historia kuu ya afrika, toleo lililofupishwa, v. vi: afrika kwenye karne

419
Kamati ya Kisayansi ya Kimataifa ya UNESCO kwa ajili ya Kusawidi Historia Kuu ya Afrika HISTORIA KUU Y A AlKIIvA* Lililofupishwa VI Afrika kwenye Karne ya Kumi na Tisa hadi miaka ya 1 880. M HARIRI J. F. ADE A]AYI TUKI"- CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM UNESCO

Upload: lyminh

Post on 28-Jan-2017

476 views

Category:

Documents


26 download

TRANSCRIPT

Page 1: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Kamati ya Kisayansi ya Kimataifa ya UNESCO kwa ajili ya Kusawidi Historia Kuu ya Afrika

HISTORIA KUU

Y A AlKIIvA* Lililofupishwa

VI Afrika kwenye Karne ya Kumi

na Tisa hadi miaka ya 1 880.

MHARIRI J. F. ADE A]AYI

TUKI"- CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM UNESCO

Page 2: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 3: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 4: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 5: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 6: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 7: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 8: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 9: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 10: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 11: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 12: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 13: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 14: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 15: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 16: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 17: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 18: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 19: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 20: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 21: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 22: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 23: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 24: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 25: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 26: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 27: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 28: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 29: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 30: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 31: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 32: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 33: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Africa kwenvzkarne va kitmi na tUa hadi m'^l-u v¿ l&'JÎ

^».w1

11*

1.1 Dan.« la Sherehe huko Mbelebete, kambi yajeshi la Wazulu ' / W6

kubwa na iliyosambaa sana. Khalifa mwenyewe alidumisha utawala wa kidini na

madaraka kamili ya kiserikali yalikuwa chini ya maamiri. Nchini Afrika Kusini,

Wasotho-Tswana waliishi kwenye vijiji na tawala za kichifu ambapo watawalawaliziweka pamoja shughuli za jando. Wanguni wa kaskazini waliishi kwenye kaya

zilizotawanyika na machifu wao wakiwa na madaraka madogo tu. Hata hivyo,

maendeleo yaliyoongezeka katika kipindi cha kuelekea mwishoni mwa käme ya kumi na

nane, pamoja na kuanzishwa kwa zao la mahindi, yalitoa shinikizo kubwa kwenye ardhi.

Mfumo wa kilimo ambao ulifanya ng'ombe wapate malisho machungu wakati wa mvuana malisho matamu mwishoni mwa kiangazi haukuhimili shinikizo hilo. Hali hii ilileta

mashindano makubwa katika kumiliki ardhi na ng'ombe. Kadhalika, ilisababisha kuigwa

kwa sherehe za Wasotho-Tswana za kufanya shughuli za jando kwa pamoja, kwa ajili ya

kuandikisha askari jeshii Haya yalikuwa ni mapinduzi ya Mfalme Shaka yaliyochocheahali ya Mfakane.

Uwezo wa ndani

Mwanzoni mwa nusu ya kwanza ya käme ya kumi na tisa, shughuli za mataifa ya Ulaya

Page 34: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 35: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 36: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 37: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 38: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 39: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 40: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 41: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 42: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 43: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 44: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 45: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 46: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Mick'keo na iivendo mpya katika Afrika kwenye käme kumi na tarn hadi kumi na tisa 21

.?. / Kanisa la Church of Scotland Mission

huko blantyre (Malawi)

3.2 Tí'jv .s,i(f,f

Page 47: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

.22 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa nadi miaka ya 1880

i-iShule ya kijiji cha CharlottefüerraLivm; c. IUK5

zote za bara. Walipandikiza vionjo vya kigeni, walitumia bidhaa za nje kutoka Ulaya, nawalitoa mchango mkubwa katika kuingiza sehemu za bara mawazo na bidhaa za Ulaya.Kwa hiyo, tunaweza kusema kwamba hadi mwishoni mwa miaka ya 1880, kulizukatabaka jipya la kijamii katika Afrika likijumuisha wasomi waliokuwa kwenye utumishiwa serikali, huduma za kanisa na katika biashara za binafsi.

Itikadi ya Kihabeshi (Uhabeshi)

Itikadi ya uhabeshi ni moja kati matokeo mawili makuu yalitokana na kutokea kwatabaka la wasomi katika Afrika. Tokeo la pili, mapinduzi ya fikra, lilitokana na hili la

¡wanza. Matokeo yote haya mawili yalikuwa muhimu sana katika historia ya Afrika¡katika käme ya kumi na tisa. Uhabeshi ni istilahi inayoaminiwa kuwa imeundwakutokana na nukuzi kutoka kwenye Biblia (Zaburi 68, mstari 31) kwamba Uhabeshi

itamnyooshea Mungu mikono yake. Chama kilichotumia istilahi hii kilikuwa namadhumuni ya kidini na kisiasa. Vuguvugu hili lilichipuka kutokana na mateso na hasirawalizopata Waafrika kutokana na kubaguliwa na Wazungu kwenye vyeo vya kanisa navya kiserikali, hususani katika robo ya mwisho ya karne ya kumi na tisa. Hali hii

Page 48: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 49: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 50: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 51: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 52: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 53: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 54: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 55: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 56: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 57: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 58: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 59: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 60: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 61: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 62: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 63: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

38 Afrika kwenye käme yakumi na tisa hadi miaka ya 1880

4.1 Kikundi cha wanawake wa Kioromo kikiwa ndani ya chombo HMS Dapluie, inwaka 1867,baadti ya kuokolewa kutoka jahazi ta hiashara ya watumwa Afrika ya Mashariki.

4.2i Watuniwa walioachiwa hum katika shamba la misioniya Vyuo Vikuu huko Mbweni karibuna Zamibar - Ulipaji wa ujira.

Page 64: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 65: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 66: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 67: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 68: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 69: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 70: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 71: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 72: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 73: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 74: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 75: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 76: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 77: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 78: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 79: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 80: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Athari za Mfekane katika Koloni la Rosi

6.1 Wanasesere wakiwakilisha mwanamume na mwanamke wa Kisan wanaouzwa hukoCape Town, mapema käme ya kumi na tisa

Page 81: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 82: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 83: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 84: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 85: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 86: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 87: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 88: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 89: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Afrika

kwenye

käme

yakum

inatisa

hadimiakaya

1880

Page 90: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 91: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 92: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 93: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 94: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 95: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 96: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

kupatikana mshindi kamili. Hata hivyo, huu ulikuwa ni ushindi wa kisiasa kwa Wasothokwa sababu walibaki na bunduki zao baada ya vita.

Hitimisho

Shughuli za Waingereza nchini Afrika Kusini kwenye kipindi tunachokijadili (1950-80)zilileta matokeo kadhaa. Ingawa jitihada zao za kuunda shirikisho la éneo kwa nguvuzilishindwa, lakini walifanikiwa kuvidhoofisha vikundi kadhaa vya Waafrika kama vile

Waxhosa, Wasotho, Wamfengu na Wakhoikhoi, ambao wote waliwekwa chini ya CapeColony. Mfumo wa kisiasa wa mataifa mengine kama vile Wazulu na Wapedi ambaovvalikuwa bado hawajajumuishwa ulivurugwa na kukawa na fujo miongoni mwa watu.

Baadhi ya Makaburu kama wale wa Griqualand ya magharibi walipoteza utawala wao,lakini jamhuri kuu za Makaburu huko Orange Free State na Transvaal zilijipatia uhuruwa kufanya mambo yao isipokuwa katika masuala ya mashirikiano na mataifa mengine

ya Ulaya mbali na Uingereza. Wakati huohuo, Waingereza waliendeleza udhibiti usiothabiti wa maeneo mbalimbali ya Afrika ya Kusini kwa kuangalia hali ya mambo kupitiamaofisa wao wakazi.

Page 97: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 98: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Nrlii ?n Rinule la Zambezi -73.

| LOZISALA

chikunda

mpezen1 nguni

ïnsenga"

,>>% % ^.MALAWI (KALONGA)"\~^ tlVVERE NGUNI

^CHEWAUND]^MASEKO NGUNI QUITANGHÜÑA

BOO km

400 Miles \

/ Maputo)!

