musoma vijijini · 2020. 4. 14. · 1 yaliyomo yaliyomo...
TRANSCRIPT
-
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA MBUNGE, JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI
UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI (2015-2020)
JULAI 7, 2019
(TAARIFA YA JANUARI 2016 - JUNI 2019)
-
1
YALIYOMO
YALIYOMO .................................................................................. 1 1. UTANGULIZI ...................................................................... 5 2. UONGOZI NA MAWASILIANO JIMBONI ...................... 6 2.1 ZIARA ZA VIJIJINI ZA MBUNGE WA JIMBO ............... 6 2.2 WASAIDIZI WA MBUNGE WA JIMBO .......................... 7 2.3 MABARAZA YA WAZEE ................................................ 7 2.4 TOVUTI YA JIMBO .......................................................... 8 2.5 REDIO YA MTANDAONI (ONLINE RADIO) ................ 9 3. HUDUMA ZA JAMII ....................................................... 10 3.1 SEKTA YA ELIMU .......................................................... 10 3.1.1 UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA .................. 10 3.1.2 MICHANGO YA MBUNGE KWENYE UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA ........................................ 11 3.1.3 MICHANGO YA FEDHA ZA SERIKALI ..................... 13 3.1.4 MICHANGO YA MFUKO WA JIMBO ......................... 14 3.1.5 UJENZI WA SHULE SHIKIZI ........................................ 17 3.1.6 MICHANGO YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) ...................................................... 18 3.1.6.1 PROJECT CONCERN INTERNATIONAL (PCI) .......... 18 3.1.6.2 EDUCATION QUALITY IMPROVEMENT PROGRAMME (EQUIP) ................................................. 19 3.1.6.3 EDUCATION PROGRAMME FOR RESULTS (EP4R) 20 3.1.6.4 BMZ ................................................................................. 21 3.1.7 UGAWAJI WA MADAWATI KWENYE SHULE
-
2
ZA MSINGI ...................................................................... 23 3.1.8 UGAWAJI WA VITABU VYA SAYANSI NA KIINGEREZA .................................................................. 24 3.1.8.1 MGAO AWAMU YA KWANZA ................................... 24 3.1.8.2 MGAO AWAMU YA PILI .............................................. 25 3.1.8.3 MGAO AWAMU YA TATU .......................................... 26 3.1.8.4 MGAO AWAMU YA NNE ............................................. 27 3.2 SEKTA YA AFYA ........................................................... 28 3.2.1 VITUO VYA AFYA ........................................................ 29 3.2.2 KITUO CHA AFYA MURANGI .................................... 29 3.2.3 KITUO CHA AFYA MUGANGO .................................. 32 3.2.4 KITUO CHA AFYA NYAMBONO ................................ 32 3.2.5 ZAHANATI ZA SERIKALI ............................................. 33 3.2.6 ZAHANATI ZINAZOTOA HUDUMA ZA AFYA ........ 33 3.2.6.1 MICHANGO MINGINE YA MBUNGE WA JIMBO .... 35 3.2.7 ZAHANATI BINAFSI ..................................................... 36 3.2.8 ZAHANATI MPYA ZINAZOJENGWA NA WANAVIJIJI .................................................................... 37 3.2.9 UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA ....................... 38 3.2.10 MATIBABU KUTOKA KWA MADAKTARI BINGWA WA CHINA .................................................... 39 3.2.11 MAGARI YA KUBEBEA WAGONJWA (AMBULANCES) ............................................................ 41 3.2.12 MICHANGO YA MASHIRIKA YA UMMA ................. 44 4. HUDUMA ZA KIUCHUMI ............................................ 44 4.1 SEKTA YA KILIMO, UVUVI NA UFUGAJI ................ 44 4.1.1 KILIMO ............................................................................ 45 4.1.2 KILIMO CHA UMWAGILIAJI ...................................... 45
-
3
4.1.3 MRADI WA BONDE LA BUGWEMA .......................... 46 4.1.4 KILIMO CHA ALIZETI .................................................. 47 4.1.4.1 MITAMBO YA KUKAMUA MBEGU ZA ALIZETI .... 49 4.1.5 KILIMO CHA MIHOGO ................................................. 50 4.1.6 KILIMO CHA MTAMA .................................................. 51 4.1.7 UBORESHAJI WA ZANA ZA KILIMO ........................ 52 4.2 UVUVI ............................................................................. 53 4.3 UFUGAJI ......................................................................... 54 5. MIRADI YA MAJI, UMEME NA BARABARA ........... 54 5.1 MIRADI YA MAJI .......................................................... 54 5.1.1 MIRADI YA MAJI KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019 ........................................................... 54 5.1.2 MIRADI YA MAJI AMBAYO USANIFU UMEKAMILIKA ............................................................. 58 5.2 MRADI WA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI (REA) 58 5.3 MIRADI YA BARABARA ............................................. 60 5.3.1 UJENZI WA BARABARA YA LAMI (TANROADS) .. 60 5.3.2 MATENGENEZO YA BARABARA (TANROADS) ..... 60 5.3.3 BARABARA VIJIJINI (TARURA) ................................. 61 6. USAFIRI JIMBONI (MAGARI YA MBUNGE) ............ 62 7. UTUNZAJI WA MAZINGIRA ....................................... 63 8. MICHEZO NA UTAMADUNI ....................................... 64 8.1 KUDUMISHA NA KUKUZA UTAMADUNI ............... 64 8.2 MPIRA WA MIGUU ....................................................... 67 9. USHIRIKI KWENYE MASUALA YA KIJAMII ........... 69 10. KUSHIRIKIANA NA MADHEHEBU YA DINI............ 72 11. KUWAJENGEA VIJANA UWEZO NA UJUZI ............. 74 12. MICHANGO YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI
-
4
ZA CHAMA .................................................................... 75 12.1 SEKRETARIETI YA WILAYA ..................................... 75 12.2 MICHANGO YA VIKAO VYA CHAMA NA JUMUIYA ZAKE ........................................................... 77 12.3 ZIARA ZA CHAMA NA JUMUIYA ZAKE ................. 78 12.4 CHAGUZI ZA CHAMA NA JUMUIYA ZAKE ............ 78 12.5. SHEREHE ZA CHAMA NA JUMUIYA ZAKE ............ 79 13. WAZALIWA WA VIJIJI VYA JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI ....................................................... 81 14. KUJADILI NA KUTATHMINI MAENDELEO YA JIMBO ...................................................................... 83 15. HITIMISHO ................................................................... 85 16. SHUKRANI ................................................................... 86 17. KIAMBATANISHO NAMBA I .................................... 89
-
5
1. UTANGULIZI Jimbo la Musoma Vijijini lenye Jumla ya Kata 21, Vijiji 68, Vitongoji 374 na Wakazi takriban Laki Tatu (300,000) lina Vipaumbele Vikuu Vitano (5) ambavyo ni (i) Elimu, (ii) Afya, (iii) Kilimo (Uvuvi na Ufugaji), (iv) Mazingira, na (v) Michezo na Utamaduni. Haya yote yamo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya Mwaka 2015 – 2020. Maji, Umeme, Barabara, Vyombo vya Usafirishaji na Mawasiliano ni nyenzo muhimu zinazotumika kufanikisha utekelezaji wa Miradi ya Vipaumbele hivyo vitano. Ukuaji na Uimarikaji wa Uchumi na Ustawi wa Wananchi wa Jimbo la Musoma Vijijini, ndilo lengo kuu la Vipaumbele hivyo vitano. Miradi ya Maendeleo ya Vipaumbele hivyo vitano na nyenzo zake inabuniwa na Wanavijiji kwa kushirikiana na Viongozi wao tokea ngazi ya Kijiji, Kata, Wilaya, Mkoa hadi Taifa. Miradi yote inayobuniwa na kutekelezwa inafuata utaratibu wa Serikali na Serikali huwa inaunga mkono Juhudi za Wanavijiji kwenye Vijiji vyote 68 vya Jimbo la Musoma Vijijini. Mbunge wa Jimbo, Profesa Sospeter Mwijarubi Muhongo anashirikiana kwa karibu sana na Wananchi na Viongozi wao wa ngazi mbalimbali kwenye Utekelezaji wa Miradi iliyopendekezwa na Wananchi wenyewe. Vilevile, Mbunge huyu wa Jimbo anashirikiana kwa karibu sana na Serikali na Viongozi wake wa ngazi zote kwenye Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ya Jimbo la Musoma Vijijini. Taarifa hii inaeleza Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM (2015 - 2020) kwenye Jimbo la Musoma Vijijini kwa muda wa Miaka
-
6
Mitatu na Nusu (Januari 2016 – Juni 2019). Vilevile, Taarifa hii inaonesha Michango mingi na mikubwa iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo kwenye Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM (2015 – 2020) ndani ya Jimbo la Musoma Vijijini. Kwa ujumla Ilani ya Uchaguzi ya CCM (2015 – 2020) inatekelezwa kwa Mafanikio Makubwa sana na hii inathibitisha jinsi ambavyo Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Uongozi wa Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli inavyowaletea Wananchi Maendeleo ya uhakika kwenye Jimbo la Musoma Vijijini.
2. UONGOZI NA MAWASILIANO JIMBONI Uongozi bora daima unakuwa unayo mawasiliano mazuri ambayo ni muhimu sana kwa ajili ya Maendeleo Endelevu kwa Jamii husika. Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo ameweka utaratibu mzuri wa kuwashirikisha Wananchi Vijijini kujitolea kuchangia Maendeleo yao kwa kushirikiana na Serikali yao kwa ngazi zote.
2.1 ZIARA ZA VIJIJINI ZA MBUNGE WA JIMBO Ndani ya Miaka Mitatu na Nusu, Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo ametembelea Vijiji vyote 68 na Kata zote 21 zaidi ya mara tano na ziara zake zote ni za Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ikiwa ni njia kuu ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM (2015 – 2020). Vilevile, Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo anatumia ziara hizi kupokea kero za Wananchi na kuzitatua na zingine kuzifikisha Serikalini.
-
2.2 WHawa Vijiji MbunWananutendaMwijakazi kKompBando
MbMuh
2.3 MHaya yaliyoUham
WASAIDIwanazuvyake vge wa Jnchi hukaji wa Warubi Mukama vilpyuta, (iio la muda
unge wahongo (ku
MABARAni Maba
oundwa masishaji
IZI WAunguka nvya kaziimbo bako hukoWasaidizuhongo ae (i) Pikii) Globa wa ma
a Jimbo lulia) akiw
wa
AZA YAaraza yana Mbuwa Mae
A MBUNndani yai, hivyo adala yako Vijijinzi hawaamewanukipiki nabal Positongezi.
la Musomwatambua Jimbo
A WAZEa Ushaurunge w
endeleo k
NGE WAa Vijiji v
Wanancke Wasai kusikil
a, Mbununulia Va Mafutationing S
ma Vijijinulisha Wla Musom
EE ri, Ushaa Jimbokatika V
A JIMBOvyote 68chi hawaaidizi haliza keroge wa
Vyombo na ya PikiSystem
ni, Prof Wasaidizi
ma Vijiji
awishi, Uo ili kuijiji vyot
O na kilaana haja
awa ndioo zao. IJimbo, na Vifaaipiki ya (GPS),
Sospeterwake kw
ini
Utamaduuboreshate 68 na
a Msaidiza ya kumo wanawIli kurahProf So
a vya kukila wik(iv) Sim
r Mwijarwa Wana
uni na Ma shughu
Kata zo
7
zi ana mfuata
wafuata hisisha ospeter fanyia ki, (ii) mu na
rubi anchi
Maadili uli za ote 21.
