chuo kikuu cha afya na sayansi shirikishi muhimbili cha mahafali ya 13 ya... · naibu makamu mkuu...
TRANSCRIPT
i
CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI
MAHAFALI YA KUMI NA TATU
Kwa Minajili ya Kutunukisha Diploma na Digrii
TAREHE: JUMAMOSI, 7 DESEMBA, 2019
MUDA: SAA NNE ASUBUHI
MAHALI: MUHAS GRADUATION SQUARE
Imetolewa na Ofisi ya:
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri,
Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili
S.L.P 65001, United Nations Road, Upanga West,
Dar es Salaam, TANZANIA
Simu: +255 22 2150473
Nukushi: +255 22 2150465
Anuani pepe: [email protected] Tovuti: www.muhas.ac.tz
i
CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI
MAHAFALI
YA
KUMI NA TATU
Kwa
Minajili ya Kutunukisha Diploma na Digrii
Saa Nne Asubuhi
JUMAMOSI TAREHE 7 DESEMBA, 2019
Ofisi ya Naibu
Makamu Mkuu wa Chuo
Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma,
Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili,
S.L.P. 65001,
DAR ES SALAAM.
ii
RATIBA YA MAHAFALI YA KUMI NA TATU YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI
SHIRIKISHI MUHIMBILI (The 13th
MUHAS graduation ceremony programme)
1:00 – 2:00 Wahitimu kukusanyika uwanja wa mahafali
7:00 – 8:00 Graduands assemble at the Graduation Venue
2:00 – 3:00 Washiriki wa maandamano ya wanataaluma kukusanyika ukumbi wa MPL
8:00 - 9:00 Participants to the Academic Procession Assemble at the MPL Building Foyer
3:00 – 4:00 Viongozi Wakuu wa Chuo Kuwasili
9:00 - 10:00 Arrival of Key Officials and Dignitaries
4:00 – 4:20 Mkuu wa Chuo Kuwasili
10:00 - 10:20 Arrival of the Chancellor
4:20 – 4:35 Maandamano ya wanataaluma kuelekea uwanja wa mahafali
10:20 – 10:35 Academic Procession
4:35—4:40 Wimbo wa Taifa
10:35 – 10:40 National Anthem
4:40– 4:45 Nasaha za Mlau
10:40 – 10:45 Proctor’s Remarks
4:45 - 4:50 Mkuu wa Chuo Kutangaza Mahafali ya kumi na tatu ya MUHAS
10:45 – 10:50 Chancellor’s Declaration of the 13th MUHAS Graduation Ceremony
4:50 – 5:05 Hotuba ya Mwenyekiti wa Baraza la Chuo
10:50 – 11:05 Speech by the Chairperson of Council
5:05 – 5:20 Hotuba ya Makamu Mkuu wa Chuo
11:05 – 11:20 Speech by the Vice Chancellor
5:20 – 5:30 Hotuba za Wahitimu
11:20 – 11:30 Valedictorian Speeches
5:30 – 5:50 Kutunuku Digrii za Uzamili
11:30 – 11:50 Conferring Postgraduate Degrees
5:50 – 6:20 Kutunuku Diploma na Diploma za Juu
11:50 – 12:20 Conferring Diplomas and Advanced Diplomas
6:20 – 6:50 Kutunuku Digrii za kwanza
12:20 – 12:50 Conferring Undergraduate Degrees
6:50 – 6:55 Kufunga Mahafali ya kumi na tatu
12:50 – 12:55 Closing the 13th Graduation Ceremony
6:55 – 7:00 Wimbo wa Taifa
12:55 – 13:00 National Anthem
7: 00—7:20 Maandamano ya Wanataaluma kuondoka uwanja wa mahafali
13: 00 - 13:20 Academic Procession Leaves the Graduation Ceremony Grounds
7:20 – 7:30 Wageni waalikwa, wahitimu na watu wote kuondoka uwanja wa mahafali
13:20 – 13:30 Invited Guests, Graduands and General Public leave the Graduation Ceremony Grounds
iii
YALIYOMO (Table of Contents)
UTARATIBU WA MAHAFALI (MUHAS graduation ceremony programme) ..................................... 1
9. HOTUBA ZA WAWAKILISHI WA WAHITIMU ....................................................................... 2
10.1 DIGRII YA UZAMIVU YA UDAKTARI WA FALSAFA ........................................................ 4
(Doctor of Philosophy - PhD) .................................................................................................................. 4
11.1 DIGRII YA UZAMILI WA SAYANSI MAALUM ................................................................... 8
(Master of Science Super Specialities) .................................................................................................... 8
11.2 DIGRII YA UZAMILI YA UDAKTARI WA BINADAMU ..................................................... 8
(Master of Medicine – MMed) ................................................................................................................. 8
11.2 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI (SKULI YA TIBA) ..................................................... 12
(Master of Science – MSc) ..................................................................................................................... 12
11.3 DIGRII YA UZAMILI YA UDAKTARI WA KINYWA NA MENO ..................................... 13
(Master of Dentistry – MDent)............................................................................................................... 13
11.4 DIGRII YA UZAMILI YA UFAMASIA .................................................................................. 13
(Master of Pharmacy – MPharm) .......................................................................................................... 13
11.5 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI YA AFYA YA JAMII................................................. 14
(Master of Public Health – MPH).......................................................................................................... 14
11.6 DIGRII YA UZAMILI YA MAADILI (Master of Bioethics – MBE) ...................................... 15
11.7 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI (SKULI YA SAYANSI YA AFYA YA JAMII) ........ 16
(Master of Science – MSc) ..................................................................................................................... 16
10.8 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI - SKULI YA UUGUZI ............................................... 17
11.9 DIGRII YA UZAMILI YA KUENDELEZA TIBA ZA ASILI ................................................ 17
(Master of Science – MSc. Traditional Medicine Development ............................................................ 17
11.10 DIGRII YA SAYANSI YA UZAMILI KWA NJIA YA UTAFITI NA MACHAPISHO .... 18
(Master of Science by Research and Publications)................................................................................ 18
12.1.1 DIPLOMA YA SAYANSI ZA UFUNDI MAABARA YA TIBA........................................ 19
Diploma in Medical Laboratory Sciences (DMLS) ............................................................................... 19
12.1.2 DIPLOMA YA SAYANSI ZA AFYA YA MAZINGIRA .................................................... 20
Diploma in Environmental Health Sciences (DEHS) ............................................................................ 20
12.1.3 DIPLOMA YA RADIOGRAFIA YA UCHUNGUZI WA MAGONJWA ........................... 22
Diploma in Diagnostic Radiography (DDR) ......................................................................................... 22
12.1.4 DIPLOMA YA TEKNOLOJIA YA VIUNGO ...................................................................... 23
Diploma in Orthopaedic Technology (DOT) ......................................................................................... 23
12.1.5 DIPLOMA YA SAYANSI ZA UFAMASIA ........................................................................ 23
Diploma in Pharmaceutical Sciences (DPS) ......................................................................................... 23
12.1.6 DIPLOMA YA UUGUZI ...................................................................................................... 24
Diploma in Nursing (DN) ...................................................................................................................... 24
12.1.7 DIPLOMA YA JUU YA DERMATOVENEREOLOJIA ..................................................... 25
Advanced Diploma in Dermatovenereology (ADDV) ............................................................................ 25
13.1.1 DIGRII YA SAYANSI ZA AFYA YA MAZINGIRA ......................................................... 26
iv
Bachelor of Science in Environmental Health Sciences (BSc. EHS) ..................................................... 26
13.2.1 DIGRII YA UUGUZI ............................................................................................................ 27
Bachelor of Science in Nursing (BSc. Nursing) ..................................................................................... 27
13.2.2 DIGRII YA UKUNGA .......................................................................................................... 28
Bachelor of Science, Midwifery (BSc. Midwifery) ................................................................................. 28
13.3.1 DIGRII YA UDAKTARI WA AFYA YA KINYWA NA MENO ....................................... 29
Doctor of Dental Surgery (DDS) ........................................................................................................... 29
(Bachelor of Pharmacy (B. Pharm) ....................................................................................................... 31
13.5.1 DIGRII YA SAYANSI ZA MAABARA YA TIBA ............................................................. 33
Bachelor of Medical Laboratory Sciences (BMLS) ............................................................................... 33
13.5.2 DIGRII YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA MATIBABU YA MIONZI ....................... 34
Bachelor of Science in Radiation Therapy Technology (BSc. RTT) ...................................................... 34
13.5.3 DIGRII YA UDAKTARI WA BINADAMU ........................................................................ 35
Doctor of Medicine (MD) ...................................................................................................................... 35
14. MWISHO WA SHUGHULI .................................................................................................. 40
15. MKUU WA CHUO KUVUNJA MAHAFALI.......................................................................... 40
16. WIMBO WA TAIFA ................................................................................................................. 40
17. KUONDOKA KWA MKUU WA CHUO ................................................................................. 40
18. KUPIGA PICHA NA MKUU WA CHUO ................................................................................ 40
1
CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI
MAHAFALI YA KUMI NA TATU - 7 DESEMBA 2019
UTARATIBU WA MAHAFALI (MUHAS Graduation Ceremony Programme)
1. Wageni waalikwa, wahitimu na wazazi wataingia uwanja wa mahafali na kukaa kwenye
nafasi zao saa saba tatu (3:00) asubuhi.
2. BENDI ITATUMBUIZA
Maandamano ya wanataaluma yataingia saa nne na dakika ishirini (4:20) asubuhi. Wote
watakapofika kwenye nafasi zao, watasubiri katika hali ya kusimama mpaka Wimbo wa Taifa
utakapoimbwa, na Mkuu wa Chuo atakapokaa.
3. MLAU (Proctor)
Akiwa amesimama na baada ya kuimbwa kwa Wimbo wa Taifa na Mkuu wa Chuo kukaa,
Mlau (Proctor) akiwa ameshikilia kitabu atatoa hotuba fupi ya utangulizi.
4. MAKAMU MKUU WA CHUO KIKUU (Vice Chancellor)
Baada ya wote kukaa, Makamu wa Mkuu wa Chuo atasimama na kusema:
‘’Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, ninakukaribisha kuunda rasmi mkusanyiko huu kuwa ni
Mahafali ya kumi na tatu ya Chuo Kikuu kwa minajili ya kutunukisha Diploma na Digrii za
Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili.”
5. MKUU WA CHUO (Chancellor)
Mkuu wa Chuo, hali amekaa atatamka maneno yafuatayo:
‘’KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA, NATANGAZA MKUSANYIKO HUU KUWA
NI MAHAFALI YA KUMI NA TATU YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI
SHIRIKISHI MUHIMBILI’’
6. MAKAMU MKUU WA CHUO (Vice Chancellor)
Makamu Mkuu wa Chuo atasimama nakusema:
‘’Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo, Mawaziri, Wanachuo na
wageni wetu wote mliohudhuria, sasa namkaribisha Mwenyekiti wa Baraza la Chuo atoe
hotuba fupi’’
7. MWENYEKITI WA BARAZA Mwenyekiti wa Baraza la Chuo, atasimama na kutoa hotuba fupi ya kuanzisha sherehe ya
mahafali.
8. MAKAMU MKUU WA CHUO (Vice Chancellor)
Makamu Mkuu wa Chuo atatoa hotuba yake.
Atamalizia hotuba yake kwa kusema maneno haya:
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, sasa ninamkaribisha Naibu Makamu Mkuu wa Chuo -
Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma ili awakaribishe wanafunzi wawili watakaotoa
hotuba fupi kwa niaba ya wahitimu wenzao na pia awahudhurishe mbele ya mahafali
wanafunzi waliofuzu ili upate kuwatunukia Digrii ya Uzamivu na kisha awaite Wakuu wa
Skuli na Wakurugenzi wa Taasisi mbalimbali kwa ajili ya kuwahudhurisha wanafunzi wao
waliofuzu na kustahili kutunukiwa diploma na digrii mbalimbali za Chuo Kikuu cha Afya na
Sayansi Shirikishi Muhimbili.”
2
9. HOTUBA ZA WAWAKILISHI WA WAHITIMU
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu
cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo,
kisha atasema:
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi wawili (2) walikidhi vigezo
vya kuwawakilisha wahitimu wenzao wa digrii za uzamili na za kwanza, kutoa hotuba fupi
katika mahafali haya. Mheshimiwa Mkuu wa Chuo nina heshima kuwahudhurisha wanafunzi
hao mbele yako ili watoe hotuba hizo”
Na. Na. ya Udahili Jina Ulilopewa Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
1. HD/MUH/K.198/2016 Roselyne Okello KE
2. 2015-04-08879 Goodluck G. Nyondo ME
9.1 Hotuba fupi ya Mwakilishi wa Wahitimu wa Shahada za Uzamili na Uzamivu –
Roselyne Okello
Mkuu wa Chuo na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Alhaj Ali
Hassan Mwinyi, Makamu Mkuu wa Chuo, Manaibu wa Makamu Mkuu wa Chuo, Viongozi wa
Skuli, Kurugenzi na Idara mbalimbali, Waadhiri,Wafanyakazi waendeshaji, Wazazi na Walezi,
Wageni waalikwa, wanafunzi na wahitimu wa mwaka 2019.
Napenda kuchukua nafasi hii kushukuru familia ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi
Muhimbili, Viongozi wa Chuo, Wahadhiri, Wahitimu wa Shahada za Uzamili na Uzamivu mwaka
2019, kwa kunipa fursa ya kuwahutubia katika maafali haya siku ya leo.
Ninasimama hapa nikiamini kuwa ninazungumza kwa niaba ya wahitimu wote wa Shahada za
Uzamili na Uzamivu walioanza masomo yao tangu 2016 hadi 2019. Sisi kama mtu mmoja mmoja
tulikuja hapa tukafanya kazi pamoja ili kufanikisha lengo moja. Na kufanikiwa kwetu hakukuwa
rahisi, tulifanya kazi kwa juhudi kubwa na tukawezeshwa na Nguvu za Mwenyezi Mungu. Kwahiyo
ninamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupatia neema iliyotuwezesha kukabiliana na changamoto
mbalimbali hadi tumefikia mafanikio haya ambayo tunayasherehekea leo.
Napenda pia kushukuru familia zetu, Wazazi wetu, Wenzi na Wapenzi wetu, Kaka, Dada, Watoto,
na jamii tunakotoka kwa kutuunga mkono na kututia moyo katika kipindi chote cha safari ngumu ili
tuweze kufikia mafanikio haya makubwa sana ya kitaaluma.
Mwaka 2016 nilianza safari kutoka Nairobi, Kenya kuja Dar es Salaam, nilikuwa na hofu kutokana
na ugeni wa kuwa katika jiji hili la nchi ya ugenini, ukizingatia kwamba nilikuwa nimewaacha
ndugu zangu na marafiki wa karibu kule kwetu. Hata hivyo, kwa upande mwingine nilikuwa na
furaha kwa kupata fursa kujiendeleza kielimu. Awali nilikuwa na wasiwasi kama ningefanikiwa
kufikia malengo, lakini utakubaliana na mimi kwamba nimefanikiwa, ndio maana kama
mnavyoniona leo nimesimama hapa ninawahutubia.
