SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA
MAFUNZO YA AMALI
MHE. RIZIKI PEMBE JUMA (MBM)
KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA
MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA
WA FEDHA 2016/17
Juni, 2016
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 ii
YALIYOMO
UTANGULIZI................................................................. 1
MAELEZO YA UT EKELEZAJI KWA MWAKA
2015/2016…………………………………………………………
4
Muundo wa Programu za Sekta ya Elimu………………….…….. 4
MAELEZO YA UTEKELEZAJI KWA PROGRAMU…….... 4
PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA MAANDALIZI
NA MSINGI……………………………………………………...
5
PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA SEKONDARI…….…… 8
PROGRAMU YA TATU: ELIMU YA JUU…………………. 11
Programu ndogo ya Mafunzo ya Ualimu……………………........ 11
Huduma ya Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti……………………. 13
Huduma ya Sayansi na Teknolojia …………………………........ 14
Huduma ya Mikopo ya Elimu ya Juu……………………………. 15
Huduma ya Uratibu wa Elimu ya Juu……………………………. 16
PROGRAMU YA NNE: ELIMU MBADALA NA
MAFUNZO YA AMALI…………………………………….
17
Programu ndogo ya Mafunzo ya Amali…………………………. 17
Programu ndogo ya Elimu Mbadala na Watu Wazima …………. 19
PROGRAMU YA TANO: UBORA WA ELIMU ................... 21
Huduma ya Mitaala na Vifaa vya Kufundishia ............................. 22
Huduma ya Upimaji na Tathmini ya Elimu ……………………... 23
Huduma ya Ukaguzi wa Elimu ………………………………….. 24
Huduma ya Maktaba …………………………………………….. 24
Huduma ya Urajisi wa Elimu ………………………………........ 26
Programu ndogo ya Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha .......... 27
Programu ndogo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika
Elimu ………………………………………………….
29
Programu ndogo ya Michezo na Utamaduni katika Skuli ………. 30
PROGRAMU YA SITA: UTAWALA NA UONGOZI …....... 31
Programu ndogo ya Uongozi Kiujumla ……………………… 31
Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Mipango, Sera na
Utafiti …………………………………………………………….
33
Programu ndogo ya Kuratibu Shughuli za Elimu Pemba ...…….. 34
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 iii
MPANGO WA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2016/2017
KATIKA MFUMO WA PROGRAMU………………………...
34
Vipaumbele………………………………………………………. 35
Miradi Minne ya Sekta ya Elimu………………………………… 37
Programu Sita za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Elimu………. 37
Maelezo ya Programu za Elimu…………………………………. 37
PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA MAANDALIZI
NA MSINGI……………………………………………………..
37
PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA SEKONDARI…………. 38
PROGRAMU YA TATU: ELIMU YA JUU……………….. 39
Programu ndogo ya Mafunzo ya Ualimu………………………… 39
Huduma ya Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti……………………. 40
Huduma ya Sayansi na Teknolojia ……………………………… 40
Huduma ya Mikopo ya Elimu ya Juu……………………………. 41
Huduma ya Uratibu wa Elimu ya Juu……………………………. 42
PROGRAMU YA NNE: ELIMU MBADALA NA
MAFUNZO YA AMALI……………………………………….
42
Programu ndogo ya Mafunzo ya Amali…………………………. 42
Programu ndogo ya Elimu Mbadala na Watu Wazima ………… 43
PROGRAMU YA TANO: UBORA WA ELIMU .................. 44
Huduma ya Mitaala na Vifaa vya Kufundishia ........................... 44
Huduma ya Upimaji na Tathmini ya Elimu ……………………... 44
Huduma ya Ukaguzi wa Elimu …………………………………. 45
Huduma ya Maktaba ……………………………………………. 46
Huduma ya Urajisi wa Elimu ………………………………....... 46
Programu ndogo ya Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha ........... 47
Programu ndogo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika
Elimu ……………………………………………………………..
47
Programu ndogo ya Michezo na Utamaduni katika Skuli ………. 48
PROGRAMU YA SITA: UTAWALA NA UONGOZI ……… 48
Programu ndogo ya Uongozi Kiujumla ………………………… 49
Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Mipango, Sera na
Utafiti …………………………………………………………….
49
Programu ndogo ya Kuratibu Shughuli za Elimu Pemba ...…….. 50
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 iv
JUMLA YA GHARAMA ZA WIZARA YA ELIMU NA
MAFUNZO YA AMALI……………………………………...
52
SHUKRAN…………………………………………………… 53
KIAMBATISHO……………………………………………… 55
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 1
HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
AMALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO KWA
MWAKA WA FEDHA 2016/17
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Baraza
lako Tukufu liingie katika Kamati ili niweze kutoa maelezo
ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu na
Mafunzo ya Amali kwa mwaka wa fedha 2016/17.
2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa namshukuru Mwenyezi
Mungu kwa kutujaalia uhai, uzima na afya njema. Pia
akatuwezesha kukutana hapa leo na kuniwezeshe
kuiwasilisha hotuba hii mbele ya Baraza lako tukufu.
3. Mheshimiwa Spika, pili, napenda kuchukua fursa hii
kumpongeza Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein kwa
kuchaguliwa na Wazanzibari kuiongoza nchi yetu kwa
ushindi mkubwa alioupata katika uchaguzi wa marudio
uliofanyika tarehe 20/03/2016. Ninaungana na Wazanzibari
na Watanzania wote kumuombea kwa Mwenyezi Mungu
amjaalie afya njema ili aweze kuiongoza nchi yetu kwa
busara, hekima, uadilifu na umahiri mkubwa.
4. Mheshimiwa Spika, pia napenda kuchukua nafasi hii
kumpongeza Mheshimiwa Balozi Seif Ali Iddi, kwa
kuteuliwa kwa kipindi kingine na Mheshimiwa Rais kuwa
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar. Pia napenda
kukupongeza wewe Mheshimiwa Spika, Naibu Spika, na
Wenyeviti wa Kamati za Baraza kwa kuchaguliwa
kuliongoza Baraza lako Tukufu. Namuomba Mwenyezi
Mungu awajaalie busara, hekima na uadilifu mkubwa katika
kukiongoza chombo hiki muhimu katika nchi yetu. Napenda
pia, kuwapongeza Waheshimiwa Wajumbe wote wa Baraza
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 2
lako Tukufu kwa kuchaguliwa kwao. Ninaamini kuwa sote
tutatekeleza kazi zetu za kuwatumikia wananchi wote wa
Zanzibar ili kuyafikia malengo yaliyowekwa na Ilani ya
Chama cha Mapinduzi ya Mwaka 2015 hadi 2020.
5. Mheshimiwa Spika, napenda kumpongeza Mwenyekiti wa
Kamati ya Afya na Elimu Mheshimiwa Mwinyihaji Makame
na Wajumbe wa Kamati kwa kuteuliwa kwao. Ninaishukuru
kwa dhati Kamati hii kwa ushauri na maelekezo waliyotupa
ambao umetusaidia sana katika kuifanyia marekebisho
Hotuba yangu ya Bajeti.
6. Mheshimiwa Spika, namshukuru kwa dhati Mheshimiwa
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mheshimiwa
Mmanga Mjengo Mjawiri, kwa mashirikiano yake makubwa,
juhudi katika utendaji na uadilifu wake katika kutekeleza
majukumu tuliyopangiwa. Aidha, nawapongeza watendaji
wakuu na wafanyakazi wote wa Wizara yangu wakiwemo
Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Wakuu, Wakurugenzi,
Maafisa wa ngazi mbalimbali wa Sekta ya elimu, Wazazi,
Walimu na Wafanyakazi wengine wote kwa bidii, nidhamu
na ushirikiano wao katika kutekeleza majukumu
waliyopangiwa. Pia, nazipongeza Taasisi zote za Elimu
zinazojitegemea, Baraza la Elimu, Bodi za Elimu za Mikoa
na Wilaya pamoja na Kamati za Skuli kwa utendaji kazi wao
ambao unachangia sana katika kuleta ufanisi katika Wizara
yetu.
7. Mheshimiwa Spika, pia naishukuru kwa dhati kabisa Wizara
ya Fedha kwa ushirikiano mkubwa iliyotupatia katika mwaka
2015/16. Wizara yangu inatarajia kwamba ushirikiano huu
wenye lengo la kuleta maendeleo ya kielimu katika Taifa letu
na hasa kwa kuzingatia kauli mbiu yetu ya “Elimu Bora
Kwanza” utaongeza kasi ya upatikanaji wa fedha kwa sekta
yetu kwa kadiri hali itakavyoruhusu.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 3
8. Mheshimiwa Spika, baada ya maelezo hayo ya utangulizi,
sasa naomba nitoe maelezo ya utekelezaji wa kazi kwa
mwaka 2015/2016.
MIRADI YA SEKTA YA ELIMU
9. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha uliopita
tulitekeleza kazi zetu kupitia miradi mikuu minne
iliyotekelezwa kwa kutumia mfumo wa programu, miradi
yenyewe ni kama ifuatavyo:-
1. Uimarishaji wa Elimu ya Maandalizi
2. Uimarishaji wa Elimu ya Msingi
3. Uimarishaji wa Elimu ya Lazima na
4. Uimarishaji wa Elimu Mbadala na Amali
VIPAUMBELE VYA WIZARA KWA MWAKA WA
FEDHA WA 2015/16
10. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2015/16, Wizara ya Elimu
na Mafunzo ya Amali ilitekeleza kazi zake kupitia
vipaumbele vikuu viwili vifuatavyo:-
1 Kuongeza upatikanaji wa fursa za elimu kwa
usawa katika ngazi zote za elimu na mafunzo
ya amali.
2 Kuinua ubora wa elimu na kujenga stadi
katika ngazi zote za elimu na mafunzo.
Katika kuvitekeleza vipaumbele hivyo vikuu viwili Wizara
ilipanga mikakati ifuatayo:-
i. Kufuta michango ya wazazi na Serikali
kugharimia elimu ya maandalizi na
msingi kwa kuzipatia skuli na wanafunzi
vifaa vya kufundishia na kujifunzia
vikiwemo vitabu, chaki, madaftari ya
mahudhurio na mabuku ya kuandikia
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 4
wanafunzi na chakula kwa wanafunzi wa
skuli za maandalizi za Serikali.
ii. Kuwalipia ada za mitihani wanafunzi
wote wanaofanya mitihani ya Taifa ngazi
ya elimu ya msingi na sekondari.
iii. Kuanza mchakato wa kuandaa Mpango
Mkuu wa Maendeleo ya Elimu kwa
utaratibu wa maabara. Mpango huo
utatumika kwa muda wa miaka mitano
ijayo (2016/17 hadi 2020/21).
UTEKELEZAJI WA KAZI ZA WIZARA KWA
MWAKA 2015/16
11. Mheshimiwa Spika, naomba sasa, kuwasilisha utekelezaji
wa mpango wa maendeleo ya elimu kwa mwaka 2015/16 kwa
mfumo wa programu.
MUUNDO WA PROGRAMU 12. Mheshimiwa Spika, programu kuu za Wizara ya Elimu na
Mafunzo ya Amali ni Sita, nazo ni:-
Programu ya 1: Elimu ya Maandalizi na Msingi
Programu ya 2: Elimu ya Sekondari.
Programu ya 3: Elimu ya Juu
Programu ya 4: Elimu Mbadala na Mafunzo ya Amali
Programu ya 5: Ubora wa Elimu
Programu ya 6: Uongozi na Utawala
MAELEZO YA UTEKELEZAJI KWA PROGRAMU
13. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2015/16 Wizara
ilitekeleza kazi zake kwa kufuata mfumo wa programu sita
nilizoziainisha. Programu hizo zilitekelezwa kwa kuzingatia
Dira ya Maendeleo ya Zanzibar kwa mwaka 2020, lengo la
MKUZA II la kuhakikisha usawa katika kutoa elimu bora
inayozingatia jinsia, vipaumbele vya Wizara pamoja na
makubaliano yote ya maendeleo ya elimu ya Kitaifa na
Kimataifa.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 5
14. Mheshimiwa Spika, Programu hizi zilitekelezwa kwa
pamoja kati ya Serikali, wananchi na washirika wa
maendeleo wa ndani na nje. Programu hizo zilitengewa bajeti
ya jumla ya TSh. 120,726,400,000/=, kati ya fedha hizo, TSh.
96,827,900,000/= zimetengwa kwa kazi za kawaida na
23,898,500,000/= kwa kazi za maendeleo. Kati ya fedha za
maendeleo, TSh. 2,900,000,000/= ni mchango wa SMZ na
TSh. 20,998,500,000/= ni mchango wa Wahisani. Kati ya
fedha za wahisani TSh. 17,862,867,000/= ni mkopo kutoka
Benki ya Kiarabu (Badea) na Benki ya Maendeleo ya Afrika
(AfDB) na nyengine ni misaada kutoka kwa Wahisani
mbalimbali.
15. Mheshimiwa Spika, Hadi kufikia tarehe 31 Mei 2016, jumla
ya TSh. 85,381,583,706/= za SMZ zilipatikana, kwa kazi za
kawaida na za maendeleo ikiwa ni sawa na asilimia 70.7 ya
makadirio. Kati ya fedha hizo zilizopatikana jumla ya TSh.
61,485,025,184/= zimetumika kulipia mishahara ya
wafanyakazi ikiwa ni sawa na asilimia 92.6, TSh.
5,091,962,159/= sawa na asilimia 40.8 zimetumika kwa
matumizi ya kawaida na TSh. 11,959,777,568/= ambazo ni
asilimia 66.6 za ruzuku kwa Mashirika mbalimbali ya elimu
zimetumika. Kwa upande wa washirika wa maendeleo, jumla
ya TSh. 6,724,818,795/= zilipatikana ambazo ni sawa na
asilimia 28.1 ya makadirio ya fedha za maendeleo. Kwa
upande wa Serikali, jumla ya TSh. 120,000,000/= ya fedha za
maendeleo ambazo ni sawa na asilimia 4.1 zilipatikana.
Jadweli Nam. 10 (b) linatoa ufafanuzi zaidi. Utekelezaji halisi
wa Programu ni kama hivi ifuatavyo:-
PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA
MAANDALIZI NA MSINGI
16. Mheshimiwa Spika, Programu hii inahusika na kutoa elimu
ya maandalizi na msingi kwa wanafunzi wenye umri kati ya
miaka minne hadi kumi na nne. Programu hii inatekelezwa
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 6
kwa mashirikiano ya pamoja kati ya Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar (SMZ), Wananchi na Washirika wa maendeleo
wakiwemo Global Partnership for Education (GPE), Table
for Two (TfT) ya Japan na Shirika la Maendeleo ya Elimu na
Watoto Duniani (UNICEF), Dubai Cares kupitia Programu ya
Madrasa Early Childhood. Kwa mwaka wa fedha wa
2015/16, programu hii ilitengewa jumla ya TSh.
29,261,785,000/= kwa kazi za kawaida na TSh.
4,879,250,000/= kwa kazi za maendeleo. Kati ya hizo, TSh.
1,000,000,000/= ni mchango wa Serikali na 3,879,250,000/=
ni ruzuku kutoka GPE na UNICEF. Hadi kufikia tarehe 31
Mei 2016, jumla ya TSh. 4,803,778,320/= za wafadhili sawa
na asilimia 98.5 na TSh. 27,909,057,328 za SMZ sawa na
asilimia 95.4 zilipatikana. Utekelezaji halisi ni kama hivi
ifuatavyo:-
i). Jumla ya wanafunzi wapya 13,690 wa ngazi ya elimu
ya maandalizi na wanafunzi 44,033 wa darasa la
kwanza waliandikishwa katika mwaka 2016. Idadi
hii ni ongezeko la wanafunzi 7,425 kwa darasa la
kwanza ikilinganishwa na mwaka 2015.
ii). Jumla ya skuli 25 zimewekewa miundombinu ya
maji, vyoo vya kisasa na sehemu ya kuoshea mikono
kupitia mradi wa Elimu ya Usafi na Afya katika skuli
(SWASH). Aidha walimu 75 wamepatiwa mafunzo
ya namna ya kudumisha usafi na afya kwa wanafunzi
na walimu 110 wamepatiwa mafunzo ya namna ya
kujikinga na kuwakinga wengine dhidi ya
maambukizi ya maradhi ya kipindupindu kwa
Unguja na Pemba.
iii). Mafunzo juu ya mbinu bora za ufundishaji yalitolewa
kwa walimu 200 wa vyuo vya Kur-ani wa Wilaya ya
Kati na Micheweni na walimu wasaidizi 60 wa vituo
vya maandalizi vya Tucheze Tujifunze (TUTU) vya
Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja na Mkoani Pemba.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 7
iv). Jumla ya vituo 30 vya TuTu vimeanzishwa katika
Wilaya ya Kaskazini “B” na Mkoani Pemba,
kuhesabia, vibao vya kufanya mazoezi ya kuandikia
watoto, CDs na kadi za nambari, kadi za maneno na
kadi za herufi.
v). Jumla ya pembea 60 zimenunuliwa na kufungwa
katika skuli 30 za maandalizi za Serikali.
vi). Mikutano sita ya kuihamasisha jamii juu ya
umuhimu wa kumuandikisha mtoto katika umri
sahihi wa kuanza elimu ya maandalizi na msingi
imefanyika katika Wilaya zote.
vii). Jumla ya pea 51,926 za viatu kutoka Jumuiya ya
Chara vimegaiwa kwa wanafunzi wenye umri tofauti
katika skuli za Unguja.
viii). Taratibu za manunuzi ya madawati 330 kupitia
mfuko wa Kodi ya Bandari na 926 ya Milele
Zanzibar Foundation zinaendelea na taratibu
zikikamilika yatasambazwa katika skuli ya Abdalla
Sharia iliyopo Tomondo, Bandamaji, Kiboje na Skuli
ya Kidoti kwa Unguja na Skuli ya Michakaini,
Jadida, Birikau, Msuka na Uwandani kwa Pemba.
ix). Jumla ya madawati 315 ya wanafunzi, viti 27 na
meza 27 kwa walimu vimenunuliwa kwa ufadhili wa
Sida na vimesambazwa katika skuli ya Donge
Mtambile, Zingwezingwe na Kinuni kwa Unguja na
Tumbe, Kilindi na Pujini kwa Pemba.
x). Ujenzi wa nyumba tano za walimu umekamilika
katika Skuli ya Mbuyutende, Kidagoni na Kiongwe
kwa Unguja na Skuli ya Mnarani na Mahuduthi kwa
Pemba. Aidha, ujenzi wa nyumba nyengine ya pili ya
walimu katika Skuli ya Mbuyutende unaendelea
chini ya ufadhili wa Hoteli ya Mnemba.
xi). Ukarabati wa mapaa ya skuli 16 umekamilika. Skuli
hizo ni; Rahalaeo, Mwanakwerekwe “F” na “G”,
Jendele, Chwaka, Kibele, Mpapa, Matemwe na
Donge Msingi kwa Unguja na Birikau, Minungwini,
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 8
Micheweni, Mkanyageni, Wingwi, Gando na
Mitiulaya kwa Pemba.
xii). Jumla ya madarasa 66 yaliyoanzishwa kwa nguvu za
wananchi kwa Unguja na Pemba yamekamilika
kujengwa na yamepatiwa samani.
xiii). Jumla ya madaftari 1,264,593 ya kuandikia
yamenunuliwa na kugaiwa kwa wanafunzi wote wa
maandalizi na wa msingi ambapo kila mtoto wa
maandalizi amepata madaftari sita na wa msingi
amepata madaftari saba kwa Unguja na Pemba.
xiv). Jumla ya boksi 9,687 za chaki nyeupe na za rangi na
madaftari ya mahudhurio 2,734 yamenunuliwa na
kusambazwa katika skuli zote za maandalizi na
msingi za Unguja na Pemba.
xv). Wanafunzi wote wa ngazi ya maandalizi wa skuli za
Serikali wamepatiwa chakula.
Matokeo ya Muda Mfupi
Utekelezaji huu umepelekea ongezeko la uandikishaji wa
wanafunzi katika ngazi ya maandalizi na msingi. kwa mwaka
2015/2016, jumla ya watoto 55,731 ambao ni sawa na
asilimia 58.2 wameandikishwa katika ngazi ya elimu ya
maandalizi, wakiwemo wanawake 27,948 na wanaume
27,783. Hii ni sawa na ongezeko la asilimia 27.5
ikilinganishwa na asilimia 30.7 ya uandikishaji ya mwaka
2014/2015. Aidha, jumla ya wanafunzi 249,143
waliandikishwa katika ngazi ya elimu ya msingi sawa na
asilimia 103.1, wakiwemo wanawake 123,934 na wanaume
125,209. Idadi hii ni ndogo ikilinganishwa na wanafunzi
261,212 walioandikishwa mwaka 2014/15. Hii imetokana na
utekelezaji wa Sera ya Elimu uliopelekea kufutwa kwa darasa
la saba. Jadweli Nam. 13 (a) na 14 yanatoa ufafanuzi zaidi.
PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA SEKONDARI.
17. Mheshimiwa Spika, Programu hii inalenga kutoa na
kuimarisha elimu ya sekondari. Kwa mwaka 2015/2016
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 9
programu hii imetekelezwa kwa pamoja kati ya Serikali
kupitia mfuko wa Kodi ya Bandari na BADEA. Jumla ya
TSh. 20,044,323,000/= zilipangwa kutumika kwa kazi za
kawaida na TSh. 1,000,000,000/= ni kwa miradi ya
maendeleo kutoka SMZ. Hadi kufikia tarehe 31 Mei 2016,
jumla ya TSh. 16,961,751,343/= kutoka Serikalini ambazo ni
sawa na asilimia 84.6 na TSh. 1,094,632,748/= fedha hizo za
maendeleo zilipatikana. Kati ya fedha hizo za maendeleo
TSh. 120,000,000/= ni kutoka SMZ na 974,632,748/= kutoka
BADEA.
18. Mheshimiwa Spika, Programu hii ilitekeleza shughuli
zifuatazo:-
i). Kuendeleza ujenzi wa skuli ya sekondari Kibuteni
ambao umefikia asilimia 45 na kwa skuli ya
Mkanyageni Pemba ambao umefikia asilimia 92.
ii). Jumla ya kompyuta 21 zilizotolewa na Shirika la
Simu la Zantel na kusambazwa katika skuli za
sekondari ya Chasasa Pemba na skuli ya Biashara ya
Mombasa Unguja, Vituo vinne vya Walimu; Kituo
cha Walimu cha Taifa (NTRC), Kituo cha
Kiembesamaki, Dunga na Mkwajuni kwa Unguja na
Kituo cha Michakaeni kwa Pemba. Kila skuli na kila
kituo kimepata kompyuta tatu.
iii). Utaratibu wa manunuzi ya viti na meza 357 kwa
skuli ya Kombeni, Dunga na Fukuchani kwa Unguja
na skuli ya Mkanyageni kwa Pemba unaendelea.
iv). Vifaa vya maabara na kemikali kwa skuli za
sekondari vilinunuliwa na kusambazwa katika skuli
168.
v). Mafunzo ya siku tatu ya uongozi yalitolewa kwa
viongozi 100 wa Serikali za wanafunzi kutoka skuli
20 za Unguja.
vi). Walimu watatu walilipwa gharama za usafiri na
posho la kujikimu; mwalimu mmoja alihudhuria
semina ya kuioanisha mitaala ya maandalizi, msingi
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 10
na sekondari kwa nchi za Jumuiya ya Afrika
Mashariki na walimu wawili walipata mualiko nchini
Sweden wa kujifunza njia wanazotumia skuli rafiki
za usimamizi wa skuli na mbinu za kufundishia na
kumuwezesha mwanafunzi kujifunza vyema na
kuinua ufaulu wao.
vii). Jumla ya skuli 16 za Unguja na Pemba zimepatiwa
msaada wa vifaa vya kompyuta vinavyotumia
umeme wa jua kutoka katika Shirika lisilo la
Kiserikali la Pioneer la Marekani. Pia walimmu
wamepatiwa mafunzo ya kuvitunza vifaa vya nishati
hio. Skuli zilizopatiwa vifaa hivyo ni Jongowe,
Tumbatu, Kidoti, Kandwi, Kijini, Mbuyutende,
Pwani Mchangani, Uzi, Michamvi, Charawe na
Ukongoroni kwa Unguja na Skuli ya Fundo, Tumbe,
Kisiwa Panza, Makoongwe na Shungi kwa Pemba.
viii). Jumla ya wanafunzi 1,393 walifanya mitihani ya
kumaliza Kidato cha Sita iliyofanyika tarehe
02/05/2016 hadi 19/05/2016. Aidha, wanafunzi 2,280
wamefaulu mtihani wa Kidato cha nne uliofanyika
Novemba 2015 na kuchaguliwa kuingia Kidato cha
Tano katika skuli mbalimbali za Serikali. Kati ya
wanafunzi hao, wanafunzi 916 wa fani ya Sanaa
wakiwemo wanawake 550, wanafunzi 1,311 ni wa
fani ya Sayansi kati yao, wanawake 584 na 53 wa
fani ya Biashara na Kompyuta wakiwemo wanawake
16.
ix). Mkutano wa mwaka kati ya Idara ya Sekondari na
Maafisa Elimu Mkoa wa ufuatiliaji na tathmini
ulifanyika.
x). Mfanyakazi mmoja anaendelea na masomo ngazi ya
cheti katika fani ya katibu mukhtasi katika Chuo cha
Utumishi wa Umma cha Zanzibar.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 11
Matokeo ya Muda Mfupi
Ngazi ya elimu ya Sekondari ya awali (Kidato 1 – 4) ina
jumla ya wanafunzi 115,352 sawa na asilimia 74.4. Kati yao,
wanafunzi 83,708 ni wa Kidato cha Kwanza na cha Pili
(wanaume ni 39,754 na wanawake 43,954). Kidato cha Tatu
na cha Nne kina jumla ya wanafunzi 31,644 wakiwemo
wanawake 17,906 na wanaume 13,738. Aidha, jumla ya
wanafunzi 3,848 waliandikishwa katika ngazi ya sekondari ya
juu. Kati yao, wanafunzi 1,884 ni wa Kidato cha Tano
wakiwemo wanawake 857 na wanaume 1,027 na wanafunzi
1,964 ni wa Kidato cha Sita, kati yao wanawake ni 975 na
wanaume ni 989. Jadweli Nam 20, 21, 22 yanatoa ufafanuzi
zaidi.
PROGRAMU YA TATU: ELIMU YA JUU
19. Mheshimiwa Spika, Madhumuni ya programu hii ni kutoa
elimu itakayomuwezesha muhitimu kujiajiri au kuajiriwa.
Programu ina programu ndogo moja ambayo ni mafunzo ya
ualimu na maeneo manne ya Huduma ya Uratibu wa Elimu
ya Juu, Huduma ya Mikopo ya Elimu ya Juu, Huduma ya
Sayansi na Teknolojia na Huduma ya Elimu ya Juu, Ushauri
na Utafiti. Utekelezaji wa programu hii ni kama ifuatavyo:-
Programu ndogo ya Mafunzo ya Ualimu
20. Mheshimiwa Spika, programu hii ndogo ilitengewa jumla ya
TSh. 1,243,160,000/= za SMZ kwa kuendelea kutoa mafunzo
ya ualimu katika ngazi ya Stashahada. Hadi kufikia tarehe 31
Mei 2016, jumla ya TSh. 730,966,460/= zilipatikana sawa na
asilimia 58.8.
21. Mheshimiwa Spika, utekelezaji halisi wa programu hii
ndogo ni kama hivi ifuatavyo:-
i). Ujenzi wa Kituo cha Utamaduni wa Kiislam katika
Chuo cha Kiislam cha Mazizini unaofadhiliwa na
Mfalme wa Oman unaendelea na umefikia asilimia
95. Kituo hicho kitakuwa na msikiti mkubwa,
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 12
madarasa sita, chumba cha kompyuta, maabara ya
lugha, maktaba na ukumbi mkubwa wa kufanyia
mihadhara.
ii). Kukamilisha ujenzi vituo vya walimu vya Bububu,
Dunga, Mwanda na Mkwajuni kwa Unguja na
Mitiulaya, Michakaeni na Wingwi kwa Pemba na
kuvipatia samani.
iii). Vituo vya walimu vimepatiwa washauri wa somo la
TEHAMA katika elimu, washauri wa elimu
mjumuisho na washauri wa elimu ya maandalizi.
iv). Mafunzo ya Uongozi na Usimamizi yametolewa kwa
waratibu saba na washauri wa masomo 37 yenye
lengo la kuwajengea uwezo katika kutekeleza
majukumu yao.
v). Jumla ya walimu 524 wanaendelea na mafunzo ya
cheti Daraja la IIIA kupitia elimu masafa, kati yao,
walimu 329 Unguja na 193 Pemba.
vi). Jumla ya walimu sita walishiriki katika mafunzo ya
wiki tatu ya kuimarisha ufundishaji wa somo la
Sayansi na Hisabati yaliyotolewa na Jumuiya ya
Kuimarisha ufundishaji wa masomo ya Sayansi na
Hisabati yaliyofanyika nchini Kenya.
vii). Jumla ya walimu kumi walishiriki mafunzo ya lugha
ya Kiingereza kwa kufundishia kwa njia ya mtandao
yaliyotolewa na Ubalozi wa Marekani.
viii). Walimu wakuu 409 walipatiwa mafunzo ya Uongozi
yatakayowawezesha kusimamia majukumu yao
ipasavyo kwa lengo la kuinua ubora wa elimu katika
skuli.
ix). Jumla ya walimu 336 walioteuliwa kutoka msingi
kufundisha maandalizi, kati yao walimu 197 wa
Unguja na 139 kwa Pemba walipatiwa mafunzo ya
mbinu za kufundishia madarasa ya maandalizi.
x). Jumla ya walimu 408 walipatiwa mafunzo ya
kuwawezesha kufundisha madarasa ya maandalizi
chini ya mradi wa “Watoto Kwanza” unaofadhiliwa
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 13
na Dubai Care. Kati ya hao, walimu 205 kutoka Skuli
za Serikali na 203 kutoka skuli za jamii kwa Unguja
na Pemba.
xi). Jumla ya walimu 68; Unguja 52 na Pemba 16
walipatiwa mafunzo ya kusomesha kwa njia ya picha
kwa lengo la kuwawezesha walimu kutumia picha
kama njia moja ya kuwashirikisha wanafunzi katika
kujifunza.
xii). Mafunzo ya mwezi mmoja ya nukta nundu na lugha
ya alama yalitolewa kwa washauri 12 wa elimu
mjumuisho na walimu wasaidizi 12 wa elimu
mjumuisho.
Matokeo ya Muda Mfupi;
i). Jumla ya wanafunzi 497 wakiwemo wanaume 65 na
wanawake 432 wamejiunga na mafunzo ya Ualimu
katika Chuo cha Kiislamu Mazizini na Chuo cha
Kiislamu Micheweni. Kati yao, wanafunzi 27
wakiwemo wanawake 25 na wanaume wawili
wanachukua mafunzo ya Cheti cha Ualimu wa Elimu
Mjumuisho.
ii). Asilimia ya walimu waliosomea imefikia 99.1 kwa
mwaka 2015/16. Jadweli Nam. 43(d) linatoa
ufafanuzi zaidi
Huduma ya Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti 22. Mheshimiwa Spika, huduma hii ina lengo la kuwaandaa
wanafunzi kuingia katika fani za kitaalamu na ajira. kwa
mwaka 2015/16 iliendelea kutekelezwa na Serikali kupitia
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) ambacho
kilitengewa ruzuku ya TSh. 5,207,000,000/=. Hadi kufikia
tarehe 31 Mei 2016, jumla ya TSh. 4,837,971,557/=
zimepatikana, ambazo ni sawa na asilimia 96.7. Huduma hii
pia inatolewa na Taasisi binafsi katika Chuo cha
Kumbukumbu ya Abdulrahman Al-Sumeit Chukwani na
Chuo Kikuu cha Zanzibar, Tunguu.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 14
23. Mheshimiwa Spika, Jumla ya wanafunzi 2,980
wameandikishwa katika Chuo Kikuu cha Taifa (SUZA). Kati
yao, 81 wanasomea ngazi ya cheti, 980 wanasomea ngazi ya
Stashahada, 1,827 Shahada ya kwanza, 76 Shahada ya pili na
19 Shahada ya tatu. Aidha, Chuo cha Kumbukumbu ya
Abdulrahman Al-Sumeit cha Chukwani kina jumla ya
wanafunzi 1,684 ambao 157 wanasomea cheti, 242
wanasomea Stashahada na 1,285 Shahada ya kwanza. Kwa
upande wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu
wameandikishwa wanafunzi 3,040, kati yao 281 wanasomea
Cheti, 471 Stashahada, 2081 Shahada ya kwanza na 207
Shahada ya Uzamili. Hii inafanya jumla ya wanafunzi wote
wanaosoma katika ngazi ya elimu ya juu katika vyuo hivi
kufikia 7,704 ambao ni sawa na ongezeko la wanafunzi 1,337
ukilinganisha na wanafunzi 6,370 walioandikishwa mwaka
2015. Jadweli Nam. 26(a) (b) na (c) yanatoa ufafanuzi Zaidi.
Huduma ya Sayansi na Teknolojia
24. Mheshimiwa Spika, huduma hii ina madhumuni ya
kuimarisha elimu ya sayansi na teknolojia. Shughuli za
huduma hii zinatekelezwa na Taasisi ya Karume ya Sayansi
na Teknolojia. Kwa mwaka 2015/16, Taasisi hii ilitengewa
ruzuku ya TSh. 976,000,000/=. Hadi kufikia tarehe 31 Mei,
2016, jumla ya TSh. 634,621,039/= za SMZ zilipatikana
ambazo ni sawa na asilimia 65.0.
25. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa huduma hii ni
kama ifuatavyo:-
i). Mitaala ya Shahada ya kwanza kwa fani ya
Urubani na Uhandisi wa ndege, Stashahada ya
ualimu wa vituo vya mafunzo ya amali na
Stashahada ya usimamizi wa maabara za skuli
imetayarishwa.
ii). Maabara mpya ya upimaji wa udongo
iliyojengwa kwa mashirikiano na Taasisi isiyo ya
kiserikali ya ACCRA imekamilika.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 15
iii). Mazingira ya Taasisi yameimarishwa kwa
kupanda miti 650 ya matunda.
Matokeo ya Muda Mfupi
Jumla ya wanafunzi 1,440 kati ya hao wanawake ni 241
wanaendelea na masomo yao katika fani ya Ufundi, Sayansi
na Hisabati. Jadweli namba 29 linatoa ufafanuzi zaidi.
Huduma ya Mikopo ya Elimu ya Juu 26. Mheshimiwa Spika, huduma hii ina dhamira ya kuwapatia
vijana mikopo kwa ajili ya kuendelea na masomo katika fani
mbalimbali za elimu ya juu. Huduma hii inatekelezwa na
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar. Kwa mwaka
2015/16, jumla ya TSh. 8,259,000,000/= za ruzuku ya
Serikali zilitengwa kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wanafunzi
wa elimu ya juu. Hadi kufikia tarehe 31 Mei 2016, jumla ya
TSh. 3,658,139,400/= zilipatikana ikiwa ni sawa na asilimia
44.3.
27. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi kwa programu hii ni
kama hivi ifuatavyo:-
i) Idadi ya wanafunzi wanaopokea mikopo ya elimu ya
juu imefikia 3,046 wakiwemo wanafunzi wapya 575
na wanaoendelea na masomo ni 2,471. Idadi hii
imepungua kwa asilimia 13 kutoka wanafunzi 3,499
mwaka 2014/15.
ii) Wanafunzi 57 wamepatiwa ufadhili kamili wa
masomo nje ya nchi kutoka kwa wahisani mbalimbali.
Kati yao, watatu wanadhaminiwa na Benki ya
Maendeleo ya Afrika, wanafunzi watano
wanasomeshwa na Serikali ya Oman na wawili
Serikali ya Ras Al Kheima. Vile vile, Bodi inawalipia
nauli na posho la kujikimu wanafunzi 47 (25 nchini
Sudan, 20 China na wawili Misri) ambao wamepata
ufadhili wa masomo tu kutoka kwa wahisani.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 16
iii) Jumla ya wanafunzi 97 wamepatiwa ufadhili kamili
wa masomo katika vyuo vya ndani ya nchi. Kati ya
hao, wanafunzi 49 wanafadhiliwa na Darul Iman
katika Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu na
wanafunzi 48 katika Chuo cha Kumbukumbu ya
Abdulrahman Al-Sumeit cha Chukwani.
iv) Ukusanyaji wa mikopo kutoka kwa wahitimu kwa
mwaka 2015/16 umeongezeka kutokana na ongezeko
la idadi ya wahitimu wanaorejesha mikopo hiyo
kufikia 1,016 ukilinganisha na wahitimu 744 wa
mwaka 2014/15.
28. Mheshimiwa Spika, Hadi kufikia Mei 2016, jumla TSh.
660,000,000/= zimekusanywa ikilinganishwa na TSh.
360,000,000/= zilizokusanywa mwaka 2014/15.
Huduma ya Uratibu wa Elimu ya Juu
29. Mheshimiwa Spika, huduma hii inaratibu na kufanya
tathmini ya maendeleo ya elimu ya juu. Huduma hii
inatekelezwa na Kitengo cha Uratibu wa Elimu ya Juu.
Kitengo kilitengewa ruzuku ya TSh. 30,000,000/= kutoka
Serikalini.
30. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2015/16, huduma hii
imefanikiwa kuratibu na kufuatilia maombi ya nafasi za
masomo za nje ya nchi katika fani za Udaktari, Uchumi,
Uhandisi, Uuguzi na Sayansi ya Mazingira kwa ngazi ya
Shahada ya Kwanza, Shahada ya Uzamili na Shahada ya
Uzamivu kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na
Ufundi ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nafasi za masomo zilizotangazwa ni kutoka nchi za China,
Algeria, Uturuki, Indonesia, Brunei, Mauritius, Urusi na
Jumuiya ya Madola.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 17
Matokeo ya muda mfupi
Jumla ya wanafunzi kumi na tano walifanikiwa kupata nafasi
hizo za masomo ambapo wanafunzi saba wa Shahada ya Pili
wanasoma China (watatu wanasomea fani ya Udaktari,
wawili fani ya Sayansi ya Mazingira na wawili Uhandisi wa
Umeme). Pia, mwanafunzi mmoja anasoma Urusi katika fani
ya Mafuta na Gesi kwa Shahada ya Kwanza na mmoja
Shahada ya Uzamivu katika fani ya “Agribussiness” nchini
China. Aidha, wanafunzi wawili wanasoma Shahada ya
Kwanza ya Udaktari nchini Algeria na wanafunzi wanne
nchini Indonesia kwa Shahada ya Uzamili (mmoja katika fani
ya Teknolojia ya Habari, mmoja katika fani ya Sayansi ya
Kompyuta na wawili fani ya Uchumi).
