annuur 1103

12
ISSN 0856 - 3861 Na. 1103 SAFAR 1435, IJUMAA , DESEMBA 13-19, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Uk. 5 Hakukaliki! Wakristo, Waislam washikiana mapanga, bunduki Mauwaji ya kutisha kijiji kwa kijiji Watu waswali na silaha mgongoni Kanisa Katoliki lafurika wakimbizi KWA wapenda haki, Hayati Nelson Rolihlahla Mandela, mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel mwaka 1993 ni alama ya kimataifa ya uhuru na ushujaa. Wataendelea kumkumbuka kwa yote aliyoyafanya katika kutetea haki na uhuru si kwa watu wa Afrika Kusini bali kwa Mandela alikuwa katika orodha ya magaidi ya Marekani hadi 2008 Obama, Cameron walipaswa kuomba radhi Na Shaban Rajab Waislam katika ‘msiba’ wa Uhuru HAYATI Nelson Rolihlahla Mandela. Inaendelea Uk. 8 WAKATI Taifa likisheherekea miaka 52, ya Uhuru wa Tanganyika, Waislamu wamekuwa katika hali ya misukosuko ya kudai Serikali yawasahau wapigania Uhuru Msiba umbeleni kama dhulma haitakoma Na Bakari Mwakangwale haki ndani ya Tanganyika (Tanzania) huru. Hayo yamebainishwa na baadhi ya Masheikh wakitoa maoni yao juu ya nafasi ya Waislamu ndani ya miaka 52 ya Uhuru wa Tanganyika, iliyofikia kilele Jumatatu ya wiki hii (Desemba 9, 2013). Kwa upande mwingine Inaendelea Uk. 2 Baadhi ya wapiganaji wanaosababisha mauaji ya raia Jamhuri ya Afrika ya Kati (Central African Republic-CAR). Ndoto ya Zanzibar itatimia

Upload: annurtanzania

Post on 28-Nov-2015

754 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

ISSN 0856 - 3861 Na. 1103 SAFAR 1435, IJUMAA , DESEMBA 13-19, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz

Uk. 5

Hakukaliki! Wakristo, Waislamwashikiana mapanga, bunduki

Mauwaji ya kutisha kijiji kwa kijijiWatu waswali na silaha mgongoniKanisa Katoliki lafurika wakimbizi

KWA wapenda haki , Hayati Nelson Rolihlahla Mandela, mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel mwaka 1993 ni alama ya kimataifa ya uhuru na ushujaa.

W a t a e n d e l e a kumkumbuka kwa yote aliyoyafanya katika kutetea haki na uhuru si kwa watu wa Afrika Kusini bali kwa

Mandela alikuwa katika orodha ya magaidi ya Marekani hadi 2008

Obama, Cameron walipaswa kuomba radhi Na Shaban Rajab

Waislam katika ‘msiba’ wa Uhuru

HAYATI Nelson Rolihlahla Mandela.

Inaendelea Uk. 8

W A K A T I T a i f a likisheherekea miaka 52, ya Uhuru wa Tanganyika, Waislamu wamekuwa katika hali ya misukosuko ya kudai

Serikali yawasahau wapigania UhuruMsiba umbeleni kama dhulma haitakoma

Na Bakari Mwakangwale

haki ndani ya Tanganyika (Tanzania) huru.

Hayo yamebainishwa na baadhi ya Masheikh wakitoa

maoni yao juu ya nafasi ya Waislamu ndani ya miaka 52 ya Uhuru wa Tanganyika, iliyofikia kilele Jumatatu ya

wiki hii (Desemba 9, 2013).Kwa upande mwingine

Inaendelea Uk. 2

Baadhi ya wapiganaji wanaosababisha mauaji ya raia Jamhuri ya Afrika ya Kati (Central African Republic-CAR).

Ndoto ya Zanzibar itatimia

2 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2013

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Makala

Inaendelea Uk. 3

Waislam katika ‘msiba’ wa UhuruInatoka Uk. 1

Taifa limetakiwa kuwa na utaratibu wa kuwakumbuka na kuwaenzi wapigania Uhuru, ili kuleta maana halisi ya sherehe za Uhuru na kuweka historia sahihi ya Tanganyika.

Wakiongea kwa nyakati t o f a u t i M a s h e i k h h a o wamedai kwamba, ni kweli Uhuru ulipatikana mwaka 1961, lakini baada ya muda mfupi ilionekana kuwa Uhuru huo si kwa makundi yote ya kijamii ndani ya Tanganyika, ambayo kwa sasa ni Tanzania.

A k i z u n g u m z i a h a l i i l ivyo nchini hivi sasa, Sheikh Mohammedi Saidi, alitahadharisha akisema, ikiwa Serikali itaendelea kupuuza madai ya Waislamu, huenda huko mbele hali ya hea ikachafuka.

“Kwa mwenendo huu, Waislamu watarudi kudai Uhuru, na isidhaniwe safari hii itakuwa katika viwanja vya Mnazi mmoja, huenda mbinu za kudai uhuru huo zikabadilika.” Alisema Shkh. Mohammed.

Alisema, Waislamu ndio waliopigania Uhuru wa nchi hii, huku wakiwa na mategemeo, kuwa (Uhuru huo) utaondoa dhulma, u b a g u z i n a m a d h i l a mbalimbali miongoni mwa Watanganyika, waliyokuwa wakifanyiwa na Wakoloni.

M o h a m m e d , a l i s e m a kwa muda mrefu Waislamu wametumia njia mbalimbali za kuf ik i sha madai na malalamiko yao, wakiitaka Serikali kuangalia upya mwenendo wa utawala wake tokea Tanganyika ipate Uhuru mwaka 1961.

A l i s e m a , k a m a h i y o haitoshai Waislamu wakasema hadharani kwa kutembea nchi nzima, wakilalamika kuwa nchi hii inaendeshwa kwa unaowabagua Waislamu n d i o m a a n a k i l a m a r a Waislamu wanalalamika kutokutendewa haki.

“ T u s i t a k e k w e n d a katika kadhia ya mauaji ya Waislamu Mwembechai, au sakata la Kilindi, tuweke pembeni, kama hali ndiyo hii uhuru kwa Waislamu upo wapi, ikiwa hali itabaki kuwa hivi kwa kundi moja kuendelea kukandamizwa h u k o t u n a k o k w e n d a tutaivuruga nchi.” Alisema huku akitaadharisha Shkh. Mohammed.

A k i z u n g u m z i a maadhimisho ya mika 52, ya Tanganyika, alisema, n i vyema Ta i fa l ikawa na utaratibu maalum wa kuwaenzi na kuwakumbuka wazee waliopigania Uhuru wa Tanganyika na sasa ni Tanzania.

“ K a m a t u n a t a k a kusherehekea kweli Uhuru

wa Tanganyika, basi ni lazima tuwe tunawaenzi mashujaa wetu waliopigania Uhuru wa Tanganyika, ambao wapo wengi, watafutwe walio hai wawe wanaonekana katika sherehe hizo kwani wengine wapo hai ni bora waenziwe”. Alisema Shkh. Mohammed Said.

Alisema, ajabu ni kwamba kat ika maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika, kabla na wakati wa kilele cha siku hiyo hutajwa mtu mmoja tu, ambaye ni Julius Nyerere, lakini waliomuweka mbele hawatajwi wala kusimuliwa.

Akimnukuu Mshair i mmoja wa Kimisri, alisema Mshair i huyo anasema ‘Ukilisifia kabati kwa uzuri wake, usifie na ule msumeno’ uliokata mbao na kutengeza kabati hilo.

“ U n a p o m s i f i a h u y o Nyerere, basi uwasifie na uwatambue pia wale watu alikuwa nao bega kwa bega mpaka Uhuru ukapatikana, kwani yeye (Nyerere) alikuta watu tayari wanaendelea n a h a r a k a t i z a k u d a i Uhuru.” Alibainisha Shkh. Mohammed.

Aliwataja ndugu wawili ambao ni Abdulwahid Saykes na Ally Sykes, kuwa wao ndio waliompokea Mwl. Julius Kambarage Nyerere, Jijini Dar es Salaam, kisha kumuingiza katika harakati za Siasa na kupigania Uhuru, huku wawili hao wakiwa ni miongoni mwa wafadhali wakuu wa TAA, TANU mpaka Tanganyika inapata Uhuru, mwaka 1961.

H a t a h i v y o S h k h . Mohammed, alisema katika kusheherekea miaka hamsini ya Uhuru wa Tanganyika, wawili hao (Abulwahid Sykes na Ally Saykes), walipewa medani katika viwanja vya Ikulu, na Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Alisema, medani hizo zilitolewa baada ya kifo chake (Abdul) na alipokea mwanae Klayst Sykes, ambapo medani ya Ally Sykes, wakati huo yu hai alipokea mwenyewe.

M o h a m m e d S a i d , akahoji kitu gani kilifanya wacheleweshe kuwaenzi ndugu hawa wawili, ambao Chama cheyewe cha TAA, kilicho zaa TANU, kilihuishwa na baba yao mwaka 1927.

Zaidi alisema, baba yao ndiye aliyefanya kazi ya kuwakusanya wanachama wenzake na kujenga nyumba ambayo ikaja kuwa ofisi za TAA, TANU na sasa CCM, mwaka 1930.

“Vipi walikaa miaka yote hiyo bila kuwatambua watu hao, wakaja kuwatambua miaka hamsini, baadae lakini bado haitoshi kuwaenzi vinara hao wawili ikawa basi ili hali wapo wengine wengi tu.” Alisema Shkh. Mohammed.

Shkh. Mohammed, alisema mbali ya Abdul’ na Ally, wapo wengine ambao kamwe huwezi kuelezea harakati za Uhuru, ukawaacha watu kama Hamza Mwapachu, Dr. Kyeruzi, Sheikh Hassan Bin Amir, John Rupia, Mwalim St iven Muhando, Kiate Mshume, Jumbe Tambaza na Haidari Mwinyimvua.

Wengine ni Idd Tosir, Bi. Titi Mohammed na Tatu Bint Mzee.

Akasema hao ni wachache tu waliokuwa Ji j ini Dar es Salaam ambapo wote hao wal ikuwa pamoja , na walimkaribisha Mwl. Nyerere.

Kutoka mj in i Moshi , aliwataja baadhi yao kuwa ni Yusuph Olotu, Mama bint Malik, Halima Kilengio, na kwa Jijini Tanga, kulikuwa na Hamisi Heri, Rashid Sembe, Mzee Makoko.

A k a h o j i v i p i h a w a hawakupewa au hata kutajwa tu kwani walikuwa msitari wa mbele katika TANU.

“ W a n a h a r a k a t i wal iopigania Uhuru na wanaostahili walau kutajwa ni wengi huwezi kuwataja wote, kule Tabora, yupo Bilal Waikela, Mzee Fundi Muhindi, Saleh Tambwe na Bibi Nyange bint Chande.

Lindi, utamkuta Salum Mpunga, Yusuph Chembela, Yusuph Badi, Bi. Saharifa, na Kanda ya ziwa, miongoni mwao ni Abdul Kandoro na Paulo Bomani.” Alisema huku akiwataja.

Shkh. Mohammed, alisema hivi sasa Waislamu nchini wanatakiwa kuingia tena katika siasa, kwa lengo la kulinda maslahi yao kama ambavyo wafanyavyo wenzao Wakristo toka walivyoingia au kuingizwa katika TAA, TANU mpaka CCM.

“Suluhisho kwa Waislamu, hawana budi watambue kwamba njia ya kujitoa katika hali waliyonayo sasa ni kurudi katika harakati za siasa kwa kuingia katika vyama wakiwa na agenda yao kama walivyofanya au wanavyofanya wenzao hivi sasa.”alisema mwanahistoria huyo.

Naye Imam Hamza Shaban, wa Masjid Thaqib, Ji jini Mwanza, alisema Waislamu katika miaka hiyo 52, ya Uhuru wanaweza kusema kuwa wapo ndani ya msiba wa Uhuru na wala si Uhuru halisi.

“Tunapozungumza hivi namaanisha kwamba kundi moja wapo katika Tanganyika, ambalo ni la Waislamu limekuwa likikandamizwa tokea Tanganyika ipate Uhuru, na kujikuta wamo katika misukosuko ya kudai hak i” . Amesema Imam Hamza.

Imam Hamza alisema, hali

T A N G U a f a r i k i dunia Mzee Nelson Mandela Desemba 5, Alhamisi iliyopita, watu mbalimbali wamekuwa wakimsifu kwa yale aliyofanya wakati wa uhai wake.

Hata hivyo nasaha zilizopewa kipaumbele zaidi katika msiba wa Mzee Mandela, nyingi ni viongozi wa dola na watu mashuhuri, hususan katika ile siku rasmi ya maombolezo iliyoandaliwa na serikali ya Afrika Kusini, na kufanyika katika uwanja wa soka wa FNB jijini Johanesburg Jumanne wiki hii.

V i o n g o z i w e n g i waliopata nafasi ya kumzungumza Madiba, walikuwa wakijitahidi k a d i r i wa w e z a v y o kumwaga sifa kemkem kwa Mandela. Baadhi ya sifa zilizotajwa zaidi ni kwamba Mandela alikuwa mpenda haki, m w a n a d e m o k r a s i a wa kweli, mwadilifu, asiyekuwa na uroho wa madaraka, mchukia r u s h w a , a s i y e t a k a kusikia vitendo vya kibaguzi na alikuwa muumini wa amani na upendo n.k.

Pamoja na viongozi wengi na maarufu kupata nafasi kutoa salamu zao katika msiba ule, lakini nasaha alizotoa Askofu Desmond Tutu, ndizo zilizotuvutia zaidi na zinazoacha somo muhimu.

Kwa kifupi Mzee Tutu katika nasaha zake fupi siku ile alisema Mzee Mandela amesifiwa sana kwa matendo yake mema enzi za uhai wake. Lakini jambo la msingi kwa waliosalia, ni kuishi kwa kufuata nyendo zake.

Kwamba kwa si fa z i l e z i l e a m b a z o wengi walimsifia pale

Tumemsifia Mandela lakini muhimu tujifunze kwake

uwanjani, sifa ambazo kweli al ikuwa nazo Mzee Madiba , bas i we n g i n e n a o wa n a wajibu wa kumuenzi kwa kuj i funza kwa Mandela, kutenda yale aliyokuwa akiyatenda Madiba wakati wa uhai wake kwenye nafasi zao.

Bila shaka Askofu Tutu alijua fika kwamba siku ile kulikuwa na idadi kubwa ya viongozi wa dola, taasisi na Jumuia za Kimataifa waliohudhuria katika maombolezo yale.

