documentc

20
Kikao cha Maalim Seif, Dr. Shein kina walakini Wajumbe: CCM 4, CUF mmoja! Kwani UKAWA hawana wazee? Mzee Mwinyi na ‘Lusitania ya Jecha’ ‘Yauma tublaa sSaraairu’… Siku hiyo tutaziba vinywa vyao… SHEIKH Ponda Issa Ponda. SHEIKH Msellem Ali. ISSN 0856 - 3861 Na. 1203 MUHARRAM 1437, IJUMAA , NOVEMBA 12-18, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected] Hapa kazi tu, ni… Bandika bandua kesi za Waislamu Novemba 19 Masheikh wa Segerea Novemba 23, wa rumande Butimba Ponda Novemba 18, Imam Hamza 30 Haya ndiyo majaaliwa ya Waislamu Uk. 20 Uk. 10 Kumbukumbu ya Yasser Arafat - Uk. 12 ANNUUR NEW.indd 1 11/12/2015 4:56:43 PM

Upload: mzalendonet

Post on 02-Feb-2016

2.302 views

Category:

Documents


0 download

DESCRIPTION

ANNUUR 1203

TRANSCRIPT

Page 1: Documentc

Kikao cha Maalim Seif, Dr. Shein kina walakini

Wajumbe: CCM 4, CUF mmoja!Kwani UKAWA hawana wazee?

Mzee Mwinyi na ‘Lusitania ya Jecha’

‘Yauma tublaa sSaraairu’…Siku hiyo tutaziba vinywa vyao…

SHEIKH Ponda Issa Ponda. SHEIKH Msellem Ali.

ISSN 0856 - 3861 Na. 1203 MUHARRAM 1437, IJUMAA , NOVEMBA 12-18, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected]

Hapa kazi tu, ni…Bandika bandua kesi za Waislamu

Novemba 19 Masheikh wa SegereaNovemba 23, wa rumande ButimbaPonda Novemba 18, Imam Hamza 30Haya ndiyo majaaliwa ya Waislamu

Uk. 20

Uk. 10

K u m b u k u m b u y a Yasser Arafat - Uk. 12

ANNUUR NEW.indd 1 11/12/2015 4:56:43 PM

Page 2: Documentc

2 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Mafundisho ya Qur’an Aal Imran: 21Makala

Fethullah-Gulen

“HAKIKA wale ambao wanazikufuru aya za Mwenyezi Mungu na wanawaua Manabii pasi na haki yoyote na wanawaua wale ambao wanaamrisha uadilifu katika watu, wabashirie adhabu yenye kutiwa uchungu” [Aali-Imran 21]

Hakika wale ambao wa m e k a n u s h a k i l a dini mpaka kuja kwa Uislamu au wamekubali baadhi ya mambo ya dini na wakamkanusha Mwenyezi Mungu na wakazikanusha aya ambazo zinafahamisha juu ya Mwenyezi Mungu mtukufu na juu ya umoja wake, wakapotea n a w a k a w a p o t e z a w a t u , w a m e t a j w a h a p a k wa m b a wa o wanazikufuru aya za M w e n y e z i M u n g u (kama) wanavyotajwa wale ambao wameipasua fimbo ya utiifu kwa M i t u m e a m b a o wamepelekwa, wakiwa ni njia ya kuokoka kwao na vikateremshwa vitabu juu yao, kwamba wao “wanawaua Mitume pasi na haki yoyote” na wamesifiwa wale ambao wanawafanyia na dini wale ambao wanafanya juhudi ya kuisimamisha haki na uadilifu kati ya watu na wanafanya mbinu za kuwaondosha wametajwa kwa sifa m b a y a s a n a n a y o n i k w a m b a w a o : “Wanawaua wale ambao wanaamrisha uadilifu katika watu” na mwisho ambao unawangojea watu hawa wote, ni mwisho mmoja tu nao ni adhabu yenye kutiwa uchungu.

Na mfano ya watu hawa hakuweza kubakia katika dunia na kukaa mi le le ka t ika h iyo dunia na hawakuweza k u z u i a k u o n d o k a kwao kwenda kwenye nyumba nyingine na hawakuajiandaa kwa ajili ya nyumba hiyo na kwa msemo wa Baddiu A-Zamanni A-Noursy: hawakuweza kukiua kifo kabla ya kufa kwa hiyo. Imekomelea mida yao katika dunia na wameipoteza akhera yao. Matokeo yake, wamepata hasara ya dunia na akhera na hiyo ndiyo hasara iliyo wazi sana.

Na lau tunayaelezea hapa mafunzo mwisho wa a ya , t u n g e o n a k wa m b a s i s i t u k o mbele ya silabi ambayo hatujaizoea. Ndiyo hatua yazoea maneno kuhusu Bishara kwa adhabu yenye kutiwa uchungu kwa sababu bishara hutumiwa wakati wa kuzungumzia kuhusu jambo zuri na lenye kufurahisha na jambo ambalo linamzamisha mtu katika mafanikio na halitumiwi wakati w a k u z u n g u m z i a mambo mabaya na yenye kuhuzunisha. Hapasemwi kwa mfano kuambiwa yule mtu ambaye amefiwa na mzazi wake-“Pongezi kwa kufiwa na mzazi.” Na kwa yule ambaye amefilisika: (haambiwi) “Pongezi ni zako kwa kufilisika.” Kwa sababu hiyo, kunapasa hapo kufanya utafiti, kuhusu hekima nyingine . Na Mwenyezi Mungu ndiye ujuzi na kuwazuzua. Na mfano wa watu hawa ambao zimekuwa nyoyo zao zimefungwa chembe ya imani na mbele ya Qur’an na nafsi zao zimejaa mfundo na chuki mbele ya mawili hayo, hapana shaka kwamba wao watapasuka wakati watakaposikia mfano wa aya hizi.

I wa p o t u t a f a n ya kazi ya kuutathimini m t i r i r i k o w a a y a

tunaweza kutaja undani ufuatao: Kwa hakika M w e n y e z i M u n g u mtukufu amefungua mbele ya watu hawa njia za uongofu na imani, na amewapelekea Mitume na amewapeleka baada ya hapo warithi wa Mitume ambao wanaamrisha uadilifu kati ya watu. I s i p o k u w a w a o waliendelea kukanusha neema hizi na kuzipinga maana hawakuamini na wakaingia katika kuwaua Mitume na kuwaua wale ambao wanaamrisha uadilifu katika watu. Kwa sababu hiyo akataja kwa kusema:

“Wabashirie adhabu yenye kutiwa uchungu”. [Aali-Imran 21]

Maneno haya ni kwa ajili ya kuweka wazi ubaya wa mwisho wa

watu hawa kwa upande na kuwahofisha kwa upande wa pili kwamba

wao wameipoteza fursa ya kuepuka adhabu na bishara ya hakika.

Mkuu wa shule, Kirinjiko Islamic English Medium Primary School anawatangazia wazazi na walezi waislamu nafasi za Darasa la I na za kuhamia kwa Darasa la II na III kwa mwaka 2016.

Kirinjiko Islamic English Medium Primary School ni kongwe ya Kiislamu iliyoanzishwa mwaka 2003. shule inatoa taaluma na malezi mazuri.

Shule ina mandhari mazuri na rafiki kwa mtoto kujifunza na kulelewa. Shule hii ni ya bweni na inapokea watoto wa kike na wa kiume.

Watoto wanapatiwa chakula kizuri na cha kutosha kwa kuzingatia lishe bora kwa watoto wadogo. Wapo wahudumu wenye uzoefu wa kuhudumia watoto wadogo kwa saa 24. Huduma zote nyingine muhimu zinapatikana shuleni.

Fomu za maombi ya kujiunga zinapatikana kote nchini katika vituo vilivyoorodheshwa katka uk.wa 19 wa gazeti hili.Mwisho wa kuchkua na kurudisha fomu ni 31 Desemba 2015. Kwa maelezo zaidi wasiliana na mkuu wa shule kupitia: S.L.P 62, SAME-KILIMANJARO.Simu Na.. 0742181474/0758989477Barua pepe (Email) : [email protected]

Wahi kuchukua fomu usikose nafasi hii adhimu!MKUU WA SHULE

KIRINJIKO ISLAMIC ENGLISH MEDIUM PRIMARY SCHOOL(SAME –KILIMANJARO)

NAFASI ZA DARASA LA I NA KUHAMIA DARASA LA II-III-2016

ANNUUR NEW.indd 2 11/12/2015 4:56:44 PM

Page 3: Documentc

3 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Habari

Bandika bandua kesi za WaislamuNa Bakari Mwakangwale

WAKATI macho na masikio ya wananchi wengine yakielekezwa katika kutathmini kasi ya “Awamu ya Hapa Kazi tu” itakavyowaletea m a e n d e l e o a u kuwapigisha maktaima walipo, kwa upande wa Waislamu hali ni tofauti kabisa.

Bado hawajui hatma yao katika hili wimbi la kuwaandama kwa tuhumza za ugaidi ambalo limeacha familia nyingi za Waislamu zikiathirika.

U k i a c h a k u n d i kubwa la Waislamu ambao wanashikiliwa katika magereza ya Dar es Salaam kwa tuhuma hizo, wapo pia wanaoshikiliwa mikoani ambapo imechukua muda mrefu bila kesi zao kuzungumzwa huku dhamana zao zikizuiwa.

W a i s l a m u h a o wakiwemo Masheikh wa UAMSHO, hivi sasa ni ‘wafungwa wasio hukumiwa’ baada ya kukaa rumande kwa miaka miwili.

Lakini ukiacha hao wa l i o ‘ wa f u n g wa ’ , bi la hukumu, wapo walioumizwa mikononi mwa vyombo vya dola, wakarejea makwao na vilema ama athari za kudumu za kiafya.

H a p a u t a m k u t a Ustadh Jamal Yassin aliyeponzwa na kanzu na kofia yake, ambapo w e n z a k e w e n g i n e wawili aliokamatwa nao waliachiwa baada ya kujitambulisha kuwa wao ni Pentekoste na Sabato.

Kwa upande wa kesi inayowakabili Masheikh Mselem Ally, Farid Had na Waislamu wengine 22, imefahamika mapema w i k i h i i k w a m b a h a t m a y a k u a n z a kusikilizwa kesi hiyo sasa ipo mikononi mwa Mahakama ya Rufani Tanzania.

Masheikh na Waislamu hao wamekuwa wakisota mahabusu ya gereza la

BAADHI ya Masheikh wa UAMSHO toka Zanzibar wakiwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. (Picha kutoka Maktaba yetu)Segerea kwa muda wa miaka miwili sasa, huku kesi yao ya msingi ya tuhuma za ugaidi, ikiwa haijaanza kusikilizwa.

Hiyo ni kutokana na sarakasi na mapingamizi ya kisheria yanayowekwa na upande wa mashitaka ambao ni Jamhuri.

Na Jamhuri ikiweka mapingamiz i hayo , inab id i upande wa u t e t e z i n a o k u j i b u hoja kwa kuwasilisha pingamizi/rufaa katika Mahakama ya Rufaa na kupelekea Mahakama ya Kisutu, kuiahirisha kesi mara kwa mara.

Dalili na hatma ya kuanza kusikilizwa kwa kesi hiyo, zimeonekana Jumatano wiki hii, katika Mahakama hiyo, baada ya majaji wanaosikiliza shauri la mapingamizi ya upande wa Serikali na washitakiwa, kueleza k u w a M a h a k a m a inakwenda kutafakari na taarifa ya uamuzi utatolewa Novemba 19, 2015.

Akielezea uamuzi huo, Wakili wa Masheikh na Waislamu hao, Bw. Juma Nassoro, alisema kesi imeahirishwa hadi Novemba 19 , 2015 , n a k wa m u d a h u u wanasubiri uamuzi wa

Mahakama ya Rufani, kuhusiana pingamizi a m b a l o S e r i k a l i wameliweka dhidi ya wateja wake.

“Leo (Juma tano wiki hii) hapa Mahakamani, tulikuwa tumewasilisha maombi ya kuitaka Mahakama ya Rufani, itoe uamuzi wa kufuta kusudio la Serikali kutaka kukata Rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu, uliotolea ufafanuzi juu ya kesi ya Masheikh k u s i k i l i z wa k a t i k a Mahakama ya Kisutu.” Amesema Wakili Juma.

Akifafanua alisema, awali uamuzi huo wa Mahakama Kuu, uliamua kwamba Mahakama ya Kisutu , ambayo hao Masheikh ndipo waliposhitakiwa inayo mamlaka ya kuamua m a s h i t a k a a m b a y o yanawakabili ni halali au la.

Wa k i l i N a s s o r o alisema, tulipokuwa Mahakama ya Kisutu, walipeleka maombi M a h a k a m a K u u , wakiomba Mahakama ya Kisutu ifute kesi hiyo kwa sababu Mahakama hiyo haina mamlaka y a k u a m u a k e s i inayowakabili wateja wake na kwamba hatua

hiyo ilifatia baada ya Mahakama yenyewe ( K i s u t u ) k u t a m k a kwamba haina mamlaka.

“ T u l i p e l e k a malalamiko Mahakama Kuu, nayo ilitoa ufafanuzi kwamba, Mahakama y a K i s u t u i n a y o mamlaka ya kuamua uhalali wa mashitaka w a l i y o s h i t a k i w a Masheikh na Waislamu hao au la.” Alisema.

Alisema, ama kwa upande wa Serikali , wao hawakuridhika n a m a a m u z i h a y o kwa maana hiyo nao waliwasilisha kusudio la kutaka kukata Rufaa katika Mahakama ya Rufani Tanzania.

Alisema, baada ya upande wa Mashitaka kuweka kusudio la kukata Rufaa kupinga maamuzi ya Mahakama Kuu, na wao upande wa utetezi walitoa maombi yao katika Mahakama hiyo ya Rufaa, kuwa hilo kusudio lao sio sahihi na kwamba halifai kusikilizwa Mahakamani hapo.

“Sasa leo (Jumatano wiki hii) tumekuja kusikiliza maombi yetu kwamba hilo kusudio

lao sio halali halipaswi kusikilizwa hapa. Kwa bahati nzuri au mbaya niseme kwamba, upande wa mashitaka wao tena wa l i l e t a p i n g a m i z i kupinga maombi yetu kwamba tuliyawasilisha kabla ya wakati, kwa madai kwamba bado hawajawasilisha rasmi rufaa, is ipokuwa ni kwamba Serikali imeleta kusudio la kukata rufaa tu.” Alifafanua Wakili Nassoro.

K wa m a a n a h i y o basi, kufuatia hali hiyo, a l i s e ma Ma h a k a m a imesikiliza hoja za pande zote mbili na imeweza kuonyesha kwamba, maombi ya upande wa utetezi ni sahihi kwa sababu kule Mahakama ya Kisutu, upande wa Mashitaka (Serikali) wamekuwa wakiahirisha kesi hiyo kwa muda wa miaka miwili sasa, k wa h o j a k wa m b a wanakusudia kukata rufaa ili hali Rufaa hiyo haipo na haiwasilishwi kwa muda wote huo.

W a k i l i N a s s o r o alisema, kutokana na hali hiyo, ni kawaida kwamba Mahakama ya Rufani sasa inakwenda kutafakari na italeta taarifa kwa kusoma uamuzi wa pingamizi hilo, kwa maana hiyo kesi imeahirishwa.

“ H i v y o t u t a r u d i Novemba 19 , 2015 , kusikiliza huo uamuzi, kama umekubal iwa au la , uk ikubal iwa maana yake ni kwamba tutarudi Mahakama y a K i s u t u , l a k i n i pingamzi likikataliwa maombi yetu sasa ya kutaka hilo kusudio la Serikali la kukata rufaa yatasikilizwa rasmi na ufumbuzi utapatikana.” A m e s e m a w a k i l i Nassoro.