Nchi hii ya Tanzania na hasa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbilikilitukaribisha
kwa upendo na ukarimu mimi na wengine wengi ambao tulilazimika kuwaacha wapendwa wetu
katika nchi zetu na tukaja tukaishi hapa ugenini kwa muda wa miaka 3 au zaidi. Upendo wa
Watanzania ulitufanya tuzoee mazingira katika muda mfupi, tukapata utulivu wa akili na tukaweza
kufanikisha malengo yetu. Kujifunza ukiwa katika umri wa mtu mzima siyo jambo rahisi. Wengi
wetu wamepitia changamoto mbalimbali katika vipindi tofauti – kama vile msongo wa mawazo,
mitikisiko katika mahusiano, na upungufu wa fedha. Lakini changamoto hizo hazikutukwamisha,
tulisonga mbele hadi tumetimiza malengo yetu. Hongera wahitimu wa mwaka 2019!!.
3
Tunapoanza safari nyingine ya kuelekea katika kufanya vitu vizuri and vikubwa zaidi, tunapaswa
kuzingatia kwamba upendo ndio njia kuu ya mawasiliano. Tunaweza kuwa na tofauti mbalimbali
kama vile rangi ya ngozi zetu, lugha tunazoongea, tamaduni tulimolelewa; lakini ndani ya miili yetu
wote tuna damu nyekundu inayozunguka na wengi wetu tuna damu aina moja. Tunafanana ingawa
wakati huo huo tunatofautiana kwa namna nyingi, na ndio maana maisha yanafurahisha na
kusisimua.
Sisi ambao ni viongozi wa sasa na baadaye katika fani zetu mbalimbali, tunapaswa kuwa tayari
kujifunza kutoka kwa wenzetu. Tujitahidi kuleta mabadiliko chanya, mara zote tujaribu kufanya
dunia hii kuwa mahali pazuri zaidi. Tutumie uwezo wa elimu tuliyopata kuleta hayo mabadiliko
chanya kwa manufaa ya maendeleo ya binadamu. Tupendane, tujenge amani. Tusisahau urafiki
tulioujenga katika kipindi cha masomo na tuondoe vikwazo vinavyoweza kutuzuia kufika katika
vilele vya mafanikio.
Nitamalizia kwa nukuu kutoka kwa mwanariandha wa Kenya, Eliud Kipchoge, ambaye hivi karibuni
aliukataa ukweli wa Fiziolojia ya bindamu kwa kusema: “No human is limited”, yaani “hakuna
binadamu mwenye ukomo”, pia Mtakatifu Francis wa Asisi alisema “Start by doing what is
necessary, then do what is possible; and suddenly you are doing the impossible” yaani “Anza kwa
kufanya kile kilicho cha lazima, alafu fanya kinachowezekana, na ghafla unafanya kile
kisichowezekana”. Na hatimaye nukuu kutoka kwangu: “It is never that serious so live, laugh and
love and most importantly: Smile”. Yaani “Hali siyo ngumu kiasi cha kukatisha tamaa, kwa hiyo
ishi, cheka, penda, na muhimu zaidi: Tabasamu!
9.2 Hotuba ya Mwakilishi wa Wahitimu wa Shahada za Awali – Goodluck G. Nyondo
Mkuu wa Chuo na Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Alhaj Ali
Hassan Mwinyi, Makamu Mkuu wa Chuo, Manaibu wa Makamu Mkuu wa Chuo, Viongozi wa
Skuli, Kurugenzi na Idara mbalimbali, Waadhiri,Wafanyakazi waendeshaji, Wazazi na Walezi,
Wageni waalikwa, wanafunzi wote na muhimu zaidi wahitimu wa mwaka 2019,
Salaam!
Kwa unyenyekevu mkubwa ninashukuru kupewa fursa hii ya kusimama hapa kuwawakilisha
wahitimu wenzangu. Kwa niaba ya darasa la 2019, kwanza ninamshukuru Mungu aliyetuwezesha
kufikia hatua hii. Vilevile ninawashukuru wazazi na walezi ambao kwa msaada wao wa karibu sisi
tumefikia hapa tulipo na bado tukiwa na nguvu ya kuendelea mbele kutimiza malengo yetu.
Wahitimu wa leo tulijiunga na chuo hiki kwa nyakati tofautitofauti tukiwa tumetokea mazingira
tofauti, yenye malezi tofauti na hivyo tukiwa na mitazamo tofauti ya maisha na zaidi katika hali
tofauti za kiuchumi. Shukrani kwa jamii ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili
ambayo ilizichukua tofauti zote hizo, ikaziweka pamoja kwa kipindi kirefu na baadaye kututoa sote
hapa kwa jina moja kama wataalamu wa tiba.Msisitizo wa chuo katika nidhamu kuanzia mavazi na
mawasiliano umekuwa nguzo imara ya kufanya bendera ya MUHAS iendelee kupepea kwa
ushindi.Vikundi mbalimbali vinavyolelewa na chuo kuanzia vya kidini mpaka vya kitaaluma
vimekuwa sehemu muhimu sana ya sisi kugundua na kudhihirisha uwezo wetu katika masuala
mengine nje ya taaluma.Kwa pamoja tunatambua kuwa jinsi tulivyo leo ni matokeo ya juhudi kubwa
zinazoonekana na zisizoonekana zilizowekezwa ndani yetu na watu tunaowafahamu na
tusiowafahamu.
Kwa namna ya pekee naomba kumpongeza kila mhitimu aliyepo hapa siku ya leo. Sote tunafahamu
na dunia inajua kwamba haikuwa kazi rahisi. Tulijiunga na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi
Shirikishi Muhimbili tukiwa tunasikia meneno kuwa Muhimbili si lelemama. Hofu na woga vilitujaa
lakini kiume tukapambana na leo tupo hapa. Tuna kila sababu ya kurusha kofia zetu juu na kusema
sisi ni washindi!. Tumepitia mambo mengi na kuna kipindi tulikata tamaa kabisa. Mshindi si yule
4
asiyeshindwa, bali ni yeye asiyekata tamaa. Asante kwa wote waliotushika mkono.
Nikikumbuka kwangu mimi binafsi, mwanzoni mwa mwaka wa kwanza kilikuwa ni kipindi kigumu
sana kwangu. Nilikuwa sipati matokeo mazuri licha ya juhudi kubwa nilizoweka. Nilitafuta muda wa
kuonana na mshauri wangu wa kitaaluma, baadhi ya wakufunzi na watu walionitangulia mbele
kimadarasa ambao wote kwa pamoja walinielekeza mbinu mbalimbali zilizobadilisha upepo wangu
kabisa kitaaluma. Siku zilizofuata zilikuwa ni za mafanikio makubwa.” I call these my pacemakers.
We all need pacesetters to run the race successfully”.
Ninawashukuru wale wote walionipa fursa ya mimi kuwafahamu na wakawa tayari kuweka
mchango wao kwenye maisha yangu kitaaluma na kijamii pia. Kwa upekee zaidi, darasa langu la
famasia; ninyi ni udhihirisho wa neno umoja, nimejua maana ya kuishi kupitia ninyi. Kundi langu la
“discussion” la “Ten Times Better (TTB)” hakika hamjawahi kuniangusha. Sijatoka Chuo Kikuu cha
Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili na ujuzi wa masuala ya afya tu, bali nimetoka na familia.
Kama wahitimu wote, kwa ujumla wetu tumeweza kuziishi changamoto nyingi na kusimama juu
yake kufikia kilele cha mafanikio. Kwa uzoefu huu ninaamini tutaweza kusimama juu ya
changamoto zote tunazozisikia uraiani na tutaweza kuleta matokeo makubwa kwenye jamii.
Vitu viwili ambavyo yatupasa tuende navyo kuitumikia jamii ni utu na unyenyekevu. Hivi ni daraja
la kuunganisha ujuzi wetu na wananchi. Tutazame wote tunaowahudumia kwa jicho la kibinadamu
na huruma, nao watapokea kile tunachowapa. Vilevile unyenyekevu ukatusaidie kufanya kazi vizuri
na watu wengine na kujifunza kutoka kwao pia. Jamii imekuwa inalalamika kuwa vijana wa sasa
hatuna nidhamu kazini. Tukiwa wanyenyekevu katika maneno na matendo tutabadilisha picha hii.
Mwisho wa yote, tukashirikiane vema na jamii zetu. Tuchukue muda kuyaelewa maisha ya watu
tunaokutana nao na kujifunza kuwa pamoja nao katika nyakati za furaha na huzuni.
Hongereni sana wahitimu wa darasa la 2019.
Asanteni.
10.1 DIGRII YA UZAMIVU YA UDAKTARI WA FALSAFA
(Doctor of Philosophy - PhD)
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu
cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo,
kisha atasema:
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi wanne (4) wamefuzu na
wanastahili kutunukiwa DIGRII ya uzamivu ya Udaktari wa Falsafa yaani “Doctor of
Philosophy”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Kabla
sijawahudhurisha, naomba nitoe muhtasari wa tafiti zao.”
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu
cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili atatoa muhtasari wa utafiti wa Digrii ya uzamivu:
5
a) Ritah Mutagonda
Mada: Utafiti juu ya Mambo Yanayoathiri Matokeo ya Matibabu ya Malaria kwa Wanawake
Wajawazito wanaotibiwa na Dawa Mseto ‘ALu’
Utangulizi: Mabadiliko ya mwili na upungufu wa kinga wakati wa ujauzito sio tu huongeza hatari ya
kupata malaria lakini pia huingilia mfumo wa ufanyaji kazi wa dawa mwilini zinazotumika kutibu
malaria ikiwa ni pamoja na dawa mseto (artemether-lumefantrine (ALu)). Katika kipindi cha ujauzito
kunakuwa na ongezeko la umeng’enywaji na utolewaji wa dawa mwilini. Hivyo ni muhimu kujua
kama dozi ya dawa mseto inayotolewa inakuwa na kiwango cha kudhibiti vimelea vya malaria ili
kupunguza madhara ya ugonjwa huu kwa mama na mtoto.
Madhumuni ya tafiti: Utafiti huu uliojumuisha mama wajawazito 205 na wasio wajawazito 72
ulifanyika kati ya mwaka 2013 hadi 2019 katika Wilaya za Rufiji, Kibiti, Mkuranga na Kisarawe.
Utafiti huu ulijikita katika kuchunguza kiasi cha dawa mseto kilichopo mwilini baada ya kumaliza
dozi ya siku tatu kwa wajawazito ukilinganisha na wasio wajawazito. Vilevile utafiti uliangalia ni kwa
namna gani mabadiliko ya umeng’enywaji na usafirishaji wa dawa mseto mwilini unachangia utendaji
kazi wa dawa mseto katika kutibu malaria kwa wajawazito.
Matokeo: Kiasi cha dawa mseto mwilini kilikuwa pungufu kwa wajawazito kulinganisha na wasio
wajawazito. Karibia nusu ya wajawazito hawakufikia kiasi cha dawa mseto kinachohitajika mwilini
kuua vijidudu vya malaria. Iligundulika mojawapo ya sababu kuu inayopunguza kiwango cha dawa
mwilini kwa wajawazito ni ongezeko la umeng’enywaji wa dawa mseto kwa wajawazito
ikilinganishwa na wasio wajawazito. Hivyo wanawake ambao hawakupona malaria walikuwa wana
upungufu wa dawa mseto mwilini.
Hitimisho: Kuendelea kutumia dozi ya sasa ya dawa mseto kwa wajawazito kunaweza kusababisha
usugu wa vidudu vya malaria ambavo ni hatari si kwa wajawazito tu bali kwa jamii yote. Ili
kuboresha matibabu ya malaria utafiti huu unapendekeza kuangalia upya dozi ya dawa mseto
inayotolewa kutibu malaria kwa mama wajawazito. Inapendekezwa zifanyike tafiti zaidi kuangalia
uwezekano wa kuongezwa muda wa kutumia dawa mseto ya malaria kutoka siku tatu mpaka tano ili
kuhakikisha viwango vya tiba ya malaria kwa wajawazito vinaboreshwa, na vina usalama wa kutosha
kwa mama na mtoto aliyeko tumboni.
b) Hellen Siril
Mada: Utafiti wa Kubadili Hali ya Kutokuwa na Matumaini hadi Kuwa na Matumaini na
Kuchunguza Athari za Mbinu ya NAMWEZA ya Kuimarisha Afya ya Akili na Tabia ya Kupunguza
Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI miongoni mwa Watu Wanaoishi na VVU
Utangulizi: Hali ya kukosa matumaini ikijumuisha sonona na msongo wa mawazo duniani iko juu
kwa mara tatu hadi sita zaidi miongoni mwa wanaoishi na VVU kuliko jamii isiyo na maambukizi.
Hali hii, hupunguza ari ya kutafuta tiba mapema, na huchochea tatizo la sonona ambalo hupunguza
ufuatiliaji binafsi wa matumizi ya dawa zinazoshauriwa, huchangia kuongezeka kwa vifo vya
wanaoishi na VVU kila mwaka na huongeza tabia hatarishi za maambukizi ya VVU.
Madhumuni ya utafiti: Utafiti ulifanyika Dar es Salaam toka mwaka 2012 hadi 2015. Ulijumuisha
watu 1,220 wanaoishi na maambulizi ya VVU (WAVIU) na watoa huduma 8. Ulilenga kuelewa
maana na uzoefu wa kutokuwa au kuwa na matumaini, ikiwemo sonona na msongo wa mawazo, na
kutathmini mwingiliano wa NAMWEZA miongoni mwa WAVIU.
Matokeo ya utafiti: WAVIU walielezea kukosa matumaini kama hali ya kuwa na mtizamo hasi na
kukata tamaa, sonona na msongo wa mawazo kuwa ni hatua tofauti za ugonjwa wa mawazo na huzuni
kubwa lakini dalili za msongo na sonona hawakuzielewa ipasavyo. Watoa huduma ya afya ya msingi
wenye uzoefu ndio walioweza kuelezea maana ya ugonjwa wa sonona. Vilevile utafiti umeunda
6
madodoso matatu mapya yalizozingatia utamaduni wa Kitazania yenye viwango vinavyokubalika vya
ubora; ikiwemo la kupimia matumaini, la kupimia msongo, la kupimia sonona na ambalo
limajumuisha sonona na msongo kwa pamoja. Kuwa na matumaini kulielezewa kama hali ya kuwa na
uelewa wa uhalisia kuhusu ugonjwa wa UKIMWI na tiba yake, na hivyo kupelekea WAVIU kuwa na
hisia chanya ambazo hujenga mwamko wa kuishi na kutimiza mipango ya maisha. Mwingiliano wa
NAMWEZA uliongeza matumaini, tabia ya mazungumzo yanaolenga kuzuia maambukizo ya VVU
na kupima VVU, ulipunguza sonona, ufuasi-duni wa dawa na utoro wa huduma.
