annuur 1048.pdf

12
ISSN 0856 - 3861 Na. 1048 MUHARRAM 1434, IJUMAA DES. 7-13, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Waliochaguliwa kujiunga na shule za Ubungo Islamic, Kirinjiko Islamic , Nyasaka Islamic na Mkuzo Islamic - Ndani Mauwaji ya Alhaj Dr Jumbe IGP ategue kitendawili D.P.P yeye awaachia huru watuhumiwa Ushahidi gani unahitajika zaidi ya huu? Zanzibar waipiga tena kumbo Tume ya Katiba Imam ‘abambikwa’ ujambazi Awali ‘alipachikwa’ wizi wa nguruwe 2011 Ikaja kudaiwa kuiba pikipiki na 30,000 Sasa Des. 2012 anashitakiwa kwa unyang’anyi Watu wote ila mmoja tu wataka Dola yao Prof. Baregu akiri wamekosa walichotaka Jussa atoa darsa muungano wa mkataba Marufuku kuswali swala tano shuleni Ni amri ya Mkuu wa Shule Sekondari Kibiti Mwalim aliyetusi Waislam, Qur’an haguswi Adhabu zatolewa kwa kutizama dini ya mtu MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) Dk. Eliezer Feleshi IGP Said Mwema

Upload: annurtanzania

Post on 29-Oct-2014

407 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: ANNUUR 1048.pdf

ISSN 0856 - 3861 Na. 1048 MUHARRAM 1434, IJUMAA DES. 7-13, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamu Waliochaguliwa kujiunga na shule za Ubungo Islamic, Kirinjiko Islamic ,

Nyasaka Islamic na Mkuzo Islamic - Ndani

Mauwaji ya Alhaj Dr Jumbe IGP ategue kitendawili

D.P.P yeye awaachia huru watuhumiwaUshahidi gani unahitajika zaidi ya huu?

Zanzibar waipiga tena kumbo Tume ya Katiba

Imam ‘abambikwa’ ujambaziAwali ‘alipachikwa’ wizi wa nguruwe 2011Ikaja kudaiwa kuiba pikipiki na 30,000Sasa Des. 2012 anashitakiwa kwa unyang’anyi

Watu wote ila mmoja tu wataka Dola yaoProf. Baregu akiri wamekosa walichotakaJussa atoa darsa muungano wa mkataba

Marufuku kuswali swala tano shuleni

Ni amri ya Mkuu wa Shule Sekondari Kibiti Mwalim aliyetusi Waislam, Qur’an haguswiAdhabu zatolewa kwa kutizama dini ya mtu

MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) Dk. Eliezer Feleshi

IGP Said Mwema

Page 2: ANNUUR 1048.pdf

2 AN-NUURMUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0755 260 087 0713 110148, DSM. www.ipctz.org E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

MAONI YETU

Tahariri/Habari

Inaendelea Uk. 4

Marufuku kuswali swala tano shuleniHALI ya ubaguzi na kibano kwa wanafunzi Waislamu Shule ya Sekondari Kibiti imechukua sura mpya baada ya wanafunzi hao kupigwa marufuku kuswali swala tano.

Sasa wanatakiwa kuswali Ijumaa pekee ikiwa ni moja ya mashariti ya kurejeshwa shuleni baada ya kusimamishwa kwa muda.

Aw a l i w a n a f u n z i h a o wa l i l a l amika kuwa kuna upendeleo shuleni hapo ambapo baadhi ya walimu huwatukana Waislamu na kutoa adhabu kwa ubaguzi.

Kwamba kwa kosa moja, mwanafunzi Muislamu anaweza kufukuzwa au kusimamishwa shule, wakati kwa Mkristo aliyefanya kosa hilo hilo, hupewa adhabu hafifu.

Ni kutokana na kutokuridhika na hali na kuanza harakati za kupinga unyanyasaj i huo, shule ilifungwa kwa muda na sasa uongozi wa shule hiyo umefikia uamuzi wa kuwarejesha w a n a f u n z i w a l i o k u w a wamesimamishwa masomo shuleni hapo kwa kuwawekea mashariti magumu.

Bodi ya shule hiyo katika kikao chake cha Novemba 14, 2012 imeamua kutekelezwa kwa kanuni namba 2 ya kazi zake, ikiwa ni pamoja kusimamia nidhamu za wanafunzi.

Kwa muj ibu wa ba rua i l iyo to lewa na Mkuu wa shule hiyo yenye Kumb. Na ED/KSS/A.2 /281 kwenda kwa wazazi, imeeleza kuwa, kwa mamlaka iliyopewa bodi ya shule katika kikao hicho, iliridhia mapendekezo ya Baraza la Walimu la kuwarejesha wanafunzi shuleni, ambapo wale wa kidato cha sita wametakiwa kurejea Desemba 8, 2012 saa 4.30 asubuhi na kidato cha tano watarejea Desemba 28,2012 saa 4.30 asubuhi.

Hata h ivyo uamuzi wa kuwarejesha wanafunzi hao umeweka mashariti magumu kwa baadhi ya wanafunzi, hususan wanafunzi wa Kiislamu wanaosoma shuleni hapo.

Moja ya mashariti ni kwamba mwana funz i ana l az imika kukubali kuwa ataswali katika siku zile tu, ambazo zimetengwa kwa ajili ya shughuli hizo, yaani kwa mwanafunzi wa Kiislamu ataswali Ijumaa tu baada ya vipindi, Jumamosi kwa wahusika tu na Jumapili kwa wanaohusika katika makanisa au Misikiti iliyo nje ya eneo la shule, na kwamba ataomba ruhusa kwa kuandika kwenye kitabu na baada ya kurudi katika ibada atalazimika kutoa taarifa.

Sharti jingine ni kumtaka m w a n a f u n z i k u a h i d i kutojihusisha au kutoendesha semina za ibada, sala, swala ama mafundisho ya aina yeyote ya kiimani wawapo shuleni.

Wametakiwa wakubali kuwa shule haina kanisa wala msikiti,

Na Shabaan Rajab hivyo hawatadai sehemu, chumba au darasa kwa shughuli hizo za ibada.

Mwanafunzi atavaa mavazi rasmi ya shule wakati wote bila kuvaa vitu vingine kama mapambo au Vitu vya kiimani kama vile Rozan, Kofia, Kanzu au Kilemba au Suruali fupi kwa kuwa shule hiyo ni ya Serikali.

K w a m b a m w a n a f u n z i atalazimika kuhudhuria vipindi vya dini siku ya Jumatano, ambavyo vitaendeshwa bila kuimba au kuswali kwa sauti, ikielezwa kuwa kitendo hicho k inaa th i r i ku j i funza kwa wengine.