-
MabarSerika
Mbun
2.4 TOIli kupVijijinJimboUlimwVijijin(WebmTovutSaragawww.
raza hayali
nge wa Jim(kushot
OVUTI panua Wni, Prof kwa aj
wengu mni. Katikmaster) ai hii ilizana, Kmusoma
ya yanaf
mbo la Mto) akizun
YA JIMWigo wa
Sospeterili ya ku
mzima kuka kitenambaye zinduliwKata yavijijini.o
fanya k
Musoma Vingumza na
MBO Mawasi
r Mwijauwajulis
uhusu kango hikini Msaid
wa rasmi ya Nyaor.tz
kazi zake
Vijijini, Pra Wazee w
iliano, Marubi Musha Wanzi za Mai yupo dizi mwtarehe 7
ambono
e bila k
rof Sospetwa Maba
Mbunge uhongo
nanchi waendeleoMtenda
wingine w7 Mei 2
na
kuingilia
ter Mwijaaraza ya K
wa Jimbamefung
wa Jimboo ya Jimbaji Mkuwa Mbun2016 kat
Anuani
a Mihim
arubi MuhKata 21
bo la Mugua Tovoni, Nchbo la Mu
uu wa Tnge wa Jtika Kiji yake
8
mili ya
hongo
usoma vuti ya hini na usoma Tovuti Jimbo. iji cha e ni:
-
Wana
2.5 REMawakuwaeza Ma(MVO
nchi wa Tukio la
EDIO Yasiliano yeleza Miraendeleo
OVN)
Mu
Kijiji ch Uzinduz
YA MTAya aina hradi inay
o. Jina l
uonekano
ha Saragazi wa To
ANDAONhii ya Reyotekelezake ni M
o wa Mu
ana, Katvuti ya J
NI (ONLedio ya Kzwa JimbMusoma
usoma Vij
ta ya NyaJimbo la
LINE RAKisasa huboni na s
a Vijijini
ijijini On
ambono Musoma
ADIO) uwafikiashughulii Online
nline Red
wakishu
a Vijijini
a Wanani nyingine Voice
dio
9
uhudia i
nchi na ne zote
News
-
10
3 HUDUMA ZA JAMII Huduma bora za Jamii ni nyenzo muhimu katika kuondoa umasikini na kuharakisha Maendeleo ya Wananchi. Katika kipindi cha Miaka Mitatu na Nusu (Januari 2016 - Juni 2019), Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo, chini ya Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi, ameendeleza jitihada zake za kuhakikisha kwamba Wananchi wanashirikiana kwa hali na mali na Serikali yao katika Uboreshaji wa Huduma za Kijamii Vijijini mwao. 3.1 SEKTA YA ELIMU Jimbo la Musoma Vijijini lina Jumla ya Shule za Msingi 111 za Serikali (Government Primary Schools) na Shule 3 za Binafsi (Private Primary Schools). Pia Jimbo linazo Sekondari 18 za Serikali (Government Secondary Schools) na Shule 2 za Binafsi (Private Secondary Schools). Mbunge wa Jimbo, Profesa Sospeter Mwijarubi Muhongo kwa kushirikiana na Wananchi wote wamejiwekea MIPANGO ya kujenga na kuboresha Miundombinu ya Elimu kwenye Jimbo lao. Mipango hiyo inahusu: 3.1.1 UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA Kutokana na upungufu mkubwa wa Vyumba vya Madarasa unaopelekea mrundikano wa Wanafunzi Madarasani na wengine kusomea chini ya miti, Mbunge wa Jimbo anahamasisha Wananchi Vijijini kujitolea kujenga Vyumba Vipya vya Madarasa. Yeye mwenyewe anachangia fedha zake na vilevile Mfuko wa Jimbo (Fedha za Serikali) na Halmashauri ya Wilaya (Own Source) wanachangia ujenzi huu.
-
Mbun(wa ta
MaKome,Mchele
3.1.2 MVYUMMbunMICHkutum
(i)
(ii) H
Kwa mashuSaruji Ofisi z21 na
nge wa Jimatu kushotdarasa na Kata ya e akifuati
MICHAMBA VYge wa
HANGO mia njia m
KugawMsingi
KwendHarambeupande
uleni, Mbkwa ajil
za WalimVijiji vy
mbo la Mto) akishia Ofisi 5 Bwasi. K
iwa na MH
ANGO YYA MADJimbo, YAKE
mbili (2):wa Saruji
na Sekoda kwenee wa Ugabunge wli ya Ujemu katikyote 68.
Musoma Viriki kwenza Walim
Kushoto nMwenyekitiHii ilikuw
YA MBUDARASProf SoBINAF
: na Mab
ondari nye Shul
awaji wawa Jimboenzi wa za Shule z
Vijijini Pronye Shughmu katika i Diwani i wa Halma tarehe 2
UNGE KSA ospeter SI kwen
bati moja
le za M
a Vifaa o amegawzaidi ya Vza Msing
of Sospethuli ya UjS/M Komwa Kata
mashauri20/2/201
KWENYE
Mwijarunye Ujen
a kwa m
Msingi n
vya Ujwa JumlVyumbagi na Sek
ter Mwijajenzi wa
me B iliyoya Nyegi
i, Mhe Ch7
E UJEN
ubi Muhnzi wa M
moja kwe
na Seko
jenzi mola ya Mia 196 vyakondari k
arubi MuhVyumba 1
oko Kijiji cina Mhe Mharles Ma
NZI WA
hongo aMadarasa
enye Shu
ondari k
oja kwa fuko 5,8a Madarkwa Kat
11
hongo 10 vya cha Majira agoma.
ametoa a kwa
ule za
kupiga
moja 884 ya asa na ta zote
-
MichaVijijinUkura
UsMbu
inao
Shugh
na Ue
Musom
yapata
Madar
ango ya ni imeaiasa wa 89
sambazajunge wa nesha Vi
huli ya U
ezekaji
ma Vijiji
ayo 3,22
rasa na O
Mbungeinishwa 9 – 110.
ji wa MifJimbo k
Viongozi w
Ujenzi wa
wa Vyu
ini, Prof
20 ili ku
Ofisi za W
e wa Jimkwenye
fuko 5,88kwenye Swa Kata
a Vyumb
umba vy
f Sospete
uezeka z
Walimu k
mbo kupie Kiamb
84 ya SaShule za M
ya KabeSaruji
ba vya M
ya Mada
er Mwija
aidi ya
katika Sh
itia HARbatanisho
aruji iliyoMsingi negi wakik
Madarasa
arasa. M
arubi Mu
Maboma
hule za M
RAMBEEo Namb
otolewa Jna Sekonkabidhiw
a ilikwen
Mbunge
uhongo a
a 59 ya
Msingi n
E anazoa I kili
Jimboni dari. Pi
wa Mifuk
nda samb
wa Jim
ligawa M
Vyumb
na Sekon
12
ozipiga ichopo
na icha ko ya
bamba
mbo la
Mabati
ba vya
ndari.
-
ShugShu
kutokawa
3.1.3 MMbali WadaumikubMsingfedha Halmana yenSerikaVijijinHalmaMkuru
ghuli ya ule ya Ma kwenyeakiwa ka
MICHAya mic
u wenginbwa ya Fgi za Ser
na hudashauri ynyewe inali za Msni. Orodashaauri ugenzi M
UezekajMsingi Eta
e Fedha atika hatu
ANGO Ychango yne wa M
Fedha kurikali 11duma nya Wilaynatoa fedsingi na dha ya M
yetu inaMtendaji
ji wa Vyuaro baadza Mfukua za mw
YA FEDHya Wana
Maendeleupitia Baj1 na Sek
nyingine ya ya Mudha na huSekondaMatumiz
apatikanawa Halm
umba Vinda ya kup
ko wa Jimwisho za
HA ZA Sanchi Vo, Serikajeti zakekondari
za Serusoma yeuduma nari zilizozi ya Fa kwenyemashauri
nne (4) vpokea ju
mbo. Pichukamilis
SERIKAijijini, Mali inaen
e za kila zote 18 rikali kienye Jimnyingine po ndani
Fedha zae Ofisi zi.
vya Madaumla ya Mha inaonshaji wa
ALI Mbunge ndelea kuMwaka.za Serik
ila mwambo la Mu
kwenyei ya Jimba Serikaza Mkuu
arasa kaMabati 1nesha Maa kazi hiy
wa Jimutoa mic Shule zkali zinaaka. Viusoma V Shule zbo la Mu
ali na zwa Wila
13
atika 144 afundi yo.
mbo na hango
zote za apokea levile,
Vijijini zote za usoma ile za aya na
-
M
NGU
3.1.4 MFedha
matum
yote y
Jimbo
Katika
wa Jim
kwa k
walite
kukara
Majengo yushirika
UVUKAZ
MICHAa za Mfu
mizi ya
ya Uchag
la Ucha
a Awam
mbo la M
kushirikia
enga kia
abati Shu
ya Shulea wa FedZI za Wan
ANGO Yuko wa J
miradi n
guzi nchi
aguzi.
u ya Kw
Musoma
ana na K
asi cha
ule 2 za M
ya Msindha za Senanchi kw
N
YA MFUJimbo n
na shugh
ini. Mwe
wanza ya
a Vijijin
Kamati ya
Shiling
Msingi k
ngi Kurukerikali, zkwenye KNyegina.
UKO WAi fedha
huli za
enyekiti
a Fedha
i, Prof S
a Mfuko
gi 27,50
kama ifu
kerege yza MbungKijiji cha .
A JIMBOzinazoto
Maende
wa Mfu
za Mfuk
Sospeter
huo na W
00,000/=
uatavyo:
yaliofadhge wa JimKuruker
O olewa na
eleo kwe
uko huu n
ko wa Ji
r Mwijar
Wananch
za M
hiliwa kwmbo, na rege, Ka
a Serikal
enye Ma
ni Mbun
imbo, M
rubi Muh
hi kwa p
Mfuko hu
14
wa
ata ya
li kwa
ajimbo
nge wa
Mbunge
hongo
pamoja
uo ili
-
15
Ukarabati wa Vyumba 3 vya Madarasa ya Shule ya Msingi
Nyetasho, Kijiji cha Nyambono, Kata ya Nyambono, Tsh
20,000,000/=
Ukarabati wa Vyumba 2 vya Madarasa na Ofisi Shule ya
Msingi Mabui Merafuru, Kijiji cha Mabui Merafuru, Kata ya
Musanja, Tsh 7,500,000/=
Majengo ya Vyumba vya Madarasa katika Shule Mpya ya Sekondari
ya Kata ya Busambara inayojengwa kwa Michango ya Fedha za Wananchi (+ NGUVUKAZI), Mbunge wa Jimbo, Mfuko wa Jimbo,
Halmashauri na TAMISEMI (Wizara)
MICHANGO yote hiyo ILIYOAINISHWA hapo juu imewezesha
Jimbo la Musoma Vijijini kujenga Vyumba VIPYA 450 vya
Madarasa; Vyumba 350 vikiwa kwenye Shule za Msingi na 100
kwenye Shule za Sekondari. Haya ni MAFANIKIO makubwa ya
kujivunia.
-
Orodhzinazo
(i) (ii) (iii)(iv)(v) (vi)(vii(vii(ix)
Vyu(DanJimb
tar
ha hapoojengwa
Dan MBusam
) Nyasau) Kigera
Nyegin) Ifulifu) Seka, Ki) Nyang
) Busam
umba vyan Mapigabo Prof Srehe 22 A
S
o chinina zinaz
Mapiganombara, Ka
ungu, Kaa, Kata yna, Kata , Kata yaKata ya N
g’oma, Kmba, Kata
a Madaraano MemSospeter April, 20Sekondar
i inaonzotarajiw
o Memorata ya Buata ya Ifua Nyakaya Nyeg
a IfulifuNyamran
Kata ya Ma ya Etar
asa ya Shmorial Se
Mwijaru19. Mich
ri ya Kata
nesha Swa kujeng
rial Seconusambarulifu
atende gina
ndirira Mugangoro
hule ya Secondaryubi Muhhango yaa ya Bus
Shule zgwa:-
ndary Sca
Sekondary School)ongo ali
a ujenzi wsambara
za Seko
chool, Ka
ri ya Kat) ambayoiweka Jiwwake ni khapo ju
ondari
ata ya Bu
ta ya Bugo Mbungwe la Mskama ile u
16
Mpya
ugoji
goji ge wa singi ya
-
17
3.1.5 UJENZI WA SHULE SHIKIZI Kutokana na msongamano wa Wanafunzi kwenye Vyumba vya
Madarasa ya Shule za Msingi, umbali mrefu wa Wanafunzi
kutembea kwenda Vijiji vya jirani kupata Elimu ya Msingi, baadhi
ya Vijiji vimeamua kujenga Shule zake za Msingi na wameanza kwa
kujenga Shule Shikizi ambazo hapo baadae zitapanuliwa na kuwa
Shule za Msingi kamili zenye Darasa la Awali hadi la Saba (Awali –
VII).
Wananchi Vijijini kwa kushirikiana na Serikali na Mbunge wa Jimbo
wanajenga Shule Shikizi ambazo hadi sasa zinafikia 10 na nyingine
zimekamilika zipo tayari kupokea Wanafunzi. Shule hizo ni:
(i) Buraga Mwaloni, Kjiji cha Buraga, Kata ya Bukumi (ii) Mwikoko, Kijiji cha Chitare, Kata ya Makojo (iii) Gomora, Kijiji cha Musanja, Kata ya Musanja (iv) Egenge, Kijiji cha Busamba, Kata ya Etaro (v) Kihunda, Kijiji cha Kamguruki, Kata ya Nyakatende (vi) Binyago, Kijiji cha Kabegi, Kata ya Ifulifu (vii) Ziwa, Kijiji cha Mwiringo, Kata ya Busambara (viii) Rwanga, Kijiji cha Kasoma, Kata ya Nyamrandirira (ix) Karusenyi, Kijiji cha Mikuyu, Kata ya Nyamrandirira (x) Kaguru, Kijiji cha Bugwema, Kata ya Bugwema (xi) Buanga, Kijiji cha Buanga, Kata ya Rusoli
-
18
3.1.6 MICHANGO YA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) Serikali inashirikiana na Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali
ambayo yanapata fedha kutoka nchi za nje zinazoshirikiana na nchi
yetu kwenye nyanja mbalimbali za Uchumi na Maendeleo.