Wa k a t i h u o h u o , kutoka Jijini Mawanza, i m e t a a r i f i wa k u wa k e s i i n a y o m k a b i l i Imam Hamza, nayo i m e a h i r i s h wa h a d i

Inaendelea Uk. 4

ANNUUR NEW.indd 3 11/12/2015 4:56:45 PM

Page 4: Documentc

4 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Tahariri

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

WAKATI uchaguzi Mkuu Tanzania bara ukiwa umeshamalizika, i s i p o k u w a k a t i k a majimbo machache a m b a y o u c h a g u z i huo haukufanyika kutokana na sababu za misiba na hitilafu za kiwaida, mawazo ya Watanzania bado yameendelea kubakia katika tathmini ya uchaguzi huo.

W e n g i b a d o mawazo na fikra zao wamezielekeza kwa Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli, huku hamu yao kubwa ikiwa ni kufuatilia kwa karibu utendaji wa kila siku wa Dkt. Magufuli, wakitamani kujua leo kafanya nini, kesho atafanya nini, kesho kutwa atakuwa wapi nk.

Lakini pia wengi bado wameelekeza mawazo yao huko v i s iwani Zanzibar wakitaka kujua nini hatma ya Uchaguzi Mkuu visiwani humo, kati ya wagombea Dkt. Ali Mohammed Shein wa CCM na Maalim Seif Sharif Hamad wa CUF, hasa baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC, kufuta uchaguzi uliokuwa ukielekea tamati visiwani humo.

Hadi sasa hal i ni kitendawili, haijulikani nini hatma ya uchaguzi huo na nani atakuwa Rais wa serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar.

K w a u j u l m a , Watanzania wengi bado wamegubikwa na fikra za uchaguzi, wakitaka kuona utenda j i wa viongozi wapya katika siku hizi za awali za madaraka yao, na pia

waki taka kumuona Rais mpya wa serikali ya Zanzibar na namna atakavyoanza kazi zake.

Wakati Watanzania wakiwa wametumbukia katika l indi hi lo la kisiasa, wamesahau kabisa kufikiri juu ya uwezekano wa kupata maafa yanayoweza kusababishwa na mvua zilizoanza kunyesha sehemu mbalimbali nchini na maeneo ya Afrika Mashariki kwa ujumla.

Tayari mvua hizo zimeshaleta madhara katika jiji la Mwanza, ambapo watu kadhaa w a m e a t h i r i k a kutokana na mafuriko yaliyokumba maeneo mbalimbali ya jiji hilo, hususan katika eneo la Mabatini.

Wa t u w a m e k o s a makazi, mali na miundo mbinu imeharibika. Ta a r i f a z i n a s e m a watu wawil i tayari wamethibitishwa kufa kutokana na mafuriko hayo na wengine kadhaa wakikosa makazi.

Huko Rorya, wapo wa k a z i wa m e k o s a m a k a z i b a a d a y a nyumba zao kuezuliwa na kimbunga, na mazao yao kuharibiwa nk.

Tunakumbuka kuwa awali, Mamlaka ya Hali ya Hewa TMA, i l i s h a t a n g a z a n a mapema kuwa kuna uwezekano mkubwa wa sehemu mbalimbali za nchi yetu kukumbwa na mvua kubwa za El Nino na kutoa tahadhari na mapema kwa wananchi, hususan wale wanaoishi katika maeneo hatarishi.

Hata hivyo tahadhari h i y o i m e o n e k a n a

Bandika bandua kesi za WaislamuInatoka Uk. 3Novemba 30.

K e s i h i y o i m e a h i r i s h wa k wa maelezo kuwa shahidi, upande wa mashitaka hakutumiwa nauli, kwa maana amehamishiwa Jijini Dar es Salaam, kikazi.

Aidha, kesi nyingine ya Wais lamu nane, wal iopo mahabusu k a t i k a G e r e z a l a Butimba, Jijini Mwanza nayo imeahirishwa hadi Novemba 23, 2015.

Katika kadhia ya Ustadh Jamal Yassin, huyu alikamatwa akiwa n a a b i r ia we nza k e wawili wa daladala ambapo wenzake hao waliachiwa baada ya kuulizwa dini zao na kutambulika kuwa ni Wakristo.

“ K a z i i k a b a k i a kwangu sasa, wakasema wewe mwenye kanzu f u p i u s i o n d o k e . Nikaamriwa ni inue mikono juu na kunirusha kichura kuelekea katika gari na hapo safari ya ‘Central’ ikaanza.”

H i v y o n d i v y o alivyosimulia Yassin juu ya kukamatwa kwake na Polisi na kuwekwa r u m a n d e a m b a p o anadai kuteswa sana akidaiwa kuwa ni gaidi.

A n a s e m a alipofikishwa Polisi alikaguliwa ikidaiwa kuwa ni gaidi aliyebeba

SHEIKH Ponda Issa Ponda (kushoto) akiwa na Wakili wake. Hukumu ya kesi yake ni Novemba 18, mwaka huu.

mabomu huku askari wengine wakishangilia n a k u w a p o n g e z a wenzao kwa kukamata gaidi hatari.

Kat ika hal i h iyo , Ustadh Yassin anasema, a l i t e s wa v i k a l i n a chombo hicho cha dola huku akibaki kutoa Kalima ya Shahada na kumuomba Allah (SWT) amkubalie Shahada yake.

Mkoani, Morogoro, Novemba 18 , 2015, i takuwa ni s iku ya hukumu ya Sheikh Ponda I ssa Ponda ,

katika Mahakama ya Mjini Morogoro.

A w a l i h u k u m u hiyo iliahirishwa na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Marry Moyo, kwa maelezo k u w a a l i s h i n d w a kuikamilisha kuiandika hukumu hiyo kutokana na kuteteleka kwa afya yake.

Haya ndiyo majaaliwa ya Waislamu, huku wenzao katika jamii wakitafakari namna ya k u s o n g a m b e l e kimaendeleo katika zama za ‘Kitabu Hiki’ cha Hapa Kazi tu.”

Tunastaajabu ya uchaguzi tumesahau El Nino injiani

kutotiliwa manani, hasa ikizingatiwa kwamba ni kipindi kirefu kidogo kimepi ta baada ya utabiri wa kuwepo mvua kubwa za El Nino kutolewa.

Kwa maana h iyo h a k u n a j i t i h a d a zozote zilizoonekana kufanyika kwa ajili ya kuchukua tahadhari. Si kwa raia wala si kwa serikali.

Serikali na watu wake, wote wameelekeza fikra zao katika uchaguzi

mkuu. Wote, hakuna anayekumbuka tena tahadhar i ya TMA kuhusu El Nino hata b a a d a y a k u p i t a uchaguzi.

Tunachukua fursa hi i kuwakumbusha Watanzania kuwa, kama TMA walivyosema, El Nino inaweza kupiga hodi wakati wowote sasa. Turejeshe fikra zetu kuhusu hatari inayokuja na mapema yafanyike maandalizi kukabiliana na hali itakavyokuwa.

S e r i k a l i i w e n a uhakika wa Mahema au kambi za waathirika, vifaa vya uokozi, dawa na chakula. Kwa raia, hasa wale wanaoishi mabondeni ni muda muafaka wa kutafuta pa kujisitiri na mapema, si kusubiri kuokolewa na kupewa msaada ambao hauna uhakika wa kupatikana na kukidhi haja.

T u k i e n d e l e a kustaajabu ya uchaguzi, tutayaona ya El Nino. Mvua zimeshaanza, tunakumbushana tu.

ANNUUR NEW.indd 4 11/12/2015 4:56:45 PM

Page 5: Documentc

5 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

MKUU wa Shirika la Kupambana

na Dawa za Kulevya Indonesia, Bw. Budi Waseso, amependekeza m a m b a wa t u m i w e kulinda wafungwa w a l i o h u k u m i w a kunyongwa.

Bw. Waseso anataka taifa hilo lijenge gereza k a t i k a k i s i w a n a kizingirwe na mamba akisema wanyama hao ni walinzi bora kushinda wa n a d a m u , k wa n i hawawezi kuhongwa.

"Tutaweka mamba wengi sana huko. Huwezi kuwahonga mamba. Huwezi kuwashawishi waruhusu washukiwa watoroke.” Bw Waseso alinukuliwa na tovuti m o j a n c h i n i h u m o inayojulikana kwa jina Tempo.

M k u u h u y o alinukuliwa akisema kuwa atazuru maeneo m b a l i m b a l i k a t i k a taifa hilo kwa lengo la kutafuta mamba wakali zaidi.

Indonesia ni moja ya nchi zenye sheria kali zaidi za kupambana na dawa za kulevya duniani na ilianza tena kunyonga watu baada ya kusitisha hukumu hiyo kwa miaka mitatu tangu 2013.

Hata hivyo mpango huo umeelezwa kuwa bado upo katika hatua za mwanzo na bado haijaamuliwa gereza hilo litakuwa wapi na ni lini litafunguliwa, Shirika la Habari la AFP limesema na kunukuliwa na BBC.

WA T O T O mil ioni 11 wapo katika

hatari ya kupoteza maisha katika nchi z a M a s h a r i k i n a Kusini mwa Afrika kutokana na baa la njaa, magonjwa na uhaba wa maji.

Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umesema m a j a n g a h a y o yamesababishwa na mvua kubwa za el Nino zinazoendelea

TELEVISHENI ya Alalam, imetangaza

h a b a r i k u w a magaidi wapatao 119 wamejisalimisha kwa jeshi la Syria katika mkoa wa Hamswi.

Watu hao walijiunga na vikundi vya kigaidi nchini humo kwa ajili ya kufanya jihadi kuung’oa u t a w a l a w a R a i s Bashar al Assad nchini h u m o , w a m e a m u a

KENYA inapanga k u i f a n y i a mageuzi sheria ya

makampuni, ili kuruhusu makampuni ya kigeni k u a n z i s h a m a t a w i yanayoweza kumilikiwa na makampuni hayo kwa asilimia 100.

Waziri wa Viwanda na Mashirika Bw. Adan M o h a m e d , a l i s e m a hayo katika mkutano uliofanyika mjini Nairobi wiki hii, kuwa Kenya inatambua mchango wa mitaji ya kigeni katika maendeleo ya nchi na itaweka mazingira mazuri za idi kwa uwekeza j i kutoka nje.

Mwezi Septemba Rais Uhuru Kenyatta, alisaini mswada wa sheria ya makampuni kuwa sheria, ambapo mara sheria hiyo itakapoanza kutekelezwa, itabadilisha taratibu za usajili wa makampuni a m b a z o z i m e k u w a zikitekelezwa kwa miaka 50 nchini humo.

Hata hivyo sheria mpya inasema kuwa makampuni ya kigeni yanayotaka kuanzisha biashara nchini Kenya, asilimia 30 ya umiliki wake unatakiwa kuwa wa wakenya. CRI

Mamba kulinda wafungwa hatari Indonesia

Magaidi 119 wajisalimisha Syriakujisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo kwa ajili ya kutafuta suluhu na amani.

H a d i s a s a wa a s i wengi wamejisalimisha baada ya kubaini kuwa k i l e w a l i c h o k u w a wakihamasishwa kuwa wanakwenda kupigana jihadi si sahihi, hivyo kuamua kujisalimisha kwa majeshi ya Syria.

Taarifa ya Televisheni hiyo iliongeza kuwa wengi walijisalimisha kutokana na athari ya mapambano hayo makali baina ya waasi na majeshi ya Syria katika kijiji cha (Sanisel) kiliopo Kaskazini mwa mkoa wa Humeh na Hamswi, ambapo imepelekea kuangamia idadi kubwa ya magaidi hao.

Mkoa wa Halab ndio mkoa mkubwa zaidi nchini Syria, ambapo k w a u p a n d e w a Mashariki umepakana na nchi ya Iraq na kwa upande wa Magharibi umepakana na nchi ya Lebanon.

Asilimia tisini ya mkoa huo mpaka sasa uko mikononi mwa majeshi

ya Syria, isipokuwa s e h e m u n d o g o ya upande wa Kusini na Kaskazini mwa mkoa huo, ikiwemo wilaya ya kale ya Palmyra na Al-Qaryatayn na mpaka wa Abulwalid uliopo mpakani na Iraq eneo ambalo bado liko chini ya magaidi wa Daesh. ABNA.

Maisha ya watoto milioni 11 Afrika Mashariki hatarinik u n y e s h a k a t i k a maeneo hayo.

Taarifa ya UNICEF imesema ukose fu wa chakula na maji u m e s a b a b i s h w a n a u k a m e n a kwamba, mafuriko yaliyotokana na mvua za el Nino huenda yakawasababishia w a t o t o h a o magonjwa ya malaria, k ipundupindu na homa ya dengue.

Ofisi ya Kuratibu M i s a a d a y a

Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imesema mvua za safari hii ni kubwa zaidi katika historia ya nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika.

Itakumbukwa kuwa, watu zaidi ya 2,000 waliaga dunia katika ukanda ya Afrika

M a s h a r i k i n a h u s u s a n n c h i n i Somalia, kutokana na mvua za el Nino zilizonyesha kati ya mwaka wa 1997 na 1998. Irib.

Kenya kuruhusu umiliki kamili wa makampuni ya kigeni

MAMBA wanaotumiwa kwa ulinzi.

Habari za Kimataifa

ANNUUR NEW.indd 5 11/12/2015 4:56:46 PM

Page 6: Documentc

6 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

WANASIASA wawili wanaowania kutwaa urais katika Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa Oktoba 25, Dk. Ali Mohamed Shein kwa tiketi ya CCM na Maalim Seif Sharrif Hamad kwa tiketi ya CUF walikutana mjini Zanzibar Jumatatu wiki hii na kuamsha upya imani miongoni mwa wananchi kuhusu hatma ya mgogoro wa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar.

W a g o m b e a h a o w a m e k u t a n a k w a m a r a y a k w a n z a tangu uchaguzi huo ilipovurugwa baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha, kutangaza uamuzi wake wa kufuta uchaguzi w o t e n c h i n z i m a visiwani humo Oktoba 28, mwaka huu, huku akiwa ameshatangaza matokeo ya urais kwa majimbo 31 kati ya 54 yote ya Zanzibar.

Rais Dk. Ali Mohamed Shein na Makamu wake wa Kwanza Maalim Seif Sharrif Hamad, walikutana Ikulu ya Zanzibar Jumatatu wiki hii.

Lakini lililoongeza faraja na matumaini kwa Wazanzibar, ni hatua ya Rais Mstaafu wa Z a n z i b a r , D k . Amaan Abeid Karume, kushirikishwa katika mazungumzo ya kusaka muafaka kwa wagombea hao. Kukutana Dk. Shein na Maalim Seif wakati huu, na Dk. Karume kuhusika katika m a z u n g u m z o ya o , kunaweza kurudisha imani kwamba utatuzi wa mgogoro uko mbioni kupat ikana . Fara ja na matumaini kwa Wazanzibar inatokana na ukwel i kwamba Mhe. Abeid Amani Karume, a l iyeingia Ikulu Novemba 2000 na kutoka Novemba 2010, kwa pamoja na Maalim Seif Sharif Hamad ndio

Dk. Karume nusura ya maridhiano uchaguzi mkuu ZanzibarWazanzibar wamsubiri kwa hamu Na Shaban Rajab

waliofanikisha kufikiwa mkataba wa kihistoria w a m a r i d h i a n o , yaliowezesha kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) baada ya uchaguzi mkuu.

K u t o k a n a n a uzoefu wa kizalendo waliouonyesha kwa vitendo Mhe. Karume na Maalim Seif, wakati wa utawala wake na hatimaye leo Zanzibar kumudu kuwa na serikali ya Umoja wa kitaifa hadi sasa ambapo Zanzibar inashiriki uchaguzi mwingine mkuu, na kwa kushir ik ishwa Mzee Karume katika kutatua sitofahamu iliyopo Zanzibar hivi sasa, ni dalili tosha kwamba kupitia uzoefu wa maridhiano hayo, kuna nafasi ya kufikiwa makubaliono kati ya Maalim Seif na Dkt. Shein juu ya hatma ya Uchaguzi mkuu huo na serikali kuundwa na Zanzibar ikaendelea kutulia.