Aidha mwanafunzi ametakiwa kutojihusisha na sherehe au mahafali yoyote ya kidini katika eneo la shule na iwapo atakiuka masharti hayo, basi mzazi akubali kumpokea mtoto wake na kumtafutia shule nyingine au hata kufukuzwa.

Pia mwanafunzi ametakiwa kukubali masharti haya kwa kutia saini kwenye nafasi yake ya saini na kupitisha katika ofisi ya kijiji, Kata, Tarafa na ofisi ya Mkuu wa Wilaya yake, zikitanguliwa na Saini ya mzazi.

H a t u a h i z o z i m e k u j a kufuatia hapo awali shule ya sekondari Kibiti Rufiji, mkoani Pwani kufungwa kwa muda usiojulikana, kutokana na mzozo wa kiimani miongoni mwa wanafunzi Novemba 11, 2012 na usiku Novemba 14, 2012, ambao umechochewa na baadhi ya walimu wa shule hiyo.

Ni katika kipindi hicho ambapo sehemu ya jengo la shule liliungua moto na kusababisha wanafunzi kus imamishwa masomo kwa muda.

Katika taarifa ya Mkuu wa shule, amebainisha kuwa mwanafunzi atarejea shuleni hapo iwapo atakubali kufuata taratibu za shule ambazo nakala yake imeambatanisha na masharti.

Kwamba mwanafunzi iwapo atakubali masharti yaliyopo, atie saini kwenye nafasi yake ya saini na kupitisha katika ofisi ya kijiji, Kata, Tarafa na ofisi ya Mkuu wa Wilaya yake.

Katika barua hiyo iliyosainiwa n a M k u u w a s h u l e B w. W.A.L. Kihongosi, wanafunzi waliokuwa wamesimamishwa masomo, wametakiwa kuahidi kutojihusisha na mikusanyiko ya aina yoyote bila idhini ya Mkuu wa Shule.

B a a d h i y a w a n a f u n z i wametakiwa kurejea shuleni wakiwa na wazazi wao.

Wanafunzi hao ni; Khalidi Senge, Matoke Pius, Seleman Selemani, Halifa I. Halifa, Jacob Mwambene, Salum Shaban, Emmanuel Meza,wote wa kidato cha sita.

Wengine ni Fransis Marco, Isaya L. Tinka, Joel Sebastian, Misa Mwashitete, Abubakar Abdallah, Deusdedit Daud, Festo Mbwambo, James Valentine, Joseph Efraim, wote wa kidato cha tano.

Wengine ni Mohamed Adam Hamisi, Ramadhani Selemani,

Said Jaluo, Selemani Juma, Shabani Mzenga, Athumani Salimu, Abutwalib Ramadhan, Mwapashua Fujo, Beny Kayoka, Mesia Mwangwa, Athanas Kigalu, wote kidato cha sita.

Wapo pia Mengi Hamimu, Hafidhi Makwinya,Yahaya Said, Abdallah Said, Abdallah Selemani, Ulimwengu Ahmad, Lucas Gaudence, Stephan Bureta, Marijan Marijan, Nganyika Simon, wote wa kidato cha tano.

Kabla ya Bodi ya shule kufikia maamuzi hayo, Awali Jumuia ya Wanafunzi Waislamu Kibiti sekondari, walimwandikia barua Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, juu ya masuala yaliyojadiliwa katika kikao chao na Mkuu wa shule hiyo Novemba 12,2012 na yaliyotokea kwa ujumla, na kumtaka kuingilia kati.

Walimweleza kuwa siku ya Jumatatu Novemba 12, 2012, wanafunzi wa Kiislamu katika shule ya sekondari ya Kibiti, walifanya kikao na Mkuu wa shule kujadili matatizo mbalimbali yaliyokuwa yakiwasibu shuleni hapo.

Kwamba wanafunzi Waislamu walikuwa wanakwazika na nyama ya nguruwe kuliwa shuleni hapo.

Wakifafanua zaidi, wasema kuwa awali walimweleza Mkuu wa shule kuwa siku ya Jumamosi ya Novemba 10, 2012, baadhi ya wanafunzi wa Kikristo kuingiza nyama ya nguruwe shuleni na kuila, kitendo ambacho ni kinyume na taratibu za shule ambayo jamii ya watu wenye itikadi za imani tofauti, huishi na kushirikiana katika mambo mbalimbali, kama vile kula n.k.

Waislamu walimfikishia Mkuu wa Shule kero yao hiyo kama mlezi wao, ili akemee kitendo hicho kilichotishia mahusiano baina ya wanafunzi.

Aidha katika barua yao kwa Mkuu wa Mkoa, walimweleza yaliyojiri katika kikao chao na Mkuu wa shule. Kwamba w a n a f u n z i w a l i k u w a wakilalamikia kitendo cha baadhi ya walimu shuleni hapo, kuutukana Uislamu na Waislamu.

Walifahamisha kuwa siku ya Jumata tu Novemba 5 , 2012, mwalimu wa Kiswahili waliyemtaja kwa jina la Madam Mseleti, aliutukana Uislamu na Waislamu kufuatia kosa alilofanya mwanafunzi mwenzao Muislamu.

Walimnukuu mwalimu huyo akisema, “Angalia vijana wa Kikristo walivyokuwa wazuri na tabia zao nzuri, lakini nyinyi Waislamu tabia zenu mbovu, mbaya, mnafikiri sisi tungekuwa na tabia kama zenu mngekuwa hapa?”

Katika tukio hilo Wanafunzi hao walimweleza Mkuu wa shule kuwa, maneno ambayo ameyatamka mwalimu huyo wa Kiswahili, ni kinyume na

MWANDISHI wa habari wa gazeti la Tanzania Daima amepigwa risasi na polisi huko Kunduchi jijini Dar es Salaam.

Kama kawaida , Po l i s i wamedai kuwa walidhani ni mhalifu aliyetajwa kwa jina la mama J, kufuatia taarifa zilizotolewa na msamaria mwema.

Hatudhani kama huyo mama J, aliyedaiwa kuwa anatafutwa, alikuwa akifanana na Bw. Shaban Matutu, kiasi cha Polisi kumfananisha na kumpiga risasi. Tunaona hapa kuna udhaifu mkubwa wa kipelelezi katika jeshi la polisi.

Siku za nyuma, mwandishi mwingine wa habari mkoani I r inga , marehemu Daudi Mwangosi, ambaye alikuwa akifanya kazi na kituo cha televisheni cha Channel Ten cha jijini Dares Salaam, naye al iul iwa wakati akir ipoti mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo- CHADEMA.