Mashirika hayo ni: PCI, EQUIP, EP4R na BMZ
3.1.6.1 PROJECT CONCERN INTERNATIONAL (PCI) Hili ni Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Jamii (PCI, Project
Concern International). Shirika hili linajishughulisha na utoaji wa
Mafunzo ya Kilimo kwa Wananchi walio katika Vikundi ndani ya
Jimbo la Musoma Vijijini ambao baadae huanzisha kilimo cha
mazao ya chakula kama vile mahindi, viazi lishe, mpunga, mtama,
mihogo na mazao ya biashara likiwemo zao jipya la Alizeti kwa
kutumia mbegu walizopewa na Mbunge wao wa Jimbo. Shughuli
nyingine zinazofanywa na PCI ni ujenzi wa Vyoo vya Wanafunzi,
Matenki ya kuvuna maji ya Mvua na utoaji wa vitabu kwa Shule za
Msingi Jimboni.
Wananchi wa Jimbo la Musoma Vijijini wanaendelea kushirikiana
na Shirika la PCI ambalo moja ya malengo yake makuu ni kutoa
chakula mashuleni kupitia Vikundi vya Wakulima hali ambayo
inaongeza hamasa kwa Wanafunzi kuhudhuria masomo na hatimae
-
kufany
kubwa
Kvilivyo
3.1.6.2PROGEQUIPMpangkuchanMatunMatenShikizMusomna WMadarmchankweny
ya utoro
a ya kupa
Kikundi coanzishw
2 EDUCGRAMMP (The go unaohngia uje
ndu ya Vnki ya kuzi zinazoma Vijij
Wafadhili rasa. Vilnga na mye Kijiji
shuleni
ata Elim
cha Nguvwa na Sh
ya ma
CATIONME (EQU
Educathusika nenzi wa Vyoo vyauvunia mojengwaini, wan
wa EQlevile, W
maji (NGhusika.
upungu
mu.
vukazi amirika la Pahindi ku
N QUALUIP) tion Qu
na uboreVyumb
a Wanafmaji ya ma MusomnashirikiaQUIP k
WananchiGUVUKA
e sana n
mbacho nPCI Kijijutoka sha
ITY IM
uality Imshaji waba vya funzi na mvua kwma Vijijana na Skufanikisi wanajitAZI) ili
na Wanaf
ni Miongjini Buanambani m
MPROVE
mprovema MiundoMadarasWalimu
wa Shuleini. Wa
Serikali ysha ujentolea kukupungu
funzi ku
goni mwanga kikiwmwao
EMENT
ment Prombinu ysa, Ofisiu pamojae za Msananchi yao kupinzi wa somba muza ghar
wa na h
a Vikundwa na ma
T
rogrammya Elimui za Waa na ujensingi na wa Jim
itia MradVyumba
mawe, korama za
19
amasa
di avuno
me) ni u kwa alimu, nzi wa Shule
mbo la di huu a vya okoto, ujenzi
-
WananpamojinazozMirad
Jenglililoje
3.1.6.3Educa
Kuling
Shule
Tekno
Wilay
Vyum
mkono
nchi na ja, wanazifanya kdi mingin
go la Shuengwa na
3 EDUCation Pro
gana na M
za Sekon
olojia. J
ya ya Mu
mba vya
o jitihad
Viongoaishukurkwa kuwne ya Elim
ule Shikiza Mradi
CATIONogramme
Matokea
ndari nch
imbo la
usoma p
Madara
da za S
zi ndaniru sana waunga mmu Jimb
zi Egengwa EQU
K
N PROGe For Re
a unaolen
hini kote
a Musom
pia limen
asa kwa
Serikali
i ya JimSerikal
mkono kboni mwa
ge, Kijiji UIP kwa
Kijiji hich
GRAMMesults (E
nga kubo
e chini y
ma Vijij
nufaika n
Shule z
na kup
mbo la Mli yetu kwenye ao.
cha Busakushirik
ho
ME FOR EP4R) n
oresha ki
a Wizara
ijini kup
na Mpan
za Seko
punguza
Musoma kwa jitMiradi
amba, Kkiana na
RESULni Mpang
iwango c
a ya Elim
pitia Ha
ngo huu
ndari. K
gharam
Vijijinitihada kya EQU
Kata ya EWananc
LTS (EPgo wa K
cha Elim
mu, Saya
almashau
u kwa ku
Katika k
ma za u
20
i, kwa kubwa
UIP na
Etaro chi wa
4R) Kulipa
mu kwa
ansi na
uri ya
ujenga
kuunga
ujenzi,
-
Wanan
(NGU
JengoMr
3.1.6.4Mradi
and C
Elimu
Mradi
Bugw
Nyam
Vifaa
kubeb
nchi wa
UVUKAZ
o la VyumMradi wa L
4 BMZ i wa BM
ooperati
u kwa Wa
i huu n
ema, Bu
mbono, Ny
vinavyo
ea vifaa
anajitolea
ZI).
mba VitaLipa Ku
Sekon
MZ (The
on) wa U
anafunzi
ndani ya
ukima,
yamuran
otolewa n
a vya Sh
a kusom
atu vya Mtokana ndari Mki
Federal
Ujeruma
i wenye U
a Jimbo
Bukumi
ndirira na
na Mradi
hule, fim
mba maw
Madarasana Matokirira, Ka
l Ministr
ani unahu
Ulemavu
la Mu
i, Bwasi
a Suguti.
i huu ni
mbo nye
we, koko
a vilivyojkeo (EP4ata ya Ny
ry of Ec
usika na
u katika
usoma V
i, Kiriba
.
madafta
eupe kwa
oto, mch
ojengwa k4R) katikyegina
conomic
ugawaji
Kata 10
Vijijini.
a, Mako
ari, kalam
a wenye
hanga na
kwa Fed
ka Shule y
Develop
i wa Vifa
zilizo kw
Kata hi
ojo, Mu
mu, mab
e ulemav
21
a maji
dha za ya
pment
aa vya
wenye
izo ni
urangi,
egi ya
vu wa
-
macho
vifaa v
BMZ
ulema
Miong
GROU
(Buku
Mbun
BMZ
kuwaw
wengi
ulema
Ma
o, baiske
vingine
wanahu
avu kwa
goni mw
UP (Ka
umi), MT
ge wa J
kuhak
wezesha
ine wae
avu Jimbo
akabidhia
eli za wa
wezeshi
usika pia
a ajili y
wa Viku
ata ya
TAZAMO
Jimbo la
kikisha
ki-uchum
endelee
oni.
ano ya V
atu weny
i vikiwem
a na uu
ya kuwa
undi hiv
Kiriba),
O (Mura
Musom
Mradi
mi watu
kuwasai
Vifaa vya
Nya
ye ulema
mo vifaa
undaji w
afadhili k
vyo ni:
JIBID
angi) na U
ma Vijijin
huu
wenye u
idia na
Elimu k
amrandir
avu, miw
a vya ku
wa Vikun
katika M
ERUSU
DISHE (
UPENDO
ni anaen
unaende
ulemavu
kuwaw
kutoka BM
rira
wani, mig
usaidia u
ndi vya
Miradi y
ULI SH
(Suguti),
O (Bugw
ndelea ku
elea ku
u na kuw
wezesha
MZ kwen
guu band
usikivu m
a watu w
ya uzali
HIVYAW
, USHI
wema)
ushirikia
uwasaidia
aomba W
watu w
nye Kata
22
dia na
mzuri.
wenye
ishajii.
WATA
IRIKA
ana na
a na
Wadau
wenye
a ya
-
3.1.7 UMSINKwa
Musom
Madaw
JKT M
zote 1
Jimbo
MbM
Wanaikiwa
UGAWANGI
kipindi
ma Vijij
wati 8,00
Mwanza.
11 za Jim
alitatua
bunge waMuhongoafunzi kani ishara
AJI WA
cha Mi
ijini, Pro
00 aliyoy
. Madaw
mbo la M
tatizo ku
a Jimbo lo (wa pil
atika Shua ya Uzin
A MADA
aka Mit
of Sosp
yatengen
wati hayo
Musoma
ubwa la
la Musomli kushot
ule ya Msnduzi wa
Jim
AWATI K
tatu na
peter Mw
neza kwa
o aliyaga
Vijijini.
uhaba w
ma Vijijito) akipesingi Ruka zoezi lamboni hu
KWENY
Nusu, M
wijarubi
a kutumi
awa kwe
Kwa w
wa madaw
ini Prof Sana mkokuba iliya Ugawajmo
YE SHU
Mbunge
Muhon
ia Kikosi
enye Shu
akati huo
wati mas
Sospeterono na myopo Kisiaji wa Ma
ULE ZA
wa Jim
ngo ame
i cha SU
ule za M
o, Mbun
huleni.
r Mwijarmmoja wa
iwani RuMadawati
23
mbo la
egawa
UMA -
Msingi
nge wa
ubi a ukuba 8,000
-
24
3.1.8 UGAWAJI WA VITABU VYA SAYANSI NA KIINGEREZA Ili kuwajengea Wanafunzi uwezo wa kujisomea, kuchambua mambo
mbalimbali na kujiamini katika elimu waipatayo, Mbunge wa Jimbo
la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo aligawa bure
vitabu vya Sayansi na Kiingereza kutoka Marekani na Uingereza.
Hadi sasa Jumla ya Kontena 5 zenye vitabu vyenye thamani ya Dola
za Kimarekani Milioni 2.5 vimeletwa na kugawiwa bure kwenye
Shule zote za Msingi na Sekondari Jimboni. Vilevile, Shule za
Binafsi za Sekondari na Msingi zimeomba na kugawiwa bure vitabu
vya Mbunge wa Jimbo.
3.1.8.1 MGAO AWAMU YA KWANZA
Vitabu viligawiwa katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Mkirira
tarehe 22/01/2016 ambapo Shule 10 za Msingi zilizofanya vibaya
katika Mitihani ya kuhitimu Darasa la VII zilipewa upendeleo wa
kugawiwa vitabu vingi zaidi. Aidha, kila Shule hiyo ilipata Box 10
na kila box ilikuwa na vitabu kati ya 20 na 30. Shule za Sekondari 20
zilipata Box 20 na kila box ilikuwa na vitabu kati ya 15 na 20.
-
MbunMu
SekonShz
3.1.8.2Zoezi
awamu
ya Ms
Shule
Shule
nge wa Juhongo (ndari MkShule zotezilizopata
2 MGAOla ugaw
u hii lili
singi Kw
111 za
20 za Se
Jimbo la (wa pili kkirira akie za Sekoa matoke
O AWAMwaji wa v
ifanyika
wibara, K
Msingi
ekondari
Musomakushoto) ikabidhi ondari Jieo mabay
MU YAvitabu kw
tarehe 0
Kijijini K
zilikabid
kila moj
a Vijijiniakiwa kvitabu vyimboni nya ya Mi
A PILI wa Shule
07/05/20
Kwibara,
dhiwa B
ja ilikab
i, Profesakatika Viwvya Sayanna kwa Sitihani ya
e zote za
016 katik
, Kata y
ox 10 k
idhiwa B
a Sospetwanja vynsi na K
Shule za Ma Darasa
a Msingi
ka Viwa
a Mugan
kwa kila
Box 15.
ter Mwijaya Shule
KiingerezaMsingi 1a la Saba
i na Seko
anja vya
ngo. Jum
Shule, w
25
arubi ya
a kwa 10 a
ondari
Shule
mla ya
wakati
-
MbMuhoShul
3.1.8.3Mgao
Wabun
Musom
vitabu
vya Si
Mkend
Sayan
wanne
unge waongo (kule zote za
Sh
3 MGAOwa aw
nge wot
ma Vijij
u Wabung
iasa. Zoe
do, Mus
nsi na K
e (4) nao
a Jimbo lulia) akika Sekondhule ya M
O AWAMwamu hii
te wa M
jini, Pro
ge wote
ezi hilo l
soma Mj
Kiingerez
walipew
la Musomkabidhi Vdari na MMsingi K
MU YAi ulifany
Mkoa wa
of Sospe
wa Mko
lilifanyik
ini. Jum
za viliga
wa vitabu
ma VijijinVitabu vyMsingi zaKwibara,
A TATUyika tare
Mara a
eter Mw
oa wa Ma
ka katika
mla ya V
awiwa.
u katika
ni, Prof ya Sayana JimbonKata ya
ehe 20/0
ambapo
wijarubi
ara na w
a Viwanj
Vitabu 25
Vilevile
mgao hu
Sospeter
nsi na Kini katika Mugang
09/2016
Mbunge
Muhong
a kutoka
a vya Sh
5,000 vy
e, Viong
uu.
r MwijaringerezaViwanjago
na ulihu
e wa Jim
go aliwa
a Vyama
hule ya M
ya Masom
gozi Wa
26
rubi a kwa a vya
usisha
mbo la
agawia
a vyote
Msingi
mo ya
astaafu
-
Mbukulia
Profebaada
3.1.8.4Mgao
kuham
wa Ma
Msing
Box 2
Makta
nayo
kinach
Resou
nyingi
nge wa Ja akitoa
esa Sospea ya kuka
aji
4 MGAOhuu ulih
masisha S
aktaba z
gi Etaro
30 na Sh
aba Mpy
ilipewa
hojulikan
urce Cent
i za maen
Jimbo laShukran
eter Mwiabidhiwaili ya Shu
O AWAMhusisha S
Shule zis
zao. Mga
ambapo
hule 6 za
ya ya Ki
bure v
na kama
tre”, kin
ndeleo Ji
a Tarime ni kwa Mijarubi Ma Vitabu ule za Jim
MU YAShule zil
sizo na M
ao huu ul
o Jumla
a Sekond
ituo Cha
vitabu v
, “Mada
nashirikia
imboni.
