilipoanza kuweka mbegu kwa majiusiku na kuzipanda asubuhi.
Mbegu ni kama mtoto, lazima uiTUNZEvizuri ili iwe na mazao mazuri. Mtoto
asiye na afya hushikwa namagonjwa virahisi
Kuweka mbegu kwa maji kunasaidiambegu kupata joto, maji na hewa
zilizo muhimu kwa mmea..Hii ni hakikishokuwa mbegu zote zitakua
Utajua kama nafaka itameakwa uki iweka kwa maji
na kutoa zile zina-float juu ya maji
Wheat 12
Barley 12
Upland rice 12-18
Maize 12-18
Sorghum 10
Pearl millet 10
Chickpea 6-8
Finger millet 8
Cow pea 8
Pigeon pea 8
Groundnut 8
mmea hours za ku-soak mbegummea hours za ku-soak mbegu
13
Asante kwa kunisaidia shambani
Nimefurahiakuwa na wewe
Mimi pia
Nitakuita unisaidiekuvuna maharagwe yetu
Nitakusaidia kuvuna
Kwaheri nyanya
Kwaheri Malkia
Kata hasara kwa kwa ku-soak mbegu kabla ya kupanda na utavuna haraka
Umewahi enda kwa shamba na kupata plants zikimea kwa patches? Hii ni sababu mbegu zingine zina-fail ku-germinate. Wakati mwingine, mbegu zote zinaweza fail ku-germinate kabisa. Hii huwa hasara kubwa kwa wakulima. Ku-soak mbegu kabla ya kupanda ni simple na inahakikisha kuwa mbegu zitamea haraka ili kupata mavuno mapema. Ku-soak mbegu kabla ya kupanda hufanywa kwa areas zilizopata low rains na kwenye ardhi kavu.
Kwanini ni-soak mbegu zangu?a) Mbegu zote zina-grow kuwa mimea healthy. Ni expensive
kupanda mbegu tena, na huna guarantee kuwa hizo mbegu zitamea this time round kuwa healthy.
b) Zina-mature haraka na kuvunwa mbele ya zile hazija-soak-iwa. In that way, wakulima wanaweza panda mimea ingine hata kama ni off season.
c) Zitamea haraka zaidi ya zile haziku-soak-iwa kwa maji. d) Inapunguza weeding sababu mimea ina-compete vipoa na
weeds, Jionee tofauti ya ku-soak mbegu na kuto-soak, kwa kupanda mbegu zime-soak-iwa na zile hazija-soak-iwa kwa separate containers. Steps za ku-soak mbegu1. Weka mbegu kwa maji kwa masaa kadhaa2. Kausha seeds. Unaweza ziweka for several days kabla ya
kuzipanda.
Tumia DJ B views na opinions juu ya hii storo ya ku-soak seeds on 3008.
14
Mchongowano
Sheng
Dictionary/ Dicmusi
1. Mbothe-Story
2. Kinde/Ashara-Ten bob
3. Donda-Makanga
4. Dungia/Kuvutia-Piga simu
5. Mtoi/Mniaju/Mjunia-Mtoto
6. Ukede-Ukimwi
7. Ku-beat/Maruge-
Kuwa mzee
8. Njeve-Baridi
9. Teke-Mguu
10. Genya/Kudedi-Kufa
11. Pepea-Kuenda
12. Was-Shida
13. Kokoto-Githeri
14. Smatt-Bahati
15. Kwara-Kataa
16. Gwara exam/Kuchwera/
Kuloba/Kudunda-
Ku-fail exam
17. Raundi/Skwodi-Kuzurura
18. Kusqudi exams- Kubeba
mwakenya kwa exams
19. Mbanifu- Kuwa mchoyo
20. Gesi/Msoto- Kuwa broke
21. Mote-Thousand bob
22. Muenjoyo-Ku-have fun
1. Kipara yako ni soft hadi inzi
zikikuja zinasema msilaidoo.
2. Uko na macho ndogo
uki blink unapotea.
3. Ati TV yenu ni noma sana
iko na channel mbili
peke...ON AND OFF.
4. TV yenyu ndogo mpaka mki-
watch 100m athletics mnamalizia
kuiona kwa ma-neighbours.
5. Budako ni fala, alienda
ku-buy ngombe akaona
ikikojoa akasema,
sitaki hiyo, imetoboka.
6. Budako ni fala alienda
airport akauliza kama
kuna ndege pick-up.
7. Ati TV yenu ni small mpaka
iko na scrollbars.
8. DJ B! Kwenu mko kibao
mpaka time ya kumanga
mnajipanga in groups of ten.
9. Ati TV yenyu ina shika
station zote mpaka polisi
station.Kim. Machakos.
10. Nywele yako ni ngumu hadi
ukitaka kuchana, lazima
utumie pain killers.
11. Budaako amezoeaga piki piki
siku ali-buy ndai alitoa mguu
moja nje akipiga corner.
Ni Mwas kutoka MCC
Mombasa, dictionary ya sheng
inaitwa dicmusi.
Man those mchongoanos
ziko juu tu sana. I almost
filed a case na high court for
breaking my ribs. Bonface
‘Amwizy’ Amwayi.
Hi DJ B, si u-send me some
Mchongowano atleast
nichanue wasee wa huku shags.
Ni Emma kutoka Kangundo (KDO.
Nice time.
Hi DJ B mimi ni Maimun wa
Malaba, manze si unitumie
hizo dictionary za kisheng jo.
DJ B, si uni-send file ya
sheng?
Nitumieni sh
eng
words zingine il
i tuji-
update n
a ku-sh
are kama
vijana. Au sio?
Kumbuka, SMS
yangu ni 3008. Na
taka kuskia
juu yako fan
wa mine il
i
tuweze kuelimishana ka
ma
vijanaa na tu
saidiane ku
jenga
hii countr
y yetu!!!