Alitambua kuwa wengi waliomsifia Mandela, inawezekana hawana na wala hawajafanya yanayostahili sifa kama za Mandela katika nafasi zao, zaidi ya kudhulumu.

Alijua kuwa wengi wao walisifia ikiwa ni katika kumpamba tu mtu kama sehemu ya kutimiza wajibu, baada ya mhusika kufa. Na haya kwetu sisi tunaona ya m e k u wa m a z o e a kwa wengi, kusifiwa marehemu ‘mdomoni’ kupamba msiba.

Kama alivyobainisha Askofu Tutu, tunaona kwamba viongozi, hasa wale wa dola wana wajibu wa kujifunza kwa Mandela katika kuwaongoza watu wao. Wanaweza wasifikie kiwango na uwezo wa Mandela, lakini kwa kujifunza kutoka kwake, wanaweza kufanikiwa katika uongozi wao.

Wanaporudi kutoka Johannesburg wajiulize, katika nchi zao hali ya rushwa ikoje, ubaguzi (siku hizi zaidi ni wa kidini, kikabila) ukoje, vipi hali ya ubadhirifu wa mali za umma katika serikali zao, rushwa katika taasisi za serikali, vipi hali ya dhulma n.k.

Si vibaya kusifia, lakini ni vizuri zaidi tukajifunza kwa tunayemsifia.

3 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2013Habari

MABARAZA, Taasisi na Jumuiya za Kiislamu nchini zimetakiwa kuitisha mjadala wa pamoja kuyatafutia ufumbuzi matatizo ya Waislamu, ili kutoka katika hali ya kuhasimiana na walalamikaji.

Wito huo umetolewa na Bw. Habib Mhezi, wakati akiongea na Waislamu na wanachama wa Hajj Trust Saccos LTD, katika Mkutano Mkuu wa Saccos h iyo uliofanyika katika hoteli ya Starlight Jijini Dar es Salaam, Desemba 1, 2013.

Bw. Mhezi, alisema ni jambo bora kuanzishwa majada baina ya makundi mbalimbali ya Kiislamu, kwa lengo la kujadili matatizo yanayowakabili Waislamu na kuyatafutia ufumbuzi wa pamoja na kuacha kuwa walalamikaji miaka yote.

“Ni vyema pakaanzishwa mashaur iano baina ya makundi mbalimbali ya Waislamu, wakutane na kufanya mjadala mpana wa kuunusuru Uislamu na Waislamu, ili kuondokana na dhana mbaya ya kubaki kuwa walalamikaji au watu wa kulaumu kila wakati, bila kutoa njia mbadala ya kutuondoa mahali tulipo”. Alisema Bw. Mhezi.

Alisema ni wazi kwamba kila kundi lina mtazamo tofauti, lakini jambo la msingi ni kwamba wote ni Waislamu na kukutana kwao iwe ni kwa ajili ya mustakabali wa Waislamu na sio itikadi zao.

Bw. Mhezi, alisema haja ya Waislamu kutambua kwamba hakuna mtu wa kuwaondoka katika hali waliyonayo, isipokuwa ni wao wenyewe kwa kuangalia fursa na kuzitumika.

Moja ya fursa zilizotajwa ni kuanzisha Saccos zao, ambazo zinafuata maadili na misingi ya Kiislamu na kufuta fikra kwamba vikundi hivyo havifai kwa Waislamu.

Bw. Mhezi aliongeza k u w a c h a n g a m o t o zinazowakabili Waislamu ni kutotilia maanani elimu ya ujasiriamali, ambalo huonekana kama ni kinyume na Uislamu.

Alisema matokeo ya dhana hiyo ni kuachwa nyuma kimaendeleo na kukabiliana na umasikini wa kipato.

Alifahamisha kwamba ujasiliamali ni njia tanzu ya kibiashara na katika Uislamu biashara si ukiukwaji wa

Taasisi za Kiislamu zatakiwa kuitisha mjadala wa pamojaNi wa kujadili matatizo ya WaislamuTofauti za kiitikadi ziwekwe pembeni

Na Bakari Mwakangwale maadili ya dini.“Tunahitaji kujifunza

mbinu za kibiashara ili kukabiliana na hali ya sasa, il i Waislamu nao wawe sehemu ya mabadiliko ya kibiashara yanayoendelea duniani kote hivi sasa, bila kuathiri misingi yetu ya dini ya Kiislamu”. Alisema Bw. Mhezi.

Aidha aliwataka Waislamu kubadilisha mienendo yao, hususani njia zinazotumika katika kuwapa vijana elimu mbalimbali, kwamba kuna haja ya kuwepo mikakati madhubuti ya kuwaanda

vijana wa Kiislamu katika kushika nafasi mbalimbali katika jamii.

Alitahadharaisha kwamba kinyume na hivyo, Waislamu wataendelea kubaki kuwa ni walalamikaji wakati wenzao wakij ipanga na kushika sehemu zenye maamuzi katika jamii, huku wakitumia fursa kama hizo za Saccos ambazo nyingi hufunguliwa hata Makanisani.

“Fursa zipo za kuanzisha vikundi ambavyo vitafuata utaratibu na mafundisho ya Uislamu, hili linawezekana, mfano ni huu wa Hajj Saccos,

Alisema na kuhoji, Bw. Mhezi.“Tatizo la ukosefu wa fedha

kwa Waislamu ni kubwa, wengi hawana uwezo hata wa kutekeleza nguzo ya Hijja kutokana na vipato vyao duni, huku kukiwa hakuna chombo cha Kiislamu kilichoweka utaratibu wa kudumu wa kulipatia ufumbuzi tatizo hili”. Alifafanua.

Aliongeza kuwa kupitia Hajj Trst Saccos, wameweka utara t ibu wa kul ipat ia ufumbuzi tatizo hilo, ambapo wanachama wao watapata fursa ya kujiwekea akiba a m b a y o i t a wa w e z e s h a kwenda Hijja na kutatua matatizo ya kiuchumi yanayo wakabili.

Alisema pamoja na kuwapo kwa taasisi na Mabaraza mengi ya Kiislamu nchini, lakini nyingi hazina mpango

endelevu ya leo na kesho ya kutatua matatizo ya Waislamu kiuchumi.

Akasema kuwa ni wakati muafaka sasa wa kukaa na kujiuliza, Waislamu watabaki katika hali hii mpaka lini. Hivyo akasema kwa mtazamo huo kuna haja kwa Mabaraza, Jumiya na taasisi za Kiislamu kukutana na kufanya mjadala na kuunganisha fikra na kuweka mipango endelevu.

Bw. Mhezi, alisema Hajj Saccos imesaidia kutoa ajira mbalimbali kupitia wa n a c h a m a wa k e k wa kuwakopesha na kuanzisha miradi mbalimbali ambayo husaidia kua j i r i v i jana wengine.

Waislam katika ‘msiba’ wa UhuruInatoka Uk. 2hiyo inatokana na mapitio mengi ambayo Waislamu wamekutana nayo tokea Tanganyika ipate Uhuru huku Waislamu wakitendewa ndivyo sivyo katika awamu zote nne za utawala.

A l i s e m a , u k i a n z i a mwaka 1961, kumbukumbu inaonyesha Masheikh wengi walikamatwa na wengine waliwekwa ndani.

Hawakutendewa haki kama wananchi wengine, b a l i wa k a t i m w i n g i n e k wa m a k u s u d i k a b i s a walibaguliwa na kuhujumiwa.

Na hiyo ilikuwa ni baada ya kufanya kazi kubwa ya kudai uhuru.

“Ukija mwaka 1964, ni misukosuko tu mpaka 1993, hali bado ni tete kwa Waislamu kila wanapo simama na k u e l e z a k u t a k a u s a wa hujikuta wakiandamwa.”

Masheikh wetu wamepigwa sana na kuumizwa na wengine kusababishiwa vifo mara baada ya kutoka magerezani, wengine kufunguliwa kesi na kukosa ushahidi wa mashitaka wanayopewa”. Alisema Imam Hamza.

Akigusia matukio ya mwaka 1998, Imam Hamza alisema Umma utakumbuka k w a m b a W a i s l a m u waliuwawa Mwembechai.

Na kwamba hiyo ilikuwa ni baada ya serikali kusikiliza na kufanyia kazi madai ya Paroko, bila kujali kama yalikuwa ya kweli au la.

A k i e l e z e a m a s h i t a k a yake ambayo yalimuweka rumande zaidi ya miezi mitatu anasema yanakwenda sambamba na yale ya Askofu mmoja Jijini humo, lakini Askofu hajaguswa na mpaka sasa yupo mitaani, huku yeye (Imam) akiendelea kusimama

Mahakamani.“Inavyoonekana Uhuru

huu upo kwa wenzetu tu, hata wakiwa na makosa hawaguswi. mfano huyu Askofu Mpemba ni mmoja wa Maaskofu waliosababisha mauaji Buseresere.

“Huyu Askofu, hivi sasa yupo huru, pamoja na Jeshi la Polisi kutangaza kumtafuta lakini hajakamatwa na wala hawana mpango huo” . Alisema Imam Hamza.

Imam Hamza, alisema utasemaje Waislamu wapo huru ikiwa kila wakiitaka Serikali iwatendee haki, Masheikh wao wanakamatwa na kuwaweka jela na hata kuwanyima dhamana.

A l i s e m a , u k i f a t i l i a matukio yanayowahusu Wais lamu nchini tokea Uhuru upatikane, utabaini kuwa ni kama matukio ya kutengeneza yanayohusu kundi moja la jamii ndani ya Taifa linalodai kuwa ni huru na linaloongozwa kwa kufuata utawala wa sheria.

Imam Hamza, alibainisha kwamba haya yanayowakuta Waislamu muda wote tokea wapate Uhuru, ni tatizo la mfumo wa kinchi, ambao haupo katika uadilifu.

Akieleza nini cha kufanya kwa Waislamu, Imam Hamza, aliwataka Masheikh kuwa kitu kimoja na kuwaunganisha Wa i s l a m u , k wa n i b i l a m s h i k a m a n o wa k we l i wataendelea kuwa daraja la pili ndani ya Tanzania huru.

Kwa upande wake Sheikh Ayoub Muyinge, akitoa maoni yake alisema, anaona mazingira wanayokwenda nayo ni kuwa Waislamu wa Tanganyika, wanaweza kusema kuwa wana uhuru jina tu, na si uhuru halisi waliopigania wazee wao.

Shkh. Muyinge, alisema

bahati mbaya wazee wa Kiislamu waliopigania Uhuru wa Tanganyika, walikuwa wameandaa silaha kisha wa k a j i l e n g a we n ye we , bila kufahamu na kujikuta Waislamu wapo nje ya Uhuru walioutarajia, jambo ambalo limeendelea kuwagharimu kwa miaka 52 sasa.

“Waislamu walifanya juhudi kubwa kutafuta U h u r u wa Ta n g a n y i k a kama wanaharakat i na juhudi zikafanyika hatimaye walifanikiwa kupata Uhuru, lakini mambo yaligeuka ghafla, kwa maana hiyo, kama ni biashara tunaweza kusema tumepata hasara”. Alisema Shkh. Muyinge.

Ili Waislamu wajikwamue kutoka katika hali hiyo, Shkh. Muyinge, aliwataka Waislamu watambue nini maana ya Uhuru, na wapo kwa ajili ya nani hapa ulimwenguni.

Zaidi, Shkh. Muwinge, akawataka Waislamu kurejea Qur an 2:30, kisha akawataka wajiulize hayo yaliyoelezwa katika aya hiyo yametimia au bado, na kama hayajatima ni kwa nini.

J u m a t a t u w i k i h i i , Desemba 9, 2013, Watanzania waliadhimisha miaka 52, ya Uhuru wa Tanganyika, a m b a p o R a i s J a k a y a Mrisho Kikwete, aliongoza shamrashamra hizo zilizo fanyika katika viwanja vya Uhuru, Jijini Dar es Salaam.

Na Mahitaji Size Idadi @ Tshs

1 Nondo 12 MM Pcs 120 30,000 3,600,000.00

2 Nondo 8 MM Pcs 60 8000 480,000.00

3 Binding Wire 20 Kg 1 52000 52,000.00

4 MAWE 200 CM Lori 20 250000 5,000,000.00

5 KOKOTO 70 CM Lori 7 750000 5,000,000.00

6 Mchanga 40 CM Lori 4 220000 880,000.00

7 Cement Mifuko 350 13500 4,725,000.00

8 Mbao Cypruss 1 × 6 120 9000 1,080,000.00

9 Misumari Kg 10 3000

21,097,000.00

Deni la Mkandarasi (mjenzi)

16,000,000.00

Msaada ujenzi wa Msikiti.Mahitaji ya Vifaa yanayohitajika kufikia hatua ya Zege la Jamvi PLOT No. 152

Block A, Masjid Jumuiyatil Islamia Ubungo Darajani.

Nb: haya ni Mahitaji kwa ajili ya Zege la JamviKwa mawasiliano zaidi Tupigie Mwenyekiti 0754 462 050 Katibu 0719 760 777

Mwenyekiti Kamati ndogo ya ujenzi ( Goha) 0787 318 116.International Commercial Bank No A/c 00001/01/601059/01 au A/c 0000/01/

0009/94/02.Au tutembelee katika Msikiti wetu uliopo Ubungo Darajani.