P o l i s i w a l i t u h u m i w a kuhusika na mauaji hayo, hata hivyo walikanusha mara moja kuhusika na mauaji hayo na kutoa visingizio lukuki juu ya mauaji hayo, ambayo kimantiki haviingii akilini.

Pamoja na kutolewa kauli kadha wa kadha za kujisafisha jeshi hilo, hazikutosha kusafisha mazingira ya polisi kuhusika na kifo cha Mwangosi. Kesi ya mauaji ya mwandishi huyo dhidi ya polisi inaendelea mahakamani.

Mapema wiki hii, gazeti la Majira liliripoti vitendo vya kihalifu vinavyofanywa katika fukwe ya pwani ya Bagamoyo, kwa baadhi ya watu kuingiza nchini bidhaa kwa njia za panya, na kukwepa kodi au ushuru wa serikali.

Gazeti hilo lilimnukuu mmoja wa wapakuaji wa mizigo katika fukwe hiyo, akisema kuwa wamekuwa wakifanya kazi hiyo kwa muda mrefu sasa.

Lakini la jambo la kushangaza ni kwamba, mpakuaji huyo alibainisha wazi kuwa, kwa muda wote anaofanya kazi hiyo, wamekuwa wakilindwa na polisi.

Siku za nyuma kidogo, Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, alieleza kuwa polisi wanashiriki katika wizi wa

Tujihadhari na utendaji wa jeshi la Polisimafuta bandari Dar es Salaam. Akamtaka Kamanda Suleiman Kova kuwasaka wahalifu hao na kuwafikisha katika vyombo vya sheria.

Wakati utendaji wa Polisi ukiwa namna hiyo, kwa upande mwing ine wameonyesha uhodari na ukakamavu katika kuwakamata watu wasiokuwa na maslahi nao wala madhara kwa umma.

Kwa jinsi walivyovamia kule Markaz Chang’ombe, w a k a w a m a t a Wa i s l a m u waliokuwa wakipinga kuuzwa kiwanja chao cha wakfu, wakaharibu mali za chuo nk. huwezi kuamini kama wanaweza kufanya uhalifu wa makusudi dhidi ya mwajiri wao serikali na kuumiza watu wasiokuwa na hatika kama akina Matutu.

Kwa jinsi tunavyowaona wak i r anda randa mi t aan i na mahakamani , wakiwa wamesheheni silaha na vifaa vya kutuliza ghasia, hasa siku za kuletwa mahakamani Sheikh Ponda au Sheikh Farid kule Zanzibar, unaweza usiamini kuwa ndio wale wale wanatuhumiwa kushiriki wizi wa mafuta kule bandarini au kuuwa na kujeruhi watu wasio kuwa na hatia.

Kwa kifupi ni kwamba, katika mazingira yaliyopo, tunaona kwamba wapo baadhi ya askari, na huenda wakawa wengi , ambao wamekuwa wakituhumiwa kufanya uhalifu au kuonea mahali ambapo wanapata fedha.

Na mara nyingi, wanaweza kufanya ukandamizaji kwa wale ambao wana uhakika kuwa hawana maslahi nao.

Inawezekana ikawa kuwa muuza gongo, bangi au mirungi, kama ni mhongaji mzuri wa polisi, huyo hana wa kumdhuru. Hata ukimwitia Polisi , atakamatwa kama ushahidi na baadae atarejea kwenye biashara yake.

Itakuwa vyema, na kwa hakika ndivyo inavyotakikana, kwa uongozi wa Jeshi la Polisi kuchukua juhudi na hatua za makusudi kusafisha udhaifu na kasoro zilizopo, vinginevyo wananchi watafikia mahali wakose imani na chombo hicho muhimu sana cha dola.

Tukichukua hatua mapema

Page 3: ANNUUR 1048.pdf

3 AN-NUURMUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012Habari

NOLLE PROSEQUI YA DK. JUMBE MAPHINGO

KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA YA NJOMBE NJOMBE

KESI YA MAUAJI NO. 3 YA 2011

JAMHURI DHIDI YA

1. JANE (BINTI YA) LAISON (KWA) MWAKABUTA2. HAIDARY (MWANA WA) MOHAMMED (KWA) MRISHO3. RAYSON (MWANA WA) MESHAK (KWA) KYANDO4. CHIBONA (MWANA WA) ROBERT5. NSAJIGWA (MWANA WA) ELIUD (KWA) NJILO6. NGOLO (MWANA WA) YAHAYA (KWA) NGOLO7. TESHA (MWANA WA) MBOKA (KWA) MWAIJEGA8. SAMSON (MWANA WA) FRANCIS (KWA) SANGA9. DAIMA (MWANA WA) MASUVE (KWA) KYANDO10. COLETHER (BINTI WA) JERY (KWA) HASSAN11. MIKA (MWANA WA) JOHN WANYAMA12. ELIB ARIKI (MWANA WA) MAIKO WANYAMA

NOLLE PROSEQUI

MAHAKAMA INAARIFIWA KUWA MKURUGENZI WA MASHITAKA SERIKALINI KWA NIABA YA JAMHURI KUWA HATAENDELEA NA KESI DHIDI YA (WALIOTAJWA JUU) KWA SHITAKA LA MAUAJI KINYUME CHA KIFUNGU CHA 196 CHA KANUNI ZA ADHABU, SURA YA 16 (CHAPISHO LA 2002) KOSA AMBALO WAMESHITAKIWA KATIKA MAHAKAMA YA WILAYA YA NJOMBE HUKO NJOMBE

IMETOLEWA IRINGA SIKU HII YA 9 MWEZI NOVEMBA 2011R. MATITU

WAKILI WA SERIKALI

Mauwaji ya Alhaj Dk. Jumbe IGP ategue kitendawili D K . J u m b e M o h a m e d Maphingo alikufa Mei 23, 2011. Nil ikuwa hoteli ya Bagamoyo Beach Resort na asubuhi sana baada ya swala ya alfajiri nilipata ujumbe wa simu ukisema kuwa Dk. Jumbe alikuwa ameuawa na kundi la wanafunzi Hospitali ya Kilutheri ya Bulongwa. Inasemekana wakati huo ilidaiwa kuwa ilikuwa ni k u t o k a n a n a k u j a r i b u kumbaka mwanafunzi wa kike! Nilishtuka kwani huyo asingeweza kuwa Jumbe niliyemfahamu. Nilimpigia simu aliyepeleka ujumbe huo na akanipa maelezo hayo hayo.