Uwepo wa Amani Abeid Amani Karume kwenye harakati hii ya kuirejesha Zanzibar kwenye njia ya Siasa za kuvumiliana na kuleta matumaini ya haki kutendeka kwa kuwa

ameonyeasha kuwa muumini wa hilo tangu kuasisiwa maridhiano.

D k . K a r u m e anatambua historia y a Z a n z i b a r n a machungu ya wale wote waliopoteza maisha yao katika harakati ya kudai uhuru na haki ya Kikatiba! Alishinda ushawishi wote wa kutoka Bara wa kujaribu k u l i n d a m a s i l a h i ya Chama badala ya maisha na maendeleo ya wananchi wa Zanzibar. Matunda ya maamuzi yake ya busara na mwenzake Maalim Seif yameonekana.

M w i n g i n e a l i y e s h i r i k i k a t i k a m a z u n g u m z o n i Rais wa zamani wa Zanzibar, Alhaj Ali Hassan Mwinyi, ambaye aliiongoza Zanzibar kwa kipindi cha mwaka mmoja kufikia mwaka 1994 (uongozi wa mpito) kabla ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 1985.

Kitendo cha pande z i n a z o h i t i l a f i a n a kukaa meza moja ya m a z u n g u m z o n a kumshirikisha mmoja w a w a t u m u h i m u walioridhia muafaka

wa kisiasa Zanzibar na kupitishwa utaratibu wa kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa, tena wakati huo Mzee Karume akiwa na nguvu za kimamlaka na kidola, ni funzo kubwa na somo kuu la kufikiwa mar idhiano juu ya hitilafu iliyojitokeza katika hatua za mwisho za uchaguzi mkuu Zanzibar safari hii. Hili linaweza kuthibitisha k wa m b a m i g o g o r o y a W a z a n z i b a r , inaweza kutatuliwa na Wazanzibar wenyewe bila kuingiliwa.

Kufikiwa maridhiano ya kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) na mageuzi ya hali ya siasa ni moja kati ya mambo ambayo leo, yameifanya Zanzibar na watu wake kuwapo k a t i k a r a m a n i y a mwelekeo wa kilele cha demokrasia si tu Afrika, bali kuzishinda hata nchi za Ulaya ambazo baadhi yake demokrasia inasuasua.

Serikali ya Umoja wa Kitaifa kwa kiasi kikubwa imeirejesha Zanzibar katika ustaarabu wa siasa ikilinganishwa na ilivyokuwa siku za nyuma.

Haya ni matokeo ya Rais Mstaafu Karume, k u a m u a k u b a d i l i mambo yaliyokuwa yamezoeleka kwa miaka mingi na waliweka kando utashi binafsi na kutanguliza maslahi ya wengi katika ujenzi wa jamii mpya Zanzibar.

Matakwa ya kisiasa yaliyobadilisha mfumo wa Serikali Zanzibar kuwa ya Umoja wa Kitaifa ni sehemu ya m t a n g a m a n o w a siasa za kistaarabu na kiungwana visiwani humo.

K w a k u j i f u n z a kupitia hekma ya Mzee Amaan Karume, katika kipindi hiki tusingesikia t e n a m a t a m s h i ya kutaka kurudi nyuma a u k u y u m b i s h a maridhiano ya kisiasa k w a k u v u r u g w a uchaguzi mkuu visiwani humo kwa sababu tu za kihafidhina, chuki au kutokubali kushindwa.

M a t a m s h i yanayotolewa na baadhi ya wanaounga mkono h a t u a ya k u f u t wa uchaguzi mkuu Zanzibar hivi sasa, wengi ni wale wale waliokuwa hawako tayari kukubali kuwepo SUK. Matamshi yao yanatia kichefuchefu na hayaonekani kama yana heri na mustakabali wa kisiasa wa Zanzibar.

Wapo wanaoamini k wa m b a h a t a M h . Jecha kufikia hatua ya kutangaza kufuta uchaguzi, ni kutokana n a m s u k u m o w a kihafidhina usiokuwa t a y a r i k u o n a demokarasia inatawala Zanzibar.

N i m u h i m u wahafidhina waliokuwa hawataki maridhiano yaliyozaa SUK na ambao sasa wameonekana kuchochea kufutwa u c h a g u z i m k u u , k i m s i n g i n a o wanawajibika kuweka mkazo katika maslahi ya wengi kama alivyofanya Rais Mstaafu Amaan Abeid Karume enzi za uongozi wake.

Inaendelea Uk. 7

Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Amaan Abeid Karume (katikati), Dkt. Ali Mohamed Shein na kushoto ni Maalim Seif Sharif Hamad.

Makala

ANNUUR NEW.indd 6 11/12/2015 4:56:46 PM

Page 7: Documentc

7 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Dk. Karume nusura ya maridhiano uchaguzi mkuu ZanzibarInatoka Uk. 6

H a t a k a m a w a h a f i d h i n a wataendelea kushikilia misimamo yao, ukweli u t a e n d e l e a k u b a k i kwamba hakuna lililo na mwanzo likakosa mwisho.

Nchi bila kuwepo amani, utulivu, umoja na uzalendo, kusameheana na kuvumiliana, hakuna maendeleo na hakuna atakayefaidika na hali hiyo. Badala ya kuwaza mikakati ya maendeleo, kutakuwa na mawazo ya kuwekeana kimamati ya kunyimana haki, kukomoana na kuumiza.

H a t a k a m a n c h i itakuwa na rasilimali za kila aina, chuki za kisiasa na kuminyana zitaongeza uadui na m p a r a g a n y i k o w a wenyewe kwwenyewe na matokeo yake wajanja watumia mwanya huo kuvuna na upora j i rasilimali za nchi huku Zanzibar ikiachwa kapa.

Rais Karume ameweka historia Zanzibar ya kuwa kiongozi makini n a m w e n y e k u j a l i wale anaowaongoza. Amekuwa mfano wa uwajibikaji, uadilifu na uzalendo. Ana nafasi ya kutumia hekima zake kwa Dkt. Shein na CCM na Maalim Seif na CUF kulingana na mazingira ya siasa za Zanzibar ili kufikiwa muafaka au maridhiano na Zanzibar ikaonyesha kwa mara nyingine ukomavu wa kidemokrasia.

Lakini pia pande z i n a z o v u t a n a z i n a w a j i b i k a k u m h e s h i m u D k . Karume wakati huu kwa yale mema anayoshauri k w a m a s l a h i y a Wazanzibar.

Dk. Amaan Karume, a l i t u m i a b u s a r a kuwatendea mazuri raia wake kile walichokihitaji. H a k u t a k a k u t u m i a u b a v u w a k e w a k imamlaka kuzima

mahitaji ya Wazanzibar. H a k u j a l i k u f i f i s h a m a m l a k a y a k e a u chama chake kujal i maslahiya Wazanzibar. B a d o a n a e n d e l e a kukumbukwa na jamii kwa busara zake.

Kwa sifa zake hizo, ana nafasi kubwa ya kuwa kiungo muhimu cha maridhiano kati ya Rais Shein na Maalim Seif katika mzozo wa uchaguzi huu. Kwa Zanzibar ndiye mtu anayeweza kuwa kinara wa suluhu kwa mifano halisi.

Zanzibar kwa miongo mingi imekuwa katika l indi la siasa chafu z a k u h a s i m i a n a , kuumizana na hata kuuana. Jitihada nyingi zilifanyika kuleta suluhu zilishindikana. Siasa za kubaguana kwa misingi ya vyama na asili za watu zilishaota mizizi. K u l i k u w a h a k u n a kuzikana, kushirikiana katika shida na raha. Chuki zilitawala maisha ya watu. Kila uchaguzi ulipofika lazima watu waumizane na wengine wafe.

M i a f a k a k a d h a a ilifanyika na kuhusisha viongozi wa bara lakini ilishindikana.Lakini baada ya maridhiano kufikiwa, siasa za chuki zilishafifia Zanzibar, hali za uhasama ilishaanza kufifia hasa baada ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa kuundwa na kuafanya kazi.

Pamoja na kwamba h a t u j a j u z w a n i n i k i l i c h o j i r i k a t i k a m a z u n g u m z o y a pande mbili hizo na wazee, lakini itoshe kubainisha kwamba njia iliyochukuliwa ni sahihi zaidi hasa kwa kuwashirikisha moja kwa moja wahusika na gwiji la maridhiano.

Mungu asaidie suala la mzozo wa uchaguzi mkuu Zanzibar liishe kwa haki na amani.

Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Amaan Abeid Karume (kulia) na Maalim Seif Sharif Hamad.

DKT. Ali Mohamed Shein (kushoto) na Maalim Seif Sharif Hamad.

MAKALA

ANNUUR NEW.indd 7 11/12/2015 4:56:47 PM

Page 8: Documentc

8 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

TULIFANYA tathmini juu ya mifumo ya kuendesha maisha yetu hapa duniani ambayo kimsingi imeletwa na sisi binadamu kwa lengo la kuundosha ule mfumo madhubuti wa kimaisha unaotokana na Muumba wetu Allah (SW). Sasa tunakuta k w a m b a k a t i k a mfumo uliopo ambao tunauita mfumo wa kidemokrasia au mfumo shirikishi ambao una lengo la kutenda haki k wa k i l a m we n ye h a k i ya k e , n y u m a ya pazia inaonekana k u w a m a m b o yanakwenda tofauti na yanavyoelezwa.

Hii ni mifumo ya kibinadamu ambayo kwa vyovyote vi le , inakuwa na mapungufu makubwa tu na daima haiwezi kutufikisha kule tunakotaka kwenda – hapa duniani tu, achilia mbali Akhera katika siku ya malipo. Sababu kubwa ni kuwa mifumo hiyo imezingatia maslahi ama ya mtu binafsi au makundi/vyama vya watu, ambapo maslahi yao ni ya kidunia tu na sio vyenginevyo.

Mbali ya kuwa mifumo hiyo haitambuliwi na Allah (SW) pia inakuwa na madhaifu makubwa katika maisha yetu ya k i la s iku. Haya yanabainika kutokana na ule ukandamizaji mkubwa wa watu pamoja na kuwa wasimamizi wake wanajigamba na kujinata kwamba wao wanafanya na kuendesha mambo yao kwa njia za kidemokrasia – eti hawamuathiri yeyote katika uendeshaji wa shughuli zao hizo.

Lakini kwa kutumia akili ya kawaida tu, utagundua kuwa kuna a thar i ny ing i sana ambazo zinawadhulumu na kuwanyima watu wao fursa mbali mbali za msingi kwa sababu tu labda wanapingana na mifumo hiyo au kwa sababu nyengine yeyote ile.

Siasa zisizo za haki zitatukwamishaTurejee kwenye Mwongozo wa Allah (SWT)

Tu n a s h u h u d i a n i namna gani viongozi wa dini (Waislamu) wanavyonyanyaswa, k u t e s w a n a h a t a kuwekwa vizuizini kwa kile kinachoonekana kwenda kinyume au kukosoa mifumo hiyo. Aidha tunaona pia wimbi kubwa la kukataa ka takata makundi /vyama vinavyowakilisha w a n a n c h i a m b a o w a n a m t a z a m o mmoja wa Kiislamu, p a m o j a n a k u w a vyama hivyo havina malengo yoyote ya kuusimamisha Uislamu pale walipo – inatosha tu kuvikataa vyama/makundi hayo eti kwa sababu yanawakilisha Waislamu!

V y a m a / m a k u n d i h a y o ya n a a m b u l i a k u n y a n g ’ a n y w a tonge mdomoni au kufukuzwa katika viti vya madaraka pale

wananchi wanapoamua k w a m a k u s u d i kuongozwa na vyama/m a k u n d i h a y o , n a h a t i m a e v i o n g o z i wao kukamatwa na kushitakiwa bila ya hata kuwa na makosa ya msingi ya kupelekea kufanywa hivyo.

Matokeo yake dunia nzima imekosa amani, wakimbizi makundi kwa makundi kila kukicha wanatafuta akhuweniya maisha yao kwa vile wanakotoka hakukaliki tena.

Nadhani umef ika wakati kwa wachambuzi w a m a m b o k u k a a pamoja kwa ajili ya kutathmini mambo hayo na kuyapat ia “muarobaini” wake. Tufikie wakati/mahali tuseme kuwa sasa basi tulipofika panatosha, m b e l e h a k u e n d e k i tena na kilichobaki ni kugeuza njia kurudi

nyuma na kuangalia tulipoanza kukosea ili tujirekebisha.

Bado tunao muda wa kutosha tu wa kufanya mabadiliko. Allah (SW) bado yupo, muongozo wake tunao, wanavyuoni wa kuchambua mambo wapo; katu tusisubiri saa ya mwisho kama alivyofanya Firauni wakati anamfukuza N a b i i M u s s a ( A S ) atoke katika Nchi ya Misri, alipoona tayari bahari imemzunguka na ameanza kuzama n d i p o a l i p o a m i n i kuwa kwel i Mussa ametumwa na Allah (SW) kuja kumfikishia aliyomfikishia, ambayo yeye (Firauni) aliyaona hayana nafasi kwake.

Baada ya Allah (SW) kutuumba ametuletea muongozo wa namna ya kuishi hapa duniani, lakini siku moja wapo tutakuwa tumekufa na kufufuliwa ambapo kutakuwa na maisha

m e n g i n e y a h u k o Akhera . Maisha ya akhera yatategemea ni kwa kiasi na namna gani tumeishi maisha haya ya duniani – jee, tuliishi kwa mujibu wa muongozo wa Muumba wetu au tulivyojitakiwa wenyewe tu.

Ni ukweli usiokuwa na punje ya shaka kwamba maisha bora zaidi ya hapa duniani kuliko yote yatapatikana kwa kufuata muongozo kutoka kwa Allah (SW), na kinyume chake ni kwamba maisha dhalili zaidi ya hapa duniani na kesho akhera ni kutokana na kuishi kwa mifumo tuliyojiwekea wenyewe.

H a y a y o t e ya n a we z e k a n a . N i kuamua na kutimiza wa j ib u wet u k ama viumbe wa Allah (SW) ambao ni makhalifa katika uso huu wa dunia.

( I m e a n d i k w a n a Suluhu A. Hamza-0776 720 588, Zanzibar)

BAADHI ya Masheikh wa UAMSHO wanaotuhumiwa kwa ugaidi wakiingia mahakamani.

Makala

ANNUUR NEW.indd 8 11/12/2015 4:56:48 PM

Page 9: Documentc

9 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015Makala

Na Ben Rijal

Misikiti katika Mji Mkongwe wa Zanzibar-(2)

Picha ya Mandhari ya Mji Mkongwe iliopigwa kutoka hewani.

Mandhari ya Mji Mkongwe unapowasili kwa boti

Ngome Kongwe

Jengo la Posta la zamani

KWANINI ukaitwa M j i M k o n g we ? K i k o n g w e n i

cha kale kwa hio Mji Mkongwe ni mji wa kale katika visiwa vya Unguja. Mji Mkongwe ni mji ambao hapo kale ulikuwa ndio mji mkuu wa nchi na ulikuwa ukionekana kuwa na haiba ya kila aina. Mji huu haupisahani na miji mengine mikongwe duniani kwa kuwa na utajiri wa historia. Mji huu umejengeka katika r a m a n i k w a u m b o la sambusa (triangle.) Masafa ya mji huu ni Hekta 800 na ina wakazi wasiopungua 18,000. Kuna majengo yapatao 1,700 ya kila aina, kuna yenye kuchukua sura za Kihindi, Kiarabu na majengo machache yenye kufwata ramani za nchi za Ulaya. Majengo yapatayo 1,100 yametambuliwa kama majengo yenye thamani kubwa katika utaalamu w a u j e n z i a m b a y o majengo hayo ni kivutio kikubwa kinachowavutia watalii kuzuru kisiwa cha Zanzibar, utalii wa Zanzibar umejiweka zaidi katika tarehe ya Mji Mkongwe na fukwe zake mwanana.