Wabillah Taufiq

4 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2013Tangazo

A: KIRINJIKO ISL T.C

I: WANAWAKE

ISLAMIC PROPAGATION CENTREWALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA UALIMU WA KOZI FUPI (SHORT COURSE) FEBRUARI 2014

Na JINA1 SHAMIMU HABIBU MFINANGA2 YASMINI ALLY IBWENDE3 MAIMUNA SWALEH NTOLE4 FATUMA HASANI RASHIDI5 FARIDA SULEIMAN MREMBO6 ZAMUA SHABAN NGOYA7 SAUMU SHABANI ALLY8 ZANURA JUMANNE HAMISI9 ZAINA SELEMANI

10 MWANAMVURA SALUMU11 ZENA MAGASHA YUSUPH12 SAMILA MARICK13 SAUMU SHABAN KIRAHO14 AZIZA RAMADHANI NTUI15 ZUBEDA BAKAR MJUNGU16 HIDAYA JUMA IPINGIKA17 MAIMUNA RASHID OMAR18 MWAMJAKA BATULI19 MARIAM IBRAHIM RASHID20 MAUA SAID NDENGU21 MURSHIDI SURURU22 MWAJUMA HEMED23 KUDRATH H. TENGENEZA24 SADA RAMADHANI MASANJA25 SALAMA ABDILLAH MUHAMADI26 UMMU-KULUTHUM ABDALLAH MAMU27 SHUFAA SWALEHE HEMED28 ZUBEDA OMARI SAID29 AISHA SELEMAN30 HAMIDA ABDUS-SALAM31 RAHMA JUMA HASSAN32 MWAJUMA SAID33 HADIJA RAMADHANI MWANGA34 AMINA SALIM HEMA35 MWAJUMA SHABANI MWINYIMVUA36 ZUHURA YASSINI SUNZU37 ASHURA KHAMISI KIUNGULIA38 AMINA SAIDI LIMEI39 ASHA HAMADI KIMARO40 RAHMA SHABANI HAMZA41 REHEMA KATUMBA42 HAMISA RAMADHANI JUMA43 WAMOYONI HUSSEIN BAKARI44 SALMA RAJAB45 SHANI KHAMIS46 ZAHRA RAJABU MNYAMIKE47 ZULFA KASSIM HASSAN48 RAHMA MBARAKA HASSAN49 ZAITUNI ATHUMAN LIDA50 FATUMA ABDUL MUNISI51 SOMOE HASSANI BEGE52 ZAHRA HASSAN MWIRU 53 AMINA SAIDI MMAPALA54 HAWA HAMIDU OMARI55 SALAMA MUSSA RAMADHANI

56 ZILABELA M. ATHUMANI57 NAIMA KASSIM MUSSA58 SHAMILA AZIZ YUNUS59 JAMILA ISSA SIMBA60 JASMINE OMARY MVUNGI61 KHADIJA RAMADHANI KASONSO62 REHEMA ALLY ATHUMANI63 SALMA SHABANI MOHAMMED64 HAMISA RASHIDI HALFANI65 JASMINI ABDALLAH SAID66 JASMINI SALIM NGWILIZI67 NEMA RICHARD LEKEY68 MWAJUMA BWAKAME69 SHEMSA S. NGIMBWA70 AMINA FADHILI JUMA71 AMINA RAMADHANI FERUZI72 FATMA QASSIM ISMAILY73 JAMILA A. MTUA74 MTUMWA ZUBERI KHAMISI75 SAMIA OTHMAN MPONDA76 HAMIDA SULEIMANI ALLY77 HADIJA HASSAN78 ZAHRA YUSUPH SWALEH79 ASHURA A. AMANI80 HALIMA HAROUN MWANANJELA81 ZUHURA ADAM MTATIFIKOLO82 RAHMA SULEIMAN83 HALIMA KIGAMBA84 AMINA SHAIBU MATAJA85 HUSNA MAULIDI MADODO86 NAIMA JUMA HATIBU87 RAIHANA MUHAMEDI MWANGA88 ABEDA RUBEA SAID89 NASRA RAMADHANI BOI90 RUKIA ADAM ABUBAKAR91 NUSURA MIRAJI HASSAN92 HAFSWA MOHAMED93 ASIA H.MSHEKHA94 HAMIDA MALIKI MWANANJELA95 ZULFA MUHIBU NANGONGA96 FATMA ALI HAMAD97 AISHA ADAMU PUTTA98 HALIMA YUSUPHU MPAKA99 MARIAM RASULY MVAMBA

100 ZAINAB MASOUDY HAMIDY101 ZAWADI SHAFII102 ZAYANA TWAHA SHABANI103 ZUENA MUSSA104 AISHAH ISSA JUMA105 FATUMA IDDY MUHAMMED106 MARIAM KHALID KASTELA107 MWAJUMA FAUSTINE MABITA108 SALMA HASSANI MOHAMED109 MWASHA NIA110 MWASITI SHABAN MZURI111 HUDAINA NASSORO ABDALLAH112 FASBIR SALEH MOHAMED113 SWAUMU KILUA114 REHEMA BAKARI115 SAADA RAMADHANI MUSSA

116 MARIAM AMAN117 FATUMA HAMISI MTEPA118 SALMA SHABANI MAKUTA’S119 ZALKA K. MIRAJI120 MAIMUNA IDRISA HASSAN121 ZAKIA IDD NTUNGU122 AESHI SUDI YUSUPH123 ASHURA HARUNA MWANANJELA124 MWANTUMU ALLY ZIKO125 ZENA HASSANI MLAMBO126 ZUMLATI ABDI MSHANGAMA127 HAMIDA SEIFU ABDALLAH128 MARIAMU JUMANNE DEFU129 MWANAIDI AZIZI MSANGI130 ZULFA MOHAMED MWINYIMVUA131 FATUMA ZAKARIA IKHOTO132 FAUDHIA AMRAN YUSUPH133 ASHURA MOHAMED JONGO134 KHADIJA RAJABU SUWI135 AMINA HASANI MATOLA136 MWANAIDI MBARAKA137 HALIMA YUSUPH138 SALMA MASOUD139 AZIZA ALLY MKOLEKE140 ELISIA JULIUS141 MWANADIA ABUBAKARI IDDI142 MWANAKOMBO IMAMU KUNEMA143 SOMOE SAID MSOKOWALE144 RAFIA BURHANI145 HADIA MOHAMED SAIDI146 MGENI KHALIFA JUMA147 TATU HASSAN ALLY

II: WANAUMEJINA

1 HAMDAN M. HAMDAN2 ISSA MBELWA BAKARI3 RAMADHANI HUSSEIN4 YASSIN MOSHI HAMZA5 MOSHI IDD RAJAB6 RAJABU ALLY ATHUMANI7 TWALIBU HASSANI NYUMBA8 FADHIL HAMIS ATHUMAN9 MOHAMEDI SALUMU MINENG’ENE

10 HUSSEIN ABDALLAH FUNDI11 NG’HWAGI ROBERT12 KITABU OMARI KITABU13 RAMADHANI ABDALLAH SHAABAN14 ALLY MRISHO ALLY15 MUSSA HAMISI SHINENI16 MAULIDI ATHUMANI KONKI17 RASHIDI JUMA ALLY18 FADHIL MUSSA YUSUF19 IS-HAKA MWAJIMBO OMARI20 HASHIM LEVERIAN MIGINI21 SEF ABDALLAH MOHAMED22 ABASI HASANI MANGARE23 ABDILLAH SWALEH ATHUMAN24 HILALI SADICK MUSSA25 KHALID JUMA

26 MUSSA HAMID SWEBE27 MUHAMMAD JUMA OTHMAN28 HIMID ABDULAZIZ29 ATHUMANI ADAMU30 SUEDI IBRAHIM MUSTAPHA31 JUMANNE IDD

B: UBUNGO ISL T.C I: WANAWAKE

Na JINA1 JAMILA JIHADI MACHEMBA2 MARIAM IBRAHIM3 RAHMA SAID SULTAN4 KIDEE MOHAMEDI KINGARU5 SOPHIA ALLY CHIVANGA6 ASHURA ISSA ABDALLAH7 WARDA MUSSA ABDALLAH8 UMMUKULTHUM ADAM JUMA9 DALIA ABDALLAH CHUNGU10 PILLY ALLY MSHAMU11 MARIAMU MAKOTA12 ARAFA FADHILI MASAWE13 ZAITUNI MOHAMEDI MPULINGA14 ZAITUNI AHMED ZAIDI

II: WANAUMENa JINA1 MUHARAMI MUHIDINI 2 SAID MOHAMMED JUMA3 OMARY IDRISA MAHAMI4 JAFARI BAKARI5 TWALIB ISIHAKA LUPINDO6 SELEMAN SALUM HASSAN7 RASHIDI SAIDI MTOLELA8 IDDI SAIDI IDDI9 ATHUMANI KASIMU DHAHABU10 MIRAJI HOSENI ATHUMANI11 HAIDARI RAMADHANI IDD12 RASHID OMARY BEYA13 DARSA ABDALLAH14 IBRAHIM M. SALUM15 HAMISI RASHIDI MAZURI16 MASHAKA H. NJIMBWI17 OMARY ABDALLAH MAGOMBE18 YUSSUPHU KASSIMU YUSUFU19 JAFARI ABDALLAH MWALIMU20 ABUUAFANI OTHMAN SALIM21 MASOUD R. KAZI

MAELEKEZO MUHIMU1. Barua za maelekezo ya kujiunga (Joining instructions) zinapatikana katika kituo muombaji alipofanyia mtihani.2. Fomu za maombi zinaendelea kutolewa kwa ajili ya chuo cha Ualimu Ubungo tu.3. Mtihani wa pili utafanyika Chuoni Ubungo tarehe 21/12/2013 saa 2:00 asubuhi.4. Muombaji unaombwa kuthibitisha kukukubali nafasi kabla ya tarehe iliyotajwa.5. Baada ya tarehe ya mwisho nafasi ya asiyethibitisha atapatiwa muhitaji mwingine.6. Kwa maelezo zaidi wasiliana na 7. Mkuu wa Chuo husika . ( Kirinjiko 0787188964,

8. Ubungo 0712557099)

Wabillaah TawfiiqMKURUGENZI

5 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2013Makala

Katika sehemu hi i ya leo tutatazama namna ya uboreshwaji wa mfumo wa muungano ili uwe na nguvu za kisheria, legitimacy (uhalali na kukubalika) kwa wananchi na pia maendeleo ya l i o k u s u d i wa k a t i k a uundwaji wake. Kwa sasa mfumo wa serikali mbili kuelekea moja, umefeli na kuundeleza ni kuendeleza makosa yaliyoleta chuki, fitna na ukiritimba mkubwa wa maendeleo nchini.

Sina ha ja ya kure jea historia ya muungano huu au uasisi wake kwa sababu ya controversies (mkanganyiko wake) zinazouzonga mfumo m z i m a wa m u u n g a n o kuanzia uundwaji wake na miaka karibu hamsini ya uhai wake. Ila tutatazama namna ya kuuboresha na kuhakikisha mfumo ujao utajenga culture (utamaduni) wa kuaminiana, kufahamiana n a k u r e j e s h a h e s h i m a iliokuwa kama ni lengo la kuungana hasa kwa namna ya Wazanzibari walio wengi walivyoufahamu muundo huu na kuamini kama ndio maudhui makuu ya uundwaji wake. Nasema hivi kwa sababu kumetokea taswira za aina mbili za upokewaji wa muungano, upande mmoja hususan ndani ya mamlaka ya Zanzibar wakiamini uwepo wa nchi ya Zanzibar kama ni jambo muhimu katika maamuzi yoyote ya uwepo wa muungano huu wakati upande wa pili ukijijenga zaidi katika safu za kuhakikisha muungano huu utakuwa kama ni wa nchi moja iliyokamilika.

I m a n i y a n g u n a Wazanzibari walio wengi ni kwamba Zanzibar ni nchi iliyokamilika na kujiendesha kwa misingi ya kimamlaka yanayoongozwa na i l e mamlaka kuu ya Rais pamoja na serikali aliyoiunda baada ya kuridhiwa na uchaguzi unaotegemewa kuendeshwa kwa misingi ya demokrasia. Katiba ya Zanzibar hususan baada ya mabadiliko ya 2010 yameonyesha kwa uwazi bila ya kuweweseka kwamba ni nchi na ikaenda mbali zaidi kuhakikisha mamlaka ya m k u u wa n c h i h i i hayatakuwa na kigugumizi kwa kuingiliwa na nguvu nyengine ndani ya muungano hasa baada ya kuhakikisha kwamba ni Rais wa Zanzibar pekee mwenye madaraka na uwezo wa kuigawa Zanzibar katika mikoa bila ya ushauri wa yeyote kinyume na ilivyokuwa awali. Uthibitisho wa haya ni kura ya maoni ambayo inatazamwa kama ni mfano wa uchaguzi pekee ulioendeshwa kwa uwazi zaidi huku kundi la wapiga kura (yes vote) likibeba nguvu ya zaidi ya asilimia 66 ya wananchi walioikubali kura ya maoni hiyo.

K a t i k a m a n i f e s t o ya CCM ya mwaka 2010 suala la mabadil iko ya ka t iba ha l ikuwemo na

Ndoto ya Zanzibar itatimiaHaki sawa, heshma katika muungano

wengi tunaamini kwamba mabadiliko ya katiba ya muungano yameibuliwa na mabadiliko ya katiba ya Zanzibar ya 2010 hasa baada ya kuona kwamba katiba mbili haziendani kimantiki hata kisheria na kwa vile kura ya maoni ya Zanzibar ilibeba sehemu kubwa ya wananchi walioipit isha hakukuwa na budi zaidi ya kuifanyia marekebisho katiba ya muungano ili iendane na sauti ya asilimi 66 ya Wazanzibari.

M u u n d o a m b a o mheshimiwa Warioba na tume yake waliokuja nao u m e t h a m i n i k a u l i y a wa n a n c h i wa n a o u n d a muungano huu na kwamba ile dhana ya udogo wa sehemu ikawa ndio kigezo cha kuburura maoni yao iliondoshwa kwa vile msingi mkuu wa muungano ni nchi mbili bila kujali ukubwa au idadi ya watu wa nchi ziliungana na ni lazima mabadiliko yoyote yathamini maoni ya pande mbili na huru ya mwenzake ili kupata makubaliano baina yao na kuunda kitu kitachokiubalika na wote. Ndio maana ukakuta hata baada ya mamilioni ya Watanganyika waliotamani serikali moja hayakuridhiwa kuwekwa katika muswada wa k wa n z a wa k a t i b a kwa sababu yalipingana na ya Wazanzibar hata wakiwa na idadi kubwa ya watu ikilinganishwa na bara. Maoni yangu ni k w a m b a M h e s h i m i w a Warioba ametupa heshima tunayostahili Wazanzibari katika muungano huu na pia matumaini ya kwamba mfumo ujao utaweza kuwa ni k ie le lezo k ipya cha mabadiliko makubwa zaidi katika mfumo wa muungano utaojengwa kwa misingi thabiti ya kuheshimiana, kuaminiana, haki na usawa.