Jua lilipochomoza taarifa nyingine zikaibuka na wazi kabisa ungeweza kuanza kuona kuna zaidi ya kile kilichokuwa kinaelezwa kwa watu. Hata gazeti la Daily News la asubuhi hiyo lilichapisha habari hizo za jaribio la kubaka bila kuthibitisha kilichosemwa. Nilimwomba Mungu kuwa kama ukweli siyo huo, basi ukweli ufichuliwe.

Nani alikuwa Dk. Jumbe?

Dk. Jumbe alizaliwa na kukulia Pongwe, Tanga -kilomita chache kutoka mahali apozaliwa mama yangu lakini sikumfahamu hadi Mei 2009 tulipounda Mtandao wa Maendeleo wa Tawheed - kikundi ambacho kilikuwa na nia ya kuandaa safari za Hijja. Tulikuwa tunahitaji daktari na baadhi ya marafiki zangu wa karibu wakanielekeza kwa Dk. Junbe. Tulikwenda pamoja Makka mwaka ule na mahujaji 90. Kupunguza maelezo alikuwa kama mtu aliyevumbuliwa kwangu - alidhihirisha kuwa ni daktari hodari na aliyekubuhu, lakini alikuwa zaidi ya hapo kwangu na kwa kikundi chetu. Alikuwa anasaidia jikoni, kuleta vyakula kutoka madukani, alisaidia mahujaji wazee na takriban chochote kile ambacho kilihitaji kufanyika. Alikuwa mtu mtulivu na mshirika mahsusi wa shughuli za pamoja. Tulielewana papo kwa papo. Tuliporudi nyumbani tulikuwa karibu sana na nikaanza kumfahamu vyema zaidi na familia yake. Alikuwa rafiki mkubwa. Lakini alikuwa, kama nilivyogundua baadaye, rafiki wa karibu wa marafiki zangu wengi tu.

Baadaye akaniambia kuwa kuna shughuli anayoisimamia kule Iringa na alihitaji kusafiri kwenda kule mara kwa mara. Hakuniambia kuwa alikuwa amekubali ajira katika Hospitali ya Kilutheri ya Bulongwa. Nadhani alidhani ningemshauri vinginevyo lakini huo ulikuwa ni uamuzi wake.

Nini basi kilitokea?

Dk. Jumbe akiwa ni mtu wa jinsi alivyokuwa akidhihirisha sifa zake haraka sana. Alikuwa wakati wa kifo chake, nilivyoambiwa, Mnadhimu wa Chuo cha Tiba

kilichounganishwa na hospitali hiyo. Usiku mmoja aliarifiwa kuwa mwanafunzi mmoja, wa kike alikuwa hajalala katika bweni. Aliagiza apewe maelezo ya maandishi kutoka kwa mwanafunzi huyo na hayakufika hadi usiku ambako aliuawa.

Dk. Jumbe alikuwa akikaa katika nyumba ndani ya eneo la hospitali, peke yake. Mkewe na watoto walikuwa bado wanakaa Upanga, Dar es Salaam. Alikuwa na rafiki mwingine akiwa Bulongwa ambaye pia ni daktari na waliondoka pamoja kutoka Hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam kwenda Bulongwa. Usiku wa mauaji yake daktari huyu alipigiwa simu na Dk, Junbe akimwambia kuwa kuna kundi la wanafunzi nje ya nyumba yake pamoja na huyo mwanafunzi wa kike aliyezungumziwa. Walikuwa wanaonekana kutaka

kumshambulia, na ndiyo mara ya mwisho daktari huyo alisikia kutoka kwa Dk. Jumbe. Daktari huyo alikimbia kutoka Bulongwa na kuandika maelezo kwa Polisi Makao Makuu Dar es Salaam. Nilizungumza naye mimi binafsi pale Masjid Tambaza baada ya mazishi ya Dk. Jumbe.

M w i l i w a D k . J u m b e ulikutwa na majereha kichwani yaliyosababisha kifo chake muda mfupi baadaye nyumbani kwake.

Nilielezwa kuwa mwili wa Dk. Jumbe ulikuwa unasafirishwa kwenda Tanga kwa njia ya barabara. Nilikuja Dar es Salaam nikaenda kwa ndege Tanga kupitia Zanzibar na Pemba na nikawahi kumzika rafiki yangu.

Yalikuwa ni mauaji ya kikatili na nilikuwa natazamia kuwa Jeshi la Polisi litakamilisha uchunguzi huo. Hata kama Jeshi la Polisi halitafanya hivyo, kuna siku maalum ambako hukumu ya mwisho itafanyika.

Takriban wiki mbili baada ya hapo sisi (Mtandao wa Maende leo wa Tawheed) tuliamua kupeleka timu ya waandishi wa habari wawili na mpiga picha kwenda Bulongwa kuandika habari kuhusu kifo cha Dk. Jumbe. Walizungumza na maofisa na waliona ushahidi ulioachwa katika eneo la mauaji. Ilikuwa inashangaza kusikia kuwa bado kulikuwa na vifaa ilivyosemekana vilichukuliwa na kundi la wanafunzi ambavyo bado vilikuwa katika eneo hilo. Hivi Jeshi la Polisi linaweza kuruhusu uzembe kiasi hicho? Nilikataa kukubali hilo.

L a k i n i t u l i s i k i a k u w a watuhumiwa kadhaa walikuwa wamekamatwa na mara moja tukasikia kuwa kesi ya mauaji i l ikuwa imefungul iwa na walikuwa wameshitakiwa. Kesi za mauaji huwa zinachukua muda mrefu na tulivuta subira.

Jumapili (iliyopita) nilikutana na mjane wa Dk. Jumbe, nikiwa nimerudi Jumamosi usiku kutoka Cape Town (Afrika Kusini). Nilimbiwa kuwa alikuwa anahitaji sana kuniona. Tulikutana. Kumbe yeye na sheme j i yake walitembelea Hospitali ya Kilutheri ya Bulongwa ili angalau kuona mahali mumewe alipofia na kupata habari kutoka kwa waliokuwepo, zaidi ya mwaka mmoja baada ya kifo chake kwa sababu hapakuwa na habari zozote zinazopatikana.

Ndipo walipopata nakala ya ‘Nolle Prosequi’ kutoka kwa mkuu wa taasisi hiyo yenye ta rehe Novemba 9 , 2011 kuwaeleza kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka (Serikalini) ameamua kutokuendesha kesi dhidi ya watuhumiwa. Ilikuwa ni mshtuko. Ingekuwaje jambo kama hilo litokee? Mwaka mmoja uliopita na hakuna taarifa zilizotufikia? Unaweza kutetea hilo kwa njia gani? Ingewezekana vipi hilo litokee?