8.1 Watu wa siasa za Afrika ya Kati, 1800-80 (A. F. Issacman)

Page 99: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 100: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 101: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 102: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 103: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

78 \Afrika kwenye karrte ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

tJG SM

líIS? fi

>ÉBËi&3L>^ 'î ' i

bVJHÍ

P. .I'IIIäVV. ...

1SS

ST

i

vÈëÎf\\w^S*!mV.«

B. ffAhUt

BMak -

" - |VJLi

i H

HS*'8.2 "Ruga-Ruga' (mchukua watumwa)

Page 104: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

.AW« za Bonde la Zambezi79

w» :r -'«i'itiff»*»v^^

R.3 S/iangarna wa Soslumane walipowasili .S'/m/'i/Wii kukiisanya kodi ya imvaka kutoka kwaV'irano

bidhaa mbalimbali zenye kung'ara lakini zisizo na thamani na zisizodumu.Aidha kulizuka tofauti kubwa za kitabaka katika jamii. Ingawa eneo hili kwa ujumla

liliendelea kuwa masikini, lakini watawala pamoja na tabaka la wafanyabiashara walizidi

kuneemeka na kutajirika. Hata hivyo, wakati mwingine, tabaka la wafanyabiasharawenyeji liliungana na wafanyabiashara wa nje kudhoofisha uwezo wa kiuchumi wawatawala wa kienyeji na kuanzisha hegemonia yao ya kiuchumi, na hivyo., kupelekeakwenye uporomokaji wa haraka zaidi wa madola ya namna hiyo.

Mojawapo ya matokeo muhimu ya ongezeko la maingiliano ya kibiashara lilikuwa nikiwango kikubwa cha ukopeshanaji wa amali za kiutamaduni kilichojitokeza miongoni ,mwa vikundi mbalimbali. Mwenendo huu ulikuwa na ruwaza tatu. Kwanza, wageni

waliingizwa kwenye utamaduni wa wenyeji wao (wawindaji Wachikunda walijumuishwakwenye jumuiya za Wansenga, Waambo na Watonga wa Bondeni). Kwa upandemwingine, wenyeji waliiga utamaduni wa wageni (k.m. wafanyabiashara wa Kiyaowalisilimu kutokana na maingiliano yao na Waarabu). Tatu, lilikuwa suala la maafikiano

Page 105: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 106: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 107: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 108: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 109: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 110: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Pwani na bara ya Afrika Mashariki 1800- 1845

' 7

Page 111: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 112: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Pwani na bara ya Afrika Mashariki 1800- 1845 87

Njia za biashnra

-fí^a NatronÇ3 Mt. Kilimanjaro

¿'-^a Manyara

O IDO 200km

VHag»moy&-

0 00 11)0 '"Hili

9.2 Pwani ya kaskazhü na bara: njia za hiashara, 1H80 (A. I. üalirn)

Page 113: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

Uhusiano wa Kibiashara wa Pwani/Bara

Muda mfupi baada ya Said kupata udhibiti wa Mombasa aliamua kuhamishia makaomakuu ya usultani wake Zanzibar, mji ambao ulikuwa ukikua kwa haraka kama kituocha kibiashara chenye shughuli nyingi. Saidi alivutiwa sio tu na suhula (vifaa) za kimeliza Zanzibar, bali pia na rutuba ya kisiwa na uwezekano wake wa kuzalisha mazao yakilimo. Aliamua kuhodhi biashara yote ya kisiwa na akaendelea kukifanya kuwa kituokikuu cha uchumi katika pwani ya Afrika Mashariki.

Page 114: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 115: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 116: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 117: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 118: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 119: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 120: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Pwani na baraya Afrika Mashariki 1845-1880 _91

/Sí

Njia za biashara ; Wlipaka va nchl ya sasa

10.1 Biashara katika Afrika Mashariki ya kante ya kumi na usa(ilichukuliwa kutoka kwa P. Curtin, S. Feierrnan, L. Thompsonna J. Vansiiw, Historia ya Afrika, 1978, uk. 399)

Page 121: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 122: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Pwani na baraya Afrika Mashariki 1845-1880 97

1 0.2 Miando va nywele na unyori ¡a Kinynmwezi

10.3 Wafanyabiashara wa Kinyamwezi burabarani

Page 123: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 124: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 125: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 126: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Pwani na baraya Afrika Mashariki 1845-1880 101

__

10.4 Miramho, 1882 mi 1883 ,.

Page 127: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 128: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Pwani na baraya Afrika Masharikj 1845-1880 JOS

Page 129: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 130: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 131: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 132: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Wa

tun

adola

zaukanda

wa

ma

ziw

am

ala

iu10o1II

Page 133: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 134: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

tt'atu na dola za ukanda wa maziwa makuu 109

r«Ml

11.2 [iuuanda mwnka 1X75: Mji Mkuu wa Kabaku,

11.3 Kabaku Miiresa /uunoja na waienü na maojïsa

Page 135: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 136: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 137: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

112. Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

~ Û

im io

11.4 Nynniiia va liaziiiti na nutpambo ya in/aline Idtinaitvika wa Kmvy.wc

11.5 Vila vya mujini kurika 7,iwa Vikiona kali va Waha^anda na want wa vtsiwa. vya liitvttina, IH75

1

Page 138: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 139: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Afrika

kwenye

käme

yaku

mina

tisahadim

iakaya

1880

Page 140: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 141: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 142: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 143: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 144: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 145: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

ion Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

Mipaka ya makisio va msitu wa invita, Mipaka ya makisio ya savaiui na misilii wazi

\Mipaka va éneo lenye vyeo vya tunda zaidíUkanda wenye watu wangi 400 Miles

12.1 ! Mugharibi ya Afrika ya Kali kwenye karne ya kumi na tisa (Baada ya J.L. Vellutj

Page 146: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Bonde la into na Angola 121

12.2 Ki¡'-i¡ dio Uinanyema; jimba la kaskaztni- Mashariki la Himaya ya Luna iniuka ya 1H70

mbinu za kilimo au ulimaji wa mazao mapya kulisababisha ulimaji uliobobea na

ougezeko la idadi ya watu. Kwa maneno mengine kuwepo kwa sehemu zenye idadi yawatu wengi katika Afrika ya Kati kulisababishwa na maendeleo au upanuzi wa kilimo.Kulikuwa na sehemu katika bonde la Lualaba na katika éneo la Kongo zilizokuwa nakilimo cha kizamani kilichobobea na katika karne ya kumi na tisa maeneo ya watu wengiyaliibuka huko Angola baina ya Wambudu na Wavimbundu. Katika Zaire, upenyuuliokuwa na watu wengi katika njia panda ya Misitu ya mvua na savana karibu latitudi

5% ya kusini haikuwa na mipaka hadi katikati ya karne ya ishirini.

Kuhusu maendeleo ya kilimo katika Afrika ya Kati, karne ya kumi na tisailiwakilisha kilele cha mwelekeo uliokuwa umeanza karne chache zilizopita. Mwelekeo

huo ulianza kwa kusambaa kwa ufuaji chuma katika karne ya kumi na taño miongonimwa Wabantu. Hii ilisababisha mabadiliko kadhaa katika karne za kumi na saba na kumi

na nane kama vile kutawaliwa kwa nchi mpya, kuanzishwa kwa nasaba mpya naupanuzi wa nguvu za kisiasa. Ilipofika karne ya kumi na tisa, maeneo yote yenye watuwengi yaliboresha ukulima wao kwa kuchukua mazao ya Kimarekani kama mahindi,

mihogo, viazi vitamu na maharagwe. Kulikuwa na ongozeko katika uzalishaji kwa kuwa

.ardhi nyingi yenye rutuba ililimwa kishadidi zaidi.

Matukio yaliyoelezwa hapo juu pengine yalichukua zaidi ya karne mbili kutokea.(1600-1850). Ilipofika 1850, mazao ya Kimarekani yalienea sana na katika éneo la

Kongo yalikwishazoeleka sana na hayakuonekana tena kama mazao ya kutoka nje.

Page 147: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 148: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 149: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

124 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

I lil'"l'»tMW

12 3 Nfinniu za kifalme zu käme ya kumi na lisa kutoka kwenye fühlte ya Waknba

Page 150: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 151: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miakayaJ880

Mipaka ya makisio ya iiisitu wa invita

.__. Mipaka va makisio ya Silvana na inisitii waziMMM Mipaka ya enea lenye vyeo vya Lumia zaidi

\OkBvango%£? Swamp

[äSail llktiiuia wenye watu wengi

-.« Mipaka ya zoni ya biashara ya Waswahili

=== Mipaka ya zoni ya biashara ya Wareno-Waafrikaooon Mipaka ya zoni ya biashara ya intoni _22Q4QQgoo km

Mipaka ya zoni ya biashara ya Waarabu-Wasudani 0 200 4Ü0MÍI;:

12.4 Magharibi ya Afrika ya Kati: Zoni za biashara 1880 (Baada ya J.L. Vellut)

Page 152: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 153: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

128 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

12.5 Mfalme Mitnzxi wa Mangbetu 1870 12.6 Kazembe 1831

12.7 Mwanamkewa Kimbiindu wa tnbakct la J2.8 Kimhuiulu na mwamike wa tabaka hi

Kitemi na mjakazi wake, katika miaka ya 1850 Kilemi katika miaka va 1880

Page 154: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Bonde la mto na Angola 129

12.9 l'einhe iliyochongwa ya kalikali ya käme ya

kumi na lisa kutoka pwani ya l.oungoyal 'ongoi tttgoiu, Iktonyeslia inalitkio ya biashara

"na va Waziuigii

Page 155: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 156: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 157: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

132 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

esf»»*'

12.10 Kinyago cha Chibinda llunga mwanzilishi inkumbukwa wa ufalme wa Lunda. Kinyugo hikikinadhaniwa kuwa ni cha karne ya kumi na tisa

Page 158: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 159: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

134 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

Page 160: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 161: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 162: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 163: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

Venia II 8311'->. m,

-£W

-Xfâta

ZZ'Jíiypt 'S.