Wengi tunaamini mfumo wowote wa muungano katika ndoto ya Wazanzibari iendane na kauli mama ya Zanzibar kama ni nchi na yenye kujiendesha yenyewe k i m a m l a k a . M i f u m o butu yenye taswira moja lakini lengo lililojificha h a l i t a k u b a l i wa k a t i k a ulimwengu wa sasa wa utandawazi hasa ukizingatia

kwamba ari ya kuja na mfumo wa mkataba haukuwa na uasisi wa chama chochote bali wananchi wa kawaida ndani na nje ya visiwa hivi walioona mbali zaidi na kuhakikisha mfumo ujao hautakuwa na kigugumizi chochote juu ya uhalali wa kuwepo kwa taifa la Wazanzibari. Hili linawezekana hata ndani ya mfumo wa serikali mbili ikiwa yaliomo ndani ya muungano yatazingatia maoni ya wengi yalioweka wazi msimamo wa Z a n z i b a r k a m a n i nchi yenye kila nyenzo ya kujitosheleza na kujiendesha yenyewe. Mheshimiwa Warioba kafahamu maana kamili ya muungano wa mkataba na ndio maana akaja na muswada wa mwanzo ya mfumo wa ser ika l i tatu na ukakuta wengi waliopendekeza mfumo wa mkataba hawakuwa na upinzani wa serikali tatu kwa sababu ya yaliyomo ndani ya muswada huo uliopunguza mambo ya muungano kutoka zaidi ya 30 hadi kufikia saba. Ndio ukakuta wanamageuzi wa kweli hawazingatii jina la mfumo wa muungano bali yaliyomo yanayobeba muungano wenyewe na kwa sasa nguvu zimeelekezwa k a t i k a k u y a f u t a y a l e yatayokwenda kinyume na azma ya mamlaka kamili.

Hoja zisizo na mashiko kama gharama za muungano katika mfumo wa serikali tatu zenye kujitegemea zinaelekezwa zaidi kama k h o f u h u s u s a n k w a Wazanzibari kama vile nchi hii haitaweza kujiendesha wenyewe wakati wahubiri h a w a w a n a s h i n d w a , kuwaeleza watu kabla ya muungano huu serikali ilijiendesha vipi? Ukiangalia zaidi kabla ya kifo cha Mzee Karume muungano huu haukuwa na msimiko mkubwa kama baada ya kifo chake na kujichanganya k u k u b w a k u l i k o u n d a C C M a m b a y o i k a b e b a dhima kubwa zaidi hata ya mamlaka ya kikatiba ya nchi. Katiba ya nchi ikawa chini ya katiba mama ya chama na kidogo kidogo tukaona mapungufu ya muungano yakizidi kukuwa na kila alieweza kupayuka kupinga msukumo wa chama wakawa maadui wa nchi. Mpaka

leo hii sifahamu iweje Rais wa nchi aliechaguliwa na wananchi, akafukuzwa urais huo ambao aliupata kabla ya hata muungano wa ASP na TANU kwa kutazama matakwa ya nchi yake kwanza. Hakuna sababu wala uhalali wowote zaidi ya ghilba za kupitia mlango wa nyuma kuhakikisha lengo si muungano bali nchi moja bila ya hata maoni ya wahusika wakuu.

K a u l i z a Z a n z i b a r tunachangia kiasi gani katika shughuli za muungano zisiwe ndio kisingizio cha mfumo wa sasa, ‘sugar coating’ makosa na kuficha ta thmini za k i taa luma zilizoonyesha namna gani Zanzibar inapoteza fursa kubwa za maendeleo katika mfumo wa sasa kwa sababu rahisi rahisi kama hizi ni ukosefu wa uoni pamoja na dhana nzima ya uongozi wa misingi ya haki. Masuala ya kujiuliza ni namna gani kwa mfano 4% ya mgao kwa Zanzibar uliofanyiwa tathmini miaka ya 60 wakati idadi ya watu laki tatu tu lakini ikabaki hivyo hivyo kwa miaka karibu hamsini wakati sasa kuna zaidi ya watu milioni moja na nusu!

Au t u t a z a m e h i z o gharama za uendeshwaji mfano jeshi la wananchi, kati ya nchi ya milioni arobaini ikilinganishwa na mchango wa milioni moja utakuwa katika uwiano gani? Zanzibar ikiwa na eneo dogo mara mia kuliko bara, wapi kunahitajika ulinzi zaidi na hivyo mchango wa Zanzibar utafanyiwa tathmini uwe kiasi gani? Au tutazame kwa upande wa urahisi zaidi, ikiwa tunaambiwa tuchangie sawa baina yetu jee na mapato tutagawiwa kwa misingi hio ya usawa kama ilivyo kwa uchangiaji? Muungano unajengewa mazingira ya kutishana badala uwazi utakaojenga heshima na kuthaminiana baina ya jumuia mbi l i zilizokaa pamoja kabla hata ya uhuru wa Tanganyika na hata Mapinduzi ya Zanzibar.

Hatuwezi kuende lea na mfumo wa sasa ambao u n a m u we k a m k u u wa nchi moja katika baraza la mawaziri wa muungano na kutompa heshima yake kikatiba kama ilivyokuwa wakati wa kuasisi muungano

huu. Hatuwezi kuendelea kuwa na Wazanzibari ndani ya bunge la muungano wanaopiga kura bajeti za wizara zisizo za muungano huku tukiwa na Baraza le tu mahsusi kwa a j i l i yetu wenyewe. Hatuwezi kuendelea na mfumo wa vyama kushika hatamu zaidi hata ya katiba ya nchi na matakwa ya wananchi katika nchi yenye mfumo wa demokrasia . Umma hautatuvumil ia tukiwa wepesi wa kulalamika pale yanapotufika lakini tukawa wagumu wa mabadiliko yataondosha kero lukuki z i n a z o r u d i s h a n y u m a maendeleo ya wananchi. K a u l i ya m h e s h i m i wa Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda ndio iliozaa mabadiliko ya katiba ya 2010, sasa utawezaje kutamani rais mwenye mamlaka kamili bila ya nchi yenye mamlaka kamili? Watetezi wakuu wa mfumo wa muungano huu ndio hao hao waliosimamia, kuyapitisha na kuyaamini mabadiliko ya katiba ya Zanzibar ya 2010 wakijuwa wazi kwamba ile ni road map ya mabadiliko ya mfumo wa serikali mbili. Miaka 50 ya muungano imezaa kero zaidi badala ya suluhisho, hivyo wanaoamini kwamba mfumo wa sasa unahitaji utatuzi tu wa kero tuseme viongozi waliopita hawakuwa na nia ya kweli ya kutatua kero hizo hata washindwe kwa miaka 50? Hawaoni kwamba tatizo si kero kwa vile kero ni zao la mfumo wa sasa na kinachohitaji kurekebishwa ni mfumo mzima unaozidisha kero na hasama kila kukicha?

Ndoto ya Wazanzibari katika mfumo mpya wa muungano tuutakao ni wa uwazi wenye nia ya maendeleo sio kiutawala, unaongozwa kwa misingi ya haki, heshima na usawa. Ikiwa tutatakiwa kuchangia kwa nini tusielezwe kwa uwazi formula itayotumika tukizingatia pia udogo wetu na kwamba mchango we u t u t a y o i t i a k a t i k a muungano ilingane pia na tutakachopata katika mapato tutayoigawiana. Bunge dogo la muungano pamoja na serikali ndogo ya muungano kwa yale tutayokubaliana na azma kubwa i lenge maendeleo sio mlolongo wa watawala. Wananchi baina ya Zanzibar na bara tumeweza kuishi kwa vizuri kabla ya hata ya muungano, historia inaonyesha hakukuwa na mpasuko wa malumbano n a n a a m i n i k w a m b a kinachoulinda muungano huu sio katiba au mfumo wa sasa bali historia ya pande mbili zilizojengeka kwa heshima, maelewano na amani. Tunahitaji mabadiliko ya kweli yatayoondosha kero na kelele za muungano ili tuzijenge nchi zetu kwa kutumia muungano kama asasi ya maendeleo na chachu ya mshikamano wa Afrika nzima.

(Makala kwa hisani ya Farrell JNR Foum)

6 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2013Makala/Tangazo

Hakukaliki! Wakristo, Waislam washikiana mapanga, bundukiJamhuri ya Afrika ya Kati (Central African Republic-CAR) ipo katika hatari ya kutumbukia katika maafa yaliyowahi kuikumba Rwanda.

Kama walivyokuwa wakiuwana ndugu wa nchi moja, Watutsi na Wahutu, CAR wao wanachinjana Waislamu na Wakristo.

M g o g o r o a m b a o mwanzo wake ulikuwa wa kisiasa, hivi sasa umetumbukizwa chuki za kidini hakuna udugu tena wala ujirani baina ya Muislamu na Mkristo.

Wa t u wa n a k i m b i a vijiji vyao wakikimbia mapigano na mauwaji huku wanyonge wakiwemo wazee wakibaki kusubiri majaaliwa yao ambayo ni ama kupigwa risasa au kukatwa shingo kwa panga.

Hadi sasa takriban watu 1000 washauliwa huku vurugu zikiendelea katika mji mkuu Bangui na viunga vyake.

U k i a c h a h a l i t e t e iliyokuwa huko nyuma, v u r u g u n a m a u wa j i ya hivi sasa yameanza baada ya wanamgambo wanaomuunga mkono na wati ifu kwa, Rais aliyepinduliwa Francois Bozize, kuvamia baadhi ya vijiji vya Waislamu na kufanya mauwaji.

Wa n a m g a m b o h a o maarufu kwa j ina la "Anti-balaka", (Balaka ikiwa na maana ya panga kwa lugha ya ki-Sango na Mandja), wanasema wao wapo kwa ajili ya kujilinda na kuwalinda Wakristo kutokana na wapiganaji wa Seleka.

H a w a S e l e k a n i muungano wa makundi ya waasi wakiongozwa na Michel Djotodia ambaye hivi sasa ndiye Rais wa nchi hiyo baada ya kumpindua Bozize.

Yapo madai kuwa baada ya kufanya mapinduzi, wapiganaji hawa wa Seleka wamekuwa wakifanya uvamizi katika vijiji vya Wakristo na kufanya mauwaji. Kutokana na hali hiyo, ndio Wakristo nao wakaunda ‘Anti-balaka’.

Lakini yapo maelezo pia kuwa wanamgambo wanaomuunga mkono B o z i z e , w a m e a m u a k u p i g a n a k w a v i l e

Na Mwandishi Wetu

WIKI iliyopita niliswali Ijumaa katika msikiti mmoja j i j ini Dar es Salaam ambapo Khatib aligusia juu ya ghasia na mauwaji yanayotokea Afrika ya Kati.

Yapo baadhi ya mambo alipatia, lakini nadhani yapo mambo ya msingi aliyapotosha na hivyo kutoa ujumbe unaoweza kuwa na athari mbaya kwa waumini waliokuwa wakimsikiliza na nchi kwa ujumla.

N i k w e l i k wa m b a Waislamu wa Afr ika y a K a t i w a m e k u w a na malalamiko kuwa wanabaguliwa. Na ni kweli pia kuwa eneo la Kaskazini linalokaliwa na Waislamu wengi, limeachwa bila ya maendeleo ikilinganishwa na Kusini.

Lakini ni kweli pia kuwa kumekuwa na malalamiko kama hayo miongoni mwa Waislamu katika nchi hii. Hili sina mgogoro nalo kama mzungumzaji alivyojaribu kuliweka.

T a t i z o l i n a k u j a p a l e a l i p o d a i k u wa kinachotokea Afrika ya Kati ni mapambano ya Waislamu ya kupigania h a k i n a k wa m a a n a hiyo akayapongeza na

Hakuna Jihad RCANa Omar Msangi kuona kana kwamba

Waislamu wa Tanzania wamechelewa.

K wa m s e m o wa k e wenzetu “ jas i r i , s i s i (Watanzania) tumekuwa waoga na wanafiki wengi.”

Kwa maneno mengine na mepesi amehalalsha na kupongeza kinachotokea RCA huku akilinganisha hali ile na Jihad.

Kwanza, kwa madai yoyote yatakayokuwa, yawe ni ya kidini au kisiasa na kijamii, hakuna namna yoyote mtu unaweza kupongeza na kuhalalisha hali inayoendelea Jamhuri ya Afrika ya Kati hivi sasa ambapo makundi ya watu wenye silaha huvamia vijiji na kuuwa watu wasio na hatia. Waislamu wanavamia vijiji vya Kikristo na Wakristo wanavamia vi j i j i vya Waislamu.

K a m a i l i v y o k u w a kwa Watutsi na Wahutu, R wa n d a , n d i y o h a l i inayotaka kutokea RAC hivi sasa.

K a m a h u w e z i kuhala l i sha mauwaj i ya Wahutu na Watutsi, huwezi pia kuhalalisha mauwaji ya Waislamu na Wakristo.

Kama ilivyokuwa kwa Rwanda, kwamba sababu za kisiasa zimetumika kupandikiza chuki kwa

makabila makuu mawili, ndivyo ambavyo sababu za kisiasa zimetumbukizwa kujenga chuki baina ya wananchi Waislamu na Wakristo.

Na ukitaka kujua hilo, katika hao walioshika serikali , japo Rais ni Muislamu, hakuna hata mmoja anayezungumzia suala la dini au kubadili mfumo na utawala uwe wa Kiislamu.

L a k i n i h a t a h a o askari wa Seleka, hawa wametokana na makundi ya waasi, wasio na mlengo wala msimamo wa kidini kabisa, yaani Union of Democratic Forces for Unity (UFDR), Union of Republican Forces (UFR) na Convention of Patriots for Justice and Peace (CPJP)! Kama ni Muislamu, ni Muislamu jina tu.

Inavyoonekana ni kuwa kwa Jamhuri ya Afrika ya Kati, labda kama ilivyo Tanzania, hakuna namna ya kuchochea chuki za kikabila zikalipua nchi.

I k a o n e k a n a k w a vile Waislamu ni kama wanaishi eneo lao la Kaskazini na limeachwa nyuma kwa muda mrefu, h u o u m e k u wa n d i o mwanya mzuri. Chuki zimepandikizwa sasa

hawataki kuona nchi ikitawaliwa na kiongozi Muislamu.

Michel Djotodia, ni Muislamu kutoka eneo la Kaskazini lenye Waislamu wengi ambalo kwa muda mrefu l imetelekezwa bila huduma muhimu za kijamii na kimaendeleo na hivyo kuwa nyuma s a n a k i m a e n d e l e o ikilinganishwa na sehemu za Kusini walipo Wakristo wengi.

Wakristo katika nchi hiyo ni asilimia 50 ya watu wote huku Waislamu wakiwa ni asilimia 15 tu.

Waliobaki ni watu wa dini za asili. Jumala yote ya watu wa Afrika ya Kati ni kiasi 4,600,000 (milioni nne laki sita).

Hal i i l ivyo sasa ni i le ya piga nikupige kwa maana kuwa Anti-Balaka wakivamia kijiji cha Waislamu, Seleka nao wanapiga kijiji cha Wakristo.

Miili ya watu waliouliwa inaonekana ik izagaa mitaani, huku baadhi (katika ile inayotambuliwa kuwa ni ya Waislamu) ikifikishwa katika Misikiti na mingine ikikusanywa na watu wa Msalaba Mwekundu.