Katika eneo hili dogo kabisa ambalo asili yake hasa kilikuwa kipande cha ardhi kilichozungukwa na bahari mithili ya kisiwa kidogo, kuna Chochoro 23, Makanisa 2, Misikiti 52, Roshani 50, Varandaa na baraza na zaidi ya milango 200 iliyonakishiwa kistadi na ufundi wa hali ya juu. Mji mkongwe wa Zanzibar umechaguliwa kuwa “Eneo la urithi wa Kilimwengu” na Umoja wa Mataifa na Shirika la Umoja wa Mataifa la UNESCO. Inasadikiwa kuwa nyumba za mwanzo

katika mji huu zilijengwa wakati wa Sultani Sayyid Said katika mwaka wa 1830 alipohamishia makao makuu yake kutoka Oman na kuyaweka Zanzibar.

I k i w a p a m o j a n a Mahekalu ya Wahindu, jumba la Maparisi, Jamati 6, jumba la ajabu Baitil Ajaib, Old Dispensary, Bandari kuu, Mahkama, Hospitali ya Rufaa, Ikulu, Hamamu ya Hamamni, Ngome Kongwe n.k.

Mipaka ya asi l i ya Mji Mkongwe ni rahisi k u i e l e w a . H u a n z i a sehemu ya barabara ya M a k u m b u s h o ya Kihistoria kupitia Skuli ya Ben Bela, Hailesalasie, Kanisa la Kimoto, Soko ya Darajani, Jumba la Treni, kupitia Funguni ya pwani mbovu ikiwa miaka hii kunaitwa Bwawani. Sehemu ya barabara hii kwenda nyuma yake, ndio Mji Mkongwe. Kwa mbele ya barabara hio, utakutana na maeneo ya Darajani, K i k wa j u n i n a m i t a a mengineo hio inakuwa ni nje ya Mji Mkongwe ingawa ramani ya leo ya upigaji watu kura, Mji Mkongwe unaingia ndani ya ng’ambo.

Katika karne ya 19, Mji Mkongwe ulikuwa ni maskani ya wakazi kutoka sehemu mbalimbali za dunia ikiwa pamoja na wazalendo. Wengine ni kutoka Afghanistan, India, Srilanka, Uturuki, Iran, Oman, Yemen na m a e n e o m e n g i n e o , almuradi kulikuwa na m c h a n g a n y i k o w a m a k a b i l a . Wa t u wa m a k a b i l a h a y o k i l a mmoja alishikamana na kazi maalumu. Watu kutoka bara ya Hindi wao walikuwa zaidi katika biashara na haya yanajiri hadi sasa. Wale kutoka Afghanistan walikuwa ni vinyozi, waliotoka Yemen walikuwa na viduka vya mahitaji ya wanyonge na wazega zega. Aidha wengi waliotokea Oman wa l i k u wa n i w e n y e mashamba hasa hasa ya minazi na mikarafuu na wale waliotoka Uajemi wao walikuwa na biashara.

Katika mwaka wa 1988 Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) ilifikia uamuzi wa kuutangaza Mji Mkongwe kuwa ni sehemu ya uhifadhi na kuendeshwa chini ya

mamlaka ya Mji Mkongwe (Stone Town Conservation a n d D e v e l o p m e n t Authority).

M e n g i y a s i o k u w a na hesabu yameweza kutekelezwa kwenye Uhifadhi wa Mji Mkongwe ingawa kuna yale yasio machache nayo yameibuka yanayoivuruga haiba ya Mji Mkongwe na kuanza kuitokomeza ile haiba na sura halisi ya Mji Mkongwe. Kama hayo yatashtadi, basi mji huu utaondokewa na ile asili yake na kutokuwa tena Mji Mkongwe na badala yake kuitwa mji wa Kimambo leo.

Skuli nyingi za Serikali k a b l a ya Ma p i n du z i ya m wa k a wa 1 9 6 4 zikionekana katika Mji Mkongwe na kandoni mwa Mji Mkongwe na skuli za msingi zenye kutajika zikionekana zaid katika mji huo.

Misikiti ni mingi katika sehemu hii ndogo. Kuna Misikiti ipatayo 52 na yote ya Misikiti hio ilijengwa na wananchi wenyewe, ingawa kwa miaka hii baadhi yao imefanyiwa matengenezo na ufadhili kutoka nje.

K i t u a m b a c h o kimenistajabisha sana kuwa kwanini iliwezekana kujengwa Misikiti hio bila ya ufadhili na hivi sasa imekuwa ni jambo gumu? Kuna Msikiti umejengwa na mwanamke na hili ni katika jambo ambalo wanawake wa kileo ni gumu kwani wanawake wa kisiku hizi hujiangalia wao kimavazi na kutaka nyumba zao zing’are, lakini sio kujishughulisha katika mambo ya kheri kama haya.

Nimebahatika kusali zaidi ya asilimia 65 ya M i s i k i t i h i y o 5 2 n a zaidi katika mwezi wa Ramadhani katika nyakati za Magharibi, ikiwa ada yangu nilioachiwa na mzee niwe nazunguka kusali Misikiti mbalimbali katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Makala itakayofwata itagusia kwa mukhtasari juu ya Misikiti hiyo.

Fatana na mie katika makala hizi tatu juu ya Misikiti katika Mji Mkongwe wa Zanzibar.

ANNUUR NEW.indd 9 11/12/2015 4:56:49 PM

Page 10: Documentc

10 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Inaendelea Uk. 11

Mzee Mwinyi na ‘Lusitania ya Jecha’‘Yauma tublaa sSaraairu’…Siku hiyo tutaziba vinywa vyao…

Makala

Assalamu alaykum,Kwa Niaba ya Zanzibar Welfare Association UK,

inapenda kuwaarifu Watu wote watakaonafasika, kuhudhuria kwenye Maandamano yatakayofanyika 10 Downing St, London SW1A 2AA kuanzia saa nne asubuhi siku ya Ijumaa tarehe 13/11/2015.

Lengo ni kutoa Shukran kwa Waziri Mkuu na Serikali yake ya Uengereza kuona haki inatendeka kwa Wananchi wa Zanzibar juu ya uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 25/10/2015.

Kibali kimetolewa na Parliamentary & Diplomatic Protection Command wakishirikiana na Scotland Yard Special Events.

AhsanteniMwenyekiti ZAWA UKHassan M Khamis

Maandamano

ME I 7 , 1 9 1 5 meli ya abiria ya Uingereza

(RMS Lusitania ) ikiwa na abir ia 1 ,266 na mabaharia 696 ilizama na kuuwa watu 1,198, wakiwemo Wamarekani 128. Ilidaiwa kuwa meli hiyo ilipigwa na kuzamishwa na boti za kijeshi za Ujerumani (German U-boat U-20)

Uchunguzi uliokuja k u f a n y i k a b a a d a e uliibua nadharia nyingi juu ya kuzama kwa meli hiyo na iliyo maarufu zaidi ikisema kuwa hata kama Ujerumani ilihusika kuipiga meli hiyo, lakini kulikuwa na mpango mkakati wa serikali ya Uingereza kusababisha tukio kama hilo, ili kuivuta jamii ya kimataifa kuichukia Ujerumani na hivyo kuungana na Winston C h u r c h i l l , k a t i k a kuipiga Ujerumani. Lakini muhimu zaidi kuishawishi Marekani kuingia vitani ikiwa upande wa Uingereza.

Na kweli, baada ya tukio hilo, vyombo vya habari vya Marekani vikaja juu ya vichwa vya habari viki lani Ujerumani kwa kile k i l i chodaiwa kuwa ni “ruthlessly killing defense less Americans.” Congress na Pentagon wakaingia kazini, kila upande kwa namna yake.

Kachero Patrick Beesly (ve teran wa Naval Intelligence Division, B r i t i s h A d m i r a l t y ) akizungumzia tukio hilo katika kitabu chake, “Room 40: British Naval Intelligence, 1914-1918”, anasema kuwa jambo lililo la wazi ni kuwa uliwekwa mkakati wa makusudi kufanya meli hiyo ishambuliwe ili kuivuta Marekani vitani.

“There was a conspiracy deliberately to put the Lusitania at risk in the hopes that even an abortive attack on her, would bring the United States into the war.”

N a k a t i k a m o j a y a n y a r a k a z a k u m b u k u m b u z a C h u r c h i l l j u u y a

Na Omar Msangi

Vita Kuu ya Kwanza y a D u n i a , W W 1 , kumekutwa ujumbe unaosema kuwa moja ya mbinu za medani ya vita hiyo ilikuwa ni kumvuta rafiki kuingia katika vita apigane upande wa Uingereza. (Tazama: Room 40: British Naval Intelligence, 1914-1918-by Patrick Beesly. 2.The Lusitania- by Colin Simpson.)

K a t i k a k u a n d a a mkakati huu, akina Churchill hawakujali maisha ya watu, mamia kwa maelfu, ambao wangepoteza maisha kwa meli ya abir ia kupigwa na Ujerumani, w a l a g h a r a m a y a kipesa itakayokuwa imepotea kutokana na kuharibiwa meli hiyo ambayo kwa zama hizo ilikuwa kubwa sana na ya kipekee.

H i v i s a s a k u n a mgogoro wa kisiasa Zanzibar . Mgogoro ambao asili yake ni tangazo la mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar, Jecha Salim Jecha kufuta uchaguzi ukiwa katika hatua ya kutoa matokeo.

K w a m u j i b u w a

taarifa za vyombo vya habari, jopo la wazee m a - R a i s wa s t a a f u , likiongozwa na Mzee Ally Hassan Mwinyi, linafanya mazungumzo ili kutafuta muafaka n a s u l u h i s h o l a mgogoro huo. Wengine wanaotajwa kuwepo katika jopo hilo ni Dr. Salmin Amour Juma na Dr. Amani Abeid Karume.

Katika lile shambulio n a k u z a m i s h w a Lusitania, inaelezwa kuwa makachero au wa p a n g a m i k a k a t i ya vita, wasingeweza kupanga na kutekeleza bila ya Waziri Mkuu, Wi n s o n C h u r c h i l l , ku jua na kuhusika katika mpango mzima. Na kwa maana hiyo, Churchill alijua kabla gharama za mpango huo ikiwa ni pamoja na kuuliwa watu wasio na hatia. Kwa hiyo, hata yale machozi na salamu zake za rambirambi kwa wafiwa baada ya kufa watu 1198, zilikuwa za kinafiki tu.

Ya p o m a d a i n a uchambuzi wa kisheria u n a o k u j a n a h o j a kwamba, Jecha hakuwa,

n a h a n a m a m l a k a kikatiba na kisheria ya kufuta uchaguzi Z a n z i b a r . L a k i n i pia yapo maelezo na uchambuzi zikiweko taarifa za waangalizi wa uchaguzi kutoka ndani na nje ya nchi kwamba, hapakuwa na dosari za kuhalalisha kufutwa uchaguz i . Na ndio maana Jecha al ikuwa akiendelea kutoa matokeo, ghafla akatoweka, alipoibuka, akatoka na tangazo la kufutwa uchaguzi a k i w a a c h a h a t a makamishna wa tume yake wakiduwaa.

Katika ujumla wa yote hayo, yanakuja madai na maelezo kuwa sio Jecha aliyefuta uchaguzi, bali yeye katumiwa tu kutoa tangazo. Na ukisema hivyo maana yake ni kuwa hakuna wa kufanya hilo ila wenye madaraka, walioshikilia vyombo vya dola na jeshi, ambao ndio hao MELI ya abiria ya Uingereza (RMS Lusitania ).

ANNUUR NEW.indd 10 11/12/2015 4:56:54 PM

Page 11: Documentc

11 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 201511 AN-NUUR

Inatoka Uk. 10 Mzee Mwinyi na ‘Lusitania Jecha’Makala

hao viongozi na makada wa CCM.

Kama nadhari na madai haya ni sahihi, ni wazi kwamba hata wa z e e h a wa wa l i o m a k a d a wa C C M , wanajua kilichotokea, k i n a c h o e n d e l e a n a k ichotakiwa kat ika “Lusitania” hiyo ya Jecha bila kujali gharama zake. Na gharama hapa ni pamoja na fedha za wananchi zilizokwisha k u t u m i k a n a zitakazotumika iwapo mwisho wa ‘Lusitania’ na usanii huu, itakuwa ni kurudiwa uchaguzi.

Katika “Lusitania ya Churchill” watu 1198 walipoteza maisha. Katika “Lusitania ya Jecha”, hatujasikia visa vya watu kupoteza maisha. Lakini vipigo vi l i tembea na vinaendelea kutembezwa. Jana iliripotiwa kuwa bado jeshi, vikosi na vifaru vya Kijeshi vinaonekana v i k i r a n d a m i t a a n i . Haijajulikana hatma ya hali hiyo ni nini.

Hayo yakijiri, pengine wazee wetu hawa ambao ni Maalhaji pia, waliowahi kuikabili Al-Qaaba na kusimama katika Viwanja v i t u k u f u v ya A r a f a , wangepita pale sipitali Mnazi Mmoja wakatizama hali za wagonjwa na hali ya Sipitali hiyo, halafu wakajiuliza:

Fedha zi l izokwisha k u t u m i k a k a t i k a “ L u s i t a n i a ” h i i y a J e c h a i n a y o z a m a , zikiongezwa nyingine ambazo sasa sitatumika kumpa Jecha kufanya uchaguzi mwingine, lau zingepelekwa sipitalini hapo, ni kwa kiwango gani zingeboresha huduma?

K u l e M a r e k a n i tunaambiwa kuwa hivi sasa kuna matukio ya kutisha ya kujiuwa wanajeshi waliopigana vita Iraq na Afghanistan. Rekodi zinaonyesha kuwa takribani askari 27,258 wameshajiuwa. Hii ni zaidi ya askari wa Marekani waliouliwa wakipigana katika nchi hizo mbili.

W a t a a l a m u w a magon jwa ya ak i l i wanasema kuwa kujiuwa

huko kunatokana na k u c h a n g a n y i k i w a k w a a s k a r i h a o kunakosababishwa na kumbukizi za ukatili na uovu waliofanya kuwafanyia binadamu wenzao wakiwa vitani- kitaalamu ukiitwa, Post-Traumatic Stress Disorder (PTSD).

Katika jitihada za k u wa s a i d i a a s k a r i maveterani wa vita, na kupunguza kasi hiyo ya kujiuwa, Bunge la Congress limepitisha

s h e r i a , C l a y H u n t Suicide Prevention for American Veterans Act, ikipewa jina la mmoja wa askari aliyejiuwa. K i n a c h o k u s u d i w a katika sheria hiyo, ni kutoa huduma zaidi za kiafya na ushauri nasaha kwa askari, ikidhaniwa kuwa huduma hizo zitapunguza msongo wa mawazo unaosababisha askari kujiuwa.

(Tazama: Veterans Suicide has Caused More US Casualties Than Wars

in Iraq and Afghanistan-By Bruce Newman.)

Migogoro ya kisiasa Z a n z i b a r i m e l e t a maafa makubwa kwa wananchi wasio na hatia. Hii ni pamoja na mauwaji ya Januari 2001. Ukiacha mauwaji hayo, vipo visa vya watu kupigwa, kujeruhiwa, kut iwa v i lema vya kudumu, kuharibiwa mali, wanawake kuporwa mapambo ya vito vya thamani/dhahabu. Lakini viliwahi pia kuripotiwa

visa vya kubakwa wake za watu na wari. Na ukitizama mazingira ya kutokea yote hayo, ni katika mtindo ule ule wa ‘Lusitania’ za Jecha.

Sasa ukiacha simulizi za hapa na pale za matukio ya baadhi ya ‘magiwji’, hasa waliokuwa Wakuu wa Mikoa/Wilaya na vyombo vya Dola wal iokuwa wakisifika kwa ‘kuwapiga watu mikwaju’ na kuwatia katika tabu watu wasio na hatia kwa sababu ya chuki za kisiasa, yaweza tusifikie hatua ya kushuhudia haya ya PTSD.