Tuko
gangare kuruka!!!
Ni-send-ie
mchongwano
free style
zingine
motomoto on
3008.
Shujaaz(TM) is published by Well Told Story Ltd. , P. O. Box 1700 00502 Nairobi, Kenya. Tel: 02 02603214 / 0719 407512 www.welltoldstory.co.ke. Printed by Colourprint Limited. Produced in collaboration with: Safaricom, Twaweza, RIU. Distributed by Saturday Nation and Safaricom.
Stories: Simiyu Barasa, Paul Peter Kades, Bridget Deacon Layout Design: Joe Barasa Art: Daniel Muli, Eric Zøe Muthoga, Salim Busuru, Movin Were, Joe Barasa Special thanks to Just A Band for their fantastic music on ShujaazFM radio.
Well Told Story © 2010 All rights reserved. No part of this publication may be reproduced, stored in any retrieval system or be transmitted in any form or by any means, electronic or mechanical without prior permission of the publishers. Although every effort has been taken to ensure the accuracy of information contained in this publication, in no event shall the publishers be liable for any incidental, indirect, consequential losses or damages of any kind without limitation arising out of or in connection with the use of the information in this publication. 15
Nawa-sa
lute vij
anaa kwa
kunitumia hizi in
spiring
messages. N
awa-wish all
the
best kwa ya
le yote m
na-do.
Vijana wanao-improve maisha yao
Ni-text-ie
on 3008 SMS im
eiva na
nitakupati
a T-sho nikiip
enda!
SMS zilizo
na zim
ejishindia
T-Sho.
Congrats mashujaa!!
It’s so educative that there’s an urgent
need to enlarge the magazine. Any
youth, student coming across it won’t
leave it behind. Davy Musyoka.
Niaje, mi ni manzi wa ghetto, thanks
kwa kila kitu mna-do kutuelimisha.
Nilicheki vijana wana-like job zao.
Nawa-show wawe strong. Life
hai-choose mtu, ni bidii yako.
Thanks for the Shujaaz mag,
ilini-uplift sana to think about mambo
ya bizna although nimeenda college but
sijawahi get job, thanx kwa kuni-boost
morale. Miriam Mwangi.
Niaje DJ B, Fiona hapa, mimi na siz tuna
business plan ya kuuza cosmetics huku
mtaani Utawala.
Niaje DJ B, wajua nini, uncle yangu hana
job lakini aliungana na vijana kadhaa
mtaani Ukwaguru wakaunda mikokoteni mbili
tu za kubebea akina mama mboga na maji
na kumbeba tataka sasa wako na tanker yao
ya kuuza maji kila mtaa mjini Nairobi.
Wanona vijana waugane watatu ama tu
wengi, wakijipanga, wataedelea
DJ B nime-like mago yako na nime-
exploit talent ya ku-draw na kumake dooh
mob hapa mtaa. Ni Antony Mugambi. Maua,
Meru.Sema DJ B mavijana wanaweza pata
dooh wakianza bizna ya kushika mole
kwa shamba za watu. Alan Nato, Nyeri.
Hi DJ B, watu mob wana-complain
hakuna job na wako na ma-certificates,
kwani hawawezi ku-do job ya mjengo? A.D.
(Adams), Mombasa.
Hi DJ B sisi kwetu tumeanza projo ya
kufuga ngombe, tunaendaga kwa vibanda
za skuma na kuchukua hizo vijiti na kupea
ngombe. Tunakamua na kuuzia neighbours
maziwa.
Hi DJ B, nina idea ya ku-make bricks.
Unauza moja at 10 bob. Mike Musyoki
from Kaveta-Kitui.
Hi DJ B, nina bizna ya salon, napanga
kuanza kufunza vijana kupata dooh kwa
kutengeneza watu. Mercy, Webuye.
Hi Shujaaz I live in Nyeri. Nili-start biz ya
kulea guinea pigs na kuuzia ma-
university student wenye wanafanya PHD in
medicine na mi huwauzia 500/- kamoja and
they are so easy to keep, problem ni
ku-advertise.
Hi DJ B, nina idea mpya ya ku-search
dooh, ma-youths can get ma-leaves
za kunde na kales na kuzi-dry, wa-store
in sacs na ku-sell time za kiangazi,
zitakuwa na nutrients kama kawa. Justus,
Kiunduani.
Hi Shujaaz, ile risto ya chakula ya
kuku ilinigiwa kazi, aki thanks.
Vipi DJ B? Manze kweli we ni
Shujaa coz hizo teachings zako
zinani-bless sana. The advice from
Chapta 1 mpaka 5 ime-save life ya
ma-boyz wangu na sasa tunaeza
kujitegemea kimaisha than
kurandaranda mtaani. Najua the
more we stick by you, the more we’ll
learn much in life. That’s why
naendelea kuku-introduce mpaka
kwa vijanaa wa ma-neighbours wetu.
Danex, Oyugis.
Mambo DJ B, mnani-jazz sana mimi
nilifungua hall ya video na kuonyesha
ball. Saa hizi nimeokota dooh nataka
kufungua Cyber. Calvin. Siaya.
Kudos DJ B. Maze nimekua
niki-struggle ku-get school fees
hadi inabidi mi na mthama tu-work na
niko 4th. But idea yako ya ku-apply
bursary imeni-save. Thanx sana.
Winny, Meru.
Hi DJ B I just want to give you idea.
When you plant sukuma, zikichanuka,
Kausha mbegu hizi, humea vizuri, pia
unaweza ziuza.
Thanks kwa ku
endelea
kuniambia vile
Shujaaz.FM
ime-change li
fe zenu!Credits
16
Roles za Polisi
DJ B, keep up the good job mko juu tu
sana! Mi ninge-advice mavijana wakuwe
at the right place na at the right time ili wa-
avoid mezesha na makarau. Gilbert toka
Thika.In reference to Shujaaz.FM chapta 5 mag,
the same thing’s happening around us, no
investigations, corruption, harrassment.