Hitimisho: Matokeo ya utafiti huu yameonesha kuwa uko umuhimu wa kuielimisha jamii, na watoa
huduma ya afya kuchunguza kwa makini uwepo wa ugonjwa wa sonona iwapo mgonjwa atalalamika
kuwa na dalili za msongo au sonona ili kutoa tiba sahihi. NAMWEZA na matumizi ya dodoso la
kupima matumaini vinaweza kuongeza matumaini na kupunguza sonona kwa WAVIU.
c) Deus Charles Buma
Mada: Athari ya Dozi Ndogo ya Stavudine Katika Matibabu ya VVU na Matokeo ya Kuweka
Bayana Hali ya Maambukizi ya VVU
Utangulizi: Tangu mwaka 2009 stavudine iliondolewa na Shirika la Afya Duniani kwenye orodha ya
dawa za tiba ya virusi vya ukimwi (VVU) kwa sababu ya madhara yake kwa kuwa ilikuwa chanzo
cha wagonjwa kutofuatilia tiba vizuri. Dozi ya miligramu arobaini au thelathini ya stavudine
ikinywewa mara mbili kwa siku ilikuwa inaleta madhara zaidi. Kwa kuwa stavudine ni rahisi kuliko
dawa zingine za kufubaza VVU (ARV), na kwa kuwa inaweza kutumika mahali ambapo dawa
zingine pendekezwa haziwezi kutumika, kuna umuhimu wa kuchunguza matumizi ya dozi ndogo ya
dawa hii kwa tiba ya VVU. Na pia haifahamiki nchini Tanzania ni yapi matokeo kwa mgonjwa
anapotoa siri ya maambizi yake ya VVU kabla ama baada ya kuanza kutumia ARV.
Madhumuni ya tafiti: Utafiti huu ulitathimini matokeo ya kuwepo kwa magonjwa, kinga ya mwili
na kiwango cha upunguzaji wa VVU mwilini baada ya kutumia stavudine katika dozi ya miligramu
thelathini kwa siku. Pia utafiti uliangalia madhara yatokanayo na mgonjwa kuweka bayana hali yake
ya maambukizi ya VVU kabla na baada ya utumia ARV.
Mbinu: Utafiti ulifanyika kwa kufuatilia wagonjwa ambao waligawika katika makundi mawili yaani
kundi la stavudine na kundi la zidovudine. Dawa zote hizi ziliambatana na dawa zingine ili
kukamilisha tiba, ambapo dawa ya stavudine ilinywewa mara moja kwa dozi ya miligramu thelathini
kwa siku wakati zidovudine ilitolewa katika dozi ya kawaida mara mbili kwa siku. Pia utafiti huu
ulitaka kujua athari zinazojitokeza kwenye kinga ya mwili, idadi ya VVU mwilini na ufuatiliaji wa
tiba baada ya mgonjwa kutoa siri ya hali ya maambukizi ya VVU kwa jamaa zake, kabla ama baada
ya kuanza kutumia ARV.
Matokeo: Wangonjwa walioshiriki ni 520 wenye umri zaidi ya miaka kumi na nane, waligawanywa
kwa usawa katika makundi mawili. Utafiti ulionyesha ongezeko la kinga mwilini na pia kupungua
kwa magonjwa nyemelezi ukilinganisha na siku walipoanza matibabu bila kuonyesha tofauti kati ya
makundi shiriki. Baada ya miezi sita na bila kuonyesha tofauti kati ya makundi mawili, utafiti
ulionyesha kwamba asilimia sabini na tatu ya wagonjwa walioshiriki walikuwa na idadi ndogo ya
VVU chini ya vimelea mia nne kwa kila mililita. Pia utafiti huu ulibaini kuwa, asilimia kumi na tatu
ya wagonjwa walioshiriki utafiti walitoa siri ya hali yao ya maambuzi kabla ya kuanza kutumia
ARV, asilimia sitini na saba walitoa taarifa hiyo baada ya kuanza kutumia ARV wakati asilimia
ishirini ya wagonjwa hawakutoa siri ya hali yao ya maambukizi ya VVU kwa mtu yeyote. Utafiti
huu unaonyesha kuwa wagonjwa waliotoa siri zao kabla ya kuanza kutumia ARV walikuwa na
kiwango cha asilimia tisini na saba kubaki kwenye tiba. Wakati huo huo wale ambao walitoa taarifa
baada ya kuanza kutumia ARV walikuwa na kiwango cha asilimia themanini na tano cha kubaki
kwenye tiba. Wale waliotoa taarifa kabla ya kuanza ARV walionyesha mafanikio zaidi ya ongezeko
la kinga ya mwaili tofauti na wenzao ambao walitoa taarifa baadaye.
7
Hitimisho na Mapendekezo: Stavudine ikitumika kwa dozi isiyozidi miligramu thelathini kwa siku
ina manufaa sawa na dawa zingine za ARV katika kupunguza idadi ya VVU, kusababisha ongezeko
la kinga mwilini na hatimaye kuondoa magonjwa nyemelezi. Ni muhimu pia kutoa taarifa ya hali ya
maambukizi ya VVU kabla ya kuanza kutumia ARV. Umuhimu wa stavudine katika matibabu ya
VVU unabaki palepale, hususani nyakati ambazo mgonjwa hawezi kutumia dawa pendekezwa yaani
tenofovir, zidovudine na abacavir.
d) Ruth Anyango Omole
Mada: Tathmini ya Usalama na Ufanisi wa Kutibu Ugonjwa wa Malaria wa Mimea ya Dawa Asili
Kutoka Jamii ya Ogiek nchini Kenya
Utangulizi: Udhibiti wa ugonjwa wa malaria unaendelea kuwa mgumu kwa sababu taarifa za vidudu
ambavyo ni sugu kwa dawa za mseto, ambazo ndizo mhimili mkuu wa tiba ya malaria duniani,
umeanza kujitokeza huko Asia ya kusini mashariki na hapa Afrika. Hivyo basi inabidi kuongeza kasi
ya ugunduzi wa dawa mpya za kukabiliana na tatizo hili. Utafiti huu ni moja ya juhudi hizo na
ulilenga kuchunguza mimea inayotumiwa na jamii ya Ogiek nchini Kenya.
Madhumuni ya tafiti: Utafiti huu ulilenga kuchunguza mimea mitano inayotumiwa na jamii ya
Ogiek huko Kenya kama ni tiba salama na zenye ufanisi wa kutibu ugonjwa wa malaria.
Mbinu za utafiti: Mimea yote mitano; Bersama abyssinica, Garcinia buchananii, Hypoestes
verticillaris, Rhamnus prinoides na Rubus keniensis ilitambuliwa na mtaalamu wa utambuzi wa
mimea na kukusanywa kutoka jamii ya Ogiek katika Kaunti ya Nakuru, Kenya. Baada ya kukaushwa
mimea ilichujuliwa na kupimwa uwezo wa kuua vimelea vya malaria, yaani “Plasmodium
falciparum” vyenyewe au kuwatibu panya walioambukiza vimelea vya malaria (Plasmodium
berghei). Kifaa cha column chromatography kilitumika kutenganisha kemikali kutoka kwa mimea na
kemikali kutambuliwa kupitia kifaa cha nuclear magnetic resonance (NMR).
Matokeo: Mimea yote mitano; Bersama abyssinica, Garcinia buchananii, Hypoestes verticillaris,
Rhamnus prinoides na Rubus keniensis ilionesha uwezo tofauti wa kuuwa vijidudu vya malaria
vyenyewe na vikiwa vimeambukizwa kwa panya (in vitro na in vivo). Kemikali sita zilitabuliwa
katika utafiti huu. Kemikali iitwayo “3(11)-epoxyhypoestenone” ilipatikana kutoka mti wa
“Hypoestes verticillaris” ambayo ilionesha uwezo wa kuua vimelea sugu dhidi ya dawa ya
chloroquine. Pia matokeo ya awali yameonesha kuwa mimea hii ina madhara kidogo kwa
chembechembe za uhai.
Hitimisho: Matokeo ya utafiti huu yanathibitisha kuwa miti dawa inayotumiwa na jamii ya Ogiek
kutibu malaria ina uwezo wa kutibu na pia haikuwa na sumu kali. Hivyo utafiti huu uendelezwe ili
kuhakiki zaidi ubora wake kitiba na usalama.
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha
Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili atasema:
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie DIGRII ya
uzamivu ya Udaktari wa Falsafa.”
Na. Na. ya Udahili Jina Ulilopewa Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
1. HD/MUH/T.246/2013 Ritah Mutagonda KE
2. HD/MUH/T.231/2011 Hellen Siril KE
3. HD/MUH/T.02/2011 Deus Charles Buma ME
4. HD/MUH/K.155/2015 Ruth Anyango Omole KE
8
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NINAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMIVU YA
UDAKTARI WA FALSAFA, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI
MUHIMBILI.”
NAIBU MAKAMU MKUU WA CHUO TAALUMA, UTAFITI NA USHAURI WA
KITAALUMA (Deputy Vice Chancellor – Academic, Research and Consultancy)
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha
Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha
atasema:
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, sasa ninamkaribisha Mkurugenzi wa Kurugenzi ya programu za
Uzamili na Uzamivu, awahudhurishe mbele ya mahafali wanafunzi waliofuzu ili upate kuwatunukia
Digrii za Uzamili wanazostahili kwa utaratibu kama ulivyopangwa”.
11.0 MKURUGENZI WA KURUGENZI YA PROGRAMU ZA UZAMILI NA UZAMIVU
(Director of Postgraduate Studies)
Atasimama na kutoa heshima kwa Mgeni wa Chuo, kisha atasema:
11.1 DIGRII YA UZAMILI WA SAYANSI MAALUM
(Master of Science Super Specialities)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo katika mwaka wa 2019, wanafunzi saba (7) wamefuzu na
wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili wa Sayansi Maalum yaani “Master of Science
Super Specialities)” ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili katika fani
mbalimbali kama ilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha mahafali. Nina heshima
kuwahudhurisha mbele yako -------ili uwatunukie Digrii ya Uzamili Maalum.” Vilevile kuna
wengine ------- ambao hawapo na majina yao yameorodheshwa katika kitabu cha mahafali
ambao pia wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili wa Sayansi Maalum.”
Na Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
MSc. Cardiology
1. HD/MUH/T.254/2017 Godian Cletus Mtwangambate ME
MSc. Neurosurgery
2. HD/MUH/T.224/2016 John Stephen Mbwambo ME
MSc. Nephrology
3. HD/MUH/T.255/2017 Frida Joseph Mowo KE
4. HD/MUH/T.256/2017 Ladius Rudovick ME
5. HD/MUH/T.257/2017 Egina Francis Makwabe ME
Msc Urology
6. HD/MUH/U.262/2017 John Peter Awio ME
7. HD/MUH/T.253/2017 Hamis Juma Idd Isaka ME
MKUU WA CHUO:
KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI WA
SAYANSI MAALUM, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI
KATIKA FANI ZILIZOORODHESHWA KWENYE KITABU CHA MAHAFALI”
11.2 DIGRII YA UZAMILI YA UDAKTARI WA BINADAMU
(Master of Medicine – MMed)
9
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi mia moja ishirini (120)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya uzamili ya Udaktari wa Binadamu yaani
“Master of Medicine”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina
heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya Uzamili ya Udaktari wa
Binadamu katika fani mbalimbali kama ilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha mafahali.