PROGRAMU YA NNE: ELIMU MBADALA NA
MAFUNZO YA AMALI 31. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa
elimu ya mafunzo ya amali kwa mwanafunzi kulingana na
mahitaji ya soko la ajira. Programu hii ina programu ndogo
mbili; Mafunzo ya Amali na Elimu Mbadala na Watu
Wazima. Programu hii inatekelezwa kwa pamoja kati ya
Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima na Mamlaka ya
Mafunzo ya Amali.
Programu ndogo ya Mafunzo ya Amali
32. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2015/16, programu hii
ndogo yenye madhumuni ya kutoa elimu itakayowawezesha
vijana kujiajiri ili kujikwamua na umasikini ilitengewa
ruzuku ya TSh. 1,356,000,000/= kwa kazi za kawaida. Hadi
kufikia tarehe 31 Mei 2016, TSh. 1,038,222,962/= za Serikali
zilipatikana ambazo ni sawa na asilimia 76.6 ya fedha
zilizotengwa.
33. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi kwa programu hii ni
kama hivi ifuatavyo:-
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 18
i). Sera ya Mafunzo ya Amali inafanyiwa mapitio
kwa lengo la kuiimarisha.
ii). Jumla ya vituo 14 vya binafsi vilikaguliwa na
jumla ya vituo 45 vya binafsi vya mafunzo ya
amali vimesajiliwa.
iii). Mafunzo ya amali yanaendelea kutolewa katika
vituo vitatu vya Mwanakwerekwe, Mkokotoni
kwa Unguja na Vitongoji kwa Pemba.
iv). Jumla ya wafanyakazi 19 wa Mamlaka ya
Mafunzo ya Amali wanaendelezwa kitaaluma.
Kati yao, walimu 13 ngazi ya Stashahada, wanne
Shahada ya Kwanza na wawili Shahada ya Pili.
Aidha, walimu 40 (20 Unguja na 20 Pemba)
walipatiwa mafunzo ya muda mfupi ya
“Competency Based Education and Training”.
v). Kituo cha Mafunzo ya Amali cha Mkokotoni
kilipokea msaada wa vifaa mbalimbali vya
karakana ya kufundishia na kujifunzia kutoka
Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
vi). Vifaa vya kufundishia na kujifunzia fani
mbalimbali vimenunuliwa na kusambazwa katika
kituo cha Mkokotoni na Mwanakwerekwe kwa
Unguja na Vitongoji kwa Pemba.
vii). Vikundi saba vya wahitimu wa Kituo cha Elimu
Mbadala na Mafunzo ya Amali vimewezeshwa kwa
kupatiwa mikopo nafuu ya kuanzisha biashara zao
ambapo jumla ya TSh. 23,445,000/= zimetolewa.
viii). Mitihani ya Taifa ya mafunzo ya amali
inayovishirikisha vyuo sita; vituo vinne vya
Mamlaka na Taasisi za Serikali na vituo viwili vya
binafsi imefanyika.
Matokeo ya muda mfupi;
Jumla ya wanafunzi 443 wameandikishwa katika vituo vitatu
vya elimu amali vya Serikali vya Unguja na Pemba. Kati yao,
149 wanawake na 294 ni wanaume. Vijana hao wanajifunza
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 19
fani za Useremala, Ushoni, Uhunzi, Upishi, Uchoraji na
Uandishi wa alama, Uashi, Ufundi bomba, Teknolojia ya
Habari na Mawasiliano, Huduma za Chakula na Vinywaji,
Elektroniki, Ufundi magari, Ufundi mifereji na Viyoyozi.
Jumla ya vijana 105 wakiwemo wanawake 33 wamehitimu
masomo yao ya daraja la tatu mwaka 2016. Jadweli namba
40(a) linatoa ufafanuzi zaidi.
Programu ndogo ya Elimu Mbadala na Watu Wazima 34. Mheshimiwa Spika, Programu hii inatekelezwa na Idara ya
Elimu Mbadala na Watu Wazima na ina lengo la kupunguza
kiwango cha wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu
miongoni mwa wanajamii. Kwa mwaka wa fedha 2015/16,
programu hii ilitengewa jumla ya TSh. 788,969,000/= kwa
kazi za kawaida na TSh. 18,019,250,000/= kwa kazi za
maendeleo. Kati ya fedha za maendeleo TSh. 500,000,000/=
ni mchango wa SMZ. Hadi kufikia tarehe 31 Mei 2016, jumla
ya TSh. 260,401,670/= kwa kazi za kawaida zilipatikana
ambazo ni sawa na asilimia 33.0 na TSh. 946,407,727/= za
maendeleo kutoka AfDB zilipatikana sawa na asilimia 5.2 ya
fedha zilizotengwa zimepatikana.
35. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa shughuli za
programu hii ndogo ni kama ifuatavyo:-
i). Jumla ya madarasa manane mapya ya kisomo
yamefunguliwa Unguja na Pemba. Idadi ya
madarasa ya kisomo imepungua kutoka 440 mwaka
2015 na kufikia madarasa 420 mwaka 2016.
ii). Jumla ya wafanyakazi watatu wanaendelezwa
kitaaluma katika ngazi ya Stashahada katika fani ya
Elimu ya Watu Watu Wazima, Ukatibu Muhtasi na
Stashahada ya Ukarimu na Usimamizi wa Utalii.
iii). Jumla ya wanakisomo 6,072 wamefanyiwa upimaji
katika hatua zote nne za kisomo. Aidha, wanakisomo
436 kati ya 510 wa hatua ya nne wamekombolewa
kupitia upimaji huo.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 20
iv). Elimu Mbadala ilitolewa katika madarasa 26 ambapo
madarasa 17 yapo Unguja na tisa yapo Pemba.
v). Maandalizi ya ujenzi wa vituo viwili vya mafunzo ya
amali katika eneo la Makunduchi kwa Unguja na
eneo la Daya kwa Pemba yanaendelea.
vi). Vifaa mbalimbali vya karakana ya uhunzi, umeme na
maabara ya kompyuta kwa kufundishia katika
Taasisi ya Karume vimenunuliwa.
vii). Kompyuta ishirini na nne na “Server” moja kwa ajili
ya kuendeshea mafunzo katika Chuo cha Maendeleo
ya Utalii Maruhubi zimenunuliwa.
viii). Ujenzi wa jengo jipya la ghorofa mbili katika Taasisi
ya Karume litakalokuwa na madarasa thelathini na
karakana tano umeanza.
ix). Kazi za ujenzi wa jengo jipya katika Chuo cha Utalii
Maruhubi zimeanza na ujenzi unatarajiwa
kukamilika baada ya mwaka mmoja na nusu.
x). Ufuatiliaji na ukaguzi wa shughuli mbalimbali
zinazofanywa katika programu za kisomo na za
wanawake, Elimu Mbadala, pamoja na vituo vya
kujiendeleza umefanyika.
xi). Jumla ya kompyuta mpakato tano, projekta mbili,
mashine ya fotokopi moja na chati kumi za ukutani
kwa somo Umeme na Hisabati, Ramani ya Dunia
kumi, Kamusi ya Kiswahili sanifu kumi na Kamusi
ya Kiingereza kwa Kiswahili kumi zimenunuliwa
kuwawezesha wanafunzi wa elimu mbadala kusoma
kwa vitendo na kwa bidii.
xii). Jumla ya vitabu vipya vya masomo 11 vya
wanafunzi na 11 vya walimu wa madarasa ya elimu
mbadala vimeandikwa na vimefanyiwa uhariri.
xiii). Wanafunzi 4,387 wa faragha wa kidato cha nne
wamefanya mtihani. Kati yao, 2,307 ni wanawake na
2,080 wanaume. Wanafunzi 1,940 wamefaulu ambao
ni sawa na asilimia 44.2 ya wahitimu wote.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 21
xiv). Jumla ya wanafunzi 189 kwa Unguja na Pemba
walifanya mtihani wa faragha wa kidato cha sita.
Kati yao wanawake 51 na wanaume 138. Jumla ya
watahiniwa 133 ambao ni sawa na asilimia 70.3
wamefaulu.
xv). Wafanyakazi wote wa Idara walipatiwa mafunzo ya
Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2014.
xvi). Vipindi 19 vya kuelimisha vilirushwa na Shirika la
Utangazaji la Zanzibar na makala moja ilitayarishwa
na kuchapishwa katika gazeti la Zanzibar Leo.
Matokeo ya muda mfupi;
i). Jumla ya wanafunzi 560 wenye umri kati ya miaka
10 hadi 15 waliokuwa nje ya skuli wameandikishwa
katika madarasa ya elimu mbadala. Kati ya
wanafunzi hao, 288 ni wa Unguja na 272 Pemba.
Kati yao, wanawake ni 169 na wanaume ni 391.
ii). Jumla ya wanafunzi 338 wenye umri kati ya miaka
15 hadi 22 wameandikishwa katika Kituo cha Elimu
Mbadala Rahaleo. Kati yao, wanawake 107 na
wanaume 231. Vijana hawa pamoja na masomo ya
kawaida pia wanasomea fani mbalimbali zikiwemo
Umeme, Ushoni, Upishi, Useremala, Udobi,
Mafunzo ya Kompyuta na Utunzaji nyumba.
iii). Jumla ya wanakisomo 6,403 wameandikishwa
wakiwemo wanawake 5,804 na wanaume 599.
iv). Jumla ya vikundi 106 vyenye wanachama 2,327
kinamama waliofikia hatua ya nne ya kisomo
vimeundwa. Vikundi hivi vina lengo la
kuwapunguzia makali ya umasikini wanawake.
PROGRAMU YA TANO: UBORA WA ELIMU
36. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina lengo la kutoa elimu
bora kwa ngazi zote za elimu, ina jumla ya programu ndogo
tatu na maeneo matano ya kutoa huduma kama yafuatayo:-
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 22
Huduma ya Mitaala na Vifaa vya Kufundishia
37. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya
kutayarisha mitaala ya elimu na vifaa vya kufundishia na
kujifunzia kwa ngazi za maandalizi, msingi, sekondari na
mafunzo ya Ualimu. Shughuli za utowaji wa huduma hii
zinatekelezwa na Taasisi ya Elimu. Kwa mwaka wa fedha
2015/16, Taasisi ilitengewa ruzuku ya TSh. 87,880,000/=
kwa kazi zake za kawaida. Hadi kufikia tarehe 31 Mei 2016,
jumla ya TSh. 51,616,875/=sawa na asilimia 58.7 zilipatikana
na utekelezaji ulikuwa kama hivi ifuatavyo:-
i). Rasimu ya mtaala na mihutasari 10 ya Cheti cha
Ualimu wa Maandalizi imeandaliwa.
ii). Ripoti ya upembuzi yakinifu wa mapitio ya mtaala
wa Stashahada ya Sekondari ya Dini na Kiarabu
imeandaliwa
iii). Jumla ya vitabu 244,488 vya madarasa ya maandalizi
kwa mwaka wa kwanza na wa pili vya somo la
Kiswahili, Hisabati na Sayansi (vitabu 81,496 kwa
kila somo) vilichapishwa.
iv). Walimu kumi (sita Unguja na wanne Pemba)
walipatiwa mafunzo ya ukufunzi wa kuendesha
mafunzo ya utumiaji wa vitabu vya elimu ya
maandalizi kwa walimu.
v). Vitabu 38,122 vya darasa la tano kwa somo la
Kiingereza, Hisabati, Jiografia, TEHAMA,
Kiswahili, Sayansi, Uraia, Mafunzo ya Amali,
Historia na Michezo vilichapishwa.
vi). Vitabu 33,872 kwa kila somo kwa wanafunzi wa
darasa la sita vikiwemo vya Kiingereza, Jiografia,
TEHAMA, Hisabati, Kiswahili, Sayansi, Uraia,
Mafunzo ya Amali, Historia na Michezo
vilichapishwa.
vii). Jumla ya vitabu 2,540 vya wanafunzi wenye mahitaji
maalum vimechapishwa vikiwemo vya nukta nundu
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 23
85 na 42 vya uoni hafifu kwa masomo kumi kwa
wanafunzi wa darasa la tano na sita.
viii). Seti za vifaa 1,700 vya kujifunzia na kufundishia
masomo ya Sayansi na Hisabati vimenunuliwa na
vimesambazwa katika skuli zote za msingi Unguja na
Pemba zenye madarasa ya 5 na 6.
ix). Walimu 9,873 walipatiwa mafunzo kuhusu matumizi
ya viwango vya kujifunza kati yao, 5,396 wa msingi
na 4,477 wa sekondari ya awali.
Huduma ya Upimaji na Tathmini ya Elimu
38. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kupima na kutathmini utekelezaji wa utoaji wa elimu.
Shughuli za huduma hii zinatekelezwa na Baraza la Mitihani
la Zanzibar. Kwa mwaka wa 2015/16 huduma hii ilitengewa
ruzuku na Serikali ya TSh. 1,508,000,000/=. Hadi kufikia
tarehe 31 Mei 2016, jumla ya TSh. 1,300,235,225/=
zilipatikana sawa na asilimia 86.2.
39. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa shughuli za
huduma hii ni kama ifuatavyo:-
i). Jumla ya wanafunzi 54,529 (25,861 wa darasa la 6 na
28,668 wa darasa la saba) walifanya mtihani wa
kumaliza ngazi ya elimu ya msingi katika mwaka
2015/2016. Kati yao, wanafunzi 50,008 walifaulu
mitihani yao. Ufaulu huu umeongezeka kutoka
asilimia 73.5 mwaka 2014/2015 na kufikia asilimia
91.7 mwaka 2015/2016. Pia, jumla ya wanafunzi 927
wa darasa la 6 sawa na asilimia 3.6 na wanafunzi 660
wa darasa la saba sawa na asilimia 2.3 ya watahiniwa
walifaulu na kuchaguliwa kuendelea na elimu
sekondari katika madarasa ya michepuo na vipawa
maalumu.
ii). Jumla ya wanafunzi 24,051 walifanya mtihani wa
Kidato cha Pili mwaka 2015/2016. Kati yao,
wanafunzi 16,714 walifaulu kuingia kidato cha tatu.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 24
Ufaulu huu umeongezeka kutoka asilimia 65.5
mwaka 2014 hadi kufikia asilimia 69.6 mwaka 2015.
iii). Kwa upande wa kidato cha nne, asilimia ya ufaulu
imeongezeka kutoka asilimia 60.2 mwaka 2014 na
kufikia asilimia 75.9 mwaka 2015. Jadweli Nam. 6b
(iii), 19, 31(a) na 31(b) yanatoa ufafanuzi zaidi.
Huduma ya Ukaguzi wa Elimu
40. Mheshimiwa Spika, utoaji wa huduma hii una madhumuni
ya kusimamia utoaji wa elimu unaofuata mtaala na
kuhakikisha ufanisi na ubora wa elimu. Shughuli za huduma
hii zinatekelezwa na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu. Kwa
mwaka wa fedha 2015/16, programu hii imepangiwa ruzuku
ya Tsh. 80,000,000/= kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia
tarehe 31 Mei 2016, jumla ya TSh. 59,982,300/= zilipatikana
kutekeleza shughuli za huduma hii sawa na asilimia 75.0.
41. Mheshimiwa Spika, Jumla ya skuli 203 za Unguja na Pemba
zilikaguliwa kwa kutumia aina tofauti za ukaguzi. Skuli 15
zilifanyiwa ukaguzi mkuu, skuli 61 zilifanyiwa ukaguzi wa
ziara, skuli 94 zilifikiwa kwa mfumo wa ukaguzi mfupi, skuli
8 zilifanyiwa ukaguzi wa ufuatiliaji, skuli 16 zilifanyiwa
ukaguzi maalum na skuli tisa zilifanyiwa ukaguzi wa usajili.
Huduma za Maktaba
42. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa
fursa ya kutumia vitabu na vyanzo vyengine vya taaluma kwa
watoto, wanafunzi wa ngazi zote na wananchi. Shughuli za
huduma hii zinatekelezwa na Shirika la Huduma za Maktaba
Zanzibar kwa mashirikiano na mashirika ya “Books for
Africa”, “Book Aid International”, Sida, GPE na “Children
International”. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii
ilipangiwa kutumia ruzuku ya TSh. 365,000,000/= kwa kazi
za kawaida. Hadi kufikia tarehe 31 Mei 2016, jumla ya TSh.
283,021,550/= sawa na asilimia 77.5 zilipatikana.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 25
43. Mheshimiwa Spika, utekelezaji halisi wa huduma hii ni
kama hivi ifuatavyo:-
i). Jumla ya vitabu 3,826 vya masomo mbalimbali
vilisambazwa kwa ajili ya kutumika katika Maktaba
Kuu Unguja na vitabu 908 kwa Maktaba Kuu Pemba.
ii). Jumla ya vitabu 43,692 vilipokelewa kutoka kwa
wafadhili na vilisambazwa kwa ajili ya Maktaba Kuu
za Unguja na Pemba. Miongoni mwa vitabu hivyo,
28,075 vilisambazwa katika skuli 104 za msingi,
vitabu 12,815 vilisambazwa katika skuli 58 za
sekondari, vitabu 2,152 katika Vituo vya Walimu.
iii). Mafunzo ya Kuanzisha maktaba za sanduku katika
skuli kumi za msingi za wilaya ya Kati (Cheju,
Kidimni, Ndijani Mseweni, Koani, Pagali, Umbuji,
Regeza Mwendo, Ubago, Ghana na Machui)
yalitolewa ambapo jumla ya vitabu 8,325 na
masanduku 25, mabusati 40 na madaftari ya kuwekea
kumbukumbu vilitolewa.
iv). Jumla ya walimu 440 wakiwemo wasimamizi wa
maktaba 240, wasaidizi wasimamizi wa maktaba na
walimu wakuu 200 walipatiwa mafunzo kuhusu
usimamizi na uendeshaji wa maktaba za skuli.
v). Programu 1,505 za kusoma kwa watoto zilifanyika
katika skuli za Unguja na Pemba.
vi). Jumla ya wanajamii 1,650 kwa Unguja na Pemba
walishiriki katika matamasha ya usomaji wa vitabu
katika mahema zilizofanyika katika Wilaya nne;
Kaskazini “A”, Kaskazini “B”, Kati na Kusini
Unguja na Wilaya mbili; Micheweni na Mkoani kwa
Pemba.
vii). Maktaba za skuli 80 zimeimarishwa, kati ya hizo
skuli 33 za msingi na 47 za sekondari kwa Unguja na
Pemba. Aidha, maktaba za skuli 62 zimekaguliwa
kuona utoaji wa huduma hiyo. Kati ya skuli hizo,
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 26
skuli 21 za Mkoa wa Kusini Unguja na skuli 41 za
Mkoa wa Kaskazini Pemba.
viii). Jumla ya wafanyakazi watatu wanaendelea na
masomo ya juu katika vyuo vya Tanzania.
Matokeo ya muda mfupi;
i). Jumla ya wanachama wapya 495 walisajiliwa kwa
Unguja na Pemba. Kati yao, 350 Unguja (173 ni
wanaume, 156 wanawake na 21 ni watoto) na
wanachama 145 (wanaume 65, wanawake 65 na
watoto 15) kwa Pemba.
ii). Idadi ya watumiaji wa Maktaba Kuu imefikia 22,952
kwa Unguja na Pemba wakiwemo wanaume 14,081
na wanawake 8,871.
iii). Jumla ya wananchi 1,302 walitumia huduma ya
mtandao kwa kutafutia taarifa mbalimbali. Aidha,
wananchi 4,637 walinufaika na huduma za maktaba
kupitia programu za “American Corner”.
Huduma ya Urajisi wa Elimu
44. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kuhakikisha Sheria, Sera na taratibu za Wizara zinafuatwa.
Pia kutoa leseni kwa walimu na kusajili skuli za Serikali na
za binafsi. Shughuli za utowaji wa huduma hii zinatekelezwa
na Ofisi ya Mrajisi wa Elimu. Kwa mwaka wa fedha 2015/16,
programu hii ilipangiwa kutumia jumla ya TSh. 47,000,000/=
kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia tarehe 31 Mei 2016, jumla
ya TSh. 33,300,000/= ambazo ni sawa na asilimia 70.8
zilipatikana.
45. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa huduma hii ni
kama hivi ifuatavyo:-
i). Jumla ya skuli 128 zimekaguliwa na Ofisi ya Mrajis
wa Elimu kuangalia uwepo na matumizi ya Sera,
Sheria na Miongozo mbalimbali ya Elimu. Kati ya
skuli hizo 83 ni za Unguja na 45 za Pemba.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 27
ii). Walimu 756 wamepatiwa leseni za kufundishia, kati
ya hao walimu 205 waliosomea ualimu, walimu 242
wasiosomea ualimu na walimu 309 walioongezewa
muda wa leseni zao kwa Unguja na Pemba.
iii). Skuli 30 za Unguja na Pemba zikiwemo 13 za
Serikali na 16 za binafsi zilipatiwa usajili. Kati ya
hizo za binafsi, skuli 15 zilipatiwa usajili wa muda
na skuli 1 ilipatiwa usajili wa kudumu. Aidha,
maombi 40 ya kuzisajili skuli za binafsi yanaendelea
kufanyiwa kazi kwa mujibu wa sheria.
iv). Kikao kimoja cha Bodi ya Elimu cha kutathmini
maendeleo ya elimu na kujadili namna ya kuzitatua
changamoto zinazozikabili wilaya na mkoa husika
kilifanyika.
Matokeo ya muda mfupi;
i). Jumla ya kesi nane za ujauzito zimejadiliwa kati ya
kesi ishirini zilizoripotiwa, kwa mujibu wa Sheria
namba 4 ya Kuwalinda Wari na Mtoto wa Mzazi
Mmoja. Wanafunzi waliojadiliwa wamekubali
kuendelea na masomo yao.
ii). Kesi ishirini za ndoa za wanafunzi ziliripotiwa. Kati
ya hizo, kesi 5 ni za wanafunzi kwa wanafunzi
ambazo 3 zimeripotiwa Unguja na 2 Pemba. Kwa
mujibu wa Sheria ya Elimu Namba 6, 1982, Kifungu
20 (3), wanafunzi wote hao hawaruhusiwi kuendelea
na masomo yao.
Programu ndogo ya Elimu Mjumuisho na Stadi za
Maisha
46. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa
elimu jumuishi kwa wote wakiwemo watoto wenye mahitaji
maalum. Programu hii inatekelezwa na Kitengo cha Elimu
Mjumuisho na Stadi za Maisha. Kitengo kilitengewa jumla ya
TSh. 60,000,000/= kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia tarehe
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 28
31 Mei 2016, jumla ya TSh. 800,000/= kwa kazi za kawaida
zilipatikana sawa na asilimia 1.3.
47. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa shughuli za
programu hii ndogo ni kama hivi ifuatavyo:-
i). Sera ya Elimu Mjumuisho imeandaliwa na ipo katika
hatua ya kupatiwa maoni kwa kuimarishwa zaidi.
ii). Walimu washauri nasaha 1,050 wa elimu ya msingi
na sekondari walipatiwa mafunzo ya usawa wa
kijinsia katika elimu.
iii). Vikao vya majadiliano na walimu wa ushauri nasaha
na wanafunzi 80 wa kike kutoka skuli 40 kujadili
athari za mimba katika umri mdogo na ndoa za
mapema vilifanyika.
iv). Vifaa vya kufundishia na kujifunzia wanafunzi
wenye mahitaji maalum vikiwemo kompyuta moja,
Embrosser moja, Perkins Brailler 4, A4 Frames nne
na Brailon paper rimu 7, kompyuta za mezani 10,
kompyuta mpakato 15, NVDA software 3, kadi 100
za nambari na maneno za kufundishia wenye
ulemavu wa akili (za kiingereza 100), Kamusi za
lugha ya Ishara 570, Voice recorder 20, Braille
writer mbili, Braille slates 20, fimbo nyeupe 15 na
tracing board 9 vimepatikana kutoka kwa Jumuiya
ya ZANAB na Zantel
v). Jumla ya wanafunzi 2,193 walipimwa afya zao
Unguja na Pemba, kati yao wanafunzi 24 walikutwa
na matatizo yanayowapa changamoto katika
kujifunza kwao. Wanafunzi 22 walipatiwa rufaa
kwenda hospitali ya Mnazimmoja kwa matibabu
zaidi, kati ya hao, 15 wanaume na wanawake 7 na
wanafunzi 3 wakiwemo wanaume 2 na mwanamke 1
wamepewa rufaa ya kwenda KCMC Moshi.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 29
Programu ndogo ya Teknolojia ya Habari na
Mawasiliano katika Elimu 48. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kuifanya teknolojia ya habari na mawasiliano itumike katika
ngazi ya utawala, kujifunza na kufundishia, kuimarisha
huduma ya mawasiliano, kutunza usalama wa taarifa na
katika maisha ya kila siku. Shughuli za programu hii
zinatekelezwa na Idara ya Teknolojia ya Habari na
Mawasiliano Katika Elimu. Katika mwaka wa fedha 2015/16,
programu hii imepangiwa kutumia jumla ya TSh.
387,000,000/= kwa kazi za kawaida ikiwemo mishahara ya
watumishi wa Idara. Hadi kufikia tarehe 31 Mei 2016, jumla
ya TSh. 99,252,991/= sawa na asilimia 25.6 zilipatikana
kutekeleza shughuli za programu hii.
49. Mheshimiwa Spika, utekelezaji halisi wa programu hii
ndogo ni kama ifuatavyo:-
i). Jumla ya vipindi vipya 84 vya mwaka wa kwanza wa
elimu ya maandalizi kwa njia ya redio vimeandaliwa.
Kati ya hivyo, jumla ya vipindi 33 vimerushwa na
Shirika la Utangazaji la Zanzibar. Idadi hio,
imepelekea kuwa na jumla ya vipindi 160 kutoka
vipindi 76 vilivyotayarishwa mwaka 2014/15.
ii). Moduli ya Sita ya kujifunzia walimu wa maandalizi
imekamilika.
iii). Jumla ya taasisi 5 zimeunganishwa na mkonga wa
Taifa, ambazo ni Makao Makuu ya Wizara ya Elimu
na Mafunzo ya Amali, Chuo Cha Kiislamu (CCK)
Mazizini, Chuo Kikuu Cha Taifa Kampasi ya
Nkrumah, Taasisi ya Sayansi na Teknolojia cha
Karume na Ofisi Kuu ya Elimu Pemba.
iv). Jumla ya vituo 39 vya TuTu, skuli 1 ya maandalizi,
skuli 1 ya msingi na skuli 13 za sekondari
zimepatiwa vifaa vya TEHAMA zikiwemo MP3
radio na kompyuta.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 30
v). Vituo 9 vya walimu vimepatiwa vifaa vya Teknolojia
ya Habari na Mawasiliano ambapo kila kituo
kimepatiwa kompyuta 3, projekta 1, televisheni 1,
king’amuzi kimoja CDs 4 za kufundishia walimu wa
sekondari wa masomo ya Sayansi na Hisabati kupitia
mradi wa “retooling”.
Matokeo ya muda mfupi;
Jumla ya walimu 72 wa msingi wa madarasa ya tano na sita
wamepatiwa mafunzo ya mbinu za kufundishia somo la
teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) ambao ni
sawa asilimia 24 ya walimu 300 waliopangwa kupata
mafunzo hayo.
Programu ndogo ya Michezo na Utamaduni katika Skuli
50. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kumuandaa mwanafunzi kimwili, kiafya na kiakili katika
kujifunza kwa kupitia michezo. Shughuli za programu hii
zinatekelezwa na Idara ya Michezo na Utamaduni katika
skuli. Kwa mwaka wa fedha 2015/16, programu hii
imepangiwa kutumia jumla ya TSh. 271,022,000/= kwa kazi
za kawaida. Hadi kufikia tarehe 31 Mei 2016, jumla ya TSh.
143,107,359/= sawa na asilimia 52.8 zilipatikana.
51. Mheshimiwa Spika, utekelezaji halisi wa programu hii ni
kama hivi ifuatavyo:-
i). Mpango wa miaka mitano wa kuibua na kuendeleza
vipaji vya michezo na utamaduni umetayarishwa.
ii). Watendaji wa Idara ya Michezo na Utamaduni katika
Elimu na wasimamizi wa michezo wa Wilaya na
Mikoa wamepatiwa mafunzo ya Utawala na Uongozi
wa michezo kwa mashirikiano na Kamati ya Olimpiki
Tanzania.
iii). Mabaraza ya Utamaduni na Michezo ya Elimu
(BUME) katika kila Wilaya yameimarishwa kwa
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 31
lengo la kusimamia vyema shughuli za michezo na
utamaduni za skuli zilizomo katika Wilaya zao.
iv). Walimu wakuu na walimu wasimamizi wote wa
michezo na utamaduni kwa Unguja na Pemba
wamepatiwa mafunzo ya uendeshaji na uratibu wa
michezo na utamaduni katika skuli zao.
PROGRAMU YA SITA: UTAWALA NA UONGOZI
52. Mheshimiwa Spika, programu hii madhumuni yake
makubwa ni kuhakikisha nyenzo zilizo bora zinapatikana na
zinatumika kwa kuimarisha utoaji wa elimu. Programu hii ina
programu ndogo tatu; Programu ndogo ya kwanza ni Uongozi
Kiujumla, Programu ndogo ya pili ni Uratibu wa Shughuli za
Mipango, Sera na Utafiti na Programu ndogo ya tatu ni
Uratibu wa Shughuli za Elimu Pemba inayotekelezwa na
Ofisi ya Elimu Pemba. Utekelezaji wa programu hii ni kama
ifuatavyo:-
Programu ndogo ya Uongozi Kiujumla
53. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya kutoa
ufanisi wa Uongozi na utawala wa rasilimali za Wizara.
Shughuli za programu hii ndogo zinatekelezwa na Idara ya
Utumishi na Uendeshaji. Kwa mwaka wa fedha 2015/16,
programu hii ilipangiwa jumla ya TSh. 2,187,521,000/=. Hadi
kufikia tarehe 31 Mei 2016, jumla ya TSh. 1,459,048,556/=
zilipatikana ambazo ni sawa na asilimia 66.7. Utekelezaji wa
kazi za programu hii ni kama hivi ifuatavyo:-
i). Jumla ya wafanyakazi 90 waliajiriwa kwa Unguja na
Pemba. Wafanyakazi 51 Unguja na 37 Pemba wa
ngazi ya cheti cha Ualimu. Walimu wawili katika
fani ya Ualimu wa Sayansi ngazi ya Shahada ya
Kwanza, mmoja Unguja na mmoja Pemba.
ii). Vifaa vya kufanyia kazi vikiwemo Kompyuta moja,
mashine ya fotokopi moja, skana tatu na mashelfu ya
kuwekea mafaili ya kumbukumbu za wafanyakazi
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 32
vimenunuliwa kwa lengo la kuongeza ufanisi katika
utekelezaji wa majukumu. Vifaa vyote hivyo
vimepatikana kwa msaada wa Sida.
iii). Jumla ya wafanyakazi wanane wamepatiwa mafunzo
ya kuwajengea uwezo katika utendaji wao katika
Chuo cha Utawala wa Umma cha Zanzibar. Kati yao,
wafanyakazi wanne wanaendelea na masomo ya
muda mrefu ya ngazi ya Stashahada ya Uwekaji
sahihi wa kumbukumbu na utunzaji wa mafaili,
watatu wanasomea fani ya Uongozi na Utunzaji wa
Ghala kwa ngazi ya Cheti na mmoja ameshiriki
mafunzo ya muda mfupi ya Utumishi wa Umma
katika Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania Bara.
iv). Wafanyakazi 671 Unguja na 82 Pemba wamepatiwa
ruhusa za kuendelea na masomo katika ngazi ya
Stashahada, Shahada ya Kwanza na Shahada ya
Uzamili katika fani ya Ualimu wa Sayansi na Sanaa
katika vyuo mbalimbali vya ndani na nje ya
Zanzibar.
v). Jumla ya wafanyakazi 166 wamepatiwa posho la
likizo ya kustaafu kwa Unguja na Pemba.
vi). Jumla ya wafanyakazi 1,392 wamepatiwa posho la
likizo zao za kawaida. Kati ya hao, 1,110 kwa
Unguja na 355 kwa Pemba wamo katika kada ya
Ualimu na 40 kada nyengine.
vii). Jumla ya wafanyakazi 51 (45 Unguja na sita Pemba)
wamelipwa malimbikizo yao ya mishahara. Aidha,
Wafanyakazi 1,438 kati yao, 1,207 wa Unguja na
231 Pemba walirekebishiwa mishahara yao baada ya
kuhitimu na kuwasilisha nakala za vyeti vyao.
viii). Jumla ya wafanyakazi 10,371 kati ya 14,908 taarifa
zao zimeingizwa katika “Data base” la Serikali.
ix). Muongozo wa Majukumu ya Maafisa Elimu na
Mafunzo ya Amali wa Wilaya na Walimu Wakuu
umeandaliwa na upo katika hatua za mwisho za
kupitiwa. Aidha, mafunzo ya utumiaji wa muongozo
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 33
huo yatatolewa kwa wahusika baada ya
kuchapishwa.
x). Jumla ya wafanyakazi 1,812 (172 Pemba na 1,640
Unguja) walipatiwa mikopo yenye thamani ya TSh.
3,652,188,200/= kutoka Benki ya Watu wa Zanzibar,
Benki ya Posta, Barclays, NBC na “Saccos”
mbalimbali.
Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Mipango,
Sera na Utafiti
54. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya
kufanikisha na kuratibu Mipango, Sera na Utafiti katika
Wizara. Programu ndogo inatekelezwa na Idara ya Mipango,
Sera na Utafiti na ilipangiwa kutumia jumla ya TSh.
2,269,916,000/=kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia tarehe 31
Mei 2016, jumla ya TSh. 1,411,160,221/= zilipatikana kutoka
Serikalini ambazo ni sawa na asilimia 62.2.
55. Mheshimiwa Spika, utekelezaji halisi wa programu hii ni
kama hivi ifuatavyo:-
i). Utaratibu wa kuandaa Mpango Mkuu wa Elimu wa
miaka mitano (2016 – 2020) umeanza kwa kufanya
tathmini ya utekelezaji wa Mpango Mkuu wa Elimu
wa miaka minane 2008 – 2016. Uchambuzi wa hali
halisi ya utoaji na upatikanaji wa elimu umekamilika
na Washauri Elekezi watakaoongoza kuandaa
Mpango Mkuu wa Elimu kwa njia ya maabara
wameshapatikana.
ii). Jumla ya watendaji kumi na tatu wa Wizara
wamepatiwa mafunzo ya Ufuatiliaji na Tathmini kwa
lengo la kuwawezesha kufuatilia utekelezaji wa
Mpango Mkuu wa Elimu.
iii). Uchambuzi wa taarifa na Uandishi wa Ripoti ya
Utafiti wa kupima ubora wa elimu kwa ngazi ya
elimu ya msingi (SACMEQ IV) unaendelea.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 34
iv). Ufuatiliaji na tathmini ya utendaji wa Kamati za
Skuli kwa kutumia Muongozo wa Majukumu ya
Kamati uliotolewa mwaka 2009 kwa mashirikiano na
Sida umefanyika na ripoti imewasilishwa kwa wadau
husika.
v). Kazi za kuratibu na kusimamia utayarishaji na
utekelezaji wa mipango ya elimu ikiwemo Mpango
Mkuu wa Elimu, MTEF, Mipango ya Miradi ya
Elimu na MKUZA II imefanyika.
vi). Utaratibu wa manunuzi ya madawati 330, viti 106 na
meza 96 kupitia fedha za Mfuko wa Bandari
unaendelea.
vii). Kazi ya matayarisho ya Kitabu cha Taarifa za
kitakwimu zinazotathmini maendeleo ya elimu
imefanyika.
viii). Jumla ya nakala 300 za Sera ya Elimu kwa Lugha ya
Kiingereza zimechapishwa.
Programu ndogo ya kuratibu shughuli za elimu Pemba 56. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kuratibu na kusimamia shughuli zote za elimu kwa upande
wa Pemba. Msimamizi Mkuu wa shughuli za programu hii ni
Afisa Mdhamini wa Wizara yangu kupitia katika Divisheni
ya Idara ya Uendeshaji na Utumishi Pemba. Programu hii
ndogo ilipangiwa jumla ya TSh. 22,427,724,000/= kwa kazi
za kawaida. Hadi kufikia tarehe 31 Mei 2016, jumla ya TSh.
17,641,440,824/= zilipatikana sawa na asilimia 78.6 ambazo
zilitumika katika kusimamia na kufuatilia shughuli na
programu za elimu Pemba.
MPANGO WA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2016/17
KATIKA MFUMO WA PROGRAMU
57. Mheshimiwa Spika, baada ya kutoa taarifa ya utekelezaji wa
bajeti kwa mwaka wa fedha 2015/16 naomba sasa niwasilishe
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 35
vipaumbele vya Wizara na kisha Makadirio ya Mapato na
Matumizi kwa mwaka 2016/17.
Vipaumbele
58. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2016/17, vipaumbele vya
sekta ya elimu ni:
Kuandaa Mpango Mkuu wa Elimu kwa kipindi cha Miaka
mitano (2016 – 2021) pamoja na mfumo wa Ufuatiliaji
wa Utekelezaji wa Mpango wa Elimu ikiwemo
“Successor Strategies”.
Kuajiri wafanyakazi 942; Walimu 400 wa Sayansi,
wakutubi 300 na Watunza Maabara 200 na Maafisa 42 wa
fani mbalimbali.
Kukamilisha ujenzi wa madarasa 120 ya maandalizi na
msingi yaliyoanzishwa na wananchi.
Kujenga skuli moja ya msingi mpya katika eneo la Fuoni
Pangawe.
Kuzipatia ulinzi skuli za Maandalizi na Msingi.
Kuzipatia vifaa vya kujifunzia na kusomeshea skuli za
maandalizi na msingi.
Kujenga skuli 10 mpya za ghorofa za sekondari na
kuzipatia samani pamoja na kituo kimoja cha Habari.
Kuajiri wafanyakazi 15 wakiwemo wanataaluma wanane
na saba wa Utawala na uendeshaji katika Chuo Kikuu cha
Taifa cha SUZA.
Kutayarisha na kukamilisha Sheria ya Elimu, Sheria ya
Ukaguzi wa Elimu na Sheria ya Taasisi ya Elimu, Sera ya
TEHAMA katika elimu, Sera ya Mafunzo ya Ualimu
kazini na Elimu Mjumuisho.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 36
Kuandaa muongozo wa utekelezaji wa Sera inayoelekeza
kuwa na elimu ya lazima ya sekondari ya miaka minne
(Kidato 1 – 4).
59. Mheshimiwa Spika, Naomba sasa, kuwasilisha mpango wa
maendeleo ya elimu kwa mwaka wa fedha wa 2016/17 kama
ifuatavyo:-
60. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka 2016/2017, Wizara ya
Elimu na Mafunzo ya Amali itaendelea kutekeleza malengo
iliyojiwekea kwa mujibu wa Dira 2020, MKUZA II
(Successor Strategy), Sera ya Elimu, vipaumbele vya Wizara
kwa mwaka 2016/17 na mikakati mengine ya Kitaifa na
Kimataifa iliyowekwa katika kuendeleza elimu. Wizara pia,
itaendelea kushirikiana na Wizara nyengine zinazotoa
huduma za jamii ikiwemo Wizara ya Afya, Wizara ya Ardhi,
Maji, Nishati na Mazingira na Wizara ya Kazi, Uwezeshaji na
Maendeleo ya Vijana, Wazee, Wanawake na Watoto,
washirika mbalimbali wa maendeleo, mashirika yasiyo ya
Serikali na wananchi.
61. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka 2016/2017, Wizara
yangu itaendelea kutekeleza miradi minne ambayo
itatekelezwa kwa kupitia programu sita. Programu hizo
zitatekelezwa kwa mashirikiano kati ya Serikali ya
Mapinduzi ya Zanzibar na Washirika wa Maendeleo wa
ndani na nje. Jumla ya TSh. 140,188,394,000/= zitahitajika,
kati ya hizo 94,507,100,000/= ni za SMZ na TSh.
9,555,561,000/= ni za ruzuku kutoka GPE, UNICEF, USAID,
Table for Two (TfT), Shirika la Good Neighbour la Korea,
Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China, NORAD na Milele
Zanzibar Foundation na TSh. 36,125,733,000/= ni mkopo
kutoka Benki ya Dunia, Benki ya Kiarabu kwa Maendeleo ya
Afrika (Badea), Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na
Mfuko wa OPEC. Miradi minne na Programu sita
zitakazotekelezwa ni kama ifuatavyo:-
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 37
Miradi minne ya Sekta ya Elimu
i). Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Maandalizi
ii). Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Msingi
iii). Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Lazima
iv). Mradi wa Uimarishaji wa Elimu Mbadala na Amali.
Programu sita za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
Programu ya 1: Elimu ya Maandalizi na Msingi
Programu ya 2: Elimu ya Sekondari.
Programu ya 3: Elimu ya Juu
Programu ya 4: Elimu Mbadala na Mafunzo ya Amali
Programu ya 5: Ubora wa Elimu
Programu ya 6: Uongozi na Utawala
MAELEZO YA PROGRAMU ZA ELIMU
62. Mheshimiwa Spika, yafuatayo ni maelezo ya programu za
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali yanayohusisha
Madhumuni, Matokeo ya muda mfupi, Viashiria na Shabaha
za utekelezaji kwa kila programu.
PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA
MAANDALIZI NA MSINGI
63. Mheshimiwa Spika, Programu hii madhumuni yake ni
kumtayarisha mwanafunzi aweze kusoma, kuandika na
kuhesabu. Pia programu hii ina madhumuni ya kumtayarisha
mtoto kimwili na kiakili kwa ajili ya kupata elimu ya
maandalizi na elimu msingi na kumuwezesha mwanafunzi
aweze kusoma, kuandika na kuhesabu.
Matokeo ya muda mfupi;
Kumtayarisha mtoto kwa ajili ya elimu ya msingi
Kutoa elimu ya maandalizi na elimu ya msingi.
Viashiria vya matokeo;
Uwiyano halisi wa uandikishaji wa wanafunzi katika
ngazi ya maandalizi na msingi,
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 38
Wastani wa mahudhurio kwa mwaka kijinsia,
Uwano wa idadi ya walimu kwa nyumba za
wafanyakazi katika maeneo yasiyofikika kirahisi
Uwiano wa wanafunzi kwa madarasa.
Shabaha za utekelezaji;
Kuongeza kiwango cha uandikishaji wanafunzi wa
maandalizi kutoka asilimia 58.2 katika mwaka
2015/16 hadi kufikia asilimia 65.0 ifikapo mwaka
2016/17
Kuongeza kiwango cha asilimia halisi ya
uandikishaji wanafunzi wa msingi kutoka asilimia
85.0 katika mwaka 2014/15 hadi kufikia asilimia
halisi 95.0 ifikapo mwaka 2016/17.
64. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Idara ya Elimu ya Maandalizi na Msingi. Kwa mwaka
2016/17, programu hii imepangiwa jumla ya TSh.
34,652,448,800/=.
PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA SEKONDARI
65. Mheshimiwa Spika, Programu ya Elimu ya Sekondari
madhumuni yake makubwa ni kumtayarisha mwanafunzi
aweze kuendelea na masomo katika ngazi za juu zaidi.
Matokeo ya muda mfupi;
Kutoa Elimu ya Sekondari.
Viashiria vya matokeo;
Uwiano wa wanafunzi wanaomaliza elimu ya lazima,
Uwiano halisi wa uandikishaji wa wanafunzi katika
ngazi ya kidato cha nne na cha sita,
Uwiano wa idadi ya walimu kwa nyumba za
wafanyakazi katika maeneo yasiyofikika kirahisi
Uwiano wa wanafunzi kwa madarasa.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 39
Shabaha za utekelezaji;
Kuongeza kiwango halisi cha uandikishaji wanafunzi
kutoka asilimia 74.4 katika mwaka 2016 hadi kufikia
asilimia 80 ifikapo mwaka 2017.
66. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Idara ya Elimu ya Sekondari. Kwa mwaka 2016/17,
programu hii imepangiwa jumla ya TSh. 47,301,327,700/=.
PROGRAMU YA TATU: ELIMU YA JUU
67. Mheshimiwa Spika, programu hii madhumuni yake ni kutoa
elimu itakayomuwezesha muhitimu kujiajiri au kuajiriwa.
Programu hii ina programu ndogo moja na maeneo madogo
manne ambayo ni:-
Programu ndogo ya Mafunzo ya Ualimu
68. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya
kuwawezesha walimu wanafunzi kuwa wabunifu, wataalamu
na wenye uwezo wa kuongoza ili kukuza ubora wa elimu.
Matokeo ya muda mfupi;
Elimu ya Stashahada ya Ualimu kutolewa
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya wanafunzi wote walio katika vyuo.
Shabaha za Utekelezaji;
Kuongeza kiwango cha asilimia ya walimu wenye
sifa kutoka 99.1 mwaka 2016 hadi kufikia asilimia
99.6 mwaka 2017
69. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Idara ya Mafunzo ya Ualimu. Kwa mwaka 2016/17,
programu hii imepangiwa jumla ya TSh. 1,188,732,000/=.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 40
Huduma ya Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti
70. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya
kumtayarisha mwanafunzi kuingia katika fani za kitaalamu na
ajira.
Matokeo ya muda mfupi;
Kiwango cha elimu ya Stashahada, Shahada ya
kwanza, Shahada ya pili na Shahada ya tatu
kutolewa.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya wanafunzi wanaomaliza ngazi ya
Astashahada na Stashahada.
Idadi ya wanafunzi wanaomaliza ngazi ya Shahada
ya kwanza, ya Uzamili na ya Uzamivu.
Idadi ya tafiti zinazofanywa.
Shabaha za Utekelezaji;
Kuongeza idadi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu kutoka
7,704 mwaka 2016 hadi kufikia 9,000 mwaka
2016/17
71. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa
na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA), Chuo Kikuu
cha Zanzibar Tunguu na Chuo cha Kumbukumbu ya
Abdulrahman Al-Sumeit cha Chukwani. Kwa mwaka
2016/17, SUZA imepangiwa ruzuku ya TSh. 6,207,000,000/=
Huduma ya Elimu ya Sayansi na Teknolojia
72. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya
kuimarisha elimu ya sayansi na teknolojia.
Matokeo ya muda mfupi;
Ufundishaji na kujifunza Sayansi, Hisabati na
Teknolojia
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 41
Elimu ya Ufundi kuimarishwa.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya wanafunzi wahitimu katika Taasisi,
Uwiyano wa wanafunzi kwa madarasa.
73. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa
na Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia. Kwa mwaka
2016/17, programu hii imepangiwa ruzuku ya TSh.
1,004,730,000/=
Huduma ya Mikopo ya Elimu ya Juu
74. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya kutoa
mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya Juu.
Matokeo ya muda mfupi;
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutolewa.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya wanafunzi wanaopokea mikopo
Shabaha za Utekelezaji;
Kuongeza utowaji wa mikopo kwa wanafunzi kutoka
asilimia 25 ya waombaji mwaka 2015/16 hadi
kufikia asilimia 30 ya waombaji ifikapo mwaka
2016/17
Kuongeza makusanyo ya marejesho ya mikopo
kutoka TSh. 720,000,000/= ya mwaka 2015/16 na
kufikia TSh. 1,000,000,000/= mwaka 2016/17.
75. Mheshimiwa Spika, Shughuli zahuduma hii zinatekelezwa
na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu. Kwa mwaka 2016/17,
programu hii imepangiwa ruzuku ya TSh. 6,119,090,000/=.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 42
Huduma ya Uratibu wa Elimu ya Juu
76. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya
usimamizi na tathmini ya elimu ya juu.
Matokeo ya muda mfupi;
Tathmini ya elimu ya juu katika vyuo vinavyotoa
elimu ya juu kufanyika.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya wanafunzi wanaoendelea na masomo ya
elimu ya juu kijinsia.
77. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa
na Kitengo cha Uratibu wa Elimu ya Juu. Kwa mwaka
2016/17, programu hii imepangiwa jumla ya TSh.
21,000,000/=.
PROGRAMU YA NNE: ELIMU MBADALA NA
MAFUNZO YA AMALI
78. Mheshimiwa Spika, Programu hii madhumuni yake ni kutoa
elimu ya mafunzo ya amali kwa mwanafuzi kulingana na
mahitaji ya soko la ajira. Programu hii ina programu ndogo
ndogo mbili kama ifuatavyo;
Programu ndogo ya Mafunzo ya Amali
79. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa
elimu itakayowawezesha vijana kujiajiri ili kujikwamua na
umasikini.
Matokeo ya muda mfupi;
Mafunzo ya Amali na ufundi kutolewa.
Viashiria vya matokeo;
Ukosefu wa ajira kwa vijana kupungua
Idadi ya wanafunzi wanaomaliza mafunzo ya amali
kuongezeka.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 43
Shabaha za utekelezaji:
Kupunguza ukosefu wa ajira kwa vijana kutoka
kiwango cha asilimia 19.6 kwa mwaka 2009 hadi
asilimia 11.4 ifikapo mwaka 2017.
80. Mheshimiwa Spika, shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Mamlaka ya Mafunzo ya Amali. Kwa mwaka wa fedha
2016/17, Mamlaka imetengewa ruzuku ya TSh.
1,228,010,000/=.
Programu ndogo ya Elimu Mbadala na Watu Wazima 81. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kupunguza kiwango cha kutojua kusoma, kuandika na
kuhesabu miongoni mwa wanajamii.
Matokeo ya muda mfupi;
Elimu mbadala na ya watu wazima kutolewa.
Viashiria vya matokeo;
Kiwango cha kujua kusoma, kuandika na kuhesabu
kwa watu wazima,
Idadi ya watu wazima wanaoshiriki katika madarasa
ya wanakisomo,
Idadi ya vijana waliojiunga na madarasa na vituo vya
elimu mbadala,
Idadi ya wanakisomo walioanzisha vikundi vya
ushirika
Shabaha za Utekelezaji;
Kuongeza kiwango cha kujua kusoma na kuandika
kutoka asilimia 84 mwaka 2012 hadi kufikia asilimia
90 ifikapo mwaka 2020.
82. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
naIdara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima. Kwa mwaka
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 44
2016/17, programu hii imetengewa jumla ya TSh.
14,744,577,600/=.
PROGRAMU YA TANO: UBORA WA ELIMU
83. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa
elimu bora kwa ngazi zote za elimu. Ina programu ndogo tatu
na maeneo matano ya kutoa huduma kama yafuatayo;
Huduma ya Mitaala na Vifaa vya Kufundishia
84. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya
kutayarisha mitaala ya elimu na vifaa vya kufundishia na
kujifunzia kwa ngazi za maandalizi, msingi, sekondari na
mafunzo ya Ualimu.
Matokeo ya muda mfupi;
Mitaala ya Elimu na vifaa vya kufundishia na
kujifunzia kwa ngazi zote kutayarishwa.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya Mitaala na vifaa vya kufundishia na
kujifunzia kwa ngazi zote kutayarishwa.
85. Mheshimiwa Spika, Shughuli za utowaji wa huduma hii
zinatekelezwa na Taasisi ya Elimu Zanzibar. Kwa mwaka
2016/17, Taasisi imetengewa ruzuku ya TSh. 70,300,000/=.
Huduma ya Upimaji na Tathmini ya Elimu
86. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kupima na kutathmini utekelezaji wa utoaji wa elimu.
Matokeo ya muda mfupi;
Malengo ya elimu kupimwa.
Viashiria vya matokeo;
Asilimia ya walimu wenye sifa
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 45
Asilimia ya wanafunzi na kiwango cha mpito katika
ngazi za darasa la sita, kidato cha pili, kidato cha nne
na cha sita.
Shabaha za Utekelezaji;
Kuongeza kiwango cha asilimia ya walimu wenye
sifa kutoka asilimia 99.1 mwaka 2016 hadi kufikia
asilimia 99.6 mwaka 2017 katika ngazi zote za
elimu.
Kiwango cha mpito kutoka kidato cha pili kwenda
cha tatu kuongezeka kutoka asilimia 69.6 mwaka
2016 hadi kufikia asilimia 74 ifikapo mwaka 2017.
Kiwango cha mpito kutoka kidato cha nne kwenda
cha tano kuongezeka kutoka asilimia 74 mwaka 2015
hadi asilimia 76 ifikapo mwaka 2017.
87. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Baraza la Mitihani la Zanzibar.Kwa mwaka 2016/17,
programu hii imepangiwa ruzuku ya TSh. 1,433,000,000/=.
Huduma ya Ukaguzi wa Elimu
88. Mheshimiwa Spika, utoaji wa huduma hii una madhumuni
ya kusimamia utoaji wa elimu unaofuata mtaala na
kuhakikisha ufanisi na ubora wa elimu.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya skuli zilizokaguliwa
Idadi ya ripoti za ukaguzi
89. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa
na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu. Kwa mwaka 2016/17,
programu hii imepangiwa ruzuku ya TSh. 60,000,000/=.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 46
Huduma za Maktaba
90. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa
fursa ya kutumia vitabu na vyanzo vyengine vya taaluma kwa
wananchi.
Matokeo ya muda mfupi;
Kutoa nafasi kwa wanafunzi na watu wengine ya
kupata taarifa mbalimbali kupitia maktaba.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya watu wanaotumia maktaba
Idadi ya vitabu, CDs, magazeti na majarida yaliyopo
katika maktaba.
Idadi ya skuli zilizokuwa na maktaba kamili.
91. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa
na Shirika la Huduma za Maktaba Zanzibar. Kwa mwaka
2016/17, programu hii imepangiwa kutumia ruzuku ya TSh.
355,230,000/=.
Huduma ya Urajisi wa Elimu
92. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kuhakikisha Sheria, Sera na taratibu za Wizara zinafuatwa.
Pia kutoa leseni kwa walimu na kusajili skuli za Serikali na
za binafsi.
Matokeo ya muda mfupi;
Skuli za serikali na binafsi zenye viwango bora
kusajiliwa
Leseni za walimu kutolewa.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya leseni za walimu zilizotolewa.
Idadi ya skuli zilizosajiliwa.
Sheria ya Elimu ilopitiwa na kurekebishwa.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 47
93. Mheshimiwa Spika, Shughuli za utowaji wa huduma hii
zinatekelezwa na Ofisi ya Mrajisi wa Elimu. Kwa mwaka
2016/17, programu hii imepangiwa kutumia jumla ya TSh.
35,250,000/=.
Programu ndogo ya Elimu Mjumuisho na Stadi za
Maisha
94. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa
elimu kwa wote wakiwemo watoto wenye mahitaji maalum.
Matokeo ya muda mfupi;
Vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa watoto
wenye mahitaji maalum kutolewa
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya wanafunzi na walimu katika Elimu
Mjumuisho.
95. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Kitengo cha Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha. Kwa
mwaka wa fedha 2016/17, Kitengo kimepangiwa kutumia
jumla ya Tsh 60,000,000/=.
Programu ndogo ya Teknolojia ya Habari na
Mawasiliano (ICT) 96. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kuifanya teknolojia ya habari na mawasiliano itumike katika
kujifunza, kufundisha na ngazi ya utawala na katika maisha
ya kila siku.
Matokeo ya muda mfupi;
Walimu wanapatiwa mafunzo juu ya matumizi ya
Teknolojia ya kisasa.
Viashiria vya utekelezaji;
Idadi ya walimu wenye ujuzi wa Teknolojia ya
Habari na Mawasiliano,
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 48
Idadi ya vifaa vya Teknolojia ya Habari na
mawasiliano katika skuli na Wizara
Idadi ya Taasisi za elimu zilizounganishwa na
mkonga wa Taifa.
Mafunzo ya matumizi ya kompyuta kutolewa
kuanzia katika skuli za msingi.
97. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Katika
Elimu. Katika mwaka 2016/17, programu hii imepangiwa
kutumia jumla ya TSh. 371,101,280/=.
Programu ndogo ya Michezo na Utamaduni katika Skuli
98. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya
kumuandaa mwanafunzi kimwili, kiafya na kiakili katika
kujifunza kwa kupitia michezo.
Matokeo ya muda mfupi;
Kuinua taaluma ya michezo katika skuli.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya walimu wenye taaluma ya michezo
Idadi ya skuli yenye viwanja vya michezo
Idadi ya skuli zenye vifaa vya michezo
Idadi ya wanafunzi wenye vipaji vya michezo
99. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Idara ya Michezo na Utamaduni katika skuli. Kwa mwaka
2016/17, programu hii imepangiwa kutumia jumla ya Tsh
250,344,320/=.
PROGRAMU YA SITA: UTAWALA NA UONGOZI
100. Mheshimiwa Spika, Programu hii madhumuni yake
makubwa ni kuhakikisha nyenzo zilizo bora zinapatikana na
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 49
zinatumika kwa kuimarisha utoaji wa elimu. Programu hii ina
programu ndogo tatu kama zifuatavyo:-
Programu ndogo ya Uongozi kiujumla
101. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya kutoa
ufanisi wa Uongozi na Utawala wa rasilimali za Wizara.
Matokeo ya muda mfupi;
Kupatikana kwa Ufanisi katika utoaji wa huduma,
Uongozi na Utawala wa Rasilimali za Wizara.
Viashiria vya matokeo;
Idadi ya wafanyakazi wanaoajiriwa na kustaafu,
Mafunzo yanayotolewa kwa wafanyakazi.
Shabaha za Utekelezaji;
Kuongeza ufanisi katika kutoa huduma kwa
wafanyakazi na upatikanaji wa nyenzo za kufanyia
kazi.
102. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Idara ya Utumishi na Uendeshaji. Kwa mwaka 2016/17,
programu hii imepangiwa kutumia jumla ya TSh.
2,253,818,900/=.
Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Mipango,
Sera na Utafiti
103. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya
kufanikisha na kuratibu Mipango, Sera na Utafiti katika
Wizara.
Matokeo ya muda mfupi;
Kupatikana kwa sera na mipango ya Wizara, kufanya utafiti
na kufanya ufuatiliaji na tathmini.
Viashiria vya matokeo;
Idadi za tafiti zilizofanywa
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 50
Ripoti za utekelezaji na ripoti za tathmini.
104. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa
na Idara ya Mipango, Sera na Utafiti. Kwa mwaka 2016/17,
programu hii imepangiwa kutumia jumla ya TSh.
2,065,502,400/=.
Programu ndogo ya kuratibu shughuli za elimu Pemba 105. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya
kuratibu na kusimamia shughuli zote za elimu kwa upande
wa Pemba. Matokeo ya muda mfupi na shabaha za
utekelezaji zinazotumika ni kama zile zilizoelezwa katika
programu za hapo juu.
106. Mheshimiwa Spika, msimamizi wa shughuli za programu hii
ni Afisa Mdhamini wa Wizara yangu kupitia katika Divisheni
ya Idara ya Uendeshaji na Utumishi Pemba.
107. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2016/17, programu hii
imepangiwa kutumia jumla ya TSh. 20,766,931,000/=.
MGAWANYO WA FEDHA KWA PROGRAMU
108. Mheshimiwa Spika, Sehemu hii inaonesha mgawanyo wa
fedha kwa Programu za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya
Amali yenye kuzingatia gharama za Idara/Vitengo/Taasisi
zilizomo katika programu husika.
PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA
MAANDALIZI NA MSINGI
Idara Husika: Idara ya Elimu ya Maandalizi na Msingi
Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 34,652,448,800/=
zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii. Kati ya
fedha hizo, TSh. 28,746,886,800/= ni kwa kazi za kawaida na
TSh. 5,905,562,000/= kwa kazi za maendeleo.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 51
PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA SEKONDARI
Idara Husika: Idara ya Elimu ya Sekondari
Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 47,301,327,700/=
zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii. Kati ya
fedha hizo, TSh. 21,846,330,575/= ni kwa kazi za kawaida na
TSh. 25,454,997,125/= kwa kazi za maendeleo.
PROGRAMU YA TATU: ELIMU YA JUU Taasisi Husika: Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar
(SUZA), Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia,
Mafunzo ya Ualimu, Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu na
Kitengo cha Uratibu wa Elimu wa Juu.
Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 14,540,552,000/=
zimepangwa kwa kufanikisha programu hii kwa kazi za
kawaida.
PROGRAM YA NNE: ELIMU MBADALA NA
MAFUNZO YA AMALI
Idara Husika: Mamlaka ya mafunzo ya Amali pamoja na
Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima.
Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 15,972,587,600/=
zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii. Kati ya
fedha hizo, TSh. 1,991,851,675/= ni kwa kazi za kawaida na
TSh. 13,980,735,925/= kwa kazi za maendeleo.
PROGRAM YA TANO: UBORA WA ELIMU
Idara Husika: Taasisi ya Elimu ya Zanzibar, Baraza la
Mitihani la Zanzibar, Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu,
Kitengo cha Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha, Shirika la
Huduma za Maktaba Zanzibar, Idara ya Teknolojia ya Habari
na Mawasiliano Katika Elimu, Ofisi ya Mrajisi wa Elimu,
Idara ya Michezo na Utamaduni Katika Skuli.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 52
Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 2,635,225,600/=
zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii kwa kazi
za kawaida.
PROGRAM YA SITA: UONGOZI NA UTAWALA
Idara Husika: Idara ya Utumishi na Uendeshaji, Idara ya
Mipango, Sera na Utafiti na Ofisi ya Elimu Pemba.
Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 25,086,252,300/=
zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii kwa kazi
za kawaida.
109. Mheshimiwa Spika, mapato ya Wizara ya Elimu na
Mafunzo ya Amali yanatokana na utoaji wa leseni za walimu
na usajili wa skuli za binafsi. Wizara kwa mwaka 2015/16
ilikadiriwa kukusanya jumla ya TSh. 24,731,000/=. Hadi
kufikia Mei, 2016 Wizara yangu imefanikiwa kuvuka lengo
kwa kukusanya TSh. 38,024,000/= na kuziwasilisha Hazina.
JUMLA YA GHARAMA ZA WIZARA YA ELIMU NA
MAFUNZO YA AMALI 110. Mheshimiwa Spika, gharama kwa programu zote sita za
Wizara ni TSh. 140,188,394,000/=, sawa na bajeti yote ya
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali inayotumia programu
iliyoainishwa Barazani. Kati ya fedha hizo, TSh.
92,957,100,000/= zimetengwa kwa kazi za kawaida na TSh.
47,231,294,000/= kwa kazi za maendeleo. Kati ya fedha za
maendeleo, TSh. 1,550,000,000/= ni mchango wa SMZ na
TSh. 45,681,294,000/= ni mchango wa Wahisani.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 53
SHUKRANI 111. Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua fursa hii kutoa
shukurani za dhati kwa washirika wote wa sekta ya elimu
wakiwemo wananchi, washirika wa maendeleo na mashirika
ya misaada ya kimataifa kwa kutuunga mkono katika
jitihada zetu za kuendeleza elimu. Tunatoa shukurani zetu za
pekee kwa Serikali ya Sweden, Marekani, Oman na Serikali
ya Watu wa China, Watu wa Korea na Iran. Pia, napenda
kuyashukuru mashirika mbali mbali yakiwemo, Sida,
USAID, UNESCO, UNICEF, ILO, VSO, OPEC Fund, GPE
na Table for Two. Pia shukurani zetu za dhati kwa Aga
Khan Foundation, Benki ya Dunia, Benki ya Kiarabu kwa
Maendeleo ya Afrika na Benki ya Maendeleo ya Afrika.
Napenda pia, kuyashukuru mashirika yasio ya kiserikali
yakiwemo Milele Zanzibar Foundation, NFU, FAWE, Save
the Children Fund, Book Aid International na ZAPDD. Vile
Vile napenda kuyashukuru makampuni na mashirika
mbalimbali ya kifedha kama vile ZTE, Benki ya watu wa
Zanzibar, CRDB, Barclays, NBC, Postal Bank Tanzania,
ZANTEL, Saccoss mbalimbali na Tigo kwa misaada yao
katika sekta yetu ya elimu na kwa wafanyakazi kwa ujumla.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 54
112. Mwisho, napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa
viongozi wenzangu kuanzia wewe Mheshimiwa Spika na
wajumbe wa Baraza lako Tukufu kwa ushirikiano mkubwa
walionipa na kwa namna watakavyoichangia hotuba yangu
hii. Nasema ahsanteni sana.
113. Mheshimiwa Spika, sasa naliomba Baraza lako Tukufu
liidhinishe makadirio ya matumizi ya Wizara ya Elimu na
Mafunzo ya Amali ya jumla ya TSh. 140,188,394,000/= kwa
mwaka wa fedha 2016/17, ili kuiwezesha Wizara yangu
kutekeleza majukumu yake.
Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 55
KIAMBATISHO
(Takwimu za Maendeleo ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
kwa kipindi cha Mwaka 2012 – 2016 na Hali halisi ya Elimu na
Mafunzo Amali kwa Mwaka 2015/16)
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 56
JADWELI NAM. 1
2015 SERIKALI BINAFSI JUMLA
SKULI ZA MAANDALIZI 253 278 279 277 30 259 289
SKULI ZA MSINGI (DAR I - VII) 194 234 250 260 217 68 285
SKULI ZA MSINGI/KATI 'A' (DAR I - KID 2) 58 50 50 49 35 11 46
SKULI ZA MSINGI/KATI 'B' (DAR I - KID 4) 73 57 57 57 24 37 61
SKULI ZA MSINGI/SEKOND.(DAR I - KID 6) 6 3 2 4 0 2 2
SKULI ZA KATI 'A' FORM 1 - FORM 2 2 1 2 4 2 0 2
SKULI ZA SEKOND. FORM 1 - FORM 4 93 104 107 122 129 5 134
SKULI ZA SEKOND. YA JUU (FORM 1 - 6) 12 19 13 11 19 2 21
SKULI ZA MCHEPUO WA KIFARANSA 1 1 1 1 1 0 1
SKULI ZA MCHEPUO WA UFUNDI 3 3 3 3 2 1 3
SKULI ZA MCHEPUO WA BIASHARA 2 2 4 1 2 0 2
SKULI ZA MCHEPUO WA KIISLAMU 2 2 2 2 2 0 2
SKULI ZA MCHEPUO WA SAYANSI JAMII 3 3 5 3 5 1 6
SKULI ZA MCHEPUO WA SAYANSI 1 4 8 4 9 0 9
SKULI ZA MCHEPUO WA KOMPYUTA 2 3 2 1 1 0 1
VITUO VYA MAFUNZO YA AMALI 3 3 3 3 3 0 3
VYUO VYA UALIMU 3 3 3 3 3 0 3
TAASISI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA 1 1 1 1 1 0 1
CHUO KIKUU CHA TAIFA Z'BAR (SUZA) 1 1 1 1 1 0 1
CHUO KIKUU CHA SUMAIT - CHUKWANI 1 1 1 1 0 1 1
CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR 1 1 1 1 0 1 1
JUMLA 715 774 795 809 486 388 874Mwezi wa kigezo: Machi.