J»______ .<___> /"-s. fA^'-'s^í'SSyyfhS5___v_-_ -\ /Mers ;i<i**ä5#_l&____=___^^mLr

---^^--_4_.__#_ \.---:..:.nll . _SCL'S''1:

<-_3 BAHARI YAJ4EDITERAII __________ . .*.

.__

y'As"/^^ï///S//<$êni(*-syyy//srss ss*.\\"s ss ssss"S,ss/yyyy/A/s'''

\//ssss/sssss/K AsSSSSSSSS. -,^"sssssssssst\/SSSSSSSSSSSS\yssssssss^ m,nj,aY''/AAAsssYs's9kf''sAY""s""" ,Vi,'ssss,\"/A MISRIX"'',;,

&fâ%sss~s's'''''WÎifc==&'&SÍS^"S,S^'XS¿^^:.

Ms?y/sVsX

ts/ ya s- s / /as-/ y s r s s .^

*'''W,'/ssffî<%%';,'ss:s s.s yyyyysyssssiç. ,/,v

Asvvàn.

\ssss//yy/AA/ss-AA

'-%ffîsvysss'%i*>wmMWsv

V/ssss/sssssss¿s>

'.SfÁÚÍií-

isississsssséffî,,Vssssssssssy ,,,,,U'.'.'AAAAAAsJlsssssssss

zr3itsssss'\a .-Z:-\y s sy s s

. -y \~\s sss s.

i__ïsssssssssssi

^s%&fV'AAssssssss

NCAA'Ss"s/s-<SAAAy''&Z%,ssil;m

\sflURDOFAflAs,. ', , y s y/s ssssrSf

-. Jss. -Asfsssss

\^"sVs"Sf7"\a/AVsAs^^

xsssssss

\%%Hss%ssssss,'sVAssssXsskssssssssJAsssX"A<ssssssJ

'''i'"S'SS"S"*rA, y y y SS S Sy S S S Ss yytj- ,

" ' v,,',',',,,',',\sssssssssl/ssssss s y

'ssssssssss/y .s////////Asss/^==^,, 'syy/yy//sA.f \-_s

lÉim- _ _ s yy s s y . _ _fr-r4/"Wassi

<-35%(w^syyyyyy/A

yA/A/'//////f,u___war;_.;_f 5ö

ASS ss y

\-ssÀsss'""s'<.ssAsssy\y sst^/fsssYsSj

~r-<AiA/

> ABYSSINIA

T'-ATys! S.

_» Kampeni ya Misri va .luit dhidi ya mumluki (1808-10)t,'; .//,;./; ..,, \\r ,.,

ZsWÏEneola'Misri (1833)Kampeni dhidi ya Wahahuti in

Uarabuni HS13 ¡9)

| _____>> Kampeni ya Sudan (1820-3)Knmneiii va ieshi la Misri kuelekea r.~-. ,-,

! _ .""' .' .'l' | -,; r- ¿//m /_ Himaya ya Muhammad Aupwani ya himaya Ya Ottoman .._/..

I .tKampeni va Ibrahim dhidi va liimava « MfereJ' "'" Moltmudiyya uliojengwaya Otttoman (1831-3'' na Muhammad Ali

13.1 Himaya ya Misri ya Muhammad AU )18(!4-4\n (Banda _,_ ,4. Abdel-Malele)

Page 164: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 165: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

140 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

> ;a/a -.

-J. 'r . . _ ,.J,

13-2 Muhammad Ali (mchoro wa Sir David Witkie)

*

-

Page 166: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Kipindi cha mvuvuinko wa Misri. lftOS-81141

!

13.3 Ibrahim, mtoto wa Muhammad Ali tut jenerali inkuu

wa Muhammad, uliyashitua mataifa ya Ulaya «mbayo yaliamua kumuokoa Sultani waUturuki. Hii ni kwa sababu walijua kwamba kama Muhammad Ali angeachiwakuiangamiza himaya ya Kituruki na kuanzisha mamlaka yake, upanuzi wa ukoloni wao

ungepingwa, na majimbo mengine ya himaya ya Kituruki yangehuishwa na kuimarishwa

chini ya uongozi wake.

Zaidi ya hayo, Ibrahim alikuwa na mtazamo tofauti wa uhuru wa Misri

ukilinganishwa na ule wa baba yake. Wakati ambapo Muhairtmad Ali mwanzoni alitakauhuru wa Misri ndani ya himaya ya Uturuki, Ibrahim aliamini kwamba uhuru wa Misri

ungekuwa na maana tu kama Misri ingechukua nafasi ya Umruki na kuwa kitovu nakiongozi wa himaya ya Waarabu. Kusema kweli, Ibrahim alisisitiza umuhimu wa

ufungamano wa Waarabu katika ujenzi wa taifa la Misri, yaani, kwamba Misri ilitakiwakuwa kitovu cha ufufuo wa Waarabu. Mtazamo huu, nata hivyo, ulitoweka pamoja na

Ibrahim baada ya 1840.

Page 167: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 168: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 169: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

144 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

mwaka 1882. Lakini wakati huohuo baadhi ya mqfallahin walizidi kuwa masikini ilhali

watu wengine katika jamii wakizidi kutajirika.

Maendeleo ya kitamaduni

Katika kutafuta mvuvumko wa kitaifa, suala la maendeleo ya kitamaduni linahitajikutiliwa maanani. Baadhi ya watu walifikiri kwamba usasishaji wa uchumi, viwanda na

siasa lazima uambatane na uigaji wa maadili ya nchi za Magharibi, ilhali wenginewaliamini katika uanzishwaji wa falsafa halisi ya utamaduni wa kitaifa. Yapaswa

kuzingatia hapa kwamba wakati ambapo serikali ilitoa msukumo katika maendeleo hayaya kitamaduni, maandishi na mawazo ya Sheikh Rifaa al-Tahtawi (1801-73) yalikuwamuhimu katika mchakato huu. Yeye alipigania urejeshwaji wa utambulisho wa Misri

ambao alidhani ulikuwa ni muhimu kwa awamu ya utaifa ya maendeleo. Hili

lingewezekana tu kama lingefuatiliwa kitaifa. Kwa mtazamo wake, mawazo ya siasa kali

na mkabala wa kihakiki kwa mawazo ya kigeni na urithi wa taifa vingeigeuza nchi nakuleta usitawi wa wananchi kupitia uhuru, kazi na mawazo chanya.

Uwili wa mapokeo na usasa ulijitokeza wazi zaidi kwenye medani ya elimu, kwa vile

kulikuwepo na mifumo miwili tofauti ya elimu nchini Misri. Wa kwanza ulikuwa wa

Page 170: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 171: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 172: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 173: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 174: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Sudani katika karne \a kumi na tisa 149

j4 _ Sudan chini ya utawala wa wamruki

Page 175: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 176: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Sudani karika karne ya kumi na tisa 151

:'

_4

| fo _#' r.i._.___j . . .V , s

: '_ ¿j- ___&__«___ â Ü . Ü 4! * fcPm-

-

~ . ___ñ_-

14.2 Sennar mwaka 1821: Mji mkjuu wa Usultani wa FundjyaKale wakati wa mavamizi ya Turuki-Misri

1 _ , Msafara wa wachukua watumwa huko Kordofan

Page 177: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 178: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 179: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

154 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

14.4 Manju wa Kizande

Page 180: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 181: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

156 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

14.5 Ujenzi wa utawala wa Kiturku-Kimisri: Kasri ya Hukunda hukoKhartoum na mashua mtoni

Shughuli zao huko kusini zilikuwa na faida kuu mbili: Kwa upande mmoja ziliongezakasi ya kuingiza Uarabu na Uislamu huko kusini. Kwa upande mwingine zilichocheauhasama kutoka kwa watu wa kusini kutokana na tabia yao ya kupenda vita, udhalimu,

na mabavu. Hali hii ya pili ilifanikiwa kujenga kutoaminiana na hofu ambayo mpakasas'a inatawala mahusiano kati ya watu wa sehemu za kaskazini na wale wa kusini mwaSudani.