Vijijini, Mbunge wMuhongovya Shulmbo lake
A NNE izo na M
Maktaba
lifanyika
ya Shul
dari zilika
a Elimu
vya Mbu
raka Ny
ana na O
Mhe Johwa Jimboo (CCM) le za Mse la Tarim
Maktaba.
a zishaw
a katika
e 23 za
abidhiwa
cha Kan
unge w
yerere Lib
Ofisi ya M
hn Hecho la Muso
wa pili kingi na Sme Vijiji
Hii ikiw
wishike n
Viwanja
Msingi
a Box 12
nisa Kat
a Jimbo
brary an
Mbunge
e (Chadeoma Vijijkushoto Sekondarini.
wa ni mb
na zianze
a vya Sh
zilikabi
26.
toliki Ny
o. Kituo
nd Comm
kwa shu
27
ema) ijini, mara ri kwa
inu ya
e ujezi
ule ya
idhiwa
yegina
o hiki
munity
ughuli
-
MbMuho
huMa
MbMuh
Msingna
3.2 SE
Afya nna tijaWanan
bunge waongo (ku
uku akisoaktaba zi
unge wahongo (kgi Rukuba Kiinger
Wa
EKTA Y
nzuri na a. Kwa hnchi wa
a Jimbo lushoto) aoma Oroditakazok
a Jimbo lkushoto) ba (Kisiwreza kwaageni wa
YA AFYA
imara nhiyo, upaa Vijijini
la Musomakiwa na dha ya S
kabidhiwa
la Musomakizindu
wani). Maa ajili ya atakaotem
A
i muhimatikanaji i na zen
ma VijijiWanafu
Shule za Sa vitabu
ma Vijijinua Jengo
Maktaba hWanafu
mbelea K
mu sana kwa Hud
nye gha
ini Prof Sunzi wa SSekondavya Say
ni, Prof o la Makthii ilijazwnzi, WalKisiwa c
kwa utenduma za arama na
Sospeter
Shule ya Mari na Msyansi na K
Sospetertaba katiwa Vitablimu, Waha Ruku
ndaji wa Afya zi
afuu ni
r MwijarMsingi Esingi zenyKiingere
r Mwijarika Shuleu vya Sa
anakijiji nba
kazi ulioilizo karimuhimu
28
ubi Etaro nye eza
rubi e ya
ayansi na
okuwa ibu na u kwa
-
29
utendaji kazi mzuri wenye kuimarisha Uchumi na Ustawi wa Jamii zetu. Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo anaendelea kuwashawishi Wananchi waendelee kutekeleza Ilani ya CCM inayosema kila Kijiji kiwe na Zahanati moja na kila Kata moja iwe na Kituo cha Afya kimoja. Mbunge wa Jimbo, ameshirikiana na Serikali, Wananchi Vijijini, Madiwani, Wazaliwa wa Vijiji husika, baadhi ya Wafanyabiashara Vijijini na Wadau wengiine wa Maendeeo kwenye ujenzi na uboreshaji wa Miundombinu ya Afya Vijijini na kwenye baadhi ya Kata.
3.2.1 VITUO VYA AFYA
Jimbo la Musoma Vijijini lina Jumla ya Vituo viwili vya Afya
vinavyotoa Huduma ambavyo ni: (i) Murangi na (ii) Mugango.
Kituo kipya cha Afya cha Kata ya Nyambono kinaendelea kujengwa.
Katika kuboresha na kuimarisha Miundombinu ya Vituo hivi,
Mbunge wa Jimbo kwa kushirikiana na Serikali, Wananchi pamoja
na Wadau wa Maendeleo amefanya mambo yafuatayo:
3.2.2 KITUO CHA AFYA MURANGI Mbunge wa Jimbo amechangia Jumla ya Mifuko 400 ya Saruji,
Mabati 50 kwa ajili ya ukamilishaji wa Jengo la Mama na Mtoto.
Katika Jitihada hizo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo kwa
kushirikiana na Wadau mbalimbali ikiwemo Serikali ya Japan
iliyochangia Jumla ya fedha za Kitanzania Shilingi Milioni 170,
wamefanikiwa kupanua Kituo hiki. Fedha kutoka Serikali ya Japan
zilitumika kujenga nyumba moja kubwa kwa ajili ya wafanyakazi
-
wawil
na ch
Serika
Ubalo
za ku
mzuri
Sehemcha A
li (two in
hoo cha
ali ya Ja
zi wa A
ubebea w
wa Mbu
mu ya CAfya Mur
n one), ki
wagonj
apan ilito
Australia
wagonjw
unge wa
Chumba crangi ba
ichomea
jwa che
oa Gari l
nchini u
wa. Misa
Jimbo n
cha kutolaada ya k
a taka, sh
nye ma
la Wago
ulitoa vif
ada yote
a Wafad
lea Hudukufanyiw
kisasa
himo la k
atundu m
onjwa (A
faa tiba,
e hii in
dhili wa k
uma ya Uwa mabor
kutupa ko
manne (4
Ambulan
magodo
natokana
ki-Matai
Upasuajiresho ma
ondo la n
4). Vile
nce) ya k
oro na ba
na uele
fa.
i katika Kakubwa n
30
nyuma
e vile,
kisasa.
aiskeli
ewano
Kituo na ya
-
BalMkuruYong170 u
Maakitoa
Sosp
lozi wa Jaugenzi wa
golo, wakiuliotolew
atroni waa Shukrapeter Mw
T
apan nchia Halmasisaini Haa na Seri
a Kituo cani kwa Mwijarubi Tiba kwa
ini Tanzashauri ya ti za Mak
ikali ya JaKijij
cha Afya Mbunge Muhong
a ajili ya
ania, MheWilaya y
kubalianoapan. Hiiijini Mura
cha Murwa Jimb
go (kushoa Kituo ch
e Masaharya Musomo ya Msaai ilikuwa tangi
rangi, Nbo la Musoto) baadha Afya M
ru Yoshidma, Nduguada wa Shtarehe 10
Ndugu Sasoma Vijda ya kupMurang
da (kulia)u Flora Rhilingi Mi0 March 2
bina Dajijini, Pr
upokea Vi
31
) na Rajabu
Milioni 2016,
udi rofesa
Vifaa
-
3.2.3 KMbun
Jumla
Zahan
Shilin
Wanan
kuhara
M
3.2.4 KKituo
Nyam
amech
ukami
inahita
KITUO ge wa J
ya Mifu
nati ya M
gi Milio
nchi wa
akisha na
Moja ya M
KITUO hiki kin
mbono, W
hangia M
ilishaji w
ajika.
CHA Aimbo Pr
uko 400
Mugango
oni 400
a Kata y
a kukam
Majengo
CHA Anajengw
Wananch
Mifuko
wa Bom
AFYA Mrof Sosp
ya Saru
o kuwa
kwa aj
ya Muga
milisha uj
o ya Kitu
AFYA NYwa kwa
i na Mb
100 ya
ma la Je
MUGANGeter Mw
uji kwa a
Kituo c
ili ya u
ango zim
enzi huu
uo cha Af
YAMBOmichang
bunge w
a Saruji
engo la
GO wijarubi M
ajili ya u
cha Afy
ujenzi hu
metoa mc
u.
fya cha K
ONO go ya W
wa Jimbo
na No
OPD. M
Muhong
ujenzi w
ya. Serik
uu. NGU
chango
Kata ya M
Wazaliwa
o. Mbun
ondo 8
Michang
go amech
a upanua
kali ilich
UVUKA
mkubwa
Mugango
a wa Ka
nge wa
kwa aj
go zaidi
32
hangia
aji wa
hangia
AZI za
a sana
o
ata ya
Jimbo
ili ya
bado
-
Hatua
3.2.5 ZJimbo
Serika
Zahan
3.2.6 ZZahan
1. Z
2. B
3. B
4. B
5. B
6. C
7. E
a ya Awa
ZAHAN la Mus
ali na Z
nati mpya
ZAHANnati 24 za
Zahanati
Bugunda
Bukima,
Busungu,
Bwai, Kij
Chitare, K
Etaro, Kij
ali ya Uje
NATI ZAsoma Vij
Zahanati
a 13 zina
NATI ZIa Serikal
ya Bugo
, Kijijini
Kijijini B
, Kijijini
jijini Bw
Kijijini C
ijijini Eta
enzi wa K
A SERIKjijini kw
4 za B
ajengwa
NAZOTi zinatoa
oji, Kijiji
i Bugund
Bukima,
i Busung
wai Kwitu
Chitare, K
aro, Kata
Kituo ch
KALI wa sasa
Binafsi
na Wana
TOA HUa Hudum
i cha Bug
da, Kata
, Kata ya
gu, Kata y
ururu, K
Kata ya M
a ya Etar
a Afya c
lina jum
zinazoto
avijiji nd
UDUMAma za Afy
goji, Kat
ya Bwas
a Bukima
ya Bulin
Kata ya K
Makojo
ro
ha Kata
mla ya Z
oa Hudu
dani ya V
A ZA AFya Vijijin
ta ya Bug
si
a
nga
Kiriba
ya Nyam
Zahanati
uma za
Vijiji 13.
FYA ni ni:
goji
33
mbono
24 za
Afya.