Ni jinsi gani ambavyo mauaji yaliyofanywa na kundi la watu ambao waliacha mtiririko wa ushahidi wa maneno, vitu na vielelezo vya uchunguzi waishie kutokushitakiwa? Nini kilitokea? Hatuna majibu na kusema kweli nimepoteza imani kabisa sasa (na vyombo vya dola).

Nimepitia vianzio kadhaa na nina uhakika kuwa mauaji haya yangefunguliwa kesi kwa urahisi

sana.

Ushahidi uko wapi?

Dk. Jumbe alizungumza na mfanyakaz i mtaa lamu mwenzake wakati alipoona hatari inamnyemelea -- usiku huo huo kabla ya kuuawa. Maelezo hayo walipewa Polisi kwa njia ya tarifa ya maandishi. Simu hiyo itakuwa imenakiliwa mahali na kilichomo kingechambuliwa kudhihirisha kilichotokea eneo hilo. Hiyo ilifanyika? Hiyo ingewapa Polisi kianzio kutoka kwa aliyeuliwa, moja kwa moja.

Nina uhakika kulikuwa na ushahidi mwingi tu katika eneo la mauaji. Katika mwili wa Dk. Jumbe na kuzunguka eneo

hilo. Eneo la tukio la mauaji lilidhibitiwa ilivyopasa? Nina uhakika kulikuwa na majeraha, michubuko na bila shaka, damu. Kwa vile alipigwa mara nyingi na damu kuruka lazima itakuwa imewaangukia watu kadhaa kati ya kundi hilo.

Na vitasa vya milango, madirisha, n.k. Lazima kulikuwa angalau na alama za vidole kwa mbali katika vitu hivyo na vifaa vilivyoachwa katika eneo la mauaji. Kwa uchunguzi mzuri isingekuwa vigumu kuwafahamu waliokuwa hapo na walishika kitu gani. Vipi kuhusu kuwepo kwa vitu ambavyo havikuwepo wakati wa mauaji kwani watuhumiwa kadhaa, kwa kughafilika tu wakati huo, wataacha vifaa vya thamani kubwa kiushahidi, na hii inawezekana kabisa. Ingewezekanaje vitu kama hivi virukwe tu visiangaliwe? Ni kweli havikuangaliwa?

Mwishowe, kundi la watu (kama ndivyo lilivyokuwa) la wanafunzi wa kiume na kike haliwezi tu kutoka katika mabweni yao bila kuwepo maandalizi. Lazima kulikuwa na mawasiliano, ya mdomo, ya maandishi ya ujumbe wa simu au mazungumzo ya simu. Lazima wangekuwepo na nina hakika bado wapo washuhuda wa kile kilichotokea kabla ya na baada ya mauaji. Na watu wanazungumza. Wanaweza kufanywa wakaimba, licha ya kuzungumza. Vianzio vyote hivi havikusaidia kitu kweli? Siwezi kukubali kuwa hilo kabisa linawezekana.

Tuliona wote jinsi Jeshi la Polisi linavyoweza kufanya kazi kwa bidii pale ofisa wa ngazi za juu wa Polisi, Mkuu wa Polisi mkoa wa Mwanza alipouawa usiku wa manane. Watuhumiwa wote walikamatwa na wamefunguliwa mashitaka. Mauaji ya Dk. Jumbe kwa kulinganisha yangekuwa ni rahisi zaidi kutatua na bado inawezekana.

Hatua nyingine?

Nitakuwa mwingi wa shukrani kwa Mkuu wetu wa Jeshi la Polisi kama angeulizia, yeye binafsi, kuhusu uchunguzi huo uliokwama. Kuna maelezo kuhusu mauaji ya Dk. Jumbe ambayo nisingependa kuingilia, lakini uchunguzi (wa kifo chake) unahitaji kurudiwa upya hasa kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi. Kama kuna gharama zinazohitaji kufikiwa, basi tufahamishwe na tutatoa kinachohitajika, kama Jeshi la Polisi haliwezi kufanya hivyo. Hata kama uchunguzi wa kimaabara unahitaji kufanyika.

Mwananchi mpenda haki

Page 4: ANNUUR 1048.pdf

4 AN-NUURMUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012Habari/Tangazo

Marufuku kuswali swala tano shuleniInatoka Uk. 2

kosa alilolifanya mwanafunzi mwenzao, kwani yeye alikuwa akifafanua dhamira ambayo mwal imu a l i ika taa , naye mwanafunzi akahitaji mwalimu wake amsahihishe ni wapi alipokosea.

Pamoja na hayo, wanafunzi hao walibainisha tatizo jingine kuwa kudhalilishwa ni Qur’an na kupotoshwa katika mafundisho yake.

Kwamba wanafunzi viongozi wa Kikristo wamekuwa wakitoa nukuu za aya za Qur’an na kuzichanganya na nukuu za Biblia.

Ilielezwa kuwa Kaka Mkuu shule aliyetajwa kwa jina la Hope Cosmas na Maulid Mjori, wamekuwa wakikosea matamshi ya aya za Qur’an na hata kupotosha tafsiri zake pia, bila kujali kuwa hilo ni kero na chukizo kwa wanafunzi wa imani nyingine.

Aidha wanafunzi Waislamu walimweleza Mkuu wa Shule kuwa kumekuwa na tabia ya utolewa adhabu kwa wanafunzi kwa kuzingatia upendeleo wa kidini.

Kwamba limekuwa ni jambo la kawaida shuleni hapo kutolewa adhabu tofauti kwa wanafunzi waliotenda kosa moja. Walidai kuwa mara zote wanafunzi Waislamu wamekuwa ni wahanga wa adhabu nzito na kubwa wafanapofanya makosa, huku wanafunzi Wakristo wakipewa adhabu hafifu kwa kosa lile lile alilofanya wanafunzi Muislamu.

U l i t o l e w a m f a n o w a mwanafunzi Muislamu aitwaye Yahya Said (Kidato cha 5 PCM), alipewa adhabu ya kurudishwa nyumbani alipokutwa amevaa nguo za michezo siku ya Iddi alipokwenda kusali.

Adhabu hiyo alipewa hapo hapo barabarani alipokutwa.

Lakini adhabu ilikuwa tofauti kwa wanafunzi wa Kikristo Fredrick Webiro (V- EGM),

Buruma Elias (V- EGM) na Hamphrey Kitago (V- EGM), ambao wao walibakishwa shuleni hapo bila kurudishwa nyumbani walipokutwa na kosa la kuwa nje ya shule na nguo za michezo.

Aidha , wanafunz i hao waliomba kupewa eneo la msikiti, kutokana na eneo walilo nalo kutokidhi idadi, jambo ambalo limelazimu wanafunzi wengine kufanya ibada nje.