2016
UKUAJI WA IDADI NA AINA ZA VITUO VYA ELIMU VILIVYOSAJILIWA, 2012- 2016
AINA ZA VITUO 2013 20142012
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 57
JADWELI NAM. 2(a)
*ONGEZEKO
KWA
MWAKA %
95,818
4 - 5(Ulezi)
241,718
6 - 11(Msingi)
85,744
12 - 13(Kid 1-2)
327,462
6 - 15(Dar1-Kid2)
69,369
14 - 15 (Kid 3 - 4)
396,831
6 - 15 (Dar1-Kid4)
* Kuanzia mwaka 2016 umri wa watoto wa kwenda skuli katika ngazi tafauti za elimu umefuata sera mpya ya elimu ya mwaka 2006 ilivyoagiza
UKUAJI WA IDADI YA WATOTO WA UMRI WA KWENDA SKULI KWA MWAKA, 2012- 2016
UMRI WA NGAZI YA ELIMU 2012 2013 2014 2015 2016*
7 - 17 (Msingi/Kati "B")(Darasa 1-Kidato 4)
199,310 198,867 246,741 265,591
4 - 6 (Ulezi)
91,772 93,639 125,687 135,965 0.8
7 - 13 (Msingi)
14 - 15 (KIidato 1 - Kidato 2)
7 - 15 (Darasa 1-Kidato 2)
16 - 17 (Kidato 3 - 4)
3.5
6.2
4.2
3.4
59,048 59,113 73,428 72,731
258,358 257,980 320,169 338,322
4.1
57,548 58,161 59,463 60,184
315,906 456,847 398,506566,910
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 58
JADWELI NAM. 2(b)
ONGEZEKO
KWA
SERIKALI BINAFSI JUMLA MWAKA %
Maandalizi 31633 30912 46880 41687 32102 23629 55731 15.21Msingi (Darasa I - VII) 242229 247353 252938 261212 224887 24256 249143 0.71Kati 'A' (Kidato 1 - 2 Bila ya Mchepuo) 48998 47747 48912 52876 75413 5010 80423 13.19Kati 'B' (Kidato 3 - 4 Bila ya Mchepuo) 25254 24889 25769 26392 25414 3242 28656 3.21Sekondari ya Juu (Kidato 5 - 6) 3532 2250 1959 2640 3506 342 3848 2.17Vipawa vya Juu (Kidato 1 - 4) 483 530 974 1049 1027 0 1027 20.76Mchepuo wa Sayansi (Kidato 1 - 4) 413 898 1331 1086 1464 0 1464 37.21Mchepuo wa Ufundi (Kidato 1 - 4) 355 381 380 375 345 16 361 0.42Mchepuo wa Kifaransa (Kidato 1 - 4) 159 157 163 153 190 0 190 4.55Mchepuo wa Kiislamu (Kidato 1 - 4) 462 479 433 367 428 0 428 -1.89Mchepuo wa Biashara (Kidato 1 - 4) 329 323 451 503 361 0 361 2.35Mchepuo wa Kompyuta (Kidato1 - 4) 279 468 477 548 470 0 470 13.93Mchepuo wa Sayansi Jamii (Kidato 1 - 4) 925 726 935 936 870 0 870 -1.52Mchepuo wa Wanawake (Kidato 1- 4) 329 108 514 640 555 360 915 29.14Ufundi Sanifu 336 272 282 315 308 0 308 -2.15Ualimu (Benjamin Mkapa) Diploma 87 176 194 228 123 0 123 9.04Ualimu (Kiislamu) Diploma - Kiuyu + Mazizini 398 569 603 556 809 0 809 19.40Lugha - Diploma (SUZA) 423 539 411 273 368 0 368 -3.42Cheti - Kompyuta (SUZA) 18 70 60 36 42 0 42 23.59Diploma - Kompyuta (SUZA) 38 62 69 52 33 0 33 -3.47Shahada - Kompyuta (SUZA) 40 47 51 67 71 0 71 15.42Diploma - Sayansi ya Ualimu (SUZA) 78 96 102 131 65 0 65 -4.46Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar - SUZA 1440 1665 2078 1979 2346 0 2346 12.98Chuo Kikuu Cha SUMAIT - Chukwani 1210 1523 1880 1917 0 1684 1684 8.61Chuo Kikuu Cha Zanzibar 2162 1297 2080 1915 0 2719 2719 5.90
Jumla 361,610 363,537 389,926 397933 370,063 60,898 430,961 4.48
UKUAJI WA UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI KATIKA NGAZI MBALI MBALI, 2012 - 2016
NGAZI YA ELIMU
2016
2012 2013 2014 2015
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 59
JADWELI NAM. 2(c)
Maandalizi 34.4 33.0 30.9 30.7 58.2
Msingi 121.5 124.4 102.5 98.4 103.1
Kati 'A' (Kid 1 - Kid 2)* 86.6 84.5 71.1 76.3 97.6
Kati 'B' (Kidato 3 - 4)* 47.0 46.0 46.7 47.7 45.6
Msingi na Kati 'A' (Dar.I - Kid.2)* 113.5 115.3 95.3 93.6 101.6
Msingi na Kati 'B' (Dar.I - Kid.4)* 93.5 93.5 87.6 86.5 91.9
*Pamoja na Michepuo
2016UMRI WA NGAZI YA ELIMU 2015
ASILIMIA YA UANDIKISHAJI (GROSS LEVEL ENROLMENT RATIO)
KATIKA NGAZI MBALI MBALI ZA ELIMU, 2012 - 2016
2012 2013 2014
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 60 JADWELI NAM. 3
WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA
Darasa I 20320 41366 21104 42862 21129 42848 21728 44189 22747 47156 2763 5431 25510 52587 5.85 6.18
Darasa II 18838 38167 19804 39987 20343 40996 20364 41316 18841 38419 2496 4894 21337 43313 3.16 3.21
Darasa III 17516 35053 18529 37120 19484 38867 20083 40134 18358 37205 2189 4294 20547 41499 4.07 4.31
Darasa IV 16720 33518 17383 34121 18121 36245 19139 38218 17882 35843 1844 3548 19726 39391 4.22 4.12
Darasa V 16597 32989 16378 32792 16581 32370 18273 36093 17741 35391 1585 3132 19326 38523 3.88 3.95
Darasa VI 16293 32100 16164 32034 16236 32461 15795 29793 15949 30873 1361 2618 17310 33491 1.53 1.07
Darasa VII 13592 26234 14930 28437 15094 29151 15844 31469 0 0 178 339 178 339 -66.17 -66.28
Kid. I (Michepuo) 532 1014 545 1146 722 1465 678 1296 911 1499 88 88 999 1587 17.06 11.85
Kid I (Wengine) 13531 26307 13109 25327 14286 27032 14783 28555 27377 52545 1509 3097 28886 55642 20.88 20.60
Kid.2 (Michepuo) 596 1096 576 1084 688 1532 654 1351 807 1605 87 93 894 1698 10.67 11.57
Kid. 2 (Wengine) 12335 22691 12286 22420 11799 21880 13211 24321 12151 22868 1024 1913 13175 24781 1.66 2.23
Kid. 3 (Michepuo) 443 1525 612 1104 553 1075 588 1259 692 1423 76 76 768 1499 14.75 -0.43
Kid. 3 (Wengine) 6710 12497 7545 12904 7622 13293 7519 13534 8141 14007 950 1742 9091 15749 7.89 5.95
Kid. 4 (Michepuo) 476 956 366 736 489 909 553 1037 603 1370 109 119 712 1489 10.59 11.71
Kid. 4 (Wengine) 7181 12757 6594 11985 7385 12476 7357 12858 6515 11407 820 1500 7335 12907 0.53 0.29
Kid 5 na NTA 4 791 1595 650 1265 747 1794 1112 2064 790 1776 102 231 892 2007 3.05 5.91
NTA 5 20 87 22 103 16 85 16 83 31 96 0 0 31 96 11.58 2.49
Kid 6 na NTA 6 1068 2181 51 147 603 1213 408 815 949 1942 50 111 999 2053 -1.66 -1.50
Jumla 163559 322133 166648 325574 171898 335692 178105 348385 170485 335425 17231 33226 187716 368651 3.50 3.43
UKUAJI WA IDADI YA WANAFUNZI KATIKA MADARASA, 2012 - 2016
MADARASASERIKALI BINAFSI2012 2015
ONGEZEKOKWA MWAKA (%)
201620142013 JUMLA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 61
JADWELI NAM. 4
WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA % WASIOSOMEA WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA %WASIOSOMEA WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA %WASIOSOMEA
2012 8645 496 9141 5.4 831 364 1195 30.5 9476 860 10336 8.3
2013 9503 391 9894 4.0 1178 346 1524 22.7 10681 737 11418 6.5
2014 9832 129 9961 1.3 1225 407 1632 24.9 11057 536 11593 4.6
2015 9942 89 10031 0.9 1441 354 1795 19.7 11383 443 11826 3.7
2016 9857 93 9950 0.9 1638 405 2043 19.8 11495 498 11993 4.2
Takwimu hizi hazijumuishi Walimu wa Chuo cha Karume na Skuli za Maandalizi
UKUAJI WA IDADI YA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA SEKONDARI
JUMLA
(DARASA LA 1 - KIDATO 6) 2012 - 2016 SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI
MWAKA
SKULI ZA BINAFSISKULI ZA SERIKALI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 62
JADWELI NAM. 5
IDADI YA IDADI YA W'FUNZI KWA IDADI YA IDADI YA W'FUNZI KWA IDADI YA IDADI YA W'FUNZI KWA
WANAFUNZI WALIMU WALIMU WANAFUNZI WALIMU WALIMU WANAFUNZI WALIMU WALIMU
2012 273,162 9141 30 20175 1195 17 293,337 10,336 28
2013 277,291 9894 28 20039 1524 13 297,330 11,418 26
2014 282,773 9961 28 22348 1632 14 305,121 11,593 26
2015 318,955 10031 32 29226 1795 16 348,181 11,826 29
2016 335,080 9952 34 33226 2043 16 368,306 11,995 31
UKUAJI WA WANAFUNZI NA WALIMU (PUPIL TEACHER RATIO)
KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR. 1 - KID. 6) 2012- 2016
SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI
MWAKA
SKULI ZA SERIKALI SKULI ZA BINAFSI JUMLA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 63
JADWELI NAM. 6a(i)
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
2011 9119 10547 19666 4975 6066 11041 54.6 57.5 56.1
2012 8644 11035 19679 4427 6768 11195 51.2 61.3 56.9
2013 8662 10660 19322 4805 6678 11483 55.5 62.6 59.4
2014 10119 11825 21944 6373 8011 14384 62.9 67.7 65.5
2015 10820 13231 24051 6950 9794 16744 74.0 64.2 69.6
MATOKEO YA MITIHANI WA KIDATO CHA 2, 2011- 2015
MWAKA
WATAHINIWA WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 64
JADWELI NAM 6a(ii)
NAFASI 2011 2012 2013 2014 2015
1 Mjini Micheweni Kaskazini B Mjini Wete
2 Magharibi Kaskazini 'B' Mjini Magharibi Chake-chake
3 Kati Chake chake Mkoani Chake Chake Kati
4 Kusini Mkoani Micheweni Micheweni Mjini
5 Kaskazini B Kati Wete Wete Kusini
6 Micheweni Magharibi Chake chake Kati Magharibi
7 Wete Mjini Kati Mkoani Micheweni
8 Chake chake Kusini Kusini Kaskazini A Mkoani
9 Kaskazini A Wete Kaskazini A Kusini Kaskazini B
10 Mkoani Kaskazini 'A' Magharibi Kaskazini B Kaskazini A
NAFASI ZA WILAYA KATIKA MATOKEO YA MTIHANI
WA KIDATO CHA PILI (2011 - 2015)
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 65
JADWELI NAM. 6a(iii)
NAFASI 2011 2012 2013 2014 2015
1 Mwanakwerekwe 'B' Mtoni Madungu Sekondari Madungu A Sek Madungu A
2 Nyerere Msuka Upenja Chambani Mauwani
3 Michakaini Kiuyu Muembe Makumbi Kisiwani Mahonda
4 Kinuni M/Makumbi Piki Jendele Shengejuu
5 Kijitoupele Upenja Kusini Makangale Pandani
6 Kibeni Mwanakwerekwe 'B' Mwambe Jongowe Kangani
7 Chokocho Mfenesini Jongowe Muyuni Uroa
8 Muembemakumbi Kiwengwa Matemwe Vikunguni Hurumzi
9 Pwani Mchangani Mgambo Mizingani Cheju Mfenesini
10 Kibondeni Michakaini Ukongoroni Mfurumatonga Maendeleo
WA KIDATO CHA PILI (2011 - 2015)
NAFASI ZA SKULI KUMI BORA KATIKA MATOKEO YA MTIHANI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 66
JADWELI NAM. 6(b)(i)
JUMLA JUMLA
DIV.I-IV DIV. I-IV
2011 5491 33 62 384 3539 4018 0.6 1.1 7.0 64.5 73.2
2012 5651 17 80 287 2627 3011 0.3 1.4 5.1 46.5 53.3
2013 5542 74 283 637 2587 3581 1.3 5.1 11.5 46.7 64.6
2014 5267 57 326 614 2170 3167 1.08 6.19 11.66 41.20 60.13
2015 5188 46 260 697 2839 3842 0.89 5.01 13.43 54.72 74.06
DIV. II DIV. III DIV. IV
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, 2011- 2015 WAVULANA
MWAKA WATAHINIWA
WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)
DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IV DIV. I
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 67
JADWELI NAM. 6(b)(ii)
JUMLA JUMLA
DIV. I-IV DIV. I - IV
2011 6386 27 45 388 4542 5002 0.4 0.7 6.1 71.1 78.3
2012 7400 28 70 275 3551 3924 0.4 0.9 3.7 48.0 53.0
2013 6662 56 251 652 3570 4529 0.8 3.8 9.8 53.6 68.0
2014 7545 52 301 681 3512 4546 0.69 3.99 9.03 46.55 60.25
2015 7020 14 185 658 4191 5048 0.20 2.64 9.37 59.70 71.91
DIV. II DIV. III DIV. IV
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, 2011 - 2015. WASICHANA
MWAKA WATAHINIWA
WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)
DIV.I DIV.II DIV.III DIV.IV DIV. I
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 68
JADWELI NAM. 6(b)(iii)
JUMLA JUMLA
DIV. I - IV DIV. I - IV
2011 11877 60 107 772 8081 9020 0.5 0.9 6.5 68.0 75.9
2012 13051 45 150 562 6178 6935 0.3 1.1 4.3 47.3 53.1
2013 12204 130 534 1289 6157 8110 1.1 4.4 10.6 50.5 66.5
2014 12812 109 627 1295 5682 7713 0.85 4.89 10.11 44.35 60.2
2015 12208 60 445 1355 7030 8890 1.05 6.66 16.85 75.44 75.90
DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IV
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, 2011 - 2015
JUMLA YA WAVULANA NA WASICHANA
MWAKA WATAHINIWA
WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)
DIV.I DIV.II DIV. III DIV. IV
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 69
JADWELI NAM. 6(c)(i)
JUMLA JUMLA
DIV. I - IV DIV. I - IV
2010/11 1041 14 68 455 254 791 1.3 6.5 43.7 24.4 76.0
2011/12 898 9 32 409 211 661 1.0 3.6 45.5 23.5 73.6
2012/13 1010 1 20 529 222 772 0.1 2.0 52.4 22.0 76.4
2013/14 586 26 98 295 129 548 4.4 16.7 50.3 22.0 93.5
2014/15 358 41 98 164 41 344 11.5 27.4 45.8 11.5 96.1
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 6, 2010/11 - 2014/15 WAVULANA
MWAKA WATAHINIWA
WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU U(%)
DIV.I DIV. II DIV. III DIV.IV DIV.I DIV. II DIV. III DIV. IV
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 70
JADWELI NAM. 6(c)(ii)
JUMLA JUMLA
DIV. I - IV DIV. I - IV
2010/11 918 10 50 435 231 726 1.1 5.4 47.4 25.2 79.1
2011/12 915 8 55 400 217 680 0.9 6.0 43.7 23.7 74.3
2012/13 1057 0 20 595 249 864 0.0 1.9 56.3 23.6 81.7
2013/14 573 25 96 334 104 559 4.4 16.8 58.3 18.2 97.6
2014/15 315 58 95 126 33 312 18.4 30.2 40.0 10.5 99.0
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 6, 2000/11 - 2014/15 WASICHANA
WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)
MWAKA WATAHINIWA DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IVDIV. IV DIV. I DIV. II DIV. III
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 71
JADWELI NAM. 6(c)(iii)
JUMLA JUMLA
DIV. I - IV DIV. I - IV
2010/11 1959 24 118 890 485 1571 1.2 6.0 45.4 24.8 80.2
2011/12 1813 17 87 809 428 1341 0.9 4.8 44.6 23.6 74.0
2012/13 2067 1 40 1124 471 1636 0.05 1.9 54.4 22.8 79.1
2013/14 1159 51 194 629 233 1107 4.4 16.7 54.3 20.1 95.5
2014/15 673 99 193 290 74 656 14.7 28.7 43.1 11.0 97.5
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 6, 2010/11 - 2014/15
WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)
JUMLA YA WAVULANA NA WASICHANA
MWAKA WATAHINIWA DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IVDIV. III DIV.IV DIV.I DIV. II
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 72
JADWELI NAM. 6(d)
WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA
7 24 10 22
77.8% 57.1% 9.9% 21.8%
12 59 0 0
80.0% 84.3% 0 0
10 11 145 196
19.6% 16.9% 71.4% 75%
17 11 161 219
(85.0%) (13.4%) (75.6%) (79.4%)
20 59 185 236
(95.2%) (63.4%) (88.9%) (89.4%)
UALIMU DIPLOMA
20011/12
MATOKEO YA MITIHANI MINGINE YA TAIFA YA TANZANIA 2010/11 - 2014/15
MWAKA WATAHINIWA
FTC / DIPLOMA YA UFUNDI NTA 6
WALIOFAULU
20010/11
WALIOFAULUWATAHINIWA
55 101
0 0
2014/15
2013/14
2012/13
9 42
15 70
51 65
20 82
21 93
203 260
276
208 264
213
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 73
JADWELI NAM. 7
W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU %
MJINI 2182 1305 59.8 1705 300 17.6 1321 517 39.1 1321 517 39.1 1155 443 38.4
MAGHARIBI 3351 2013 60.1 4265 883 20.7 1136 475 41.8 1127 475 42.1 1355 685 50.6
KASKAZINI 'A' 1030 619 60.1 1113 174 15.6 405 177 43.7 405 177 43.7 299 128 42.8
KASKAZINI 'B' 477 341 71.5 329 40 12.2 129 48 37.2 129 48 37.2 157 80 51.0
KATI 1513 1189 78.6 1136 106 9.3 370 142 38.4 370 142 38.4 477 230 48.2
KUSINI 523 380 72.7 390 37 9.5 142 61 43.0 142 61 43.0 142 72 50.7
MICHEWENI 436 299 68.6 538 63 11.7 185 72 38.9 185 72 38.9 101 21 20.8
WETE 1030 690 67.0 836 131 15.7 470 210 44.7 470 210 44.7 260 99 38.1
CHAKE CHAKE 667 333 49.9 610 121 19.8 337 121 35.9 337 121 35.9 278 118 42.4
MKOANI 649 404 62.2 474 80 16.9 172 68 39.5 172 68 39.5 163 64 39.3
ZANZINBAR 11858 7573 63.9 11396 1935 17.0 4667 1891 40.5 4658 1891 40.6 4387 1940 44.2
WILAYA2014
MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA KIDATO
CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR, 2011 - 2015
20152011 2012 2013
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 74
JADWELI NAM. 8
Lumumba 237 133 56.12 131 39 29.77 109 43 39.45 108 43 39.81 56 31 55.36
F/Castro 19 6 31.58 5 2 40.00 8 4 50.00 8 4 50.00 8 3 37.50
Ben-Bella 131 82 62.60 114 22 19.30 104 23 22.12 113 23 20.35 19 17 89.47
Zanzibar Comm. 60 36 60.00 32 8 25.00 15 5 33.33 15 5 33.33 5 2 40.00
Utaani 67 35 52.24 47 25 53.19 32 13 40.63 32 13 40.63 2 1 50.00
Shamiani 91 63 69.23 61 19 31.15 41 11 26.83 41 11 26.83 14 13 92.86
Pemba Islamic 70 33 47.14 25 9 36.00 19 4 21.05 17 16 94.12 2 2 100.00
Hamamni 73 40 54.79 31 8 25.81 14 4 28.57 14 4 28.57 0 0 0.00
Uweleni 59 21 35.59 39 8 20.51 23 6 26.09 23 6 26.09 0 0 0.00
CCK 130 70 53.85 98 24 24.49 36 8 22.22 33 8 24.24 0 0 0.00
MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA,
KIDATO CHA 6, VITUO VYA ZANZIBAR, 2010/2011 - 2014/2015
JUMLA YA WAVULANA NA WASICHANA
KIMA C
HA KUFAULU (%
)
KIMA C
HA KUFAULU (%
)
KIMA C
HA KUFAULU (%
)
WATAHIN
IWA
WATAHIN
IWAKITUO
WATAHIN
IWA
WALIO
FAULU
2011/20122010/2011 2012/2013
WATAHIN
IWA
WALIO
FAULU
WALIO
FAULU
KIMA C
HA KUFAULU (%
)
2014/2015
KIMA C
HA KUFAULU (%
)
2013/2014
WATAHIN
IWA
WALIO
FAULU
WALIO
FAULU
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 75
JADWELI NAM.8 Iinaendelea
Kiponda 34 17 50.00 34 17 50.00 35 15 42.86 31 11 35.48 13 13 100.00
Al - Falah 75 32 42.67 75 32 42.67 23 8 34.78 14 8 57.14 0 0 0.00
Nyuki JWTZ 35 20 57.14 35 20 57.14 14 7 50.00 12 7 58.33 0 0 0.00
Mbarali 35 17 48.57 35 17 48.57 39 8 20.51 14 1 7.14 0 0 0.00
Mkwajuni 33 19 57.58 33 19 57.58 36 12 33.33 25 5 20.00 8 7 87.50
M/kwe 'C' 107 54 50.47 107 54 50.47 79 13 16.46 55 17 30.91 24 21 87.50
Philter F.School 41 11 26.83 41 11 26.83 39 10 25.64 0 0 0.00 0 0 0.00
AL HARAMAIN 85 53 0.0 85 53 62.35 62 38 61.29 45 24 53.33 0 0 0.00
Haile Selassie 51 25 0.0 51 25 49.02 36 11 30.56 33 11 33.33 6 5 83.33
Mchangamdogo 0 0 0.0 0 0 0.0 41 13 31.71 0 0 0.00 11 7 63.64
K/Samaki 0 0 0.0 0 0 0.0 6 2 33.33 24 8 33.33 21 11 52.38
HIGH VIEW 21 15 0.0 21 15 71.43 0 0 0.00 0 0 0.00 0 0 0.00
Jumla 983 301 30.62 653 213 32.62 644 220 34.16 644 220 34.16 189 133 70.37
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 76
JADWELI NAM. 9
(TSH.000,000)
PATO LA
TAIFA KAWAIDA MAENDELEO JUMLA KAWAIDA MAENDELEO JUMLA PLT SERIKALI
2011/12 1,198,000 234,175 37,945 272,120 45,308 4,500 49,808 4.2 18.3
2012/13 1,342,600 307,857 47,900 355,757 71,050 5,100 76,150 5.7 21.4
2013/14 1,442,800 376,492 65,900 442,392 80,200 5,350 85,550 5.9 19.3
2014/15 2,133,500 431,404 51,880 483,284 96,827 2,900 99,727 4.7 20.6
2015/16 2,308,000 446,490 65,000 511,490 98,990 1,550 100,540 4.4 19.7
Chanzo Cha Takwimu za Pato la Taifa na Matumizi ya Maendeleo ya Serikali 2016.
Hotuba ya Waziri wa Fedha na Uchumi, Kuhusu Mpango wa Maendeleo na Makadiro ya Mapato na
Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2015/2016, Mei 2016
MATUMIZI YA ELIMU KWA ULINGANISHO NA MATUMIZI
YA SERIKALI NA PATO LA TAIFA 2010/11 - 2015/16
MWAKA
MATUMIZI YA SERIKALI MATUMIZI YA ELIMU MGAO WA ELIMU (%) KWA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 77
JADWELI NAM. 10 (a)
KASMA MRADI MCHANGO WA MAKADIRIO YA MISAADA MAKADIRIO % %
SMZ RUZUKU MKOPO JUMLA SMZ RUZUKU MIKOPO
RUZUKU/
MIKOPO SMZ
0801/680005 UIMARISHAJI ELIMU YA MAANDALIZI 400,000,000 861,316,000 1,261,316,000 2,534,010,220 294.20 -
801/680006 UIMARISHAJI ELIMU YA MSINGI 1,000,000,000 2,274,317,000 343,617,000 3,617,934,000 2,269,768,100 99.80 -
0401/680015 UIMARISHAJI WA ELIMU YA LAZIMA 1,000,000,000 1,000,000,000 120,000,000 974,632,748.00 - 12.00
1201/680008 UIMARISHAJI WA ELIMU MBADALA 500,000,000 17,519,250,000 18,019,250,000 946,407,727 5.40 -
JUMLA 2,900,000,000 3,135,633,000 17,862,867,000 23,898,500,000 120,000,000 4,803,778,320 1,921,040,475 32.03 4.14
KILICHOPATIKANA JULY,2015-MEI,2016
UPATIKANAJI WA FEDHA KWA KWA MIRADI YA MAENDELEO, SERIKALI NA WAHISANI, KWA MWAKA 2015/2016
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 78
JADWELI 10 (b)
KASMA PROGRAMU BAJETI KILICHOPATIKANA ASILIMIA
ELIMU YA MAANDALIZI NA MSINGI
P01/S01 MAANDALIZI NA MSINGI
Mshahara 25,172,083,000.00 25,172,083,000.00 100.0
Matumizi ya Kawaida 4,089,702,000.00 2,736,974,327.00 66.9
Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Maandalizi 2,604,933,000.00 2,534,010,220.00 97.3
Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Msingi 2,274,317,000.00 2,269,768,100.00 99.8
JUMLA YA PROGRAMU 34,141,035,000.00 32,712,835,647.00 95.82
P02/S01 ELIMU YA SEKONDARI
Mshahara 18,830,000,000.00 16,829,106,343.00 89.4
Matumizi ya Kawaida 1,214,323,000.00 132,645,000.00 10.9
Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Sekondari 1,000,000,000.00 1,094,632,748.00 109.5
JUMLA YA PROGRAMU 21,044,323,000.00 18,056,384,091.00 85.80
RIPOTI YA UPATIKANAJI WA FEDHA KWA PROGRAMU NA PROGRAMU NDOGO KWA KIPINDI CHA JULAI
2015 HADI MEI 2016
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 79
JADWELI 10 (b) linaendelea
P03/S01 ELIMU YA JUU
IDARA YA MAFUNZO YA UALIMU
Mshahara 984,160,000.00 692,496,460.00 70.4
Matumizi ya Kawaida 231,000,000.00 22,470,000.00 10
CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR
Mshahara 5,000,000,000.00 4,837,971,557.00 96.8
Matumizi ya Kawaida 207,000,000.00 -
CHUO CHA KARUME CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA
Mshahara 836,000,000.00 545,097,405.00 65.2
Matumizi ya Kawaida 140,000,000.00 89,523,634.00 63.9
BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU
Mshahara 168,000,000.00 158,139,400.00 94.1
Matumizi ya Kawaida 8,091,000,000.00 3,500,000,000.00 43.3
CHUO CHA KIISLAM
Matumizi ya Kawaida 28,000,000.00 16,000,000.00 57.1
JUMLA YA PROGRAMU 15,685,160,000.00 9,861,698,456.00 62.87
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 80
JADWELI 10 (b) linaendelea
P04/S01 ELIMU MBADALA NA MAFUNZO YA AMALI
ELIMU MBADALA NA WATU WAZIMA
Mshahara 556,000,000.00 215,760,670.00 38.8
Matumizi ya Kawaida 232,969,000.00 44,641,000.00 19.2
P04/S02 MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI
Mshahara 792,000,000.00 689,858,935.00 87.1
Matumizi ya Kawaida 564,000,000.00 348,364,027.00 61.8
MRADI WA UIMARISHAJI WA EMMA 18,019,250,000.00 946,407,727.00 5.25
JUMLA YA PROGRAMU 20,164,219,000.00 2,245,032,359.00 11.13
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 81
JADWELI 10 (b) linaendelea
P05/S01 UBORA WA ELIMU
TAASISI YA ELIMU ZANZIBAR
Matumizi ya Kawaida 87,880,000.00 51,616,875.00 58.7
BARAZA LA MITIHANI LA ZANZIBAR
Mshahara 164,000,000.00 183,710,325.00 112.0
Matumizi ya Kawaida 1,344,000,000.00 1,116,524,900.00 83.1
OFISI YA MKAGUZI MKUU WA ELIMU
Matumizi ya Kawaida 80,000,000.00 59,982,300.00 75.0
TEKNOLOJIA HABARI NA MAWASILIANO
Mshahara 230,600,000.00 102,753,577.00 44.56
Matumizi ya Kawaida 157,000,000.00 14,500,000.00 9.24
BARAZA LA ELIMU
Matumizi ya Kawaida 47,000,000.00 33,300,000.00 70.9
ELIMU MJUMUISHO NA STADI ZA MAISHA
Matumizi ya Kawaida 60,000,000.00 800,000.00 1.3
MAKTABA KUU ZANZIBAR
Mshahara 251,599,000.00 214,929,550.00 85.4
Matumizi ya Kawaida 113,401,000.00 68,092,000.00 60.0
MICHEZO NA UTAMADUNI MASKULINI
Mshahara 65,302,000.00 42,512,359.00 65.1
Matumizi ya Kawaida 205,720,000.00 100,595,000.00 48.9
JUMLA YA PROGRAMU 2,806,502,000.00 1,989,316,886.00 70.88
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 82
JADWELI 10 (b) linaendelea
P06 UONGOZI WA ELIMU
P06/S01 UONGOZI WA ELIMU NA UTAWALA BORA
Mshahara 1,197,300,000.00 1,056,296,395.00 88.2
Matumizi ya Kawaida 990,221,000.00 402,752,161.00 40.7
P06/S02 MIPANGO SERA NA UTAFITI
Mshahara 234,000,000.00 211,575,550.00 90.4
Matumizi ya Kawaida 2,035,916,000.00 1,199,584,671.00 58.9
P06/S03 KURATIBU SHUGHULI ZA KIELIMU PEMBA
Mshahara 19,122,355,000.00 17,162,440,830.00 89.8
Matumizi ya Kawaida 3,249,369,000.00 437,000,000.00 13.4
Ruzuku ya Matumizi ya kawaida 56,000,000.00 46,666,660.00 83.3
JUMLA YA PROGRAMU 26,885,161,000.00 20,516,316,267.00 76.31
JUMLA YA BAJETI 120,726,400,000.00 85,381,583,706.00 70.72
UPATIKANAJI WA FEDHA KWA KIPINDI CHA JULAI,2015-APRIL,2016
BAJETI KILICHOPATIKANA ASILIMIA
MSHAHARA 66,391,800,000.00 61,485,025,184.00 92.6
MATUMIZI YA KAWAIDA 12,466,220,000.00 5,091,962,159.00 40.8
RUZUKU 17,969,880,000.00 11,959,777,568.00 66.6
MAENDELEO 23,898,500,000.00 6,844,818,795.00 28.6
JUMLA 120,726,400,000.00 85,381,583,706.00 70.72
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 83
JADWELI NAM. 11(a)
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI
0 0 0 0
JUMLA 0 0 0
1 Kinuni 4 0 0 SMZ/Wananchi
2 TC K/Samaki 0 0 0 Chumba cha Mtihani 1 SIDA/Wananchi
3 TC Bububu 0 1 0 Chumba cha Mikutano SIDA/Wananchi
JUMLA 4 1 0
1 TC Mkwajuni 1 Chumba cha mitihani 1 SIDA/Wananchi
2 Mbuyu Tende 4 0 0
Chumba cha mikutano1,
nyumba ya mwalimu MILELE/Wananchi
3 Kidagoni 4 0 0 Nyumba ya mwalimu 1 MILELE/Wananchi
JUMLA 9 0 0
WILAYA YA KASKAZINI B
1 Donge mtambile 3 0 0 0 SIDA/Wananchi
2 Kiongwe 3 0 0 Nyumba ya mwalimu MILELE/Wananchi
JUMLA 6 0 0 0
WILAYA YA KATI
1 TC Dunga 0 0 1 Chumba cha Mikutano SIDA/Wananchi
2 Jendele 4 0 0 Chumba cha mitihani SIDA/Wananchi
JUMLA 4 0 1
WILAYA YA KUSINI
0 0 0 0
JUMLA 0 0 0
MADARASA YALIYOKAMILIKA
WILAYA YA MJINI
WILAYA YA MAGHARIBI
WILAYA YA KASKAZINI A
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 84
JADWELI NAM. 11(a) linaendelea
WILAYA YA WETE
1 Minungwini 5 1 - Vyoo 8 Wananchi/SMZ/Milele
2 TC-Mitiulaya 2 - 3 Maabara 1 na Jiko 1 Wananchi/SMZ/SIDA
Jumla 7 1 3
WILAYA YA MICHWENI
1 Mnarani 9 2 1 Vyoo 8 na Nymba 2 Wananchi/SMZ/Milele
2 Tumbe 4 - - - Wananchi/SMZ/SIDA
3 TC-Wingwi 1 - - Maabara 1 na Maktaba 1 Wananchi/SMZ/SIDA
JUMLA: 14 2 1
WILAYA YA MKOANI:
1 Mahuduthi 8 2 1 Nyumba 2 na Vyoo 8 Wananchi/SMZ/Milele
JUMLA: 8 2 1
WILAYA YA CHAKE:
1 TC- Michakaini - - - Ukumbi 1 na Maabara 1 Wananchi/SMZ/SIDA
2 Pujini 4 - - - Wananchi/SMZ/SIDA
3 Matale 6 - - - Ubalozi wa Marekani
4 Vitongoji 6 - - Vyoo 8 Ubalozi wa Marekani
5 Michakaini 7 - - - Ubalozi wa Japan
JUMLA: 23 - -
JUMLA KUU 75 6 6
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 85
JADWELI NAM. 11(b) MADARASA YALIYOKWISHA EZEKWA LAKINI KAZI ZA UPIGAJI
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI
WILAYA YA MJINI
0 0 0 0
JUMLA 0 0 0
WILAYA YA MAGHARIBI
0 0 0 0
JUMLA 0 0 0
WILAYA YA KASKAZINI A
0 0 0 0
JUMLA 0 0 0
WILAYA YA KASKAZINI B
1 Donge Sekondari 12 4 1 Ukumbi wa SMZ/Wananchi
JUMLA 12 4 1
WILAYA YA KATI
JUMLA 0 0 0
WILAYA YA KUSINI
0 0 0
JUMLA
PLASTA NA SAKAFU HAZIJAKAMILIKA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 86
JADWELI NAM. 11(b) linaendeleaWILAYA YA WETE
1 Ukunjwi 4 - - - Wananchi/SMZ
2 Shengejuu 3 1 Ukumbi Wananchi/SMZ/Ubalozi
wa Marekani3 Kojani 3 - - - Wananchi/SMZ
4 Kangagani Sek. 7 1 1 - Wananchi/SMZ
5 Daya 3 - - - Wananchi/SMZ
JUMLA: 20 2 1
WILAYA YA MICHEWENI
1 Konde Sekondari 6 - - - Wananchi/SMZ
JUMLA: 6 - - -
WILAYA YA MKOANI:
1 Mkanyageni Msingi 6 1 - - Wananchi2 Mkanyageni Sekondari 2 1 - Vyoo 8 Wananchi/SMZ/Milele3 Chokocho 2 - - Wananchi
JUMLA: 2 -
WILAYA YA CHAKE:
1 Vitongoji 6 - - - SMZ/ Wananchi2 Uwandani 3 1 - - Wananchi/SMZ3 Chanjaani 3 1 - - Wananchi/SMZ4 Kwale Msingi 5 1 - - SMZ / Wananchi
JUMLA: 17 3 -
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 87
JADWELI NAM. 11(c)
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI
WILAYA YA MJINI
1 Magogoni 2 0 0 Chumba cha Mikutano 1 Wananchi
JUMLA 2 0 0 0
WILAYA YA MAGHARIBI
1 Kidichi 3 0 0 0 Wananchi
2 Kama 4 0 0 0 Wananchi
3 Mbuzini 3 0 1 0 Wananchi
4 Fuoni Msingi A 2 0 0 0 Wananchi
5 Mtoni Kidatu 6 1 1 0 Wananchi
6 Binguni Maandalizi 3 1 0 0 Wananchi
JUMLA 21 2 2 0
WILAYA YA KASKAZINI A
1 Kijini 0 0 0 Chumba cha Maabara Wananchi
2 Mgambo msingi 6 0 0 0 Wananchi
3 Kiwengwa 0 0 0 Nyumba ya Walimu Wananchi
4 Bwereu 4 0 0 0 Wananchi
5 Kidoti 0 0 0 Chumba cha Maabara Wananchi
JUMLA 10 0 0 0
WILAYA YA KASKAZINI B
1 Makoba (maandalizi) 2 1 0 Chumba cha Mikutano 1 Wananchi
2 Makoba sekondari 2 0 0 Chumba cha Mitihani 1 Wananchi
3 Mangapwani msingi 3 1 0 Chumba cha Mikutano 1 Wananchi
4 Mahonda sekondari 0 0 0 Chumba cha Mikutano 1 Wananchi
JUMLA 7 2 0 0
MADARASA YALIYOFIKIA HATUA YA KUEZEKWA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 88
JADWELI NAM. 11(c) linaendeleaWILAYA YA KATI
1 Ndijani Maandalizi 4 0 0 0 Wananchi
2 Ndijani sekondari 4 0 0 0 Wananchi
3 Jendele 2 0 0 Chumba cha Maktaba 1 Wananchi
4 Bungi msingi 2 0 0 Chumba cha Mikutano 1 na Vyoo Wananchi
JUMLA 12 0 0 0
WILAYA YA KUSINI
JUMLA
WILAYA YA WETE
1 Bwagamoyo 3 0 0 - Wananchi/SMZ
2 Jadadi 5 0 0 - Wananchi/SMZ
3 Shengejuu Msingi 2 1 1 Vyoo 2 Wananchi/SMZ
4 Shengejuu Sekondari 2 0 0 Vyoo 2 na Ukumbi Wananchi/SMZ
5 Ukunjwi 4 0 0 - Wananchi/SMZ
6 Chwale Msingi 3 0 0 - Wananchi/SMZ
7 Chwale Sekondari 4 0 0 - Wananchi/SMZ
8 Minungwini Msingi 2 0 0 - Wananchi/SMZ
9 Mitiulaya - 0 0 Ukumbi Wananchi/SMZ
10 Gando Sek. 3 0 0 Kumbi 2 Wananchi/SMZ
JUMLA 28 1 1
WILAYA YA MICHEWENI
1 Mtemani 9 0 0 - Wananchi/SMZ
2 Simai 5 0 0 - Wananchi/SMZ
3 Karume 9 0 0 - Wananchi/SMZ
4 Sizini 5 0 0 - Wananchi/SMZ
5 Tumbe Sek. 5 0 0 - Wananchi/SMZ
6 Haroun 4 1 0 - Wananchi/SMZ
7 Makangale 1 0 0 - Wananchi/SMZ
8 Mkia wa ng’ombe 4 0 0 - Wananchi/SMZ
9 Kinowe 1 0 0 - Wananchi/SMZ
10 Konde Msingi B 3 0 0 - Wananchi/SMZ
JUMLA 46 1 0 -
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 89
JADWELI NAM. 11(c) linaendeleaWILAYA YA MKOANI
1 Chokocho Msingi 2 0 0 - SMZ / Wananchi
2 Makombeni Sek. 0 0 1 Chumba cha Maabara SMZ / Wananchi
3 Kisiwa panza Sek. 1 0 0 Chumba cha Maabara SMZ / Wananchi
4 Mtambile Sek. 0 0 0 Chumba cha maabara SMZ / Wananchi
5 Michenzani Sek. 4 0 0 - SMZ / Wananchi
6 Kengeja Msingi 2 1 1 Vyoo 2 SMZ / Wananchi
7 Kiwani Msingi 1 1 0 - SMZ / Wananchi
8 Kangani 4 1 1 - SMZ / Wananchi
9 Chambani Msingi 2 1 1 Vyoo 4 SMZ / Wananchi
10 Ukutini Msingi 4 1 0 - SMZ / Wananchi
11 Mtangani Sek. 4 1 1 - SMZ / Wananchi
12 Shidi 3 0 0 - SMZ / Wananchi
JUMLA 27 6 5
WILAYA YA CHAKE:
1 Chanjamjawiri Sek. 2 0 0 Chumba cha walimu SMZ / Wananchi
2 Kilindi Sek. 2 1 1 Chumba cha maabara SMZ / Wananchi
3 Chanjaani Msingi 4 1 0 - SMZ / Wananchi
4 Michakaini 4 0 0 - SMZ / Wananchi
5 Wesha Msingi 4 0 0 - SMZ / Wananchi
6 Mbuzini Sek. 0 1 1 - SMZ / Wananchi
7 Vitongoji Sekondari 4 1 1 - SMZ / Wananchi
8 Ng’ambwa Sekondari 2 0 0 Chumba cha walimu na maabara SMZ / Wananchi
9 Ng’ambwa Msingi 0 0 1 - SMZ / Wananchi
10 Vikunguni Sek 0 1 1 Chumba cha Maabara SMZ / Wananchi
JUMLA 22 5 5
JUMLA KUU 175 17 13
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 90
JADWELI NAM. 11(d)(i) MADARASA AMBAYO YAMO KATIKA HATUA ZA UJENZI WA KUTA NA NGUZO
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI
WILAYA YA MJINI
JUMLA - - - - -
WILAYA YA MAGHARIBI
JUMLA - - - - -
WILAYA YA KASKAZINI A
JUMLA - - - - -
WILAYA YA KASKAZINI B
JUMLA - - - - -
WILAYA YA KATI
JUMLA - - - - -
WILAYA YA KUSINI
JUMLA - - - - -
WILAYA YA WETE
1 Uwondwe Sekondari 6 - - - Wananchi/SMZ
2 Bopwe 4 - - - Wananchi/SMZ
3 Uvinje 6 - - Vyoo 2 Wananchi/SMZ
4 Piki 3 - - - Wananchi/SMZ
JUMLA: 19 - - -
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 91
JADWELI NAM. 11(d)(i) linaendeleaWILAYA YA MICHEWENI
1 Micheweni Msingi 6 - - - Wananchi/SMZ
2 Chimba 4 1 1 - Wananchi/SMZ
3 Shumba 6 - - - Wananchi/SMZ
4 Kipangani 4 - - - Wananchi/SMZ
JUMLA: 20 1 1 -
WILAYA YA MKOANI:
1 Tasini 6 - 1 Chumba cha walimu SMZ / Wananchi
2 Mwambe Shamiani 5 - - - SMZ / Wananchi
3 Chambani Sek. 4 1 - Ukumbi na chumba cha kompyuta SMZ/Wananchi
4 Ngwachani Msingi 3 1 - - SMZ/ Wananchi
5 Wambaa Sek. 4 - - - SMZ/ Wananchi
6 Mtuhaliwa 4 - - - SMZ/ Wananchi
7 Chwaka 5 - - - SMZ/ Wananchi
8 Michenzani 10 1 1 Chumba cha Walimu SMZ/ Wananchi
9 Jambangome 3 - - - SMZ/ Wananchi
10 Uweleni (jingo la ghorofa) 4 - - Ukumbi SMZ/ Wananchi
11 Wambaa 2 - - - SMZ/ Wananchi
12 Mtuhaliwa 4 - - - SMZ/ Wananchi
JUMLA: 54 3 2
WILAYA YA CHAKE:
1 Shungi 4 - - - SMZ/ Wananchi
2 Mgelema 5 - - - SMZ/ Wananchi
3 Kichuani 5 1 1 - SMZ/ Wananchi
4 Michakaini 5 - - - SMZ/ Wananchi
5 Birikau 6 - - Chumba cha walimu na vyoo 8
Wananchi/Milele
JUMLA: 30 1 1 -
JUMLA KUU 123 5 4 0
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 92
JADWELI NAM. 11(d)(ii)
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI
WILAYA YA MJINI
JUMLA - - - - -
WILAYA YA MAGHARIBI
JUMLA - - - - -
WILAYA YA KASKAZINI A
JUMLA - - - - -
WILAYA YA KASKAZINI B
JUMLA - - - - -
WILAYA YA KATI
JUMLA - - - - -
WILAYA YA KUSINI
JUMLA - - - - -
MADARASA AMBAYO YAMO KATIKA HATUA ZA UKUSANYAJI WA VIFAA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 93
JADWELI NAM. 11(d)(ii) linaendeleaWILAYA YA WETE:
1 Limbani 6 - - - -
2 Jadida 11 - 12 3 1
3 Minungwini Sek 4 - - - -
21 - 12 3 3
WILAYA YA MICHEWENI
1 Maandalizi Konde - - - Ukumbi Wananchi/Skuli
2 Chimba 4 1 1 Wananchi
3 Mjananza 4 - - - Wananchi
4 Msuka Msingi 4 1 - - Wananchi/Milele
JUMLA: 12 2 1 -
WILAYA YA MKOANI:
1 Ng’ombeni “B” 5 - - - SMZ / Wananchi
2 Wambaa 2 1 1 - SMZ / Wananchi
3 Michenzani Sek. 4 1 1 Chumba cha walimu SMZ/ Wananchi
4 Mizingani Msingi 6 - - - SMZ/ Wananchi
5 Muambe Shamiani 5 - - - Wananchi
6 Wambaa Sek 4 1 1 - Wananchi
JUMLA: 26 3 3
WILAYA YA CHAKE:
1 Pondeani - - - Ukumbi na vyoo 2 SMZ/ Wananchi
2 Madungu Msingi 2 - - - SMZ/ Wananchi
3 Chanjamjawiri Sek 3 - - - Wananchi
4 Madung Msingi 1 1 - - Wananchi
5 Uwandani 4 1 - - Wananchi
JUMLA: 10 2 - -
JUMLA KUU 69 7 16 3
JUMLA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 94
JADWELI NAM. 11(d)(iii)
Namba MFADHILI
1 SMZ
2 SMZ/BADEA
3 SMZ/BADEA
4 SMZ/ADB
5 SMZ/ADB
6 SMZ/ADB
7 SMZ/ADB
8 SMZ
Utanuzi wa chuo cha Ufundi Karume
Kwarara
Chuo cha Amali - Makunduchi
Chuo cha Amali Daya - Pemba
UJENZI WA VYUO/SKULI MPYA
SKULI
Maktaba kuu Pemba
Mkanyageni
Kibuteni
Chuo cha Utalii Maruhubi
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 95
SKULI AMBAZO UKARABATI UMEFANYIKA
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI
WILAYA YA MJINI
WILAYA YA MAGHARIBI
1 Langoni Sekondari 3 1 0 0 SIDA
2 Bububu msingi 4 0 0 0 MILELE
WILAYA YA KASKAZINI A
1 Kidagoni 4 0 0 MILELE
2 Mbuyutende 5 0 0 0 MILELE
3 Fukuchani 3 0 0 0 SMZ
WILAYA YA KASKAZINI B
1 Kiongwe 4 0 0 0 MILELE
2 TC Muanda 6 2 1 0 SIDA
WILAYA YA KATI
1 Chwaka 2 0 0 0 SMZ
WILAYA YA KUSINI
WILAYA YA WETE
1 Mitiulaya 17 2 1 - SMZ/Milele
2 Gando 3 - - - SMZ/Milele
3 Ukujwi 4 1 1 - SMZ/Milele
Jumla 24 3 2 - -
WILAYA YA MICHEWENI
1 Wingwi Msingi 18 1 1 - SMZ/Milele
2 Msuka Msingi 4 - - - SMZ/Milele
3 Sizini 5 1 - - SMZ/Milele
Jumla 27 2 1 - -
WILAYA YA MKOANI
1 Makongwe 8 1 - - SMZ/Milele
2 Chambani Msingi 4 1 - - SMZ/milele
3 Kiwani Msingi 10 - - - SMZ/Milele
4 Ngwachani 12 1 - - SMZ/Milele
JUMLA: 34 3 - -
WILAYA YA CHAKE.
1 Kwale 8 - - - SMZ/Milele
Jumla: 8 - - -
JADWELI NAM. 12(a)
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 96
SKULI AMBAZO UKARABATI UNAENDELEA
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI
WILAYA YA MJINI
WILAYA YA MAGHARIBI
WILAYA YA KASKAZINI A
1 Bandamaji 3 0 0 Vyoo 8 MILELE
WILAYA YA KASKAZINI B
WILAYA YA KATI
1 Dunga 5 0 0 0 MILELE
2 Kiboje 4 0 0 0 MILELE
3 Chwaka msingi 2 0 0 0 SMZ/SIDA
WILAYA YA KUSINI
WILAYA YA WETE
WILAYA YA MICHEWENI.
1 Chwaka Tumbe 12 1 1 Jengo la Utawala,
Maktaba,
Maabara.