People are being tortured to accept
someone’s deeds. Then illiteracy among us,
we don’t know our rights and to fight them,
the little we know, kuchota karao ili
akanyangie hizo stories.
For me sijawahi lakini ningependa sana
kujua rights zangu incase nikajipata kwa
situation kama hiyo. Isabel Kiama.
Pia na kubambwa na karao kama Boyie ni
kawaida, lazima tujue rights zetu. Ruth
Wanjala.
Kuzuia violence
Sasa DJ B? Huyu ni Wendy from Nairobi.
Hii Chapta 4 ni great sana. Nimefundisha
my pals kumaliza violence kwa estate.
Hapo sawa DJ B, mara mob conflict
huanza na rumours za uwongo. Lazima
watu waache udaku na mastori zenye hata
hawahusiki juu italeta vita unnecesary.
Trevor.Niaje DJ B, nime-go through storo ya
Maria Kim juu ya youth against violence,
na tui-make reality Nyax, Athi River.
Hi Shujaaz, Jeymoh hapa. Nawa-support
kwa hiyo stori ya tribalism. Wakenya
tunafaa kuwa as a nation not as a tribe, let’s
think, love each other and do good to them.
Be a hero.
Chicken vaccines
Hello DJ B, mi nimefanya course ya
animal health but sija-get works ni-
connect kwa wasee niwafanyie vaccination.
Godfrey Ngura, Thika
Thanks for saving me on vaccination za
kuku, hakuna hata moja imededi. Ted,
Limuru.
TribalismNiaje DJ B? M-show Charlie asi-give up
ku-make fathake a-realize how good it is
to have neighbours around. Our grandpa had
the same problem but not anymore. Melly
from Webuye.
Maze DJ B hii risto ya hate speech, ni
noma sisi kama ma-youth tunafaa
kuonyesha example, kwa ku-socialise
pamoja without looking at tribe.
Mafans,
hizi ni evide
nce kuwa st
oro
za mine za
comic ni true!!
Vijana wanao-improve maisha yao
Ni-text-ie
on 3008 SMS im
eiva na
nitakupati
a T-sho nikiip
enda!
SMS zilizo
na zim
ejishindia
T-Sho.
Congrats mashujaa!!
Hi DJ B, watu mob wana-complain
hakuna job na wako na ma-certificates,
kwani hawawezi ku-do job ya mjengo? A.D.
(Adams), Mombasa.
Hi DJ B sisi kwetu tumeanza projo ya
kufuga ngombe, tunaendaga kwa vibanda
za skuma na kuchukua hizo vijiti na kupea
ngombe. Tunakamua na kuuzia neighbours
maziwa.
Hi DJ B, nina idea ya ku-make bricks.
Unauza moja at 10 bob. Mike Musyoki
from Kaveta-Kitui.
Hi DJ B, nina bizna ya salon, napanga
kuanza kufunza vijana kupata dooh kwa
kutengeneza watu. Mercy, Webuye.
Hi Shujaaz I live in Nyeri. Nili-start biz ya
kulea guinea pigs na kuuzia ma-
university student wenye wanafanya PHD in
medicine na mi huwauzia 500/- kamoja and
they are so easy to keep, problem ni
ku-advertise.
Kudos DJ B. Maze nimekua
niki-struggle ku-get school fees
hadi inabidi mi na mthama tu-work na
niko 4th. But idea yako ya ku-apply
bursary imeni-save. Thanx sana.
Winny, Meru.
Hi DJ B I just want to give you idea.
When you plant sukuma, zikichanuka,
Kausha mbegu hizi, humea vizuri, pia
unaweza ziuza.
DJ B! Maze hii storo ya kujua rights
zangu nikiwa arrested na polisi
imenielimisha sana. Cheki No.8. Mara
nyingi nimesumbuliwa kwa kukosa ID
usiku nikitoka job na saa hiyo niko na ID
ya job. Nitakua nikitembea na hii
Shujaaz.FM comic Chapta 5. Polisi
wakinishika na wa-show No.8 ya rights
zangu. Tuelimishe zaidi. Asante. Mi ni
Helen Treza Mukosi wa Nairobi.
Nimepata
SMS kibao
kutoka k
wa wasee w
aliotaka
kujua
vile wanaweza
kuwa community
vaccinators. Thanks guys!
Nijulishe vi
le mnaendelea na ku
-
vaccinate
kuku.
CHAPTA 5
17
Ee msupa, chill
kidogo...
Sema mresh, najua umeni-
miss.
Sikuwa supposed kukwambia, lakini take care
sweetness, kuna watu hawafurahishwi na kile
unafanya.
Si-understand...
Sasa Maria, naeza ongea na
wewe?
In private.
Mwambie kile unataka nikiwa
hapa.
Twende J.K.
GRRRRRRRR!
18
Nimepata new
info juu ya LATF na ina projects za
constituencies kote nchini.
Last year, constituency yetu
ilipata 4 Million na ikatumiwa kujenga
library.
Hio ni poa, lakini sijaona laibu hapa.
Iko?
si naweza kuwa nafanya homework
kwa laibu?
Fathangu ni pastor. Twende
tumuulize.
Unajua pale library
iliojengwa iko?
Naijua. Twende niwaonyeshe.
19
Hii library ilijengwa na 300,000 shillings!
Nilituma SMS kwa 3002 na
kupata hiyo information.
Asante sana.
Yaani pesa za laibu zime-
tumika vibaya bila sisi wenyeji
kujua?!
Mmm... 3002. Nitajulisha congreta-tion na watu wengine juu ya hio number kwa sermon ya Sunday. Elimu ni nguvu!
Siamini!!