-
34
8. Kiemba, Kijijini Kiemba, Kata ya Ifulifu
9. Kigera Etuma, Kijijini Kigera Etuma, Kata ya Nyakatende
10. Kiriba, Kijijini Kiriba, Kata ya Kiriba
11. Kome, Kijijini Kome, Kata ya Bwasi
12. Kurugee, Kijijini Buraga, Kata ya Bukumi
13. Kwikuba, Kijijini Kwikuba, Kata ya Busambara
14. Masinono, Kijijini Masinono, Kata ya Bugwema
15. Mwiringo, Kijijini Mwiringo, Kata ya Busambara
16. Nyakatende, Kijijini Kabegi, Kata ya Ifulifu
17. Nyambono, Kijijini Saragana, Kata ya Nyambono
18. Nyegina, Kijijini Nyegina, Kata ya Nyegina
19. Rukuba, Kisiwani Rukuba, Kata ya Etaro
20. Rusoli, Kijijini Rusoli, Kata ya Rusoli
21. Seka, Kijijini Seka, Kata ya Nyamrandirira
22. Suguti, Kijijini Kusenyi, Kata ya Suguti
23. Tegeruka, Kijijini Mayani, Kata ya Tegeruka
24. Wanyere, Kijijini Wanyere, Kata ya Suguti
-
Ziliyoj
3.2.6.1Katikaamech
(
(
(
(
(v
Zahanatiengwa k
Mbung
1 MICHa kuborehangia M
i) MifuMga
ii) MifuMam
iii) MifuMpy
iv) Vifaajili
v) Kug250,Zah
i ya Kijijkwa michge wa Jim
HANGO esha Zah
MICHAN
fuko 50 yanga (twfuko 100ma na Mfuko 50 yya ya Kigaa vya uya choo
gharamia,000/= kanati mp
ji cha Kighango yambo na W
MINGIhanati zilNGO mba
ya Sarujwo in one)0 ya Sar
Mtoto, Zahya Sarujigera Etuujenzi (so cha Zaha samankwa ajili pya ya K
igera Etu WanancWadau w
INE YA lizotajwaalimbali
ji kwa a) katika Z
ruji kwahanati yai kwa aji
uma ink, non
hanati yani (viti,
ya FundKijiji cha
uma, Katchi, Wazwengine w
MBUNGa hapo juambayo
ajili ya uZahanatia ajili ya Bukimaili ya uka
ndo, wava Masino, meza di wa kuMwiring
ta ya Nyazaliwa wawa Maen
GE WAuu, Mbuni pamo
ujenzi wi ya Kuru
ya ujenzia amilishaj
vu na mono
na kuutengenego
akatendea Kijiji hndeleo
A JIMBOunge wa oja na:
wa Nyumugee i wa Wa
ji wa Za
mabomba
ulipa Sheza sama
35
e hicho,
O Jimbo
mba ya
adi ya
ahanati
a) kwa
hilingi ani) za
-
(v
(v
Darubwa MDerick
Mbun
kwa
3.2.7 Z((
((
vi) KukEtum
vii) Kuk
bini 2 hizMaendeleo
k Nyaseb
nge wa Jim
Muuguzi
ZAHANi) Bwaii) Mji
Nyaiii) Mugiv) Rwa
kabidhi Dma kabidhi D
zi zimeomo na Mzbwa wa H
mbo la M(
wa Zaha
NATI BIasi SDA,
Wa Huakatende gango KManga KM
Darubini
Darubini
mbwa nazaliwa wHospitali
Musoma Vi(kulia) akanati ya K
(
NAFSI , Kijijini
uruma –
MT, KijMT, Kijij
1 katika
1 katika
a Mbungwa Kijijii ya Uhu
Vijijini, Prkikabidhi Kisiwa cha(kushoto)
i Bwasi, Katolik
ijini Nyaini Kaso
a Zahana
a Zahana
ge wa Jimi cha Ruuru ya Jij
rof SospetDarubinia Rukuba)
Kata ya ki, Kijijin
ang'oma,oma, Kat
ati ya Kij
ati ya Kis
mbo kutousoli, Dajini Mwa
ter Mwijai a, Ndugu J
Bwasi ni Kakis
, Kata yaa ya Nya
jiji cha K
siwani R
oka kwa aktari Banza.
arubi Muh
Jovin Ma
sheri, Ka
a Muganamrandir
36
Kigera
Rukuba
Mdau ingwa
hongo
afuru
ata ya
go rira
-
37
3.2.8 ZAHANATI MPYA ZINAZOJENGWA NA WANAVIJIJI
Baadhi ya Zahanati hizi (k.m Chirorwe, Maneke) tayari zimepokea michango ya fedha za Serikali.
(i) Burungu, Kijijini Bukumi, Kata ya Bukumi
(ii) Butata, Kijijini Butata, Kata ya Bukima
(iii) Bwai Kwitururu, Kijijini Bwai Kwitururu, Kata ya Kiriba (iv) Chimati, Kijijini Chimati, Kata ya Makojo (v) Chirorwe, Kijijini Chirorwe, Kata ya Suguti
(vi) Kakisheri, Kijijini Kakisheri, Kata ya Nyakatende (vii) Kurukerege, Kijijini Kurukerege, Kata ya Nyegina
(viii) Kurwaki, Kijijini Kurwaki, Kata ya Mugango (ix) Maneke, Kijijini Maneke, Kata ya Busambara (x) Mkirira, Kijijini Mkirira, Kata ya Nyegina
(xi) Mmahare, Kijijini Mmahare, Kata ya Etaro (xii) Nyasaungu, Kijijini Nyasaungu, Kata ya Ifulifu
(xiii) Nyegina, Kijijini Nyegina, Kata ya Nyegina
Ili kuharakisha ujenzi wa Zahanati mpya 13 zinazojengwa Jimboni, Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo tayari amechangia MICHANGO mbalimbali ikiwa ni pamoja na Saruji kati ya Mifuko 50 na 350 kwa kila Zahanati zote zinazojengwa kasoro mbili (2) tu ambazo bado zipo hatua za awali za matayarisho. Mbunge wa Jimbo pia amechangia Nondo 40 katika Zahanati ya Nyasaungu.
-
WaProfes
Mbunna
3.2.9 UWananJimbo
nanchi wsa Sospe
nge wa JiWananc
UJENZInchi na la Muso
wa Kijiji eter Mwij
uezek
imbo, Prchi wa K
I WA HViongozoma Vij
cha Kurjarubi Mkaji wa Z
rof SospeKijiji cha
Ujenzi w
OSPITAzi wa ngijini, wa
rwaki paMuhongo Zahanati
eter MwijNyasaun
wa Zahan
ALI YA gazi mbaanaishuku
amoja nawakiwa
i ya Kurw
ijarubi Mngu baadnati yao
WILAYalimbali uru sana
Mbunge kwenye waki
Muhongoda ya Ha
YA akiwem
a Serikal
e wa JimHaramb
o akizungarambee
o Mbunli yao ch
38
mbo, bee ya
gumza ya
ge wa hini ya
-
UongoShilininayojSugutiwamekwa Jim
M
3.2.10WA CMbunuhusiakuwaomatibatano k K Z Z
ozi wa gi bilionjengwa ki, Kata ykubalian
mbo yuko
Moja ya MKitongoj
0 MATIBCHINA ge wa Jano wakomba Mabu kwa
kama ifuaKituo chaZahanati Zahanati
Rais Dkni 1.5 kkwenye
ya Sugutina kuchao tayari k
Majengo oji cha Kw
BABU K
Jimbo, Pke mzur
Madaktaria Wanavatavyo: a Afya Mya Mugaya Nyak
kt John kwa ajili
Kitongoi. Wananangia Shikuchang
ya HospKwikonero
KUTOK
Prof Sosi na Wi Bingwvijiji Jim
Murangi, ango, Jukatende,
Joseph i ya ujeoji cha nchi kupiilingi M
gia ujenzi
pital ya Wo, Kijijin
KA KWA
speter MWataalamuwa wa Cmboni. Hu
Marchi ni 25-26Julai 22-
Pombe enzi wa Kwikonitia Vionilioni 2i huu mu
Wilaya inni Suguti
A MADA
Mwijarubiu wa C
China kuuduma h
6-7, 2016, 2016, -23, 201
MagufuHospita
ero, katngozi wakila Kiji
uda ukiw
nayojengi, Kata ya
AKTARI
i MuhonChina nautoa burhizo zim
16,
6,
uli kwa ali ya Wika Kijij
a Kata naiji na M
wadia.
gwa katika Suguti
I BINGW
ngo amea Serikalre hudum
metolewa
39
kutoa Wilaya ji cha
a Vijiji Mbunge
ka
WA
etumia li yao ma za a mara
-
Z Z
Prof wa
Dakta
Zahanati Zahanati
Muhongoaliowasili
Zahan
ari Bingw
ya Nyamya Kwik
o akiwatai Jimboni
nati ya Mu
wa kutokkwenye
mbono, Mkuba, Me
ambulishai kwa ajiliugango. H
ka nchiniZahana
Mei 7-8, ei 9-10, 2
a Madaktai ya kutoaHii ilikuw
i China ati ya Kij
2017, 2017.
ari Bingwa huduma
wa tarehe
akimchuniji cha K
wa kutokaa za matib25-26/06
nguza mKwikuba
a nchini Cbabu katik6/2016
toto mgo
40
China ka
onjwa
-
3.2.11(AMBKwa k
Sospet
ya W
kweny
Kurug
Nyaka
Garlilikab
1 MAGABULANCkipindi c
ter Mwij
Wagonjwa
ye Zaha
gee (Kat
atende (K
ri la kisabidhiwa n
M
ARI YA CES) cha Mia
jarubi M
a na kuy
anati za
ta ya B
Kata ya I
asa la Wana Mbun
Mwijarubi
KUBEB
aka Mita
Muhongo
yagawa
Vijiji v
Bukumi),
Ifulifu)
Wagonjwange wa Ji Muhong
BEA WA
atu na N
ameleta
katika
vya Ma
, Mugan
a la KituoJimbo la Mgo, tareh
AGONJW
Nusu, Mb
a jumla y
Kituo c
sinono
ngo (Ka
o cha AfyMusomahe 10 Ma
WA
bunge w
ya Maga
ha Afya
(Kata y
ata ya M
fya Muraa Vijijini achi, 201
wa Jimbo
ari Matan
a Muran
ya Bugw
Mugang
angi ambProf Sos
16
41
o, Prof
no (5)
ngi na
wema),
go) na
balo speter
-
GaSospe
MbMuMku
ari la Waeter Mwij
unge wahongo (kurugenzi
katika
agonjwaijarubi M
imepan
a Jimbo lkulia) aki wa HalmZahanat
a lililokabMuhongonuliwa n
la Musomkikabidhimashaurti ya Nya
bidhiwa katika Z
na kuwa K
ma Vijijini Nyarakri ya Musakatende
na MbunZahanatiKituo ch
ni, Prof ka za Garsoma, Nd
e iliyopo
nge wa Ji ya Mugha Afya
Sospeterri la Wag
Ndugu FloKata ya
Jimbo Prgango am
r Mwijargonjwa kora YongIfulifu
42
rof mbayo
rubi kwa golo
-
MbuakikabBugw
Ann
MbM
Halma
wakiw
unge wa bidhi Ga
wema. Kuney akifu
unge waMuhongoashauri yya Muso
wakabidh
Jimbo, Pari la Waulia ni Mkuatiwa na
Mus
a Jimbo lo (wa kwya Musooma, Dkhi Gari l
Prof Sospagonjwa
Mkuu wa Wa Mkurugsoma, Nd
la Musomwanza kul
ma, Ndukt. Vicentla Wagon
peter Mwkatika ZWilaya ygenzi wa
Ndugu Flo
ma Vijijinlia) akifu
ugu Florat Naano Anjwa la ZBukumi
wijarubi Zahanati yya Musoma Halmasora Yong
ni, Prof uatiwa naa YongolAnney (wZahanati
Muhongya Masi
ma, Dr Vshauri yagolo
Sospetera Mkurulo na Mkwa pili ki ya Kuru
go (kushonono, Ka
Vincent Na Wilaya
r Mwijarugenzi wakuu wa Wkushoto) ugee, Ka
43
oto) ata ya
Naano a ya
rubi a
Wilaya
ata ya
-
3.2.12Moja mikubNationtiba kaimechMugan
Benki Kutok
Rajab Benk
4 HUD
4.1 SEMbunkushirameenuzalish
2 MICHAya Ma
bwa katiknal Micratika Zah
hangia vngo.
ya NMB ikka kushotoYongoro, M
ki ya NMB Miradi na
DUMA Z
EKTA Yge wa rikiana nndelea khaji husu
ANGO Yashirika ka kuinuofinancehanati zaitanda v
kitoa vifaao ni MkurugMkuu wa WTawi la MUwajibika
ZA KIU
YA KILIJimbo,
na Serikakuishirikusani ku
YA MAambayo
ua Maene Bank (Na Jimbo vitano n
a tiba na vigenzi wa HWilaya ya M
Musoma, Ndaji kwa Jam
UCHUM
IMO, UVProf S
ali kupitikisha Jaupitia Kil
SHIRIKo yamekdeleo yaNMB). Bla Muso
na mago
tanda vitanHalmashauMusoma, D
dugu Sebasmii wa Ben
MI
VUVI NSospeteria Halmaamii kalimo, Uv
KA YA Ukuwa yaa Jimbo Benki hiima Vijij
odoro ka
no kwenyeuri ya MusoDr Vincentstian Kayanki ya NMB
NA UFUGr Mwijaashauri yatika kuvuvi na U
UMMA akitoa mla Musoi imekuwini; kwa
atika Kit
e Kituo chaoma Vijijint Naano An
aga pamojaB, Bi Lilian
GAJI arubi Mya Wilayushiriki Ufugaji
michangooma Vijijwa ikitoaa mfano, tuo cha
a Afya Mugni, Ndugu Fnney, Mena na Menejn Kisamba
Muhongoya ya Mu
shughuili kuim
44
o yao jini ni
a vifaa NMB Afya
gango. Frola eja wa ja wa
a
kwa usoma uli za
marisha
-
45
kipato cha kaya na cha mtu mmoja mmoja, kutoa AJIRA kwa Wanavijiji wakiwemo Vijana. 4.1.1 KILIMO
Jimbo la Musoma Vijijini lina takribani Kaya 52,830, kati ya hizo Kaya zinazotegemea kilimo ni 42,264 ambayo ni sawa na Asilimia 80 ya Kaya zote. Kaya nyingine 10,566 ambayo ni sawa na Asilimia 20 zinajihusisha na shughuli nyingine za kiuchumi. Kwa hiyo, Sekta ya Kilimo ndiyo uti wa mgongo wa uchumi kwa wakazi wa Musoma Vijijini ambao wanajishughulisha na kilimo cha mazao mbalimbali yakiwemo:
(i) Mazao ya chakula: mihogo, mtama, mahindi, mpunga, viazi vitamu, matunda na mbogamboga
(ii) Mazao ya biashara: pamba, alizeti, mpunga, mahindi, mihogo, matunda na mbogamboga
4.1.2 KILIMO CHA UMWAGILIAJI Sehemu ya Fedha za Mfuko wa Jimbo ya Mwaka 2015/2016, ilitumika kununua Vifaa vya Kilimo cha Umwagiliaji ambavyo viligawiwa bure kwenye VIKUNDI 15 vya Wakulima, wengi wao wakiwa Vijana. Pampu 15, mipira yake, na mbegu viligawiwa.