L a k i n i p e n g i n e l a kuwakumbusha wazee wetu hawa ni kuwa katika kulishughulikia ‘Lusitania’ hili la Jecha Salim Jecha, wakumbuke i l e s iku aliyosifiwa katika Qur’an kwa kauli ya: “Yauma tublaa s Saraairu”-Siku zitakapodhihirishwa siri.”

S i k u h i y o , y a l e yaliyokuwa yamefichwa na akina Winson Churchill k a t i k a k u z a m i s h w a ‘Lusitania’ na yaliyokuwa s i r i ya J e c h a k a t i k a ‘Lusitania’ yake ya kufuta matokeo ya uchaguzi, yatakuwa wazi.

W a l i o t a j w a kushughulikia mgogoro h u u u l i o l e t w a n a ‘Lusi tania ’ ya Jecha, wamepewa hadhi ya uzee. Na Qur’an inasema kuwa anayepewa neema ya umri mrefu, hatma ya neema hiyo ni kurejeshwa ukawa dhalili, sawa mtoto mdogo kabla ya kufa.

Lakini pia wakati huu tukiwa wazee, ila bado tukiwa na afya zetu, tuzingatie tanbihi ya Qur’an pale iliposema:

“Na kama tungependa tungewapofoa macho yao wakawa wanakimbilia njia, lakini wangeonaje?”

“Na kama tungetaka tungewafanya (wakawa) v i n ya m a p a p o h a p o mahala pao (walipokaa), basi wasingeweza kwenda wala kurudi.” (36:66-67)

Lakini kubwa zaidi tuzingatie kuwa ndimi zetu na midomo yetu, iliyozoea kusema tusiyotenda, na kuwalaghai watu kuwa sisi ndio watengezaji, wakati ndio waharibuji wakubwa (2: 11, 12), Qur’an inasema:

“Siku hiyo tutaziba v i n y w a v y a o , ituzungumze mikono yao na itoe ushahidi m i g u u y a o k w a y a l e w a l i y o k u w a wakiyachuma.” (36:65)

MWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha Salim Jecha

Clay Hunt mmoja wa askari wa Marekani waliojiua baada ya kurejea vitani Iraq/Afghanistan.

ANNUUR NEW.indd 11 11/12/2015 4:56:58 PM

Page 12: Documentc

12 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 201512 MAKALA

Wapalestina waadhimisha miaka 11 toka kufariki Yasser ArafatNa Kituo cha Habari cha Palestina (Dar es Salaam)

MAELFU ya Wapalestina wanaadhimisha miaka kumi na moja (11) toka kufariki kiongozi wa Jumuiya ya Ukombozi wa Palestina (P.L.O) Yasser Arafat, ambae alifia hospitalini nchini Ufaransa, mnamo Novemba 11, mwaka 2004, huku akiwa na umri wa miaka 75 na kuzikwa mjini Ramallah nchini Palestina.

M a a b a r a y a U s w i s ilisimamia uchunguzi wa kifo cha Arafat na kupeleka majibu kwa Mamlaka ya Palestina (P.A). Wataalamu hao walichukua sehemu ya mwili wake na baada ya vipimo ikaonesha kuwa alilishwa sumu ya kiwango cha juu aina ya “Polonium – 210” ambayo ilipelekea kifo chake.

Wataalamu hao wa Uswis ili kufanya uchunguzi wa kina kuhusu kifo cha Arafat, walichukua kumbukumbu za matibabu yake kutoka hospitalini Ufaransa, pia sehemu ya mwili wake kutoka kaburini vilevile vifaa mbalimbali alivyotumia akiwa hospilini mjini Paris ambako alifia.

Nae mwanasayansi wa Uingereza “David Barclay” ambae aliisoma ripoti hiyo ya uchunguzi, alisema:

”Ripoti hiyo ina ushahidi wa kutosha, na kwamba kwa maoni yangu sumu hiyo katika mwili wa Arafat ni zaidi ya mara kumi na nane (18) ya kiwango kinachokubalika”.

M a a f i s a w e n g i w a Palestina wanaamini kuwa, Israeli ndio ilimpa sumu hiyo mbaya Arafat, huku mwanachama wa kamati ya utendaji ya P.L.O “Wasel Abuu Yousef” akidai Israeli kuwa nyuma ya mauaji hayo. Rais Arafat aliuawa kama muhanga wa kigaidi, mpango mzima ukifanywa na Israeli mjini “Tel Aviv”, alisema.

"Ripoti hii inathibitisha ya l e y o t e t u l i y o k u wa tunayadhania kuwa Arafat aliuawa;... Sasa tumejua picha kamili ilivyokuwa, vilevile tulikuwa tunajua kuwa nani mwenye nia, s a b a b u n a u we z o wa kumuua, hivyo tunaomba haki itendeke kwa kuchukua mkondo wake," alisema Hanan Ashrawi , kiongozi mwandamizi wa Palestina.

Arafat alifariki katika hospitali ya kijeshi nchini Ufaransa Novemba 11 mwaka 2004, baada ya kuchukuliwa akiwa mgonjwa wa kuhara na kutapika mwezi Oktoba mwaka huo huo. Madaktari Kifaransa wamesema alifariki kwa

ugonjwa wa kiharusi, ingawa hawakuweza kupata chanzo cha ugonjwa huo.

Waendesha mashitaka wa Kifaransa walifungua uchunguzi wa mauaji mwezi Agosti 2012, baada ya athari ya sumu mbaya aina ya “polonium-210” kuripotiwa kupatikana katika baadhi ya vifaa vya Arafat.

F a m i l i a y a A r a f a t i l i o m b a a z i k we m j i n i Jerusalem, lakini serikali ya Israel ilipinga ombi hilo, huku Msemaji Mkuu wa Wapalestina “Saeb Erekat” akisema kaburi la Arafat mjini Ramallah lilikuwa ni kwa muda tu.

"Siku moja, tutapata uhuru wetu na Jerusalem Mashariki utakuwa ndio mji mkuu wake," Erekat alisema. Leo hii Wapalestina bado wanasubiri ukamilifu wa ahadi hizo.

Kamati ya uchunguzi ya kifo cha Rais Yasser Arafat imefahamu utambulisho wa wale wale wote waliohusika kumpa sumu, hata hivyo uchunguzi unaonelea ipo haja ya kuthibitisha hilo kabla ya kusambazwa. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Fatah “Tawfiq Tirawi”, alisema.

Tirawi ameongeza kusema kuwa, "Mvamizi Israeli ndiye mwenye jukumu la mauaji haya, isipokuwa sisi tunatafuta anayehusika na hilo moja kwa moja."

M a a d h i m i s h o y a kifo cha Rais Arafat leo, yanatukumbusha uhusiano wa dhati na kindugu uliopo kati ya Palestina na Tanzania tangu wakati wa Mwalimu Nyerere.

Muasisi wa Tanzania Rais Mwalimu Nyerere,

alikuwa na nia ya kuleta ukombozi wa watu wote wanaodhulumiwa, sawa sawa wakiwa ni Waafrika au wasio Waafrika. Hivyo basi, alikuwa akiunga mkono juhudi za Wapalestina katika kujikomboa dhidi ya uvamizi wa kimabavu wa Israel.

Wa k a t i wa u o n g o z i wake Tanzania i l ikuwa ni miongoni mwa nchi za Afrika zilizokuwa mstari wa mbele katika kuwaunga mkono Wapalestina, na hii kwa kiasi kikubwa ilikuwa ni kutokana na uongozi mahiri wa Mwalimu Nyerere.

Nyerere iliweka maadili ya uongoz i bora ha ta kwa maeneo mengine ya Afrika kuhusu suala la Palestina, baada ya kupata uhuru mwaka 1961 lengo kuu lilikuwa ni kusaidia ukombozi wa nchi nyingine ambazo bado zipo chini ya ukandamizwaji wa kikoloni. Hii ikiwa ni pamoja na wale walio chini ya ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, Namibia na suala la Palestina.

Hii ikawa dhahiri zaidi katika miaka ya 1960, wakati Mwal imu a l ipouambia u j u m b e wa Pa l e s t i n a k wa m b a , Wa p a l e s t i n a wanateseka zaidi kuliko ilivyo kwa wananchi wa A f r i k a K u s i n i . J a m b o lililompelekea kusema zaidi kuwa: "Sisi tumepoteza uhuru wetu, ama ninyi mmepoteza nchi yenu!"

M w a l i m u N y e r e r e alizungumza kwa nguvu kabisa katika kuunga mkono Palestina kuwa na haki ya kujitawala. Mwaka 1967 baada ya Vita vya Siku Sita kati ya Palestina na Israeli, Mwalimu Nyerere alitoa

hotuba juu ya sera za kigeni za Tanzania kwa kuzingatia kanuni za haki na uhuru wa binadamu, bila kujali mahali walipo duniani. Msimamo huu ndio ulioongoza sera yake ya mambo ya nje kwa miaka yote ya utawala wake.

Nyerere a l ikuwa na uelewa na uzoefu wa kina wa historia ya Palestina na uanzishwaji wa dola ya Israeli. Hii ndiyo sababu katika miaka ya 1970 alitoa u t a m b u z i k a m i l i k wa Wapalestina na kusaidia Jumuiya ya Ukombozi wa Palestina (PLO).

M s a a d a M w a l i m u Nyerere kwa PLO ni tokea miaka ya 1960, pia alikuwa ni miongoni mwa viongozi wa kwanza waliozungumzia kusaidia mapambano ya Wapalestina wakati wa vita ya Siku ya Sita mwaka 1967. Hayo ameyasema katika mkutano wa kitaifa wa Tanganyika African National Union (TANU) tarehe 16 Oktoba 1967, uliojumuisha wajumbe zaidi ya 2000, kwamba:

"Kuanzishwa kwa Serikali ya Israeli lilikuwa ni tendo la uchokozi dhidi ya Waarabu, ... jumuiya ya kimataifa imekubalika hi l i kama uchokozi. Mataifa ya Kiarabu hayakukubali kitendo hicho cha uchokozi. Hivyo nchi za Kiarabu hazikukubali uchokozi huo. "

Hivyo, Nyerere hakuwa tayari kubadili msimamo wake. Alichukua msimamo wa kikanuni wa kulaani ukiukwaj i wa haki za binadamu kufuatia tukio hilo la mwaka 1967, Mwalimu Julius Nyerere alisema: "Israeli ni lazima iondoke kutoka kat ika maeneo inayoyakalia kimabavu, tena bila ya masharti yoyote ... hatukubaliani na uvamizi wa kimabavu wa nchi fulani dhidi ya nchi nyingine."

Msaada wa Tanzania kat ika mapambano ya Wapales t ina ul iboreka mno miaka ya 1970, pale ilipokuwa PLO miongoni mwa jumuiya za ukombozi zilizohudhuria mkutano wa harakati zisizoegemea upande wowote (NAM) jijini Dar es Salaam, mwezi Aprili mwaka 1970.

Tanzania pia ilifungua m i l a n g o y a k e k w a PLO mwaka 1974, pale ilipioruhusu kuwa na ofisi nchini, kasha baadae Ofisi hiyo kuwa ndio Ubalozi wa Palestina.

Mwaka 1984 wakat i Yasser Arafat alizuru rasmi Tanzania na kutoa shukrani zake za dhati kwa kitendo cha mshikamano ulioonyeshwa na Watanzania kwa ndugu zao wa Kipalestina. Aliuliza kwa namna gani wanaweza kulipa fadhila zao kwa Watanzania.

Likatolewa pendekezo la madaktari wa Kipalestina kuja Tanzania na kutoa huduma za afya, jambo ambalo lilitekelezwa ndani ya muda mfupi. Ikatolewa h u d u m a b u r e k w a Watanzania kupitia kituo cha afya kilichojulikana kwa jina la “Kituo cha Afya cha Palestina”, kilichopo Barabara ya Shekilango Sinza jijini Dar es Salam.

Yasser Arafat alikuwa ni ishara ya mapambano ya watu wa Palestina kwa ajili ya utambulisho, uhuru na utaifa wao, alikuwa na uwezo wa kuwaeleza mahitaji yao kwa ufasaha na ufanisi.

PLO, chini ya uongozi wake,ilikuwa na uwezo w a k u f a n y a j i t i h a d a kubwa, ambapo moja ya mafanikio yake makubwa i l i k u wa k u h a m a s i s h a jamii ya kimataifa katika kuunga mkono wananchi wa Pa les t ina , ku jenga uhusiano wa wapiganaji na mshikamano kati ya Afrika na Palestina.

Wanahistoria watakuja k u s h u h u d i a k w a m b a licha ya ukweli kwamba Wa p a l e s t i n a we n ye we walikuwa wanakabiliwa na adui mwenye nguvu na walihitaji kuhamasisha nguvu zao na rasilimali zao kwa mapambano yao, lakini wao pamoja na hayo yote na wanapigana kwa ajili ya ukombozi wa Afrika.

Umoja huo ulioimarika k i h a r a k a t i , n i l a z i m a uendelee ili Waafrika na Wapalestina waheshimu urithi wa huyu kiongozi mkuu wa Kiarabu Yaser Arafat, kwa kuendeleza yote aliyotuachia.

Contact us: P.O Box 20307, 612 UN Road – Upanga West, Dar es Salaam Tel: 2152813, 2150643 Fax: 2153257 Email: [email protected]: www.pal-tz. org

KIONGOZI wa Jumuiya ya Ukombozi wa Palestina (P.L.O) Yasser Arafat (kushoto) akiwa na Mwalimu Julius Kambara Nyerere wakati wa uhai wao.

ANNUUR NEW.indd 12 11/12/2015 4:56:59 PM

Page 13: Documentc

13 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

MAKALA

Inaendelea Uk. 14

Al-Hajj Malik El-Shabazz amepitia misukosuko mingi tangu kuzaliwa kwake hadi anaaga dunia. Akiwa na umri mdogo tu babake aliuliwa na k u n d i m a a r u f u l a kibaguzi nchini Marekani l i n a l o j u l i k a n a k wa jina la Klux Klax Klan (KKK) ambapo nyumba yao i l ichomwa moto na kundi hilo na mzazi wake kupoteza maisha. K a t i k a u m r i m d o g o alianza kujishughulisha na ukupuwaji wa mali z a w a t u m i f u k o n i (Pickpocket) na biashara ya unga i l iopelekea kufungwa na huko jela alipeleka tifu jengine pale alipompiga kisu askari jela mweupe ambaye alikuwa akiwalawiti watoto waliofungwa. M a l c o l m X h i l o hakulistahmilia kuyaona madhila hayo, ndipo alipompiga kisu askari cha tumbo matokeo yake akaongezewa kifungo cha jela.