Inasemekana kuwa huyu Michel, akiwa na hamu ya kuwa Rais , a l i tumia mwanya wa kuwepo Waislamu wenye malalamiko ya muda mrefu dhidi ya serikali iliyokuwa i k i w a k a n d a m i z a n a kuwabagua kwa miaka mingi, akawakusanya vijana wa Kiislamu wenye hasira na kuwatia katika Seleka.

Yapo madai pia kuwa alipata wapiganaji kutoka Chad na Sudan.

Hata hivyo, baada ya kupata Urais, ameshindwa k a b i s a k u w a d h i b i t i wapiganaji hawa, kwa hiyo wanajifanyia yoyote wanayotaka.

Baada ya kuongoza mapambano ya waasi na kufanikiwa kuyashinda m a j e s h i ya n c h i n a kikosi cha Afrika Kusini kilichokuwa kikimlinda Rais Francois Bozize, wapiganaji wa Seleka walimtangaza Michel Djotodia kama kiongozi mpya wa CAR.

M i c h e l D j o t o d i a aliapishwa Machi 24 kuwa Rais ambapo Marais Idriss

Inaendelea Uk. 7Inaendelea Uk. 7

Baadhi ya wapiganaji wanaosababisha mauaji ya raia Jamhuri ya Afrika ya Kati (Central African Republic-CAR).

7 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2013Makala

Hakukaliki! Wakristo, Waislam washikiana mapanga, bundukiInatoka Uk. 6

Deby wa Chad na Denis Sassou Nguesso, wa Congo (Brazaville), walihudhuria.

Kama vile kushangaa, vyombo vingi vya habari v i m e k u wa v i k i m t a j a Djotodia kuwa ni kiongozi wa kwanza Muislamu katika nchi ambayo wengi ni Wakristo.

“He is a Muslim, while the population of the Central African Republic is mostly Christian.” Mengi ya magazeti yamekuwa yakiandika.

Toka ilipopata uhuru wake mwaka 1960 kutoka kwa wakoloni, Ufaransa, Afrika ya Kati, imekuwa katika hali ambayo si ya kutulia, yakiwepo mapinduzi ya kijeshi na vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Hata hivyo, hii ni mara ya kwanza migogoro na machafuko katika nchi hiyo kuchukua sura ya mgogoro wa kidini.

Ukiacha malalamiko y a m u d a m r e f u kutoka kwa Waislamu kwamba wanabaguliwa, k u n y a n y a s w a n a k u h u j u m i w a ; b a d o Wakristo na Waislamu wa m e k u wa wa k i i s h i pamoja kwa amani hadi ulipofumuka mgogoro huu Machi mwaka huu 2013 mara tu baada ya kiongozi wa Seleka Michel Djotodia kuchukua madaraka.

Akiongea kutoka mji mkuu Bangui, Mr Djotodia anasema lengo lake ni kuitisha uchaguzi baada ya muda mfupi na kwamba anashikilia madaraka kwa muda tu.

Hata hivyo, ambalo limekuwa gumu kwake h a d i s a s a n i k u l e t a utengamano wa kijamii.

Hakuna kuaminiana tena baina ya Waislamu na Wakristo hali ambayo imefikia kuwa Waislamu wakiwa Misikitini huswali na silaha zao kibindoni au kwa zamu huku wengine wakichunga usalama.

Hali hiyo ilionekana Ijumaa iliyopita ambapo, w a u m i n i w a l i i n g i a misikitini na bunduki zao aina ya Kalashnikov.

Harakati za Seleka, z i l ianza toka mwaka 2003 Bozize alipoingia madarakani baada ya kumpindua Rais Ange-Félix Patassé ambapo anadaiwa kuwa toka

Hakuna Jihad RCAInatoka Uk. 6

wananchi wanachinjana.Tunapoangalia hal i

hii ya Afrika ya Kati, tuizingatie na hali ya hapa nchini ambapo, baadhi ya watu wamekuwa wakipiga propaganda na kuleta uchochezi wa kuonyesha kuwa Waislamu ni magaidi wal iopania kuchoma m a k a n i s a n a k u u wa viongozi wa Kikristo.

Ya l i a n z a k u s e m wa na aliyekuwa Balozi wa Marekani nchini Stith na yakawa yanakaririwa mara kwa mara na baadhi ya wachungaji.

La kusikitisha ni kuwa hata baadhi ya wanasiasa na viongozi wa serikali, walimeza propaganda na kampeni hii chafu ya kuliangamiza Taifa.

H a p a n a s h a k a t u t a k u m b u k a p a l e K a m a n d a wa P o l i s i alipotangaza kuwa Polisi watalinda makanisa na kuwalinda Wakristo, eti kwa hofu ya kushambuliwa na Waislamu.

Tutakumbuka pia ile kauli ya aliyekuwa Waziri Mkuu Bwana Sumaye iliyopelekea kukamatwa

kwa Profesa Jahazi.Lililo la uhakika ni kuwa

propaganda chafu kama hizi zikiachwa mpaka zikakolea, tusijeshangaa yakitukuta ya Seleka na Ant-balaka.

Muhimu kwa Waislamu: Zipo juhudi kubwa sana hivi sasa za kuitumbukiza nchi hii katika machafuko. Uchochoro unaotumika n i wa n a m n a m b i l i : M o j a k u w a t a n g a z i a u g a i d i W a i s l a m u . Likikubalika hilo, watu wabaya walioandaliwa wanaweza kushambulia shabaha fulani fulani halafu inadaiwa kuwa ni Waislamu. Shabaha hizo zikiwa za Wakristo, hapana shaka itaita hasira za Wakristo. Bila shaka bado tutakuwa na kumbukizi nzuri yaliyojiri baada ya kupigwa risasi padiri kule Unguja na baada ya lile bomu la Kanisani Arusha ambapo watu walikimbilia kusema kuwa mhusika alivaa kanzu na kibandiko! K u m b e m t u h u m i w a namba moja ni Victor! Huyu Victor yupo wapi? Ulizeni. Hivi angekuwa ni Abu Bakr, hali ingekuwa

vipi?Kwa upande mwingine

uchochoro unaotumika ni kuwaaminisha Waislamu k u w a w a p o k a t i k a Jihad-hakuna Uislamu unaoweza kufanyika hivi sasa ila kwenda kupigana Somalia au kuanzisha vikundi na kujifunza silaha kwa ajili ya kupambana na ukafiri. Wapo watu maalum, wanasaikolojia waliosomea kazi zao kwa kazi hizo za kupumbaza na ku-program’ watu.

Katika hali kama hii, kuna haja kwa Masheikh wetu katika Da’wah na mawaidha yao kuwa makini na kuzungumzia kwa undani nini harakati za Kiislamu na mbinu za Da’wah.

Kuna haja pia kurejea katika historia na Sira y a M t u m e ( s . a . w ) kuangalia, kama ni suala la kusimamisha Uislamu katika jamii, unapita wapi na wapi. Unapita njia gani na namna ya kufikisha d a ’ w a h k w a w a s i o Waislamu (na Waislamu jina) hadi kuifanya jamii iwe ya Kiislamu.

w a k a t i h u o ( 2 0 0 3 ) amekuwa akiwabagua watu wa Kaskazini.

CAR ni tajiri wa dhahabu, almasi na uranium, lakini inaonekana kuwa madini hayo yamekuwa kama laana na nuksi kwa nchi hiyo kama ilivyo Congo (DRC).

K w a v u r u g u n a mauwaji haya, tayari jeshi la Ufaransa limeingia kwa kile kinachoitwa

kulinda amani. Ni kama imepatikana sababu ya ukoloni kwa mlango wa nyuma.

‘Wajanja’, mabeberu w a n a v u n a a l m a s i , d h a h a b u , u r a n i u m , Waafrika (Waislamu na Wakristo) wa Afrika ya Kati wanachinjana.

Kwa mujibu wa taarifa ya waandishi wa BBC, Laeila Adjovi na Abdourahmane Dia, ghasia na mauwaji

makubwa zaidi yametokea katika mji wa Bossangoa, a l ipozal iwa Francois Bozize.

Wanasema, mji huo umekuwa kama hame ukiwa umejinamia. Watu w a m e k i m b i a w e n g i wakitafuta hifadhi katika miji na vijiji vya jirani.

N i k a t i k a K a n i s a Katoliki pekee ambapo p a n a o n e k a n a u h a i k u t o k a n a n a w a t u

wengi kukimbilia hapo wakitafuta hifadhi.

“ Wa t u wa n a o g o p a kuondoka hapa Kanisani kurudi makwao, japo w a n a i s h i j i r a n i t u , wanaogopa kuuliwa.”

Wanasema waandishi hao wakiwanukuu watu waliojificha hapo.

Inaelezwa kuwa zaidi ya watu 35,000 wamejificha k a t i k a k a n i s a h i l o wakihofia kushambuliwa na ‘Seleka’ ambao nao wanadai kuwa watu wa eneo hilo ndio wanaounda kikosi cha wanamgambo wa Kikristo wanaopita katika vijiji vya Waislamu wakiuwa watu ovyo.

Baada ya kupata uhuru mwaka 1960, Afrika ya Kati iliongozwa na Rais David Dacko ambaye alikuja kupinduliwa mwaka 1965 akashika mwanajeshi Jean-Bédel Bokassa.

H u y u B o k a s s a a l i j i t a n g a z a M f a l m e mwaka 1976 na kuitawala nchi hiyo kwa mkono wa chuma (udikiteta).

Hata hivyo, mfalme huyo alipinduliwa na kuuliwa mwaka 1988 kwa makosa ya ubadhirifu wa mali za nchi na mauwaji.

Utawala wa ki jeshi ulifikia hatma mwaka 1993 ambapo Ange-Félix Patassé, al ichaguliwa kuwa Rais.

Patassé akapinduliwa mwaka 2003 akaingia François Bozizé ambaye awali alikuwa kiongozi wa waasi.

Makundi ya upinzani n a u a s i ya l i e n d e l e a kuwepo na mwaka 2007 makundi matatu Union of Democratic Forces for Unity (UFDR), Union of Republican Forces (UFR) na Convention of Patriots for Justice and Peace (CPJP)‚ yaliungana na kuunda Seleka.

Mwaka 2012 Seleka waliteka eneo la Kaskazini na baadhi ya maeneo ya Katikati ya nchi.

2013 Seleka wakaingia mji mkuu, Bangui. Bozizé akakimbia na kiongozi wa waasi Michel Djotodia kutangazwa Rais.

Japo ikiwa na utajiri m k u b wa wa m a d i n i muhimu, Afrika ya Kati ni moja ya nchi masikini sana Afrika.

Hapana shaka ghasia na vita kama hii ya weyewe kwa wenyewe, itazidi kuisambaratisha nchi hiyo.

Wnanchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (Central African Republic-CAR).

8 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2013Makala/Tangazo

NAFASI ZA MASOMO KIDATO CHA KWANZA 2014 KATIKA SHULE ZAKE ZA KIPEKEE

KUNDUCHIGIRLSISLAMICHIGHSCHOOLREG.S.358 UNUNIOISLAMICHIGHSCHOOLREG.G397

SHULE ZINAPOKEA WALE WOTE WANAOTAKA NAFASI I. KIDATOCHAKWANZA2014II. WANAORUDIAMITIHANIKAIDATOCHANNENAKITUONIHAPOHAPOIII. WANAOHAMIAWENYEMAADILISAFISIFA ZA KIPEKEE KWA SHULE HIZI TEULE• WALIMUWENYEUZOEFUNAWALIOBOBEA• SHULEZINAZINGATIAMAADILIYAKIISLAMU• MATOKEOKITAALUMAMAZURISANA• NIDHAMUBORANAMALEZISAHIHI• KUNAFENSI(UZIO)IMARANAUSALAMA• KUNAZAHANATISAFINAVIFAAVYAKISASA.• MASOMOYOTEYANAFUNDISHWAPAMOJANAMAARIFAYAUISLAMUNALUGHAYAKIARABU• ADANINAFUUNAINALIPWAKWAAWAMU• KUNDUCHIGIRLSNIBWENITUNAKUNAFORM5NAFORM6• UNUNIONISHULEYABWENINADAYPIAWASICHANAWANAPOKELEWA• PANACHUOCHAKIPEKEECHAUALIMUUNUNIOUSAHILINIKILAJUMAMOSISHULENIFOMU ZINAPATIKANA SHULENI AU TUPIGIE KUPATA NAFASI

KUNDUCHI GIRLS UNUNIO HIGH SCHOOLMKUUWASHULE 0713346537MAKAMU 0713515054MKUUWASHULE O717008860MAKAMU 0718551784AU0718551784WABILLAHTAWFIQ

Mandela alikuwa katika orodha ya magaidi ya Marekani hadi 2008

Inatoka Uk. 1Afrika na dunia kwa ujumla.

Wakati Waafrika na sehemu kubwa ya dunia ikimtambua Mandela kwa sifa hizo, na kwa hakika n d i v y o a l i v y o k u wa , wengine walimwona ni gaidi!

Wengi watashindwa kuamini kwamba Hayati Nelson Mandela, alikuwa katika orodha rasmi ya magaidi ya Marekani hadi mwaka 2008, na miongoni mwa watu waliokuwa wakitizamwa kwa jicho la karibu huku akitakiwa kupata ruhusa maalum ( spec ia l permiss ion) kuingia Marekani.

U g a i d i wa k e k wa Marekani ulikoma hivi karibuni tu, hadi ilipotimu April, 2008, baada ya Baraza la Congress kupiga kura kuondoa jina lake katika orodha hiyo.

N i m i a k a m i t a n o tu imepita tangu jina l a N e l s o n M a n d e l a kuondolewa katika orodha h i y o m a a r u f u k a m a America's terrorist watch list.

Mimi Hall, mwandishi wa USA TODAY anafichua kuwa Condoleezza Rice, ambaye alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje wakati wa utawala wa Rais wa zamani wa Marekani George Bush, aliita hali hiyo kwa Mandela kuwa ni "embarrassing," na baadhi ya wajumbe wa Bunge

la Congress waliahidi kurekebisha hali hiyo.

Ukiacha Mzee Mandela, k ibal i hicho maalum cha kuingia Marekani kiliwahusu pia wajumbe wengine wa chama tawala African National Congress (ANC) kilichoikomboa Afrika Kusini kat ika makucha ya ubaguzi wa rangi cha African National Congress.