-
MbMuho
KikunBwaskati
4.1.3 MMradi
ulionz
unge waongo (ku
Vikund
ndi cha Nsi baada yVikundi
MRADIi mkubw
zishwa n
a Jimbo lulia) akikdi 15 vya
No Sweatya kuvun15 vilivy
I WA BOwa wa Ki
na Baba
la Musomkabidhi PWakulim
t No Swena matikyopokea
Mfuk
ONDE Llimo cha
wa Tai
ma VijijinPampu 1ma wa K
eet kilichkiti maji sPampu zko wa Ji
LA BUGa Umwag
ifa, Hay
ni, Prof 5, mipira
Kilimo ch
hopo Kijijshambanzilizonunimbo
GWEMAgiliaji w
yati Mw
Sospetera yake n
ha Umwa
ijini Buguni mwao.nuliwa kw
A wa Bonde
walimu J
r Mwijara mbegu
agiliaji.
unda, Ka. Hiki ni wa Fedh
e la Bugw
. K. Ny
46
rubi u kwa
ata ya moja
ha za
wema,
yerere,
-
47
unafufuliwa. Kilimo cha umwagiliaji kwenye Bonde la Bugwema
lenye ukubwa wa Ekari 5,075 utakuwa wa ushirika kati ya
Wanavijiji, Halmashauri na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania
(TADB).
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania itajenga miundombinu ya
umwagiliaji kwa ajili ya Wananchi kufanya kilimo cha umwagiliaji
ndani ya Bonde la Bugwema. Mazao yatakayozalishwa kwenye
Bonde hili ni: mpunga, mahindi, vitunguu, dengu, alizeti na pamba.
Aidha TADB itatoa vifaa vya Kilimo kwa Wakulima kwa
Makubaliano ya Mkataba baina ya pande zote. Utaratibu wa
kurejesha Mikopo utahakikisha unawanufaisha Wakulima
watakaokuwa ndani ya Mradi huu. Pembejeo zitakazotolewa na
TADB ni zana za kisasa za kilimo, mbegu na mbolea. Masoko na
huduma nyingine pale zitakapokuwa zinahitajika, navyo vitatolewa
na TADB.
4.1.4 KILIMO CHA ALIZETI Licha ya zao la PAMBA kuwa zao la kibiashara kwa miaka mingi
ndani ya Jimbo la Musoma Vijijini, uzalishaji wake umeshuka.
Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo,
amewashawishi Wakulima Jimboni kuanza kulima zao jipya la
ALIZETI badala ya kutegemea zao la aina moja tu la Pamba.
-
ALIZE
Jimbo
kwa m
kweny
M
M
M
Jumla
9.66
MbMuhoVince
ETI ni z
ni. Mbu
misimu m
ye Kata z
Msimu w
Msimu w
Msimu w
ya Mch
unge waongo (waent Naan
zao amb
unge wa
mitatu m
zote 21 k
wa 2016/2
wa 2017/2
wa 2018/2
hango wa
a Jimbo la pili kulno Anney
M
balo lina
Jimbo, P
mfululizo
kama ifu
2017: Kg
2018: Kg
2019: Kg
a Mbung
la Musomlia) akiway (kushot
Mbegu za
astawi v
Profesa S
o amega
atavyo:.
g 4,682 (
g 4,974 (
g 1,243 (
ge wa Jim
ma Vijijina na Mkto) wakaALIZET
vizuri kw
Sospeter
awa bure
(Tani 4.6
(Tani 4.9
(Tani 1.2
mbo = K
ni, Prof kuu wa Wti wa uzi
TI Jimbon
wenye m
r Mwijar
e mbegu
68)
97)
24)
Kg 9,656
SospeterWilaya yainduzi wani
maeneo m
rubi Muh
u za AL
sawa na
r Mwijara Musoma ugawaj
48
mengi
hongo,
IZETI
a Tani
rubi ma, Dr aji wa
-
Mbun
Wizar
ALIZE
Vionkatik
4.1.4.1Ili kub
Waku
kukam
mnyor
Vijijin
Saraga
ya Mk
ge wa J
ra ya Ki
ETI kwa
ngozi mbka Shule y
1 MITAboresha k
lima, K
mua mb
roro mzi
ni. Mitam
ana. Aid
koa wa M
Jimbo, a
ilimo am
a Msimu
balimbalya Msing
AMBO Ykilimo ch
Kampuni
begu za
ma wa k
mbo hiy
dha, Soko
Mara ziki
anatoa s
mbayo il
wa 2018
li wa Sergi Busek
Kata
YA KUKha ALIZ
2 za W
ALIZE
kilimo ch
yo imeje
o la ALI
iwemo W
shukrani
litoa Jum
8/2019
rikali wakkela iliyopa ya Buk
KAMUA ZETI na k
Watu Bin
ETI ili
ha ALIZE
engwa kw
IZETI lin
Wilaya za
nyingi
mla ya T
kikagua po katika
kumi
MBEGkukifany
nafsi zim
kuonge
ETI kwe
wenye V
napatika
a Musom
kwa Se
Tani 10
Shambaa Kijiji c
U ZA Aya kuwa
mefunga
eza tham
enye Jim
Vijiji vy
ana kwa
ma, Butia
erikali k
za mbe
a la ALIZcha Buse
ALIZETIna mvut
a Mitamb
mani kw
bo la Mu
ya Kusen
uhakika
ama na B
49
kupitia
egu za
ZETI ekela,
I to kwa
bo ya
wenye
usoma
nyi na
ndani
Bunda.
-
MtamKa
4.1.5 KMbali
wame
kwa m
Vijijin
bure M
gunia
M
M
mbo wa kata ya SuALIZET
KILIMOya zao
itikia wi
matumizi
ni, Prof
Magunia
lilikuwa
Mwaka 2
Mwaka 2
kukamuauguti ukiTI inayol
O CHA Mla mihog
ito wa k
ya chak
Sospeter
a 796 ya
a na ping
2016/201
2017/201
a mbegu ziwa tayarlimwa na
MIHOGgo kuwa
kupanua
kula na b
r Mwija
a mbegu
gili 1,000
17: Gunia
18: Gunia
za ALIZEri kwa aj
a Wanan
GO a la chak
a na kub
iashara.
arubi Mu
ya mih
0 na zime
a 446
a 350
ETI katikjili ya kuchi wa M
kula kiku
boresha u
Mbunge
uhongo a
hogo ain
egawiwa
ka Kijiji uzalisha MMusoma
uu Jimbo
uzalishaj
e wa Jim
amenunu
a ya Mk
a bure ma
cha KusMafuta yVijijini.
oni, Wak
ji wa m
mbo la Mu
ua na ku
kombozi
ara mbili
50
senyi, ya
kulima
mihogo
usoma
ugawa
i. Kila
i:
-
Wankwa a
Mkulilililotu
4.1.6 KKatika
Mbun
Wanan
nanchi wajili ya k
ima Masumia mbe
KILIMOa kukab
ge wa J
nchi ku
wa Kata ykulima na
shuhuri wegu aina
O CHA Mbiliana n
Jimbo la
shiriki k
ya Nyegia kuzalis
wa zao laa ya Mko
ya
MTAMAna tatizo
a Musom
katika u
ina wakikha mbeg
hilo.
a mihogoombozi. Ha Murang
A o la upu
ma Vijij
uboreshaj
kabidhiwgu zaidi k
o akipaliHapa ni Kgi.
ungufu
ini, ame
ji wa k
wa mbegkwa matu
ilia shamKijijini M
wa chak
eendelea
kilimo c
gu za mihumizi ya
mba la miMurangi
kula Jim
a kuham
cha mtam
51
hogo eneo
ihogo i, Kata
mboni,
masisha
ma ili
-
kukab
alipok
Mbun
kwa k
misim
F
A
MbMumm
W
4.1.7 UMbun
Muhon
kilimo
iliana n
kea mao
ge wa J
kugawa
mu miwili
Februari
Agosti 20
unge wauhongo (amoja wa WWananch
UBOREge wa J
ngo kup
o wame
a majira
mbi ya
imbo ali
bure mb
i kama if
2017: K
018: Kg
a Jimbo l(aliyevaaWakulimhi katika
ESHAJI Jimbo la
itia vika
epanga k
a ya mv
Wananc
ilipokea
begu za
fuatavyo
g 900 (T
6,800 (T
la Musom flana ny
ma baadaKijiji ch
WA ZAa Musom
o mbalim
kupungu
vua zisiz
chi ya k
ombi hi
mtama
o:
Tani 0.9)
Tani 6.8)
ma Vijijinyeupe - ka ya kukaha Nyaba
ANA ZA ma Vijij
mbali vy
uza utum
zotabirika
kusaidiw
ilo na ku
kwa W
ni, Prof katikati) abidhi mbaengere,
KILIMini, Pro
ya Wanan
miaji w
a. Mbun
wa mbeg
ulitekele
Wakulima
Sospeterakipeanabegu za Kata ya
MO f Sospet
nchi na W
wa jemb
nge wa
gu za m
eza kikam
a Vijijin
r Mwijara mkonomtama kMusanja
ter Mwi
Wataalam
be la m
52
Jimbo
mtama.
milifu,
ni kwa
rubi o na kwa a
ijarubi
mu wa
mkono.
-
53
Taratibu hizo ziinafanyika chini ya usimamizi wa Wataalamu wa
Kilimo ngazi za Vijiji, Kata na Halmashauri kama ifuatavyo:
TREKTA - Vyama vya Msingi vya Ushirika (AMCOS),
Vikundi vya Wakulima na Wakulima binafsi wanashawishiwa
waombe Mikopo ya Matrekta. Ofisi ya Kilimo ya Halmashauri
inatoa ushauri kwa Wakopaji wa Matrekta.
PLAU - Wakulima Vijijini wanashawishiwa waunde Vikundi
vya kilimo vikiwajumuisha Wanavijiji wenye ng'ombe ili
majembe (PLAU) ya kukokotwa na ng'ombe yatafutwe na
kutolewa kwa mkopo. Mbunge wa Jimbo ndiye anayesimamia
zoezi la upatikanaji wa PLAU zitakazohitajika.
4.2 UVUVI
Mbunge wa Jimbo, kwa kushirikiana na Mkuu wa Wilaya ya
Musoma na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Musoma
wameendelea kuwashirikisha Wananchi kwenye Uvuvi Bora
unaozingatia Sheria, Kanuni na Miongozo ya Serikali.
Mbunge wa Jimbo ameshiriki vikao kadhaa vilivyohusisha Wizara
ya Mifugo na Uvuvi vilivyokuwa vikihusisha Wavuvi wanaotoka
maeneo ya Ziwa Viktoria ili kujadili masuala mbalimbali yahusuyo
Sekta ya Uvuvi. Pia, Mbunge wa Jimbo amefikisha Serikalini
-
54
maombi ya Boti ya Doria ambayo ikipatikana itaboresha usalama wa
Wavuvi wa Jimbo la Musoma Vjijini.
4.3 UFUGAJI Serikali kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Musoma imeboresha Sekta ya Ufugaji kwa kutoa Elimu kwa Wafugaji wa Jimbo la Musoma Vijijini kuhusu Ufugaji wa kuku wa nyama na mayai. Katika Halmashauri ya Musoma, Serikali imetoa madawa kwa ajili ya majosho manane (8) na kugawanywa katika majosho manne (4) ya Saragana, Bugwema, Mugango na Bugoji. Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo tayari amefikisha maombi mengine Serikalini ya kuongeza majosho na upatikanaji wa madawa ili kukidhi mahitaji ya Wafugaji na mifugo yao. Pia, Wananchi wamehamasishwa kuchanja mbwa na paka ili kuepuka magonjwa ya mapele ya ngozi, homa ya mapafu na kimeta.