Alipokuwa jela ndipo al ipoanza kubadil ika k i d o g o k i d o g o . J e l a w a k i r u h u s i w a kuhudhur ia masomo ya kujiendeleza. Aidha Mapadri na Masheikhe wakiruhusiwa kwenda kuwahubiria wafungwa ili watapomaliza vifungo vyao warudi uraiani wakiwa ni watu wema. Jela ilikuwa ni mwanga kwa Malcolm X ingawa Kiengereza ndio lugha yake, aliweza kuhifadhi kamusi la Kiengereza al ipokuwepo je la na ndio ilimuwezesha kuwa fasaha anapozungumza n a k u we z a k u c h e z a n a m a n e n o . A i d h a , a l i p o t e m b e l e w a n a mjumbe wa Nation of Islam, hilo ni vugu vugu la Waislamu waji i tao Waislamu Weusi “Black Muslim” chini ya Kiongozi wao Elijah Muhammed, ilimpelekea Malcolm X kusilimu. Wafuasi wa Black Muslim wakiamini kuwa Elijah Muhammed ni kama Mtume. Alipoisoma Q u r ’a n n a k u i e l e wa hakusita wala hakuwa na simile ila alisilimu. Malcolm X alijenga uadui na Waeusi wenzake na Serikali ya Marekani na mwishowe akauwawa

Barua ya Malcolm X Al-Hajj Malik El-Shabazz kutoka MakkaNa Ben Rijal

Elijah Mohammed na Malcolm X

akiwa anahutubia.Malcolm X kapambana

na ugozi wa Wazungu ulimchochea kuwa mfuasi mkakamavu wa Nation of Islam wakijenga imani k u wa B l a c k M u s l i m n d i o n j i a p e k e e ya kujikomboa kutokana na ugozi uliotopea wa watu weupe. Ukakamavu wake ulimfanya alipotolewa jela kupewa kazi ya kueneza nadhar ia i l ioas i s iwa na Eli jah Muhammed kuwa Waislamu weusi wanaonewa wachukie watu weupe na wawe wapo tayari kwa lolote lile kupambana na watu weupe na watu weupe sio watu wala wasishirikiane nao. Malcolm X aliifanya kazi hio ya ugozi na akiwavutia vijana wengi weusi kujiunga na Nation of Islam na hata wale walioshindwa kusilimu w a k i m h u s u d u n a kumuigiza. Alipofika upeo huo Elijah Muhammed a k a w a a n a t i w a n a khofu kuwa nafasi yake itanyakuliwa na Malcolm X.

M w a k a w a 1 9 6 5 Malcolm X alipata fursa ya kwenda kuhiji Makka na kuzitembelea nchi za Kiafrika na hapo Malcolm ndipo alipobadilika na kuja kufwata Uislamu wa kweli usiohubiri ubaguzi wa Mweupe kwa Mweusi na Mweusi kwa Mweupe wala kutumia mabavu pasi kuwa na sababu zilizodhukuriwa katika kitabu kitakatifu cha Qur’an na Hadithi za Mtume (SAW). Alipokuwepo Makka aliandika barua ambayo imewekwa kama kumbukumbu. Barua hiyo alimuandikia kaimu wake aliokuwepo Harlem. Tafsiri ya barua hio yapo hapo chini.

Barua ya Malcolm X kwa Kaimu wake

Aliaanza kwa kusema m a n e n o y a f w a t a y o : Sijapatapo kuona wema na ungwana wa kindugu ambao unatekelezwa na watu wa rangi mbalimbali na makabila mbalimbali katika ardhi ya nchi ya Mtume Ibrahim, Mtume Muhammad (SAW) na M i t u m e m b a l i m b a l i walioteremshiwa vitabu vitakatifu. Ukweli kwa wiki nzima iliyopita nimekuwa ni mtu nisiyekuwa na kauli na kuvutiwa kwa kiwango

cha hali ya juu kwa yale n i l iyoyashuhudia na kufanyiwa wema na watu wa makabila mbalimbali.

N i m e b a h a t i k a n a kupata baraka kuuzuru mji mtukufu wa Makka, nimeweza kutufu kwa kuizunguka Al-Qaba mara saba nikiongozwa n a M u t a wa f a i t wa e Muhammad, nimekunywa m a j i y a Z a m z a m , n ikakimbia baina ya Safwaa na Marwa, nilifika maeneo matakatifu ya Mina na katika Mlima Arafa.

Kulikuwa na Mahujaji kwa maelfu kutoka kila pembe ya dunia, watu wa kila rangi, weupe wenye macho ya kibuluu na nywele za singa na watu weusi. Juu ya watu hao kuwa na rangi tafauti lengo lao lilikuwa ni moja tu, nalo ni kutimiza nguzo ya tano katika Uislamu na kujenga umoja na mshikamano, ambao kwa uzoefu wangu nchini Marekani umoja baina ya mtu mweupe na mtu mweusi haupo.

Wamerekani wana haja ya kuuelewa Uislamu kuwa ni dini ilioondosha na kufuta ubaguzi wa rangi katika jamii ya kila aina.

Katika ziara zangu katika nchi zinazokaliwa na Waislamu kwa wingi, nimeweza kukutana na kukaa na kula sahani moja na watu ambao nchini Amerika wanajiita watu weupe wenye kujitenga na weusi. Niliokutana nao tabia za kujiona na kiburi zimewaondoka katika nafsi zao kutokana na mafunzo ya dini ya Kiis lamu, s i japatapo kuuona udugu huu kama niliuwona nchini Makka na nchi zinazokaliwa na Waislamu wengi.

Najua kuwa utapigwa na butwaa na maneno yangu haya nil iyoyanukulu. Hijja na matokeo yake yamenilazimisha fikra zangu nizigeuze upya na kuweza kuzizika fikra za ubaguzi na fujo.

K u y a f a n y a h a y o niliyoamua kuyatekeleza sio kazi nzito kwangu ijapokuwa huko nyuma mitizamo yangu ilikuwa n i y a u k a k a m a v u kupambana na ugozi. Mie

Malcolm akiwa Makka anasali

Malcolm X alipata fursa kukutana na Mfalme Feisal

ANNUUR NEW.indd 13 11/12/2015 4:57:00 PM

Page 14: Documentc

14 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

MAKALA/TANGAZO

Kalamu nimeishika, kasiye kuiyangaza, Mamlaka aloshika, taifa kuliongoza, Si mwingine mtajika, Magufuli nadokeza, Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Kathiri yaaminika, kasiye yawapendeza, Si ajabu kadhalika, kuna inowachukiza, Ndivyo insi hugawika, si jambo la kushangaza, Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Wizarani mwakumbuka, ziara avyofanyiza, Kwa miguu kakakaka!, vuu! pasi kuwajuza, Baadhi wakazumbuka, kwa ofisi 'telekeza, Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Simile hakuiweka, maswali akauliza, Kuhusu walotoweka, majibu yakatatiza Nahisi hakuridhika, japo aliyakatiza, Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Muhimbili akafika, nako kwa kustukiza, Simanzi ikamshika, kwa alokuta mayaza, Yasoweza 'vumilika, mengine akauliza, Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Mashine kutotumika, nyeti kukamchukiza, Hivyo akalazimika, papo hapo kuagiza, Kutengenezwa haraka, kwa shadda akahimiza, Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Sijamaizi hakika, ya ziara-stukiza, Yumkini kadhalika, kwalo kuhisi naweza, Uchapakazi ataka, kusiwepo mapuuza, Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Falau ndilo ataka, kwa dhati si kuigiza, Wala si swifa kusaka, bali taifa kufuza, Kongole ninatamka, kwa hilo kumpongeza, Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Lingine wazi naweka, watu lilowapendeza, Safari kando kuweka, za nje na kuagiza, Mabalozi kutumika, shughuli kutekeleza, Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Lengole lafahamika, matumizi kupunguza, Kwa hili wasononeka, si wala sima kwa chaza, Vigogo waheshimika, wala ubwabwa kwa pweza, Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Safarizo kutenguka, wasanze kugazagaza, Ama kinyongo kuweka, au mambo kuvuruza, Wapaswa kumakinika, taifa kuendeleza, Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Na panapolazimika, kwenda wao 'tekeleza, Kinopaswa kufanyika, dhahiri keshawajuza Kibali kwake kutoka, au alikolekeza, Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Mwisho karibu kufika, wa kasi kuiyangaza, Kwa sasa yatononoka, tena kwa kufululiza, Ofisi kuzimulika, za umma yazidi fuza, Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Hofu yangu na wahaka, ni hiyo yake ruwaza, Chamani kuvumilika, sidhani kama yaweza, Na mfumo ulomweka, kweli havitaikwaza? Kama si nguvu ya soda, wakati utaamua!

Kwa akali nilotaka, ni hayo kuyaangaza, Khamsashara kuvuka, si khutuba sitaweza, Kalamu chini naweka, tamati sina nyongeza, Wakati ndiye hakimu, kama si nguvu ya soda. ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA

KAMA SI NGUVU YA SODA!!! Barua ya Malcolm X Al-Hajj Malik El-Shabazz kutoka MakkaInatoka Uk. 13

ni mtu ambaye nipo tayari kwa wakati wowote ule kukabiliana na ukweli na kuukubali katika maisha ninayoishi. Akili yangu siku zote nairatibu na kuielekeza kuwa tayari kupokea mabadi l iko ambayo yanakupelekea kwenye mafanikio.

Siku 11 nilizozitumia katika Mataifa ya Kiislamu k u we z a k u l a s a h a n i mmoja, kunywa kwenye bilauri mmoja na kusali kwenye msala mmoja. Uislamu umewaongoza wa t u k u e p u k a n a n a ugozi, hakika ukweli huu nimeuona nilipokuwepo Sudan nchini Nigeria, Alger ia , Morocco na Ghana.

Hakika sisi ni ndugu kwa sababu tunamuabudu A l l a h a l i o t u f u n z a kuondosha kasumba za kiburi na ujahili. Nayaona maamrisho haya kama w a t u w a M a r e k a n i watayafwata watasita na ubaguzi na kuwanyanyasa watu wa rangi nyengine.

Ta u n i ya u b a g u z i imewagubika Wamerekani na matokeo yake kuwa ni kama Saratani isiyotibika. Wakiristo na Weupe wa Marekani nyoyo zao lazima zibadilike juu ya ubaguzi. Nafikiria wakati umefika kwa Wamerekani kujivua na fikira hizi ambazo zitawavua kutotumbikia katika janga lilowakumba Wajarumani mwishowe likawadhuru.

Kila sala niliosali katika ardhi takatifu iliniwezesha

Malcolm akiwa amevaa vazi la Kiafrika

kuitakasa roho yangu na kunifanya kujiuliza kulikoni kukawa na tafauti baina ya Weupe na Weusi?

Wamerekani Weusi w a s i l a u m i w e k u w a maadui na ghadhabu walizonazo juu ya Weupe kwani hayo ni majumuiko na matokeo ya zaidi ya miaka 400 ya ubaguzi nchini Marekani. Imani yangu nikuwa vijana wa leo katika maskuli na vyuo vikuu wanashuhudia maandiko kwenye kuta ya kupinga siasa chafu w a l i o n a z o W e u p e maandishi labda yataweza kuwabadilisha kiroho na kuwaweka mbali na hili janga.

Nasema kwa uwazi na

kujigamba kuwa sijapatapo kuthaminiwa na kuona utu nilionao kama mtu Mweusi. Masiku machache yaliopita anayejulikana nchini Marekani kama mtu Mweupe mwana Diplomasia katika Umoja wa Mataifa, akiwa balozi mshirika wa wafalme amejitolea kunipa nafasi ya kukaa hoteli katika nafasi yake, jambo ambalo halijapatapo kunipitia katika maisha kama ni mtu Mweusi.

S h u k u r a n i a p e w e Muumba, Mfalme wa viumbe vyote.

Wako mtiifu;A l - H a j j M a l i k E l -

Shabazz (Malcolm X)

Malcolm X na Moahmmed Ali

ANNUUR NEW.indd 14 11/12/2015 4:57:00 PM

Page 15: Documentc

15 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

VYOMBO vya Palestina vimetangaza kuwa watoto wa Kipalestina

wa n a s h i k i l i wa k a t i k a mazingira mabaya katika jela za utawala dhalimu wa Israel.

Ripoti zinasema kuwa idadi ya watoto wadogo waliokamatwa huko Palestina katika miezi ya hivi karibuni na katika wimbi la sasa na mapambano ya Intifadha ya Q u d s i m e o n g e z e k a na kwamba, wengi wao wanateswa na kunyanyaswa na askari wa utawala wa Israel.

Mwanasheria wa Palestina anayejihusisha na masuala ya kutetea haki za binadamu, Ibrahim al Aaraj, ambaye J u m a n n e y a w i k i h i i ametembelea jela ya Israel ya al Oufi, amesema kuwa jela hiyo haina tena nafasi ya kupokea wafungwa zaidi na kwamba, idadi kubwa ya wafungwa wake wanalala chini sakafuni kutokana na ukosefu wa nafasi.

Al Aaraj ameongeza kuwa watoto 138 wa Kipalestina wanashikiliwa katika jela ya Israel ya al Oufi.

Wakati huo huo, jeshi la Israel limempiga risasi na kumuua kijana mwingine wa Palestina katika Ukingo wa Magharib.

Kijana huyo amepigwa risasi na kuuawa mapema Jumanne ya wiki hii katika kituo cha barabarani cha Jalama katika mji wa Jenin.

S h i r i k a l a H i l a l i Nyekundu la Palest ina limesema Wapalestina 2,617 wamepingwa risasi na askari wa Israel katika mwezi uliopita pekee katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

Wakati hayo yanabainika, Mamlaka ya Ndani ya P a l e s t i n a i m e f u n g u a mashitaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai-ICC, dhidi ya jinai za utawala wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Ukanda wa Gaza wakati wa Intifadha ya Quds, na tayari mahakama hiyo imeanza uchunguzi wa kufuatilia kesi hiyo.

Mwakilishi wa Palestina katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi, Balozi Ibrahim Khraishim, a m e s e m a Wa p a l e s t i n a wanasubir i kumal iz ika uchunguzi wa mahakama hiyo ya ICC ili kuona hatua gani zitachukuliwa.

Kukithiri mashambulizi ya walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina na dhidi ya Masjidul Aqswa na Baytul Muqaddas, pamoja na kuvunjwa nyumba za Wapalestina na kuendelea ujenzi wa vitongoji vya

Watoto wa Kipalestina wanateseka jela sraelWapalestina waishitaki Israel ICC

walowezi wa Kizayuni ni miongoni mwa mambo yaliyomo kwenye faili hilo.

Mamlaka ya Ndani ya Palestina siku ya Ijumaa tarehe 30 Oktoba, ilifungua kesi katika mahakama ya ICC kuwashitaki Wazayuni kwa kuwaua shahidi makumi ya Wapalestina.

Hilo ni faili la tano la kesi za jinai za Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni, ambalo l imefungul iwa na Mamlaka ya Ndani ya Palestina katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

B a a d a y a Pa l e s t i n a kujiunga na Mkataba wa Roma uliounda Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, mahakama hiyo ilianzisha uchunguzi wake wa awali kuhusu kesi zilizofunguliwa na Wapalestina kuhusiana na ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, pamoja na jinai za kivita zilizotendwa na utawala w a K i z a y u n i k a t i k a mashambulizi ya siku 51 mwaka jana huko Ghaza.

Wachambuzi wa mambo wanaamini kuwa, hatua yoyote itakayochukuliwa n a m a h a k a m a ya I C C katika kufuatilia kesi za jinai za Wazayuni, inaweza kusaidia katika kuizuia Israel kuendelea na jinai zake dhidi ya Wapalestina.

Kabla ya hapo, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas, alimwambia Mwendesha M a s h i t a k a M k u u w a mahakama ya ICC, Bi. Fatou Bensouda, wakati alipoonana naye hivi karibuni kwamba, mahakama hiyo inapaswa

kulipa uzito mkubwa suala la kufuatilia jinai za mwezi mmoja uliopita za Wazayuni dhidi ya wananchi wa Palestina.

Bi. Bensouda kwa upande wake ameulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kufanya jinai za kivita dhidi ya Wapalestina.

Tangu ilipoanza Intifadha ya Quds tarehe Oktoba 1, mwaka huu, utawala wa Kizayuni umeshawaua zaidi ya Wapalestina 69 na kuwajeruhi wengine zaidi 7,000.

Hatua ya Palestina ya kujiunga na mahakama ya ICC imemaliza kipindi cha kinga ya kisheria ya viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel, ambao wamefanya jinai kubwa dhidi ya Wapalestina katika kipindi cha miongo sita iliyopita wakiungwa mkono na Marekani.

Karibu miaka 70 sasa, Israel imekuwa ikitenda jinai za kila namna dhidi ya Wapalestina.

Licha ya hali kuwa hivyo miaka yote hiyo, lakini Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kama ilivyo kwa makumi ya taasisi nyingine za Umoja wa Mata i fa , muda wote huo ilikuwa inanyamazia kimya jinai hizo za Israel.