Utawala wa Kituruki ulifanikiwa pia kuanzisha utawala unganifu nchini Sudani.

Hapana shaka, chombo cha uongozi kilikuwa cha ukandamizaji, kilichojaa rushwa, nakisichokuwa na ufanisi, hasa kwa vile maafisa wa Kituruki walikuwa ni wa kiwango cha

chini. Lakini utawala huu ulikuwa unganifu hasa, ukilinganisha na aina nyingine za

serikali zilizokuwepo. Utawala uliongozwa na Gavana-Jenerali aliyeitwa Hukumdar.Baadhi ya Wasudani walioshirikiana na utawala wa himaya walipewa majukumu katikaserikali kuu. Katika vipindi vifupi ambapo nafasi ya Gavana-Jenerali ilifutwa, hasamwaka 1843 na 1882, mikoa ya Sudani iliwekwa chini ya idara moja ya serikali hukoKairo ili kuendeleza sera ya uunganifu wa utawala. Aidha, uboreshaji wa mawasiliano,kama vile mtandao wa meli na simu, ulitoa mchango mkubwa katika uunganifishaji wa

utawala. Jeshi pia lilikuwa la msaada mkubwa kwa serikali katika kuidhibiti Sudani.Kwa maneno mengine, watawala wa Kituruki waliliturnia jeshi na mawasiliano mazurikatika kudumisha usalama wa jamii, kuzima maasi ya Wasudani, na kulazimisha ulipajiwa kodi.

Page 182: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 183: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 184: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Ethiopia na Somalia 159

Axum

'

**&&\ -Anul.G^Maten.» S ENDARTA

«AGEMDER/ WAG O oGondar ^ ^ Ä>

DAMBEYA I , ». V_?V .^

Gafat

Tabor YAJJU

- Magdala»'" . Boni Méda

f̂A«

OROMO

/labra BerhanAnjololi. Ankobtr

SHOA Al«. « AmbiHarar

OGADEN

300 km

200 Miles

15.1 Ethiopia mapemtt karne ya kumi na lisa

Page 185: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 186: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Ethiopia na Somalia

Page 187: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 188: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 189: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

164 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

15.3 Mfalme Sahk Sellase wa Shoa

15.4 Amiri Ahmad bin Muhammad wa Harar, 1794-1884

!& ^*m

Page 190: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 191: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

166. Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

\

_. .

:^_i_.

w ts_p

Öp7 «*H, /.'V_i. .

0

15.5

______& ¿_^<gp____ c^&f

s :

í_á_.Mfaline Tewedros akikagua ujenzi wa barabara

Page 192: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Ethiopia na Somalia 167: i

r«ifl£.ííTP¡iHi

W "<* -*' « ' !«flw_____!

15.6 Mzinga mkubwa wa Mfalme Tewedros uiiwao 'Sebastopoi'

majimbo. Hi kuleta amani katika nchi iliyolawaliwa na vita, aliwaamuru watu warudikatika stadi zao. Mageuzi yake ya kijamii yalikuwa pamoja na kupiga marufuku biasharaya watumwa, kuondoa ujambazi na rushwa. Alijaribu kumaliza tofauti za kidini kwakuwaamuru Waislamu waliokuwa kwenye dola yake kuwa Wakristo na kwa kuwafukuza

Wakatoliki. Matatizo makubwa katika mageuzi yake yalikuwa ni mageuzi yake ya

kanisa. Alijaribu kupunguza idadi ya makasisi, kupunguza ardhi iliyomilikiwa na kanisa,na kuwafanya mapadri wategemee mishahara kutoka kwenye dola. Hayo yoteyalisababisha upinzani mkubwa kutoka kwa makasisi, na upinzani huo ulipoungana nauadui wa mamwinyi wa majimbo, idadi kubwa ya watu ilimpinga maliki, na hilolilichangia katika kuanguka kwake.

Téwedros alikuwa na wakati mgumu kupambana na upinzani wa majimbo. Upinzaniwa kwanza ulitokea Tigré. Agaw Negusé aliungoza uasi huo. Negusé aliachia bandariya Zulla kwa Wafaransa na aliahidi kukubali askofu wa Wakatoliki kuwa mkuu wakanisa la Ethiopia. Lakini kutokana na upinzani wa Waingereza, Negusé hakuungwa,mkono na Wafaransa kama ilivyotegemewa na aling'olewa mnamo 1860. Baada ya hapokulitokea mfululizo wa maasi katika miaka ya mwisho ya utawala wake kutoka kwa

malodi wa Walo, Shoa, Gojam na Gondar. Mnamo mwaka 1865 Menelik, mrithi wa kiti

Page 193: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 194: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Ethiopia na Somalia

15. 7 Mfalme Tewedros akijiua mhele ya Sir Roben

Napier (lapiri ya kisasa)

1869, Wamisionari wa Kiitaliano nao walinunua bandari ya Asab kwa niaba ya Wizaraya Bahari ya Italia kutoka kwa machifu wa Afar.

Maliki Yohana na ujenzi wa umoja wa Ethiopia

Ethiopia iligawanywa tena baada ya kifo cha Téwodros. Kati ya watu watatu waliokuwana madaraka katika kipindi hiki, Kassa wa Tigré ndiye aliyekuwa na nguvu zaidi. Hivyobaada ya kumshinda mtawala wa Amhara, alitawazwa kama Maliki Yohana IV hukoAksum mnamo Januari, 1872.

Page 195: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

170 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

Ili kufanikiwa katika kuunganisha taifa, Yohana aliweka sera ya upatanishwaji namamwinyi. Kama sehemu ya mageuzi yake ya kidini, alifanya urafiki na makasisi na

alichukua mkuu wa kanisa kutoka Misri. Pia, alipeleka fedha kwa jumuiya yaWaethiopia waliokuwa Yerusalemu. Alijenga makanisa mengi mapya, mathalan vale yaAdwa na Magdala. Aliyapatia makanisa ardhi kubwa huko Aksum na alitoa msaada

mpya wa fedha kwa ajili ya nyumba ya watawa wa Dabra Bizau. Zaidi ya hayo, alijaribukuwabatiza Waislamu kwa wingi na alisakama wamisionari wa Kikatoliki. Alijaribukuongoza maadili ya kidini kwa kupiga marufuku uchawi, uvutaji sigara na ugoro.

Mapambano makubwa ya kivita ya Yohana yalikuwa dhidi ya Misri pale Wamisri,walipojaribu kuingia kwenye dola yake. Baada ya kuwaomba msaada Waingereza dhidiya Wamisri na kutopata jibu, aliyakusanya majeslu yake mnamo mwaka 1875. Katikapambano lililofuata, karibu wavamizi wote wa Kimisri waliangamizwa. Wamisriwalipojaribu kujibu mapigo mnamo 1876, walishindwa vibaya. Ushindi wa Ethiopiahaukuzima tu ndoto za Wamisri za kujenga himaya, lakini ulimwaibisha Khedive Ismailkule kwao. Matatizo hayo yalisababisha kuondolewa kwake madarakani mnamo Juni1879.

Page 196: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 197: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 198: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 199: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

) 74 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

Comoro

îtz-__ S

Diego Suarez

-\

IS21

-V

_Vcl<____ Turtle ya ktitumwa jeshi au kuanzishwa vihio^~^zg*¡z? ^T\

Maeneo yaliyoshikiliwa na » _^--

h.mar-

manilaka ya Antananarivo 1840

Maeneo yalivokitwa liuru bado __a //ap__.- ;/y c^» # _*s t1

Page 200: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 201: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

176 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

16.2 Aiidriaiiaiiipoiiiiiiicriiia, d. 1810 16.3 Mfalme Radanu I. 1810

16.6 Malkia lla..oiiiriiiu. IS6.Í-8 16.7 Malkia Ii,iii.n;ilona il, /.'ixV-.Yî

Page 202: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 203: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 204: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

_._.// (Madagascar) 18001S80 m

tlF^'V9*

16.8 Jumba la Malkia huko Antananarivo lilianzwa mwaka 1839 na

Jean Labonde kwa kuambwa na Malkia Ranuvalona I

misamaha ya ushuru iliyokuwa ikitolewa kwa wafanya biashara Wazungu kisiwaniBukini. Maamuzi haya hayakuwazuia raia wa kigeni waliohitaji kuja kutoa msaadakatika miradi ya maendeleo nchini humo na wala hayakuwafukuza wamisionari, ingawashughuli zao ziliruhusiwa kufanyika katika baadhi ya miji tu. Hata hivyo, katikautekelezaji wa sera hizi, utawala wa Bukini ulikumbana na vikwazo vikubwa, hasakutoka nchi za nje.