5. MIRADI YA MAJI, UMEME NA BARABARA Mbunge wa Jimbo ameendelea kuiomba Serikali kutekeleza Miradi ya Maji, Umeme na Barabara ndani ya Jimbo lao. Serikali imezidi kupiga hatua kubwa kufikisha huduma hizi kwa Wananchi huko Vijijini.
5.1 MIRADI YA MAJI 5.1.1 MIRADI YA MAJI KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019 (i) MRADI WA BULINGA - BUSUNGU Mradi huu wenye Vijiji vitano (5) vya Bulinga, Bujaga, Busungu, Bukima na Kwikerege umegawanywa kwenye makundi mawili (2 Lots) ili kuharakisha utekelezaji wake kama ifuatavyo:
-
KundBulingajili yKata yCOMPbilionimwak
MaMrad
Kund
Busuncha BBukimUtekevitatu Bukim
di I (Lot ga - Buja kusamya BulinPANY Li). Mrad
ka huu (2
abomba ydi wa Bul
di II (Lot
ngu – BuBujaga nma (Katlezaji w(3) unae
ma - Kw
I) aga: Ma
mbaza kwnga. MraLtd na ghdi huu 019)
yanayoanlinga - B
t II)
ukima - na kusamta ya B
wa Mradiendelea
wikerege:
aji yatachwenye Viadi huu uharama ulizindu
ndaliwa Busungu u
Kwikermbazwa Bukima) i wa usakwa kas: unagha
hukuliwaijiji vya unatekelyake ni
uliwa kw
kwa ajilunaoteke
rege: MaVijijini
na Kwambazajisi ya kurarimu Sh
a kutoka Bujaga ezwa naTsh. 1,8
wenye M
li ya usamelezwa k
aji yatachBusung
wikeregei wa maridhisha. hilingi 1
Kijiji chna Bulin
a Mkand812,675,0Mbio za
mbazaji katika Ka
hukuliwagu (Katae (Kataaji kwenMradi w, 022, 5
ha Bujagnga, vyotdarasi M036 (Tsh
a Mwen
wa maji
ata ya Bu
a kutokaa ya Bula ya Runye Vijijwa Busu531, 876
55
ga kwa te vya EDES h 1.81
nge za
wa ulinga
a Kijiji linga), usoli). ji hivi
ungu – 6 (Tsh
-
1.02 bJV FA
MojMrad
(ii) MMradiSugutiunaen
(iii) MVijiji v (iv) UKUELBaadaambaoMradi
bilioni), uAU CON
a ya Vitudi wa Maj
RADI Wi huu utai, Kusendelea.
MRADI Wvitakavy
UPANULEKEA a ya kuko awali i huu sas
unatekelNSTRUC
uo 18 vyaji wa Bu
WA WANahudumianyi, Wan
WA MAyohudum
UZI WABUSEK
kamilika ulikuwasa unapa
lezwa naTION L
a kuchotulinga - B
NYEREa Vijiji v
nyere na
AKOJO –miwa na M
A MRAKELA
kwa Ma unahudanuliwa
a MkandTD.
tea Maji Busungu Bulinga
E vinne vyChirorw
– CHITMradi hu
ADI W
Mradi wadumia Vkueleke
darasi ED
vikiendeunaotek
ya Kata ywe. Utek
ARE uu ni: Ma
WA BUK
a Maji wVijiji vya
a Kijiji
DM NET
elea kujekelezwa k
ya Sugukelezaji w
akojo na
KUMI
wa Bukua Bukumcha Bus
TWORK
engwa kakatika Ka
uti ambavwa Mrad
Chitare.
- BUR
umi – Bmi na Bsekela. H
56
K LTD
atika ata ya
vyo ni di huu
.
RAGA
Buraga uraga,
Hivyo,
-
57
baada ya upanuzi huu kukamilika, Mradi utakuwa unahudumia Vijiji vitatu ambavyo ni: Bukumi, Buraga na Busekela, vyote vya Kata ya Bukumi.
(v) MRADI WA BADEA (MUGANGO – KIABAKARI – BUTIAMA) Mradi huu wa Bomba la Maji safi na salama la kutoka Ziwa Viktoria (Mugango, Musoma Vijijini) hadi Wilaya ya Butiama (Kiabakari – Butiama) utaanza kutekelezwa mwaka huu (2019). Vijiji vya Kata za Mugango na Tegeruka vitakuwa vya kwanza kusambaziwa maji kutoka kwenye Bomba hili. Huu ni Mradi mkubwa na muhimu wenye thamani ya Shilingi bilioni sabini (Tsh 70 bilioni au US$ 30.69 million).
(vi) MRADI WA MUWASA Maji yanayozalishwa na MUWASA kutoka Ziwa Viktoria kwa ajili ya Mji wa Musoma ni mengi mno na matumizi yake kwa sasa ni takribani 50% ya maji yanayozalishwa. Kwa hiyo, Serikali imeamua Vijiji vya Jimbo la Musoma Vijijini na Jimbo la Butiama visambaziwe maji hayo ya ziada. Kwa upande wa Jimbo la Musoma Vijijini, Vijiji vyote vya Kata za Etaro, Nyegina, Nyakatende na Ifulifu vitasambaziwa maji hayo na tayari Mradi unatekelezwa.
(vii) MRADI WA MAZIWA MAKUU Vijiji thelathini na tatu (33) vya Jimbo la Musoma Vijijini vilivyoko
karibu na Ziwa Viktoria, vimo kwenye Mradi huu. Usanifu
umekamilika na Serikali inajipanga ianze utekelezaji wake.
-
58
5.1.2 MIRADI YA MAJI AMBAYO USANIFU UMEKAMILIKA
(i) MRADI WA MIKUYU Katika utekelezaji wa Mradi huu, maji yatachukuliwa Kijijini Chumwi na kusambazwa kwenye Vijiji vinane (8) ambavyo ni Chumwi, Mikuyu, Mabui Merafuru, Nyambono, Saragana, Kanderema, Bugoji na Kaburabura.
(ii) MRADI WA BUGWEMA Vijiji vitakavyohudumiwa na Mradi huu ni Bugwema, Masinono, Muhoji na Kinyang'erere, vyote vya Kata ya Bugwema. Miradi hii miwili ambayo usanifu wake umekamilika (Mradi wa Mikuyu na Mradi wa Bugwema), imewasilishwa Serikalini na Mbunge wa Jimbo anafuatilia upatikanaji wa fedha za utekelezaji wake. Vilevile, Mbunge wa Jimbo kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, amewasilisha Serikalini Ombi la Mradi wa Visima 20.
5.2 MRADI WA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI (REA) Serikali kupitia Wakala wa Usambazaji wa Umeme Vijijini (REA) imepiga hatua kubwa ya usambazaji wa umeme katika Vijiji vya Jimbo la Musoma Vijijini ambapo hadi kufikia Juni 2019, Jumla ya Vijiji 63 kati ya Vijiji 68 tayari vimeshapata umeme. Pia jumla ya Vitongoji 149 kati ya Vitongoji 374 vimeshapatiwa umeme
Hata hivyo, katika hatua ya utekelezaji wa Mradi wa REA III Awamu I, kwa upande wa Musoma Vijijini, Jumla ya Vijiji vinavyotakiwa kusambaziwa umeme ni 30, ambavyo tayari vimewashwa ni 7. Aidha Vijiji vinavyotarajiwa kuunganishiwa
-
umemKakishNishatSerikavitapa
Waz
Kijijin
ute
me kwa heri, Nyti, Mhe ali isemaatiwa um
ziri wa N
ni Nyaka
kelezaji
mwezi wyang’om
Dkt Mayo Viji
meme ifik
Nishati, M
tende, K
wa Mrad
wa Julaia, Kuruk
Medard Kiji vyote
kapo mw
Mhe Dkt
Kata ya N
di wa Um
Mus
i 2019 kerege n
Kalemanie 68, naakani (20
Medard
Nyakaten
meme wa
soma Vij
ni vinnena Kigeri alirudia Vitong020).
d Kalema
de waka
a REA III
jijini
e (4). Vra Etumia kusisigoji vya
ani akiwa
ati alipok
II ndani y
Vijiji hivma. Waziitiza ahake vyot
asha ume
kuwa akik
ya Jimbo
59
vyo ni iri wa adi ya e 374
eme
kagua
o la
-
60
5.3 MIRADI YA BARABARA 5.3.1 UJENZI WA BARABARA YA LAMI (TANROADS) Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Mwijarubi Muhongo kwa jitihada zake za kushirikiana na Serikali ya Awamu ya Tano, amekuwa akifuatilia kwa ukaribu sana Mradi huu wa Barabara ya Lami ya Musoma – Mugango – Makojo - Busekela. Hivyo, Jimbo la Musoma Vijijini limepiga hatua kubwa sana hasa ile ya kupata, "No Objection" kutoka Wizarani - yaani Wizara imeridhia Mradi huo utekelezwe. Mbunge wa Jimbo anafuatilia kila hatua ya matayarisho na anawasiliana na ngazi zote za Serikali. Ahadi ya Rais wetu, Mhe Dkt John Pombe Joseph Magufuli ya kujenga barabara hili la Kilomita 92 kwa kiwango cha lami imeanza kutekelezwa.
5.3.2 MATENGENEZO YA BARABARA (TANROADS) Jimbo la Musoma Vijijini lina barabara mbili zinazohudumiwa na TANROADS ambazo ni Musoma - Mugango - Makojo - Busekela. Fedha za matengenezo ya kawaida zimeendelea kuwepo kwenye Bajeti za Serikali za kila Mwaka.
Barabara ya pili ni ile ya Murangi – Bugwema – Manyamanyama (Bunda) ambayo imeendelea kuhudumiwa na TANROADS kwa matengenezo ya mara kwa mara. Barabara hii inapitika mwaka mzima.
-
MbunkuhakSerika
5.3.3 BBarabBarabhizi ziMatenMbunikiwem
NaiEdwincha Bu
ge wa Jimkikisha kwalini kwa
BARABara zoteara Vijijinatenge
ngenezo ge wa Jmo ufuat
bu Wazin Ngonyaukima (h
M
mbo anawamba ba mateng
BARA VIe za Vijijini (TA
enezwa nhayo ni Jimbo atiliaji wa
ri wa Ujani (aliyhawapo pMusoma
ashirikianbarabara genezo ya
IJIJINI ijini kwRURA)
na zinapipamoja
anawasilia Bajeti y
jenzi, Ucesimamapichani) – Muga
na na TAkuu hizi
ake.
(TARUa sasa zna wana
itika kwna ujenziana na yao (TAR
chukuzi na) akizunkuhusu
ango – M
ANROADi za Jimb
URA) zinahuduajitahidi
wa urahiszi wa ma
TARURRURA) n
na Mawangumza nujenzi w
Makojo - B
DS kwa bo zinapa
umiwa nkuhakik
si kwa madaraja yRA kwandani ya
asiliano, na Wana
wa barabaBusekela
karibu sata Bajet
na Wakakisha bar
mwaka myaliyohara karibua Serikali
Mhe Injianchi wa ara ya laa
61
ana ti
ala wa rabara
mzima. ribika.
u sana i.
inia Kijiji
ami ya
-
6. USAIli kurshughuMwijaJimboifuatav
(i) KEna kuVijijin(ii) TIVijijinHalmawafan
Gari (Prof
AFIRI Jrahisishauli nyinarubi Muni kwa vyo:
ENTA 1:toa usaf
ni. IPA 1: Kni. ashauri n
nya kazi w
(KENTA)f Sospeter
JIMBONa zoezi langine zauhongo a
ajili y
: Kwa ajifiri kwa
Kufanya
nayo wawake na
) iliyotolr Mwijar
NI (MAGa usafirisa Jimbo,alinunua
ya shugh
ili ya usowenye
shughul
anatumiakwa shu
lewa na Mrubi Muh
GARI Yhaji wa v, Mbung MAGA
huli za
ombaji wmahitaji
i za ujen
a MAGAughuli za
Mbungehongo kw
YA MBUvifaa mbge wa J
ARI mawMaende
wa vifaa i ndani
nzi ndani
ARI hayake za uje
e wa Jimbwa ajili y
UNGE) balimbaliJimbo, P
wili (2) neleo ya
mbalimbya Jimb
i ya Jimb
ya kwa enzi na n
bo la Muya shugh
i vya ujeProf So
na kuyakJimbo
bali vya bo la Mu
bo la Mu
uhamishnyingine
usoma Vihuli za Jim
62
enzi na ospeter abidhi kama
ujenzi usoma
usoma
ho wa ezo.