Pia walisema kuwa eneo lililopo, lipo karibu na ofisi ya Wanafunzi Wakristo hivyo wanapofanya ibada zao, kama vile kuimba na kupiga makofi, sauti zao hufika msikitini na kusababisha usumbufu katika ibada za wenzao.

B a a d a y a w a n a f u n z i kutoa maoni juu ya shida zinazowakabili shuleni hapo kwa Mkuu wa Shule, aliwapongeza kwa subira waliyoionyesha, kwa kuwa masuala yaliyowasilishwa yanagusa zaidi imani.

Ilielezwa kuwa Mkuu wa Shule al iainisha matatizo yaliyowasilishwa kwake na kuahidi kuyafanyia kazi , isipokuwa masula yaliyo nje ya uwezo wake kama vile suala la eneo la msikiti.

Alishauri wanafunzi hao waandike barua kwa mmiliki wa shule, ambaye ni Mkurugenzi ambaye ndiye mwenye mamlaka hayo ya kutoa eneo la msikiti.

Yale yaliyokuwa ndani ya uwezo wake aliahidi kuyatekeleza na alianza kuchukua hatuya haraka ilivyowezekana.

S iku i l iyofua ta , yaan i Jumanne Novemba 13, 2012, Mkuu wa shule alikemea mbele ya wanafunzi wote, kitendo cha baadhi ya wanafunzi kula nyama ya nguruwe katika mazingira ya shule. Aliagiza wanafunzi waliohusika wachukuliwe hatua na makamu mkuu wa shule.

Kufuatia agizo la mkuu wa shule, Makamu mkuu wa shule alianza kuwachukulia hatua kwa kuwaita wahusika majina hapo hapo mstarini na kutafuta

ushahidi zaidi kutoka ofisi ya ulinzi ya wanafunzi.

Aidha Mkuu wa shule alikemea kitendo cha kunukuu vitabu vitakatifu bila ufahamu wake.

Pia Bw. Kihongozi alikemea tabia ya baadhi ya wanafunzi kutanianiana au kukejeliana kiimani na akatoa mfano, kuwa imani ya mtu ni kama kilema kwa hiyo kumtania mtu kilema chake ni jambo baya sana.

Hata hivyo, wakati mkuu wa shule anachukua hatua hizo, lilitokea tukio la moto katika ofisi ya wanafunzi Wakristo usiku wa Jumanne kuamkia Jumatano Novemba 14, 2012.

Ilielezwa kuwa Polisi walifika na kufanya upekuzi kuanzia msikitini kisha mabwenini.

Baadae waliohojiwa ofisini viongozi wa Kikristo katika serikali ya wanafunzi peke yao huku viongozi Waislamu katika serikali hiyo wakiachwa.

Baadae yalikusanywa maoni madarasani kupitia maswali yafuatayo yaliyoandaliwa, ambayo yalihoji chanzo ni nini? Mhusika ni nani? Na nini kifanyike?

Aidha taarifa zinaonyesha kuwa viongozi wa wanafunzi wa dini zote walihojiwa na polisi na bodi ya shule.

Katika mahojiano hayo viongozi wa Kiislamu zaidi ya kuhojiwa zaidi juu ya tukio la moto, walitakiwa kukiri kuwa hawakutumia njia sahihi kufikisha madai yao kwa Mkuu wa Shule. Hivyo waliambiwa kuwa madai yao yote ni batili.

Kufuatia mtiririko huo wa matukio, siku ya Alhamisi Novemba 15,2012, saa 2:00 asubuhi , Mkuu wa Shule aliwasilisha taarifa ya Bodi ya Shule kuwa shule inafungwa kwa muda usiojulikana.

Sababu aliyoitoa Mkuu huyo ni kuwa, suala lililotokea linagusa imani za watu, hivyo kila mtu akitetea imani yake amani ya shule itatoweka.

Zanzibar waipiga tena kumbo Tume ya KatibaWAZANZIBARI wamezidi kudhihirisha kuwa muhimu kwao kwa sasa ni juu ya madai yao ya kutambuliwa kama nchi na dola kamili kwanza na wala sio la aina ya katiba.

H a y o y a m e e n d e l e a kujitokea mbele ya TUME ya Mabadiliko ya Katiba ambapo Tume hiyo imejikuta ikipokea maoni ya uwapo au kutokuwapo Muungano badala ya Katiba.

K a t i k a v i k a o k a t i ya wajumbe wa tume na wananchi katika Shehiya tofauti Unguja, tume hiyo imeshuhudia wananchi

Na Mwandishi Wetu walio wengi katika wale waliofika mbele ya tume wakitoa maoni yanayohusu aina ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar.

A k i z u n g u m z a h i v i karibuni juu ya hali hiyo, mwenyekiti wa timu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayokusanya maoni hayo Zanzibar, Profesa Mwesiga Baregu alikiri kuwa wanachopata Zanzibar ni kama kura za maoni kuhusu kuwapo, kutokuwapo au aina ya mfumo wa Muungano wanaoutaka Wazanzibari.

Taarifa zinaonyesha kuwa kati ya watu 123 waliotoa maoni kwenye Shehiya ya Mombasa, kwa njia ya

kuzungumza ni mtu mmoja peke yake aliyetoa maoni ya Katiba Mpya.

Na wakati akitoa maoni hayo, ilikuwa wazi kuwa alikuwa akiwakera wengi kwani wakati akijieleza mbele ya wajumbe wa tume, wananchi waliibua miguno na zomeazomea ikiashiria kutofurahishwa na hatua yake hiyo; ingawa wajumbe wa tume waliasa wananchi kuvumiliana.

Kwa upande mwingine, limetolewa somo juu ya muungano wa mkataba, msamiati na dhana ambayo u m e k u w a m a a r u f u n a kusemwa na wengi.

Akitoa darsa hiyo kupitia

mtandao , I smai l Jussa amesema kuwa Muungano wa Mkataba ni MASHIRIKIANO kati ya nchi mbili au zaidi ambazo kila moja huwa inabaki na mamlaka yake kamili ya KIDOLA kitaifa na kimataifa lakini bado zikawa zina mashirikiano kat ika maeneo maalum zitakazoamua kushirikiana, mahusiano ambayo huwa yanaongozwa na Mkataba.

Akifafanua zaidi akasema k u w a , M u u n g a n o w a Mkataba ni tofauti kabisa na Muungano wa Kikatiba ambao huwa unamaanisha kuwepo kwa Serikali ya Muungano inayosimamia mambo ya Muungano.

Katika Muungano wa Mkataba, Jussa anasema, kila nchi hubaki na Serikali yake kamili yenye kusimamia mambo yote.