SMZ
WILAYA YA MKOANI
WILAYA YA CHAKE CHAKE:
JUMLA 26 1
JADWELI NAM. 12(b)
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 97
SKULI AMBAZO UKARABATI UKO KATIKA HATUA ZA MAANDALIZI
SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MAELEZO
WILAYA YA MJINI
1 Rahaleo 8 0 0 Maktaba, afisi 3 Paa/kuta/sakafu
2 Mikunguni 4 2 0 Karakana Paa/kuta/madirisha/milango
3 Mbadala Karakana Paa/kuta/sakafu
WILAYA YA MAGHARIBI
1 Bwefum 4 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
2 Langoni Msingi 3 1 0 Uzio Paa/kuta/sakafu
3 Kiembe Samaki Msingi 6 0 0 0 Paa
4 Kwerekwe F & H 7 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
5 Kwerekwe D & G 8 2 0 0 Paa/sakafu
6 Mwera Msingi 6 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
7 Mikindani 0 2 0 Maabara, Ukumbi wa mitihani Sakafu
8 Kombeni sekondari 4 2 0 Maabara, Ukumbi wa mitihani Paa/Mkingo ya maji
9 Fuoni Msingi 'A' 5 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
10 Mtopepo 'B' 4 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
11 Mfenesini sekondari 5 1 0 0 Paa/kuta/sakafu
12 Kizimbani 4 1 0 0 Paa/kuta/sakafu
WILAYA YA KASKAZINI 'A'
1 Kinyasini Msingi 4 0 0 0 Paa
WILAYA YA KASKAZINI B
1 Donge Kipange 0 0 0 Vyoo Paa/kuta/sakafu
2 Donge Msingi 4 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
WILAYA YA KATI
1 Bambi 8 2 0 Nyumba ya Walimu Paa/kuta/sakafu
2 Jendele 3 1 0 0 Paa/kuta/sakafu
WILAYA YA KUSINI
1 Kizimkazi 3 0 0 0 Paa/kuta/sakafu
2 Muyuni 4 1 0 0 Paa/kuta/sakafu
3 Pajemtule 2 2 0
Ukimbi wa mikutano, nyumba
za walimu Paa
WILAYA YAMICHEWENI:
WILAYA YA WETE:
1 Wete Sek 12 1 1 Jengo la Utawala, Maktaba,
Maabara
SMZ
WILAYA YA MKOANI:
1 Mauwani Sek 12 1 1 Jengo la Utawala, Maktaba,
Maabara
SMZ
WILAYA YA CHAKE:
1 Madungu Sek 12 1 1 Jengo la Utawala, Maktaba,
Maabara
SMZ
2 Shamiani Sek 6 1 1 Vyoo 10,Maabara 2 SMZ
JUMLA 138 21 4
JADWELI NAM. 12(c)
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 98
SKULI IDADI HATUA YA UJENZI MFADHILI
WILAYA YA MJINI
WILAYA YA MAGHARIBI
1 Dole msingi 10 Matayarisho Wananchi
2 Kwerekwe F & G 24 Vimekamilika UNICEF
3 Chukwani Msingi 24 Vimekamilika UNICEF
4 K/Samaki Msingi 12 Vimekamilika UNICEF
5 Mfenesini 12 Vimekamilika UNICEF
6 Kbweni 12 Vimekamilika UNICEF
WILAYA YA KASKAZINI A
1 Pale 12 Vimekamilika UNICEF
2 Kidagoni 8 Vimekamilika MILELE
3 Mbuyu tende 8 Vimekamilika MILELE
4 Bandamaji 8 Ujenzi unaendelea MILELE
5 Nungwi 24 Matayarisho UNICEF
6 Kigomani 24 Matayarisho UNICEF
WILAYA YA KASKAZINI B
1 Kipange 8 Matayarisho Wananchi
2 Kiongwe 8 Vimekamilika MILELE
3 Karange 24 Matayarisho UNICEF
4 Kinduni 24 Matayarisho UNICEF
JADWELI NAM. 12(d)
SKULI AMBAZO UJENZI WA VYOO KWA AJILI YA WALIMU NA
WANAFUNZI UPO KATIKA HATUA MBALIMBALI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 99
WILAYA YA KATI
1 Dunga 8 Ujenzi unaendelea MILELE
2 Kiboje 9 Ujenzi unaendelea MILELE
WILAYA YA KUSINI
1 Kajengwa Msingi 8 Matayarisho Wananchi
WILAYA YA MICHEWENI:
WILAYA YA WETE:
WILAYA YA MKOANI:
1 Mauwani Sek 12 Jengo la Utawala,
Maktaba, Maabara
SMZ
WILAYA YA CHAKE CHAKE:
1 Ng'ombeni Ujenzi wa kuta Wananchi/SMZ
.
2 Shungi Plasta na shimo Wananchi/SMZ
JUMLA 279
JADWELI NAM. 12(d) linaendelea
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 100
SKULI ZILIZOPATIWA MADAWATI, VITI NA MEZA
SKULI MADAWATI MEZA VITI MENGINEYO MFADHILI
MKOA WA MJINI MAGHARIBI
1 Nyerere 45 5 5 - SMZ/Sida
2 Regeza Mwendo 75 5 5 - SMZ/Sida
3 Maandalizi Dole 60 5 5 - SMZ/Sida
4 Langoni 60 5 5 - SMZ/Sida
5 Kinuni 60 4 4 - SMZ/Sida
6 Mtopepo 60 4 4 - SMZ/Sida
7 TC K/Samaki - 51 51 - SMZ/Sida
8 TC Bububu - 93 93 Stool 10 SMZ/Sida
JUMLA 360 172 172 -
MKOA WA KASKAZINI
1 Moga 60 5 5 - SMZ/Sida
2 Kilimani juu 60 5 5 - SMZ/Sida
3 Mfurumatonga 60 5 5 - SMZ/Sida
4 TC Mkwajuni - 56 56 - SMZ/Sida
5 Mbuyu Tende 60 5 5 - SMZ/Sida
6 Kidagoni 60 5 5 - SMZ/Sida
7 Kigunda 60 5 5 - SMZ/Sida
8 Matetema 60 5 5 - SMZ/Sida
9 Zingwezingwe 60 5 5 - SMZ/Sida
10 Donge mtambile 45 3 3 - SMZ/Sida
11 Kiongwe 45 3 3 - SMZ/Sida
12 Donge Muanda msingi 45 3 3 - SMZ/Sida
JUMLA 615 105 105 -
JADWELI NAM. 12(e)
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 101
MKOA WA KUSINI
1 Kibele 30 2 2 - SMZ/Sida
2 Marumbi 45 3 3 - SMZ/Sida
3 TC Dunga - 101 101 - SMZ/Sida
4 Jendele 60 5 5 - SMZ/Sida
5 Makunduchi 30 3 3 - SMZ/Sida
6 Uzi 30 3 3 - SMZ/Sida
JUMLA 195 117 117 -
MKOA WA KASKAZINI PEMBA
1 Kinyasini Msingi 12 12 45 - SMZ/Sida
2 Finya Msingi 10 10 75 - SMZ/Sida
3 Maziwani 11 11 75 - SMZ/Sida
4 Mjananza Msingi 13 13 120 - SMZ/Sida
5 Shengejuu Msingi 6 6 45 - SMZ/Sida
6 Konde Sek 161 161 - - SMZ
7 Tumbe 4 4 60 - SMZ/Sida
8 TC Mitiulaya - 48 78 Stool 90 SMZ/Sida
9 TC Wingwi - 43 96 Stool 42 SMZ/Sida
10 TC Michakaini - 33 87 Stool 24 SMZ/Sida
JUMLA 217 341 681 -
MKOA WA KUSINI PEMBA
1 Chwaka Msingi 3 3 45 - -
2 Ngomeni Msingi 7 7 30 - -
3 Minazini Mingi 7 7 30 - -
4 Mwambe Msingi 5 5 75 - -
5 Kisiwa Panza Sek 102 102 - - -
6 Shidi Msingi 8 8 60 - -
7 Makongwe Msingi 6 6 60 - -
8 Mtuhaliwa Msingi 6 6 30 - -
9 Chanjamjawiri 12 12 60 - -
10 Kengeja Tech Sek Skuli 0 184 184 SMZ
11 Ziwani Msingi 3 3 45 - SMZ/Sida
12 Ng’ambwa Msingi 5 5 75 - SMZ/Sida
13 Pujini Msingi 3 3 45 - SMZ/Sida
14 Pujini Sek 4 4 60 - SMZ/Sida
15 Ole Msingi 5 5 60 - SMZ
16 Kilindi Msingi 1 1 15 - SMZ/Sida
17 Fidel Castro 90 90 - - SMZ
18 Dk. Omar Ali Juma 145 145 - - SMZJUMLA 412 596 874 0
JUMLA KUU 1799 1331 1949
JADWELI NAM. 12(e) linaendelea
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 102
JADWELI NAM. 13 (a)
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
Mjini 7127 7398 14525 1167 1141 2308 3182 3358 6540 4349 4499 8848 61.0 60.8 60.9
Magharibi 14693 14799 29492 1907 1990 3897 5270 5279 10549 7177 7269 14446 48.8 49.1 49.0
Kaskazini 'A' 3776 3835 7611 1043 1094 2137 1317 1477 2794 2360 2571 4931 62.5 67.0 64.8
Kaskazini 'B' 3076 2994 6070 461 526 987 1270 1245 2515 1731 1771 3502 56.3 59.2 57.7
Kati 2569 2333 4901 1015 911 1926 511 498 1009 1526 1409 2935 59.4 60.4 59.9
Kusini 1169 1106 2275 445 426 871 266 255 521 711 681 1392 60.8 61.6 61.2
Micheweni 4282 4030 8311 699 709 1408 2021 1846 3867 2720 2555 5275 63.5 63.4 63.5
Wete 4081 3907 7989 1231 1150 2381 779 818 1597 2010 1968 3978 49.3 50.4 49.8
Chake Chake 3571 3537 7108 1433 1435 2868 582 601 1183 2015 2036 4051 56.4 57.6 57.0
Mkoani 3849 3688 7537 1096 1121 2217 2088 2068 4156 3184 3189 6373 82.7 86.5 84.6
Jumla 48191 47627 95818 10497 10503 21000 17286 17445 34731 27783 27948 55731 57.7 58.7 58.2
ASILIMIA YA UANDIKISHAJI WA WATOTO KATIKA SKULI ZA MAANDALIZI, MACHI - 2016
WILAYA
WATOTO WENYE UMRI WA
SKULI ZA SERIKALI SKULI ZA BINAFSI
JUMLA SKULI ZA KIMA CHA
MIAKA 4 - 6 SERIKALI NA BINAFSI UANDIKISHAJI (%)
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 103
JADWELI NAM. 13 (b)
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
MJINI 4 768 752 1520 8 399 389 788 0 0 0 0
MAGHARIBI 1 97 83 180 34 1515 1599 3114 5 295 308 603
KASKAZINI 'A' 5 281 350 631 7 257 339 596 19 349 374 723
KASKAZINI 'B' 1 51 62 113 9 136 119 255 10 274 345 619
KATI 4 301 271 572 4 233 188 421 15 481 452 933
KUSINI 4 323 302 625 5 122 124 246 0 0 0 0
MICHEWENI 5 392 398 790 15 295 302 597 2 43 28 71
WETE 2 173 187 360 19 696 642 1338 9 173 269 442
CHAKE 2 196 248 444 25 1105 1089 2194 1 51 69 120
MKOANI 2 122 128 250 28 842 928 1770 2 98 56 154
JUMLA 30 2704 2781 5485 154 5600 5719 11319 63 1764 1901 3665
UANDIKISHAJI WA WATOTO WA MAANDALIZI WANAOSOMA KATIKA SKULI
ZA SERIKALI ZA MAANDALIZI, MSINGI NA MSINGI NA KATI, KIWILAYA MACHI - 2016
WILAYA
MAANDALIZI MSINGI MSINGI NA KATI
IDADI
YA
SKULI
IDADI YA WANAFUNZI IDADI
YA
SKULI
IDADI YA WANAFUNZI IDADI
YA
SKULI
IDADI YA WANAFUNZI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 104
JADWELI NAM 13 ( c )
WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA
MJINI 67 3182 3358 6540 0 0 0 0
MAGHARIBI 114 5007 4969 9976 11 263 310 573
KASKAZINI 'A' 10 281 350 631 82 1036 1127 2163
KASKAZINI 'B' 10 233 247 480 51 890 855 1745
KATI 10 390 385 775 0 0 0 0
KUSINI 6 266 255 521 0 0 0 0
MICHEWENI 8 183 229 412 91 1838 1617 3455
WETE 15 745 818 1563 0 0 0 0
CHAKE 15 582 601 1183 0 0 0 0
MKOANI 10 501 489 990 69 1587 1579 3166
JUMLA 265 11370 11701 23071 304 5614 5488 11102
Angalia: RISE - Radio Instruction to Strengthen Education
UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI NGAZI YA MAANDALIZI KATIKA
VITUO/SKULI ZA BINAFSI, KIWILAYA MACHI - 2016
WILAYA
SKULI VITUO (RISE)
IDADI YA
SKULI
IDADI YA WANAFUNZI IDADI
YA
VITUO
IDADI YA WANAFUNZI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 105
JADWELI NAM. 14
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
Mjini 17850 18985 36835 12158 12564 24722 3387 3634 7021 15545 16198 31743 87.1 85.3 86.2
Magharibi 35651 37459 73110 30202 30808 61010 6665 7087 13752 36867 37895 74762 103.4 101.2 102.3
Kaskazini 'A' 9674 9808 19481 10261 10275 20536 37 23 60 10298 10298 20596 106.5 105.0 105.7
Kaskazini 'B' 7366 7610 14976 5986 5580 11566 118 111 229 6104 5691 11795 82.9 74.8 78.8
Kati 6259 6134 12393 7581 7246 14827 270 281 551 7851 7527 15378 125.4 122.7 124.1
Kusini 3004 2759 5763 3415 3193 6608 182 172 354 3597 3365 6962 119.8 122.0 120.8
Micheweni 10794 10122 20916 9090 8783 17873 160 137 297 9250 8920 18170 85.7 88.1 86.9
Wete 10172 9987 20159 12435 11994 24429 115 123 238 12550 12117 24667 123.4 121.3 122.4
Chake Chake 9416 9347 18763 10677 10380 21057 756 730 1486 11433 11110 22543 121.4 118.9 120.1
Mkoani 9994 9329 19323 11564 10695 22259 150 118 268 11714 10813 22527 117.2 115.9 116.6
Jumla 120179 121539 241718 113369 111518 224887 11840 12416 24256 125209 123934 249143 104.2 102.0 103.1
ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI (DARASA LA I - VI), MACHI - 2016
WILAYA
WATOTO WENYE UMRI WA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI ASILIMIA YA
MIAKA 6 - 11 SERIKALI BINAFSI JUMLA UANDIKISHAJI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 106
JADWELI NAM. 15
WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA
Mjini 2193 2397 4590 2193 2397 4590 100.0 100.0 100.0
Magharibi 6173 6006 12179 6173 6006 12179 100.0 100.0 100.0
Kaskazini 'A' 2207 2263 4470 2207 2263 4470 100.0 100.0 100.0
Kaskazini 'B' 1359 1256 2615 1359 1256 2615 100.0 100.0 100.0
Kati 1593 1389 2982 1593 1389 2982 100.0 100.0 100.0
Kusini 996 960 1956 996 960 1956 100.0 100.0 100.0
Micheweni 1908 1832 3740 1908 1832 3740 100.0 100.0 100.0
Wete 2614 2307 4921 2614 2307 4921 100.0 100.0 100.0
Chake Chake 2029 1789 3818 2029 1789 3818 100.0 100.0 100.0
Mkoani 2154 1969 4123 2154 1969 4123 100.0 100.0 100.0
Jumla 23226 22168 45394 23226 22168 45394 100.0 100.0 100.0
UANDIKISHAJI NA UCHUKUAJI WA WANAFUNZI KATIKA DARASA
LA KWANZA KATIKA SKULI ZA SERIKALI - 2016
WATOTO WALIOANDIKISHWA
WILAYA
WATOTO WALIOCHUKULIWA % YA WALIOCHUKULIWA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 107
JADWELI NAM. 16
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
Mjini 7030 7140 14171 6419 7235 13654 470 560 1030 6889 7795 14684 98.0 109.2 103.6
Magharibi 12512 13283 25795 9548 10413 19961 1477 1696 3173 11025 12109 23134 88.1 91.2 89.7
Kaskazini 'A' 3488 3420 6907 3100 3969 7069 0 0 0 3100 3969 7069 88.9 116.1 102.3
Kaskazini 'B' 2759 2459 5218 1715 2024 3739 57 35 92 1772 2059 3831 64.2 83.7 73.4
Kati 2495 2260 4755 2588 2735 5323 117 91 208 2705 2826 5531 108.4 125.0 116.3
Kusini 1195 998 2194 1475 1362 2837 56 38 94 1531 1400 2931 128.1 140.2 133.6
Micheweni 3503 3244 6747 2323 2587 4910 6 0 6 2329 2587 4916 66.5 79.8 72.9
Wete 3599 3436 7034 3669 3907 7576 36 41 77 3705 3948 7653 103.0 114.9 108.8
Chake-Chake 3275 3226 6501 3267 3524 6791 264 247 511 3531 3771 7302 107.8 116.9 112.3
Mkoani 3364 3057 6421 3167 3490 6657 0 0 0 3167 3490 6657 94.1 114.2 103.7
Jumla 43221 42524 85744 37271 41246 78517 2483 2708 5191 39754 43954 83708 92.0 103.4 97.6
ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA KATI (KIDATO 1 - 2), MACHI - 2016
WILAYA
WATOTO WENYE UMRI WA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA KATI (KIDATO 1 - 2) ASILIMIA YA
MIAKA 12 - 13 SERIKALI BINAFSI JUMLA UANDIKISHAJI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 108
JADWELI NAM. 17
IDADI YA
SKULI WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
Mjini 11 1504 1848 3352 1141 1615 2756 2645 3463 6108
Magharibi 24 1333 2034 3367 1143 1589 2732 2476 3623 6099
Kaskazini 'A' 16 494 635 1129 422 545 967 916 1180 2096
Kaskazini 'B' 8 244 397 641 168 296 464 412 693 1105
Kati 18 429 659 1088 321 440 761 750 1099 1849
Kusini 10 233 289 522 179 219 398 412 508 920
Micheweni 10 291 381 672 268 290 558 559 671 1230
Wete 24 490 724 1214 445 510 955 935 1234 2169
Chake-chake 15 412 587 999 379 527 906 791 1114 1905
Mkoani 18 436 587 1023 426 484 910 862 1071 1933
JUMLA 154 5866 8141 14007 4892 6515 11407 10758 14656 25414
UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA 3 NA 4 WA MIKONDO YA KAWAIDA
(ISIYOKUWA MICHEPUO) KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI MACHI - 2016
KIDATO 3 KIDATO 4
WILAYA
JUMLA KUU
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 109
JADWELI NAM. 18
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
SUNNI 25 35 60 25 30 55 50 65 115MEMON ACADEMY 35 26 61 16 16 32 51 42 93AL - RIYAMI ACADEMY 24 26 50 12 20 32 36 46 82BILAL ISLAMIC SEMINARY 30 37 67 15 22 37 45 59 104SUN CITY 6 7 13 26 19 45 32 26 58GLORIUS ACADEMY 38 63 101 20 35 55 58 98 156NDAME ACADEMY 19 18 37 26 25 51 45 43 88STONE TOWN INTERNATIONAL 6 5 11 4 5 9 10 10 20ENGLISH SPEAKING INT. SCHOOL 8 20 28 14 24 38 22 44 66MADRASAT HUDA 5 6 11 0 0 0 5 6 11SUFA 14 10 24 5 12 17 19 22 41LAUREATE 42 47 89 17 20 37 59 67 126HIFADHI 9 11 20 8 8 16 17 19 36FEZA 11 13 24 11 14 25 22 27 49MOMBASA CENTRAL 12 8 20 17 26 43 29 34 63SOS 28 42 70 31 34 65 59 76 135MBARALI PREPARATORY 24 24 48 34 28 62 58 52 110ZANZIBAR PROGRESSIVE 12 23 35 20 28 48 32 51 83INTERNATIONAL SCHOOL 1 1 2 0 4 4 1 5 6NYUKI 36 45 81 43 43 86 79 88 167HIGH VIEW 19 37 56 21 20 41 40 57 97AL - FALAH 20 34 54 21 28 49 41 62 103DOLE 6 1 7 1 11 12 7 12 19TRIFONA 22 29 51 21 22 43 43 51 94FRANCIS MARIA LBERMAN 36 36 72 29 24 53 65 60 125ROYAL INTERNATIONAL 12 18 30 22 36 58 34 54 88RAUDHA ACADEMY 30 53 83 15 31 46 45 84 129PHILTER FEDERAL 6 8 14 0 0 0 6 8 14MNEMONIC 8 7 15 26 35 61 34 42 76AL HARAMAYN 23 26 49 30 21 51 53 47 100JKU SEC. SCHOOL 48 37 85 42 50 92 90 87 177BEIT-RAS 17 21 38 13 20 33 30 41 71SHAH HIGH SCHOOL 8 8 16 16 20 36 24 28 52AL - MUBARAK 7 15 22 0 0 0 7 15 22JUBA ISLAMIC SCHOOL 3 5 8 0 0 0 3 5 8MAHAD ISTIQAMA 33 26 59 21 22 43 54 48 102FARUK AKTAS 14 13 27 0 0 0 14 13 27AL-HIDAYA 7 5 12 0 0 0 7 5 12WETE ISLAMIC 14 20 34 12 23 35 26 43 69ALHUDA 2 6 8 0 0 0 2 6 8CONNECTING CONNECTION 37 42 79 25 22 47 62 64 126FARAHEDY 10 11 21 9 7 16 19 18 37AMIN ISLAMIC 3 5 8 3 8 11 6 13 19JUMLA 770 930 1700 671 813 1484 1441 1743 3184
UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA 3 NA 4 WA MIKONDO YA KAWAIDA SKULI ZA BINAFSI, 2016
SKULI
KIDATO 3 KIDATO 4 JUMLA KUU
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 110
JADWELI NAM. 19
WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA
Kiembesamaki 48 95 32 48 25 55 17 50 122 248
Kiuyu 40 75 13 35 15 37 6 33 74 180
88 170 45 83 40 92 23 83 196 428
Kifaransa Kiponda 56 77 29 38 20 37 16 38 121 190
Skuli ya Biashara 22 41 22 57 9 48 15 40 68 186
Kiembesamaki 41 93 20 52 0 0 0 0 61 145
Chasasa 8 26 14 41 15 44 11 28 48 139
71 160 56 150 24 92 26 68 177 470
Skuli ya Biashara 20 63 20 49 21 56 12 38 73 206
Ben Bella 90 90 51 51 49 49 48 48 238 238
Chasasa 5 22 16 48 22 48 0 0 43 118
Utaani 0 0 0 0 0 0 12 37 12 37
115 175 87 148 92 153 72 123 366 599
Mikunguni 38 49 23 50 13 53 7 52 81 204
Kengeja 25 35 5 34 11 48 5 24 46 141
63 84 28 84 24 101 12 76 127 345
Lumumba 79 150 61 137 44 113 44 114 228 514
F/Castro 83 138 38 91 61 136 54 148 236 513
162 288 99 228 105 249 98 262 464 1027
Vikokotoni 0 0 84 217 90 180 56 144 230 541
Utaani 0 0 0 0 0 0 14 43 14 43
Chasasa 0 0 8 37 14 39 0 0 22 76
Kiponda 0 0 0 0 0 0 21 41 21 41
Kiembesamaki 0 0 82 169 0 0 0 0 82 169
0 0 174 423 104 219 91 228 369 870
Utaani 76 76 43 43 39 39 29 29 187 187
Madungu 56 104 28 47 27 53 14 32 125 236
Chasasa 25 51 15 62 13 45 9 34 62 192
Hamamni 0 0 0 0 72 125 0 0 72 125
Mikindani 50 73 35 51 19 38 28 73 132 235
Ben Bella 52 52 105 105 54 54 106 106 317 317
Kiembesamaki 21 49 0 0 0 0 0 0 21 49
Tumekuja 76 140 63 143 59 126 79 218 277 627
356 545 289 451 283 480 265 492 1193 1968
911 1499 807 1605 692 1423 603 1370 3013 5897
Ufundi Dodeani (Binafsi) 0 0 0 6 0 0 0 10 0 16
Sayansi ya jamii Al -Ihsani 88 88 87 87 76 76 109 109 360 360
88 88 87 93 76 76 109 119 360 376
999 1587 894 1698 768 1499 712 1489 3373 6273
Kompyuta
UANDIKISHAJI KATIKA AINA MBALI MBALI ZA MICHEPUO - 2016
MCHEPUO
KIDATO 1 KIDATO 2 KIDATO 3 KIDATO 4 JUMLA KUU
SKULI
JUMLA KUU
JUMLA (BINAFSI)
Jumla Ndogo
JUMLA (SERIKALI)
Kiislam
Jumla Ndogo
Jumla Ndogo
Jumla Ndogo
Jumla Ndogo
Jumla Ndogo
Vipawa vya juu
Jumla Ndogo
Ufundi
Sayansi jamii
Sayansi
Biashara
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 111
JADWELI NAM. 20
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
1. SKULI ZA SERIKALI
KIDATO CHA 1 25168 27377 52545 588 911 1499 25756 28288 54044
KIDATO CHA 2 10717 12151 22868 798 807 1605 11515 12958 24473
KIDATO CHA 3 5866 8141 14007 731 692 1423 6597 8833 15430
KIDATO CHA 4 4892 6515 11407 767 603 1370 5659 7118 12777
JUMLA 46643 54184 100827 2884 3013 5897 49527 57197 106724
2. SKULI ZA BINAFSI
KIDATO CHA 1 1588 1509 3097 0 88 88 1588 1597 3185
KIDATO CHA 2 889 1024 1913 6 87 93 895 1111 2006
KIDATO CHA 3 792 950 1742 0 76 76 792 1026 1818
KIDATO CHA 4 680 820 1500 10 109 119 690 929 1619
JUMLA 3949 4303 8252 16 360 376 3965 4663 8628
JUMLA KUU 50592 58487 109079 2900 3373 6273 53492 61860 115352
UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA SEKONDARI (KIDATO 1 - 4), MACHI - 2016
ELIMU YA KATI ELIMU YA MICHEPUO JUMLA
DARASA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 112
JADWELI NAM. 21
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
Mjini 12774 13285 26058 9784 11476 21260 827 999 1826 10611 12475 23086 83.1 93.9 88.6
Magharibi 22265 23741 46006 12276 14182 26458 2393 2994 5387 14669 17176 31845 65.9 72.3 69.2
Kaskazini 'A' 6341 6120 12461 4016 5149 9165 0 0 0 4016 5149 9165 63.3 84.1 73.5
Kaskazini 'B' 4912 4442 9353 2127 2717 4844 79 48 127 2206 2765 4971 44.9 62.3 53.1
Kati 4366 4019 8385 3338 3834 7172 171 139 310 3509 3973 7482 80.4 98.9 89.2
Kusini 2041 1798 3839 1887 1870 3757 64 48 112 1951 1918 3869 95.6 106.6 100.8
Micheweni 6427 6087 12513 2931 3279 6210 16 0 16 2947 3279 6226 45.9 53.9 49.8
Wete 6543 6189 12732 4812 5319 10131 62 87 149 4874 5406 10280 74.5 87.4 80.7
Chake-Chake 5969 5922 11891 4271 4794 9065 353 348 701 4624 5142 9766 77.5 86.8 82.1
Mkoani 6179 5694 11873 4085 4577 8662 0 0 0 4085 4577 8662 66.1 80.4 73.0
Jumla 77817 77296 155113 49527 57197 106724 3965 4663 8628 53492 61860 115352 68.7 80.0 74.4
BINAFSI JUMLA
ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA SEKONDARI ( KIDATO 1 - 4) MACHI - 2016
WILAYA
WATOTO WENYE UMRI ASILIMIA YA
WA MIAKA 12 - 15 SERIKALI UANDIKISHAJI
UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA SEKONDARI (KIDATO 1-4)
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 113
JADWELI NAM. 22
WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA
Lumumba 50 168 52 138 102 306
Vikokotoni 62 122 48 75 110 197
Ben - Bella 138 138 102 102 240 240
Hamamni 42 114 83 168 125 282
Kiembe Samaki 66 156 74 136 140 292
Biashara Mombasa 24 55 22 56 46 111
Chukwani 0 0 13 39 13 39
Mwanakwerekwe 'C' 46 80 85 135 131 215
Mpendae 19 82 35 96 54 178
Tumekuja 54 209 45 179 99 388
Kiponda 18 50 24 47 42 97
Mkwajuni 0 0 21 42 21 42
Faraja 34 54 40 62 74 116
Jang'ombe 35 47 32 46 67 93
Fujoni 0 0 18 34 18 34
Dunga 0 0 23 34 23 34
Chuo cha Kiislamu (Pemba) 27 39 19 34 46 73
Madungu 24 49 10 23 34 72
Shamiani 15 30 27 61 42 91
Fidel-Castro 34 101 60 118 94 219
Chasasa 35 95 34 117 69 212
Utaani 'A' 25 51 25 25 50 76
Uweleni 7 13 15 44 22 57
M/Mdogo 0 0 18 42 18 42
JUMLA SERIKALI 755 1653 925 1853 1680 3506
SUZA 31 59 21 45 52 104
SOS 51 88 25 49 76 137
Al Ihsaan 0 42 0 0 0 42
Nyuki 13 35 4 17 17 52
International School 7 7 0 0 7 7
JUMLA BINAFSI 102 231 50 111 152 342
JUMLA KUU 857 1884 975 1964 1832 3848
UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA ELIMU YA SEKONDARI YA JUU 2016
SKULI
KIDATO CHA 5 KIDATO CHA 6 JUMLA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 114
JADWELI NAM. 23
WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA
Mjini 24880 26126 51006 18577 19799 38376 3857 4194 8051 22434 23993 46427 90.2 91.8 91.0
Magharibi 48163 50742 98905 39750 41221 80971 8142 8783 16925 47892 50004 97896 99.4 98.5 99.0
Kaskazini 'A' 13161 13228 26389 13361 14244 27605 37 23 60 13398 14267 27665 101.8 107.9 104.8
Kaskazini 'B' 10124 10069 20193 7701 7604 15305 175 146 321 7876 7750 15626 77.8 77.0 77.4
Kati 8754 8395 17148 10169 9981 20150 387 372 759 10556 10353 20909 120.6 123.3 121.9
Kusini 4199 3757 7956 4890 4555 9445 238 210 448 5128 4765 9893 122.1 126.8 124.3
Micheweni 14297 13366 27663 11413 11370 22783 166 137 303 11579 11507 23086 81.0 86.1 83.5
Wete 13771 13422 27193 16104 15901 32005 151 164 315 16255 16065 32320 118.0 119.7 118.9
Chake-Chake 12691 12573 25264 13944 13904 27848 1020 977 1997 14964 14881 29845 117.9 118.4 118.1
Mkoani 13358 12386 25744 14731 14185 28916 150 118 268 14881 14303 29184 111.4 115.5 113.4
Jumla 163399 164063 327462 150640 152764 303404 14323 15124 29447 164963 167888 332851 101.0 102.3 101.6
ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DARASA I - KIDATO 2) 2016
WILAYA
WATOTO WENYE UMRI UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DARASA LA 1 - KIDATO 2) ASILIMIA YA
WA MIAKA 6 - 13 SERIKALI BINAFSI JUMLA UANDIKISHAJI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 115
JADWELI NAM. 24
DAKHALIA WAVULANA WASICHANA JUMLA
1 Mbweni 'A' 80 72 152
2 Mbweni 'B' 20 0 20
2 C.C.K (Mazizini) 50 28 78
3 Fidel-Castro 302 312 614
4 Utaani 206 261 467
5 Kengeja 93 46 139
7 C.C.K (Kiuyu) 125 105 230
8 Chuo cha Ufundi - Mkokotoni 50 16 66
9 Chuo cha Ufundi - Vitongoji 67 33 100
Jumla 993 873 1866
IDADI YA WANAFUNZI WANAOKAA DAKHALIA, 2016
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 116
JADWELI NAM. 25(a)
Namb JINA LA CHUO W'ME W'KE JUMLA1 Al-Maktoum University College 1 0 1
2 Archbishop Mihayo University College of Tabora 0 1 1
3 Ardhi University 1 2 3
4 Catholic University of Health and Allied Sciences (Bugando) 0 1 1
5 College of Business Education - Dar es Salaam Centre 10 8 18
6 College of Business Education - Dodoma 1 2 3
7 Center for Foreign Relations Dar es Salaam 6 8 14
8 Community Development Training Institute (Tengeru) 2 1 3
9 Dar es Salaam Institute of Technology 9 1 10
10 Dar es Salaam Maritime Institute 3 0 3
11 Eastern Africa Statistical Training Centre 4 8 12
12 Hubert Kairuki Memorial University 3 10 13
13 Institute of Accountancy Arusha 5 3 8
14 Institute of Adult Education 0 2 2
15 Institute of Finance Management 7 2 9
16 Institute of Procurement and Supply 1 3 4
17 Institute of Rural Development Planning 7 11 18
18 Institute of Social Work 5 3 8
19 Institute of Tax Administration 5 4 9
20 International Medcal and Technoogical University 10 11 21
21 Jordan University College 3 1 4
22 Kampala International University - Tanzania 18 12 30
23 Kilimanjaro Christian Medical College 1 0 1
24 Mbeya University of Science and Technology 4 0 4
25 Moshi University of Cooperatives 1 1 2
26 Mt. Meru University 0 1 1
27 Muhimbili University of Health and Allied Sciences 11 9 20
TANZANIA MWAKA 2016-2017
WANAFUNZI WALIOKO MASOMONI CHINI YA UDHAMINI ZHELB KATIKA VYUO MBALI MBALI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 117
JADWELI NAM. 25(a) linaendelea28 Muslim University of Morogoro 8 5 13
29 Mwenge University College of Education 1 3 4
30 Mzumbe University 17 10 27
31 National Institute of Transport 19 3 22
32 Ruaha Catholic University 2 0 2
33 Sebastian Kolowa Memorial University 5 1 6
34 Sokoine University of Agriculture 3 4 7
35 St. Augustine University of Tanzania 3 0 3
36 St Johns University of Tanzania 4 3 7
37 St. Joseph University College of Engineering and 21 2 23
38 St. Joseph University College of Agricultural Sciences 2 0 2
39 St. Joseph University College of Health and Allied 2 0 2
40 St. Joseph University in Tanzania Arusha Campus 1 0 1
41 Stephano Moshi Memorial University College 1 0 1
42 Tanzania Institute of Accountancy 17 13 30
43 Teofilo Kisanji University 0 1 1
44 The Mwalimu Nyerere Memorial Academy 12 7 19
45 The Nelson Mandela University 1 0 1
46 The Open University of Tanzania 58 41 99
47 TMBI 10 17 27
48 Tumaini University Dar es Salaaam College 1 2 3
49 University of Arusha 0 1 1
50 University of Bagamoyo 7 3 10
51 University of Dar es Salaam 24 19 43
52 University of Dodoma 49 17 66
53 University of Iringa 11 5 16
54 Abdulrahman Al-Sumait Memorial University 83 66 149
55 The State University of Zanzibar 251 284 535
56 Zanzibar Institute of Finance and Administration 104 143 247
57 Zanzibar University 331 359 690
1166 1114 2280JUMLA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 118
NCHI W'ME W'KE JUMLA
1 MALAYSIA 2 1 3
2 CHINA 24 27 51
3 UKRAIN 8 6 14
4 URUSI 3 0 3
5 SUDAN 43 39 82
6 OMAN 7 5 12
9 TURKEY 1 1 2
11 UGANDA 1 6 7
12 INDIA 1 5 6
13 EGYPT 2 0 2
14 IDB 5 4 9
JUMLA 97 94 191
WANAFUNZI WALIOKO MASOMONI KATIKA VYUO
MBALI MBALI NJE YA TANZANIA MWAKA 2016/2017
JADWELI NAM. 25(b)
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 119
JADWELI NAM. 26(a)
CHUO KIKUU CHA TAIFA ZANZIBAR (SUZA)
M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke
Shahada ya Uzamivu - Kiswahili 0 0 6 5 7 1 13 6 19
Shahada ya Uzamili - Kiswahili 7 14 1 3 0 0 8 17 25
Shahada ya Uzamili – Kemia 6 4 4 9 0 0 10 13 23
Shahada ya Uzamili- Biashara 0 0 2 5 0 0 2 5 7
Shahada ya Uzamili – Sayansi ya
Mazingira
4 5 6 6 0 0 10 11 21
Shahada ya Ualimu - Sayansi 22 36 39 40 38 39 99 115 214
Shahada ya Ualimu – Sanaa 153 67 185 99 85 61 423 227 650
Shahada ya Ualimu- IT 4 8 5 12 0 0 9 20 29
Shahada ya Sayansi – Kompyuta 7 10 12 16 11 15 30 41 71
Shahada ya Habari na Mawasiliano 18 25 16 30 12 13 46 68 114
Shahada ya Sanaa – Utalii 18 13 7 14 0 0 25 27 52
Shahada ya Sanaa- Jografia 16 8 26 15 4 77 46 100 146
Shahada ya Sayansi ya Afya na
Mazingira
43 23 31 34 23 11 97 68 165
Shahada ya Udaktari 27 31 34 22 20 14 81 67 148
Shahada ya Sanaa- Historia 4 6 4 4 1 6 9 16 25
Shahada ya Lugha- Kiswahili 71 7 56 15 33 28 160 50 210
Stashahada ya Sanaa- Elimu 3 2 0 0 0 0 3 2 5