Uingereza na Ufaransa zilipokea taarifa za kupinduliwa kwa Radama namapendekezo ya mabadiliko ya sera ya mambo ya nje ya Bukini kwa hisia tofauti.Wakati ambapo Uingereza ilikataa kuhusishwa katika ugomvi na Bukini kwa sababu yamapendekezo ya marekebisho ya mikataba baina ya nchi mbili hizo, Ufaransa Uiumizwana kuchukizwa sana na hatua hizo za Bukini. Ufaransa ilifahamu kwa uhakika kabisa

kuwa ingepoteza mambo mengi zaidi iwapo mikataba iliyokuwepo ingefanyiwamarekebisho, hivyo ilisisitiza kulipwa fidia na Btikini kabla haijayakubali marekebishoyoyote yale. Mkataba mpya baina ya Uingereza na Bukini ulitiwa saini mnamo 1865, naule wa Bukini na Ufaransa ulisainiwa 1868. Katika Mikataba yote miwili, Wamalagasi

walifanikiwa kupata madai yao yote, na nasa lile la kubatilishwa upendeleo wa kumilikiardhi uliotolewa kwa Wazungu. Hata hivyo, mwenendo wa Uingereza wa kukubalimará moja mapendekezo ya Bukini wakati wa mgogoro huo uliifanya Uingereza

Page 205: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 206: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 207: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

182 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

i.-.

16.9 Kitanda chenye paa (ainaya máchela yenye paa) chaMalkia Rasoherina. Nyuma ni kanisa la Kiprotestrantilililojengwa wakati wa Rasoherina na Ranalona 11

Page 208: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

liiikini (Madagascar) 1800-1880 183.

16 10 Makao ya Ranavalona aliporudi kutoka Fianaruntsoa, 1873

muhimu cha kuwapiga waasi waliogoma katika majimbo.

Mambo mengine yaliyofanywa ili kuijenga kisasa Bukini ni: Upigaji marufuku wa

biashara ya pombe; utekelezaji wa arnri ya kupiga marufuku biashara ya watumwa na

utumwa wenyewe, na kuondolewa kwa sheria za ukandamizaji. Hata hivyo, baadhi ya

Waingereza na Wafaransa waliiasi serikali ya Bukini na kuendelea na biashara ya

watumwa. Mnamo 1877, serikali ya Bukini iliwaachia hum watumwa wote 150,000kisiwani humo.

Maendeleo ya Kiuchumi

Kabla ya Bukini kuanza kushiriki kwenye biashara ya kimataifa, na hasa kabla yakuwasili kwa Wazungu wengi kisiwani humo mwaka 1860, Bukini ilikuwa na uchumiwa kujitegemea. Walizalisha karibu kila kitu walichokihitaji. Idadi kubwa ya watukisiwani humo ilijihusisha na kilimo. Mchele ndicho kilikuwa chakula kikuu kisiwanihumo na mpunga ulilimwa kwa kiwango kikubwa kiasi cha kuwafanya Wamalagasiwawe wataalamu katika ulimaji wake. Aidha walifuga mifugo kama vile kondoo nanguruwe, na samaki walikuweko kwa wingi; lakini katika mifugo yote ng'ombe ndiowaliokuwa muhimu zaidi. Mchele na nyama ya ng'ombe ndizo zilizokuwa bidhaamuhimu zilizosafirishwa nje ya nchi. Wamalagasi pia walianzisha viwanda vya

Page 209: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 210: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 211: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

Sf f i.,: v**1 ' .,£1_i __

m, ii^i - $#.-_;-___T_¡8_ 1 ,. Í / - .... .i. V:.' . \

17.1 Éneo la ndani ya Msikiti wa Ketchwawa jijini Algiers mwaka 1833 (Msikiti ulijengwu 1 794)

Page 212: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 213: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

188 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

j^tí'. '"/

_î ' '"'

17.2 Shule ya Madrasajijini Algiers mwaka 1830

Page 214: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 215: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 216: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 217: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 218: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Sum mpya ya maendeleo katika nclú za maghrib: Atgcria.Tuitisia luiLibva. 193

17.3 Wanawake wa tabaka la kati nchirú Algeria wakiwa tut mlumishi wa kike mweusiantbaye pia ni mtumwa.

17.4 Wanajeshi waliovaa sare zMzofanana na ule za Askari wa Mataifa ya Magharibi

fe HàWM9mm.ty

H. _ * <h^ Sí

Page 219: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 220: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 221: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

_r _-__ ^ - '

* *__- :

17.5 Kabttri la Marehemu Muhammad ben Ali al Saixusi, Muasisi wa Sanusiyya. ;

watu wa kawaida. Zaidi ya hayo, uchumi ulikua zaidi licha ya ongezeko la bidhaa

zilizoagizwa kutoka Ulaya baada ya 1850.¡ Matatizo yalijitokeza wakati wa kipindi kirefu cha upungufu wa chakula (1881-89).' Hali hii iliathiri sana kiwango cha bidhaa zilizouzwa nje ya nchi, na kiasi cha vyakulavilivyoagizwa kutoka nje pia kiliongezeka. Mapato kutokana na biashara ya Sahara piayalipungua. Hali hii ilitokea wakati Sanusiyya ilipokuwa inakabiliana na shinikizokutoka nje pamoja na matatizo ya ndani. Baada ya kupunguka kwa mapato yakekutokana na biashara, Sanusiyya iligeuka na kuanza kuhodhi ardhi na kilimo kwa

kuwadhulumu baadhi ya wafuasi wake. Hali hii ilihimiza kujitokeza kwa jumuiyakinzani na vyama vingine vya kidini. Hadi mwaka 1910, umaarufu wa Sanusiyya katika

1 jimbo hilo ulikuwa umepungua kwa kiasi kikubwa.Picha inayoonekana katika maelezo haya ni ya jamii iliyokuwa ikibadilika sana na

ambamo mambo ya zamani yalikuwa yakitoweka kwa haraka. Wazungu hawakuzubaakatika kuhakikisha kuwa wananufaika na hali hii kwa kujihusisha kikamilifu katika

, uchumi wa jamii hiyo. Kuanzia 191 1 kulikuwa na jaribio la uvamizi lililofanywa naItalia, harakati za upinzani na vita hadi 1932.

Page 222: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 223: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 224: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 225: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

200 Afrika kwenye karne yakumi na tisa hadi miaka ya 1880

-

18.1 Mfalme AM al- Rahman (1822 - 59) kwenye mwaka 1832

Page 226: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 227: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

20

2A

frika

kwenye

käm

eya

kum

ina

tisah

ad

im

iaka

ya

1880

Page 228: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 229: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

204 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

18.3 Sultani Hassan I (1873 - 94)

1 8.4 Reale yafedha iliyotengenezwa

Paris (Ufaransa) mwaka 1881 kwa ajili ya Hassan 1 *.'_-

Page 230: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 231: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 232: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 233: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 234: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 235: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 236: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 237: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

212 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

19.1 'AU al-Kädir

Page 238: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Kmutza Mpya za maingilio ya Ulaya katika Maghrib 213

'**__»

!\ .. ! i

... .,. ¡ \ í

C_-

19.2 jjïfaw/ cha miguii cha Àbd al-Kdir

-

'

19.3 Kikosi cha Farasi

19.4 Kusalintu amri lava Àbd al-K_dir

Page 239: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 240: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 241: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 242: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 243: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 244: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 245: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 246: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 247: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 248: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Sahara katika karne ya kumi na lisa 223

Biashara va fovenve ukinet) wa iangwa: Wafdnya biashara kutoka Afrika Kaskazini waküuuuta20.1 sähdähtsi ' katika kituo cha Bukel kwenye mío Senegal.

kusafirisha mizigo, viongozi wa misafara, na jeshi la kusindikiza misafara hii. Hivyokaribuni Wanomadi wote wa Sahara walishiriki kikamilifu katika biashara iliyopitiamaeneo walimoishi.