Hata hivyo hivi sasa mahakama hiyo imeamua angalau kufanya uchunguzi kuhusu jinai hizo, hatua ambayo wachambuzi wa mambo wanaona itasaidia katika kupunguza j inai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina.

WATOTO wa Kipalestina wakiwa katika jela za Waisrael.

MAKALA

Jee Unajua?

MASUALA1. Jina la Mtume Issa kwa Kiengereza. Jawabu : Jesus2. Jina la Mtume Yunus Kienegereza. Jawabu : Jonah3. Alipopiga bahari kwa fimbo yake ikafanya njia akapita na

kaumu yake ni Mtume gani? Jawabu : Mussa4. Mtume gani akijua lugha za wanyama? Jawabu : Suleyman5. Mtume gani alikuwa na Subira ya hali ya juu yenye

kupindukia? Jawabu : Ayoub6. Mtume aliyemlea bibi Maryma baba wa Mtume Yahya.

Jawabu : Zakaria7. Kigezo chema kwa Waislamu ni kwa nani? Jawabu :

Muhamad8. Mtume yupi aliozaliwa Kimiujiza? Jawabu : Issa9. Aliwalingania Umma wake kwa karne 9. Jawabu : Nouh10. Taja Mtume wa mwanzo na wa mwisho (Nouh-Idriss,

Mussa-Issa, Adam-Muhammad) Jawabu : Adam-Muhamad*Kuna kosa ndani ya Jadweli hakuna jina la Jesus na Zakaria

JAWABU CHEMSHA BONGO NAMBA: 25

CHEMSHA BONGO: 26Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.

E A A A N S M I S H A Q I N Y D T A U U A D U R A S O O A A B L H L B I R K S C U M B C E A L A M H A A H B A U D Y M N O U R B N J B S K E M A N O U H S N O C E D G A D C N N S K Y N A N S F N A E I O U A B A M T U M E M U H A M A D H M U S S A A Y O U B B N

MASUALA1. Jee utowaji wa majina kwa vimbunga umeanza mwaka

gani? 1850, 1950, 1988.2. Litaje shirika linaloratibu utowaji wa majina ya vimbunga.

WHO, WMO, WCO,3. Majina yepi yanatawala kuitwa kwa vimbunga, majina ya

Kiume au Kike?4. Bengal, Kashmiri, Bhopal ni mji upi ndio uliripotiwa

duniani kwa mara ya kwanza kukumbwa na janga la kipindupindu?5. Anayosababisha kipindupindu ni Kirusi, Kugwi, Bakteria.6. Saratani ya damu inajulikana kwa jina gani? 7. Nini jina la ndege Hoope (Hud hud) kitaalamu? 8. Jina la ndege Hoope linaekwa kwenye familia gani?9. Itaje Miji 3 muhimu katika eneo la Palestine.10. Nchi gani yenye wakazi wengi wa dini ya Kiislamu ikiwa

ipo sehemu Ulaya na sehemu Asia

1. Miti inaisihi kwa miaka mingi kufikia umri wa miaka alfu na kuongezeka kina cha urefu wake aidha asilimia 25 ya dawa zote zinazotumiwa duniani hutokana na misitu ya mvua. http://www.greenpeace.org.uk/blog/forests/9-awesome-facts-about-forests-20140321

2. Mti uliohesabiwa kuwa na umri mkubwa umeonekana huko Marekani ukikisiwa kuwa na umri wa miaka 4,700.

3. Inafahamika kuwa samaki wameanza kuonekna duniani kwa zaidi ya miaka milioni 450, aidha kuna aina ya samaki zaidi ya alfu 15 duniani bado hawajatambulikana. http://www.peteducation.com/article.cfm?c=16+2160&aid=586

4. Sio samaki wote wana magamba, mfano jamii ya Papa ni samaki wasio na magamba. http://facts.randomhistory.com/fish-facts.html

5. Inakadiriwa kuwa kiwango cha kiasi asilimia 40 ya samaki duniani kote hupatikana katika maeneo ya maji ya baridi. https://kidskonnect.com/animals/fish/

6. Inafahamika kuwa Waskotish ndio watumiaji wakubwa wa uraibu wa Cocaine duniani. http://www.factslides.com/s-Cocaine

7. Watu wa Korea hula pweza mbichi kikiwa ni kitoweo. http://www.factslides.com/s-Octopus

8. Kila siku duniani kote watu hunywa vikombe bilioni 2.25 vya kahawa. http://www.factslides.com/s-Coffee

9. Kuna baadhi ya nyoka hufikia kuweza kuishi kwa miaka miwili pasi na kula. http://www.factslides.com/s-Snake

10. Pua yako ina uwezo wa kuzikumbuka harufu za aina 50,000. http://www.factslides.com/s-Your-Body

B B J E R U S A L E M B L E H U S T B I T I U A A E N O S A F G H J K L M K U G P U T T U R U K I Z T K A A H A I F A Y A F A E I L L U P P I D A E B F R M U P U P A E P O S B H I I K U G W I A K I R U S I A K I U M E S U K I K E Y O 1850 WHO WMO WCO G X U C R Y 1960 Z 1950

ANNUUR NEW.indd 15 11/12/2015 4:57:01 PM

Page 16: Documentc

16 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

MAKALA

Israel issues eviction, demolition orders to 10 families in NablusNABLUS (Ma'an) --

Israeli forces issued eviction notices to 10 Pales t inian famil ies from Jaloud village in the northern occupied West Bank district of Nablus, with the intent of demolishing the homes, a local monitor said.

G h a s s a n D a g h l a s , who monitors settlement activity in the northern West Bank, said the families received orders from Israeli forces that state the families should leave their homes within 15 days, so they can be demolished due to their proximity to a nearby settlement.

Daghlas said the area

has been populated by the 10 families since the 1970s, while the settlement is new, adding that the decision is "racist," and

aims to appease settlers at the expense of the Palestinian population.

Over 80 people live in the homes, Daghlas said.

IS R A E L I f o r c e s demolished at least three apartments in the Beit Hanina

neighborhood of East al-Quds on Monday, the Palestinian Ma’an news agency reported.

A c c o r d i n g t o witnesses, Israeli forces used bul ldozers to demolish a housing c o m p l e x w h i c h c o n t a i n e d t h r e e apartments. The Israeli forces demolished the homes with all of the families' belongings inside.

S o u r c e s s a y t h e destruction has cut the supply of water and electricity to nearby

Israeli forces raze several Palestinian homes in occupied Jerusalem

houses and facilities in the neighborhood.

Local residents say the demolition took place although they had obtained an order from an Israeli court to halt the plan.

According to Israeli rights group B'Tselem, the Tel Aviv regime has razed nearly 580 Palestinian homes over the past 12 months. Palestinians say Israel is seeking to expand settlements through the demolitions.

Tel Aviv’s policy of demolitions comes hand in hand with the regime’s tight restrictions on Palestinian construction.

ISRAELI officials have taken a Palestinian

Arabic-language radio station off air over what they described as its attempts to further escalate tensions in the occupied West Bank.

On Tuesday morning, Israeli military forces raided the office of Free Palestine Radio in the southern occupied West Bank city of al-K h a l i l ( H e b r o n ) , located 30 kilometers (19 miles) south of

Israel takes Palestinian radio off air in West Bank

al-Quds ( Jerusalem), ransacked the building, and confiscated the radio’s broadcasting equipment, Arabic-language Palestine al-Yawm news agency reported.

The Israeli army had earlier ordered Free Palestine Radio to be shuttered for at least six months after accusing it of spreading hatred against the Tel Aviv regime.

BETHLEHEM (WAFA) – Israeli army forces Tuesday fired tear gas canisters inside Palestinians’ homes

in al-Miftah area in Aida refugee camp, north of Bethlehem, setting one house on fire and injuring members of another family.

Deputy Director of ambulance and emergency crews in the Palestinian Red Crescent Mohammad Abu Rayan told WAFA a part of the Abu Shaira family’s house caught fire and was partially burned after Israeli soldiers fired tear gas canisters inside.

He explained that around 30 Palestinians, including children, suffered from suffocation after Israeli soldiers intentionally fired three gas canisters inside three apartments belonging to the Abu Akr family.

Israeli Soldiers Set House on Fire, Injure Several Palestinian Families

BETHLEHEM (Ma'an) -- The World Bank

on Monday announced $8 million worth of funding to improve "basic services and quality of education" in the occupied Palestinian territory.

T h e W o r l d B a n k affirmed in a statement its "long term engagement" with the two sectors, saying they were "vital to the state building process and the cohesion of Palestinian society despite the fragile socio-political context."

One grant worth $5

World Bank allocates $8 million to education sector in Palestine

million will go toward local government to assist with basic services, the statement said.

"The critical reforms in local government units will improve service delivery and respond to citizens' demands," said Steen Lau Jorgensen, the World Bank's country director for the West Bank and Gaza.

A second grant worth $3 million will go toward the World Bank's teacher education improvement project.

"Over the last five years, the project has focused on improving the competencies and skills of teachers in the West Bank and Gaza schools," the statement said.

Jorgensen added: "Good teachers with on-the-job training have a direct impact on the learning and success of students. Recognizing that need and translating it into active strategy is investing in the future of Palestinian children and their resilience to challenges -- such investment pays off for years to come."

Since 1993, the World Bank has provided just short of $1 billion to the occupied Palestinian territory.

A t t h e e n d o f September, the World Bank warned in a report that the poor state of the Palestinian economy had led to the "high risk" of renewed conflict.

T h e W o r l d B a n k pointed to reduced donor aid, the suspension of revenue payments, war, and ongoing restrictions by Israel as having all had "a severe impact on the Palestinian economy."

"The persistence of this situation could potentially lead to political and social unrest," the report said, just days before large-scale protests swept the occupied Palest in ian territory in October

ANNUUR NEW.indd 16 11/12/2015 4:57:03 PM

Page 17: Documentc

17 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

HABARI/MASHAIRI

Na Ben Rijal

KATIKA mfululizo wa makala za w a n a v y u o n i wetu , hi i leo

tutamuangalia alimu mwengine wa visiwani humu kwa jina ni Sheikh Muhammad Bin Umar Al-Khatibu.

Sheikh Muahammad Bin Umar kama watu walivyopenda kumwita bwana wa Shangani/S h a k a n i , a l i z a l i w a mwaka wa 1239 A.H ( 1 8 7 6 ) . U n a p o j a r i b u kutaka kumzungumza Sheikh inakubidi kwanza umtizame ni nani mwalimu wake? Katika wanafunzi wengi wa Sheikh Abdallah Bakathir (1860-1925) a l i o wa s o m e s h a p a l e alipokuwa keshastakimu Unguja, alikuwa ni Sheikh Muhammad Bin Umar.

Sheikh Muhammad Bin Umar alipelekwa kupiga goti na kupinda shingo (kusoma) kwa Sheikh Abdallah Bakathir na hapo aliweza kuonyesha jitihada kubwa ya kujifunza, na Sheikh Bakathir akatokea k u m p e n d a m n o n a kumfanya kati ya watu wa aila yake na alikuwa akiandamana naye popote pale alipokuwa anakwenda na kuhakikisha kuwa Sheikh Muhammad Bin Umar yupo naye popote pale aendapo.

Sheikh Muhammad Bin Umar al ipokuwa anajifunza na wanafunzi w e n z a k e i k i w a w a m a k a m o y a k e n a we n g i n e wa l i o m z i d i h i r imu, k i l imchukua kipindi cha muda mfupi sana kuonekana kuwa mwanafunzi hodari na aliweza kuwa taliisha wenziwe na muda usio mrefu. Aidha, alipata makamo ya kusomesha darasa ndogo ndogo hapo Ukutani alipoachiwa na Sheikhe wake Sheikh Abdalla Bakathir.

Ukutani katika nyakati hizo ilikuwa ni sawa na "College’ yeyote ile kubwa ya kidini hivi sasa duniani, k w a n i w a n a v y u o n i takriban asilimia kubwa walipitia hapo na kusomea Ukutani na wasomi hao walikuja kukubalika nje ya Afrika Mashariki ikiwemo Hadharmout, Makka na

Sheikh Muhammad Bin Umar Al-Khatibu-(iv)Sheikh Muhammad bin Umar Al-Khatib ni kati ya wanafunzi waliokuja kuchukua na kufwata nyayo za magwiji waliokuwepo siku hizo akiwa Sheikh ABubakar Bakathir na Syd Ahamd bin Sumeyt. Sheikh Muhammad bin Umar na Sheikh Muhsin bin Barwany na Sheikh Umar bin Sumeyt ndio waliopewa makamo ya kusimamia urithi wa eneo la Ukutani, sehemu ambayo ilikuwa ni kitovu cha elimu visiwani Zanzibar. Kipindi kifupi cha kusoma kwake kwa Masheikhe wake aliweza kupewa nafasi ya kudarasisha. Inasemekana alikuwa na mwandiko mzuri wa hati za Kiarabu na kuwa mwandishi wa vitabu wa walimu wake.

Misri. Sheikh Muhammad Bin

Umar alikuwa na wake wawili, mmoja akikaa nae mjini na wa pili akiishi naye katika mtaa wa Kikwajuni ambako alikuwa akidarasisha baadhi ya siku za wiki katika Msikiti wa Kikwajuni unaojulikna hivi sasa Msikiti wa Ahli-Sunna.

Kipindi cha kusomesha watu wa hirimu yake kilidumu miaka saba kabla ya kupewa makamo kamili ya kudarasisha darasa zote, ijaza hio alipewa na Sheikhe wake. Katika k u s o m e s h a a l i f a n ya kazi kubwa ya kutosita kusomesha kwa siku nzima inayompitia alikuwa ak ianza kudaras i sha mara tu baada ya sala ya alfajiri hadi saa tano za asubuhi, wanafunzi wakibadil ishana kwa m a k u n d i . K u n d i hil i l ikimaliza kundi jengine linaingia na hivi ndivyo wal ivyokuwa w a k i s o m a w a t u n a namna wal ivyokuwa w a k i s o m e s h w a . W a n a v y u o n i w e t u w a l i o p i t a w a l i p i t i a mkondo huu wa kusoma na kutalii na wenzao kuanzia asubuhi hadi Isha.

S u a l a l a k u j i u l i z a ni vipi wakijiendesha kimaisha? Kila mmoja a l i k u wa n a s a m p u l i yake. Wengine walikuwa wametolewa makwao na kila haja zao zilikuwa zikikidhiwa makwao. Wengine walikuwa na mali za kurithi nyumbani. We n g i n e w a l i k u w a wafanya biashara, na wengineo hawajakuwa na lolote ila wakijifunza na kuangalia bahari ya maisha itawachukua vipi na kuwaweka wapi?

Msikiti Gofu ni kati ya misikiti michache visiwani humu kuwa wanasali sala ya Tarawehe na Sala za Witri kwa mtindo

wa k u s o m wa j u z u u kamili. Kumbukumbu z i n a o n y e s h a k u w a ni Msikiti wa mwanzo visiwani kuwa wakisali Tarawehe na Witri katika mwezi wa Ramadhani kwa kusoma kila siku juzuu moja. Hivi sasa jema linaloendelea nikuwa Misikiti mingi visiwani inakwenda na mtindo wa kusali Tarawehe na Witri kwa usomaji wa juzuu nzima. Msikiti wa pili kusali Tarawehe na Witri kwa kusoma Juzuu nzima ulikuwa Msikiti wa Chwaka katika Karne ya 19. Chwaka ipo katika wilaya ya kati, ikiwa ipo shamba, mjini kulijaa Misikiti lakini haikufwata mtindo huu kwa haraka kama Chwaka. Nini kilipelekea Chwaka kwenda na mtindo huu? Jawabu ni kusema kuwa wanafunzi waliokuwa w a k i s o m a U k u t a n i na kusali Msikiti Gofu walichukua mtindo huo na kwenda nao Chwaka na Chwaka nako kulikuwa katika sehemu zenye wasomi wazito wa dini ya Kiislamu kama ilivyokuwa Donge na Makunduchi siku hizo.