Na Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
MMed Anaesthesiology
1. HD/MUH/T.22/2016 Annastazia Emmanuel Komba KE
2. HD/MUH/T.23/2016 Nsia Richard Mushi KE
3. HD/MUH/T.24/2016 Anna Fulgence Lemnge KE
4. HD/MUH/T.27/2016 Ostabela Godrine Mutashaga ME
5. HD/MUH/T.28/2016 Raymond Oyugi Samuel ME
6. HD/MUH/T.29/2016 Fatma Juma Sitta KE
7. HD/MUH/T.30/2016 Advesta P Kilawe KE
MMed Anatomical Pathology
8. HD/MUH/T.32/2016 Asteria Herman Kimambo KE
9. HD/MUH/T.36/2916 Tupokigwe Edina Brown KE
10. HD/MUH/T.37/2016 Atuganile Edward Malango KE
11. HD/MUH/T.38/2016 Leonard Mlemwa ME
12. HD/MUH/T.35/2016 Salvatory Makweta Mlaga ME
MMed Clinical Oncology
13. HD/MUH/E.40/2016 Sintayehu Abebe Temesgen ME
14. HD/MUH/T.44/2016 Emanuel Livin Nundu ME
15. HD/MUH/T.47/2016 Irene Jeremiah Nguma KE
16. HD/MUH/R.46/2016 Theoneste Maniragaba ME
17. HD/MUH/K.49/2016 Lilac Tinia Achieng Wattanga KE
18. HD/MUH/T.32/2014 Faraja Kiwanga KE
MMed Emergency Medicine
19. HD/MUH/T.51/2016 Noel James Makundi ME
20. HD/MUH/T.52/2016 Shaffin Shiraz Rajan ME
21. HD/MUH/T.55/2016 Asha Juma Iyullu KE
22. HD/MUH/T.56/2016 Dereck Alex Kaale ME
23. HD/MUH/T.57/2016 Uwezo Edward ME
MMed Haematology and Blood Transfusion
24. HD/MUH/T.61/2016 Ahlam Mohamed Nasser KE
25. HD/MUH/T.63/2016 Adamu Kilungu ME
26. HD/MUH/T.64/2016 Hamisa Iddy KE
MMed Internal Medicine
27. HD/MUH/T.66/2016 Sarah Shali Matuja KE
28. HD/MUH/M.68/2016 Yamikani Celebu Mastala ME
29. HD/MUH/T.70/2016 Godfrey B Chuwa ME
30. HD/MUH/T.74/2016 Jude Nicholaus Tarimo ME
31. HD/MUH/T.79/2016 Adam Miraj Gembe ME
32. HD/MUH/T.82/2016 Irene Raymond Makundi KE
10
33. HD/MUH/T.83/2016 Stanley Zakaria Binagi ME
34. HD/MUH/S.86/2016 Nontobeko Nokulunga Simelane KE
35. HD/MUH/T.88/2016 Lazaro Njumbo Jassely ME
36. HD/MUH/T.67/2016 Rimal Kishore Bramania ME
37. HD/MUH/T.168/2016 Nakigunda Jumanne Kiroga KE
38. HD/MUH/T.82/2015 Amina Muhomi Omary KE
39. HD/MUH/T.90/2015 Alice Karungi Kaijage KE
40. HD/MUH/T.511/2015 Garvin Nathanael Kweka ME
MMed Obstetrics and Gynaecology
41. HD/MUH/T.91/2016 Amani Idris Kikula ME
42. HD/MUH/K.92/2016 Anthoy Magondu Gitari ME
43. HD/MUH/T.93/2016 Kamilya Aly Omar KE
44. HD/MUH/T.95/2016 Murete Sanare Lukumay KE
45. HD/MUH/T.97/2016 Sabra Salum Masoud KE
46. HD/MUH/K.99/2016 Zahara Mohdhar Omar KE
47. HD/MUH/T.102/2016 Denis Muganyizi Mugyabuso ME
48. HD/MUH/T.103/2016 Bosco Mapunda ME
49. HD/MUH/T.104/2016 Shabnam Salim Muccadam KE
50. HD/MUH/T.107/2016 Baya Hasan Kissiwa KE
51. HD/MUH/T.108/2016 Albert Katana Magohe ME
52. HD/MUH/T.109/2016 Goodluck John Ulomi ME
53. HD/MUH/T.112/2016 Jane Kokushubila Muzo KE
54. HD/MUH/T.113/2016 Stephen Salim Temanyika ME
55. HD/MUH/T.115/2016 Barakaeli Maliaki Kipuyo ME
56. HD/MUH/T.117/2016 Faraja Eliya Mwasambunga ME
57. HD/MUH/T.118/2016 Hudson August Manyanga ME
58. HD/MUH/K.119/2016 Hassan Adan Kala ME
59. HD/MUH/G.120/2016 Jose T.K. Green Harris ME
60. HD/MUH/K.48/2016 Saara Yunus Mubarak KE
61. HD/MUH/T.112/2015 Isaya Erasto Mhando ME
62. HD/MUH/T.119/2015 Nazarius John Geckie ME
63. HD/MUH/T.124/2015 Mfaume Salum ME
64. HD/MUH/T.128/2015 Prot Massawe ME
65. HD/MUH/T.126/2015 Raymond Thomas Kiponza ME
MMed Ophthamology
66. HD/MUH/T.124/2016 Juma Katwale ME
67. HD/MUH/T.125/2016 Jualako Nassoro ME
68. HD/MUH/T.133/2015 Phillip Deogratias Nyaga ME
MMed Orthopaedics and Traumatology
69. HD/MUH/T.132/2016 Mohamed Shabir Muhamedhussein ME
70. HD/MUH/T.136/2016 Baraka Mwandesu Mponda ME
71. HD/MUH/T.137/2016 Elias Godfrey ME
72. HD/MUH/T.138/2016 Hellen Matiko Machagge KE
73. HD/MUH/T.144/2016 Justice Michael Mwambashi ME
11
74. HD/MUH/T.145/2016 Peter Gabriel Mandu ME
75. HD/MUH/T.211/2016 Emmanuel Evarist Mlay ME
76. HD/MUH/T.141/2015 Musa Omar Kawambwa ME
77. HD/MUH/T.139/2015 Aaron Ndipo Aaron ME
78. HD/MUH/T.135/2016 Shabani Joseph ME
MMed Otorhinolaryngology
79. HD/MUH/T.172/2016 Fatuma Twalib Kibao KE
MMed Paediatrics and Child Health
80. HD/MUH/T.150/2016 Evance Kisheo Godfrey ME
81. HD/MUH/T.152/2016 Jamila Jasmin Shemweta KE
82. HD/MUH/T.153/2016 Fatima Mehdi Mussa KE
83. HD/MUH/T.154/2016 Mwanamkuu Fadhili Kambi KE
84. HD/MUH/T.155/2016 Anna Francis Magembe KE
85. HD/MUH/T.157/2016 Samafilan Abdillahi Ainan KE
86. HD/MUH/T.158/2016 Aika Abia Shoo KE
87. HD/MUH/T.159/2016 Regina Octavian Hyera KE
88. HD/MUH/T.161/2016 Neema Nalitolela KE
89. HD/MUH/T.164/2016 Parvina Titus Kazahura KE
90. HD/MUH/T.166/2016 Graca Meshack Chotamawe KE
91. HD/MUH/T.187/2015 Editruda Reginald Ngailo KE
92. HD/MUH/T.193/2015 Grace Cephas Ng'waida KE
93. HD/MUH/T.52/2015 Emmanuel Kaji Luchagula ME
MMed Psychiatry and Mental Health
94. HD/MUH/T.178/2016 Beatrice Thadei KE
95. HD/MUH/T.196/2015 Iddi Haruna Nkya ME
MMed Radiology
96. HD/MUH/T.181/2016 Mwanjia Kisinzah KE
97. HD/MUH/R.183/2016 Ivan Rukundo ME
98. HD/MUH/T.185/2016 Seleman Fadhili ME
99. HD/MUH/T.186/2016 Fredy Felician Rutachunzibwa ME
100. HD/MUH/T.187/2016 Hasna Nuhu Toroha KE
101. HD/MUH/T.188/2016 Azza Awadh Naif KE
102. HD/MUH/T.190/2016 Hassan Muhidini Barnabas ME
103. HD/MUH/T.194/2016 Erick Michael ME
104. HD/MUH/T.195/2016 Rachel Kokwiitika Kataraia KE
105. HD/MUH/T.197/2016 Masanja Dotto ME
106. HD/MUH/K.198/2016 Roselyne Atieno Okello KE
107. HD/MUH/T.208/2015 Alex Moses Mpeku ME
108. HD/MUH/T.209/2015 James John Makorere ME
MMed Surgery
109. HD/MUH/T.200/2016 Maxigama Yessaya Ndosi ME
110. HD/MUH/T.201/2016 Amonius Kabundama Rutashobya ME
111. HD/MUH/T.203/2016 Hussein Mohsin Khanbahi ME
112. HD/MUH/T.204/2016 Frank Martin Sudai ME
12
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA
UDAKTARI WA BINADAMU, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI
MUHIMBILI KATIKA FANI ZILIZOORODHESHWA KWENYE KITABU CHA MAHAFALI.”
11.2 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI (SKULI YA TIBA)
(Master of Science – MSc)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi kumi na tatu (13)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Sayansi yaani “Master of
Science”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima
kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya Uzamili ya Sayansi katika fani
mbalimbali kama ilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha mahafali.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
MSc. Anatomy
1. HD/MUH/T. 648/2017 Alli Khamis Hamadi ME
MSc. Biochemistry
2. HD/MUH/T.01/2016 Felix Abdallah Tarimo ME
3. HD/MUH/T.02/2016 Ismael Chatita Adolf ME
4. HD/MUH/T.07/2015 Hamida Gugu KE
MSc. Clinical Psychology
5. HD/MUH/T.06/2017 Rachel Jared Mtei KE
6. HD/MUH/M.09/2017 Thuto Salepito KE
MSc. Histotechnology
7. HD/MUH/T.12/2017 Ponsianus Tadei Thonya ME
8. HD/MUH/T.13/2017 Sumaiya AbdualRauf Haddadi KE
MSc. Microbiology and Immunology
9. HD/MUH/T.14/2017 Emmanuel George Mang'ombe ME
10. HD/MUH/T.17/2017 Colman Evarist Mchau ME
11. HD/MUH/T.20/2017 Ambele Mawazo Mwandigha ME
12. HD/MUH/T.11/2016 Akili Mwakabhana Mawazo ME
13. HD/MUH/T.13/2016 Obadia Maxon Mwakasyuka ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA
SAYANSI, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI KATIKA
FANI ZILIZOORODHESHWA KWENYE KITABU CHA MAHAFALI.”
113. HD/MUH/T.430/2016 John Michael Mtei ME
114. HD/MUH/T.205/2016 Franklyn Charles Bagenda ME
115. HD/MUH/T.212/2016 Elisia Phillip Mpango KE
116. HD/MUH/T.226/2015 Ahmed Abubakar Ahmed ME
117. HD/MUH/T.231/2015 James Clement Zakaria ME
MMed. Urology
118. HD/MUH/T.214/2016 Titus Ndimbo ME
119. HD/MUH/T.216/2016 Theoflo Nahum Mmbando ME
120. HD/MUH/T.428/2016 David S Mgaya ME
13
11.3 DIGRII YA UZAMILI YA UDAKTARI WA KINYWA NA MENO
(Master of Dentistry – MDent)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi wane (4) wamefuzu na
wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Udaktari wa Kinywa na Meno yaani “Master of
Dentistry”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima
kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya Uzamili ya Udaktari wa Kinywa na
Meno katika fani mbalimbali kama ilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha mahafali.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
MDent Oral and Maxillofacial Surgery
1. HD/MUH/T.233/2016 Abbas Mussa Mungia ME
2. HD/MUH/T.234/2016 Kanankira Anandumi ME
MDent Restorative Dentistry
3. HD/MUH/T.237/2016 Chermine Imtiyazali Nasser KE
MDent Community Dentistry
4. HD/MUH/T.238/2016 Albert J. M Mnyanzilu ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA
UDAKTARI WA KINYWA NA MENO, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI
SHIRIKISHI MUHIMBILI KATIKA FANI ZILIZOORODHESHWA KWENYE KITABU CHA
MAHAFALI.”
11.4 DIGRII YA UZAMILI YA UFAMASIA
(Master of Pharmacy – MPharm)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi sita (6) wamefuzu na
wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Ufamasia yaani “Master of Pharmacy” ya
Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima kumhudhurisha mbele
yako ili uwatunukie Digrii ya Uzamili ya Famasia katika fani mbalimbali kama
ilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha mahafali.”
Na. Na. ya Udahili Jina Ulilopewa Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
MPharm Hospital and Clinical Pharmacy
1. HD/MUH/T.239/2016 Tatu Estomih Lyimo KE
2. HD/MUH/T.242/2016 Ritha Pantaleo Awe KE
MPharm Quality Control and Quality Assurance
3. HD/MUH/T.247/2016 Emiliana Nyafungo Francis KE
4. HD/MUH/T.248/2016 Damas Simon Mahenda ME
MPharm Pharmacognosy
5. HD/MUH/T.276/2017 Rajabu Mohamedi Kingo ME
MPharm Medicinal Chemistry
6. HD/MUH/T.278/2017 Paul Malaba ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NINAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA
UFAMASIA YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI.”
14
11.5 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI YA AFYA YA JAMII
(Master of Public Health – MPH)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi sitini na tatu (63)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Sayansi za Afya ya Jamii yaani
“Master of Public Health”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina
heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya uzamili ya Sayansi za Afya ya
Jamii.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
1. HD/MUH/T.318/2016 Mariam Mohamed El-Maamry KE
2. HD/MUH/T.322/2016 Hellen Nchagwa Mwita KE
3. HD/MUH/T.419/2017 Okumu Ayaga Were ME
4. HD/MUH/T.426/2017 Hellen Kajala Sally KE
5. HD/MUH/T.429/2017 Fredy Gungavanu Kivamba ME
6. HD/MUH/T.446/2017 Amina Uttu Kingo KE
7. HD/MUH/T.303/2016 Ismail Omary Luhwavi ME
8. HD/MUH/T.334/2016 Bernard Kepha David ME
9. HD/MUH/T.336/2016 Otmar Massawa ME
10. HD/MUH/T.338/2016 Frank Jasper Lyimo ME
11. HD/MUH/T.342/2016 Deogratius Joseph ME
12. HD/MUH/T.350/2016 Kennedy Nicholaus ME
13. HD/MUH/T.364/2016 William Yotham ME
14. HD/MUH/T.365/2016 Lucas David Ngamtwa ME
15. HD/MUH/T.301/2016 Innocent Mhagama ME
16. HD/MUH/T.396/2015 Happiness Willbroad Kyamanywa KE
17. HD/MUH/T.405/2015 Pendo Said KE
18. HD/MUH/T.419/2015 Laura Charles Urasa KE
19. HD/MUH/T.421/2015 Dionis Masanja Shimbi ME
20. HD/MUH/T.422/2015 Goodluck Eliakim Mwanga ME
21. HD/MUH/T.423/2015 Cyprian Paul Magere ME
22. HD/MUH/T.426/2015 Ramadhani Hassani Nauja ME
23. HD/MUH/T.427/2015 Asheri Barankena ME
24. HD/MUH/T.429/2015 Leo Haule ME
25. HD/MUH/T.430/2015 Geofrey Tarimo ME
26. HD/MUH/T.431/2015 Samwel Ally Laizer ME
27. HD/MUH/T.434/2015 Ferdinand Francis Nachenga ME
28. HD/MUH/T.435/2015 Zuhura Mlupilo Mawona KE
29. HD/MUH/T.441/2015 Optatus Malewo ME
30. HD/MUH/T.444/2015 Karim Mohamed ME
31. HD/MUH/T.445/2015 Joseph Siminzile ME
32. HD/MUH/T.446/2015 Joel Lunyungu ME
33. HD/MUH/T.450/2015 George Chombe Msalale ME
34. HD/MUH/T.454/2015 Salome N.K. Maguzu KE
35. HD/MUH/T.455/2015 Godfrey Thomas Obonyo ME
36. HD/MUH/T.456/2015 Athuman Chota ME
15
37. HD/MUH/T.492/2015 Walemba Krispin Livigha ME
38. HD/MUH/T.527/2015 Nyiro Benedict Chidzao ME
39. HD/MUH/T.452/2015 Faraja Paul Maputa KE
40. HD/MUH/T.279/2016 Kulwa Jonathan Shimiyu ME
41. HD/MUH/T.378/2017 Theresia Amandus Manace KE
42. HD/MUH/T.401/2017 Denis Kalabi Nyakilinga ME
43. HD/MUH/T.403/2017 Mwajuma Maliki Nyika KE
44. HD/MUH/T.404/2017 Jamila Juma Zaarh KE
45. HD/MUH/T.405/2017 Godwin Minga ME
46. HD/MUH/T.406/2017 Emmanuel Wilbert Ng'hambi ME
47. HD/MUH/T.407/2017 Oscar Benford Mwaibabile ME
48. HD/MUH/T.408/2017 Haji Khatib Fakih ME
49. HD/MUH/T.409/2017 Aminatha Arsen Kashangaki KE
50. HD/MUH/T.410/2017 Ally Rajabu ME
51. HD/MUH/T.412/2017 Mastai Hindi Hindi ME
52. HD/MUH/T.415/2017 Sebastian Neddy Siwale ME
53. HD/MUH/T.416/2017 Calvin Mbora Mwasha ME
54. HD/MUH/T.418/2017 Defrosa Peter Lyimo ME
55. HD/MUH/T.547/2018 Jackline Narcis KE
56. HD/MUH/T.551/2018 Luwoneko Bryceson Mbilinyi ME
57. HD/MUH/T.552/2018 Julieth Rugakila KE
58. HD/MUH/T.555/2018 Minael John Kilimba KE
59. HD/MUH/T.559/2018 Hilder Erick Mushi KE
60. HD/MUH/T.569/2018 Hadija Rajabu KE
61. HD/MUH/T.574/2018 Genchwele Makenge ME
62. HD/MUH/T.578/2018 Beatus Simon ME
63. HD/MUH/T.530/2018 Kija David Lusenga KE
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA
SAYANSI ZA AFYA YA JAMII, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI
MUHIMBILI.”
11.6 DIGRII YA UZAMILI YA MAADILI (Master of Bioethics – MBE)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi watano (5) wamefuzu na
wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Maadili ‘‘Master of Bioethics’’ ya Chuo Kikuu
cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili
uwatunukie Digrii ya uzamili ya Maadili.”
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
1. HD/MUH/T.311/2017 Lazaro Amon Solomon Haule ME
2. HD/MUH/T.312/2017 Osward Vedasto ME
3. HD/MUH/T.313/2017 Emmachius Emmanuel ME
4. HD/MUH/T.314/2017 Ndakibae Mabega ME
5. HD/MUH/T.319/2017 Halima Mwaisungu ME
16
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA
MAADILI YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI.”