4 million!
Ndio hii library!
Mlitoa 4 million
wapi?
20
Hatutakubali! Wacha ku-jam
hivo Maria, kumbuka fathangu alisema, knowledge is
power.
Finally jobo
imeisha.
Tutaweka hizi posters kesho
morning.
Kwani ulikuwa ukitaka?
Kesho morning ni too late! Hebu tuziweke
usiku!
Sawa, tuanze na sides gani?
LATF meeting ya next itakuwa September. Tunaweza julisha watu juu ya
umuhimu wa kui-attend na juu ya 3002 SMS service. Then watu
wanaweza jua venye LATF inatumiwa kwa area zao na ku-question
maendeleo ya area yao.
21
Sunrise inapendeza.
Kama wewe, Maria...
er... um...Hebu nicheki
brathangu….
Thanks J.K! Tuchekiane baadaye
22
Nonsense!
Deal na huyu msichana once and
for all! Hii ni serious bizness! Naskia unapenda huyu msichana.
Nakupa advice,Pata pesa na wasichana wataifuata. Mnyamazishe
mara moja!
Local Authority Transfer Fund/ LATF ilianzishwa 1999 kupitia LATF act No. 8 ya 1998 ili ku-improve huduma kwa local community kwa kuendeleza projects kwa wards kote nchini. A certain percentage ya budget kwa kila council huwa ni ya LATF.
Mkutano hu-anncounce-iwa ili wana-ward wa-attend. Mmoja wa community hu-appoint-iwa ku-chair mkutano wa ward. Kisha wana-ward hu-discuss venye wanaweza ku-solve shida zao kwa kuanzisha projects kwa ward. Hizi projects ni kama health, education, maji, na ingine itakayo benefit watu wa community.
Community ina-prioritize projects tatu zitakazo anzishwa. Hizi proposed projects hu-forward-iwa kwa council committee inayo-forward kwa local council ili zi-present-iwe kwa Annual LATF Meeting.
Kila mwaka, council huwa na Annual LATF Meeting inayo-announce-iwa through newspapers. Kwa annual LATF meet-
ing, wenyeji wa wards zote za council hukutana na ku-present projects zao ili ziwe-considered kwa plans za council.
Hata kama hizi meetings hu-advertise-iwa, wananchi wachache hujua juu ya hizi meetings za ward na councils. Hii inafanya decisions kufanya na wachache. Miradi pia huchukuliwa na watu wanao ji-benefit wenyewe /cartels na impact ya miradi haifikii wenye kijiji.
Ili LATF fund iweze kutumika ku-benefit local communities, ni kuhimu kwa wenyeji
1. Kupata info juu ya dates za mikutano kupitia posters badala ya newspapers sababu ni wachache hupata kuona announcement Annual LATF Meeting ya kupitia newspapers. Posters na mbinu zingine zinaweza kutumika.
2. Wananchi wachukue jukumu la ku-attend LATF meetings kwa wards wa-participate kwa ku-identify na ku-
run projects ili kuji-develop. In that way, watapata ku-own hizo projects. Ni responsibility yako ku-participate kwa maendeleo ya area yenu.
Infonet imeunda SMS system ya ku-saidia wananchi na info juu ya funds zilizo allocate-iwa kwa matumizi ya LATF kote nchini. Tuma SMS yako kwa 3002 iliyo na jina la ward na mradi/project na utapata amount iliotengwa kwa hiyo project. Hii info itasaidia kufanya viongozi kuwa accountable na transparent.
Mfano: Rabai#Education.
Tumia DJ B views na opinions juu ya hii storo ya LATF on 3002.
Endeleza area yako through LATF
23
Tuna enda so-ko-ni!
Tuna enda so-ko-ni!
Tuna enda
Nyamaza na hizo nononi zako! Kwani una-enjoy
sokoni?
Wacha kurukaruka kwingi Charlie!
Kusanya vitu tutauza sokoni.
Tunachelewa na hakuna matatu?! Tuanze kutembea!
Ngoja baba. Naona matatu
inakaribia.
sukumeni!
aki hii barabara!
Hii ni soko ama mbolea?! Taabu, tafuta space ya
kuuzia.
WOi!
Saidia mama weee!!! Taabu! Una
shida gani? Umeharibu
bidhaa zetu!!
Kichwa yangu huumia kwa kufikiria vile nitaenda sokoni! Sio barabara,
mbaya. Matatu ni matata, kanjo hawafanyi kazi
yao!!
24
sukumeni!
aki hii barabara!
Hii ni soko ama mbolea?! Taabu, tafuta space ya
kuuzia.
WOi!
Saidia mama weee!!! Taabu! Una
shida gani? Umeharibu
bidhaa zetu!!
Kichwa yangu huumia kwa kufikiria vile nitaenda sokoni! Sio barabara,
mbaya. Matatu ni matata, kanjo hawafanyi kazi
yao!!
sukumeni!
aki hii barabara!
Hii ni soko ama mbolea?! Taabu, tafuta space ya
kuuzia.
WOi!
Saidia mama weee!!! Taabu! Una
shida gani? Umeharibu
bidhaa zetu!!
Kichwa yangu huumia kwa kufikiria vile nitaenda sokoni! Sio barabara,
mbaya. Matatu ni matata, kanjo hawafanyi kazi
yao!!
sukumeni!
aki hii barabara!
Hii ni soko ama mbolea?! Taabu, tafuta space ya
kuuzia.
WOi!
Saidia mama weee!!! Taabu! Una
shida gani? Umeharibu
bidhaa zetu!!
Kichwa yangu huumia kwa kufikiria vile nitaenda sokoni! Sio barabara,
mbaya. Matatu ni matata, kanjo hawafanyi kazi
yao!!
sukumeni!
aki hii barabara!
Hii ni soko ama mbolea?! Taabu, tafuta space ya
kuuzia.