Vijijini, mbo.
-
GariProf
7. UTUKatikaMbunMuhonVincenVedasInitiatkwa aVijijinMICH
i (TIPA) f Sospeter
UNZAJa zoezi ge wa Jngo kwant Naan
stus Mative (ND
ajili ya kni na MitHE ya mi
iliyotoler Mwijar
JI WA Mzima l
Jimbo laa kushiro Anneythayo nI), wamekupandwtaa ya Miti zaidi y
ewa na Mrubi Muh
MAZINGla kupama Musomrikiana ny, Mbun
na Kikuneanzisha
wa katikaMusoma Mya Milion
Mbunge whongo kw
GIRA mbana nma Vijijna Mkuunge wa Jndi cha a Mradi wa Vijiji Mjini. Mni kumi
wa Jimbowa ajili y
na mabini, Pro
u wa WJimbo la
Wana wa uotesvyote v
Mradi huu(10).
o la Musya shugh
adiliko f Sospet
Wilaya ya MusomNyanja
shaji wa vya Jimbu unakus
soma Vijhuli za Jim
ya tabiter Mwia Musom
ma MjiniDevelopmiche y
bo la Musudia kuo
63
ijini, mbo.
ianchi, ijarubi ma Dr , Mhe pment
ya miti usoma otesha
-
Mkuk
Kumuupan
8. MICMbunMuhonMusom 8.1 KUKwenywa JimVijiji.
uu wa Wikatika zousoma ikndaji wa
na
CHEZOge wa Jngo amma kwen
UDUMIye mipanmbo, am
ilaya ya Moezi la upkiwa ni ismiti katimaeneo
O NA UTJimbo la
meendeleanye masu
ISHA NAngo ya k
meunda M
Musomapandaji mshara ya ika maenya Taas
TAMADa Musoma kushiruala ya M
A KUKUkudumishMabaraz
a, Dr Vinmiti katikUhamas
neo mbalsisi za Se
DUNI ma Vijijrikiana nMichezo
UZA UTha na kukza ya W
ncent Naka Shulesishaji wlimbali yerikali na
ini, Prona Wanna Utam
TAMADkuza utamazee kat
ano Anne ya Msinwa Wanaya makaza za Bina
f Sospetnanchi wmaduni.
DUNI maduni wtika ngaz
ney akishngi Bwainchi kus
zi, mashaafsi
ter Mwiwa Wilay
wetu, Mzi ya Ka
64
hiriki i shiriki amba
ijarubi ya ya
Mbunge ata na
-
MabarUshawkushawKata utamaVileviNGOMWaku MashiMbunzawadSospet
MbMu
Wil
raza haywishi, Uwishi utzao. V
aduni wetile, MbunMA za lima ya N
indano yge wa Ji
di na mtter Mwij
unge wauhongo (laya wak
yaliyofa
ya yanajuUtamaduntekelezajVilevile, tu wa asinge wa JASILI
NANEN
ya KUPIimbo. Wtayarishajarubi M
a Jimbo l(wa tatu kishuhudifanyika k
ulikana ni na Mi wa M
yanatoili. Jimbo am
ya kilaNANE.
IGA KAWashindi aji wake
Muhongo.
la Musomkushoto)ia Mashi
katika Kij
kama, “Maadili”.iradi ya a ushau
meanzisha mwak
ASIA nawa masambaye
.
ma Vijijin) akiwa nindano yjiji cha S
“Baraza . Kazi Maende
uri kwe
ha mashika kushe
ayo yaposhindanoe ni Mb
ni, Prof na Viongya KwayaSuguti, ta
la Wazeyake nieleo kweenye ud
indano yeherekea
o na yao yote habunge w
Sospeter
gozi mbaa na Ngoarehe 8/8
ee la Usi kushauenye Vijdumishaj
a KWAYa Sikuku
alianzishwaya wanaa Jimbo
r Mwijaralimbali woma za A8/2016.
65
shauri, uri na jiji na ji wa
YA na uu ya
wa na apewa
o, Prof
rubi wa
Asili
-
KikMash
Kikwa
kundi chaindano y
ikundi chanza kati
20
a KIWAJya Shere
ha Kwayika Mash016 katik
JAKI kutohe za Na
8
a kutokahindano yka Kijiji c
oka Kataanenane 8/8/2016
a Kata yaya Nanecha Sugu
a ya KiriKijijini S
6
a Bugoji enane yauti, Kata
iba kikishSuguti. I
kilishikaliyofanyi
a ya Sugu
hiriki katIlikuwa ta
a nafasi yika Agosuti
66
tika arehe
ya st 8,
-
MweMag
akika
8.2 MMbun
Muhon
Miguu
kuhak
kupata
Katika
Wafad
micha
K
k
enyekiti wgoma (k
abidhi za
MPIRA Wge wa J
ngo ni M
u amba
kikisha ti
a ushindi
a eneo
dhili Wa
ango aliy
Kulipia k
kwa wach
wa Halmkushoto) aawadi kw
Kup
WA MIGJimbo la
Mshiriki m
apo am
imu zetu
i.
hili, M
akuu wa
yotoa kwa
kodi ya p
hezaji.
mashauriambaye p
wa Washipiga Kasi
GUU a Musom
mzuri ka
mekuwa
u zinache
Mbunge
a Timu y
a Timu h
pango na
i ya Wilaypia ni D
indi wa kia tarehe
ma Vijij
atika ma
akitoa
eza katik
wa Jim
ya Biash
hii ni:
a kununu
aya ya MDiwani wakwanza ke 31/12/2
ini, Pro
asuala ya
micha
ka mazin
mbo ame
hara Uni
ua magod
Musoma,Ma Kata ykatika M2016
f Sospet
a mchezo
ango m
ngira ya
ekuwa n
ited Ma
doro, mit
Mhe Chaya Mugan
Mashindan
ter Mwi
o wa Mp
mbalimba
kuridhis
ni mmo
ra. Baad
to na ma
67
arles ngo no ya
ijarubi
ira wa
ali ili
sha na
oja ya
dhi ya
ashuka
-
K K K
Kwa ujezi kwMbali VijijinMashivipaji kuchundani
Wachamb
Kutoa moKununuaKuchang
upande mwa timu
na Timni anataraindano yna hatim
ukuliwa nna nje ya
hezaji wabayo ina
otisha kwa chakulaia usafiri
mwinginezote za V
mu hiyo ajia kuunya vijanamaye kuna Timu a nchi.
a Timu yashiriki L
wa wacha cha waci wa wac
e, MbunVijana kaya Bias
nda Tima Vijijin
uwa na hya Biash
ya MpiraLigi kuu y
ezaji na chezaji nchezaji n
ge wa Jiatika Vijshara, M
mu ya Jimni, Katanhazina khara Unit
a wa Migya Tanza
viongozna viongona viongo
imbo amjiji vyote
Mbunge wmbo la Mni hadi
kubwa yated na tim
guu ya Bania Bar
i wote ozi wao ozi wa T
mewahi kue 68 na mwa Jimb
Musoma VJimbo ka vijana mu nying
iashara ra (TPL),
Timu
utoa mipmashulenbo la MuVijijini kkwa kuc
watakaogine kub
United M, 2018/20
68
pira na ni. usoma kupitia chagua oweza
bwa za
Mara 019
-
69
9. USHIRIKI KWENYE MASUALA YA KIJAMII
Mbunge wa Jimbo amekuwa mstari wa mbele katika kuguswa na kushirikiana na Jamii yake hasa katika matatizo mbalimbali kama ya maafa na misiba. Yafuatayo ni baadhi ya MATUKIO ambayo Mbunge wa Jimbo ameweza kuwafikia na kuwasaidia Wananchi Vijijini mwao: (i) Kutembelea na kuzipa pole familia 5 za Kijiji cha Kiemba
zilizokumbwa na adha ya kubomokewa na nyumba na nyingine kuezuliwa mapaa. Mbunge wa Jimbo alichangia mabati, saruji na misumari kwa ajili ya kujenga nyumba zilizobomoka.
(ii) Kuwapa pole waathirika wa kimbunga katika Kijiji cha Bukima, Kata ya Bukima na kutoa msaada wa mabati, mbao, saruji na misumari kwa familia moja ya mama mzee (mjane).
(iii) Kuwatembelea waathirika wa mafuriko na kimbunga katika Vijiji vya Busekela, Bukumi, Rusoli, Buanga na Kastam ambapo alitoa msaada wa chakula kwa familia 11 za Kijiji cha Bukumi.
(iv) Kuwapa pole waathirika wa mvua iliyoambatana na upepo mkali katika Kata ya Ifulifu. Alitoa msaada wa chakula kwa kaya zipatazo 45 ambazo nyumba zao ziliezuliwa na mazao kuharibika mashambani.
(v) Kutoa msaada wa taa na chaja za simu zinazotumia Mionzi ya Jua kwa familia tatu zilizopata matatizo ya kimbunga Kijijini Kiemba.
-
70
(vi) Kuwapa pole waathirika wa kimbunga Kijijini Kurukerege, Kata ya Nyegina na kutoa msaada kwa Mama Mjamzito aliyeangukiwa na ukuta na kumpatia msaada wa Tsh 200,000/= kwa ajili ya matibabu.
(vii) Kutoa misaada ya sare za Shule kwenye Vijiji vya Seka, Wanyere, Murugee na mchango wa Ada kwa Familia zisizo na uwezo.
(viii) Kuwapa pole waathirika wa kimbunga na kutoa msaada wa gharama za matibabu kwa waathirika wa mbwa mwenye kichaa katika Kijiji cha Masinono, Kata ya Bugwema.
(ix) Kutoa rambirambi katika misiba mbalimbali ya viongozi wa Chama na Serikali na wananchi wengine.
(x) Kutoa msaada wa gharama za matibabu kwa wagonjwa mbalimbali wasio na uwezo hasa wazee pale ilipowezekana.
(xi) Kutoa msaada wa gharama za kilimo kwa familia zisizo na uwezo ili kuziongezea uwezo wa kupata chakula.
(xii) Kutoa misaada ya usafiri na matengenezo ya vyombo vya usafiri kwa wazee na familia zenye watu wenye ulemavu.
(xiii) Kutoa misaada ya kujikimu kwa wazee na familia mbalimbali zisizo na uwezo.
(xiv) Kugharamia ujenzi wa nyumba ya familia ya watu wenye ulemavu wa ngozi Kijijini Kiriba.
-
Mbuakitoa
Mbun(aliyevkwa m
unge wa a maelek
ya Joh
nge wa Jimvaa fulanmoja ya fa
Jimbo, Pkezo ya kuhnson Ny
mbo la Ma ya kijan
familia zil
Prof Sospukamilisyeura (ka
Musoma Vini katikatlizopatwa
y
peter Mwsha ujenzatikati al
Vijijini, Prti) akikaba na maafya Ifulifu
wijarubi zi wa nyuliyeshika
rof Sospetidhi msaafa katika Ku
Muhongumba ya a kinasa
ter Mwijaada wa mKijiji cha
go (kushokuishi fasauti)
arubi Muhmabati na a Kabegi,
71
oto) familia
hongo saruji Kata
-
MbuMuho
10. KUMbun
Muhon
mbalim
Sikuku
mwa
Ramad
(Wakr
unge wa ngo akiw
mar
USHIRIge wa J
ngo ame
mbali w
uu zao z
Sikukuu
dhan na
risto)
Jimbo lawa na bara baada
IKIANAJimbo la
ekuwa ak
wakiwem
zinazotam
u hizo ni
Sikuku
a Musomaadhi ya a ya kuw
A NA MAa Musom
kiungana
mo Waisl
mbulika
i pamoja
ya Idd E
ma VijijinWanancapatia ch
ADHEHma Vijij
a pamoja
lamu na
kwa mu
a na Mfu
El Fitr (W
ni, Prof. chi wa Vijhakula c
HEBU Yini, Pro
a na Wa
a Wakris
ujibu wa
fungo wa
Waislam
Sospeterijiji vya Kcha msaa
A DINI f Sospet
aumini w
stu katik
a imani z
a Mwezi
m), Pasak
r MwijarKata ya Iada.
ter Mwi
wa Madh
ka kuazi
zao. Mio
i Mtuku
ka na Kri
72
rubi Ifulifu
ijarubi
hehebu
imisha
ongoni
ufu wa
ismasi
-
WauMs
Katikaameku F
R N
(W M
mP
umini wasikiti wa
a Sikukuuwa akicFutari yRamadhaNg’ombeWaislam
Mchele, mbalimbaPasaka na
a Dini yaBusekela
uu z