Katika miaka ya 1970 na '80s, ANC kilitambuliwa rasmi na utawala wa Makaburu wachache u l iokuwa uki i tawala Afr ika Kusini , kama kikundi cha kigaidi . Marekani mara moja iliunga mkono msimamo wa Makaburu na kuwa nchi ya kwanza kuitambua ANC kuwa ni kundi la kigaidi.

B a a d a e B i . R i c e a l i i e l e z a K a m a t i ya Bunge la Senate, kuwa Idara yake inakusudia kuondoa kuzuizi hicho kwa wajumbe wa ANC kuingia Marekani.

"Hii ni nchi ambayo tunafamu kuwa sasa tuna uhusiano mzuri nayo, Afrika Kusini, niseme tu wazi kwamba suala la kuweka kizuizi ni jambo linalokera ambalo bado

nakusudia kukiondoa n d a n i y a k i p i n d i changu, Itakuaje Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini asimtaje kiongozi mkubwa Nelson Mandela," alinukuliwa akisema Rice.

W a j u m b e w a Republican, Howard B e r m a n , D - C a l i f . , aliyekuwa Mwenyekiti wa House International Relations Committee, walijaribu kusukuma muswada huo ambao u n g e o n d o a j i n a l a Mandela katika orodha ya m a g a i d i ( wa t c h lists). Ilitarajiwa kuwa mswada huo utapitishwa kabla ya Mzee Mandela hajasherehekea kufikisha miaka 90 ya kuzaliwa Julai 18, 2008.

"Ni namna gani utu u n a k o s e k a n a , A N C wameonyesha mfano muhimu: Mafanikio yake yameleta mabadiliko kutoka mapambano ya silaha hadi kufikiwa amani. Lazima tufurahie m a b a d i l i k o h a ya , " alisema Berman.

Mwaka 1990, Mandela alitolewa gerezani baada ya kutumikia kifungo cha miaka 27 jela kwa kudaiwa kufanya makosa

ya jinai wakati wa harakati za kupinga ubaguzi wa rangi dhidi ya makaburu, ambao ulikuwa ukiwatesa watu weusi Afrika Kusini.

M w a k a 1 9 9 4 , alichaguliwa kuwa Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini.

Senetor. Judd Gregg, R-N.H., alikuwa mmoja w a w a t u w a l i o t a k a wajumbe wa chama cha ANC kuingizwa katika orodha ya wahalifu hatari iliyoitwa "bureaucratic snafu" na kuahidi kumaliza tatizo.

Pia kuna vyama vingine vilitizamwa na Marekani kama magaidi t ishio, mfano ni Hamas, ambao nao waliingizwa katika orodha hiyo ya magaidi.

Homeland Security S e c r e t a r y , M i c h a e l C h e r t o f f a n a s e m a "kwa akili ya kawaida" inakuambia Mandela lazima aondolewe katika orodha ya magaidi.

Anasema suala hil i "linaibua hoja ya hatari na ngumu kuhusu makundi gani yachukuliwe kuwa ni ya magaidi na yapi siyo."

Hata pale wajumbe wa c h a m a c h a A N C walipoomba visa kwenda Marekani, walilazimika kwanza kuhoj iwa na kutakiwa kupata ruhusa maalum kuingia katika Taifa hilo. Mwaka 2002, Mwenyekiti wa zamani wa ANC, Tokyo Sexwale, alikataliwa kupata visa. Mwaka 2007, Barbara Masekela, Balozi wa Afrika Kusini nchini Marekani kuanzia mwaka 2002 hadi 2006, alikataliwa visa na hata hiyo ruhusa maalum ili kumtembelea mjomba wake aliyekuwa mgonjwa hadi mjomba wake huyo alipofariki dunia.

Laurie Oakes, katika m t a n d a o w a w w w .a d e l a i d e n o w . c o m , ye ye a n a s e m a k u wa anapata wakati mgumu kuelewa, ni kwa jinsi gani Marekani na Uingereza kwa kipindi chote hicho w a l i m w o r o d h e s h a Mandela kama gaidi hadi Aprili mwaka 2008 walipomuondoa wakati wanaonekana kumpenda.

O a k e s , a n a e l e z a kwamba hata alipoalikwa na Rais George W. Bush katika Ikulu ya White House Washington mwaka 2005, alilazimika kupata

ruhusa maalum (special waiver ) kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani kuingia nchini humo.

M a n d e l a a l i k u w a m p i g a n i a u h u r u wa kweli na dunia nzima imemtambua hivyo leo hata kesho. Alishirikiana na wenzake kama akina Marehemu Oliver Tambo, m a r e h e m u W a l t e r S i s u l u n a we n g i n e o katika chama cha ANC kuuondoa utawala wa kibaguzi Afrika Kusini. Lakini ni ajabau kwamba wamekuwapo wachache waliona kitendo chake hicho kama sawa na vile vya Alqaeda.

S a b a b u k u b wa ya kuonekana ugaidi ni kupambana na Makaburu katika kudai haki na uswa na kuondoa dhuluma dhidi ya watu weusi ambao ndio wenye nchi yao. Kwa tafsiri hii unapata ukweli kwamba, hata al Qaeda nao wanapambana na mabeberu wa Magharibi, lengo ni kuondoa hiyo hiyo dhulma na kusaka haki.

H a b a r i z i m e e l e z a k w a m b a R a i s w a zamani wa Marekani Ronald Reagan, ndiye aliyembandika Mandela lebo ya ugaidi na chama chake cha ANC akakiita kuwa ni shirika la kigaidi pia.

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Margaret Thatcher, naye pia alimpa Mandela sifa hiyo hiyo na kumuunga mkono Reagan.

Shirika la habari la AP lina habari kwamba wote Ronald Reagan na Margaret Thatcher, walimtambua Nelson Mandela kuwa ni gaidi.

Kuna madai kwamba hata Waziri Mkuu wa zamani wa Australia, J o h n H o wa r d , n a y e alitumia neno "terrorism" alipofanya rejea juu ya Mandela.

L a k i n i T h a t c h e r na Reagan wal ikuwa mashujaa wakubwa wa kisiasa wa Howard, na wakati fulani aliungana n a o k a t i k a k u p i n g a makubaliano ambayo baadae yalimtoa nje ya k i fungo Mandela na hatimaye kuhitimishwa ubaguzi wa rangi Afrika Kusini.

Pamoja na Howard kuwa kat ika mrengo huo wa kumdhalilisha Mandela, bado mwaka 1999 alisafiri hadi Pretoria kuonana na mtu ambaye

Inaendelea Uk. 11

9 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2013Makala

R A I S B a r a c k O b a m a wa Marekani , ameyaita makubaliano ya mpango wa nyuklia yaliyofikiwa kati ya Iran na mataifa yenye nguvu ya Magharibi kuwa ni ya kihistoria.

Kwa mara ya kwanza, tangu mwaka 2003 mazungumzo hayo yalipoanza, mataifa hayo yameweza kusimamisha kile kilichoitwa mpango wa silaha za nyuklia wa Iran.

Barack Obama amesema: "Simply put, they cut off Iran's most likely paths to a bomb." Kwa maneno rahisi, makubaliano hayo yanafunga kabisa njia ya Iran kutengeneza bomu.

Dola ya Kiyahudi ya Israeli inapinga vikali makubaliano hayo. Wazir i Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, ameyaita kuwa ni "makosa ya kihistoria".

K w a u p a n d e w a k e , I ran imeshangi l ia sana makubaliano hayo. Kiongozi mkuu wa nchi hiyo, Ayatollah Ali Khamenei, amenukuliwa a k i s e m a : " R e h e m a z a M w e n y e z i M u n g u n a uungaji mkono wa taifa hilo ndiyo sababu za mafanikio yaliyofikiwa", wakati Hassan Rouhani , Ra is wa I ran amesema: "Makubaliano haya yanazinufaisha nchi zote za ukanda huo na amani ya dunia".

Sasa tuanze kufanya uchambuzi wa makubaliano hayo, ili tuweze kufahamu vizuri, nani hasa aliyeshinda na nani aliyepoteza. Ni Jamhuri ya Kiislamu ya Iran au mataifa ya Magharibi? Jawabu, bila shaka lipo katika kile kilichokubaliwa.

Makubaliano yaliyofikiwa kati ya Iran na Mataifa sita yenye nguvu, yanayojulikana kama P5 + 1, yaani Marekani, Uingereza, Ufaransa, Urusi, China na Ujerumani ni ya mpito, na ni hatua ya kwanza kuelekea kwenye makubaliano mapana zaidi siku za mbele. Makubaliano hayo yaliyofikiwa mjini G e n e va h i v i k a r i b u n i , ya m e a i n i s h a m a s h a r t i yafuatayo:

• I r a n i t a s i m a m i s h a kuweka 'centrifuges' mpya za madini ya uranium, na pia kuacha kutumia maelfu ya 'centrifuges' ambazo zimeshawekwa lakini bado hazi jaanza kurutubisha madini ya uranium.

•Ghala la mafuta ya nyuklia ya Iran katika kipindi cha miezi sita, haitaruhusiwa

Muafaka wa nyuklia, Iran yapigwa bao!Na Said Rajab kuongezeka na kuvuka

kiwango kilichopo sasa. Katika utekelezaji wa hilo, Iran itakabiliwa na chaguo la ama kusitisha urutubishaji wa madini ya uranium, au kubadili madini yake ya uranium na kuwa sahani za mafuta ya metali (metal fuel plates).

• I r a n i m e k u b a l i kusimamisha uzalishaji wote wa kile kinachoitwa asilimia 20 ya madini ya uranium yaliyorutubishwa, aina ya mafuta ambayo yanaweza kubadilishwa kwa urahisi na kuwa uranium iliyorutubishwa kwa kiwango cha juu zaidi kinachoweza kutumika kutengeneza mabomu ya nyuklia.

• Maghala yote ya Iran ya mafuta ya asilimia 20, ambayo ni chini kidogo ya paundi 450, yatalazimika kuzimuliwa kwa kubadilishwa na kuwa metali au kuchanganywa na uranium asilia ili kupunguza usafi wake.

• Iran itatakiwa kusitisha kazi ya kujenga 'fuel rods' na vifaa vingine vya kinyuklia katika kinu chake cha Arak, kinachoshughulikia madini ya plutonium.

• Vituo vya nyuklia vya Iran vitatakiwa kuangaliwa kat ika namna is iyo ya kawaida,viki tembelewa ki la s iku na wakaguzi wa kimataifa ambao pia watakuwa na uwezo wa kurekodi kwa kutumia vifaa vya video.

• Iran itapata motisha ya kiuchumi inayofikia dola za kimarekani bilioni 7 katika kipindi cha miezi sita ya utekelezaji wa mkataba huo wa mpito.

Ni jambo la wazi kwamba kutoka kwenye makubaliano hayo, kuna idadi kadhaa ya vikwazo vilivyowekwa dhidi ya Iran, kwa malengo ya kuvuruga uwezo wa nchi hiyo kuzalisha mabomu ya nyuklia. Isitoshe, Iran pia imefungua rasmi mlango wa ukaguzi wa kina zaidi wa kimataifa dhidi ya vinu vyake vya nyuklia.

Ukaguzi huo unaweza kuvuruga kabisa uwezo wa kinyuklia wa Jamhuri hiyo ya Kiislamu, ambao imeujenga kwa gharama kubwa na maumivu makali, katika kipindi cha muongo mmoja uliopita. Mafanikio ya mataifa ya Magharibi katika kuvuruga uwezo wa kijeshi wa Iraq, na uwezo wa silaha za kemikali wa Syria, kupitia ukaguzi wa Umoja wa Mataifa, ni dalili ya wazi ya kile kinachoweza kutokea

Iran katika siku za baadaye. Pamoja na yote hayo, bado

Iran inayaona makubaliano ya Geneva kama ushindi! Kwa mfano,Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Mohammed Javad Zarif, amesisitiza kwamba makubaliano hayo ya Geneva, yanatambua wazi haki ya Iran kurutubisha madini ya uranium. Pia amesema makubal iano hayo yameondoa tishio la mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran.

Lakini Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry, ana mtazamo tofauti na huo. Kuhusu tishio la Marekani kutumia nguvu dhidi ya Iran, John Kerry wala hamung'unyi maneno: "Ukweli ni kwamba Rais ndiye mwenye chaguo la kutumia nguvu, kama Amiri Jeshi Mkuu, na ameshasema wazi kwamba bado hajaondoa tishio hilo mezani".

Kwa muonekano wa nje, inaonyesha wazi kwamba Iran ndiyo i l iyopoteza katika makubaliano hayo. Dola ya Kiyahudi na mlezi wake mkuu Marekani ndiyo washindi halisi . Israel i haitakiwi kuharibu sehemu yoyote ya makombora yake 100 ya kinyuklia. Na inavyoelekea, Marekani sasa itaitumia Iran kuleta utulivu nchini Syria, Iraq na Afghanistan.

Huo ni uchambuzi mdogo tu, wa siasa za kimataifa katika eneo la Ghuba na

Mashariki ya Kati. S a s a t u r u d i k w e t u .

M w e n y e z i M u n g u anaelekeza nini? Wasomaji wangu naomba mnifahamu, lengo siyo kuishambulia Iran, bali ningependa kwa pamoja, tuyaangalie mambo hayo kupitia miwani ya Kiislamu.

Uislamu unazikataza nchi za Waislamu kusalimisha rasilimali zake za kimkakati kwa mataifa ya kibeberu. Mwenyezi Mungu anasema ndani ya Qur'an Tukufu:

"Na Mwenyezi Mungu hatawajaalia makafiri njia ya kuwashinda Waislamu" Qur(4:141)

Badala ya kusalimu amri kwa mataifa yenye nguvu ya Magharibi, na kusalimisha sehemu ya miundombinu yake ya kinyuklia, Iran ilipaswa kuendelea kujenga uwezo wa kuunda silaha mbalimbali za kinyuklia, ambazo zingeweza kutumika si tu kuilinda nchi hiyo, bali Umma mzima wa Kiislamu. Msimamo huo unaungwa mkono na Aya ifuatayo ya Mwenyezi Mungu:

"Basi waandalieni nguvu mziwezazo na mafarasi yaliyofungwa tayari tayari ili kwazo muogopeshe maadui wa Mwenyezi Mungu na maadui zenu, mnaowajua na msiowajua, lakini Mwenyezi M u n g u a n a wa j u a . N a chochote mtakachokitoa katika njia ya Mwenyezi M u n g u , m t a r u d i s h i wa kamili sawa sawa wala

hamtadhulumiwa" Qur (8:60).