Stashahada ya Lugha- Elimu 73 18 77 22 137 41 287 81 368
Stashahada ya Sayansi- Elimu 20 10 15 20 0 0 35 30 65
Stashahada ya Elimu- Uongozi 17 3 24 6 0 0 41 9 50
Stashahada ya Kazi za Jamii 24 6 39 11 0 0 63 17 80
Stashahada ya Elimu – Michezo 0 1 4 8 0 0 4 9 13
Stashahada ya IT 25 33 34 48 0 0 59 81 140
Stashahada ya Sayansi ya Kompyuta 1 3 6 23 0 0 7 26 33
Stashshada ya Utalii na Urithi 5 7 6 6 0 0 11 13 24
Stashahada ya Ukutubi 30 7 58 8 0 0 88 15 103
Stashahada ya Elimu Mjumuisho 20 8 29 10 0 0 49 18 67
Stashahada ya Elimu ya Awali 29 3 0 0 0 0 29 3 32
Cheti Ukutubi 23 3 0 0 0 0 23 3 26
Cheti cha Teknolojia ya Kompyuta 17 25 0 0 0 0 17 25 42
UQFL 6 1 12 0 0 0 0 1 12 13
JUMLA 688 398 726 491 371 306 1,785 1,195 2,980
JUMLA
UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2016
AINA YA PROGARAMUMWAKA 1 MWAKA 2 MWAKA 3 JUMLA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 120
NCHI WALIZOTOKA WANAFUNZI WAVULANA WASICHANA JUMLA
Marekani 17 8 25Libya 2 3 5Ujerumani 8 1 9Norway 1 1 2Ufaransa 1 1 2Canada 2 0 2Hispania 0 1 1Urusi 1 0 1Denmark 1 1 2Italia 1 0 1Japan 1 0 1Uturuki 1 0 1Ungereza 0 1 1
JUMLA 36 17 53
UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA KIGENI KATIKA SKULI
YA KISWAHILI NA LUGHA ZA KIGENI - MACHI, 2016
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 121
JADWELI NAM. 27
CHUO KIKUU CHA SUMAIT - CHUKWANI
JUMLA
M'me W'ke M'me W'ke M'me W'ke M'me W'ke KUU
Shahada ya Sayansi ya Ualimu 13 5 29 15 36 20 78 40 118
Shahada ya 'Sanaa' ya Ualimu 54 82 111 229 193 368 358 679 1037
Shahada ya sayansi ya kompyuta 0 0 6 0 4 0 10 0 10
Shahada ya Sanaa ya Ushauri Nasaha 9 23 16 22 0 0 25 45 70
Shahada ya Teknohama 0 0 4 2 0 0 4 2 6
Shahada ya Teknolojia ya habari 17 10 6 11 0 0 23 21 44
Stashahada ya Ualimu 42 102 35 63 0 0 77 165 242
Cheti cha Ualimu 47 110 0 0 0 0 47 110 157
JUMLA 182 332 207 342 233 388 622 1062 1684
UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2016
JUMLA
AINA YA PROGRAMU
Mwaka 1 Mwaka 2 Mwaka 3
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 122
JADWELI NAM. 28
JUMLA
M'me W'ke M'me W'ke M'me W'ke M'me W'ke M'me W'ke KUU
Shahada ya uzamili Sheria 4 3 3 4 - - - - 7 7 14
Shahada ya uzamili Utawala wa Uma 8 14 16 14 - - - - 24 28 52
Shahada ya uzamili Uchumi 14 18 19 8 - - - - 33 26 59
Shahada ya uzamili Uongozi wa Biashara 13 15 16 14 - - - - 29 29 58
Shahada ya masoko (marketing) 5 4 8 13 9 22 - - 22 39 61
shahada ya Uongozi wa Biashara 33 34 38 41 47 72 - - 118 147 265
Shahada ya IT 16 12 46 43 11 4 - - 73 59 132
Shahada ya Uwalimu IT 25 50 64 67 - - - - 89 117 206
Shahada ya Manunuzi na Matunzo 23 36 50 67 - - - - 73 103 176
Shahada ya Uchumi 40 42 20 15 20 12 - - 80 69 149
Shahada ya Utawala wa Uma 6 8 10 8 32 48 - - 48 64 112
Shahada ya Sayansi ya Uuguzi 13 30 32 44 - - - - 45 74 119
Shahada ya (Social Work) 11 27 45 106 - - - - 56 133 189
Shahada ya Lungha/Kiswahili 15 42 13 56 - - - - 28 98 126
Shahada ya Islamic Banking 0 4 6 21 - - - - 6 25 31
Shahada ya Sheria 12 9 11 7 42 24 35 26 100 66 166
Shahada ya Sayansi ya computa 19 4 24 11 11 4 - - 54 19 73
stashahada ya Islamic banking - - 17 44 15 20 - - 32 64 96
Stashahad ya manunuzi na Matunzo - - 22 28 - - - - 22 28 50
Stashahada IT - - 14 21 - - - - 14 21 35
Stashahada ya Uchumi na Fedha - - 26 37 - - - - 26 37 63
Stashahada ya Child Right Protection - - 8 21 - - - - 8 21 29
Cheti cha Islamic Banking - - 9 21 - - - - 9 21 30
Cheti cha Manunuzi na Matunzo - - 14 18 21 34 - - 35 52 87
Cheti cha Child Right Protection - - 7 6 10 22 - - 17 28 45
Cheti cha IT - - 15 13 17 21 - - 32 34 66
Cheti cha Mipango na Miradi - - 6 6 11 24 - - 17 30 47
UQFL 6 (pre - entry) - - 99 84 - - - - 99 84 183
JUMLA 257 352 658 838 246 307 35 26 1196 1523 2719
UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2016
CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR
AINA YA PROGRAMU
Mwaka 1 Mwaka 2 Mwaka 3 Mwaka 4 JUMLA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 123
JADWELI NAM. 29
FANI WANAUME WANAWAKE JUMLA
Civil Engineering and Transportation NTA - 4 26 12 38
Civil Engineering and Transportation NTA - 5 21 11 32
Civil Engineering and Transportation NTA - 6 21 11 32
Mechanical and Automotive Engineering NTA - 4 17 7 24
Mechanical and Automotive Engineering NTA - 5 13 0 13
Mechanical and Automotive Engineering NTA - 6 13 1 14
Electrical Engineering NTA - 4 29 6 35
Electrical Engineering NTA - 5 22 10 32
Electrical Engineering NTA - 6 18 2 20
Telecommunication and Electronic Engineering NTA - 4 12 6 18
Telecommunication and Electronic Engineering NTA - 5 3 5 8
Telecommunication and Electronic Engineering NTA - 6 9 5 14
Computer engineering - NTA - 4 4 4 8
Computer engineering - NTA - 5 6 5 11
Computer engineering- NTA - 6 4 5 9
JUMLA NTA 4 88 35 123
JUMLA NTA 5 65 31 96
JUMLA NTA 6 65 24 89
JUMLA KUU 218 90 308
Angalia:
NTA = National Technical Award
UANDIKISHAJI KATIKA TAASISI YA KARUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA
MACHI - 2016
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 124
JADWELI NAM. 30(a)
W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE
Ualimu Stashahada Sayansi Msingi 6 13 6 13 12 26 38
Ualimu Stashahada Sanaa Msingi 16 114 5 134 21 248 269
Stashahada ya masomo ya Kiislamu - Sekondari 11 37 13 19 24 56 80
Stashahada ya masomo ya Kiislamu - Msingi 0 0 3 58 3 58 61
Elimu Mjumuisho 2 25 0 0 2 25 27
Jumla 35 189 27 224 62 413 475
JUMLA KUUDARAJA ZA MASOMO
IDADI YA WANAFUNZI KATIKA CHUO CHA KIISLAMU MAZIZINI UNGUJA, MACHI - 2016
MWAKA WA KWANZA MWAKA WA PILI JUMLA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 125
JADWELI NAM. 30(b)
DARAJA ZA MASOMO WANAUME WANAWAKE JUMLA
Wanafunzi wa Kidato cha 1 35 40 75
Wanafunzi wa Kidato cha 2 22 13 35
Wanafunzi wa Kidato cha 3 22 15 37
Wanafunzi wa Kidato cha 4 27 6 33
Wanafunzi wa Kidato cha 5 27 12 39
Wanafunzi wa Kidato cha 6 15 19 34
Ualimu Stashahada (Mwaka 1) 12 42 54
Ualimu Stashahada (Mwaka 2) 12 15 27
Jumla 172 162 334
IDADI YA WANAFUNZI KATIKA CHUO CHA KIISLAMU KIUYU PEMBA, MACHI - 2016
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 126
JADWELI NAM. 30(c)
M'ME M'KE M'ME M'KE M'ME M'KE
Wanafunzi wa stashahada ya msingi - Sanaa 0 0 24 57 24 57 81
Wanafunzi wa stashahada ya msingi - Sayansi 0 0 16 26 16 26 42
Wanafunzi wa stashahada ya sekondari - Sanaa 0 0 0 0 0 0 0
Jumla 0 0 40 83 40 83 123
IDADI WANAFUNZI KATIKA CHUO CHA BENJAMIN MKAPA, MACHI - 2016
MWAKA 1 MWAKA 2 JUMLA
JUMLA KUUDARAJA ZA MASOMO
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 127
JADWELI NAM. 31(a)
WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA
Mjini 2004 2209 4213 1739 2104 3843 86.8 95.2 91.2
Magharibi 3649 3884 7533 3115 3577 6692 85.4 92.1 88.8
Kaskazini 'A' 1152 1364 2516 833 1121 1954 72.3 82.2 77.7
Kaskazini 'B' 611 676 1287 485 609 1094 79.4 90.1 85.0
Kati 877 953 1830 646 864 1510 73.7 90.7 82.5
Kusini 452 442 894 359 399 758 79.4 90.3 84.8
Micheweni 1092 1166 2258 865 927 1792 79.2 79.5 79.4
Wete 1477 1434 2911 1212 1246 2458 82.1 86.9 84.4
Chake-Chake 1284 1249 2533 1050 1109 2159 81.8 88.8 85.2
Mkoani 1353 1340 2693 908 1067 1975 67.1 79.6 73.3
Jumla 13951 14717 28668 11212 13023 24235 80.4 88.5 84.5
MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA VII KWA 2015 NA
WALIOTEULIWA KUENDELEA NA MASOMO - 2016
WILAYA
WALIOFANYA MTIHANI WALIOTEULIWA KUENDELEA ASILIMIA YA WANAOENDELEA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 128
JADWELI NAM. 31(b)
WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA
Mjini 1778 2107 3885 1771 2105 3876 99.6 99.9 99.8
Magharibi 3402 3795 7197 3384 3789 7173 99.5 99.8 99.7
Kaskazini 'A' 956 1272 2228 955 1272 2227 99.9 100.0 100.0
Kaskazini 'B' 559 746 1305 556 745 1301 99.5 99.9 99.7
Kati 827 964 1791 824 960 1784 99.6 99.6 99.6
Kusini 569 588 1157 567 588 1155 99.6 100.0 99.8
Micheweni 708 897 1605 708 896 1604 100.0 99.9 99.9
Wete 1122 1367 2489 1105 1365 2470 98.5 99.9 99.2
Chake-Chake 928 1234 2162 921 1231 2152 99.2 99.8 99.5
Mkoani 902 1140 2042 897 1139 2036 99.4 99.9 99.7
Jumla 11751 14110 25861 11688 14090 25778 99.5 99.9 99.7
MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA VI KWA 2015 NA
WALIOTEULIWA KUENDELEA NA MASOMO - 2016
WILAYA
WALIOFANYA MTIHANI WALIOTEULIWA KUENDELEA ASILIMIA YA WANAOENDELEA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 129
JADWELI NAM. 32
WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA
Mjini 2412 2653 5065 1519 2114 3633 63.0 79.7 71.7
Magharibi 3231 3914 7145 2125 3045 5170 65.8 77.8 72.4
Kaskazini 'A' 703 1090 1793 457 674 1131 65.0 61.8 63.1
Kaskazini 'B' 460 581 1041 245 411 656 53.3 70.7 63.0
Kati 735 857 1592 413 639 1052 56.2 74.6 66.1
Kusini 370 405 775 233 301 534 63.0 74.3 68.9
Micheweni 498 696 1194 324 435 759 65.1 62.5 63.6
Wete 926 1172 2098 632 865 1497 68.3 73.8 71.4
Chake-Chake 756 953 1709 526 706 1232 69.6 74.1 72.1
Mkoani 729 910 1639 476 604 1080 65.3 66.4 65.9
Jumla 10820 13231 24051 6950 9794 16744 64.2 74.0 69.6
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA PILI - 2015 NA
WILAYA
WALIOFANYA MTIHANI WALIOTEULIWA KUENDELEA ASILIMIA YA WANAOENDELEA
WALIOTEULIWA KUENDELEA NA MASOMO - 2016
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 130
JADWELI NAM. 33(a)
Na. WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA
WILAYA YA MJINI WAS JUMLA
1 Lumumba 57 157 3 24 31 62 16 50 7 21 57 157 100.0 100.0 207 3
2 Mikunguni 14 42 0 0 1 10 8 23 5 9 14 42 100.0 100.0 397 8
3 Kiponda 20 35 0 1 13 25 4 6 3 3 20 35 100.0 100.0 72 1
4 Tumekuja 73 121 0 0 2 5 7 17 54 81 63 103 86.3 85.1 1325 61
5 Jang'ombe 103 172 0 0 0 1 15 25 71 110 86 136 83.5 79.1 1750 75
6 H/Sellassie 137 267 0 0 1 2 8 19 88 158 97 179 70.8 67.0 2432 113
7 Vikokotoni 110 188 2 2 14 26 50 88 42 69 108 185 98.2 98.4 453 10
8 Faraja 73 301 0 0 0 0 6 24 53 194 59 218 80.8 72.4 2134 95
9 Forordhani 65 99 0 0 2 2 7 12 43 69 52 83 80.0 83.8 2014 90
10 Ben-Bella 99 99 3 3 42 42 42 12 12 42 99 99 100.0 100.0 293 5
11 Kidongo Chekundu 148 246 0 0 2 3 10 15 102 166 114 184 77.0 74.8 2249 106
12 Kwamtipura 153 153 0 0 1 1 15 15 66 66 82 82 53.6 53.6 2136 96
13 Hurumzi 46 89 0 0 0 2 10 19 25 49 35 70 76.1 78.7 1272 59
14 Hamamni 51 115 0 0 0 0 5 7 38 78 43 85 84.3 73.9 2313 108
15 Mpendae 169 233 0 0 1 4 13 21 123 172 137 197 81.1 84.5 1430 63
16 Chumbuni 70 105 0 0 3 3 6 10 56 88 65 101 92.9 96.2 1341 62
17 Nyerere 172 288 0 0 3 5 8 18 111 170 122 193 70.9 67.0 2503 117
18 Mwembeladu 144 228 0 0 2 4 9 15 106 157 117 176 81.3 77.2 2142 97
Jumla 1704 2938 8 30 118 197 239 396 1005 1702 1370 2325 80.4 79.1
KIMA CHA
KUFAULUTZ ZNZ
DIV. II DIV. III DIV. IV
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE, SKULI ZA SERIKALI - 2015
NATIJAWATAHINIWA JUMLA
SKULI
DIV. I
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 131
Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea
WALAYA YA MAGHARIBI
1 Mtoni Kigomeni 66 103 0 0 1 1 3 6 34 45 38 52 57.6 50.5 3172 146
2 ZNZ Commercial 42 100 0 2 12 34 16 35 11 28 39 99 92.9 99.0 341 6
3 Bububu 200 297 0 0 0 1 13 32 160 221 173 254 86.5 85.5 1556 69
4 Mwanakwerekwe 'A' 202 304 0 0 2 6 22 36 148 219 172 261 85.1 85.9 1508 65
5 Fuoni 99 168 0 0 0 3 12 20 61 96 73 119 73.7 70.8 2213 103
6 Kiembe Samaki 152 336 0 1 9 17 24 47 91 191 124 256 81.6 76.2 1469 64
7 Mfenesini 57 97 0 0 1 1 9 18 32 53 42 72 73.7 74.2 1787 76
8 Chukwani 29 51 0 0 0 0 5 7 22 36 27 43 93.1 84.3 1815 78
9 Langoni 30 51 0 0 0 0 1 1 12 28 13 29 43.3 56.9 3029 140
10 Regeza Mwendo 80 174 0 0 0 2 5 11 37 81 42 94 52.5 54.0 2965 137
11 Mtopepo 120 120 0 0 2 2 7 7 95 95 104 104 86.7 86.7 1877 82
12 Mikindani 35 70 0 0 1 2 0 9 30 47 31 58 88.6 82.9 1648 71
13 Chuini 88 129 0 0 1 1 8 10 50 78 59 89 67.0 69.0 2557 122
14 Kinuni 99 153 0 0 1 3 4 9 73 105 78 117 78.8 76.5 2266 107
15 Kisauni 31 41 0 0 1 1 3 3 6 20 10 24 32.3 58.5 1252 58
16 Mwenge 43 69 0 0 0 0 1 1 24 34 25 35 58.1 50.7 3345 152
17 Mwanakwerekwe 'C' 132 239 0 0 1 3 9 27 96 150 106 180 80.3 75.3 1972 87
18 Maungani 14 24 0 0 0 1 2 3 10 17 12 21 85.7 87.5 478 13
19 Kombeni 14 32 0 0 0 0 1 2 8 22 9 24 64.3 75.0 910 33
20 Bwefum 21 27 0 0 0 0 0 0 9 13 9 13 42.9 48.1 1086 45
Jumla 1554 2585 0 3 32 78 145 284 1009 1579 1186 1944 76.3 75.2
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 132
WILAYA YA KASKAZINI 'A'
1 Tumbatu 19 48 0 0 0 1 0 3 15 38 15 42 78.9 87.5 1589 70
2 Mkwajuni 92 133 0 1 0 0 0 4 42 63 42 68 45.7 51.1 3136 145
3 Chaani 20 49 0 0 0 0 0 1 14 29 14 30 70.0 61.2 3036 157
4 Fukuchani 35 52 0 0 0 0 0 4 17 25 24 32 68.6 61.5 2759 156
5 Jongowe 45 90 0 0 0 2 3 16 21 42 24 60 53.3 66.7 1933 155
6 Potoa 44 59 0 0 0 1 2 4 30 40 32 45 72.7 76.3 2095 94
7 Kidoti 23 61 0 0 0 1 0 6 19 44 19 51 82.6 83.6 1976 88
8 Mapinduzi 57 74 0 1 0 0 1 2 41 56 42 59 73.7 79.7 1818 79
9 Pale 26 61 0 0 0 0 2 4 19 39 21 43 80.8 70.5 2690 125
10 Kinyasini 80 113 0 0 0 0 4 9 42 63 46 72 57.5 63.7 2176 98
11 Gamba 34 48 0 0 0 0 5 7 19 29 24 36 70.6 75.0 1864 81
12 Pwani Mchangani 30 59 0 0 0 0 1 3 19 33 20 36 66.7 61.0 2946 136
13 Mlimani Matemwe 24 61 0 0 1 3 1 10 12 33 14 46 58.3 75.4 1709 74
14 Nungwi 35 60 0 0 1 1 4 12 26 39 31 52 88.6 86.7 1091 46
15 Mwanda 28 56 0 0 0 0 4 6 21 41 25 47 89.3 83.9 1901 83
16 Matemwe 37 60 0 0 0 0 0 2 15 22 15 24 40.5 40.0 3375 154
JUMLA 629 1084 0 2 2 9 27 93 372 636 393 719 62.5 66.3
1 Donge 46 66 0 0 0 0 3 6 21 29 24 35 52.2 53.0 2786 128
2 Mahonda 54 67 0 0 0 0 7 9 39 48 46 57 85.2 85.1 1544 68
3 Fujoni 47 65 0 0 0 0 4 5 20 26 24 31 51.1 47.7 3206 150
4 Bumbwini 73 103 0 0 0 0 2 4 39 51 41 55 56.2 53.4 3172 147
5 Makoba 43 58 0 0 0 0 0 0 23 32 23 32 53.5 55.2 3191 148
6 Upenja 20 36 0 0 1 4 0 2 14 21 15 27 75.0 75.0 496 14
7 Kitope 28 58 0 0 0 0 1 5 15 33 16 38 57.1 65.5 2457 114
JUMLA 311 453 0 0 1 4 17 31 171 240 189 275 60.8 60.7
WILAYA YAKASKAZINI 'B'
Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 133
Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea
1 Mpapa 20 32 0 0 0 0 3 5 14 22 17 27 85.0 84.4 633 18
2 Uroa 37 70 0 0 0 2 2 7 24 42 26 51 70.3 72.9 1950 84
3 Ubago 7 12 0 0 0 0 0 0 5 9 5 9 71.4 75.0 1106 49
4 Ndijani 39 74 0 0 0 0 3 7 29 52 32 59 82.1 79.7 2188 100
5 Mwera 52 110 0 0 3 5 4 11 28 57 35 73 67.3 66.4 2018 91
6 Dunga 21 46 0 0 0 0 3 4 17 35 20 39 95.2 84.8 1520 66
7 Unguja Ukuu 25 44 0 0 0 0 2 4 17 32 19 36 76.0 81.8 1956 85
8 Ukongoroni 12 23 0 0 0 0 0 0 7 14 7 14 58.3 60.9 1536 67
9 Kiboje 46 64 0 0 0 0 3 4 15 25 18 29 39.1 45.3 3044 141
10 Bambi 19 36 0 0 0 0 1 3 16 26 17 29 89.5 80.6 775 26
11 Machui 31 54 0 0 0 0 1 2 16 30 17 32 54.8 59.3 2869 133
12 Charawe 3 14 0 0 0 0 0 0 2 9 2 9 66.7 64.3 1044 43
13 Jendele 15 32 0 0 1 1 0 4 8 18 9 23 60.0 71.9 795 28
14 Kibele 20 28 0 0 0 0 4 4 10 14 14 18 70.0 64.3 959 34
15 Jumbi 24 46 0 0 0 0 0 1 14 24 14 25 58.3 54.3 3200 149
16 Chwaka 21 36 0 0 0 0 1 1 17 28 18 29 85.7 80.6 784 27
17 Umoja Uzini 57 83 0 0 0 2 3 3 39 58 42 63 73.7 75.9 1860 80
JUMLA 449 804 0 0 4 10 30 60 278 495 270 502 60.1 62.4
WILAYA YA KATI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 134
Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea
1 Paje 15 31 0 0 0 1 0 1 15 28 15 30 100.0 96.8 627 17
2 Makunduchi 63 124 0 0 0 0 0 8 29 53 29 61 46.0 49.2 2912 135
3 Kitogani 18 35 0 0 0 1 4 4 12 27 16 32 88.9 91.4 540 15
4 Jambiani 15 25 0 0 0 2 1 2 11 19 12 23 80.0 92.0 469 12
5 Kusini 23 49 0 0 1 1 1 7 13 25 15 33 65.2 67.3 2176 99
6 Bwejuu 27 51 0 0 0 1 2 6 15 24 17 31 63.0 60.8 2487 115
7 Kizimkazi 20 31 0 0 0 0 0 0 10 18 10 18 50.0 58.1 1030 41
8 Muyuni 18 33 0 0 0 0 1 5 13 22 14 27 77.8 81.8 560 16
JUMLA 199 379 0 0 1 6 9 33 118 216 128 255 64.3 67.3
Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea
1 Pemba Islamic 9 22 0 0 1 7 4 11 2 2 7 20 77.8 90.9 140 2
2 Tumbe 35 74 0 0 0 1 0 3 17 39 17 43 48.6 58.1 3060 143
3 Wingwi 58 155 0 0 0 1 3 10 36 88 39 99 67.2 36.0 2635 124
4 Shumba 20 37 0 0 0 0 2 4 13 25 15 29 75.0 78.4 767 25
5 Kinyasini 15 35 0 0 0 0 0 0 6 10 6 10 40.0 28.6 1133 51
6 Mgogoni 13 21 0 0 0 0 0 0 5 7 5 7 38.5 33.3 1141 52
7 Konde 65 115 0 0 0 0 10 14 35 69 45 83 69.2 72.2 2076 93
8 Micheweni 28 88 0 0 0 2 2 8 16 53 18 63 64.3 71.6 2365 111
9 Msuka 28 54 0 0 0 2 2 4 9 17 11 23 39.3 42.6 3106 144
10 Makangale 18 36 0 0 0 0 1 1 4 13 5 14 27.8 38.9 1123 50
11 Chwaka Tumbe 21 40 0 0 0 1 0 0 14 28 14 29 66.7 72.5 2790 129
12 Kiuyu 15 35 0 0 0 1 1 5 7 19 8 25 53.3 71.4 716 21
13 Kinowe 25 42 0 0 0 0 1 4 16 25 17 29 68.0 69.0 2231 104
JUMLA 350 754 0 0 1 15 26 64 180 395 207 474 59.1 62.9
WILAYA YA KUSINI
WILAYA YA MICHEWENI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 135
Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea
1 Utaani 133 173 0 2 4 15 6 18 78 90 88 125 66.2 72.3 744 22
2 M/Mdogo 58 124 0 1 1 2 4 16 35 84 40 103 69.0 83.1 1708 73
3 Chasasa 24 108 0 1 1 7 9 29 11 55 21 92 87.5 85.2 807 29
4 Ole 42 71 0 0 0 0 2 6 26 32 28 38 66.7 53.5 2633 123
5 Minungwini 31 67 0 0 0 0 0 8 20 41 20 49 64.5 73.1 2199 102
6 Pandani 25 44 0 0 0 0 4 3 9 13 13 16 52.0 36.4 2196 101
7 Wete Secondary 16 44 0 2 0 0 1 6 13 27 14 35 87.5 79.5 1248 57
8 Piki 43 65 0 0 0 1 0 0 24 30 24 31 55.8 47.7 3278 151
9 Kangagani 24 40 0 0 0 0 0 3 13 17 13 20 54.2 50.0 3051 142
10 Gando 36 64 0 0 1 1 3 5 14 36 18 42 50.0 65.6 2491 116
11 Kojani 18 43 0 0 0 1 0 3 12 26 12 30 66.7 69.8 2381 112
12 Makongeni 8 19 0 0 0 0 0 0 5 13 5 13 62.5 68.4 1011 39
13 Uondwe 26 46 0 0 0 0 1 1 18 33 19 34 73.1 73.9 2817 130
14 Shengejuu 17 39 0 0 0 2 3 10 13 23 16 35 94.1 89.7 381 7
15 Kizimbani 38 65 1 1 1 1 3 5 25 39 30 46 78.9 70.8 2238 105
16 Limbani 16 43 0 0 0 0 1 3 14 25 15 28 93.8 65.1 2517 118
17 Mitiulaya 19 53 0 0 0 0 3 9 16 43 19 52 100.0 98.1 1145 53
18 Fundo 4 6 0 0 0 0 0 0 2 2 2 2 50.0 33.3 1157 54
19 M/Takao 20 27 0 0 0 0 0 0 15 20 15 20 75.0 74.1 763 24
20 CHWALE 21 39 0 0 1 2 0 0 8 21 9 23 42.9 59.0 991 35
21 Ukunjwi 11 22 0 0 0 0 1 1 2 8 3 9 27.3 40.9 1034 42
JUMLA 630 1202 1 7 9 32 41 126 373 678 424 843 67.3 70.1
WILAYA YA WETE
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 136
Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea
1 F/Castro 109 168 4 15 39 55 45 69 21 21 109 160 100.0 95.2 255 4
2 Shamiani 72 96 0 0 0 0 5 13 46 58 51 71 70.8 74.0 1979 89
3 Ch/Mjawiri 33 58 0 0 0 1 1 1 16 33 17 35 51.5 60.3 2864 132
4 Vitongoji 32 67 0 0 0 0 0 3 24 46 24 49 75.0 73.1 2541 120
5 Dr Omar Ali Juma 30 59 0 0 0 2 6 9 19 39 25 50 83.3 84.7 1313 60
6 Pujini 19 36 0 0 0 0 0 2 14 22 14 24 73.7 66.7 902 32
7 Wesha 60 92 0 0 0 0 6 7 27 44 33 51 55.0 55.4 3014 139
8 Kilindi 6 17 0 0 0 2 0 1 6 14 6 17 100.0 100.0 424 9
9 Furaha 9 23 0 0 0 0 1 2 8 19 9 21 100.0 91.3 995 36
10 Ziwani 39 64 0 0 1 2 0 1 25 34 26 37 66.7 57.8 3011 138
11 KWALE 22 48 0 0 1 1 0 1 13 25 14 27 63.6 56.3 2775 126
12 Pondeani 19 50 0 0 0 0 1 1 13 34 14 35 73.7 70.0 2831 131
13 N'gambwa 49 72 0 0 0 0 2 4 39 57 41 61 83.7 84.7 2066 92
14 Uwandani 13 27 0 0 0 0 0 1 7 13 7 14 53.8 51.9 1046 44
15 MADUNGU 94 135 0 1 4 10 21 31 62 83 87 125 92.6 92.6 713 20
16 MBUZINI 22 38 0 0 0 0 2 4 15 27 17 31 77.3 81.6 815 30
17 Vikunguni 24 38 0 0 0 0 1 3 10 16 11 19 45.8 50.0 1007 38
JUMLA 652 1088 4 16 45 73 91 153 365 585 505 827 77.5 76.0
WILAYA YA CHAKE
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 137
Jadweli Nam. 33(a) Linaendelea
1 Kengeja Tech. 11 41 0 1 3 13 2 8 6 17 11 39 100.0 95.1 458 11
2 Kiwani 21 38 0 0 0 2 0 1 15 27 15 30 71.4 78.9 652 19
3 Mkanyageni 23 39 0 0 0 0 0 1 15 26 15 27 65.2 69.2 1162 55
4 M/Ngwachani 28 45 0 0 0 0 1 4 16 27 17 31 60.7 68.9 2518 119
5 Kangani 37 62 0 0 0 0 5 9 25 42 30 51 81.1 82.3 1811 77
6 Uweleni 82 126 0 0 3 4 14 22 43 66 60 92 73.2 73.0 1648 72
7 Kengeja Sec. 34 45 0 0 0 1 4 8 22 28 26 37 76.5 82.2 1001 37
8 Kisiwa Panza 3 15 0 0 0 0 0 0 2 6 2 6 66.7 40.0 1098 47
9 Mtambile 44 61 0 0 0 0 1 3 24 40 25 43 56.8 70.5 2364 110
10 Wambaa 30 57 0 0 0 0 2 6 14 28 16 34 53.3 59.6 2776 127
11 Mizingani 27 39 1 1 0 0 0 3 12 29 13 33 48.1 84.6 826 31
12 Mwambe 21 36 0 0 0 0 0 7 17 25 17 32 81.0 88.9 1162 56
13 Makombeni 18 33 0 0 0 1 1 3 10 20 11 24 61.1 72.7 759 23
14 Mauwani 32 51 0 0 0 0 2 4 17 31 19 35 59.4 68.6 2554 121
15 Mtangani 17 36 0 0 0 0 0 0 9 17 9 17 52.9 47.2 1101 48
16 Makoongwe 13 17 0 0 0 0 0 0 8 9 8 9 61.5 52.9 1019 40
17 Chokocho 9 31 0 0 0 0 0 1 9 18 9 19 100.0 61.3 1962 86
18 Ukutini 20 40 0 0 0 0 1 2 5 28 6 30 30.0 75.0 2349 109
19 MICHENZANI 56 61 0 0 0 0 0 3 15 27 15 30 26.8 49.2 2875 134
20 Chambani 16 48 0 0 0 0 0 6 23 6 23 37.5 47.9 3370 153
JUMLA 542 921 1 2 6 21 33 85 290 534 324 619 59.8 67.2
JUMLA KUU 7020 12208 14 60 219 445 658 1325 4161 7060 4996 8783 71.2 71.9
WILAYA YA MKOANI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 138
JADWELI NAM. 33(b)
WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA
1 Lumumba 57 157 57 157 100.0 100.0 51 134 0 0 51 134 89 100
2 Mikunguni 14 42 14 42 100.0 100.0 0 0 9 33 9 33 64 79
3 Kiponda 20 35 19 35 95.0 100.0 16 30 0 0 16 30 84 86
4 Faraja 73 301 58 215 79.5 71.4 7 20 0 0 7 20 12 9
5 Jang'ombe 103 172 70 120 68.0 69.8 13 22 0 0 13 22 19 18
6 Haile Selassie 137 267 97 184 70.8 68.9 11 19 0 0 11 19 11 10
7 Benbella 99 99 99 99 100.0 100.0 84 84 0 0 84 84 85 85
8 Kidongochekundu 148 246 115 188 77.7 76.4 17 24 0 0 17 24 15 13
9 Kwamtipura 153 153 112 112 73.2 73.2 13 13 0 0 13 13 12 12
10 Vikokotoni 110 188 109 183 99.1 97.3 62 106 0 0 62 106 57 58
11 Hurumzi 46 89 35 70 76.1 78.7 7 18 0 0 7 18 20 26
12 Mumbeladu 144 228 125 176 86.8 77.2 13 21 0 0 13 21 10 12
13 Nyerere 172 288 123 185 195.0 64.2 12 23 0 0 12 23 10 12
14 Tumekuja 73 121 69 103 94.5 85.1 17 25 0 0 17 25 25 24
15 Chumbuni 70 105 62 103 88.6 98.1 13 14 0 0 13 14 21 14
16 Hamamni 51 115 43 84 84.3 73.0 4 6 0 0 4 6 9 7
17 Mpendae 169 233 145 208 85.8 89.3 18 27 0 0 18 27 12 13
18 Forodhani 65 99 52 78 80.0 78.8 10 14 0 0 10 14 19 18
JUMLA 1704 2938 1404 2342 82.4 79.7 368 600 9 33 377 608 26.9 26.0
WILAYA YA MJINI
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE, SKULI ZA SERIKALI - 2015
SKULI
WALIOFANYA
WALIOFAULU
KIMA CHA
IDADI YA WANAOENDELEA NA MASOMO
KIDATO
FTC
JUMLA YA ASILIMIA YA
MTIHANI KUFAULU (%) CHA 5 KIDATO CHA 5 + FTC KUENDELEA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 139
Jadweli 33 (b) linaendelea
1 Bububu 200 297 174 256 87.0 86.2 22 47 0 0 22 47 12.6 18.4
2 Mwanakwerekwe 'A' 202 304 172 261 85.1 85.9 35 56 0 0 35 56 20.3 21.5
3 Fuoni 99 168 72 118 72.7 70.2 11 22 0 0 11 22 15.3 18.6
4 Kiembe Samaki 152 336 123 258 80.9 76.8 34 65 0 0 34 65 27.6 25.2
5 Mfenesini 57 97 41 71 71.9 73.2 10 18 0 0 10 18 24.4 25.4
6 Zanzibar Commercial 42 100 42 99 100.0 99.0 20 59 0 0 20 59 47.6 59.6
7 Chukwani 29 51 27 43 93.1 84.3 5 7 0 0 5 7 18.5 16.3
8 Langoni 30 51 13 29 43.3 56.9 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
9 Regeza Mwendo 80 174 42 94 52.5 54.0 4 12 0 0 4 12 9.5 12.8
10 Kombeni 14 32 9 24 64.3 75.0 1 2 0 0 1 2 11.1 8.3
11 Mwenge 43 69 23 34 53.5 49.3 2 2 0 0 2 2 8.7 5.9
12 Mtopepo 120 120 104 104 86.7 86.7 16 16 0 0 16 16 0.0 15.4
13 Chuini 88 129 58 88 65.9 68.2 10 12 0 0 10 12 17.2 13.6
14 Kinuni 99 153 78 117 78.8 76.5 7 14 0 0 7 14 9.0 12.0
15 Kisauni 31 41 23 35 74.2 85.4 3 7 0 0 3 7 13.0 20.0
16 Bwefum 21 27 9 13 42.9 48.1 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
17 Mtoni Kigomeni 66 103 38 52 57.6 50.5 4 7 0 0 4 7 10.5 13.5
18 Mikindani 35 70 31 58 88.6 82.9 0 7 0 0 0 7 0.0 12.1
19 Maungani 14 24 12 21 85.7 87.5 2 4 0 0 2 4 16.7 19.0
20 Mwanakwerekwe 'C' 132 239 106 179 80.3 74.9 10 25 0 0 10 25 9.4 14.0
JUMLA 1554 2585 1197 1954 77.0 75.6 196 382 0 0 196 382 16.4 19.5
WILAYA YA MAGHARIBI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 140
Jadweli 33 (b) linaendelea
1 Tumbatu 19 48 15 42 78.9 87.5 0 3 0 0 0 3 0.0 7.1
2 Mkwajuni 92 133 41 67 44.6 50.4 0 4 0 0 0 4 0.0 6.0
3 Chaani 20 49 14 30 70.0 61.2 0 2 0 0 0 2 0.0 6.7
4 Fukuchani 35 52 17 29 48.6 55.8 0 3 0 0 0 3 0.0 10.3
5 Jongowe 45 90 24 61 53.3 67.8 4 18 0 0 4 18 16.7 29.5
6 Potoa 44 59 32 45 72.7 76.3 2 5 0 0 2 5 6.3 11.1
7 Kidoti 23 61 18 50 78.3 82.0 0 7 0 0 0 7 0.0 14.0
8 Kinyasini 80 113 47 72 58.8 63.7 4 9 0 0 4 9 8.5 12.5
9 Pale 26 61 20 42 76.9 68.9 2 4 0 0 2 4 10.0 9.5
10 Gamba 34 48 24 36 70.6 75.0 5 7 0 0 5 7 20.8 19.4
11 Pwani Mchangani 30 59 20 36 66.7 61.0 1 1 0 0 0 1 5.0 2.8
12 Nungwi 35 60 31 52 88.6 86.7 6 15 0 0 6 15 19.4 28.8
13 Mlimani 24 61 41 46 170.8 75.4 2 13 0 0 2 13 4.9 28.3
14 Matemwe 37 60 15 24 40.5 40.0 0 2 0 0 0 2 0.0 8.3
15 Muwanda 28 56 25 47 89.3 83.9 4 7 0 0 4 7 4 7
16 Mapinduzi 57 74 42 59 73.7 79.7 2 4 0 0 2 4 4.8 6.8
JUMLA 629 1084 370 629 58.8 58.0 27 86 0 0 31 103 8.4 16.4
WILAYA YA KASKAZINI 'A'
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 141
Jadweli 33 (b) linaendelea
1 Donge 46 66 24 35 52.2 53.0 2 5 0 0 2 5 8.3 14.3
2 Mahonda 54 67 45 55 83.3 82.1 7 0 0 0 7 0 15.6 0.0
3 Fujoni 47 65 24 31 51.1 47.7 3 3 0 0 3 3 12.5 9.7
4 Bumbwini 73 103 41 55 56.2 53.4 1 3 0 0 1 3 2.4 5.5
5 Makoba 43 58 23 32 53.5 55.2 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
6 Upenja 20 36 13 26 65.0 72.2 1 6 0 0 1 6 7.7 23.1
7 Kitope 28 58 16 40 57.1 69.0 1 3 0 0 1 3 6.3 7.5
JUMLA 311 453 186 274 59.8 60.5 14 20 0 0 15 20 8.1 7.3
WILAYA KASKAZINI 'B'
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 142
Jadweli 33 (b) linaendelea
1 Mpapa 20 32 17 27 85.0 84.4 3 5 0 0 3 5 17.6 18.5
2 Uroa 37 70 26 51 70.3 72.9 2 6 0 0 2 6 7.7 11.8
3 Ndijani 39 74 32 60 82.1 81.1 3 5 0 0 3 5 9.4 8.3
4 Mwera 52 110 35 73 67.3 66.4 5 15 0 0 5 15 14.3 20.5
5 Dunga 21 46 20 40 95.2 87.0 3 5 0 0 3 5 15.0 12.5
6 Unguja Ukuu 25 44 19 36 76.0 81.8 4 5 0 0 4 5 21.1 13.9
7 Ukongoroni 12 23 7 15 58.3 65.2 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
8 Kiboje 46 64 18 29 39.1 45.3 3 4 0 0 3 4 16.7 13.8
9 Bambi 19 36 15 29 78.9 80.6 1 4 0 0 1 4 6.7 13.8
10 Machui 31 54 17 32 54.8 59.3 1 1 0 0 1 1 5.9 3.1
11 Charawe 3 14 0 9 0.0 64.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
12 Jendele 15 32 9 23 60.0 71.9 1 4 0 0 1 4 11.1 17.4
13 Jumbi 24 46 14 25 58.3 54.3 0 1 0 0 0 1 0.0 4.0
14 Kibele 20 28 14 18 70.0 64.3 4 4 0 0 4 4 28.6 22.2
15 Chwaka 21 36 18 30 85.7 83.3 1 2 0 0 1 2 5.6 6.7
16 Ubago 7 12 5 9 71.4 75.0 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
17 Umoja Uzini 57 83 42 63 73.7 75.9 3 6 0 0 3 6 7.1 9.5
JUMLA 449 804 308 569 68.6 70.8 31 67 0 0 34 67 11.0 11.8
WILAYA YA KATI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 143
Jadweli 33 (b) linaendelea
1 Paje 15 31 15 30 100.0 96.8 0 2 0 0 0 2 0.0 6.7
2 Makunduchi 63 124 29 71 46.0 57.3 0 8 0 0 0 8 0.0 11.3
3 Kitogani 18 35 16 32 88.9 91.4 4 5 0 0 4 5 25.0 15.6
4 Jambiani 15 25 12 23 80.0 92.0 0 3 0 0 0 3 0.0 13.0