11.7 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI (SKULI YA SAYANSI YA AFYA YA JAMII)
(Master of Science – MSc)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi thelathini na sita (36)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Sayansi yaani “Master of
Science”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima
kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya Uzamili ya Sayansi katika fani
mbalimbali kama ilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha mahafali.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
MSc. Applied Epidemiology
1. HD/MUH/T.321/2017 Neema Joseph Nagu KE
2. HD/MUH/T.322/2017 Ally Kassim Hussein ME
3. HD/MUH/T.323/2017 Catherine Gale Gitige KE
4. HD/MUH/T.324/2017 Florence George Samizi KE
5. HD/MUH/T.325/2017 Ambakisye Kuyokwa Mhiche ME
6. HD/MUH/T.326/2017 Danstan Pascal Ngenzi ME
7. HD/MUH/T.328/2017 Jane Elirehema Mcharo KE
8. HD/MUH/T.330/2017 Boniphace Jacob ME
9. HD/MUH/T.333/2017 Charles Dismas Mwalimu ME
10. HD/MUH/T.336/2017 Henry Donart Kissinga ME
11. HD/MUH/T.337/2017 Aidat Khalid Mugula KE
MSc. Environment and Occupational Health
12. HD/MUH/T.338/2017 Peter Martin Chilipweli ME
13. HD/MUH/T.339/2017 Epaphroditus Canute Sabuni ME
14. HD/MUH/T.340/2017 Luco Patson Mwelange ME
15. HD/MUH/T.341/2017 Khadija Ramadhani Makame KE
16. HD/MUH/T.342/2017 Shuku Charles Kaishwa KE
17. HD/MUH/T.343/2017 Evamary Ludovick KE
MSc. Epidemiology and Laboratory Management
18. HD/MUH/T.348/2017 Mercy Epafra Anga ME
19. HD/MUH/T.349/2017 Goodluck Eliakim Mwanga ME
20. HD/MUH/T.351/2017 Khamis Bilal Ali ME
21. HD/MUH/T.354/2017 Sia Robert Temu KE
22. HD/MUH/T.355/2017 Onna Duuma Panga ME
MSc. Parasitology and Medical Entomology
23. HD/MUH/T.380/2017 Ummul-Khair Mustafa KE
24. HD/MUH/T.381/2017 Franco Ngonya ME
MSc. Project Management, Monitoring and Evaluation in Health
25. HD/MUH/T.566/2017 Edith Gabriel Masuki KE
26. HD/MUH/T.571/2017 Pankras Wilbard Luoga ME
27. HD/MUH/T.578/2017 Binto Mawazo Binto ME
28. HD/MUH/T.579/2017 Bakar Omar Abass ME
29. HD/MUH/T.583/2017 Asma Mohammed Said KE
17
30. HD/MUH/T.589/2017 Shaaban Hassan Haji ME
31. HD/MUH/T.592/2017 Asha Khamis Mwadachi KE
32. HD/MUH/T.594/2017 Ahmed Suleiman Said ME
33. HD/MUH/T.603/2017 Ruth Raymond Ngowi KE
34. HD/MUH/T.605/2017 Joel Elia Mwanga ME
35. HD/MUH/T.611/2017 Salim Juma Mpimbi ME
36. HD/MUH/T.379/2017 Lengai Edward ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA
SAYANSI, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI KATIKA
FANI ZILIZOORODHESHWA KWENYE KITABU CHA MAHAFALI.”
10.8 DIGRII YA UZAMILI YA SAYANSI - SKULI YA UUGUZI
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, jumla ya wanafunzi kumi na tatu (13)
Wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Sayansi yaani “Master of
Science” katika Skuli ya Uuguzi ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili.
Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya Uzamili ya Sayansi katika
fani mbalimbali kama ilivyoorodheshwa kwenye kitabu cha Mahafali.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
MSc. Nursing Mental Health
1. HD/MUH/T.308/2017 Mussa Rashid Mussa ME
MSc. Nursing Critical Care and Trauma)
2. HD/MUH/T.300/2017 Dorcas Gidion Magawa KE
3. HD/MUH/T.301/2017 Esther Masonic Kindishe KE
4. HD/MUH/B.303/2017 Jeremie Minani ME
5. HD/MUH/T.306/2017 Esther John Magele KE
6. HD/MUH/T.307/2017 Happiness Damas KE
7. HD/MUH/T.302/2017 Rehema Danford Mlay KE
MSc. Midwifery and Women’s Health
8. HD/MUH/T.285/2017 Alex Jacob Nyaruchary ME
9. HD/MUH/T.286/2017 Livuka Nsemwa KE
10. HD/MUH/T.289/2017 Ernest Ruseswa Teyumwete ME
11. HD/MUH/T.292/2017 Anna Leonce Babu KE
12. HD/MUH/T.294/2017 Mwajuma Khuzaymatu Mutabazi KE
13. HD/MUH/T.295/2017 Edina Lawrence Mathayo KE
MKUU MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA
SAYANSI, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI KATIKA
FANI ZILIZOORODHESHWA KWENYE KITABU CHA MAHAFALI.”
11.9 DIGRII YA UZAMILI YA KUENDELEZA TIBA ZA ASILI
(Master of Science – MSc. Traditional Medicine Development
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi watatu (3) wamefuzu na
wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uzamili ya Sayansi ya Kuendeleza Tiba za Asili yaani
18
“Master of Science in Traditional Medicine Development” ya Chuo Kikuu cha Afya na
Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie
Digrii ya Uzamili ya kuendeleza Tiba za Asili.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
1. HD/MUH/T.636/2017 Latifa Juma KE
2. HD/MUH/T.637/2017 Mashin Yahaya Mashin ME
3. HD/MUH/T.638/2017 Michael Clovis ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UZAMILI YA
SAYANSI YA KUENDELEZA TIBA ZA ASILI, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI
SHIRIKISHI MUHIMBILI.”
11.10 DIGRII YA SAYANSI YA UZAMILI KWA NJIA YA UTAFITI NA MACHAPISHO
(Master of Science by Research and Publications)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi watano (5) wamefuzu na
wanastahili kutunukiwa Digrii ya Sayansi ya Uzamili kwa Njia ya Utafiti na Machapisho
yaani “Master of Science by Research and Publications” ya Chuo Kikuu cha Afya na
Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie
Digrii ya Sayansi ya Uzamili kwa Njia ya Utafiti na Machapisho.”
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia
MSc in Ethnobotany and Molecular Plant Systematics (ITM)
1. HD/MUH/T.416/2016 Samson Hilonga ME
2. HD/MUH/T.21/2015 Dativa Pereus KE
MSc in Laboratory Haematology and Immunology (SoM)
3. HD/MUH/T.431/2016 Yohana S. Mtali ME
MSc in Paediatrics Nutrition – SoM
4. HD/MU/T.151/2012 Scholastica James KE
MSc in Pre-Hospital Emergency Care – SoN
5. HD/MUH/T.432/2016 Gift G. Lukumay ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA SAYANSI YA
UZAMILI KWA NJIA YA UTAFITI NA MACHAPISHO KAMA ILIVYOORODHESHWA
KWENYE KITABU CHA MAHALI, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI
MUHIMBILI.”
12.0 NAIBU MAKAMU MKUU WA CHUO – TAALUMA, UTAFITI NA USHAURI WA
KITAALUMA (The Deputy Vice Chancellor – Academic, Research and Consultancy)
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma atasimama na
kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, atasema:
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, sasa ninamkaribisha Mkurugenzi wa Taasisi ya Vyuo vya
Sayansi Shirikishi za Afya wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili,
awahudhurishe mbele ya mahafali wanafunzi waliofuzu ili upate kuwatunukia Diploma
wanazostahili kwa utaratibu kama ulivyopangwa”.
19
12. 1 MKURUGENZI WA TAASISI YA VYUO VYA SAYANSI SHIRIKISHI ZA AFYA
(Director Institute of Allied Health Sciences)
Atasimama ili kuwahudhurisha wahitimu mbalimbali kutoka katika Taasisi yake mbele ya
Mkuu wa Chuo. Akiishatoa heshima Kwa Mkuu wa Chuo atasema:
12.1.1 DIPLOMA YA SAYANSI ZA UFUNDI MAABARA YA TIBA
Diploma in Medical Laboratory Sciences (DMLS)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi thelathini na sita (36)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Diploma ya Sayansi za Ufundi Maabara ya Tiba yaani
“Diploma in Medical Laboratory Sciences”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi,
Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Diploma ya Sayansi za
Ufundi Maabara ya Tiba.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia
1. 2016-02-09628 Khanifa Ally Abdallah KE
2. 2016-02-09700 Ritha M. Bonaventure KE
3. 2016-02-09595 Isaac Josephat Chengula ME
4. 2016-02-10228 Waraka Christopher ME
5. 2015-02-09376 Cecilia M. Emmanuel KE
6. 2016-02-10219 Edwin Makibonya Evarist ME
7. 2016-02-10264 Adamu Faraji ME
8. 2016-02-09624 Kassim Saidi Hassan ME
9. 2016-02-09607 Jeremiah Justine ME
10. 2016-02-10221 Witnes Alex Kabika KE
11. 2016-02-10223 Gideon T. Kahulandanga ME
12. 2016-02-09573 Gershon V. Kelebuka ME
13. 2016-02-09660 Naomi M. Kibinda KE
14. 2016-02-09601 Jackson Laizer ME
15. 2016-02-09542 Elizabeth Alam Lilaniga KE
16. 2016-02-09677 Osward N. Mally ME
17. 2016-02-09647 Michael P. Michael ME
18. 2016-02-09671 Nuru Y. Msuya ME
19. 2015-02-09371 Rose V. Munishi KE
20. 2016-02-09505 Aswile Richard Mwakajeba ME
21. 2016-02-10226 Bahati Mwakilasa ME
22. 2016-02-10224 Anneth Ngarami KE
23. 2016-02-10220 Madoshi Richard ME
24. 2016-02-10108 Teddy Samwel KE
25. 2016-02-09657 Mwanaisha Z. Sembe KE
26. 2016-02-10099 Shadrack N. Sholla ME
27. 2016-02-09625 Kelvin Ludovick Sindani ME
28. 2016-02-09567 Francisco John Sungwa ME
29. 2016-02-09676 Omary Swalehe ME
30. 2015-02-09243 Bonanga Jumanne Maneno ME
20
31. 2014-02-07540 Nicodemus E. Kyamba ME
32. 2015-02-08951 Richard R. Massamu ME
33. 2015-02-08980 Safina Soter Nchimbi KE
34. 2014-02-07402 Marco K. Henerco ME
35. 2015-02-08189 Anthony Sulula ME
36. 2015-02-09337 Johnson Julius Kishada ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIPLOMA YA SAYANSI ZA
UFUNDI MAABARA YA TIBA YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI,
MUHIMBILI.”
12.1.2 DIPLOMA YA SAYANSI ZA AFYA YA MAZINGIRA
Diploma in Environmental Health Sciences (DEHS)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi sitini na sita (66)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Diploma ya Sayansi za Afya ya Mazingira yaani
“Diploma in Environmental Health Sciences”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi
Shirikishi, Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Diploma ya
Sayansi za Afya ya Mazingira.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia
1. 2016-02-09495 Amandus Sospeter Simbaulanga ME
2. 2016-02-09500 Asha M Hassan KE
3. 2016-02-09510 Baraka Justine ME
4. 2016-02-09522 Christopher Isaya Ntagomegwa ME
5. 2016-02-09537 Editha A Ringo KE
6. 2016-02-09572 Gerard Jonas Jalome ME
7. 2016-02-09577 Glory Elimuu Salema KE
8. 2016-02-09591 Humphrey Brastus ME
9. 2016-02-09599 Israel Philemon ME
10. 2016-02-09609 Johannes Kenfas Mahenge ME
11. 2016-02-09633 Loiness J Mbago KE
12. 2016-02-09634 Loisulye K Ngaleson ME
13. 2016-02-09650 Monica William KE
14. 2016-02-09684 Paul Charles ME
15. 2016-02-10100 Sifa A Mwakaniemba ME
16. 2016-02-10105 Stephano S Safiel ME
17. 2016-02-10122 Wahda S Lubawa KE
18. 2015-02-08926 Rahel Ambakisye Kibona KE
19. 2015-02-09052 Stellah Peter Biseko KE
20. 2015-02-08427 Irene Leonard Chigalula KE
21. 2015-02-08709 Mhuto Daniel Sahali ME
22. 2016-02-09603 January G Msemakweli ME
23. 2016-02-10196 Yudatadei Didas Mmasi ME
24. 2016-02-09635 Lubinza Martine ME
21
25. 2016-02-10127 Yasinta P Kibali KE
26. 2016-02-09575 Gisela Joseph KE
27. 2016-02-09483 Abbia Micheal KE
28. 2016-02-09610 John Aloyce ME
29. 2016-02-09583 Hamida Iddy Soko KE
30. 2016-02-09590 Herieth Apolinary Masawe KE
31. 2016-02-09638 Magreth M Livinus KE
32. 2016-02-09701 Robert J Mwiga ME
33. 2016-02-09646 Maureen Martin Magagura KE
34. 2016-02-09566 Festo William Simbagiye ME
35. 2016-02-09492 Ali Jabu ME
36. 2016-02-09576 Gittu Mandago Jidamva ME
37. 2016-02-09582 Hamida H Mnaroma KE
38. 2016-02-09517 Brighton Albert Luambano ME
39. 2016-02-10190 Angel Frank KE
40. 2016-02-09666 Nkanda C Martine ME
41. 2016-02-09600 Issa Iddi Ahmadi ME
42. 2016-02-09521 Christopher Chengula ME
43. 2015-02-08587 Lyambogo J Malembo ME
44. 2016-02-10212 Glory Y Foya KE
45. 2016-02-09704 Rojas Mwang’amba ME
46. 2016-02-10213 Kelvin Kelvin Mrope ME
47. 2016-02-09694 Rajabu Mlowe ME
48. 2016-02-09485 Abdallah Iddi Kivugo ME
49. 2016-02-09497 Aneth Kisiri Swai KE
50. 2016-02-09498 Angela Sostenes Kossey KE
51. 2016-02-09507 Aziz - Maulid ME
52. 2016-02-09511 Baraka Ramadhani Kasyupa ME
53. 2016-02-09543 Elizabeth - Nathaniel KE
54. 2016-02-09598 Ismail Rashid Ally ME
55. 2016-02-09617 Josephine Ludovick Sindani KE
56. 2016-02-09619 Julieth George Kakolaki KE
57. 2016-02-09623 Kamota - Yohana ME
58. 2016-02-09629 Leah Godfrey Leonard KE
59. 2016-02-09663 Ngasa Paulo Mashauri ME
60. 2016-02-09673 Olais Reuben Mollel ME
61. 2016-02-09675 Oliva Melkiad Mwizarubi KE
62. 2016-02-09697 Reinhard - Vicent ME
63. 2016-02-10104 Sophia Ally Songoro KE
64. 2016-02-10120 Venance Partson Edward ME
65. 2016-02-10216 Mustafa Hassan Kibwana ME
66. 2016-02-10217 Peter Rafael Masilili ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIPLOMA YA SAYANSI ZA
AFYA YA MAZINGIRA, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI,
MUHIMBILI.”