N a k w a m b a , y a l e maeneo ya USHIRIKIANO husimamiwa kupitia ama KAMISHENI YA PAMOJA au KAMATI YA PAMOJA kwa kadiri makubaliano yatakavyokuwa yamewekwa

kwenye Mkataba.A k i e l e z e a f a i d a z a

Muungano wa Mkataba, Jussa amesema kuwa ni pamoja na kuwa inaondoa khofu ya nchi moja kuimeza au kuitawalia nchi nyengine.

Kwamba kila nchi inabaki na uhuru na mamlaka yake kamili kitaifa na kimataifa kuamua mambo yake.

Kwa utaratibu huo, kila nchi mwanachama ina uhuru wa kujitoa katika jambo lolote ililoamua mwanzo kushirikiana pale inapoona hakuna maslahi au faida kuendelea nalo.

Kwa upande mwingine akasema kuwa, muungano wa mkataba huvutia nchi nyingi kuingia katika Muungano wa aina hiyo kwa sababu hakuna khofu ya kupoteza mamlaka au kupunguziwa madaraka au mambo yake kuamuliwa na nchi nyengine.

Na hiyo ni kwa vile, mahusiano huwa ni ya kirafiki na ya ujirani mwema yanayopelekea kuaminiana na kuondoa kutiliana shaka kusikokwisha.

KAMATI YA KUENDELEZA UISLAMU TANZANIA

TAMASHA LA KANDA YA KASKAZINI, MASHARIKI NA VISIWANI KIRINJIKO

- SAME 21 – 26 DESEMBA, 2012Waislamu wote wa Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Morogoro, Dar – es – Salaam, Pwani na Visiwa vya Unguja na Pemba wanaalikwa kuhudhuria Tamasha la Ujenzi wa Chuo cha Ualimu na Ufundi Kirinjiko litakalofanyika 21 – 26 Desemba, 2012.

Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria kwa wingi. Wasio na wasaa wa kuhudhuria wachangie fedha na vifaa vya ujenzi.Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa tumefanya biashara na Allah (s.w) kwa mafanikio ya hapa duniani na malipo ya Pepo – Qur’an (61:10-13)

Wabillah TawfiiqAMIR

Page 5: ANNUUR 1048.pdf

5 AN-NUURMUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012Habari mchanganyiko

Ummart : Umeshutumiwa kuhusika na mashambulizi ya New York na Washington. Unataka kusema nini kuhusu suala hilo? Kama huhusiki, nani anaweza kuwa?

Usamah (Osama bin Laden): Katika jina la Allah, mwingi wa rehema, mwingi wa huruma. Sifa ziende kwa Allah, Ambaye ni muumba wa ulimwengu wote na Aliyefanya dunia ikawa mahali pa amani, kwa binadamu wote. Allah ndiye Mpaji, aliyempeleka Mtume Muhammad kwa uongozi wetu. Navishukuru vyombo vya habari vya kampuni ya Ummat, ambao wamenipa nafasi ya kutoa rai, hasa watu jasiri na Waumini halisi wa Uislamu nchini Pakistan ambao wamekataa kuamini uwongo wa ibilisi.

Nimeshasema kuwa sihusiki na mashambulio ya Septemba 11 nchini Marekani. Kama Muislamu, najaribu iwezekanavyo kutosema uwongo. Sikuwa na ufahamu wowote wa mashambulio haya, wala sidhani kuwa mauaji ya wanawake wasio na hatia, watoto, na binadamu wengine ni kitendo cha kujivunia. Uislamu unakataza kabisa kuleta madhara kwa wanawake wasio na hatia, watoto na watu wengine.

Kufanya hivyo kunakatazwa hata wakati mapigano yanaendelea. Ni Marekani ndiyo inayoendeleza kuwaonea kila mahali wanawake, watoto na watu wa kawaida wa imani nyingine, hasa wafuasi wa Uislamu. Kile kinachoendelea katika Palestina kwa miezi 11 iliyopita kinatosha kuinua ghadhabu ya Mungu juu ya Marekani na Israel.

Pia kuna onyo kwa zile nchi za Kiislamu, ambazo zimeona yote haya na kukaa kimya kama watazamaji. Nini kilitokea kabla kwa watu wasio na hatia wa Irak, Chechnya na Bosnia?

Ni jawabu moja tu linaweza kutolewa kuhusiana na kutojali kwa Marekani na nchi za Magharibi

Sehemu ya taarifa kamili ya kilichochapishwa na gazeti la Pakistan kama mahojiano maalum na Usamah Bin Ladin:

Novemba 28, 2012 - ‘Mtandao wa Kupashana Habari’

Mahojiano yanayofuata na Osama bin Laden yalifanywa Karachi, Pakistan, na gazeti la kila siku la Ummat na kuchapishwa Septemba 28, 2001, siku 17 baada ya kilichodaiwa, bila kuthibitishwa, kuwa ni shambulio la Al Qaeda la Septemba 11, 2001, katika minara pacha ya Kituo cha Kimataifa cha Biashara, na Pentagon (Wizara ya Ulinzi na Makao Makuu ya Jeshi la Marekani). Mahojiano hayo yalikuwa ya aina yake. Aliyedaiwa ni ‘msukaji mkuu’ wa 9/11 alisema kuwa yeye na Al Qaeda walikuwa hawahusiki kwa lolote na shambulio la 9/11. Kitengo cha ufuatiliaji wa matangazo cha BBC (Shirika la Utangazaji la Uingereza) kilitafsiri mahojiano hayo kwa Kiingereza na kuyatoa hadharani Septemba 29, 2001.

K u k a n a k w a k i s h i n d o k w a O s a m a b i n L a d e n hakuku tanganzwa ka t ika magazeti na televisheni za Marekani. Hakukuchunguzwa na vyombo vya ser ika l i . Hakuna mjumbe wa Baraza la Wawakil ishi au Seneti aliyekunbushia kanusho la Bin Laden kuhusika na shambulio la kufadhaisha kuliko yote lililowahi kufanywa dhidi ya taifa lenye nguvu zaidi duniani.

K u t h i b i t i s h a k u w a k u m b u k u m b u y a n g u y a kutokutangazwa mahojiano hayo ni sahihi, nil i ingiza “mahojiano ya Osama bin Laden akikanusha kuhusika na 9/11” katika Google, Baadhi ya kurasa za mtandao zilikuwa na mahojiano hayo, lakini kianzio pekee kikubwa cha habari nilichokiona ilikuwa ni video ya dakika moja YouTube kutoka CNN (kituo cha kimataifa cha televisheni) ambako mtangazaji, baada ya kunukuu taarifa ya Al Jazeera (kituo cha televisheni cha kimataifa cha Ghuba) ya kanusho la Bin Laden, alifikia tamati kuwa “tunaweza kupima hilo katika mizani ya kuaminika na kufikia tamati zetu wenyewe.” Kwa maneno mengine, Bin Laden alishatambuliwa ni gaidi wa kutisha, na kanusho lake halina thamani ya kuaminika.