Ukweli wa mambo ni kwamba kuulinda Umma wa Waislamu duniani, ni jambo lisilo na nafasi katika fikra za uongozi wa Iran. Iran imekuwa ikiusaidia kwa udi na uvumba utawala wa Bashar al - Assad nchini Syria, Hamid Karzai wa Afghanistan na Maliki wa Iraq.

Viongozi hao watatu wanapambana vikali na makundi ya Wais lamu kwenye nchi zao, ambayo yanataka kus imamisha tawala za Kiislamu.

Viongozi hao watatu pia wanaungwa mkono na mataifa yenye nguvu ya magharibi katika mradi huo. Iran kusalimisha mpango wake wa nyuklia kwa mataifa ya Magharibi, inathibitisha waz i kwamba i l e I ran tuliyokuwa tukiifahamu awali, sasa imebadilika sana. Utii wa Iran umehamia kwa maadui wa Waislamu, kama maneno ya Mwenyezi Mungu yanavyothibitisha:

"Huwaoni wale wanaodai kwamba wameamini yale yaliyoteremshwa kwako na yaliyoteremshwa kabla y a k o ? N a o w a n a t a k a wakahukumiwe kwa njia isiyoafiki Sharia; na hali wameamrishwa kukataa njia hiyo. Na shetani anataka kuwapoteza upotevu ulio mbali (na haki)" Qur (4:60)

Inawatangazia nafasi za masomo katika shule zake za 1. Luqman Islamic Seminary ( Kidato cha I-IV)2. Luqman Pre & Primary school (darasa la I- VII)MASOMO YANAYOFUNDISHWA NI:Sayansi, Biashara, Sanaa Lugha ya Kiarabu, Qur-aan na Dini ya Kiislamu.

Fomu Zinapatikana:1. Shuleni Luqman2. Mapambano Tution Centre,

Muone Mr. Mussa au Mr. Charles.

Shule ipo Sinza jirani na Hospitali ya Palestina.

Usaili utafanyika kila siku za kazi saa 2:00 asubuhi - 8:00 mchana.Jumamosi utafanyika saa 3:00- 6:00 mchana.

Wahi kuchukua form.Ada zetu ni nafuu na zinalipwa kwa awamu Mlete mwanao kwa elimu na malezi bora Kwa mawasiliano zaidi piga simu.

0713 819 391 (Sekondari)07657 757 075 (Primary)

0712 044 830

JUMUIYA YA WAISLAMU WA SINZA

10 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2013Shairi/Barua

Hodi hodi gazetini, Mhariri samahaniNiweke japo pembeni, nialike ikhiwaniKutoka kote nchini, pamwe nchi za jirani Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni.

Mwaliko tunakupeni, wa kongamano la dini, Katu msijeukhini, vijana upokeeni, Pamoja jumuikeni, kujadili yenu dini Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni.

Kenya twakualikeni, Uganda, Rwanda njooniNa Burundi karibuni, Tanzania kwa amani Jisikieni nyumbani, ndani ya Mwanza jijini Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni.

Mwaliko uitikeni, wa shule na mitaaniKadhalika wa vyuoni, msijitenge pembeniWa aidha karibuni, wa kada zote jamani Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni.

Msijeuliza lini, mfike kongamanoniSikizeni kwa makini, na mtie nukuuniKumi na mbili fikeni, Desemba Mwanza jijiniMwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni.

Kadhalika muda gani, ngoja nikujulisheniAula nyote fikeni, mubakira kituoniJamia Msikitini, u katikati jijiniMwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni.

Mwapaswa kuja na nini, mapema nakujuzeni 'Notibukuyo' na peni, vyote tia mkobaniNa shuka zikumbukeni, kwa sitara naumuniMwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni.

Maakuli mtimani, 'sijewaza asilaniKadhalika walakini, kwa sharabu ondoeni Vyote hivyo kwa yakini, 'free' kongamanoni Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni.

Nauli nakujuzeni, ya safari andaeniYa kuja kongamanoni, na kurudi maskani Haya shime waumini, tiketi zenu 'bukuni' Mwaalikwa karibuni, vijana kongamanoni.

Nimefika ukingoni, mwa mwaliko kukupeni Vijana uitikeni, kwa kuja kongamanoniKalamu naweka chini, kwa hamu wakungojeni Pamoja tukongamane, kuhuisha yetu dini.

Abuu NyamkomogiMwanza-Tanzania.

Karibuni Mashababu kongamano la Afrika

MasharikiA s s a l a m a l a k u m w a r a h m a t u l l a h wabaratuh.Ndugu Mhariri pamoja na wasomaji wa gazeti letu tukufu la Kiislam, siku nyingi nilikuwa nikitamani kuwapa tahadhari Waislamu juu ya hatari mbaya ya kiimani na kiusalama inayotokana na nyama i n a y o u z wa k a t i k a mabucha nchini.

Nilikuwa natafakari pa kuanzia lakini hivi karibuni, Allah (sw) kanipa njia iliyoniweza kuwafikishia ujumbe Wa i s l a m u , h i v y o kuondosha dhima juu yangu kwa Allah juu ya yale ninayoyafahamu kuhusu nyama.

N d u g u M h a r i r i , nina ushahidi ambao n i m e u p a t a k w a kufuatilia kwa muda wa miaka minne na kubaini kuwa, sehemu kubwa ya nyama inayosambazwa n a k u u z wa k a t i k a mabucha mbalimbali si halali kiimani na pia si salama kiafya.

Z i p o s a b a b u mbalimbali ambazo inshaa Allah nitaelezea chache miongoni mwa nyingi, hasa nikirejea mada ambayo iliandikwa k a t i k a g a z e t i l a Mwananchi la Jumamosi N o v e m b a 9 , 2 0 1 3 kama ilivyoandikwa “ N YA M A H ATA R I YAUZWA NCHINI”.

N d u g u M h a r i r i , nyama ili iwe halali n i l az ima mnyama achinjwe kwa mujibu wa sheria za Kiislamu na uwepo usimamizi wa kanuni zinaelekeza u c h i n j a j i K i i s l a m . Serikali ambayo ndiyo yenye machinjio ya wanyama, haijazingatia maslahi ya Waislamu kula nyama hala l i , hili nalithibisha kwa kuwa nilitembea katika machinjio ya Manispaa ya mji Fulani , yule mchinjaji wa Manispaa hata akili yake kidogo imeshaanza kupotoka

Waislam chukueni tahadhari mnapouziwa nyama

kidogo, ila wanamuweka kwa kuwa hodari wa kukata shingo, hivyo basi tunaweza kusema kuwa si mchinjaji bali ni MUUAJI.

Ndugu Mhariri, katika gazeti ambalo nimelitaja hapo juu mwindishi a l i h o j i m f a n y a biashara wa ng`ombe, ambaye amekiri kuwa wanachinja kinyemela wanyama waliokufa i l i wasipate hasara endapo wanyama hao watazikwa. Kama mtu anakiri kwa mwandishi wa h a b a r i j u u ya k u c h i n j a wa n ya m a walokufa je, ni wangapi hawajakiri na yeye ni mangapi kayaf icha kifuani mwake hali ya kuwa Allah amesema, “wanayoyaf i cha n i m a k u b w a k u l i k o wanayoyadhihirisha”

Ndugu Mhariri, kuna mtu mmoja ambaye ni mkaguzi wa nyama, nili jaribu kufuatana naye katika maneno yake ya kazi katika eneo fulani mkoa wa Morogoro, a l ikuwa akilangua nyama za ng`ombe na mbuzi na kondoo machinjioni, kisha alienda kukagua nyama ya nguruwe mitaani kisha aliazima mizani kutoka katika duka la kuuza vyakula a m b a y o h u t u m i k a kupimia sukari, mchele, unga nk. akapimia nyama ya nguruwe.

J e m t u k a m a huyu ambaye hayo anayoyafanya haoni kama yana madhara j e , a t a s h i n d w a kuchanganya nguruwe na kondoo, au kutumia m u h u r i m m o j a kuthibit isha nyama ya nguruwe na huo huo akatumia kwenye nyama ya ng`ombe?

N d u g u M h a r i r i , b a a d h i y a w a t u waliohojiwa kuhusu machinjio, walisema kuna machinjio nne zenye hadhi ya kimataifa. Moja ya machinjio hizo

nili itembelea miaka mitatu i l iyopita na kuangalia shughuli za uchinjaji, nilishuhudia mbuzi zaidi ya 300 wakichinjwa kinyume k a b i s a n a m i s i n g i ya Uislamu, halafu mwisho wakavishwa vi tambaa maalumu ambavyo huvishwa nyama zinazosafirishwa kwenda nje ya nchi, na zikagongwa muhuri wenye maandishi ya kiarabu yakimaanisha “Kuchinjwa halali“, k i s h a t u k a a r i f i w a k u w a w a l i k u w a wanasafirishwa kwenda Omani na Saudia Arabia.

N d u g u M h a r i r i , dalili za hoja yangu n i n y i n g i , s i w e z i kuziandika zote kwa wakati huu, nilichotaka ni kuondosha dhima juu yangu kwa Allah (sw), kuwa niliona uovu na sikuwazindua ndugu zangu Waislamu.

K a b l a s i j a m a l i z a nichukue nafasi hii kuwaasa Wais lamu kuwa, kuna haja zile taasisi za Kiislamu za kuchunguza bidhaa halali za kama ile ya Jumuia na Taasisi za Kiislamu, kuchunguza m a r a k w a m a r a machinjio mbalimbali nchini ili kuhakikisha zinatekeleza majukumu ya k e K i i s l a m u n a k i u s a l a m a , k w a n i k i n y u m e n a h i v y o tutaendelea kulishwa vibudu na haramu na hatutakuwa na hoja mbele za Allah siku ya kulipwa.

Ndugu Mhariri, suala la nyama lilizua mjadala siku zilizopita na hata baadhi ya Waislamu ambao walikuwa mstari wa mbele kufuatilia wakaitwa wachochezi. Sikuandika maoni haya kumchochea yeyote, bali kuwazindua Waislamu, naomba yafikishwe kwa Waislamu ili mwenye kuchukua tahadhari achukue, wewe na mimi tumejivua dhima kwa Allah.

Abuu Abdullah. Dar es salaam.

11 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2013Habari

Inatoka Uk. 12

Mandela alikuwa katika orodha ya magaidi ya Marekani hadi 2008Inatoka Uk. 8yumo kwenye orodha ya magaidi ya Marekani.

Tumeona pia hata baada ya kufariki wiki iliyopita Desemba 5, 2013, bila aibu wala soni, Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron na Rais wa Marekani Barack Obama, walikuwa vinara wakiwa ndio viongozi wa mwanzo kabisa kuwasili Afrika Kusini kuhani msiba wa mtu ambaye dola zao zilimtambua kuwa ni gaidi.

Umaarufu wa Mandela na heshima aliyoipata duniani kote, imetokana na kazi ngumu na ya kujitolea katika kutetea h a k i z a w a n y o n g e

wengi dhidi ya wazungu wachache, mwingi wa kusamehe hata baada ya kushika dola, kuleta maridhiano ya kitaifa kati ya wazungu wachache waliokuwa wakandamizaji na weusi wal iokuwa wakikandamizwa.

Lakini kwa kuwa mataifa hayo hayakuridhishwa na kazi yake na walikumbatia maslahi ya Makaburu, walimwona Mandela na ANC yake kama magaidi waliostahiki kulaaniwa na kudhibitiwa. Kazi y a k e w a k a i b e z a n a wakamchafua.

K i s t a a r a b u n a kuonyesha ulimwengu u t u n a u u n g w a n a , ilitarajiwa kuwa hotuba ya Rais Obama aliyoitoa

katika uwanja wa FNB, Johannesburg wakati wa kuomboleza msiba wa mzee Madiba, pamoja na mambo mengine lakini kwanza angeiomba radhi serikali ya Afrika Kusini na ANC, kwa serikali yake kumdhalilisha mzee Mandela kwa muda mrefu.

Pamoja na kwamba si utawala wa Obama u l i o h u s i o k a n a udhalilishaji huo, lakini ni Taifa lake lililoasisi udhalilishaji wenyewe. Kwa msingi huo alipaswa kuomba radhi watu wa Afrika Kusini na Taifa kwa ujumla kwa kumwingiza

Mandela na ANC katika orodha ya magaidi kabla ya kumuondoa katika orodha hiyo mwaka 2008.

A i d h a W a z i r i Mkuu Cameron, kama ilivyostahili Obama, naye alistahili kuchukua hatua kama hiyo, hata kwa kupitia vyombo vya habari kama hakupata nafasi ya kuhutubia. Mzee Mandela kama ilivyo ada yake ya uungana ni vitendo, bila shaka alisha samehe na hata hivyo hunaye tena. Lakini Taifa la Afrika Kusini lipo, ANC ipo na sifa za Mzee Mandela bado zingalipo na bado

anastahili kuheshimiwa kwa kazi yake.

Hotuba hatuba aliyoitoa Rais Obama, licha ya kusifiwa na wengi na kuripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari kwa kupewa kipaumbele, lakini si lolote si chochote mbele ya kashfa hii ya kuwekwa Mzee Madiba katika orodha ya Magaidi kinyume na uhalisia wake, kwasababu tu ya uonevu, chuki na kumdhalilisha.

K a t i k a h i l i n a o n a ilikuwa hotuba ya kinafiki na kujikosha zaidi.

Wanandoa wametakiwa kukaa na kujadili mambo ya familia kwa pamoja kulingana na matatizo yanayois ibu famil ia h u s i k a , i l i k u w e z a kufikia lengo la malezi bora yenye maadili mema kwa familia zao na pia kupunguza matatizo ya kuvunjika ndoa nyingi.

N a s a h a h i z o zimetolewa na Sheikh Mohamed Issa, katika Semina il iyoandaliwa na asas i ya OFF TO JOB, wakishirikiana na Jumuiya ya Wataalamu wa Kiislamu Tanzania (TAMPRO) iliyofanyika kat ika Hotel ya City Garden jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

“ C h a n g a m o t o zinazozikabili familia nyingi baadhi yake ni uonevu, dhulma katika h a k i z a w a n a w a k e , unyanyasaji na unyonyaji wa wanawake ndani ya familia, haya yamekuwa kansa inayokula familia n y i n g i z i k i we m o z a Ki i s lamu. Wanandoa mume na mke kuwa na majadiliano ya mara kwa mara juu ya masuala ya familia yao”alisema Sheikh Issa.