WOi!
Saidia mama weee!!! Taabu! Una
shida gani? Umeharibu
bidhaa zetu!!
Kichwa yangu huumia kwa kufikiria vile nitaenda sokoni! Sio barabara,
mbaya. Matatu ni matata, kanjo hawafanyi kazi
yao!!
sukumeni!
aki hii barabara!
Hii ni soko ama mbolea?! Taabu, tafuta space ya
kuuzia.
WOi!
Saidia mama weee!!! Taabu! Una
shida gani? Umeharibu
bidhaa zetu!!
Kichwa yangu huumia kwa kufikiria vile nitaenda sokoni! Sio barabara,
mbaya. Matatu ni matata, kanjo hawafanyi kazi
yao!!
25
Baba, ume-pick pocket-iwa na
yule mtu!Mwizi! Shika
mwizi!
Waa waa!
Fathe una-chomoa
styles za goalkeeper!
Aaah Mifupa! Puua Puu! Nanuka mbolea!
Habari mzee, lipia ticket ya
soko hapa!
Pesa ya? Hii mbolea?
Forget it!! wewe kabila
gani?!
Napata hasara kwa
kuja na kuuza kwa hii
mbolea!
Yaani tume-fungwa macho! Tunalipia ser-vices ambazo
hatupati.
Ona, kuna uchafu, barabara ni mbaya,
hakuna maji, ni total balaa hapa
sokoni.
Kila muuzaji analipa ili kuuza kwa
soko. Kweli au rongo?
Kweli!!!
Wateja wame-pungua sababu
hawataki kutem-bea juu ya
uchafu. Kweli au rongo?
Hatutauza kwa hii
soko ikiwa hali hii.
Kweli!!!Ndioo!!!
Baba, ume-pick pocket-iwa na
yule mtu!Mwizi! Shika
mwizi!
Waa waa!
Fathe una-chomoa
styles za goalkeeper!
Aaah Mifupa! Puua Puu! Nanuka mbolea!
Habari mzee, lipia ticket ya
soko hapa!
Pesa ya? Hii mbolea?
Forget it!! wewe kabila
gani?!
Napata hasara kwa
kuja na kuuza kwa hii
mbolea!
Yaani tume-fungwa macho! Tunalipia ser-vices ambazo
hatupati.
Ona, kuna uchafu, barabara ni mbaya,
hakuna maji, ni total balaa hapa
sokoni.
Kila muuzaji analipa ili kuuza kwa
soko. Kweli au rongo?
Kweli!!!
Wateja wame-pungua sababu
hawataki kutem-bea juu ya
uchafu. Kweli au rongo?
Hatutauza kwa hii
soko ikiwa hali hii.
Kweli!!!Ndioo!!!
Baba, ume-pick pocket-iwa na
yule mtu!Mwizi! Shika
mwizi!
Waa waa!
Fathe una-chomoa
styles za goalkeeper!
Aaah Mifupa! Puua Puu! Nanuka mbolea!
Habari mzee, lipia ticket ya
soko hapa!
Pesa ya? Hii mbolea?
Forget it!! wewe kabila
gani?!
Napata hasara kwa
kuja na kuuza kwa hii
mbolea!
Yaani tume-fungwa macho! Tunalipia ser-vices ambazo
hatupati.
Ona, kuna uchafu, barabara ni mbaya,
hakuna maji, ni total balaa hapa
sokoni.
Kila muuzaji analipa ili kuuza kwa
soko. Kweli au rongo?
Kweli!!!
Wateja wame-pungua sababu
hawataki kutem-bea juu ya
uchafu. Kweli au rongo?
Hatutauza kwa hii
soko ikiwa hali hii.
Kweli!!!Ndioo!!!
Baba, ume-pick pocket-iwa na
yule mtu!Mwizi! Shika
mwizi!
Waa waa!
Fathe una-chomoa
styles za goalkeeper!
Aaah Mifupa! Puua Puu! Nanuka mbolea!
Habari mzee, lipia ticket ya
soko hapa!
Pesa ya? Hii mbolea?
Forget it!! wewe kabila
gani?!
Napata hasara kwa
kuja na kuuza kwa hii
mbolea!
Yaani tume-fungwa macho! Tunalipia ser-vices ambazo
hatupati.
Ona, kuna uchafu, barabara ni mbaya,
hakuna maji, ni total balaa hapa
sokoni.
Kila muuzaji analipa ili kuuza kwa
soko. Kweli au rongo?
Kweli!!!
Wateja wame-pungua sababu
hawataki kutem-bea juu ya
uchafu. Kweli au rongo?
Hatutauza kwa hii
soko ikiwa hali hii.
Kweli!!!Ndioo!!!
Baba, ume-pick pocket-iwa na
yule mtu!Mwizi! Shika
mwizi!
Waa waa!
Fathe una-chomoa
styles za goalkeeper!
Aaah Mifupa! Puua Puu! Nanuka mbolea!
Habari mzee, lipia ticket ya
soko hapa!
Pesa ya? Hii mbolea?
Forget it!! wewe kabila
gani?!
Napata hasara kwa
kuja na kuuza kwa hii
mbolea!
Yaani tume-fungwa macho! Tunalipia ser-vices ambazo
hatupati.
Ona, kuna uchafu, barabara ni mbaya,
hakuna maji, ni total balaa hapa
sokoni.
Kila muuzaji analipa ili kuuza kwa
soko. Kweli au rongo?
Kweli!!!
Wateja wame-pungua sababu
hawataki kutem-bea juu ya
uchafu. Kweli au rongo?
Hatutauza kwa hii
soko ikiwa hali hii.
Kweli!!!Ndioo!!!
Baba, ume-pick pocket-iwa na
yule mtu!Mwizi! Shika
mwizi!
Waa waa!
Fathe una-chomoa
styles za goalkeeper!