Hata hivyo, biashara katika njia mbalimbali za Sahara haikuwa imara. Biashara

ilipanda na kushuka kwa kadiri ilivyofifia au kukua, na hali hii iliathiri maendeleo yajamii za jangwani. Udhibiti wa njia za biashara hiyo ulitafutwa kwa nguvu kiasi hichokwa sababu ya pato kubwa lililotokana nayo. Hata hivyo, ulimbikizaji wa utajirimkubwa mikononi mwa vikundi maalumu mará nyingi ulitibua uwiano wa kisiasa-jamii,na kufifia kwa njia hai ya biashara hiyo kulisababisha kujirekebisha kwa makundiyaliyoathiriwa. Kujirekebisha huko kuliweza kuwa ni kujiingiza zaidi katika biashara yakikanda ya ukingoni mwa jangwa, au kuwavamia majirani matajiri, au kujishughulishana ufugaji.

Jinsi éneo na ukubwa wa biashara ya kuvuka Sahara vilivyozidi kubadilika, biasharahiyo ilihama kutoka kwa Wafaransa wa Algeria na kuwatia uchungu sana mabeberu waKifaransa. Wafaransa walijaribu kurekebisha hali hiyo lakini mwenendo wa biasharahaukuwakubalia. Hali ilikuwa ni ya kubahatisha: njia nyingine za biashara zilikuwazinastawi wakati nyingine zinadidimia. Kwa mfano, njia ya Tripoli-Kano ilipataumaarufu hasa baada ya katikati ya karne ya kumi na tisa kutokana na ongezeko labiashara katika njia hiyo. Biashara katika njia hii ambayo iliendeshwa na Watuareg¡lianza kudidimia kutokana na sababu kadhaa, muhimu zaidi ikiwa ni ile ya kuanzishwakwa reli huko Kano katika mwaka 1911. Njia ya Benghazi-Wadai ilirithi umaarufu wanjia ya Tripoli-Kano na kudumu hadi kuingia karne mpya kwa sababu ya Sanusiyya, napia kwa kuwa maeneo yaliyohudumiwa na njia hiyo yalikuwa makubwa sana.

Sanusiyya kilikuwa ni kikundi cha udugu wa Kiislamu kilichoenea miongoni mwa

Page 249: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Afrika kwenve karne va kumi na tisa hadi miaka ya 1880

. ._ ^___e_.

i * "'

fe» ï- MrPJP OP"

I 5iv _1

F_SW^.VtV

I- , . .

E '" v...

? 0 . ? Ai/wra wa Msikiti wa Agades

Page 250: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 251: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 252: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 253: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 254: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 255: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 256: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 257: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 258: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 259: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 260: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Ukh

alifa

wa

Sokoto

naB

orn

o.

_33

_l]/_

_i..*

si

/

**-,v

*A.y

_\=

/-c"1

533'

'S*&

Page 261: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 262: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 263: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 264: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 265: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 266: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 267: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 268: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 269: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Afrika kwenye karne ya kunu na lisa hadi miaka ya 1880

22.3 Sheikh Muhammad al-Amin al-Kanemi

Page 270: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 271: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

246 Afrilrn kuvirvp karne va kumi na tisa hadi miaka ya 1880

22A Blauzi ya mwanamke wa Borna iliyotarizwa ambayo imetengenezwa katika miaka ya 1870

ilipokuwa katika msukosuko, Sokoto ilikuwa pia imekumbwa na matatizo ya maasi na

machafuko. Kipengele muhimu katika matukio hayo ni kushindwa kwa kila dolakuyatumia matatizo ya mwenzake kujinufaisha. Katika nchi zote mbili, hali ilirudia

kuwa ya kawaida kwa haraka baada ya 1855.

Baada ya hapo, Borno iliunganishwa chini ya Sheikh Umar kama mkuu wa nchi.Alihodhi madaraka yote na kumpatia yeyote aliyemchagua. Hali hii lilijenga mazingira

ambamo kumtii Sheikh kulikuwa ndio sifa ya msingi ya kuweza kupanda ngazi katikamuundo wa kisiasa.

Ushindani kwa ajili ya madaraka ulikuwa wazi kwa kila mtu, bila kujali haki yakuzaliwa wala daraja. Hivyo baraza la kifalme halikuhusisha tu ndugu wa mfalme, bali

pia warn hum mashuhuri, na watumwa waliokuwa maofisa. Muundo huu wa kisiasaulikuwa ni tofauti na ule ulioendeshwa na al-Kanemi ambamo maofisa muhimu wa dola

hawakuwa waajiriwa wake hasa, bali washirika wake.

Kulikuwepo pia na mabadiliko katika uchumi. Polepole Borno iliingizwa katikamzunguko wa uchumi wa ukhalifa kama mtoaji wa mali ghafi kama vile bidhaa za ngozi,pembe za ndovu, manyoya ya mbuni, watumwa na magadi, na kama mlaji wa bidhaa zaanasa ambazo zilikuwa na faida ndogo kwa watawala kuliko hapo awali. Msingi wa

uzalishaji wa Borno haukukua haraka kama ule wa ukhalifa wa Sokoto. Matokeo yakeni kuwa madeni ya biashara ya Borno yaliongezeka. Ingawa matatizo haya ya kiuchumi

Page 272: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Ukhalifa wa Sokoto na Borno 247

____

*M$ñ F-*. 15

-I

ÍS t.

-Tí." -. *

___^Srí!ie^

i?J ' J-, ^- I

-_í. . . .,_*,.

..... :^C;.i.;-i- _;

i3__|fÉÉ!.iÍ_-_JW.

»*.V * -í'

_:¡;4:,s._ 51:__ ,¿S_f!

A

WfPPfFii'g_L'_í .'4rçfe_»^ife<i^ffi^

_'»*_r_ffl..îï___r»_n-r-*T-''. "- »__>.

Jn^___~^__s_____®ç^

22.2 Bidhaa za kazi za mikono za Wahausa zilizokusanywa na Gustav Nachtigal mnamo 1870

Page 273: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 274: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 275: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 276: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Messina na himaya ya Kitorodbe Kitukuloor) hadi mwaka 1878 251

kila jimbo likiongozwa na jamaa au mfuasi mtiifu wa Seku Ahmadu. Majimbo yenyeweyalikuwa ni: (a) Niger na eneo la mpakani baina ya mto Niger na mto Bani, (b) mpakaya magharibi, (c) eneo la kulia kando kando mwa mto Bani, (d) mpaka wa mashariki na(e) eneo la ziwa. Mji mkuu, Hamdallahi, ulianzishwa mwaka 1820. Majengo yakeyaliyovutia zaidi ni msikiti na kasri. Mji mkuu ulilindwa imara na askari wa polisi naulikuwa nadhifu mno. Maisha katika mji mkuu huu yalikuwa na nidhamu ya hali ya juu.Mathalan kulikuwa na taratibu kali zilizoelekeza jinsi matabaka mbalimbali katika jamiiyalivyotakiwa kutumia wakati wao.

* Fanikio muhimu kabisa la Seku Ahmadu ni juhudi yake ya kuwageuza Wanomadi waKifulbe waunde jamii zenye maskani ya kudumu. ILL kufanikisha azma hii, alianzishavijiji vingi vya shughuli za kilimo na ufugaji. Juhudi hizi zilizaa matunda wakati wautawala wa mwanawe, Ahmadu Seku.

Ahmadu Seku (1845-53) na kipindi kilichofiiatia

Kipindi cha utawala wa Ahamdu Seku kinachukuliwa kuwa ndicho kilichopindukia kwaamani na neema huko Massina katika käme hiyo. Jambo hili halimaanishi kwambahakukuwa na matatizo ya awali nchini na nje ya nchi. Matatizo ya ndani yalitokana namizozo iliyofuatia kifo cha Seku Ahmadu. Matatizo ya nje yalisababishwa naWabambara wa Saro na Watuareg wa eneo la Timbuktu ambao walitumia fursa ya kifocha Seku Ahmadu kufanya uasi dhidi ya mamlaka ya Massina. makundi yote mawili .yaliweza kudhibitiwa, ingawa Watuareg walishughulikiwa kwa ukatili zaidi. Baada yavita hivi Wabambara wa Monimpe vilevile walidhibitiwa.

Licha ya matatizo haya ya awali, miaka ya mwisho ya utawala wa Ahmadu Seku

Page 277: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 278: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Messin

an

ah

ima

yaya

Kito

rodbe

Kitu

ku

loo

r)hadim

waka

1878

Page 279: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 280: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 281: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 282: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 283: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 284: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Messina na lii.naya ya Kitorodbe Kitukuloor) hadi mwaka 1878 259.

23.5 Longo la kiiingilia Kasr, huko Segtt-Sikoro

23.6 Ahmadu akipokea wagem kwenye uga wa Kasr

sÊmMm^$mz3&

Page 285: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 286: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 287: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

262 Afrika kwenye karne va kumi na tisa hadi miaka ya 1880

Nchi na watu wa

Senegambia na Upper Guinea.