22
12.1.3 DIPLOMA YA RADIOGRAFIA YA UCHUNGUZI WA MAGONJWA
Diploma in Diagnostic Radiography (DDR)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi ishirini na tisa (29)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Diploma ya Radiografia ya Uchunguzi wa Magonjwa
yaani “Diploma in Diagnostic Radiography”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi,
Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Diploma ya
Radiografia ya Uchunguzi wa magonjwa.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia
1. 2016-02-09480 Abbas Ally Mtukusye ME
2. 2016-02-09484 Abbdallah S. Kaniki ME
3. 2016-02-09489 Agnes J. Namwereni KE
4. 2016-02-09508 Azizi Mkubwa ME
5. 2016-02-09509 Bakari J. Bakari ME
6. 2016-02-09514 Boniface G. Mrema ME
7. 2016-02-09538 Eliazali S. Lukinisha ME
8. 2016-02-09544 Ellen Peter KE
9. 2016-02-10173 Eloy Alex Pongo ME
10. 2016-02-09545 Elvis S. Mwasubila ME
11. 2016-02-09557 Eva J. Mwazembe KE
12. 2016-02-10179 Fatuma N. Nassoro KE
13. 2016-02-09581 Haiba Seif Said KE
14. 2016-02-10180 Herieth Makono KE
15. 2016-02-09592 Ibrahim Hussein ME
16. 2016-02-10177 Jackline Steven Shaka KE
17. 2016-02-10171 Kasabalala Issa Ally ME
18. 2016-02-10178 Malik Absheikh Gillah ME
19. 2016-02-09668 Nshoma Dotto Nungwa KE
20. 2016-02-09669 Ntanda Masanja ME
21. 2016-02-09674 Olimpa Steven KE
22. 2016-02-09690 Petro Steven Ngo'ga ME
23. 2016-02-09695 Ramadhan A Ramadhan ME
24. 2016-02-09702 Robert John Machange ME
25. 2016-02-10167 Salim Robert Masige ME
26. 2016-02-10107 Suleiman Shuwali Mjenga ME
27. 2016-02-10102 Sylvester N. Ntakandi ME
28. 2015-02-09267 Emmanuel Gedi ME
29. 2013-04-06634 Hillary Francis Ndeng'aso ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIPLOMA YA RADIOGRAFIA
YA UCHUNGUZI WA MAGONJWA, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI
SHIRIKISHI, MUHIMBILI.”
23
12.1.4 DIPLOMA YA TEKNOLOJIA YA VIUNGO
Diploma in Orthopaedic Technology (DOT)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi kumi na nne (14)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Diploma ya Teknolojia ya Viungo yaani “Diploma in
Orthopaedic Technology”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili. Nina
heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Diploma ya Teknolojia ya Viungo.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia
1. 2016-02-10106 Steven Julius Chambua ME
2. 2016-02-10267 Paulina Elias Mweliimbange KE
3. 2016-02-10265 Dioto Frans Tangeni ME
4. 2016-02-09643 Mary Joseph Magese KE
5. 2016-02-09493 Ally Ramadhani Jumanne ME
6. 2016-02-09651 Morine Gideon Kyando KE
7. 2016-02-09558 Evance Archibold Maimu ME
8. 2016-02-09589 Hassan Jabir Mohamed ME
9. 2016-02-10110 Tumlaki Festo Msigwa ME
10. 2016-02-09532 Devota Damas Mwezi KE
11. 2016-02-10123 William Richard Mwite ME
12. 2016-02-09530 David Zakayo Semba ME
13. 2016-02-10268 Amani Saeed Sharyan KE
14. 2016-02-10266 Nestor Ndeunyema Shoongo ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIPLOMA YA TEKNOLOJIA YA
VIUNGO, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI, MUHIMBILI.”
12.1.5 DIPLOMA YA SAYANSI ZA UFAMASIA
Diploma in Pharmaceutical Sciences (DPS)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi ishirini na nne (24)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Diploma ya Sayansi za Ufamasia yaani “Diploma in
Pharmaceutical Sciences”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili. Nina
heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Diploma ya Sayansi za Ufamasia.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia
1. 2016-02-09526 Daniel Raymond Wawa ME
2. 2016-02-09597 Ismail H. Juma ME
3. 2016-02-09556 Euphraim Venance Banigwa ME
4. 2016-02-09520 Christina F. Mark KE
5. 2016-02-09626 Kennedy A. Mwangamilo ME
6. 2016-02-09491 Akram H. Mzarubu ME
7. 2016-02-09649 Mnyamierick Elias Mayalla ME
8. 2016-02-09555 Erick Daniel Simba ME
9. 2016-02-10256 Frank Elibariki Kimoho ME
10. 2016-02-10252 Mark Abedi Omary ME
11. 2016-02-10247 Jackson Ally Mkubwa ME
24
12. 2016-02-10260 Athanas Amos ME
13. 2016-02-10261 Hawa Maximillian Nditi KE
14. 2016-02-10249 Lawrance Charles ME
15. 2016-02-10992 Samwel A. Mwaigomole ME
16. 2016-02-10255 Mustafa Ngaja ME
17. 2016-02-10259 Irene Abraham Gettachew KE
18. 2016-02-10258 Peter Joseph Hilbajojo ME
19. 2016-02-10263 Adam S. Sarota ME
20. 2015-02-09331 Kelvin Kache Erasto ME
21. 2015-02-08321 Emmanuel Maduhu Lupiganchenga ME
22. 2015-02-09419 Rowlings M. Kilepo ME
23. 2015-02-08607 Maimuna Ahmed Simbah KE
24. 2014-02-07490 Sanjo Vermund Msemwa ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIPLOMA YA SAYANSI ZA
UFAMASIA, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI, MUHIMBILI.”
12.1.6 DIPLOMA YA UUGUZI
Diploma in Nursing (DN)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi ishrini na tisa (29)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Diploma ya Uuguzi yaani “Diploma in Nursing”, ya
Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili. Kabla ya kuwahudhurisha hawa
mbele yako naomba uniruhusu nimwombe Mkuu wa Skuli ya Uuguzi awalishwe kiapo cha
uaminifu na Utii wa Miiko ya Uuguzi.”
Wanafunzi wahitimu watasimama na kuvua kofia na kuinua mikono ya kulia, pia Wauguzi
wote walioko katika mahafali watasimama. Mkuu wa Skuli ya Uuguzi atasoma kiapo akiinua
mkono wake wa kulia na wahitimu watakubali kiapo. Wahitimu na Wauguzi wataketi baada
ya kiapo.
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie
Diploma ya Uuguzi.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia
1. 2015-02-09341 Lucy Aloyce Pius KE
2. 2016-02-09652 Moses M Andrea ME
3. 2016-02-09661 Neema Anthorney KE
4. 2016-02-10128 Yasinta Silivery Bingwa KE
5. 2016-02-09698 Revocastus Dotto ME
6. 2016-02-09562 Faraji Ayubu Duma ME
7. 2016-02-09622 Justini Godfrey Francis ME
8. 2016-02-09564 Fatma B Issa KE
9. 2016-02-09503 Ashfat A Kalokola KE
10. 2016-02-09616 Josephina J Luhanda KE
11. 2016-02-09658 Mwanaulu Mbaraka Mbwana KE
25
12. 2016-02-10101 Silvina Edward Mgaya KE
13. 2016-02-10244 Mwanafatma Mikidadi KE
14. 2016-02-09549 Emmanuel A Mollam ME
15. 2016-02-09662 Neema E Mpangala KE
16. 2016-02-10111 Tunukiwa N Mtega KE
17. 2016-02-09696 Regina Eliufoo Mwanja KE
18. 2016-02-09632 Linus M Mwelinde ME
19. 2016-02-10245 Bibiana C Njoka KE
20. 2016-02-09586 Happy Joel Nseka KE
21. 2016-02-09655 Mustapha H Shima ME
22. 2016-02-09534 Doreen Michael Sihewa KE
23. 2016-02-10095 Salma Suleiman KE
24. 2016-02-09499 Anitha C Tegamaisho KE
25. 2016-02-10133 Zainabu Thobias KE
26. 2016-02-10239 Damary Michael KE
27. 2016-02-10237 Sunday P Zawadi ME
28. 2013-02-06853 Sindai Mabula ME
29. 2011-02-03862 John M Mirisho ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIPLOMA YA UUGUZI, YA
CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI, MUHIMBILI.”
12.1.7 DIPLOMA YA JUU YA DERMATOVENEREOLOJIA
Advanced Diploma in Dermatovenereology (ADDV)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi sita (6) wamefuzu na
wanastahili kutunukiwa Diploma ya Juu ya Dermatovenereolojia, yaani “Advanced Diploma
in Dermatovenereology”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili. Nina
heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Diploma ya Juu ya Elimu ya
Dermatovenereolojia.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia
1. 2017-03-10899 Dan Kwacha ME
2. 2017-03-10989 Tisho Manfred Hadebe ME
3. 2017-03-11022 Jacquiline Haron Nyaboke KE
4. 2017-03-10883 Cecilia Juma KE
5. 2017-03-10862 Evans Awich Nganyi ME
6. 2017-03-11089 Lucy Augustine Mmbando KE
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIPLOMA YA JUU YA
DERMATOVENEREOLOJIA, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI,
MUHIMBILI.”
26
13.0 NAIBU MAKAMU MKUU WA CHUO – TAALUMA, UTAFITI NA USHAURI WA
KITAALUMA (The Deputy Vice Chancellor – Academic, Research and Consultancy)
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo – Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma atasimama na
kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, atasema:
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, sasa ninawakaribisha Wakuu wa Skuli, wa Chuo Kikuu cha
Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili ili wawahudhurishe mbele ya mahafali wanafunzi
waliofuzu upate kuwatunukia digrii wanazostahili kwa utaratibu kama ulivyopangwa.”
13.1 MKUU WA SKULI YA AFYA NA SAYANSI YA JAMII
(Dean, School of Public Health and Social Sciences)
13.1.1 DIGRII YA SAYANSI ZA AFYA YA MAZINGIRA
Bachelor of Science in Environmental Health Sciences (BSc. EHS)
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi thelathini na tatu (33)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Sayansi za Afya ya Mazingira yaani
“Bachelor of Science in Environmental Health Sciences”, ya Chuo Kikuu cha Afya na
Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie
Digrii ya Sayansi za Afya ya Mazingira.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
1. 2016-04-10018 Emiliana Charles Oisso KE
2. 2016-04-10019 Juliana Claud Kimario KE
3. 2016-04-10017 Emanuel Clemence ME
4. 2015-04-08291 Jane E Maboto KE
5. 2016-04-09900 Sibilina Erasmi Mushi KE
6. 2016-04-09922 Veronica G Gwisu KE
7. 2016-04-10052 Bahati Hakili ME
8. 2016-04-09776 Godfrey Joseph Lyimo ME
9. 2016-04-09978 Dotto Kasanga ME
10. 2016-04-09915 Asifiwe Julius Kayinga KE
11. 2016-04-09714 Samson Anipokee Kibona ME
12. 2016-04-09976 Shafani Lameck Kimali ME
13. 2016-04-10038 Maria Alexender Kitali KE
14. 2016-04-10146 Alfred Maira ME
15. 2016-04-09901 Selina Marwa KE
16. 2016-04-09972 Samwel Yohan Mbemba ME
17. 2016-04-10162 Shukurani Meshack Mkongwa ME
18. 2016-04-10025 Theresia Peter Mrema KE
19. 2016-04-09771 Zawadi Raphael Msigala ME
20. 2016-04-09989 Eliada M Mwamlima KE
21. 2016-04-09822 Misheki N Mwamlima ME
22. 2016-04-09814 Festo Fiten Mwaniloli ME
23. 2016-04-09783 Mathew Michael Mwaulambo ME
24. 2016-04-10039 Winifrida Dominic Ngassa KE
25. 2016-04-09903 Juliana Thade Olomi KE
27
26. 2016-04-10048 Safia Said KE
27. 2016-04-10147 Margareth Blasi Seleki KE
28. 2016-04-09981 Edina L Seleman KE
29. 2016-04-09831 Ramadhani Sufiani ME
30. 2016-04-09868 Anturu Christiani Tesha ME
31. 2016-04-09985 Angel Tukiko KE
32. 2016-04-09983 Furaha Jimmy Twendege ME
33. 2016-04-09982 Vaileth Valen KE
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA SAYANSI ZA
AFYA YA MAZINGIRA, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI
MUHIMBILI.”
13.2 MKUU WA SKULI YA UUGUZI
(Dean, School of Nursing)
Atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha atasema:
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi sitini na tano (65)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uuguzi na Digrii ya Ukunga. Kabla ya
kuwahudhurisha hawa mbele yako naomba uniruhusu niwalishe Kiapo cha Uaminifu na Utii
wa Miiko ya Uuguzi na Ukunga.”
Wanafunzi wahitimu watasimama na kuvua kofia na kuinua mikono ya kulia, pia Wauguzi
wote walioko katika Mahafali watasimama. Mkuu wa Skuli ya Uuguzi atasoma kiapo akiinua
mkono wake wa kulia na wahitimu watakubali kiapo. Wahitimu na Wauguzi wataketi baada
ya kiapo.
13.2.1 DIGRII YA UUGUZI
Bachelor of Science in Nursing (BSc. Nursing)
Atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha atasema:
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi arobaini na mbili (42)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Uuguzi yaani “Bachelor of Science in
Nursing”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili.
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ------ waliopo ili
uwatunukie Digrii ya Uuguzi.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
1. 2014-04-07288 John Pius ME
2. 2015-04-08221 Anacletus Bernard ME
3. 2015-04-08247 Boniface N Chengula ME
4. 2015-04-08262 Leinfrida Cornely KE
5. 2015-04-08301 Mugurus Elius ME
6. 2015-04-08314 God Emmanuel ME
7. 2015-04-08342 Tionila Lucas Fissoo KE
8. 2015-04-08366 Aidan Gilles ME
28
9. 2015-04-08971 Ali S Hamad ME
10. 2015-04-08421 Athuman Hango Iddi ME
11. 2015-04-08457 Judith John KE
12. 2015-04-08511 Eliud Ezekiel Kasule ME
13. 2015-04-08530 Judith Ruben Kileofasi KE
14. 2015-04-08559 Zaituni Rashidi Langi KE
15. 2015-04-08560 Hairun Tunu Lashku KE
16. 2015-04-08600 Nicholaus Magida ME
17. 2015-04-08640 Charles Marwa ME
18. 2015-04-08692 Benedicto Tenson Mgala ME
19. 2015-04-08702 John S Mhando ME
20. 2015-04-08708 Paschal Izack Mhuhi ME
21. 2015-04-08723 Isaka Haroun Mlimbo ME
22. 2015-04-08741 Paschal Masanja Mpampa ME
23. 2015-04-08743 Raban R Mpinzile ME
24. 2015-04-08786 Happy H Mwakatobe KE
25. 2015-04-09195 Siraji Issa ME
26. 2015-04-08790 Ipyana G Mwakyami ME
27. 2015-04-08821 Emitodi Aron Ndaluboneye ME
28. 2015-04-08857 Daniel Charles Nkoboke ME
29. 2015-04-08858 Emmanuel Nkuba ME
30. 2015-04-08876 Suzana Nyanzila KE
31. 2015-04-08884 Roselyne Achieng Okello KE
32. 2015-04-08895 Anyango Alice Otieno KE
33. 2015-04-08937 Samwel Meshlyeki Rariani ME
34. 2015-04-08964 Modesta Rukoijo KE
35. 2015-04-08988 Mashaka Salehe ME
36. 2015-04-09003 Amos K Samsoni ME
37. 2015-04-09009 Frank Peter Samweli ME
38. 2015-04-09033 Mashaka Shitungulu ME
39. 2015-04-09040 Maneno Sigwa ME
40. 2015-04-09066 Christina J Tarimo KE
41. 2015-04-09080 Orestha Malyatabu Thomas ME
42. 2015-04-09104 Abu B Wikechi ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UUGUZI YA CHUO
KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI.”