Aaah Mifupa! Puua Puu! Nanuka mbolea!
Habari mzee, lipia ticket ya
soko hapa!
Pesa ya? Hii mbolea?
Forget it!! wewe kabila
gani?!
Napata hasara kwa
kuja na kuuza kwa hii
mbolea!
Yaani tume-fungwa macho! Tunalipia ser-vices ambazo
hatupati.
Ona, kuna uchafu, barabara ni mbaya,
hakuna maji, ni total balaa hapa
sokoni.
Kila muuzaji analipa ili kuuza kwa
soko. Kweli au rongo?
Kweli!!!
Wateja wame-pungua sababu
hawataki kutem-bea juu ya
uchafu. Kweli au rongo?
Hatutauza kwa hii
soko ikiwa hali hii.
Kweli!!!Ndioo!!!
Baba, ume-pick pocket-iwa na
yule mtu!Mwizi! Shika
mwizi!
Waa waa!
Fathe una-chomoa
styles za goalkeeper!
Aaah Mifupa! Puua Puu! Nanuka mbolea!
Habari mzee, lipia ticket ya
soko hapa!
Pesa ya? Hii mbolea?
Forget it!! wewe kabila
gani?!
Napata hasara kwa
kuja na kuuza kwa hii
mbolea!
Yaani tume-fungwa macho! Tunalipia ser-vices ambazo
hatupati.
Ona, kuna uchafu, barabara ni mbaya,
hakuna maji, ni total balaa hapa
sokoni.
Kila muuzaji analipa ili kuuza kwa
soko. Kweli au rongo?
Kweli!!!
Wateja wame-pungua sababu
hawataki kutem-bea juu ya
uchafu. Kweli au rongo?
Hatutauza kwa hii
soko ikiwa hali hii.
Kweli!!!Ndioo!!!
Sasa tutauzia
wapi?
Barabarani ofcourse!
Lazima kanjo
anirud-ishie pesa za ticket!
Woiyee rudini tuongee.Basi sitawalipisha!
aki!
keshoye...Sijui tutauzia
wapi kama soko imefungwa.
Cheki juu ya mlima!
Habari, njia ya kwenda sokoni ni
gani?
Ni pande ile, lakini soko imefungwa.
Service mbaya ya kanjo imefanya wauzaji wakatae kuuza sokoni.
26
Baba, ume-pick pocket-iwa na
yule mtu!Mwizi! Shika
mwizi!
Waa waa!
Fathe una-chomoa
styles za goalkeeper!
Aaah Mifupa! Puua Puu! Nanuka mbolea!
Habari mzee, lipia ticket ya
soko hapa!
Pesa ya? Hii mbolea?
Forget it!! wewe kabila
gani?!
Napata hasara kwa
kuja na kuuza kwa hii
mbolea!
Yaani tume-fungwa macho! Tunalipia ser-vices ambazo
hatupati.
Ona, kuna uchafu, barabara ni mbaya,
hakuna maji, ni total balaa hapa
sokoni.
Kila muuzaji analipa ili kuuza kwa
soko. Kweli au rongo?
Kweli!!!
Wateja wame-pungua sababu
hawataki kutem-bea juu ya
uchafu. Kweli au rongo?
Hatutauza kwa hii
soko ikiwa hali hii.
Kweli!!!Ndioo!!!
Sasa tutauzia
wapi?
Barabarani ofcourse!
Lazima kanjo
anirud-ishie pesa za ticket!
Woiyee rudini tuongee.Basi sitawalipisha!
aki!
keshoye...Sijui tutauzia
wapi kama soko imefungwa.
Cheki juu ya mlima!
Habari, njia ya kwenda sokoni ni
gani?
Ni pande ile, lakini soko imefungwa.
Service mbaya ya kanjo imefanya wauzaji wakatae kuuza sokoni.
Sasa tutauzia
wapi?
Barabarani ofcourse!
Lazima kanjo
anirud-ishie pesa za ticket!
Woiyee rudini tuongee.Basi sitawalipisha!
aki!
keshoye...Sijui tutauzia
wapi kama soko imefungwa.
Cheki juu ya mlima!
Habari, njia ya kwenda sokoni ni
gani?
Ni pande ile, lakini soko imefungwa.
Service mbaya ya kanjo imefanya wauzaji wakatae kuuza sokoni.
Sasa tutauzia
wapi?
Barabarani ofcourse!
Lazima kanjo
anirud-ishie pesa za ticket!
Woiyee rudini tuongee.Basi sitawalipisha!
aki!
keshoye...Sijui tutauzia
wapi kama soko imefungwa.
Cheki juu ya mlima!
Habari, njia ya kwenda sokoni ni
gani?
Ni pande ile, lakini soko imefungwa.
Service mbaya ya kanjo imefanya wauzaji wakatae kuuza sokoni.
Sasa tutauzia
wapi?
Barabarani ofcourse!
Lazima kanjo
anirud-ishie pesa za ticket!
Woiyee rudini tuongee.Basi sitawalipisha!
aki!
keshoye...Sijui tutauzia
wapi kama soko imefungwa.
Cheki juu ya mlima!
Habari, njia ya kwenda sokoni ni
gani?
Ni pande ile, lakini soko imefungwa.
Service mbaya ya kanjo imefanya wauzaji wakatae kuuza sokoni.
Sasa tutauzia
wapi?
Barabarani ofcourse!
Lazima kanjo
anirud-ishie pesa za ticket!
Woiyee rudini tuongee.Basi sitawalipisha!
aki!
keshoye...Sijui tutauzia
wapi kama soko imefungwa.
Cheki juu ya mlima!
Habari, njia ya kwenda sokoni ni
gani?
Ni pande ile, lakini soko imefungwa.
Service mbaya ya kanjo imefanya wauzaji wakatae kuuza sokoni.