Akitoa mada katika semina hiyo, Sheikh Issa a l iwataka wanandoa kuishi kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu pamoja na Sunah za Mtume (s.a.w) katika maisha yao yote, ili kupata radhi za Allah (s.w)

Masheikh watoa darsa la ndoaNa Mwandishi wetu. na kupata kizazi kilicho

bora hapa ulimwenguni.A l i w a k u m b u s h a

wanandoa mara kwa mara kutambua majukumu yao kiroho na kifamilia, kwa mume na mke kuamrishana mema na k u k a t a z a n a m a b a ya japokuwa mume amepewa nafasi ya kuwa kiongozi wa familia.

K w a u p a n d e w a uchumi, amewakumbusha wanandoa hao kuwa mume ndiye anayewajibika zaidi kuipatia familia mahitaji m u h i m u y a k i w e m o yao chakula , malazi , mavazi, elimu na mengi mengineyo.

Aidha Sheikh Mohamed Issa amewataka Waislam kujenga utamaduni wa kutafuta ufumbuzi wa busara wa matatizo ya familia zao, ili kulinda ndoa zao. Moja ya njia bora na salama ilitajwa kuwa ni kutafuta elimu juu ya Uislamu na masuala ya ndoa ili kunusuru ndoa zao na kuishi maisha ya furaha na amani.

Sheikh huyo amewasihi wa n a n d o a k u wa i l i wafurahie na kufaidi maisha ya ndoa, kamwe wasikumbushane makosa yaliyopita yaliyofanywa kati yao wawili, hasa wakati wanapohitilafiana au kugombana.

A l i s e m a k u w a n i j ambo muhimu sana kwa wanandoa kujenga urafiki mkubwa kati yao na kuonyeshana mapenzi ya dhati, kuhurumiana,

kusaidiana, kupongezana na kuheshimiana.

Alisema mara nyingi Waislamu wanashauriwa kwamba panapotokea hitilafu kati ya mume au mke katika familia, basi yampasa mmoja kati uyao kuondoka alipo mwenzake, ili kutoa nafasi ya wote wawili kupoza hasira zao na baadae wanaweza kuwa pamoja na kuzungumza bi la munkari juu ya hitilafu yao.

H i i n i k u t o k a n a n a u k w e l i k w a m b a mara nyingi suluhu ya wawili wanaohitilafiana, h a i w e z i k u p a t i k a n a wakati wahusika wakiwa katika hali ya hasira na kwamba matokeo yake ni kupatikana maamuzi ya hasara.

Katika semina hiyo, Sheikh Issa pia alishauri kwamba mume na mke ili waweze kutambuana na kufahamiana vizuri bila kutiliana shaka, yafaa kila mmoja kuelezea hisia zake kwa mwenza wake mara kwa mara.

Kwa upande wake mgeni rasmi katika semina hiyo, Sheikh Amran Kilemile, alisema ili wanandoa waweze kuishi katika ndoa iliyo imara na yenye kheri, ni wajibu kutekeleza taratibu za ndoa kwa mujibu wa maelekezo ya Aya na Hadithi za Mtume Muhammad (s a w).

UKIMWI.Ajabu ni kwamba, matusi

haya yamekuwa yakitokewa bila hata ya utafiti kufanyika na kudhihirisha madai yao, bila hata ya kutolea takwimu zozote kulinda hoja hizo wala kutolewa mfano wa dhahiri.

Pamoja na kukosekana vigezo sahihi vya kuthibitisha madai haya ya wanaharakati, bado tafisiri iliyokuewpo kwa walio wengi ni kwamba, kwa Waislamu kuwa na ruhusa ya kuwa na mke zaidi ya mmoja, ni sawa na wale wazinifu, ambao wana mahawara wengi tu wasio na idadi huko mitaani.

Na kwa kuwa z inaa ndio chanzo kikuu cha maambukizi ya UKIMWI, basi wale wenye mke zaidi ya mmoja wanaonekana kuwa ndio wanaoeneza zaidi virusi vya ukimwi sawa na wazinifu wanaochukua wanawake baa, kwenye madanguro na wenye ‘nyumba ndogo’!.

Licha ya jamii ya Waislamu kutetea utaratibu wao wa kiimani, bado hawakufua dafu dhidi ya propaganda za wanaharakati.

Hata hivyo kila mwaka zinapotolewa takwimu za TACAIDS, zinashushua n a k u v u n j a m a d a i ya wanaharakati hao, ambao w e n g i w a o k i m s i n g i wanafanya kazi ajili kujikidhi kiuchumu kuliko kutoa huduma.

Mikoa ya Pemba, Unguja, Tanga, Lindi , Mtwara , Kigoma yote inakaliwa na wakazi wengi Waislamu.

Ni wazi kwamba katika mikoa hiyo, ndoa za Kiislamu za mke zaidi ya mmoja ni nyingi. Bado maambukiz ya UKIMWI ni kidogo kwa

Uke wenza usihusishwe na Ukimwimujibu wa takwmu.

Itoshe tu kuwa funzo kwamba, Ndoa za Kiislamu hazina uhusiano wowote na hoja za wanaharakati za kuongezeka maambukizi.

Yawezekana pia kuwa pamoja na kwamba katika mikoa mingine isiyokuwa na wakazi wengi Waislamu kama Njombe, Iringa, Mbeya na mingineyo, nayo ikawa na ndoa za mke zaidi ya mmoja, lakini nyingi zikawa za jadi.

Ni wazi kwamba mikoa hiyo ina jamii ya Waislamu wachache ikilinganishwa na Pemba, Unguja, Tanga na Lindi.

Sasa tu j iu l ize mikoa hiyo imeongoza je kwa maambukizi ya Ukimwi? Mbona Unguja, Pemba, Tanga nako watu wa mke zaidi ya mmoja na maambikizi ni kiduchu?

Niweke tu wazi kwamba hisia za chuki au za kuzusha k a t i k a m a p a m b a n o ya UKIMWI, kamwe haziwezi kuleta tija katika vita hii ngumu dhidi ya maisha ya watu.

Wenyewe haujali dini ya mtu, tajiri au maskini rangi wala kabila.

Tukiwa wakweli kwa kubadili tabia, kwa kuacha tabia mbovu na kurejea katika maadili ya kiutu, tutaelimika na kusalimika.

Asitudanganye mtu au mwanaharakati anayesaka sababu mufilisi ili tu kupitia NGO yake achume misaada kwa maslahi yake kwa mgongo wa UKIMWI.

U i s l a m u n i d i n i iliyotimilifu. Ina sheria, taratibu, miiko na maadili yake. Kila jambo lina sababu yake na utaratibu wake wa kuliendea. Kamwe utaratibu wa n d o a wa K i i s l a m u hauwezi kuwa chanzo cha maradhi leo mpaka kesho.

12 AN-NUURSAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 13-19, 201312 MAKALA

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

AN-NUUR12 SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 13-19, 2013

Soma Gazeti la AN-NUUR

kila Ijumaa

Pemba, Tanga, Lindi imedhihirisha

Na Shaban Rajab

Inaendelea Uk. 11

KESI inayomkabili Imam Hamza Shaban, Ji j ini Mwanza, imeairishwa hadi Januari 17, 2014, kutokana na mashahidi upande wa Serikali kushindwa kutokea Mahakamani.

Kesi hiyo iliyounguruma J u m a n n e w i k i h i i , M a h a k a n a i h a p o , imeshindwa kufahamika m a r a m o j a s a b a b u zilizopelekea mashahidi hao muhimu, kushindwa kufika kuanza kutoa ushadi wao dhidi ya kiongozi huyo wa Kiislamu.

Hata hivyo kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kutoka Mahakamani hapo, kilieleza kwamba shahidi namba moja ambaye ni afisa wa Jeshi la Polisi Jijini humo alionekana maeneo hayo ya Mahakama, akirandaranda.

“Sababu haijajulikana kwa nini hawajatokea, lakini kitu ambacho ninaweza kusema shahidi namba moja

Mashahidi wa Serikali waingia mitiniNikatikaKesiyaImamHamza,JijiniMwanza

Na Bakari Mwakangwale katika kesi yangu alikuwepo nje, lakini Wakili wa Serikali akasema mashahidi hawapo, kwa hiyo kesi ikapigwa mpaka Januari 17, 2014”. Alisema Imam Hamza, akithibitisha hali hiyo.

Kwa mujibu wa chanzo hicho, kilieleza kuwa Wakili wa Imam Hamza, ameomba kuwa hali hiyo iwe ni kwa mara ya mwisho, na kwamba endapo itafika siku hiyo ya kurudi Mahakamani, na mashadi hawatofika basi ameomba Mahakama itende haki.

“ Wa k i l i wa S h e i k h , alichokiuliza ama kukisema mbele ya Mahakama ni kwamba hawa mashahidi wapo hapo Jijini Mwanza, n a p i a w a n a a n u a n i zenyekueleweka, zaidi ofisi zao zipo jirani ya Mahakama hiyo inakuwaje washidwe kupatikana”.? Kilisema chanzo hicho kikimnukuu Wakili huyo.

A k i t o a m a o n i ya k e kufuatia mwenendo huo Imam hamza, a l isema,

yeye pamoja na Waislamu wamekuwa na wasiwasi juu ya mwenendo wa kesi hiyo kwani alisema haelewi ni kwa nini shahidi yupo kisha Mahakama inaelezwa hayupo.

“Sasa tunapoambiwa m a s h a h i d i h a w a p o tunakuwa na mashaka na mashtaka yangu, si mimi tu, niliye muona wapo wengi waliomuona maeneo haya, nilimuona kabla sijaingia Mahakamani na baada ya kutoka pia nimemuona akiwa katika gari yake, waliokuwa nje walisema alikuwa anatoka kunywa chai.” Alisema Imam Hamza.

Akielezea mwendo wa kesi hiyo, alisema inampa mashaka kwani tayar i alishakaa mahabusi kwa miezi minne bila dhamana, na kesi imekuwepo toka Februari 26, 2013, mpaka sasa ni Desemba 10, 2013, lakini imekuwa ikiahirishwa tu.

Imam Hamza, alisema m p a k a s a s a u s h a h i d i

Ndoa ya mke zaidi ya mmoja, haiwezi kuwa sababu ya kusambaa virusi vya UKIMWI, bali tabia za watu iwe wamo katika ndoa au la.

Wanaoleta hoja hizi , wanaonekana tu kuongozwa na chuki zao au kuwa na mawazo potofu.

Hii inadhihirishwa na tafiti mbalimbali ambapo, kila ambapo panaonekana watu kuwa na tabia zisizo faa, ndio kwenye matatizo.

Kwa upande mwingine, m a h a l i k a m a P e m b a ambapo, bado maadili ya kidini yana nafasi kubwa katika jamii, kiwango cha maambukizi ni cha chini sana.

Desemba 1 Mosi mwaka huu, iliadhimishwa Siku ya UKIMWI Duniani.

Siku hii iliasisiwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka 1998 na imeendelea kuadhimishwa kila ifikapo Desemba mosi kila mwaka.

K w a h a p a k w e t u Ta n z a n i a , s i k u h i y o iliadhimishwa kitaifa katika

Uke wenza usihusishwe na Ukimwiviwanja vya Mnazi |Mmoja jijini Dar es Salaam, ambapo shamra shamra zilianza tangu Novemba 25, 2013 na kufikia kilele hiyo Desemba Mosi 2013.

Kabla ya kufikia kilele cha maadhimisho, yalifanyika maonyesho ya shughuli m b a l i m b a l i z a wa d a u wa harakati za kudhibiti UKIMWI nchini.

Pamoja na shughuli zote hizo, lakini pia kulifanyika kongamano la kitaifa la kutathmini hali na mwelekeo wa udhibiti UKIMWI nchini, ambapo mkakati wa tatu wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI ulizinduliwa.

“ T a n z a n i a b i l a maambukizi mapya ya VVU; vifo vinavyotokana na UKIMWI na unyanyapaa i n a w e z e k a n a ” , n d i y o iliyokuwa kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka

huu, ikikusudiwa kutoa msukumo wa utekelezaji wa mikakati ya kudhibiti UKIMWI ili kufikia azma ya maambukizi mapya sifuri, vifo sifuri na unyanyapaa sifuri ifikapo mwaka 2015.

K w a k a w a i d a maadhimisho haya hutoa fursa kutathmini hali halisi na mwelekeo wa udhibiti wa UKIMWI, na kubaini changamoto na mafanikio katika kupambana na janga hili.

Mwaka huu, Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imetoa ripoti inayoonyesha takwimu za viwango vya maambukizi ya ukimwi katika mikoa ya Tanzania nzima.

Katika takwimu hizo za TACAIDS, mkoa mpya wa Njombe unaongoza kwa kuwa na maambukizi

makubwa ya Virusi vya UKIMWI kwa asilimia 14.8, ikifuatiwa na mkoa wa Iringa kwa asilimia 9.1.

Mkoa wa Mbeya unashika nafasi ya nne kwa asilimia tisa ukifuatiwa na Ruvuma wenye maambukizi kwa as i l imia7 .2 , Shinyanga asilimia7.4), Dar es Salaam asilimia 6.9, Rukwa asilimia 6.2, Katavi asilimia 5.9, Pwani asilimia 5.9,Tabora asilimia 5.1, Kagera asilimia 4.8 na Geita asilimia 4.7.

Mikoa mingine ni Mara asilimia 4.5, Mwanza asilimia 4.2, Mtwara asilimia 4.10, Kilimanjaro asilimia 3.8, Kigoma asilimia 3.4, Simiyu asi l imia 3.6, Morogoro asilimia 3.8, Singida asilimia 3.3, Dodoma asilimia 2.9, Manyara asilimia 1.5, Lindi asilimia 2.9, Tanga asilimia 2.4, Unguja asilimia 1.9 na Pemba asilimia 0.3.

Takwimu hizi zinatokana na utafiti uliofanywa mwaka juzi hadi mwaka jana.

Kwa ujumla takwimu hizi zinaonyesha kwamba kiwango cha maambukizi ya UKIMWI kimepungua kiasi.

Lakini mikoa ya Pemba na Unguja, Tanga na Lindi imetia fora kwa kuwa na kiwango kidogo zaidi cha maambukizi.

I k u m b u k w e t u kwamba kwa muda mrefu zimekuwepo hoja kutoka taasisi za wanaharakati na NGOs mbalimbali kwamba, moja ya njia zinazoongeza maambukizi ya UKIMWI ni ndoa za mke zaidi ya mmoja.

Pamoja na kwamba zipo ndoa za kimila zinazokubali mume kuwa na mke zaidi ya mmoja, lakini jamii ya Waislamu ndio iliyokuwa ikilengwa zaidi na hoja hii, kwamba utaratibu wao wa ndoa unaoruhusu ndoa zaidi ya mkke mmoja unachochea m a a m b u k i z i z a i d i ya