13.2.2 DIGRII YA UKUNGA
Bachelor of Science, Midwifery (BSc. Midwifery)
Atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha atasema:
‘’Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi ishirini na tatu (23)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Ukunga yaani “Bachelor of Science,
29
Midwifery”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili.” Nina heshima
kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya Ukunga.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
1. 2015-04-08176 Baraka Amanyisye ME
2. 2015-04-08244 Peter Charles ME
3. 2015-04-08378 Damian Gregory ME
4. 2015-04-08382 Hamisi Yusufu Habibu ME
5. 2015-04-08404 Anord Heneryco ME
6. 2015-04-08450 Wiliam Japheth ME
7. 2015-04-08565 Ntiga Leonard ME
8. 2015-04-08605 Diana Stephano Mahundi KE
9. 2015-04-08652 Epimack Raymond Massawe ME
10. 2015-04-08669 Kashindye Maziku KE
11. 2015-04-08695 Shuhudia Sebastian Mgedzi ME
12. 2015-04-09123 Shabaan Z Mohammed ME
13. 2015-04-08753 Mediana M Mswima KE
14. 2015-04-08772 Neema Mushi KE
15. 2015-04-08777 Tatizo Mussa ME
16. 2015-04-08798 Emmanuel P Mwanga ME
17. 2015-04-08797 Nusura H Mwanga KE
18. 2015-04-08828 Faizat Bashir Ndosa KE
19. 2015-04-08838 Godfrey P Ngaya ME
20. 2015-04-08861 Agatha Norbert KE
21. 2015-04-08969 Rwegasira Rwemela ME
22. 2015-04-09061 Felista W Swai KE
23. 2015-04-08522 Evance Honest Kessy ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UKUNGA YA CHUO
KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI.”
13.3 MKUU WA SKULI YA MENO
(Dean, School of Dentistry)
13.3.1 DIGRII YA UDAKTARI WA AFYA YA KINYWA NA MENO
Doctor of Dental Surgery (DDS)
Atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha atasema:
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi arobaini na mbili (42)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Udaktari wa Afya ya Kinywa na Meno yaani
“Doctor of Dental Surgery”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili.
Kabla ya kuwahudhurisha hawa mbele yako naomba uniruhusu niwalishe Kiapo cha
Uaminifu na Utii wa Miiko ya Udaktari.”
Wanafunzi wahitimu watasimama na kuvua kofia na kuinua mikono ya kulia, pia Madaktari
wote wa meno walioko katika Mahafali watasimama. Mkuu wa Skuli ya Meno atasoma kiapo
30
akiinua mkono wake wa kulia na wahitimu watakubali kiapo. Wahitimu na Madaktari wa
meno wataketi baada ya kiapo.
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie
Digrii ya Udaktari wa Afya ya Kinywa na Meno.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
1. 2014-04-07852 Irene Alfred KE
2. 2014-04-07217 Hapiness Alphonce KE
3. 2014-04-07689 Seph Abdilah Alute ME
4. 2014-04-07085 Dwarika Avnish Bhatt KE
5. 2014-04-07125 Epipodius Bimbona ME
6. 2014-04-07136 Fadha Adam Buliba ME
7. 2014-04-07553 Noela Hidat Daniel KE
8. 2014-04-07400 Marco Leonard David ME
9. 2014-04-07155 Fortunata C Eligi KE
10. 2014-04-07660 Sakina Shabbir Essajee KE
11. 2014-04-07361 Leonard Evarist ME
12. 2014-04-07832 Aliya Ibrahim Gothey KE
13. 2014-04-07638 Robson Imani Inocent ME
14. 2014-04-07727 Suleiman Issa ME
15. 2014-04-07708 Simon James ME
16. 2014-04-07719 Stephen Jamson ME
17. 2014-04-07127 Ernest Bulabo John ME
18. 2014-04-07600 Peter U. Josephat ME
19. 2013-04-05478 Richard Kanijo ME
20. 2014-04-07068 David George Kimingo ME
21. 2014-04-07272 James E Mamboleo ME
22. 2014-04-07794 Innocent D Matemba ME
23. 2014-04-07018 Bernad Matofali ME
24. 2014-04-07289 John S Mbaga ME
25. 2014-04-07659 Saiteru Meijo ME
26. 2014-04-07207 Hamadi Rajabu Miraro ME
27. 2014-04-07571 Odilia Pili Missungwa KE
28. 2014-04-07423 Mashaka Hassan Mrisho ME
29. 2014-04-07406 Mariam Habib Nuru KE
30. 2014-04-07473 Mohamed Omari Nyakasene ME
31. 2014-04-07100 Eliya Stephano Nyamweru ME
32. 2014-04-07151 Flaviana Joseph Nyatu KE
33. 2014-04-07686 Seleman Philimon ME
34. 2014-04-07114 Emmanuel Saganda ME
35. 2014-04-07717 Sospeter Ephraim Sewangi ME
36. 2014-04-07368 Loth Shamliga ME
37. 2014-04-07776 Yeremia Silvanus ME
38. 2014-04-07267 Jacob Leopold Silvini ME
39. 2014-04-07162 Francisca Muzuka KE
31
40. 2014-04-07113 Emmanuel P Urassa ME
41. 2012-04-04222 Jonas Barugahe ME
42. 2012-04-04339 Maryam M Suleiman KE
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UDAKTARI WA
AFYA YA KINYWA NA MENO, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI
MUHIMBILI.”
13.4 MKUU WA SKULI YA FAMASIA
(Dean, School of Pharmacy)
13.4.1 DIGRII YA UFAMASIA
(Bachelor of Pharmacy (B. Pharm)
Atasimama na kutoa heshima kwa Mgeni wa Chuo, kisha atasema:
“Mhesimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi sabini na tano (75)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Ufamasia yaani “Bachelor of Pharmacy”, ya
Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Kabla ya kuwahudhurisha hawa mbele
yako naomba uniruhusu niwalishe Kiapo cha Uaminifu na Utii wa Miiko ya Ufamasia.”
Wanafunzi wahitimu watasimama na kuvua kofia na kuinua mikono ya kulia, pia Wafamasia
wote walioko katika Mahafali watasimama. Mkuu wa Skuli ya Famasia atasoma kiapo
akiinua mkono wake wa kulia na wahitimu watakubali kiapo. Wahitimu na Wafamasia
wataketi baada ya kiapo.
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie
Digrii ya Ufamasia.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
1. 2015-04-08194 Daud Aron ME
2. 2015-04-08193 Martine Aron ME
3. 2015-04-08231 Esther Boniface Bulamile KE
4. 2015-04-08233 Grace Bunzil KE
5. 2015-04-08264 John Dahil ME
6. 2015-04-09172 Edifai Edson ME
7. 2015-04-08294 Faustine Mdula Edward ME
8. 2015-04-08350 Leonard G. Fulko ME
9. 2015-04-08395 Geofrey M. Harison ME
10. 2015-04-08466 James R. Jomanga ME
11. 2015-04-08490 Abdul Juma ME
12. 2015-04-08491 Ramadhan Juma ME
13. 2015-04-08497 Peter K. Rweyemamu ME
14. 2015-04-08500 Augustino S. Kahere ME
15. 2015-04-08502 Hadija Idd Kaholla KE
16. 2015-04-08512 Abasi Uwesu Katundu ME
17. 2015-04-08536 Paulo V. Kinyaga ME
32
18. 2015-04-08542 Ombeni S. Kisamo ME
19. 2015-04-09155 Martha Baliza Kulwa KE
20. 2015-04-08555 Erick Andrea Kusenha ME
21. 2015-04-08562 Sechelela Vincent Lemanya KE
22. 2015-04-08572 Evaline Lomboi KE
23. 2015-04-08603 Innocent F. Mahenge ME
24. 2015-04-08612 Adriano Majaliwa ME
25. 2015-04-08618 Jephter E. Malifa ME
26. 2015-04-08621 Muhsini Maluchila ME
27. 2015-04-08622 Ntilasanwa Manga ME
28. 2015-04-08624 Charles E. Manjira ME
29. 2015-04-08625 Fidelis Francis Manyaki ME
30. 2015-04-08634 Wilson Mariki ME
31. 2015-04-08668 Edward Mayila ME
32. 2015-04-08680 Eugine Mbwilo ME
33. 2015-04-08681 Edward Goodness Mchau ME
34. 2015-04-08700 Baraka Christopher Mhagama ME
35. 2015-04-08716 Dioniz Mussa Misalaba ME
36. 2015-04-09189 Irene Estomihi Mmari KE
37. 2015-04-09169 Samson Constantine Mmasi ME
38. 2015-04-08725 Kija Ilanga Mnada ME
39. 2015-04-09198 Baraka John Mosi ME
40. 2015-04-08745 Asha Mussa Mrindoko KE
41. 2015-04-09174 Goodluck S. Mrusha ME
42. 2015-04-09168 Johnson D. Mshangila ME
43. 2015-04-08752 Adonis G. Msigwa ME
44. 2015-04-08771 Magreth Frank Mushi KE
45. 2015-04-08776 Latifa Hamad Mussa KE
46. 2015-04-08780 David Lucas Mvukie ME
47. 2014-04-07830 George Andrea Mvuma ME
48. 2015-04-08784 Bakineppo Mwakalasya ME
49. 2015-04-08785 Yusuph Mwakatobe ME
50. 2015-04-08787 Gerald Gaspar Mwakatuma ME
51. 2015-04-08822 Baraka S. Ndambo ME
52. 2015-04-08824 Yoel E. Ndegea ME
53. 2015-04-08825 Esther J. Ndegeulaya KE
54. 2015-04-08836 Erasto Ashery Ngailo ME
55. 2015-04-08839 Mary Ngelanija KE
56. 2015-04-08840 Saad S. Ngonwe ME
57. 2015-04-08872 Ng'Wisho Nyalali ME
58. 2015-04-08879 Goodluck G. Nyondo ME
59. 2015-04-08889 Hadija A Omary KE
60. 2015-04-08919 Baraka P. Poyongo ME
61. 2015-04-09000 Erasto Bernard Samizi ME
33
62. 2015-04-09153 Kulwa Samson ME
63. 2015-04-09004 Winnie Samwel KE
64. 2015-04-09012 Zawadi Ramadhan Seif ME
65. 2015-04-09190 Alfred Silvan ME
66. 2015-04-08313 Meshack Emmanuel Tango ME
67. 2015-04-09119 Yohana Yusufu ME
68. 2014-04-07106 Emanuel Philip Makoi ME
69. 2014-04-07863 Eugene Valence ME
70. 2014-04-07104 Elyuta Tossi ME
71. 2014-04-07307 Josephat Seleman ME
72. 2014-04-07753 Tusankine Zerubabel Nzowa ME
73. 2014-04-07779 Yona Elias ME
74. 2014-04-07818 Rashid Seif Shomary ME
75. 2014-04-07827 Hija A. Salehe ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UFAMASIA, YA
CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI.”
13.5 MKUU WA SKULI YA TIBA
(Dean, School of Medicine)
13.5.1 DIGRII YA SAYANSI ZA MAABARA YA TIBA
Bachelor of Medical Laboratory Sciences (BMLS)
Atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha atasema:
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi thelathini na nane (38)
wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Sayansi za Maabara ya Tiba, yaani
“Bachelor of Medical Laboratory Sciences”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi
Muhimbili. Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili
uwatunukie Digrii ya Sayansi ya Maabara ya Tiba.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
1. 2016-04-09979 Somoe S Shaibu KE
2. 2016-04-10057 Malselino Silasi ME
3. 2015-04-08242 Maria
Chappa KE
4. 2015-04-08930 Abdulhakim A Ramadhani ME
5. 2016-04-09974 Hussein
Mohamed ME
6. 2016-04-09913 Lucy Clemence Mwenda KE
7. 2016-04-10074 Caroline
Vitalis KE
8. 2016-04-09995 Michael Simon Bokobola ME
9. 2016-04-09717 Sitta George ME
10. 2016-04-09934 Asia H Joho KE
11. 2016-04-09973 Husna Yasini Kalole KE
12. 2016-04-09910 Asmara A Mfangavo KE
13. 2016-04-09999 Issa Ramadhan Mhando ME
34
14. 2016-04-10058 Yohana Nzella ME
15. 2016-04-09933 Thereza Petro KE
16. 2016-04-09719 Abel C Martine ME
17. 2016-04-09912 Grace Sweetbetus Ncheye KE
18. 2016-04-09784 Bazira Fulgence ME
19. 2016-04-09866 Baraka Twaha Mfwangavo ME
20. 2016-04-09926 Betrovia Benny Kasanga KE
21. 2016-04-09968 Maduhu Kichenga Kilinga ME
22. 2016-04-09864 Ndayanze Laurence ME
23. 2016-04-10030 Brayson Mbwambo ME
24. 2016-04-10010 Frank M Sindato ME
25. 2015-04-08503 Timon Abel Kaja ME
26. 2015-04-08586 Tulalumba Lwesya KE
27. 2016-04-09833 James N Mathias ME
28. 2016-04-09967 Joseph Joseph Mitepa ME
29. 2016-04-09813 Cornel R Mlwilo ME
30. 2016-04-09826 Regan A Mmasi ME
31. 2016-04-09827 Gilbert Betramu Mtenga ME
32. 2016-04-09996 Ramadhani Hamdani Shebughe ME
33. 2016-04-10034 Goodluck Johnsone Mgaya ME
34. 2016-04-10005 Athuman Mtinda Athumani ME
35. 2015-04-09194 Jesse Juvenal Kessy ME
36. 2016-04-09965 Masumbuko Lukanya ME
37. 2016-04-09867 Michael Lemu Lulambo ME
38. 2016-04-09971 Omari R Shetembo ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA SAYANSI ZA
MAABARA YA TIBA, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI
MUHIMBILI.”