27
Watu wetu walikuwa na shida kama hiyo. Wali-kubaliana na council
kuwa wauzaji wangetumia nusu ya malipo ya soko kui-maintain na nusu ingine kwa council.
Tunahitaji hio idea sokoni. Twende
tuambie fathangu.
Ati niongee na nani? Siongei na watu wa kabila
ingine.
Usijali Charlie, ebu tuwapeleke kwa uncle yangu.
Najua atawasikia...
Habari zenu?
Mmeniletea wageni?
Kwetu tulisuluhisha hii shida kwa kuon-gea na council na kukubaliana wauzaji
wange-maintain soko na nusu ya malipo ya soko.
Nusu ingine inapewa council.
Twende tuulize
council juu ya huo
mpango.
Baadaye, sokoni...
Huo ndio mpango wa kuendeleza hii soko.
Naona ni bora tuchukue huo mpango ili soko iwe safi na inaendele vizuri.
Watu wetu walikuwa na shida kama hiyo. Wali-kubaliana na council
kuwa wauzaji wangetumia nusu ya malipo ya soko kui-maintain na nusu ingine kwa council.
Tunahitaji hio idea sokoni. Twende
tuambie fathangu.
Ati niongee na nani? Siongei na watu wa kabila
ingine.
Usijali Charlie, ebu tuwapeleke kwa uncle yangu.
Najua atawasikia...
Habari zenu?
Mmeniletea wageni?
Kwetu tulisuluhisha hii shida kwa kuon-gea na council na kukubaliana wauzaji
wange-maintain soko na nusu ya malipo ya soko.
Nusu ingine inapewa council.
Twende tuulize
council juu ya huo
mpango.
Baadaye, sokoni...
Huo ndio mpango wa kuendeleza hii soko.
Naona ni bora tuchukue huo mpango ili soko iwe safi na inaendele vizuri.
Watu wetu walikuwa na shida kama hiyo. Wali-kubaliana na council
kuwa wauzaji wangetumia nusu ya malipo ya soko kui-maintain na nusu ingine kwa council.
Tunahitaji hio idea sokoni. Twende
tuambie fathangu.
Ati niongee na nani? Siongei na watu wa kabila
ingine.
Usijali Charlie, ebu tuwapeleke kwa uncle yangu.
Najua atawasikia...
Habari zenu?
Mmeniletea wageni?
Kwetu tulisuluhisha hii shida kwa kuon-gea na council na kukubaliana wauzaji
wange-maintain soko na nusu ya malipo ya soko.
Nusu ingine inapewa council.
Twende tuulize
council juu ya huo
mpango.
Baadaye, sokoni...
Huo ndio mpango wa kuendeleza hii soko.
Naona ni bora tuchukue huo mpango ili soko iwe safi na inaendele vizuri.
Watu wetu walikuwa na shida kama hiyo. Wali-kubaliana na council
kuwa wauzaji wangetumia nusu ya malipo ya soko kui-maintain na nusu ingine kwa council.
Tunahitaji hio idea sokoni. Twende
tuambie fathangu.
Ati niongee na nani? Siongei na watu wa kabila
ingine.
Usijali Charlie, ebu tuwapeleke kwa uncle yangu.
Najua atawasikia...
Habari zenu?
Mmeniletea wageni?
Kwetu tulisuluhisha hii shida kwa kuon-gea na council na kukubaliana wauzaji
wange-maintain soko na nusu ya malipo ya soko.
Nusu ingine inapewa council.
Twende tuulize
council juu ya huo
mpango.
Baadaye, sokoni...
Huo ndio mpango wa kuendeleza hii soko.
Naona ni bora tuchukue huo mpango ili soko iwe safi na inaendele vizuri.
Tumekubali kufuata huo mpango wa wauzaji na
council!
YeeeEEa!!!
HAiYA!
Shika mwizi wa ng’ombe!!!
Shika mwizi!
Shika mwizi!
Watu wetu walikuwa na shida kama hiyo. Wali-kubaliana na council
kuwa wauzaji wangetumia nusu ya malipo ya soko kui-maintain na nusu ingine kwa council.
Tunahitaji hio idea sokoni. Twende
tuambie fathangu.
Ati niongee na nani? Siongei na watu wa kabila
ingine.
Usijali Charlie, ebu tuwapeleke kwa uncle yangu.
Najua atawasikia...
Habari zenu?
Mmeniletea wageni?
Kwetu tulisuluhisha hii shida kwa kuon-gea na council na kukubaliana wauzaji
wange-maintain soko na nusu ya malipo ya soko.
Nusu ingine inapewa council.
Twende tuulize
council juu ya huo
mpango.
Baadaye, sokoni...
Huo ndio mpango wa kuendeleza hii soko.
Naona ni bora tuchukue huo mpango ili soko iwe safi na inaendele vizuri.
Tumekubali kufuata huo mpango wa wauzaji na
council!
YeeeEEa!!!
HAiYA!
Shika mwizi wa ng’ombe!!!
Shika mwizi!
Shika mwizi!
28
Wenyeji wa Samburu council wamefanya kitu hakijafanyika nchini, lakini ni poa ku-learn kutoka kwao na kuijaribu kwa area yenu. Committee ya wanasoko wa Samburu wameku-baliana na council yao kuwa watasaidiana ku-maintain soko. Wenyeji wa Samburu wanasema kuwa mamilioni ya pesa hupitia mikononi yao kila siku.
Nusu ya malipo ya soko huenda kwa council na nusu ingine hutumiwa kwa mahitaji ya soko kama maintenance, wana kitty ya kusaidia wanasoko na loans ndogo za ku-attend mahitaji ya kibinafsi kama ku-provide higher education bursaries
na kulipa bills za hosi. Kila mwaka, wenye soko hukutana na kupewa report ya vile pesa zimetumika ili kuwa accountable.