Sheikh Muhammad B i n U m a r a l i t o k e wa kupendwa sana na Sheikhe wake na alipewa makamo ya kusalisha Tarawehe na Witri wakati walimu wake wakuu wa hai na wakiwa nao wakihudhuria sala hizo, hao sio wengine ila ni Sheikh Abdallah Bakathir na Sayid Ahmed B i n S u m e i t . S h e i k h Muhammad Bin Umar a l idumu kuz i sa l i sha sala hizi hadi alipokuja kupokewa na Sheikh Abdallah Saleh Bin Farsy katika mwaka wa 1933.

Sheikh Muhammad alikuwa akiisoma Quran kwa hukmu zake na kwa ukamilifu, jambo ambalo lilimfanya achaguliwe kuwa Khatibu wa Msikiti Ijumaa wa Malindi na Sheikh Abdallah Saleh

Farsy anatueleza kuwa " h a k u t o k e a K h a t i b u katika Unguja, Pemba, Mrima, Mombasa na Lamu mwenye sauti ya juu na kali kama Sheikh Muhammad Bin Umar".

Sheikh Muhammad Bin Umar alidumu kusomesha darsa zake zote Msikiti wa Kikwajuni aliweza kupata wanafunzi wengi ilibidi ahame Msikiti wa Kikwajuni na kuhamia Msikiti Gofu kusomesha darasa zake katika mwaka wa 1927 alipokufa Sheikh Muhammad Bin Abdallah Al-Hinzwany. Alikuwa na darsa nyingi akizisomesha hapo Msikiti Gofu na alizidi kutwikwa mzigo na mzigo kumuelemea p a l e S h e i k h M u h s i n Barwany aliposhindwa kuzisomesha darsa pale Ukutani kuzidiwa na maradhi na kupokewa na Sheikh Abubakar na Sheikh Abubakar kumwachia Sheikh Sheikh Muhammad bin Umar. Usomeshaji wa Sheikh Mohammed bin Umar ulikuwa sawa na wa Masheikhe wake Syd Ahmad bin Sumeyt na Sheikh Abdalla Bakathiri kwani walipofariki namna alivyokuwa akiziendesha darsa wengi walitamka kuwa zimeondoka sura tu za watangulizi wake lakini taaluma waliokuwa wakiipata ni ileile.

Darsa zake zilikuwa zikihudhuriwa na watu ambao wal ikuwa wa madhehebu nyenginezo, l a k i n i w a l i y a w e k a madhehebu upande na kwenda kuchota elimu kwake, kwani alikuwa ni kisima chenye kina kirefu na maji yake yapo saa zote na kila yakitekwa basi huzidi kuja juu. Sheikh Muhammad bin Umar alikuwa akiepuka masuala ya malumbano katika madhehebu na haya ndio yaliowavutia wafuasi wa madhehebu mengine kushikamana naye.

A l i p o k u f a S h e i k h

Abubakar alikuwa yeye ndiye mwenye amri zote za nyumba mbili za Ukutani kwani, bwana huyu alipata bahati nzuri ya kumuoa mtoto wa Sheikh wake, kwa hivi nikusema Sheikh Abdalla alikuwa mkwewe na Sheikh Abubakar na ndugu zake wanakuwa shemegi zake, ni Sheikh Muhammad Bin Umar aliyetoa shauri ya kufanya nyumba mbili za ukutani kuwa n i nyumba za wakfu na kila mmoja wao akaridhia. .

Wengi wa Masheikh waliopita walikuwa na muandiko mzuri, naye S h e i k h M u h a m m a d B i n U m a r a l i k u w a na muandiko wenye kupendeza kuusoma na yeye ndiye aliyeandika "Muswada" (Manuscript" wa baadhi ya vitabu alivyovitunga Sayyid Ahmad na Sheikh Abdalla na kavisoma mbele yao, na wao wakamsikiliza).

Sheikh Muhammad Bin Umar alifunga macho usiku wa kuamkia Jumaane tarehe 30 Mfunguo Tisa 1377 A.H (21. 1. 1957).

Msikiti Gofu na Ukutani kama nilivyokwishaeleza w a n a v y u o n i t e l e wakisomesha hapo na k u s o m e a h a p o , n a mwahali humu mulikuwa ndio chimbuko la elimu hapa visiwani. Leo Msikiti Gofu darsa ya pekee iliyo na wanafunzi wengi ni ile ya mwezi wa Ramadhani baada ya sala ya Alasiri ya tafsiri ya Quraan Msikiti Gofu haina tena darasa nzito nzito zilizopata kuweko ingawa kuna darsa zinazosomeshwa sio kama zama hizo. Kwa upande wake Ukutani nayo imepoteza mkondo wa taaluma il iyopata kuweko.

W a k o w a p i watakaochukua jukumu la kuirejesha hadhi na mkondo wake uliopata kuweko mwahali humo mwenye historia kubwa ya elimu ya dini visiwani, yaani Msikiti Gofu na Ukutani?

Tunamuomba "Allah" a z i r e j e s h e e U n g u j a na Pemba yake elimu y a K i i s l a m u k a m a walivyokuwa nayo kina S h e i k h M u h a m m a d Bin Umar na wengineo "Ameen".

ANNUUR NEW.indd 17 11/12/2015 4:57:03 PM

Page 18: Documentc

18 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Kikao cha Maalim Seif, Dr. Shein kina walakiniInatoka Uk. 20

MAKALA/TANGAZO

Sifa na masharti ya kujiunga Muombaji atimize sifa na masharti yafuatayo:

(i) Awe Muislamu aliye tayari kuishi Kiislamu(ii) Awe anajua kusoma Qur’an kwa ufasaha.(iii) Awe amemaliza juzuu ya 1 na 2 ya Maarifa ya Uislamu, Darasa la Watu Wazima kabla ya kujiunga.(iv) Awe na uwezo wa kusoma na kuandika lugha ya Kiswahili kwa ufasaha.(v) Awe amehitimu darasa la saba au kidato cha nne na awe anafundisha madrasa au kipindi cha dini katika shule za Msingi

au Sekondari.• Patakuwa na usaili siku ya tarehe 06/12/2015 saa 2:00 asubuhi katika chuo cha Ubungo na Kirinjiko na katika vituo

mbalimbali vya mitihani kote nchini.• Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 05/12/2015.• Fomu italipiwa shilingi 5,000/- tu.

Fomu zinapatikana katika vituo vilivyoorodheshwa ukurasa wa 19 wa gazeti hili.

WABILLAH TAWFIIQMKURUGENZI

NAFASI ZA KUJIUNGA NA KOZI FUPI YA UALIMU KATIKA VYUO VYA UBUNGO NA KIRINJIKO-2016MUDA WA KUCHUKUA FOMU UMEONGEZWA TAREHE 28 NOVEMBA 2015.

A l i s e m a M a a l i m S e i f k a t i k a k i k a o h i c h o c h a k wa n z a cha kuzungumza na wajumbe hao tangu uchaguzi mkuu wa Zanzibar ulipomalizika.

Amesema, tayari dunia nzima wanamfahamu Rais aliyechaguliwa na wananchi wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu uliopita, na kuwataka wanachama wa Chama hicho kuacha kusikiliza k i l e a l i c h o k i i t a proganda za Chama Cha Mapinduzi zinazoeleza kurejewa kwa uchaguzi.

Amefahamisha kuwa h a k u n a s a b a b u z a kurejewa kwa uchaguzi huo kwani uchaguzi ulishakamilika katika ngazi zote na washindi wa uwakilishi na udiwani kutangazwa bila ya kuwepo malalamiko yoyote, na kwamba kinachosubiriwa hivi sasa ni kukamilika kwa zoezi la uhakiki wa kura za Urais kwa majimbo yaliyobakia na hatimaye mshindi wa uchaguzi huo aweze kutangazwa.

M a p e m a a k i z u n g u m z a katika mkutano huo, Mkurugenzi Mipango na Chaguzi wa CUF Omar Ali Shehe, amesema licha ya ushindi wa Urais, Chama hicho

pia kimepata ushindi mkubwa kwa nafasi za Uwakilishi na Udiwani.

A m e s e m a k a t i k a u c h a g u z i M k u u w a m w a k a 2 0 1 0 Chama hicho kilipata Wawakilishi wanne (4) na madiwani saba (7) kwa upande wa Unguja ambapo uchaguzi wa 2015 k imefan ik iwa kupata Wawakilishi

tisa(9) na madiwani kumi na tano (15).

A i d h a a m e s e m a Chama Cha Mapinduzi kimepoteza wodi zote tatu (3) za udiwani katika kisiwa cha Pemba na kukifanya Chama hicho kushindwa kupata mjumbe yeyote wa Baraza la Wawakilishi, Ubunge na Udiwani.

Kabla ya mkutano

huo, Baraza Kuu la Uongozi CUF chini ya Mwenyekiti wake ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama hicho Taifa Bw. Twaha Taslima, liliitisha mkutano wa waandishi wa habar i kue leza maazimio ya baraza hilo kufuatia kikao chake cha dharura kilichokutana jana 07/11/2015 katika

hoteli ya Mazsons Mjini Zanzibar.

Katika maazimio yake Chama hicho kimeishauri Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kutengua uamuzi wa mwenyekiti wake Bw. Jecha Salim Jecha wa kufuta uchaguzi mkuu wa Zanzibar, kwa vile hana mamlaka ya kikatiba na sheria ya uchaguzi kuweza kufuta uchaguzi huo.

ANNUUR NEW.indd 18 11/12/2015 4:57:04 PM

Page 19: Documentc

19 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

TANGAZO

ANNUUR NEW.indd 19 11/12/2015 4:57:04 PM

Page 20: Documentc

20 AN-NUURMUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

Kikao cha Maalim Seif, Dr. Shein kina walakini

Wajumbe: CCM 4, CUF mmoja!Kwani UKAWA hawana wazee?

Na Mwandishi Wetu

20 MAKALA AN-NUUR20

Soma gazeti la AN-NUUR

KWA TSH 800/=kila Ijumaa

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Ltd, Dar es Salaam.

MUHARRAM1437, IJUMAA NOVEMBA 12-18, 2015

KI K A O c h a M a a l i m Seif Shariff Hamad, kina

d o s a r i k u b w a n a taarifa zake haziwezi kuaminika.

H i v y o n d i v y o w a n a v y o s e m a wachambuzi wa siasa na mambo ya utatuzi wa migogoro ya kisiasa.

Mmoja wa wasomi m a s h u h u r i n c h i n i akitoa uchambuzi wake amesema kuwa dosari kubwa ya kikao hicho ni mahali kilipofanyika na wajumbe wa kikao chenyewe.

“Kwa Seif (Maalim Seif Shariff Hamad) kwenda Ikulu kukutana na Mheshimiwa Dr. Shein, kwanza inatoa picha kwamba kaitwa n a b o s i w a k e n a kaitikia wito, na hiyo ni kuonyesha kuwa anakubali kwamba Dr. Shein bado ni Rais wa Zanzibar kinyume na wanavyotuchambulia w a n a s h e r i a n a wataalamu wa mambo ya katiba.”

A n a s e m a m s o m i huyo ambaye hata hivyo hakutaka jina lake kutajwa gazetini.

“Hal i i l ivyo hivi sasa ni ya mgogoro, hata kama ni mgogoro bandia, wote hawa wawili, hadhi yao ni sawa, ni wagombea urais kupitia vyama vyao , na mgogoro uliopo ni kuwa Tume haijamtangaza ni nani m s h i n d i k a t i ya o , na kipindi cha urais (serikali) uliokuwepo ulishakwisha muda wa k e k i k a t i b a n a kisheria, si mgogoro wa Rais na Makamo wake. Maalim anapokwenda Ikulu ya Zanzibar , a n a k w e n d a k w a bosi wake, sasa hapo anakwenda kujadili j a m b o a u k u p e wa maelekezo?” Alihoji

mtaalamu huyo.K w a u p a n d e

mwingine akasema kuwa tatizo jingine ni katika wajumbe wa kikao.

“ T u n a a m b i w a pamoja na Rais Shein, alikuwepo pia Balozi Idd ambaye ni Makamo wa Pili wa Rais, na huyu ndiye mtendaji mkuu wa serikali (ni Waziri M k u u / K i o n g o z i ) , wengine walikuwa ma-Rais wastaafu, Mzee Alli Hassan Mwinyi na Dr. Amani Abeid Karume, wote hawa ni makada wa CCM, sasa mgogoro mkubwa kama huu, makada 4 wa CCM walio kaa katika kiti chao cha Dola, na mmoja wao akiwa kashikilia rungu lake la Dola, wanajadili

nini na ‘mtu’ mmoja kutoka upinzani kama si kumpa maelekezo!” Alisema.

“Kwani CUF wao hawana wazee? Hakuna wazee katika UKAWA? Kama ni kutaka ushauri kutokana na busara za wazee, wazee wa CCM watakuwa na busara na ushauri gani zaidi ya kutaka ya Jecha y a h i s h i m i w e k w a kisingizio cha kulinda Amani na utulivu?”

“ N a k a t i k a h a l i hiyo, kamwe CUF/UKAWA, hawatajua k i l i c h o o n g e l e w a katika kikao hicho. Angalau hata kama ndio imebidi kwamba kikao kifanyike Ikulu, basi pangekuwa na uwakilishi wa kutosha kutoka upande wa pili

wa mgogoro (CUF/UKAWA) lakini ilivyo ni kama wamekutana watu wa pande moja, Rais Dr Shein, Makamo wa k e wa K wa n z a Maalim Seif Shariff Hamad, Makamo wa Pili, na wazee wawili wa CCM, ambao ni ma-Rais wastaafu wa serikali ya CCM!” Alisema na kuhit imisha maoni yake.

Maoni ya mtaalamu h u y o , n i k a m a walivyosema wananchi wengine wa kawaida wakitoa maoni yao wakisema kwamba wanachoona hapa ni sarakasi na chenga za mwili ‘za wajuanao kwa vilemba’ ili muda upite, watu wachoke, waamue kuendelea na yao.

Hata hivyo, Katibu

Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameelezea Imani yake kuwa punde mgogoro utamalizika na yeye kuapishwa kuwa rais wa Zanzibar.

M a a l i m S e i f amewataka wafuasi na wapenzi wa Chama h i c h o k u t e m b e a kifua mbele kwa kile alichosema kuwa ni “ u s h i n d i m k u b wa wa l i o u p a t a k a t i k a u c h a g u z i m k u u uliofanyika tarehe 25 mwezi uliopita.”

N a k w a m b a “ushindi huo umeleta matumaini mapya kwa Wazanzibari ambao wameitumia vyema haki yao ya kupiga kura na kuwachagua viongozi wanaoataka.”

Akizungumza na wajumbe wa mkutano m k u u n g a z i z a Wilaya na Majimbo kat ika ukumbi wa Majid Kiembesamaki Zanzibar, Maalim Seif amesema hakuna namna yoyote ya kupindua maamuzi ya wananchi waliyoyafanya kupitia masanduku ya kura.

Akasis i t iza kuwa w a n a c h o k i f a n y a Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar hivi sasa n i k u c h e l e w e s h a kukamilisha uhakiki wa kura kwa majimbo 1 4 ya l i y o b a k i a n a kumtangaza mshindi wa Urais, na hivyo kuishauri tume hiyo k u k a m i l i s h a z o e z i hilo ili serikali mpya ianze kufanya kazi ya kuwatumikia wananchi.

“Mimi s ina was i was i , n ina j ihesabu kama Rais ninayesubiri kuitwa na kuapishwa, na sasa nimo katika matayarisho ya kuunda serikali ili nikiapishwa tu nisipoteze tena muda wa kufikiria kuunda serikali.”

Inaendelea Uk. 18

MAALIM Seif Sharif Hamad (kushoto) akisalimiana na Dkt. Ali Mohamed Shein.

ANNUUR NEW.indd 20 11/12/2015 4:57:04 PM