13.5.2 DIGRII YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA MATIBABU YA MIONZI
Bachelor of Science in Radiation Therapy Technology (BSc. RTT)
Atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha atasema:
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi nane (8) wamefuzu na
wanastahili kutunukiwa Digrii ya Sayansina Teknolojia ya Matibabu ya Mionzi yaani
“Bachelor of Science in Radiation Therapy Technology”, ya Chuo Kikuu cha Afya na
Sayansi Shirikishi Muhimbili. Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie
Digrii ya Sayansi na Teknolojia ya Matibabu ya Mionzi.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsi
1. 2016-04-09951 Amina M Bakari KE
2. 2016-04-09770 Peter Fabian ME
3. 2016-04-09775 Tedy Chedy Kafyulilo ME
35
4. 2016-04-09844 Francis Kazoba ME
5. 2015-04-09187 Omary Haruna Msehwa ME
6. 2016-04-09949 Sauda Amani Mushi KE
7. 2016-04-09787 Donato Lucas Nyakunga ME
8. 2015-04-09183 Fredick L Mushi ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA SAYANSI NA
TEKNOLOJIA YA MATIBABU YA MIONZI, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI
SHIRIKISHI MUHIMBILI.”
13.5.3 DIGRII YA UDAKTARI WA BINADAMU
Doctor of Medicine (MD)
Atasimama na kutoa heshima kwa Mkuu wa Chuo, kisha atasema:
“Mheshimiwa Mkuu wa Chuo, katika mwaka wa 2019, wanafunzi mia moja themanini na
tisa (189) wamefuzu na wanastahili kutunukiwa Digrii ya Udaktari wa binadamu, yaani
“Doctor of Medicine”, ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili. Kabla ya
kuwahudhurisha hawa mbele yako naomba uniruhusu niwalishe Kiapo cha Uaminifu na Utii
wa Miiko ya Udaktari.”
Wanafunzi wahitimu watasimama na kuvua kofia na kuinua mikono ya kulia, pia Madaktari
wote wa binadamu walioko katika Mahafali watasimama. Mkuu wa Skuli ya Tiba atasoma
kiapo akiinua mkono wake wa kulia na wahitimu watakubali kiapo. Wahitimu na Madaktari
wa Tiba wataketi baada ya kiapo.
“Nina heshima kuwahudhurisha mbele yako ili uwatunukie Digrii ya Udaktari wa binadamu.
Na. Na. ya Udahili Jina la Kwanza Jina Linginelo Jina la Ukoo Jinsia
1. 2012-04-03941 Albert Chalinze ME
2. 2012-04-04015 Betrida Ntunaguzi KE
3. 2012-04-04112 Faraja Cameroon Mwinuka KE
4. 2012-04-04254 Kalukula Ramadhani ME
5. 2012-04-04494 Ramadhani Shaban ME
6. 2012-04-04526 Sakina Banzi KE
7. 2012-04-04627 William V Longway ME
8. 2013-04-04882 Adam Ambindwile Kamendu ME
9. 2013-04-04890 Agnes Fridomu Njau KE
10. 2013-04-04891 Ahazi Amani Mwangolombe ME
11. 2013-04-04903 Alex Gabagambi Alexander ME
12. 2013-04-04930 Aqbara I Chande KE
13. 2013-04-04948 Bakari Omary Mhando ME
14. 2013-04-04949 Bakari Juma Kibambe ME
15. 2013-04-04954 Bashiru Bengesi Khamis ME
16. 2013-04-04993 Damas Mwombeki ME
17. 2013-04-05001 David John Mwaipaya ME
18. 2013-04-05014 Deus Mboje Nassoro ME
36
19. 2013-04-05018 Dickson Malima Bakilana ME
20. 2013-04-05019 Dickson Peter Kopweh ME
21. 2013-04-05036 Edwin Samwel Chellunga ME
22. 2013-04-05037 Effeso B. Kaguo ME
23. 2013-04-05042 Elizabeth Bernard KE
24. 2013-04-05046 Emanuel A. Lyeme ME
25. 2013-04-05093 Francis Simon ME
26. 2013-04-05108 Gazilo Aloycius Zacharia ME
27. 2013-04-05116 Ghatty Sebastian Marwa KE
28. 2013-04-05118 Given James ME
29. 2013-04-05132 Godson Mbeikya Edwin ME
30. 2013-04-05180 Iddi Ramadhan Kalesere ME
31. 2013-04-05182 Iddy Ally Omary ME
32. 2013-04-05189 Innocent Martin Lawi ME
33. 2013-04-05193 Ipyana Essau Sichali ME
34. 2013-04-05207 Jackson Mgusuhi Charles ME
35. 2013-04-05210 Jacqueline John Kihamba KE
36. 2013-04-05234 John Julius Nkuba ME
37. 2013-04-05238 Jonathan Mugenyi ME
38. 2013-04-05240 Joseph Costantine Assenga ME
39. 2013-04-05251 Josephath William ME
40. 2013-04-05253 Joshua Donasiano ME
41. 2013-04-05254 Joshua Dickson Mwakanyamale ME
42. 2013-04-05275 Kagoma Pius ME
43. 2013-04-05276 Kalunde Kaombwe Julius KE
44. 2013-04-05278 Karim Shabani Bembe ME
45. 2013-04-05302 Lilian Lucas Kazawadi KE
46. 2013-04-05313 Madai Mparazo ME
47. 2013-04-05320 Majagi George ME
48. 2013-04-05326 Maria Paul Ndonde KE
49. 2013-04-05332 Martha Julius Chacha KE
50. 2013-04-05350 Mauwa Huseni Omari KE
51. 2013-04-05431 Nuhu Gasper Mabula ME
52. 2013-04-05466 Raymond Raymond Malwata ME
53. 2013-04-05565 Timoth Bende ME
54. 2014-04-06933 Abdallah Maurice ME
55. 2014-04-06944 Abramu Mibaraka ME
56. 2014-04-06952 Agnes Neema Vogt KE
57. 2014-04-06959 Ali Azim Bhalloo ME
58. 2014-04-06960 Alice E Mwakabuli KE
59. 2014-04-06962 Alkadius Salipius ME
60. 2014-04-06969 Ambokile Mwakibolwa ME
37
61. 2014-04-06974 Andrea Thadei Jinguu ME
62. 2014-04-06977 Aneth Charles Kaliza KE
63. 2014-04-06980 Anisa Hassan Mshale KE
64. 2014-04-06982 Anna Louis Jazza KE
65. 2014-04-06985 Anold Ernest ME
66. 2014-04-06993 Ashiraf Ruchwele Athuman ME
67. 2014-04-06999 Atupokile E Sanga KE
68. 2014-04-07002 Avent Kalumiana ME
69. 2014-04-07004 Ayubu Mahili Malele ME
70. 2014-04-07005 Ayubu Aloyce Ngimbudzi ME
71. 2014-04-07006 Azaldin A Barunguza ME
72. 2014-04-07010 Baraka Haji ME
73. 2014-04-07012 Beatha Mdendemi KE
74. 2014-04-07014 Bellansila Lebero KE
75. 2014-04-07015 Benard Mbilinyi ME
76. 2014-04-07019 Bernadetha Nguvila KE
77. 2014-04-07023 Billey J Nyigu ME
78. 2014-04-07028 Boniphace Barnabas Marwa ME
79. 2014-04-07045 Clemence Exaudi ME
80. 2014-04-07050 Consolatha Nyahuru Mahamba KE
81. 2014-04-07062 Daniel W. Maugo ME
82. 2014-04-07070 Davis V. John ME
83. 2014-04-07090 Edmund Charles Massanja ME
84. 2014-04-07099 Elistabius Thomas Kaijage ME
85. 2014-04-07103 Elizabeth Malunde KE
86. 2014-04-07109 Emiliana Alex Pascal KE
87. 2014-04-07115 Emmanuel Apolinary Tairo ME
88. 2014-04-07116 Emmanuel Moses ME
89. 2014-04-07117 Emmanuel Lucas ME
90. 2014-04-07118 Emmanuel Joseph Massawe ME
91. 2014-04-07132 Euphrasia K Rweikiza KE
92. 2014-04-07134 Evance Salvatory Rwomurushaka ME
93. 2014-04-07135 Ewald I Mkenda ME
94. 2014-04-07146 Felister Silvester KE
95. 2014-04-07147 Felister Michael Nchama KE
96. 2014-04-07148 Felix Laban ME
97. 2014-04-07149 Festo Nayingo ME
98. 2014-04-07154 Florian Emanuel ME
99. 2014-04-07165 Fredrick Aloyce Bwire ME
100. 2014-04-07171 Gasto Bernard ME
101. 2014-04-07176 Geofrey Mwombeki ME
102. 2014-04-07177 George Japhet Hemed ME
38
103. 2014-04-07178 George Thomas Nsoke ME
104. 2014-04-07182 Gibons Willy ME
105. 2014-04-07190 Godbless M Philipo ME
106. 2014-04-07212 Hamphrey S Kabelinde ME
107. 2014-04-07214 Hans Michael Tesha ME
108. 2014-04-07218 Happiness Godlisten Mariki KE
109. 2014-04-07220 Hashim Titho ME
110. 2014-04-07230 Hemenic Ashery ME
111. 2014-04-07231 Henry Justo Stanley ME
112. 2014-04-07237 Hosea Boniphace Tabu ME
113. 2014-04-07238 Hoseenu Palilo ME
114. 2014-04-07247 Ibadi Julius Kaondo ME
115. 2014-04-07248 Ibrahim Abdul Hazali ME
116. 2014-04-07249 Innocent Sabbas Yusufu ME
117. 2014-04-07254 Irene Mutashobya KE
118. 2014-04-07255 Isaac John Batule ME
119. 2014-04-07264 Jackline Mathew Olesyaiti KE
120. 2014-04-07266 Jackson Henerico ME
121. 2014-04-07269 Jagadi Ntugwa ME
122. 2014-04-07273 James M Ndomba ME
123. 2014-04-07274 James Joseph ME
124. 2014-04-07275 James Salumu Jingu ME
125. 2014-04-07278 Jelemanus Kalani ME
126. 2014-04-07290 John T Quwanga ME
127. 2014-04-07294 Johnson Ezra Nkya ME
128. 2014-04-07302 Joseph M Mwalongo ME
129. 2014-04-07303 Joseph Thobias Massacre ME
130. 2014-04-07304 Joseph Paul Manda ME
131. 2014-04-07320 Justine Mpwaga ME
132. 2014-04-07322 Kabuta J. Hanga ME
133. 2014-04-07325 Kalimu Elias ME
134. 2014-04-07339 Kelvin G Mushi ME
135. 2014-04-07343 Khadija N Mbekenga KE
136. 2014-04-07352 Ladslaus Richard Malima ME
137. 2014-04-07384 Madete Masunzu Madete ME
138. 2014-04-07385 Magere M. Mguri ME
139. 2014-04-07388 Mahamudu Mitenda ME
140. 2014-04-07401 Marco Yohana ME
141. 2014-04-07403 Marere Nyeura ME
142. 2014-04-07404 Maria Augustino Shemweta KE
143. 2014-04-07407 Mariam Mkubwa Hamad KE
144. 2014-04-07429 Mathias Maheri ME
39
145. 2014-04-07461 Miraji Nasibu Omary ME
146. 2014-04-07475 Mohamed A Sheikh ME
147. 2014-04-07478 Monica E Mtei KE
148. 2014-04-07481 Moses Isack ME
149. 2014-04-07502 Musa Mabwayi ME
150. 2014-04-07517 Namnyak Sinandei Makko KE
151. 2014-04-07526 Neema Allen Ng'unda KE
152. 2014-04-07528 Neema Laurian Mmassy KE
153. 2014-04-07530 Nelson Mgaya ME
154. 2014-04-07552 Noel Kennedy Saitoti ME
155. 2014-04-07555 Norbeth Kulisha Kasheshi ME
156. 2014-04-07584 Paschal John Madukwa ME
157. 2014-04-07588 Paul Makungu Mboje ME
158. 2014-04-07619 Rajab Maulid Mlawa ME
159. 2014-04-07631 Richard Paul Mzee ME
160. 2014-04-07640 Rodrick Cyriacus Lwamayanga ME
161. 2014-04-07643 Sabira Akber Versi KE
162. 2014-04-07644 Saburi Obadia ME
163. 2014-04-07668 Samson Henry ME
164. 2014-04-07669 Samson Hamisi ME
165. 2014-04-07678 Sara Maria Martensson KE
166. 2014-04-07680 Satrumin Raphael Paul ME
167. 2014-04-07683 Sebastian Edmund Nganyagwa ME
168. 2014-04-07688 Seni Alex ME
169. 2014-04-07700 Shivangi Mukesh Mandania KE
170. 2014-04-07701 Shomari James Joseph ME
171. 2014-04-07709 Simon Kayungilo Yasin ME
172. 2014-04-07715 Sonia Dossa Luhindi KE
173. 2014-04-07718 Stanslaus Ladislaus Shayo ME
174. 2014-04-07723 Steven P. Kongoche ME
175. 2014-04-07725 Subira Salehe KE
176. 2014-04-07726 Suddeys Abdulbasat ME
177. 2014-04-07741 Tevin Aganyira Kahwa ME
178. 2014-04-07749 Titus Kanani ME
179. 2014-04-07751 Tumain Adolph ME
180. 2014-04-07774 Winland Crispin Samweli ME
181. 2014-04-07778 Yohana Makeja ME
182. 2014-04-07801 Mhina Edward Mlangwa ME
183. 2014-04-07802 Barbara Idda Kaaya KE
184. 2014-04-07835 Nyabweru Bellen KE
185. 2014-04-07836 Rehema I Chogogwe KE
186. 2014-04-07841 Sylvia S Jumbe KE
40
187. 2014-04-07842 Josephina Sebastian Mboye KE
188. 2014-04-07857 Emanuel Pyuza ME
189. 2014-04-07858 Bonaventula Mwakasala ME
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA NAKUTUNUKIENI DIGRII YA UDAKTARI WA
BINADAMU, YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI.”
14. MWISHO WA SHUGHULI
Baada ya Wakuu wa Skuli na Wakurugenzi wa Taasisi kuwahudhurisha wahitimu mbele ya
Mkuu wa Chuo kwa minajili ya kutunukiwa stashahada, shahada, na shahada za juu
mbalimbali. Mkuu wa Chuo atatangaza kuvunja mahafali ya 13 ya Chuo Kikuu cha Afya na
Sayansi Shirikishi Muhimbili.
15. MKUU WA CHUO KUVUNJA MAHAFALI
MKUU WA CHUO:
“KWA MAMLAKA NILIYOKABIDHIWA SASA NAVUNJA MAHAFALI HAYA YA KUMI NA
TATU YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI.”
16. WIMBO WA TAIFA
Mara baada ya Mkuu wa Chuo kutangaza kuvunja mahafali watu wote watasimama na wimbo
wa taifa utaimbwa. Baada ya wimbo wa Taifa, kikosi cha bendi kitapiga muziki wa kutoa
maandamano ya wanataaluma kutoka uwanja wa mahafali.
Mlau atongoza maandamano ya wanataalum, pamoja na wageni waalikwa, na wahitimu
kutoka uwanja wa mahafali.
17. KUONDOKA KWA MKUU WA CHUO
Mkuu wa Chuo na wote waliokuwa kwenye jukwaa watateremka na kuunga msafara na
kuelekea Chumba cha Semina, Jengo Herufi M wakiongozwa na Mkuu wa Chuo.
18. KUPIGA PICHA NA MKUU WA CHUO
Picha zitapigwa katika eneo la mahafali
***************************************************************************
41