5 Kusini 23 49 4 17 17.4 34.7 0 6 0 0 0 6 0.0 35.3
6 Bwejuu 27 51 17 30 63.0 58.8 2 5 0 0 2 5 11.8 16.7
7 Kizimkazi 20 31 10 18 50.0 58.1 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
8 Muyuni 18 33 13 26 72.2 78.8 1 5 0 0 5 5 7.7 19.2
JUMLA 199 379 116 247 58.3 65.2 7 34 0 0 6 28 5.2 11.3
WILAYA YA KUSINI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 144
Jadweli 33 (b) linaendelea
1 Pemba Islamic 9 22 7 20 77.8 90.9 5 18 0 0 5 18 71.4 90.0
2 Tumbe 35 74 17 42 48.6 56.8 0 4 0 0 0 4 0.0 9.5
3 Wingwi 58 155 39 99 67.2 63.9 2 13 0 0 2 13 5.1 13.1
4 Shumba 20 37 15 29 75.0 78.4 2 4 0 0 2 4 13.3 13.8
5 Kinyasini 15 35 6 10 40.0 28.6 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
6 Konde 65 115 45 82 69.2 71.3 9 13 0 0 9 13 20.0 15.9
7 Micheweni 28 88 18 63 64.3 71.6 1 10 0 0 1 10 5.6 15.9
8 Msuka 28 54 11 22 39.3 40.7 1 5 0 0 1 5 0.0 22.7
9 Chwaka Tumbe 21 40 14 29 66.7 72.5 0 1 0 0 0 1 0.0 3.4
10 Mgogoni 13 21 5 7 0.0 33.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
11 Kiuyu 15 35 8 25 53.3 71.4 1 7 0 0 1 7 12.5 28.0
12 Makangale 18 36 5 14 27.8 38.9 1 1 0 0 1 1 20.0 7.1
13 Kinowe 25 42 17 29 68.0 69.0 1 4 0 0 1 4 5.9 13.8
JUMLA 350 754 207 471 59.1 62.5 23 80 0 0 23 80 11.1 17.0
WILAYA YA MICHEWENI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 145
Jadweli 33 (b) linaendelea
1 Utaani 133 173 88 125 66.2 72.3 11 28 0 0 11 28 12.5 22.4
2 Chasasa 24 108 21 92 87.5 85.2 9 37 0 0 9 37 42.9 40.2
3 M/Mdogo 58 124 40 104 69.0 83.9 5 20 0 0 5 20 12.5 19.2
4 Ole 42 71 28 48 66.7 67.6 2 7 0 0 2 7 7.1 14.6
5 Minungwini 31 67 20 49 64.5 73.1 0 9 0 0 0 9 0.0 18.4
6 Pandani 25 44 16 29 64.0 65.9 2 6 0 0 2 6 12.5 20.7
7 Piki 43 65 24 31 55.8 47.7 1 2 0 0 1 2 4.2 6.5
8 Kangagani 24 40 13 20 54.2 50.0 0 3 0 0 0 3 0.0 15.0
9 Gando 36 64 22 42 61.1 65.6 4 6 0 0 4 6 18.2 14.3
10 Kojani 18 43 14 30 77.8 69.8 0 5 0 0 0 5 0.0 16.7
11 Makongeni 8 19 5 13 62.5 68.4 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
12 Fundo 4 6 2 2 50.0 33.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
13 Uondwe 26 46 19 34 73.1 73.9 1 2 0 0 1 2 5.3 5.9
14 Shengejuu 17 39 16 34 94.1 87.2 3 11 0 0 3 11 18.8 32.4
15 Kizimbani 38 65 30 46 78.9 70.8 5 8 0 0 5 8 16.7 17.4
16 Limbani 16 43 15 28 93.8 65.1 1 3 0 0 1 3 6.7 10.7
17 Mitiulaya 19 53 19 52 100.0 98.1 4 8 0 0 4 8 21.1 15.4
18 M/Takao 20 27 15 20 75.0 74.1 1 1 0 0 1 1 6.7 5.0
19 Chwale 21 39 9 23 42.9 59.0 1 2 0 0 2 2 11.1 8.7
20 Ukunjwi 11 22 3 7 27.3 31.8 1 0 0 1 0 33.3 0.0
21 Wete sec 16 44 14 25 87.5 56.8 2 7 0 0 2 7 14.3 28.0
JUMLA 630 1202 433 854 68.7 71.0 44 155 0 0 52 165 12.0 19.3
WILAYA YA WETE
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 146
Jadweli 33 (b) linaendelea
1 F/Castro 109 168 109 168 100.0 100.0 85 133 0 0 85 133 78.0 79.2
2 Shamiani 72 96 51 70 70.8 72.9 5 11 0 0 5 11 9.8 15.7
3 Ch/Mjawiri 33 58 17 35 51.5 60.3 1 2 0 0 1 2 5.9 5.7
4 Vitongoji 32 67 24 48 75.0 71.6 0 2 0 0 0 2 0.0 4.2
5 Pujini 19 36 14 24 73.7 66.7 0 2 0 0 0 2 0.0 8.3
6 Wesha 60 92 33 50 55.0 54.3 8 9 0 0 8 9 24.2 18.0
7 Kilindi 6 17 5 17 83.3 100.0 0 3 0 0 0 3 0.0 17.6
8 Furaha 9 23 9 21 100.0 91.3 3 4 0 0 3 4 33.3 19.0
9 Ziwani 39 64 26 37 66.7 57.8 2 4 0 0 2 4 7.7 10.8
10 KWALE 22 48 9 24 40.9 50.0 1 3 0 0 1 3 11.1 12.5
11 Pondeani 19 50 12 35 63.2 70.0 1 2 0 0 1 2 8.3 5.7
12 N'gambwa 49 72 41 61 83.7 84.7 2 5 0 0 2 5 4.9 8.2
13 Uwandani 13 27 7 14 53.8 51.9 0 1 0 0 0 1 0.0 7.1
14 Vikunguni 24 38 12 20 50.0 52.6 1 3 0 0 1 3 8.3 15.0
15 Dr Omar Ali Juma 30 59 25 48 83.3 81.4 7 13 0 0 7 13 28.0 27.1
16 Mbuzini 22 38 17 31 77.3 81.6 2 4 0 0 2 4 11.8 12.9
17 Madungu 94 135 91 129 96.8 95.6 26 45 0 0 26 45 28.6 34.9
JUMLA 652 1088 369 624 56.6 57.4 132 224 0 0 144 246 39.0 39.4
WILAYA YA CHAKE
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 147
Jadweli 33 (b) linaendelea
1 Kengeja Tech. 11 41 11 39 100.0 95.1 0 0 5 22 5 22 0.0 0.0
2 Kiwani 21 38 15 30 71.4 78.9 0 3 0 0 0 3 0.0 10.0
3 Mauwani 32 51 19 35 59.4 68.6 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
4 Mkanyageni 23 39 16 27 69.6 69.2 0 1 0 0 0 1 0.0 3.7
5 M/Ngwachani 28 45 16 31 57.1 68.9 2 5 0 0 2 5 12.5 16.1
6 Kangani 37 62 30 51 81.1 82.3 5 9 0 0 5 9 16.7 17.6
7 Uweleni 82 126 59 92 72.0 73.0 18 28 0 0 18 28 30.5 30.4
8 Kengeja Sec. 34 45 26 37 76.5 82.2 4 8 0 0 4 8 15.4 21.6
9 Kisiwa Panza 3 15 2 5 66.7 33.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
10 Mtambile 44 61 29 43 65.9 70.5 1 3 0 0 1 3 3.4 7.0
11 Wambaa 30 57 16 34 53.3 59.6 2 6 0 0 2 6 12.5 17.6
12 Mizingani 27 39 13 23 48.1 59.0 1 4 0 0 1 4 7.7 17.4
13 Mwambe 21 36 16 32 76.2 88.9 0 6 0 0 0 6 0.0 18.8
14 Makombeni 18 33 11 23 61.1 69.7 1 4 0 0 1 4 9.1 17.4
15 Mtangani 17 36 8 17 47.1 47.2 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
16 Makoongwe 13 17 8 9 61.5 52.9 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
17 Chokocho 9 31 7 19 77.8 61.3 0 1 0 0 0 1 0.0 5.3
18 Ukutini 20 40 16 30 80.0 75.0 1 2 0 0 1 2 6.3 6.7
19 Michenzani 56 61 15 30 26.8 49.2 0 2 0 0 0 2 0.0 6.7
20 Chambani 16 48 6 23 37.5 47.9 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
JUMLA 542 921 339 630 62.5 68.4 31 65 0 0 40 104 11.8 16.5
JUMLA KUU 7020 12208 4929 8594 70.21 70.40 873 1713 9 33 918 1803 18.6 21.0
WILAYA YA MKOANI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 148
JADWELI NAM. 33(c)
WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA
1 Sunni Madrassa 36 57 36 57 100.0 100.0 26 42 0 0 26 42 72 74
2 Bilal Islam 30 48 30 48 100.0 100.0 21 36 0 0 21 36 70 75
3 high Performance 37 62 34 55 17.0 88.7 10 12 0 0 10 12 29 22
4 Al - Riyami 19 34 19 34 100.0 100.0 10 23 0 0 10 23 53 68
5 high Performance 36 62 34 55 94.4 88.7 10 12 0 0 10 12 29 22
6 English Speaking 24 31 24 31 100.0 100.0 11 14 0 0 11 14 46 45
7 Glorius Academy 26 46 26 46 100.0 100.0 25 46 0 0 25 46 96 100
8 Jumuiya Girls 14 14 14 14 100.0 100.0 2 2 0 0 2 2 14 14
9 Suncity 16 38 15 31 93.8 81.6 1 4 0 0 1 4 7 13
JUMLA 238 392 232 371 97.5 94.6 116 191 0 0 116 191 50.0 51.5
ASILIMIA YA
KUENDELEA
JUMLA YA
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE SKULI ZA BINAFSI - 2015
SKULI
WALIOFANYA
WALIOFAULU
KIMA CHA
IDADI YA WANAOENDELEA NA MASOMO
KIDATO
FTCMTIHANI KUFAULU (%) CHA 5 KIDATO CHA 5 + FTC
WILAYA YA MJINI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 149
JADWELI NAM. 33(c) linaendelea
WILAYA YA MAGHARIBI
1 SOS 30 51 30 51 100.0 100.0 26 46 0 0 26 46 86.7 90.2
2 Nyuki 21 41 20 41 95.2 100.0 11 21 0 0 11 21 55.0 51.2
3 Laureate 46 69 46 69 100.0 100.0 37 58 0 0 37 58 80.4 84.1
4 Juba 14 28 11 22 78.6 78.6 3 5 0 0 3 5 27.3 22.7
5 Dole 10 23 3 10 30.0 43.5 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
6 Al Ihsan Girls 80 80 80 80 100.0 100.0 46 46 0 0 46 46 57.5 57.5
7 High View 32 45 32 45 100.0 100.0 28 34 0 0 28 34 87.5 75.6
8 Alharamyn 19 35 19 35 100.0 100.0 14 25 0 0 14 25 73.7 71.4
9 Hifadhi 7 12 7 11 11.0 91.7 5 7 0 0 5 7 71.4 63.6
10 Sufa 8 16 7 14 87.5 87.5 3 5 0 0 3 5 42.9 35.7
11 Trifonia 26 46 26 46 100.0 100.0 26 41 0 0 26 41 100.0 89.1
12 Al - Falah 28 50 27 49 96.4 98.0 12 20 0 0 12 20 44.4 40.8
13 Mbarali 30 48 21 37 70.0 77.1 7 11 0 0 7 11 33.3 29.7
14 Philter Federal 18 39 18 39 100.0 100.0 8 24 0 0 8 24 44.4 61.5
15 Raudha 30 54 30 54 100.0 100.0 10 19 0 0 10 19 33.3 35.2
16 SHA 14 33 7 13 50.0 39.4 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
17 JKU 32 46 31 45 96.9 97.8 4 9 0 0 4 9 12.9 20.0
18 Mombasa Central 16 26 13 22 81.3 84.6 5 10 0 0 5 10 38.5 45.5
19 Zanzibar Progressive 21 27 21 27 100.0 100.0 16 21 0 0 16 21 76 78
20 Francis Maria 29 55 29 55 100.0 100.0 29 54 0 0 29 54 100 98
JUMLA 511 824 478 765 93.5 92.8 290 456 0 0 290 456 60.7 59.6
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 150
JADWELI NAM. 33(c) linaendelea
1 Unique learning 8 14 8 14 100.0 100.0 4 7 0 0 4 7 50.0 50.0
JUMLA 8 14 8 14 100.0 100.0 4 7 0 0 4 7 50.0 50.0
1 Mahad Istiqama 0 15 0 15 0.0 100.0 0 9 0 0 0 9 9 60
JUMLA 0 15 0 15 0.0 100.0 0 9 0 0 0 9 9 60.0
1 Dodeani 0 0 0 0 0.0 0.0 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
JUMLA 0 0 0 0 0.0 0.0 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0
1 Connecting Continents 29 70 29 70 100.0 100.0 17 49 0 0 17 49 58.6 70.0
JUMLA 29 70 29 70 100.0 100.0 17 49 0 0 17 49 58.6 70.0
JUMLA KUU 778 1286 739 1206 95.0 93.8 423 696 0 0 423 696 57.2 57.7
WILAYA YA KASKAZINI B
WILAYA YA KATI
WILAYA YA MICHEWENI
WILAYA YA CHAKE CHAKE
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 151
JADWELI NAM. 34
WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA TZ ZNZ
BEN BELLA* 22 22 15 15 6 6 1 1 0 0 22 22 10 1*
KIPONDA 21 48 10 20 6 18 5 10 0 0 21 48 48 1
SUZA* 10 25 3 9 3 7 3 8 0 0 9 24 57 2*
PEMBA ISLAMIC* 4 12 2 3 2 5 0 4 0 0 4 12 68 3*
UTAANI* 5 13 2 3 2 4 1 6 0 0 5 13 90 4*
MADUNGU 16 35 2 3 9 21 5 11 0 0 16 35 92 2
SOS 26 37 9 10 7 10 9 15 0 1 25 36 118 3
TUMEKUJA* 16 29 1 3 3 7 9 15 3 4 16 29 127 5*
FIDEL CASTRO 26 78 4 12 10 26 11 37 1 3 26 78 130 4
ZNZ. COMMERCIAL* 10 27 2 3 2 5 3 14 3 3 10 25 132 6*
AL-IHSAN* 21 21 0 0 4 4 9 9 7 7 20 20 149 7*
CHASASA 14 36 1 3 3 11 10 22 0 0 14 36 155 5
MWANAKWEREKWE 'C' 21 30 0 0 8 12 12 16 1 2 21 30 156 6
VIKOKOTONI 21 44 0 1 5 14 13 26 2 2 20 43 189 7
MPENDAE 16 59 0 2 6 10 10 36 2 10 18 58 240 8
KIEMBE SAMAKI 26 59 2 3 8 14 13 23 3 16 26 56 249 9
LUMUMBA 40 98 5 9 11 19 12 37 11 26 39 91 253 10
JUMLA 315 673 58 99 95 193 126 290 33 74 312 656
* Skuli zenye wanafunzi chini ya 30
MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA KIDATO CHA 6
(A - LEVEL), MWAKA 2015/2016
SKULI
WATAHINIWA
WALIOFAULU
NATIJADIV. I DIV. II DIV. III DIV. IV JUMLA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 152
JADWELI NAM. 35
W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA
MJINI 18 17 18 258 309 132 147 70 86 27 41 7 16 236 290
MAGHARIBI 21 13 21 232 325 103 141 83 114 57 74 29 38 272 367
KASKAZINI ' A' 104 64 104 1709 1958 312 354 505 586 422 469 185 199 1424 1608
KASKAZINI ' B' 50 29 50 601 717 199 232 155 182 105 121 56 73 515 608
KATI 24 14 24 226 302 64 98 83 101 52 65 27 38 226 302
KUSINI 7 3 7 96 103 21 24 22 24 21 23 32 33 96 104
MICHEWENI 60 51 60 1471 1673 620 690 286 321 152 184 79 92 1137 1287
WETE 58 44 58 1109 1257 468 538 325 355 182 190 66 76 1041 1159
CHAKE-CHAKE 35 27 35 581 678 184 205 141 162 118 140 62 18 505 525
MKOANI 43 27 43 776 928 208 239 236 276 83 121 124 150 651 786
JUMLA 420 289 420 7059 8250 2311 2668 1906 2207 1219 1428 667 733 6103 7036
HATUA I HATUA II HATUA III HATUA IV
UANDIKISHAJI WA WANAKISOMO KIWILAYA, MACHI -2016
IDADI YA WALIMU
IDADI YA
WANAKISOMO
WA
WILAYA MADARASA
WANAKISOMO WALIOMO MADARASANI
JUMLA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 153
JADWELI NAM. 36
JINA LA
KITUO W'ME W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA
WILAYA YA MJINI
HAMAMNI 8 4 12 0 0 0 0 0 0 1 22 51 1 28 65 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 50 116
AL RAJABIA 7 1 8 0 0 0 0 0 0 2 45 90 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 45 90
MWENBELADU 10 3 13 0 0 0 0 0 0 1 16 40 1 28 40 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 44 80
HAILE SELLASIE 8 2 10 0 0 0 0 0 0 1 26 42 2 35 72 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3 61 114
FARAJA 4 1 5 0 0 0 0 0 0 1 10 15 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 10 15
MIKUNGUNI 16 0 16 0 0 0 0 0 0 2 52 106 1 24 41 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3 76 147
HAMAMNI P. SE SCHOOL 10 0 10 0 0 0 0 0 0 2 16 41 1 3 12 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3 19 53
ELIMU MBADALA 11 1 12 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 21 52 1 13 21 0 0 0 3 34 73
MKUNAZINI 4 0 4 0 0 0 0 0 0 2 30 70 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 30 70
KIJANGWANI 6 0 6 0 0 0 0 0 0 2 5 13 1 5 9 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3 10 22
MIEMBENI EDUCATION 8 2 10 0 0 0 0 0 0 1 30 59 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 30 59
KWAALAMSHA 4 0 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 42 52 2 42 52
LUMUMBA 20 4 24 0 0 0 0 0 0 2 64 94 2 47 77 0 0 0 0 0 0 0 0 0 4 111 171
JUMLA 116 18 134 0 0 0 0 0 0 17 316 621 9 170 316 2 21 52 1 13 21 2 42 52 31 562 1062
UANDIKISHAJI KATIKA VITUO VYA KUJIENDELEZA KWA MWEZI, MACHI - 2016
WALIMU UFUNDI NABE Q - TEST SHERIAFORM IV JUMLAFORM VIYELP
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 154
JADWELI NAM. 36 linaendelea
WILAYA YA MAGH.
BUBUBU 7 3 10 0 0 0 0 0 0 1 20 44 1 10 15 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 30 59
BIASHARA 4 1 5 0 0 0 0 0 0 1 7 13 1 10 15 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 17 28
CCK 10 0 10 0 0 0 0 0 0 1 5 8 1 8 13 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 13 21
FUONI 4 3 7 0 0 0 0 0 0 1 13 38 1 18 39 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 31 77
NYUKI JWTZ 10 2 12 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 34 77 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 34 77
AL RAJU 5 0 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 7 16 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 7 16
JUMLA 40 9 49 0 0 0 0 0 0 4 45 103 7 87 175 0 0 0 0 0 0 0 0 0 11 132 278
WILAYA YA KASK.'A'
JONGOWE 6 0 6 0 0 0 0 0 0 1 4 6 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 4 6
JUMLA 6 0 6 0 0 0 0 0 0 1 4 6 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 4 6
WILAYA YA KASK.'B'
DONGE SEC SCHOOL 7 0 7 0 0 0 0 0 0 1 16 25 1 5 10 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 21 35
BUMBWINI 6 0 6 0 0 0 0 0 0 1 5 8 1 5 10 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 10 18
FUJONI 5 0 5 0 0 0 0 0 0 1 6 10 1 3 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 9 15
JUMLA 18 0 18 0 0 0 0 0 0 3 27 43 3 13 25 0 0 0 0 0 0 0 0 0 6 40 68
WILAYA YA KATI
UMOJA 3 2 5 0 0 0 0 0 0 1 11 16 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 11 16
MGENIHAJI 2 0 2 0 0 0 0 0 0 1 0 20 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 20
MWERA 5 3 8 0 0 0 0 0 0 1 18 58 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 18 58
JUMLA 10 5 15 0 0 0 0 0 0 3 29 94 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3 29 94
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 155
JADWELI NAM. 36 linaendelea
WILAYA YA KUSINI
MAKUNDUCHI 7 0 7 0 0 0 0 0 0 1 5 23 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 5 23
JUMLA 7 0 7 0 0 0 0 0 0 1 5 23 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 5 23
WILAYA YA MICHEWENI
CCK 9 0 9 0 0 0 0 0 0 4 116 184 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 4 116 184
KONDE 5 0 5 0 0 0 0 0 0 2 13 22 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 13 22
KINOWE 8 0 8 0 0 0 0 0 0 2 17 25 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 17 25
WINGWI 5 0 5 0 0 0 0 0 0 1 3 12 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 3 12
JUMLA 27 0 27 0 0 0 0 0 0 9 149 243 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 9 149 243
WILAYA YA WETE
UTAANI 6 4 10 0 0 0 0 0 0 1 12 29 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 12 29
MCHANGAMDOGO 4 1 5 0 0 0 0 0 0 2 28 59 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 28 59
BENJAMIN KONGWE 3 1 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 2 35 0 0 0 1 2 35
JUMLA 13 6 19 0 0 0 0 0 0 3 40 88 0 0 0 0 0 0 1 2 35 0 0 0 4 42 123
WILAYA YA CHAKE
SHAMIANI 6 0 6 0 0 0 0 0 0 1 8 16 1 16 26 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 24 42
FIDEL CASTRO 5 0 5 0 0 0 0 0 0 1 3 8 1 6 11 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 9 19
MADUNGU 4 1 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 6 28 0 0 0 1 6 28
JUMLA 15 1 16 0 0 0 0 0 0 2 11 24 2 22 37 0 0 0 1 6 28 0 0 0 5 39 89
WILAYA YA MKOANI
MTAMBILE 4 0 4 0 0 0 0 0 0 1 5 14 1 7 12 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 12 26
KANGANI 5 0 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 3 12 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 3 12
MWAMBE 7 0 7 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 5 13 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 5 13
JUMLA 16 0 16 0 0 0 0 0 0 1 5 14 3 15 37 0 0 0 0 0 0 0 0 0 4 20 51
JUMLA LA KUU 268 39 307 0 0 0 0 0 0 44 631 1259 24 307 590 2 21 52 3 21 84 2 42 52 75 1022 2037
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 156
JADWELI NAM. 37(a)
IDADI % IDADI %
WILAYA YA MJINI
1 BILAL ISLAMIC 93 0 0.00 41 44.09
2 LUMUMBA 152 0 0.00 54 35.53
3 BEN-BELLA 64 0 0.00 35 54.69
4 HAMAMNI 18 0 0.00 2 11.11
5 K/CHEKUNDU 34 0 0.00 15 44.12
6 MUUNGANO 11 1 9.09 5 45.45
7 MWEMBELADU 42 0 0.00 5 11.90
8 MIKUNGUNI 53 0 0.00 12 22.64
9 HAILE-SELASSIE 44 0 0.00 11 25.00
10 KIPONDA 12 0 0.00 4 33.33
11 KWAMTIPURA 43 0 0.00 22 51.16
12 CHUMBUNI 15 0 0.00 5 33.33
13 JANG'OMBE 29 0 0.00 15 51.72
JUMLA 610 1 0.16 226 37.05
MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA, KIDATO
WALIOFAULU CREDITS
CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR- 2015, WASICHANA TU
NAM. KITUO
WALIOFANYA WOTE WALIOFAULU"3" AU ZAIDI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 157
JADWELI NAM. 37(a) linaendelea
WILAYA YA MAGHARIBI
1 DOLE 3 0 0.00 0 0.00
2 K/SAMAKI 37 0 0.00 25 67.57
3 CHUKWANI 9 0 0.00 6 66.67
4 MTONI 5 0 0.00 1 20.00
5 CHUINI 38 0 0.00 13 34.21
6 ROYAL INTERNATIONAL 18 0 0.00 7 38.89
7 NYUKI 53 0 0.00 20 37.74
8 AL-HARAMAIN 8 0 0.00 6 75.00
9 ZANZIBAR COMMERCIAL 44 0 0.00 28 63.64
10 BUBUBU 43 0 0.00 29 67.44
11 FUONI 45 0 0.00 14 31.11
12 MBARALI 45 0 0.00 21 46.67
13 Z'BAR PROGRESSIVE SEC 23 0 0.00 10 43.48
14 LANGONI 11 0 0.00 4 36.36
15 MWANAKWEREKWE 'C' 46 0 0.00 25 54.35
16 JKU 52 0 0.00 22 42.31
17 DIMANI 13 0 0.00 3 23.08
18 MWANAKWEREKWE 17 0 0.00 6 35.29
19 MTOPEPO 24 0 0.00 8 33.33
20 REGEZA MWENDO 17 0 0.00 5 29.41
21 AL-FALAAH 89 0 0.00 78 87.64
22 MAZIZINI ISLAMIC 29 0 0.00 7 24.14
23 MWENGE SMZ 6 0 0.00 4 66.67
24 KOMBENI 8 0 0.00 2 25.00
25 MBUZINI 4 0 0.00 3 75.00
26 KISAUNI 7 0 0.00 3 42.86
27 SHAA 14 0 0.00 7 50.00
28 KINUNI 2 0 0.00 1 50.00
JUMLA 710 0 0.00 358 50.42
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 158
JADWELI NAM. 37(a) linaendelea
WILAYA YA KASKAZINI 'A'
1 KINYASINI 8 0 0.00 4 50.00
2 PALE 13 0 0.00 6 46.15
3 GAMBA 11 0 0.00 3 27.27
4 MATEMWE - - - - -
5 MKWAJUNI 22 0 0.00 12 54.55
6 TUMBATU 1 0 0.00 1 100.00
7 CHAANI 28 0 0.00 8 28.57
8 POTOA 38 0 0.00 21 55.26
9 FUKUCHANI 2 0 0.00 1 50.00
10 JONGOWE 14 0 0.00 5 35.71
11 KILINDI 4 0 0.00 2 50.00
12 KIDOTI 28 0 0.00 14 50.00
JUMLA 169 0 0.00 77 45.56
WILAYA YA KASKAZINI 'B'
1 DONGE 4 0 0.00 2 50.00
2 MAHONDA 12 0 0.00 4 33.33
3 MFENESINI 28 0 0.00 4 14.29
4 FUJONI 14 0 0.00 8 0.00
5 KITOPE 13 0 0.00 5 38.46
6 MUANDA MPYA 6 0 0.00 4 66.67
7 BUMBWINI 17 0 0.00 11 64.71
8 MAKOBA 2 0 0.00 1 50.00
JUMLA 96 0 0.00 44 45.83
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 159
JADWELI NAM. 37(a) linaendelea
WILAYA YA KATI
1 NDIJANI 19 0 0.00 6 31.58
2 UNGUJA UKUU 9 0 0.00 4 44.44
3 CHWAKA 43 0 0.00 30 69.77
4 JUMBI 6 0 0.00 3 50.00
5 NGAMBWA 4 0 0.00 1 25.00
6 UROA 5 0 0.00 2 40.00
7 DUNGA 24 0 0.00 14 58.33
8 KITUMBA 23 1 4.35 12 52.17
9 KIBELE 18 0 0.00 7 38.89
10 MACHUI 7 0 0.00 5 71.43
11 UBAGO 32 0 0.00 14 43.75
12 UZINI 14 0 0.00 11 78.57
13 MWERA 38 0 0.00 17 44.74
14 BAMBI 9 0 0.00 3 33.33
15 JENDELE 1 0 0.00 1 100.00
16 KIKUNGWI 10 0 0.00 1 10.00
JUMLA 262 1 0.38 131 50.00
WILAYA YA KUSINI
1 KITOGANI 10 1 10.00 10 100.00
2 BWEJUU 10 0 0.00 3 30.00
3 CHARAWE 11 0 0.00 9 81.82
4 MUYUNI 7 0 0.00 4 57.14
5 KUSINI 8 0 0.00 3 37.50
6 MAKUNDUCHI 19 0 0.00 6 31.58
7 PAJE 9 0 0.00 2 22.22
JUMLA 74 1 1.35 37 50.00
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 160
JADWELI NAM. 37(a) linaendelea
WILAYA YA MICHEWENI
1 WINGWI 12 0 0.00 2 16.67
2 TUMBE 6 0 0.00 1 16.67
3 SIZINI 3 0 0.00 1 33.33
4 MICHEWENI 5 0 0.00 2 40.00
5 SHUMBA VYAMBONI 1 0 0.00 1 100.00
6 KINOWE 7 0 0.00 1 14.29
JUMLA 34 0 0.00 8 23.53
WILAYA YA WETE
1 OLE 6 0 0.00 0 0.00
2 UTAANI 12 0 0.00 2 16.67
3 MINUNGWINI 7 0 0.00 5 71.43
4 KANGAGANI 4 0 0.00 1 25.00
5 KOJANI 6 0 0.00 2 33.33
6 WETE EDUCATION 7 0 0.00 2 28.57
7 PANDANI 5 0 0.00 2 40.00
8 GANDO 4 0 0.00 0 0.00
9 MCHANGAMDOGO 51 0 0.00 21 41.18
10 PEMBA ISLAMIC 12 0 0.00 7 58.33
11 UONDWE 9 0 0.00 2 22.22
12 KIUYU 5 0 0.00 0 0.00
13 SHENGEJUU 2 0 0.00 1 50.00
14 MZAMBARAU TAKAO 3 0 0.00 0 0.00
JUMLA 133 0 0.00 45 33.83
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 161
Jadweli 37(b) inaendelea
WILAYA YA CHAKE-CHAKE
2 SHAMIANI 40 0 0.00 14 35.00
3 WESHA 4 0 0.00 2 50.00
4 CHWALE 6 0 0.00 1 16.67
5 WAWI 13 0 0.00 4 30.77
PUJINI 4 0 0.00 1 25.00
FIDEL-CASTRO 38 0 0.00 14 36.84
6 CHANJA MJAWIRI 11 0 0.00 7 63.64
7 NGWACHANI 7 0 0.00 3 42.86
8 PIKI 4 0 0.00 3 75.00
9 PONDEANI 3 1 33.33 1 33.33
10 ZIWANI 6 0 0.00 2 33.33
11 VITONGOJI 9 0 0.00 2 22.22
JUMLA 145 1 0.69 54 37.24
WILAYA YA MKOANI
2 MTAMBILE 16 0 0.00 4 25.00
3 CHAMBANI 2 0 0.00 1 50.00
4 MIZINGANI 1 0 0.00 0 0.00
5 CHOKOCHO 5 0 0.00 1 20.00
6 KANGANI - - - - -
7 UWELENI 9 0 0.00 4 44.44
8 MAKOMBENI - - - - -
9 MKANYAGENI 19 0 0.00 4 21.05
10 WAMBAA 9 0 0.00 5 55.56
11 MWAMBE 9 0 0.00 3 33.33
0 KENGEJA 3 0 0.00 2 66.67
KISIWA PANZA 1 0 0.00 0 0.00
JUMLA 74 0 0.00 24 32.43
JUMLA KUU 2307 4 0.17 1004 43.52
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 162
JADWELI NAM. 37(b)
IDADI % IDADI %
WILAYA YA MJINI
1 BILAL ISLAMIC 64 0 0.00 26 40.63
2 LUMUMBA 143 2 1.40 65 45.45
3 BEN-BELLA 18 0 0.00 10 55.56
4 HAMAMNI 24 0 0.00 9 37.50
5 K/CHEKUNDU 40 0 0.00 20 50.00
6 MUUNGANO 3 0 0.00 3 100.00
7 MWEMBELADU 59 0 0.00 11 18.64
8 MIKUNGUNI 68 0 0.00 21 30.88
9 HAILE-SELASSIE 42 1 2.38 9 21.43
10 KIPONDA 16 0 0.00 10 62.50
11 KWAMTIPURA 27 0 0.00 16 59.26
12 CHUMBUNI 12 0 0.00 6 50.00
13 JANG'OMBE 29 0 0.00 11 37.93
JUMLA 545 3 0.55 217 39.82
NAM. KITUO
MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA, KIDATO
CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR- 2015, WAVULANA TU
WALIOFAULU CREDITS
"3" AU ZAIDIWALIOFANYA WOTE WALIOFAULU
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 163
JADWELI NAM. 37(b) linaendelea
WILAYA YA MAGHARIBI
1 DOLE 3 0 0.00 0 0.00
2 K/SAMAKI 33 0 0.00 23 69.70
3 CHUKWANI 14 0 0.00 10 71.43
4 MTONI 4 0 0.00 0 0.00
5 CHUINI 28 0 0.00 18 64.29
6 ROYAL INTERNATIONAL 15 0 0.00 6 40.00
7 NYUKI 53 0 0.00 23 43.40
8 AL-HARAMAIN 19 0 0.00 11 57.89
9 ZANZIBAR COMMERCIAL 55 0 0.00 19 34.55
10 BUBUBU 33 0 0.00 17 51.52
11 FUONI 30 0 0.00 10 33.33
12 MBARALI 37 0 0.00 22 59.46
13 Z'BAR PROGRESSIVE SEC 10 0 0.00 6 60.00
14 LANGONI 10 0 0.00 6 60.00
15 MWANAKWEREKWE 'C' 64 1 1.56 38 59.38
16 JKU 44 0 0.00 21 47.73
17 DIMANI 5 0 0.00 2 40.00
18 MWANAKWEREKWE 16 0 0.00 9 56.25
19 MTOPEPO 26 0 0.00 17 65.38
20 REGEZA MWENDO 10 0 0.00 3 30.00
AL-FALAAH 74 2 2.70 38 51.35
MAZIZINI ISLAMIC 20 0 0.00 10 50.00
MWENGE SMZ 5 0 0.00 1 20.00
KOMBENI 14 0 0.00 6 42.86
MBUZINI - - - - -
KISAUNI 2 0 0.00 1 50.00
SHAA 18 0 0.00 6 33.33
KINUNI 3 0 0.00 1 33.33
JUMLA 645 3 0.47 327 50.70
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 164
JADWELI NAM. 37(b) linaendelea
WILAYA YA KASKAZINI 'A'
1 KINYASINI 20 0 0.00 5 25.00
2 PALE 14 0 0.00 5 35.71
3 GAMBA - - - - -
4 MATEMWE 4 0 0.00 2 50.00
5 MKWAJUNI 15 0 0.00 10 66.67
6 TUMBATU 9 0 0.00 3 33.33
7 CHAANI 19 0 0.00 5 26.32
8 POTOA 25 0 0.00 15 60.00
9 FUKUCHANI 3 0 0.00 1 33.33
10 JONGOWE 7 0 0.00 2 28.57
11 KILINDI 5 0 0.00 0 0.00
12 KIDOTI 9 0 0.00 3 33.33
JUMLA 130 0 0.00 51 39.23
WILAYA YA KASKAZINI 'B'
1 DONGE 3 0 0.00 1 33.33
2 MAHONDA 11 0 0.00 6 54.55
3 MFENESINI 11 0 0.00 8 72.73
4 FUJONI 13 0 0.00 8 0.00
5 KITOPE 7 0 0.00 4 57.14
6 MUANDA MPYA 1 0 0.00 0 0.00
7 BUMBWINI 12 0 0.00 8 66.67
8 MAKOBA 3 0 0.00 1 33.33
JUMLA 61 0 0.00 36 59.02
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 165
JADWELI NAM. 37(b) linaendelea
WILAYA YA KATI
1 NDIJANI 14 1 7.14 8 57.14
2 UNGUJA UKUU 11 0 0.00 3 27.27
3 CHWAKA 27 0 0.00 18 66.67
4 JUMBI 7 0 0.00 1 14.29
5 NGAMBWA 8 0 0.00 6 75.00
6 UROA 1 0 0.00 1 100.00
7 DUNGA 21 0 0.00 10 47.62
8 KITUMBA 11 0 0.00 8 72.73
9 KIBELE 19 0 0.00 6 31.58
10 MACHUI 16 1 6.25 10 62.50
11 UBAGO 32 0 0.00 13 40.63
12 UZINI 9 0 0.00 3 33.33
13 MWERA 17 0 0.00 5 29.41
BAMBI 4 0 0.00 0 0.00
JENDELE 4 0 0.00 2 50.00
KIKUNGWI 14 0 0.00 5 35.71
JUMLA 215 2 0.93 99 46.05
WILAYA YA KUSINI
1 KITOGANI 11 0 0.00 8 72.73
2 BWEJUU 6 0 0.00 3 50.00
3 CHARAWE 5 0 0.00 5 100.00
4 MUYUNI 3 0 0.00 2 66.67
5 KUSINI 12 0 0.00 6 50.00
6 MAKUNDUCHI 27 0 0.00 9 33.33
7 PAJE 4 0 0.00 2 50.00
JUMLA 68 0 0.00 35 51.47
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 166
JADWELI NAM. 37(b) linaendelea
WILAYA YA MICHEWENI
1 WINGWI 23 0 0.00 5 21.74
2 TUMBE 11 0 0.00 0 0.00
3 SIZINI 8 0 0.00 3 37.50
4 MICHEWENI 15 0 0.00 3 20.00
5 SHUMBA VYAMBONI 1 0 0.00 1 100.00
6 KINOWE 9 0 0.00 1 11.11
JUMLA 67 0 0.00 13 19.40
WILAYA YA WETE
1 OLE 2 0 0.00 0 0.00
2 UTAANI 6 0 0.00 0 0.00
3 MINUNGWINI 13 0 0.00 6 46.15
4 KANGAGANI 4 0 0.00 2 50.00
5 KOJANI 4 0 0.00 2 50.00
6 WETE EDUCATION 5 0 0.00 4 80.00
7 PANDANI 8 0 0.00 4 50.00
8 GANDO 6 0 0.00 3 50.00
9 MCHANGAMDOGO 41 0 0.00 21 51.22
10 PEMBA ISLAMIC 7 0 0.00 3 42.86
11 UONDWE 10 0 0.00 1 10.00
12 KIUYU 11 0 0.00 1 9.09
13 SHENGEJUU 3 0 0.00 3 100.00
14 MZAMBARAU TAKAO 7 1 14.29 4 57.14
JUMLA 127 1 0.79 54 42.52
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 167
JADWELI NAM. 37(b) linaendelea
WILAYA YA CHAKE-CHAKE
1 SHAMIANI 25 0 0.00 13 52.00
2 WESHA 8 0 0.00 5 62.50
3 CHWALE 5 0 0.00 3 60.00
4 WAWI 25 0 0.00 13 52.00
5 PUJINI 7 0 0.00 5 71.43
6 FIDEL-CASTRO 34 0 0.00 16 47.06
7 CHANJA MJAWIRI 1 0 0.00 0 0.00
8 NGWACHANI 3 0 0.00 2 66.67
9 PIKI 6 0 0.00 2 33.33
10 PONDEANI 4 0 0.00 3 75.00
11 ZIWANI 5 0 0.00 2 40.00
12 VITONGOJI 10 0 0.00 2 20.00
JUMLA 133 0 0.00 64 48.12
WILAYA YA MKOANI
1 MTAMBILE 12 0 0.00 2 16.67
2 CHAMBANI 4 0 0.00 2 50.00
3 MIZINGANI - - - - -
4 CHOKOCHO 2 0 0.00 0 0.00
5 KANGANI 8 0 0.00 4 50.00
6 UWELENI 12 0 0.00 3 25.00
7 MAKOMBENI 1 0 0.00 1 100.00
8 MKANYAGENI 8 0 0.00 2 0.00
9 WAMBAA 14 0 0.00 8 57.14
10 MWAMBE 22 0 0.00 16 72.73
11 KENGEJA 2 0 0.00 1 50.00
12 KISIWA PANZA - - - - -
JUMLA 89 0 0.00 40 44.94
JUMLA KUU 2080 9 0.43 936 45.00
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 168
JADWELI NAM. 37(c)
IDADI % IDADI %
WILAYA YA MJINI
1 BILAL ISLAMIC 157 0 0.00 67 42.7
2 LUMUMBA 295 2 0.68 119 40.3
3 BEN-BELLA 82 0 0.00 45 54.9
4 HAMAMNI 42 0 0.00 11 26.2
5 K/CHEKUNDU 74 0 0.00 35 47.3
6 MUUNGANO 14 1 7.14 8 57.1
7 MWEMBELADU 101 0 0.00 16 15.8
8 MIKUNGUNI 121 0 0.00 33 27.3
9 HAILE-SELASSIE 86 1 1.16 20 23.3
10 KIPONDA 28 0 0.00 14 50.0
11 KWAMTIPURA 70 0 0.00 38 54.3
12 CHUMBUNI 27 0 0.00 11 40.7
13 JANG'OMBE 58 0 0.00 26 44.8
JUMLA 1155 4 0.35 443 38.4
NAM.