[v. _ri Futa Jallon baada ya 1870

f/y'y/S\ Himaya ya Samori (kama 1885)

BAULE : Kabila

NYUMI: Nchi

24.1 NM na watu wa Senegambia na Upper Guinea (mfimo wa Y. Person)

Page 288: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 289: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 290: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 291: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 292: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 293: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

268 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

24.2 Wapga makasia wa kru 24.3 nyumba zu wakru

Mguro wa baadi ya koo za Wakru kutoka mashariki kwenda magharibi, ambao ulikuwaukiendelea kwa karne nyingi huko bara, ulisitishwa katikati ya karne wakatiwalipokutana na vikundi vingine vyenye nguvu zaidi. Maendeleo mengine muhimuyalikuwa ni kujumuishwa kwa wakulima wadogo na mabaharia katika baadhi ya jumuiyaza Wakm. Kabla ya käme ya kumi na tisa, kulikuwa na tofauti ya muda mrefu kati yawakulima na mabaharia. ______ jinsi wakulima walivyozidi kushiriki katika biashara yawatumwa ndivyo walivyozidi kujiweka karibu na mabaharia, na kwa njia h'iyokusababisha kuchanganyika kwa vikundi hivyo viwili.

Uhusiano maalumu pia uliundwakati ya vikundi kadhaa vya Wakm na Sierra Leone.Hii ni kwa kuwa wafanyabiashara wa Kizungu ambao waliitumia Ghuba ya Guineakatika biashara ya siri ya watumwa na katika biashara halali, waliwatumia mabaharia wa

Ki-kru kama wakalimani wao. Matokeo yake ni kwamba Wakm walijijenga kwa idadikubwa huko Freetown na baadaye huko Monrovia kama vibarua na watema kuni.

Waliendelea na mshikamano wao, lakini pia walichukua nduni kadha za utamaduni waWakrioli. Athari za Uprotestanti kwa Wakm, kutoka Sierra Leone na Liberia, kwa

hakika zilichangia katika kuzuka kwa Ufalme wa Grebo ulioiga muundo wa shirikisho laWafante la 1871 huko Gold Coast, na katika kuleta mwamko wa kitaifa na lugha yamaandishi. Utaifa huu wa Grebo ulitoa usuli kwa amali ya baadaye ya Nabu Harris hukoCote d'Ivoire.

Jinsi wakati ulivyopita, jumuiya ya zamani ya wavuvi wa pwani ilizidi kuwekwachini ya athari ya shughuli za Wazungu. Baada ya 1821, ukanda wa pwani uliingia kwakiasi fulani chini ya mamlaka ya serikali ya Liberia. Mpaka wa Sassandra ulibakia imara

katika nchi ya Wakm, lakini mbele zaidi, mikusanyiko ya watu wengine ilipatikanakatika nchi ya Wakm miongoni mwa Wabete wa Gagnoa na baadhi ya Wadida. Biashara

Page 294: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 295: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 296: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 297: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

27

2A

frikakw

enyekarne

yakum

inatisa

hadimiaka

ya1880

Page 298: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Nchi na watu wa mzingo wa Niger na Volta273

25.2 Kigoda cha Dhahabu cha Asante

Page 299: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 300: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 301: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

276 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

tun«.

«;\ r~-^

*H_^TfgCT1

25.3 A7m/a _/;_ Hazina, Kumasi 1817

25.4 Wamossi waliovaa majuso;

Ai<_/i_ri f" "makithani wa ardhi" 3waliowakilisha mamlaka zfl asili;

picha ya )'.

mwanzoni mwa karne ya ishirni.

Page 302: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 303: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 304: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Nchi na watu wa nango wa Niger na Yalta 279

;' ' '"'__

A .'_.___ -.

«* ; .._tí? " ' -v _.__S

il$_H__

í'.*'*^Wi :.-'¿ii¿£] , __..ÍAS^C ;v£ »¡^^JS ?-/fc.>j3l

_ u ._** ^.-.»i.», .< _r_ ______

25.5 Mogho Naaba Sanem akiwa aiiasaJimiwa na raía wake, 1888.

25.6 Aína za nyumba za Bambara, 1887

. /.-- _ -.

~ .- >. ;A«_ti _.". -- . *i tí. XAttiVi'-'Wi^Tir- ;? . ' 'v v *¿v*>* _:C _--- Vf

Page 305: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 306: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 307: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

282 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

rGi.,-..V

.

;

- v . ?S_>.ti /

25 7 Mfanyabiasharu wa Mossi, 1888

Page 308: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Nch

inaw

atuw

am

zingow

aN

ige

rna

Volta

28

3

Page 309: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 310: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 311: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

286 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

re___£__M_ jPä". ' î':-fc-- ~< ' ~~- ._ aZr ilr__-~ - JV. -If ¿'.'S

SBC . ¡V\ r_^V$S$

25.9 SWaga toftta mwaka 1888.

25.10 Karakana ya seremala ya misioni ya Basal huko Christiansborg (Akkra).

Mchoro kutoka picha ya fotografió, labda ya 1870.

s^ri

Page 312: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 313: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 314: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Dahomey, nchi ya Yoruba, Borgu na Benin katika karne ya kumi na tisa 289

26.1 Sanamu ya askari akiwajuu ya mabega ya babalawo (mganga wa kienyeji) kutoka

kaskazini-mashariki wa "cn^ . a Yoruba; (labda) ilichongwa kati ya 1850 na 1875.

Page 315: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 316: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 317: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 318: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Dahomey, nchi ya Yoruba, Birgit na Benin katika karne ya kumi na tisa 293

mm _ v

if

"ill

^J "-.;__3_í^'^- _.____!>!

26.3 _«/;<;_ la mji wa Wayoruba wa Ijebtt ttitwao lpara, k. 1855. .55.

(Misiani va kanisa va Cleaver 1855)

î_ï__j__'\

_

,f

-ïV_h|>_?".

té _. ;

Kulikuwepo pia na kuundwa upya kwa mji mkuu wa Oyo huko Ago-Oja katika miaka ya1830. Makazi haya yalikuja kuwa vituo vipya vya madaraka katika nchi ya Yoruba, kilakimoja kikigombania kutambuliwa na kurithi ukuu katika ombwe la kisiasa

lililosababishwa na kuanguka kwa Oyo.

Vita vya Ijaye vilikuwa ni mashindano kati ya Ijaye na Ibadan, huku Egba narAbeokuta zikiwa zinaisaidia Ijaye bila mafanikio yoyote. Kwa kweli hizi zilikuwa ni

harakati za kugombania uongozi. Harakati hizi zilifikia kilele chake kwa maangamizi yaIjaye mnamo mwaka 1862, japo vita viliendelea taratibu kwa awamu mbalimbali hadi

pambano lililopiganwa nje ya Ikorodu mwaka 1865. Waikitiparapo walikuwa nimuungano mkubwa wa Waekiti, Waijesa, na Waigbomina, wakiungwa mkono na Waifena wengineo, wakipigana iii kupinga kutawaliwa na Ibadan. Vita hivi vilijikokota hadiWaingereza walipoingilia kuleta amani mwaka 1886, na hata hivyo havikuisha kabisahadi 1893.

Athari nyingine muhimu ya kuanguka kwa Oyo Kongwe ilikuwa ni kuibuka kwaDahomey kama ufalme unaojitawala wenyewe mwaka 1820, na uvamizi wake wa mara

kwa mara kwa nchi za Yoruba hadi ilipotekwa na Wafaransa mwaka 1892. Uimara wa

kisiasa wa Dahomey katika käme ya kumi na tisa ulikuwa ni matokeo ya utawala mrefuwa wafalme wake, kuanzishwa kwa mfumo unganifu wa utawala uliokuwa na ufanisi

Page 319: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 320: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 321: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 322: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Duhomey, nchi ya Yoruba, Borgt/ na Benin katika karne ya kumi na tisa Vil

26.4 Altare ya madhabaliii katika ua wa mfalme, Benin.

26.5 Sura ya mji wa Benin wakati wa kuvamiwa na Waingereza, 1897.

Page 323: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 324: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Dahomey, nchi ya Yoruba, Borgu na Benin katika karne ya kumi na tisa 299

26.6 i Sanamu ya mwanaume

akimwakilisha Mfälme Gezo 1818-58.

26.7 Mfalme Glélé aliyesimama, labda

(1858-89) lakionyesliwa kiisliara kama simba.