Councils zingine zime-visit Samburu council ili ku-learn zaidi vile wana-operate soko zao. Inaaminiwa kuwa itakuwa rahisi kwa wenye soko kukubali kuchukua mpango kama wa Samburu Council wakiona vile itawa-benefit. Wenye soko wata-create employment kwa wenyeji. Unaweza iliza council yenu ku-adopt hii idea juu ime-work kwingine na kufanya soko kuwa maintained vipoa, na kusaidia wanasoko kujiendeleza.
usiwe kama fathake charlie aliekosa kupata new ide-as kutoka kwa wasamburu kwa sababu kuwa wa kabila ingine. kuwa open minded na wise kama uncle yake ro-sie na utafaidika kwa njia nyingi zaidi!!
Wenyeji wa Samburu wana-manage soko yao
Watu wetu walikuwa na shida kama hiyo. Wali-kubaliana na council
kuwa wauzaji wangetumia nusu ya malipo ya soko kui-maintain na nusu ingine kwa council.
Tunahitaji hio idea sokoni. Twende
tuambie fathangu.
Ati niongee na nani? Siongei na watu wa kabila
ingine.
Usijali Charlie, ebu tuwapeleke kwa uncle yangu.
Najua atawasikia...
Habari zenu?
Mmeniletea wageni?
Kwetu tulisuluhisha hii shida kwa kuon-gea na council na kukubaliana wauzaji
wange-maintain soko na nusu ya malipo ya soko.
Nusu ingine inapewa council.
Twende tuulize
council juu ya huo
mpango.
Baadaye, sokoni...
Huo ndio mpango wa kuendeleza hii soko.
Naona ni bora tuchukue huo mpango ili soko iwe safi na inaendele vizuri.
Watu wetu walikuwa na shida kama hiyo. Wali-kubaliana na council
kuwa wauzaji wangetumia nusu ya malipo ya soko kui-maintain na nusu ingine kwa council.
Tunahitaji hio idea sokoni. Twende
tuambie fathangu.
Ati niongee na nani? Siongei na watu wa kabila
ingine.
Usijali Charlie, ebu tuwapeleke kwa uncle yangu.
Najua atawasikia...
Habari zenu?
Mmeniletea wageni?
Kwetu tulisuluhisha hii shida kwa kuon-gea na council na kukubaliana wauzaji
wange-maintain soko na nusu ya malipo ya soko.
Nusu ingine inapewa council.
Twende tuulize
council juu ya huo
mpango.
Baadaye, sokoni...
Huo ndio mpango wa kuendeleza hii soko.
Naona ni bora tuchukue huo mpango ili soko iwe safi na inaendele vizuri.
Watu wetu walikuwa na shida kama hiyo. Wali-kubaliana na council
kuwa wauzaji wangetumia nusu ya malipo ya soko kui-maintain na nusu ingine kwa council.
Tunahitaji hio idea sokoni. Twende
tuambie fathangu.
Ati niongee na nani? Siongei na watu wa kabila
ingine.
Usijali Charlie, ebu tuwapeleke kwa uncle yangu.
Najua atawasikia...
Habari zenu?
Mmeniletea wageni?
Kwetu tulisuluhisha hii shida kwa kuon-gea na council na kukubaliana wauzaji
wange-maintain soko na nusu ya malipo ya soko.
Nusu ingine inapewa council.
Twende tuulize
council juu ya huo
mpango.
Baadaye, sokoni...
Huo ndio mpango wa kuendeleza hii soko.
Naona ni bora tuchukue huo mpango ili soko iwe safi na inaendele vizuri.
Watu wetu walikuwa na shida kama hiyo. Wali-kubaliana na council
kuwa wauzaji wangetumia nusu ya malipo ya soko kui-maintain na nusu ingine kwa council.
Tunahitaji hio idea sokoni. Twende
tuambie fathangu.
Ati niongee na nani? Siongei na watu wa kabila
ingine.
Usijali Charlie, ebu tuwapeleke kwa uncle yangu.
Najua atawasikia...
Habari zenu?
Mmeniletea wageni?
Kwetu tulisuluhisha hii shida kwa kuon-gea na council na kukubaliana wauzaji
wange-maintain soko na nusu ya malipo ya soko.
Nusu ingine inapewa council.
Twende tuulize
council juu ya huo
mpango.
Baadaye, sokoni...
Huo ndio mpango wa kuendeleza hii soko.
Naona ni bora tuchukue huo mpango ili soko iwe safi na inaendele vizuri.
Tumekubali kufuata huo mpango wa wauzaji na
council!
YeeeEEa!!!
HAiYA!
Shika mwizi wa ng’ombe!!!
Shika mwizi!
Shika mwizi!
Watu wetu walikuwa na shida kama hiyo. Wali-kubaliana na council
kuwa wauzaji wangetumia nusu ya malipo ya soko kui-maintain na nusu ingine kwa council.
Tunahitaji hio idea sokoni. Twende
tuambie fathangu.
Ati niongee na nani? Siongei na watu wa kabila
ingine.
Usijali Charlie, ebu tuwapeleke kwa uncle yangu.
Najua atawasikia...
Habari zenu?
Mmeniletea wageni?
Kwetu tulisuluhisha hii shida kwa kuon-gea na council na kukubaliana wauzaji
wange-maintain soko na nusu ya malipo ya soko.
Nusu ingine inapewa council.
Twende tuulize
council juu ya huo
mpango.
Baadaye, sokoni...
Huo ndio mpango wa kuendeleza hii soko.
Naona ni bora tuchukue huo mpango ili soko iwe safi na inaendele vizuri.
Tumekubali kufuata huo mpango wa wauzaji na
council!
YeeeEEa!!!
HAiYA!
Shika mwizi wa ng’ombe!!!
Shika mwizi!
Shika mwizi!
29