WALIOFANYA
MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA, KIDATO
CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR- 2014, JUMLA WASICHANA NA WAVULANA
KITUO
WALIOFAULU CREDITS
"3" AU ZAIDI WOTE WALIOFAULU
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 169
JADWELI NAM. 37 (c) linaendelea
WILAYA YA MAGHARIBI
1 DOLE 6 0 0.00 0 0.0
2 K/SAMAKI 70 0 0.00 48 68.6
3 CHUKWANI 23 0 0.00 16 69.6
4 MTONI 9 0 0.00 4 44.4
5 CHUINI 66 0 0.00 31 47.0
6 ROYAL INTERNATIONAL 33 0 0.00 13 39.4
7 NYUKI 106 0 0.00 43 40.6
8 AL-HARAMAIN 27 0 0.00 17 63.0
9 ZANZIBAR COMMERCIAL 99 0 0.00 47 47.5
10 BUBUBU 76 0 0.00 46 60.5
11 FUONI 75 0 0.00 24 32.0
12 MBARALI 82 0 0.00 43 52.4
13 Z'BAR PROGRESSIVE SEC 33 0 0.00 16 48.5
14 LANGONI 21 0 0.00 10 47.6
15 MWANAKWEREKWE 'C' 110 1 0.91 63 57.3
16 JKU 96 0 0.00 43 44.8
17 DIMANI 18 0 0.00 5 27.8
18 MWANAKWEREKWE 33 0 0.00 15 45.5
19 MTOPEPO 50 0 0.00 25 50.0
20 REGEZA MWENDO 27 0 0.00 8 29.6
21 AL-FALAAH 163 2 1.23 116 71.2
22 MAZIZINI ISLAMIC 49 0 0.00 17 34.7
23 MWENGE SMZ 11 0 0.00 5 45.5
24 KOMBENI 22 0 0.00 8 36.4
25 MBUZINI 4 0 0.00 3 75.0
26 KISAUNI 9 0 0.00 4 44.4
27 SHAA 32 0 0.00 13 40.6
28 KINUNI 5 0 0.00 2 40.0
JUMLA 1355 3 0.22 685 50.6
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 170
JADWELI NAM. 37 (c) linaendelea
WILAYA YA KASKAZINI 'A'
1 KINYASINI 28 0 0 9 32.1
2 PALE 27 0 0 11 40.7
3 GAMBA 11 0 0 3 27.3
4 MATEMWE 4 0 0 2 50.0
5 MKWAJUNI 37 0 0 22 59.5
6 TUMBATU 10 0 0 4 40.0
7 CHAANI 47 0 0 13 27.7
8 POTOA 63 0 0 36 57.1
9 FUKUCHANI 5 0 0 2 40.0
10 JONGOWE 21 0 0 7 33.3
11 KILINDI 9 0 0 2 22.2
12 KIDOTI 37 0 0 17 45.9
JUMLA 299 0 0.00 128 42.8
WILAYA YA KASKAZINI 'B'
1 DONGE 7 0 0 3 42.9
2 MAHONDA 23 0 0 10 43.5
3 MFENESINI 39 0 0 17 43.6
4 FUJONI 27 0 0 16 59.3
5 KITOPE 20 0 0 9 45.0
6 MUANDA MPYA 7 0 0 4 57.1
7 BUMBWINI 29 0 0 19 65.5
8 MAKOBA 5 0 0 2 40.0
JUMLA 157 0 0.00 80 51.0
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 171
JADWELI NAM. 37 (c) linaendelea
WILAYA YA KATI
1 NDIJANI 33 1 3.03 14 42.4
2 UNGUJA UKUU 20 0 0.00 7 35.0
3 CHWAKA 70 0 0.00 48 68.6
4 JUMBI 13 0 0.00 4 30.8
5 NGAMBWA 12 0 0.00 7 58.3
6 UROA 6 0 0.00 3 50.0
7 DUNGA 45 0 0.00 24 53.3
8 KITUMBA 34 1 2.94 20 58.8
9 KIBELE 37 0 0.00 13 35.1
10 MACHUI 23 1 4.35 15 65.2
11 UBAGO 64 0 0.00 27 42.2
12 UZINI 23 0 0.00 14 60.9
13 MWERA 55 0 0.00 22 40.0
14 BAMBI 13 0 0.00 3 23.1
15 JENDELE 5 0 0.00 3 60.0
16 KIKUNGWI 24 0 0.00 6 25.0
JUMLA 477 3 0.63 230 48.2
WILAYA YA KUSINI
1 KITOGANI 21 1 4.76 18 85.7
2 BWEJUU 16 0 0.00 6 37.5
3 CHARAWE 16 0 0.00 14 87.5
4 MUYUNI 10 0 0.00 6 60.0
5 KUSINI 20 0 0.00 9 45.0
6 MAKUNDUCHI 46 0 0.00 15 32.6
7 PAJE 13 0 0.00 4 30.8
JUMLA 142 1 0.70 72 50.7
WILAYA YA MICHEWENI
1 WINGWI 35 0 0.00 7 20.0
2 TUMBE 17 0 0.00 1 5.9
3 SIZINI 11 0 0.00 4 36.4
4 MICHEWENI 20 0 0.00 5 25.0
5 SHUMBA VYAMBONI 2 0 0.00 2 100.0
6 KINOWE 16 0 0.00 2 12.5
JUMLA 101 0 0.00 21 20.8
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 172
JADWELI NAM. 37 (c) linaendelea
WILAYA YA WETE
1 OLE 8 0 0.00 0 0.0
2 UTAANI 18 0 0.00 2 11.1
3 MINUNGWINI 20 0 0.00 11 55.0
4 KANGAGANI 8 0 0.00 3 37.5
5 KOJANI 10 0 0.00 4 40.0
6 WETE EDUCATION 12 0 0.00 6 50.0
7 PANDANI 13 0 0.00 6 46.2
8 GANDO 10 0 0.00 3 30.0
9 MCHANGAMDOGO 92 0 0.00 42 45.7
10 PEMBA ISLAMIC 19 0 0.00 10 52.6
11 UONDWE 19 0 0.00 3 15.8
12 KIUYU 16 0 0.00 1 6.3
13 SHENGEJUU 5 0 0.00 4 80.0
14 MZAMBARAU TAKAO 10 1 10.00 4 40.0
JUMLA 260 1 0.38 99 38.1
WILAYA YA CHAKE-CHAKE
1 SHAMIANI 65 0 0.00 27 41.5
2 WESHA 12 0 0.00 7 58.3
3 CHWALE 11 0 0.00 4 36.4
4 WAWI 38 0 0.00 17 44.7
5 PUJINI 11 0 0.00 6 54.5
6 FIDEL-CASTRO 72 0 0.00 30 41.7
7 CHANJA MJAWIRI 12 0 0.00 7 58.3
8 NGWACHANI 10 0 0.00 5 50.0
9 PIKI 10 0 0.00 5 50.0
10 PONDEANI 7 1 0.00 4 57.1
11 ZIWANI 11 0 0.00 2 18.2
12 VITONGOJI 19 0 0.00 4 21.1
JUMLA 278 1 0.36 118 42.4
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 173
JADWELI NAM. 37 (c) linaendelea
WILAYA YA MKOANI
1 MTAMBILE 28 0 0.00 6 21.4
2 CHAMBANI 6 0 0.00 3 50.0
3 MIZINGANI 1 0 0.00 0 0.0
4 CHOKOCHO 7 0 0.00 1 14.3
5 KANGANI 8 0 0.00 4 50.0
6 UWELENI 21 0 0.00 7 33.3
7 MAKOMBENI 1 0 0.00 1 100.0
8 MKANYAGENI 27 0 0.00 6 22.2
9 WAMBAA 23 0 0.00 13 56.5
10 MWAMBE 31 0 0.00 19 61.3
11 MAKOMBENI 4 0 0.00 1 25.0
12 KENGEJA 5 0 0.00 3 60.0
13 KISIWA PANZA 1 0 0.00 0 0.0
JUMLA 163 0 0.00 64 39.3
JUMLA KUU 4387 13 0.30 1940 44.2
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 174
JADWELI NAM. 38(a)
IDADI % IDADI %
Lumumba 10 3 30.00 6 60.00
Haile Sellasie 4 1 25.00 3 75.00
Ben - Bella 12 8 66.67 11 91.67
Mkwajuni 1 0 0.00 1 100.00
Kiponda 1 1 100.00 1 100.00
Zanzibar Commercial 1 0 0.00 0 0.00
Kiembe samaki 5 0 0.00 3 60.00
Mwanakwerekwe C 5 0 0.00 2 40.00
Utaani 1 0 0.00 0 0.00
Pemba Islamic 0 0 0.00 0 0.00
Fidel Castro 3 1 33.33 2 66.67
Mchangamdogo 4 1 25.00 1 25.00
Shamiani 4 3 75.00 4 100.00
Jumla 51 18 35.29 34 66.67
MATOKEO YA MTIHANI KWA WANAFUNZI WA FARAGHA KIDATO
CHA 6 VITUO VYA ZANZIBAR - 2014/2015 - WASICHANA TU
WATAHINIWAKITUO
WALIOFAULU
P2 + S1 AU ZAIDI
WOTE
WALIOFAULU
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 175
JADWELI NAM. 38(b)
IDADI % IDADI %
Lumumba 46 12 26.09 25 54.35
Haile Sellasie 2 0 0.00 2 100.00
Ben - Bella 7 2 28.57 6 85.71
Mkwajuni 7 2 28.57 6 85.71
Kiponda 12 8 66.67 12 100.00
Zanzibar Commercial 4 2 50.00 2 50.00
Kiembe samaki 16 6 37.50 8 50.00
Mwanakwerekwe C 19 10 52.63 19 100.00
Utaani 1 0 0.00 1 100.00
Pemba Islamic 2 1 50.00 2 100.00
Fidel Castro 5 1 20.00 1 20.00
Mchangamdogo 7 1 14.29 6 85.71
Shamiani 10 4 40.00 9 90.00
Jumla 138 49 35.51 99 71.74
MATOKEO YA MTIHANI KWA WANAFUNZI WA FARAGHA KIDATO
CHA 6 VITUO VYA ZANZIBAR - 2014/2015 - WAVULANA TU
KITUO WATAHINIWA
WALIOFAULU WOTE
P2 + S1 AU ZAIDI WALIOFAULU
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 176
JADWELI NAM. 38(c)
IDADI % IDADI %
Lumumba 56 15 26.79 31 55.36
Haile Sellasie 6 1 16.67 5 83.33
Ben - Bella 19 10 52.63 17 89.47
Mkwajuni 8 2 25.00 7 87.50
Kiponda 13 9 69.23 13 100.00
Zanzibar Commercial 5 2 40.00 2 40.00
Kiembe samaki 21 6 28.57 11 52.38
Mwanakwerekwe C 24 10 41.67 21 87.50
Utaani 2 0 0.00 1 50.00
Pemba Islamic 2 1 50.00 2 100.00
Fidel Castro 8 2 25.00 3 37.50
Mchangamdogo 11 2 18.18 7 63.64
Shamiani 14 7 50.00 13 92.86
Jumla 189 67 35.45 133 70.37
MATOKEO YA MTIHANI KWA WANAFUNZI WA FARAGHA KIDATO
CHA 6 VITUO VYA ZANZIBAR - 2014/2015 - WAVULANA NA WASICHANA
KITUO WATAHINIWA
WALIOFAULU
P2 + S1 AU ZAIDI
WOTE
WALIOFAULU
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 177
JADWELI NAM. 39a
WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA
CHUMBUNI 0 0 0 0 0 2 5 20 0 3 0 0 5 25
SHAURIMOYO 0 0 0 1 0 0 0 0 0 1 0 0 0 2
M/SHAURI 0 0 0 0 1 4 2 5 1 5 0 0 4 14
MUUNGANO 0 0 0 0 0 1 0 0 0 2 0 0 0 3
NYERERE 0 0 3 6 2 3 0 0 0 0 0 0 5 9
K/CHEKUNDU 0 0 0 1 4 13 0 0 0 0 0 0 4 14
DARAJANI 0 0 0 0 0 1 1 2 0 0 0 0 1 3
KILIMAHEWA 0 0 0 0 1 5 2 3 0 0 0 0 3 8
FUONI 0 0 0 0 0 5 4 7 0 0 0 0 4 12
MTOPEPO 'B' 0 0 0 0 5 11 8 18 0 0 0 0 13 29
MFENESINI 0 0 0 0 2 5 0 0 0 4 0 0 2 9
M/KWEREKWE 'B' 0 0 0 0 2 5 5 9 0 0 0 0 7 14
KINDUNI 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 6 15 6 15
KINYASINI 0 0 0 0 0 6 0 8 0 10 0 0 0 24
GAMBA 0 0 0 0 0 4 0 2 0 3 0 0 0 9
MKWAJUNI 0 0 0 0 0 0 0 2 0 8 0 2 0 12
KIBENI 0 0 0 0 0 8 0 9 0 2 0 0 0 19
NDIJANI 0 0 0 0 4 6 5 12 5 10 0 0 14 28
UZINI 0 0 0 0 4 9 3 10 4 5 0 0 11 24
JUMLA 0 0 3 8 25 88 35 107 10 53 6 17 68 249
KITUO
IDADI YA WANAFUNZI WALIOFAULU ELIMU MBADALA NA
KUJIUNGA KATIKA MADARASA YA KAWAIDA, UNGUJA - 2015
FORM JUMLAVIII III IV V
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 178
JADWELI NAM. 39b
WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA
GOMBANI 0 0 12 18 0 0 12 18 0 0 0 0 24 36
MTONI 3 8 2 5 0 0 0 0 0 0 0 0 5 13
SHU/MJINI 0 0 1 4 0 0 1 3 0 0 0 0 2 7
PUJINI 0 0 4 4 1 7 10 14 0 0 0 0 15 25
NGOMBENI 0 0 0 0 0 4 2 2 2 6 0 0 4 12
KENGEJA 4 14 3 13 3 4 0 1 0 1 0 0 10 33
JUMLA 7 22 22 44 4 15 25 38 2 7 0 0 60 126
IDADI YA WANAFUNZI WALIOFAULU ELIMU MBADALA NA
KUJIUNGA KATIKA MADARASA YA KAWAIDA, PEMBA - 2015
FORM JUMLA
KITUO
II III IV V VI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 179
MME MKE MME MKE MME MKE MME MKE MME MKE MME MKE MME MKE MME MKE MME MKE
1Useremala 1 0 4 0 3 0 0 0 0 0 0 0 6 0 5 0 2 0
2Ushoni 1 8 1 3 0 4 3 11 0 6 0 7 0 16 0 11 0 9
3Uchoraji/Uandishi 0 0 0 2 0 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
4Mafriji 6 0 7 0 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
5Electronic 1 0 7 0 6 1 0 0 0 0 0 0 12 0 4 3 0 0
6Uwashi 0 0 1 0 1 1 17 2 12 0 10 0 0 0 0 0 0 0
7Ufundi bomba 7 0 8 1 4 1 7 18 15 2 15 3 0 0 0 0 0 0
8Magari 6 0 6 0 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
9Uhunzi 2 0 0 0 1 0 7 0 3 0 6 0 0 0 0 0 0 0
10Upishi 5 4 3 1 1 1 8 8 3 0 1 0 0 0 0 0 0 0
11Umeme 0 0 0 0 0 0 23 3 19 2 13 2 0 0 0 0 0 0
12Teknolojia
mawasiliano
0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3 4 5 7 1 1
13Huduma za mahoteli 0 0 4 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
14Ufundi magari 13 0 3 0 8 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
JUMLA 29 12 41 11 24 11 65 42 52 10 45 12 21 20 14 21 3 10
MWAKA III
MWANAKWEREKWE
JADWELI NAM. 40(a)
MKOKOTONI
MWAKA I MWAKA II MWAKA III
IDADI YA WANAFUNZI KATIKA VITUO VYA AMALI, MACHI - 2016
Nam FANI
MWAKA I MWAKA II MWAKA III
VITONGOJI
MWAKA I MWAKA II
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 180
IDADI YA JUMLA YA
VITUO WANAKISOMO
Mjini Sayansi Kimu 6 227 244
Magharibi Sayansi Kimu 7 276 276
Sayansi Kimu 7 138 138
Uchongaji 2 0 40
Kaskazini 'B' Sayansi Kimu 6 127 127
Kati Sayansi Kimu 8 130 130
Kusini Sayansi Kimu 5 110 110
Sayansi Kimu 6 126 126
Kilimo 2 40 40
Sayansi Kimu 2 46 46
Kilimo 2 24 32
Sayansi Kimu 2 36 40
Kilimo 2 44 50
Sayansi Kimu 1 17 17
Kilimo 2 40 44
Uhunzi 1 0 7
61 1381 1467
Chake-Chake
Mkoani
JUMLA
JADWELI NAM. 40(b)
Kaskazini 'A'
Wete
WANAWAKE
VITUO VYA KAZI ZA AMALI, 2015
WILAYA AINA YA KITUO
Micheweni
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 181
JADWELI 41a
WME WKE WME WKE WME WKE WME WKE
USEREMALA 1 0 4 0 3 0 8 0 8
ELECTRONIC 2 0 5 0 3 1 10 1 11
UASHI 1 0 1 0 1 1 3 1 4
UFUNDI BOMBA 8 0 7 0 3 1 18 1 19
UCHORAJI 0 0 0 2 0 3 0 5 5
USHONI 0 8 4 1 1 4 5 13 18
WELDING 4 0 0 0 1 0 5 0 5
MAFRIJI 6 0 7 0 4 0 17 0 17
MAGARI 6 0 8 0 3 0 17 0 17
MAPISHI 5 3 2 1 2 1 9 5 14
HUDUMA ZA VINYWAJI
NA MAHOTELI 0 0 2 2 0 0 2 2 4
USEREMALA 8 0 3 0 5 0 16 0 16
ELECTRONIC 5 0 3 0 6 0 14 0 14
ICT 5 7 1 1 6 1 12 9 21
USHONI 2 14 1 11 1 9 4 34 38
ELECTRICAL
INSTALATION
20 2 13 3 16 5 49 10 59
FOOD PRODUCTION 4 2 1 0 4 1 9 3 12
UASHI 13 0 14 0 9 0 36 0 36
UFUNDI BOMBA 18 4 16 3 17 1 51 8 59
USHONI 1 11 0 6 1 9 2 26 28
WELDING 5 6 6 0 5 0 16 6 22
FOOD PRODUCTION 0 0 0 14 0 0 0 14 14
USHONI 0 0 1 19 0 0 1 19 20
ELECTRICAL
INSTALATION
6 0 0 0 0 0 6 0 6
UASHI 6 0 0 0 0 0 6 0 6
UPENDO - VTC USHONI 0 11 0 15 0 0 0 26 26
126 68 99 78 91 37 316 183 499Jumla
JUMLA
KUULEVEL: II LEVEL: III
WALIOFANYA MITIHANI TA VETA (CBET), 2015
FORODHANI -
VTC
DODEANI - VTC
KITUO FANI
MKOKOTONI -
VTC
M/KWEREKWE -
VTC
VITONGOJI -
VTC
NGAZIJUMLA
LEVEL: I
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 182
JADWELI 41(b)
TOTAL
M F M F M F M F M
Ufundi wa Magari 0 13 0 3 0 8 0 24 24
Majokufu na vipoza hewa 0 10 0 5 0 8 0 23 23
Ushoni 28 1 6 0 3 1 37 2 39
Uchoraji na Mapambo 9 0 0 0 1 0 10 0 10
Welding 0 3 0 4 0 0 0 7 7
Useremala 0 3 0 0 0 0 0 3 3
Upishi 7 3 1 3 1 1 9 7 16
Huduma za chakula 0 0 0 0 1 2 1 2 3
Uashi 0 3 0 0 0 1 0 4 4
Electronics 0 0 0 1 0 3 0 4 4
Umeme wa magari 0 9 0 0 0 0 0 9 9
Ufundi bomba 1 6 0 8 0 5 1 19 20
TOTAL 44 36 7 16 6 24 57 76 133
Umeme 3 23 2 19 2 13 7 55 62
Ushoni 11 3 6 0 7 0 24 3 27
Ufundi bomba 18 7 2 15 3 15 23 37 60
upishi 8 8 1 1 0 1 9 10 19
Uashi 2 17 0 12 0 10 2 39 41
Welding 0 7 0 3 0 6 0 16 16
TOTAL 42 65 11 50 12 45 65 160 225
Ushoni 16 0 11 0 9 0 36 0 36
Electronics 0 12 0 4 0 3 0 19 19
ICT 4 3 7 5 1 1 12 9 21
Useremala 0 6 0 5 0 2 0 13 13
Total 20 21 18 14 10 6 48 41 89
MK
OK
OTO
NI
VIT
ON
GO
JIM
/KW
EREK
WE
WALIOJIUNGA NA VYUO VYA MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI 2016 -2017
KIT
UO
OCCUPATIONLEVEL I LEVEL II LEVEL III TOTAL
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 183
JADWELI NAM. 42
Mjini 4 67 71 20 17 37 0 11 11 18 1 19 42 96 138
Magharibi 1 144 145 39 0 39 5 41 46 22 6 28 67 191 258
Kaskazini 'A' 5 10 15 17 1 18 13 0 13 13 0 13 48 11 59
Kaskazini 'B' 1 10 11 10 3 13 10 1 11 7 0 7 28 14 42
Kati 4 8 12 17 1 18 18 1 19 11 0 11 50 10 60
Kusini 4 6 10 13 1 14 3 1 4 9 0 9 29 8 37
Micheweni 5 8 13 16 1 17 3 0 3 9 1 10 33 10 43
Wete 2 15 17 24 0 24 10 1 11 16 0 16 52 16 68
Chake-Chake 2 14 16 25 2 27 2 4 6 17 6 23 46 26 72
Mkoani 2 11 13 30 2 32 2 0 2 19 0 19 53 13 66
Jumla 30 293 323 211 28 239 66 60 126 141 14 155 448 395 843
SEKONDARI TU
SERIKALI BINAFSI JUMLAJUMLA BINAFSIJUMLA
IDADI YA SKULI ZA MAANDALIZI, MSINGI NA KATI
NA SEKONDARI ZILIZOSAJILIWA KIWILAYA, MACHI - 2016
MAANDALIZI MSINGI TU MSINGI NA KATI JUMLA
WILAYA SERIKALIBINAFSISERIKALI JUMLABINAFSI SERIKALI SERIKALIBINAFSI JUMLA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 184
JADWELI NAM. 43(a)
W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA
Mjini 15 16 608 654 17 22 15 24 449 562 330 577 1434 1855
Magharibi 20 25 811 923 43 48 0 0 632 767 488 737 1994 2500
Kaskazini 'A' 5 14 239 379 6 8 0 2 138 298 90 242 478 943
Kaskazini 'B' 3 3 210 287 2 5 0 0 122 207 50 125 387 627
Kati 2 2 196 325 6 10 0 1 157 295 97 232 458 865
Kusini 0 0 93 173 4 5 0 1 52 102 15 67 164 348
Micheweni 5 16 59 122 0 10 1 1 51 126 18 136 134 411
Wete 5 19 198 313 1 4 0 0 141 264 76 218 421 818
Chake-Chake 13 15 250 330 2 9 2 3 145 222 78 177 490 756
Mkoani 10 28 172 292 2 8 0 0 112 248 44 158 340 734
Jumla 78 138 2836 3798 83 129 18 32 1999 3091 1286 2669 6300 9857
IDADI NA AINA MBALI MBALI ZA WALIMU WA MSINGI NA
SEKONDARI ( DAR. I - KID. 6 ) WALIOSOMEA KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA
KATIKA SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2016
DIGRII NA ZAIDI JUMLAKID. 6 DIPLOMAFTC
WILAYA
CHINI YA KID 4 KID. 4
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 185
JADWELI NAM. 43b)
W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA
Mjini 0 0 2 5 4 4 0 3 0 3 3 4 9 19
Magharibi 2 2 7 8 4 4 1 2 0 0 1 8 15 24
Kaskazini 'A' 1 1 4 6 2 4 0 0 0 5 0 0 7 16
Kaskazini 'B' 0 0 0 1 1 3 0 0 0 1 0 0 1 5
Kati 0 0 0 1 0 1 0 2 0 0 0 0 0 4
Kusini 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0
Micheweni 1 2 0 0 1 4 0 1 0 0 0 0 2 7
Wete 1 1 1 1 0 3 1 1 0 0 0 0 3 6
Chake-Chake 0 3 0 0 0 3 0 0 0 0 0 0 0 6
Mkoani 0 2 1 2 0 1 0 1 0 0 0 0 1 6
Jumla 5 11 15 24 12 27 2 10 0 9 4 12 38 93
IDADI NA AINA MBALI MBALI ZA WALIMU WA MSINGI NA
SEKONDARI ( DAR. I - KID. 6 ) WASIOSOMEA KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA
KATIKA SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2016
CHINI YA KID 4 KID. 4 FTC DIPLOMA DIGRII NA ZAIDIKID.6 JUMLA
WILAYA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 186
JADWELI NAM. 43(c)
W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J"LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA
Mjini 15 16 610 659 21 26 15 27 449 565 333 581 1443 1874
Magharibi 22 27 818 931 47 52 1 2 632 767 489 745 2009 2524
Kaskazini 'A' 6 15 243 385 8 12 0 2 138 303 90 242 485 959
Kaskazini 'B' 3 3 210 288 3 8 0 0 122 208 50 125 388 632
Kati 2 2 196 326 6 11 0 3 157 295 97 232 458 869
Kusini 0 0 93 173 4 5 0 1 52 102 15 67 164 348
Micheweni 6 18 59 122 1 14 1 2 51 126 18 136 136 418
Wete 6 20 199 314 1 7 1 1 141 264 76 218 424 824
Chake-Chake 13 18 250 330 2 12 2 3 145 222 78 177 490 762
Mkoani 10 30 173 294 2 9 0 1 112 248 44 158 341 740
Jumla 83 149 2851 3822 95 156 20 42 1999 3100 1290 2681 6338 9950
KID. 4 KID. 6
IDADI NA AINA MBALI MBALI ZA WALIMU WOTE WA MSINGI NA
SEKONDARI, ( DARASA 1 - KIDATO 6 ) WASIOSOMEA NA WALIOSOMEA KWA
UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2016
JUMLAFTC DIPLOMA
WILAYA
DIGRII NA ZAIDICHINI YA KID.4
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 187
JADWELI NAM. 43d)
W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA
Mjini 100 100 100 99 81 85 100 89 100 99 99 99 99 99
Magharibi 91 93 99 99 91 92 0 0 100 100 100 99 99 99
Kaskazini 'A' 83 93 98 98 75 67 0 100 100 98 100 100 99 98
Kaskazini 'B' 100 100 100 100 67 63 0 0 100 100 100 100 100 99
Kati 100 100 100 100 100 91 0 33 100 100 100 100 100 100
Kusini 0 0 100 100 0 100 0 100 100 100 100 100 100 100
Micheweni 83 89 100 100 0 71 100 50 100 100 100 100 99 98
Wete 83 95 99 100 100 57 0 0 100 100 100 100 99 99
Chake-Chake 100 83 100 100 100 75 100 100 100 100 100 100 100 99
Mkoani 100 93 99 99 100 89 0 0 100 100 100 100 100 99
Jumla 94 93 99 99 87 83 90 76 100 100 100 100 99 99
JUMLA
( DAR. 1 - KID. 6 ) WALIOSOMEA KATI YA WALIMU WOTE WA SKULI
ASILIMIA ZA WALIMU MBALI MBALI WA MSINGI NA SEKONDARI
WILAYA
CHINI YA KID 4 KID. 4 KID. 6 FTC
ZA SERIKALI, KIWILAYA, MACHI - 2016
DIGRII NA ZAIDIDIPLOMA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 188
JADWELI NAM. 44(a)
MADARASA WANAFUNZI WANAFUNZI WASTANI WA
(VYUMBA VYA KWA CHUMBA KWA MKONDO SHIFTI ZA
(DAR.I - KID 2) KUSOMEA) KIMOJA MM0JA MASOMO
Mjini 46427 823 953 56 49 1.16
Magharibi 97896 1570 1616 62 61 1.03
Kaskazini 'A' 27665 641 538 43 51 0.84
Kaskazini 'B' 15626 300 331 52 47 1.10
Kati 20909 548 468 38 45 0.85
Kusini 9893 283 215 35 46 0.76
Micheweni 23086 331 418 70 55 1.26
Wete 32320 536 638 60 51 1.19
Chake-Chake 29845 487 625 61 48 1.28
Mkoani 29184 466 581 63 50 1.25
Jumla 332851 5985 6383 56 52 1.07
UWIANO WA WANAFUNZI, MADARASA NA MIKONDO KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI
(DAR 1 - KID. 2) KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA: SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI, MACHI - 2016
UANDIKISHAJI
MIKONDOWILAYA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 189
JADWELI NAM. 44(b)
MADARASA WANAFUNZI WANAFUNZI WASTANI WA
(VYUMBA VYA KWA CHUMBA KWA MKONDO SHIFTI ZA
(DAR 1 -KIDATO 2) KUSOMEA) KIMOJA MMOJA MASOMO
Mjini 38376 591 693 65 55 1.17
Magharibi 80971 896 1040 90 78 1.16
Kaskazini 'A' 27605 640 536 43 52 0.84
Kaskazini 'B' 15305 284 318 54 48 1.12
Kati 20150 520 444 39 45 0.85
Kusini 9445 268 200 35 47 0.75
Micheweni 22783 318 410 72 56 1.29
Wete 32005 528 625 61 51 1.18
Chake-Chake 27848 412 559 68 50 1.36
Mkoani 28916 451 571 64 51 1.27
Jumla 303404 4908 5396 62 56 1.10
UWIANO WA WANAFUNZI, MADARASA NA MIKONDO KATIKA NGAZI YA
MSINGI NA KATI KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA: SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2016
WILAYA
UANDIKISHAJI
MIKONDO
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 190
JADWELI NAM. 44(c)
MADARASA WANAFUNZI WANAFUNZI WASTANI WA
(VYUMBA VYA KWA CHUMBA KWA MKONDO SHIFTI ZA
(DAR 1 -KIDATO 2) KUSOMEA) KIMOJA MMOJA MASOMO
Mjini 8051 232 260 35 31 1.12
Magharibi 16925 674 576 25 29 0.85
Kaskazini 'A' 60 1 2 60 30 2.00
Kaskazini 'B' 321 16 13 20 25 0.81
Kati 759 28 24 27 32 0.86
Kusini 448 15 15 30 30 1.00
Micheweni 303 13 8 23 38 0.62
Wete 315 8 13 39 24 1.63
Chake-Chake 1997 75 66 27 30 0.88
Mkoani 268 15 10 18 27 0.67
Jumla 29447 1077 987 27 30 0.92
WILAYA
UANDIKISHAJI
MIKONDO
UWIANO WA WANAFUNZI, MADARASA NA MIKONDO KATIKA NGAZI YA MSINGI
NA KATI KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA: SKULI ZA BINAFSI, MACHI - 2016
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 191
JADWELI NAM. 45(a)
UANDIKISHAJI
WA WANAFUNZI
(DAR I - KID 6) WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA ALIYESOMEA ASIYESOMEA JUMLA
Mjini 56685 2232 142 2374 25 399 24
Magharibi 107606 3500 237 3737 31 454 29
Kaskazini 'A' 29803 944 17 961 32 1753 31
Kaskazini 'B' 16800 654 5 659 26 3360 25
Kati 22894 914 9 923 25 2544 25
Kusini 10831 368 6 374 29 1805 29
Micheweni 24469 420 12 432 58 2039 57
Wete 35281 835 17 852 42 2075 41
Chake-Chake 32691 872 43 915 37 760 36
Mkoani 31246 756 10 766 41 3125 41
Jumla 368306 11495 498 11993 32 740 31
UWIANO WA WANAFUNZI NA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR.1 - KID 6)
KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI - MACHI, 2016
IDADI YA WANAFUNZI
KWA MWALIMU MMOJA
WILAYA
IDADI YA WALIMU
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 192
JADWELI NAM. 45(b)
UANDIKISHAJI WA
WANAFUNZI
(DAR I - KID 6) WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA ALIYESOMEA ASIYESOMEA JUMLA
Mjini 47838 1855 19 1874 26 2518 26
Magharibi 88125 2500 24 2524 35 3672 35
Kaskazini 'A' 29743 943 16 959 32 1859 31
Kaskazini 'B' 16444 627 5 632 26 3289 26
Kati 22033 865 4 869 25 5508 25
Kusini 10365 348 0 348 30 0 30
Micheweni 24156 411 7 418 59 3451 58
Wete 34894 818 6 824 43 5816 42
Chake-Chake 30504 756 6 762 40 5084 40
Mkoani 30978 734 6 740 42 5163 42
Jumla 335080 9857 93 9950 34 3603 34
IDADI YA WANAFUNZI KWA
UWIANO WA WANAFUNZI NA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR.1 - KID 6)
KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI - MACHI, 2016
WILAYA
IDADI YA WALIMU MWALIMU MMOJA
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 193
JADWELI NAM. 45(c)
UANDIKISHAJI
WA WANAFUNZI
(DAR I - KID 6) WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA ALIYESOMEA ASIYESOMEA JUMLA
Mjini 8847 377 123 500 23 72 18
Magharibi 19481 1000 213 1213 19 91 16
Kaskazini 'A' 60 1 1 2 60 60 30
Kaskazini 'B' 356 27 0 27 13 0 13
Kati 861 49 5 54 18 172 16
Kusini 466 20 6 26 23 78 18
Micheweni 313 9 5 14 35 63 22
Wete 387 17 11 28 23 35 14
Chake-Chake 2187 116 37 153 19 59 14
Mkoani 268 22 4 26 12 67 10
Jumla 33226 1638 405 2043 20 82 16
KWA MWALIMU MMOJAIDADI YA WALIMU
UWIANO WA WANAFUNZI NA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR.1 - KID 6)
KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA BINAFSI - MACHI, 2016
WILAYA
IDADI YA WANAFUNZI
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 194
KASMA MRADI MCHANGO WA MAKADIRIO YA MISAADA MAKADIRIO
SMZ RUZUKU MKOPO JUMLA
K01010101
00000P001 Uimarishaji wa Elimu ya Maandalizi 150,000,000.00 276,862,000.00 - 426,862,000.00
00000P002 Uimarishaji wa Elimu ya Msingi 200,000,000.00 5,278,700,000.00 - 5,478,700,000.00
K01020101
00000P003 Uimarishaji wa Elimu ya Lazima 200,000,000.00 - 27,144,997,000.00 27,344,997,000.00
K01040102
00000P004 Uimarishaji wa Elimu ya Mbadala na Amali 1,000,000,000.00 - 12,980,736,000.00 13,980,736,000.00
JUMLA 1,550,000,000.00 5,555,562,000.00 40,125,733,000.00 47,231,295,000.00
JADWELI NAM.46
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
MAKADIRIO YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017
Kutoa elimu ya sekondari kwa wananfunzi
Kutoa mafunzo ya kujua kusoma, kuandika na kuhesabu kupitia mfumo mbadala wa elimu
Kutoa elimu ya maandalizi na msingi kwa wanafunzi
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 195
JADWELI NAM. 47
MAELEZO MAKISIO YA KILICHOPATIKANA
IDARA YA MIPANGO SERA NA
UTAFITI MAPATO JULY 2015 - APRILI 2016
0401/142201 LESENI ZA WALIMU 15,731,000.00 5,616,000.00 35.70
0401/142202 LESENI ZA USAJILI SKULI BINAFSI 9,000,000.00 28,182,000.00 313.13
JUMLA 24,731,000.00 33,798,000.00 136.66
WIZARA YA ELIMU YA MAFUNZO YA AMALI
KIFUNGU %
FEDHA ZA MAPATO ZILIZOKUSANYWA KWA KIPINDI CHA JULY 2015 - APRILI 2016
Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2016/2017 196
JADWELI NAM. 48
Maelezo
Idara ya Mipango, Sera na Utafiti
1422001 LESENI ZA USAJILI WA SKULI BINAFSI 13,000,000.00
1422002 LESENI ZA WALIMU 25,320,000.00
JUMLA 38,320,000.00
MAKISIO YA MAPATO KIKASMA KWA MWAKA 2016/2017
KASMA
MAKISIO YA
MAPATO