Badiliko jingine muhimu katika karne ya kumi na tisa lilikuwa ni kusambaa kwamakazi katika maeneo ya pwani yaliyokuwa yamekaliwa na watu wachache. Hilililisababishwa na mambo mengi. Kwanza kabisa, vita vya käme ya kumi na tisavilisababisha maeneo ya pwani ya kinamasi kuwa kimbilio la kuvutia kwa wahamajiwaliokuwa wanayakimbia maeneo ya vita huko bara ambayo yalikuwa wazi zaidi.

Pili, biashara ya Wazungu ya kuvuka bahari polepole ilikuwa inachukua umaarufukuliko biashara ya nchi kavu kwa sababu ya mabadiliko kutoka biashara ya watumwakwenda kwenye biashara "halali", na hivyo kuyapatia maeneo ya pwani faida ya kiuchumiya uhakika. Mwisho, kulikuwepo na kukua kwa uhakika kwa shauku ya Wazungu hukopwani, na jambo hili lilipanua dhima ya kijadi ya miji kadhaa ya pwani kama vile Lagos,Porto Novo na Kotonu, ambayo ilichukua wajibu mpya wa ziada, sio tu kama bandari,lakini pia kama vituo muhimu vya shughuli za Wazungu, na miji mikuu ya baadaye yanchi za kikoloni zilizokuwa zinaanzishwa, na nchi huru za Kiafrika zilizozirithi.

Hata hivyo, sababu za kiuchumi zilichukua nafasi kubwa sana katika mabadiliko yote

haya, hasa kwa kuzingatia kuwepo kwa Wazungu. Wakati biashara iliwaingiza Wazungukatika ukanda huo, ilihalalisha pia kuendelea kuwepo kwao mahali pale. Kwa hivyq

Page 325: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 326: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 327: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

302

Afrika

kwenye

karneya

kumina

tisahadim

iakaya

1880

Page 328: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 329: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi mh'ka ya 1880

Delta ya mashariki

Delta ya mashariki inajumuisha madola kadhaa ya miji kama vile Boni, Nembe, Okrika

na Elem-Kalabari ya käme ya kumi na tisa. Mambo makuu matatu yalisababisha kukua

kwa madola haya. Mambo hayo ni: hali tofauti ya ekolojia ya mabwawa ya mikoko yadelta ya mashariki; biashara ya masafa marefu iliyofanywa na bara ya Igbo, na biasharana delta ya magharibi. Katika madola haya, biashara ilikuwa chini ya watawala:

Wafalme walioitwa amanyanabo na wakuu wa koo walioitwa wakuu wa kaya.Kukomeshwa kwa biashara ya watumwa na Waingereza mnamo 1807 kulileta

mabadiliko mengi katika delta ya mashariki. Kwanza, juhudi za kukomesha biashara ya

watumwa zilileta uhusiano mpya baina ya maafisa wa Kiingereza na madola ya delta.Ikawa mwanzo wa diplomasia ya kutumia mizinga ambapo mabalozi wa Kiingerezawalitumia majeshi ya wanamaji kufikia maafikiano yaliyowanufaisha wafanyabiashara

wao, wamisionari na wapelelezi. Mikataba miûgi ilitiwa saini baina yao na machifuwenyeji; mikataba hiyo ilizuia biashara ya watumwa iliyofanywa na machifu na

kuwataka kufanya biashara ya bidhaa nyingine. Mikataba hiyo iliweka pia kanuni za

Page 330: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 331: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

27.3 Mfalme Jaja wa Opobo

27A Nyumba ya Mfalme Bell mnamo miaka ya 1840

i I

¿Je m.sdSF- :. .-.,

Page 332: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 333: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 334: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 335: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 336: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 337: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

312 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

a&Xit

V ^W 'W.%_>- ' ___i

%EI±ßm te ï

J§Äi s*

27.5 Mfonyahioshara wa Mto Ogowe, Wassengo, akiwa na pembe za ndovu na waimkaya wake wa kike.

27. ôAntchuwe Kowe Rapontchombo ("Mfalme Denis "), mtawala mmojawapo wa mto Ogowe,

akiwa na mkewe mkubwa.

. 5 .

_________

Page 338: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 339: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 340: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Kutawaiiyika kwa waafrika dunkini 315

,

.

28". 1 Kinyago cha mtu mweusi chenye kijambia cha Kiindonesia kwenye mshipi mgongoni^ inawezekana,,kinatoa Vietnam ya sasa na inawezekmta kimechongwa karne ya kumi na saba.

Page 341: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 342: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 343: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

318 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

28.2 Mtumishi wa Kiufrika na towaihi na mtoto wa bwana wao huko India Mashariki mnamo

käme ya kumi na, tisa.

Page 344: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 345: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 346: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 347: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

322 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880

$r

Xtir-JiP-'

28.3 Toussaint L'Ouverture, kiongozi wa mapinduzi ya Saint-Domingue na Baba wa uhuruwa HaUi. \and latin:

Page 348: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 349: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 350: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 351: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 352: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 353: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 354: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 355: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 356: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 357: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 358: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 359: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 360: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 361: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 362: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 363: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 364: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 365: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 366: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 367: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 368: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 369: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 370: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 371: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 372: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 373: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 374: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 375: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 376: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 377: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 378: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 379: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 380: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 381: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 382: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 383: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 384: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 385: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 386: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 387: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 388: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 389: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 390: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 391: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 392: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 393: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 394: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 395: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 396: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 397: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 398: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 399: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 400: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 401: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 402: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 403: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 404: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 405: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 406: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 407: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 408: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 409: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 410: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 411: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 412: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 413: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 414: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 415: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 416: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 417: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 418: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne
Page 419: Historia kuu ya Afrika, toleo lililofupishwa, v. VI: Afrika kwenye karne

Historia Kuu ya Afrika

Historia hii inatoa mwanga juu ya umoja wa kihistoria waAfrika pamoja na uhusiano wake na mabara mengine,hasa Amerika na Karibian. Kwa muda mrefu aina zote

za taarifa za kubuni na hisia pendelevu zimefichahistoria ya kweli ya Afrika kwa ulimwengu kwa jumla.

Kwa kujumuisha maarifa yetu juu ya Afrik^iukiwekabayana maoni mbalimbali kuhusu tamaduni za Afrika nakwa kupitia upya historia, historia hii ina martufaa yakutoa mwanga na uvulivuli na kueleza bayána tofauti zamawazo ambazo zinaweza kuwepo baina \ a wasomi.

Mapitio ya Majuzuu yote

"Mazao ya mwanzo ya UNESCO ni lazima yasifiwe kuwani mchango mkubwa wa kitaaluma."Roland Oliver, Times Literary Supplement

"Ni mojawapo wa miradi mikubwa ya kitaalumailiofanyika katika karne hii."West Africa

"Majuzuu haya yametolewa kwa unadhifu mkubwa lakiniyana bei nafuu sana ... Yanawakilisha matumizi mazurikabisa ya pesa ambayo mnunuzi yeyote wa vitabuanaweza kuyapata ..."Basil Davidson, Third World Quarterly

VI Afrika kwenye Karne ya Kumi na Tisa hadi miaka ya 18_.

Juzuu la VI linajadili historia ya Afrika

kuanzia mwanzoni mwa karne ya kumi

na tisa hadi kuanza kwa 'ugombeanaji'wa makoloni kwenye miaka ya 1 880.

Licha ya kuanza kwa kuwepo na

biashara, dini na siasa za Wazungu

wakati wa karne hii, athari kutoka nje

zilifikia jamii za Afrika kwa njia isiyo ya

moja kwa moja, na walifanya jitihada

tofauti za wazi kiutamaduni kupanukana kuendelea. Matukio mawili

yaliyofuatana ambayo yanathari kubwa

- Mfecane huko Afrika ya Kusini na

matawi yake huko Afrika ya Kati naMashariki na nyendo za Waislamuwenye kuleta mabadiliko huko AfrikaMagharibi - yalikuwa yana nafasi

ndogo au hayakuwa na nafasi kabisa kwaathari za kigeni na hujitokeza wazi katika

sura nane kati ya sura za kitabu hiki.

Kitabu hiki kinaanza na sura nne zenye

mada maalumu zinazochunguza nguvu

kuu zilizokuwa zikifanya kazi katika jamii

za Kiafrika mwanzoni mwa karne;

mabadiliko ya nafasi ya Afrika kwenye

uchumi wa dunia; mielekeo na njia

mpya; athari za ufutaji wa biashara yautumwa. Sura hizi zinafuatiwa na sura

ishrini na tatu zinazoelezea kwa undani

maendeleo kwenye maeneo kadha. Surambili za kuhitimishia zinafuatilia

mtawanyiko wa maendeleo ya

kiutamaduni kabla ya kutamalaki kwa

Wazungu. °

t^KI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM UNESCOS.LP 35110, Dar es Salaam

ISBN 9976 911 27 0