Habari hi i ya kishindo haikuwa inafaa kwa wananchi wa Marekani na ilifichwa kwao na ‘vyombo huru’ vya habari,’ vyombo ambavyo viko huru kusema uwongo kwa niaba ya serikali lakini si kusema ukweli.

Ni wazi kuwa kama bin Laden alikuwa amewashinda mbinu siyo tu Taasisi ya Usalama wa Taifa, Shirika la Ujasusi la CIA, shirika la upelelezi la jeshi la Marekani, shirika la upelelezi la FBI na pia mashirika yote 16 ya ujasusi ya Marekani, mashirika yote ya ujasusi ya washirika wa Marekani katika NATO au vibaraka wake, shirika la ujasusi la Mossad la Israel, halafu na Baraza la Usalama wa Taifa (Marekani), NORAD (Idara ya Ulinzi wa Anga ya Jeshi la Marekani), mamlaka

Uzushi kuhusu Osama bin LadenNa Paul Craig Roberts

ya kuongoza ndege, na ulinzi katika viwanja vya ndege mara nne katika subuhi hiyo moja tu - ingekuwa ni jambo la mafanikio ambalo halijapata kutokea katika historia ya dunia. Ni muujiza wa ujenzi wa taasisi ambao ungeifanya al Qaeda taasisi iliyofaulu zaidi ya kupambana na ubeberu katika historia ya binadamu, ushindi wa kushangaza dhidi ya ‘Shetani Mkuu’ ambao ungeingiza mamilioni ya wasajiliwa wapya

kwa vitendo hivi vya kigaidi na kushikamana na tawala hizi dhalimu kunaonyesha kuwa Marekani ni dola inayochukia Uislamu na inafungamana na mikondo inayopinga Uislamu. Urafiki wake na nchi za Kiislamu ni onyesho tu, tuseme ni udanganyifu. Kwa kuzichangamkia au kuzitisha nchi hizi, Marekani inazilazimisha kufanya kile inachotaka. Tupa jicho kuzunguka na utaona kuwa watumwa wa Marekani ni ama watawala au maadui wa Waislamu.

Marekani haina marafiki. Na pia haitaki kuwa nao kwa sababu kuwa na rafiki inabidi ujishushe ufikie kiwango cha rafiki yako au kumkubali kuwa yuko sawa na wewe. Marekani haitaki kuona yeyote akiwa sawa naye. Inatazamia utumwa kutoka kwa wengine. Hivyo nchi nyingine ama ni watumwa au ni wasaidizi wa Marekani.

Hivyo, shauri letu ni tofauti. Tumejitakia utumwa kwa Mungu Mwenyezi peke yake na baada ya hitaji hilo hakuna tena uwezekano wa kuwa mtumwa wa mwingine awaye yote. Tukifanya hivyo, itakuwa ni kumpuuzia Mpaji wetu na binadamu wenzetu, Nchi nyingi za dunia zinazolinda uhuru wao ni za kidini, ambazo ni maadui wa Marekani, au yenyewe inaziona kuwa ni maadui, Au nchi ambazo zinakataa kuwa watumwa, kama China, Iran, Libya, Cuba, Syria, na iliyokuwa Urusi kama ilivyopokelewa.

Awaye yote aliyefanya kitendo kile cha Septemba 11 siyo rafiki wa watu wa Marekani. Nimeshasema kuwa tunaupinga mfumo wa Marekani, siyo dhidi ya watu wake, wakati ambapo katika mashambulizi haya, watu wa kawaida wa Marekani wameuawa.

Kwa taarifa nilizo nazo mimi, idadi ya waliouawa ni kubwa zaidi ya kile serikali ya Marekani ilichosema. Lakini serikali ya Bush haitaki wasiwasi uenee. Marekani inatakiwa kujaribu kuwafuatilia waliofanya kitendo kile huko huko nchini Marekani, watu ambao ni

sehemu ya mfumo wa Marekani, lakini wanauasi. Au ni wale ambao wanatumikia mfumo mwingine; watu wanaotaka karne hii iwe ni karne ya ugomvi kati ya Uislamu na Ukristo ili ustaarabu wao, taifa, nchi, au itikadi iweze kudumu. Wanaweza kuwa yeyote yule, kuanzia Russia hadi Israel na kuanzia India hadi Serbia. Nchini Marekani kwenyewe, kuna dazeni za makundi yaliyohamasishwa na yenye silaha za kutosha, yenye uwezo wa kufanya uteketezaji mkubwa. Na huwezi pia kuwasahau Wayahudi wa Marekani, ambao wamechukizwa na Rais Bush tangu uchaguzi kule Florida na wanataka kulipiza.

Halafu kuna mashirika ya kijasusi nchini Marekani, ambayo yanahitaji mabilioni ya dola yapitishwe na Bunge na serikali kila mwaka. Kupatikana kwa fedha haikuwa tatizo wakati iliyokuwa Urusi ikiwa bado ipo lakini baada ya hapo bajeti ya mashirka haya imekuwa mashakani.

Wanahitaji adui. Hivyo, kwanza walianza propaganda dhidi ya Usamah na Taleban na sasa tukio hili limetokea. Wavushaji mihadarati kutoka kote duniani wana mawasiliano na mashirika ya kijasusi ya Marekani. Mashirika haya hayataki kufutilia mbali uzalishaji wa mihadarati kwa sababu umuhimu wao utapungua, Waajiriwa wa Idara ya Kuzuia Mihadarati ya Marekani wanachochea biashara ya mihadarati ili waweze kuonyesha uhodari wao na kupata mamilioni ya dola za bajeti. Jenerali (Manuel) Noriega alifanywa kuwa bosi wa mihadarati na Shirika la Ujasusi la Marekani, na wakati ilipohitajika, akatolewa kafara. Kwa njia hiyo, hata awe ni Rais Bush au rais mwingine wa Marekani, hawawezi kuifikisha Israel mbele ya sheria kwa uvunjaji wa haki za binadamu na kuitaka iwajibike kwa uhalifu huo. Ni nini hiyo? Si maana yake ni kuwa kuna serikali ndani ya serikali nchini Marekani? Serikali hiyo ya siri iulizwe ni nani aliyefanya mashambulizi hayo (ya Septemba 11).

katika mtandao wa al Qaeda. Hata hivyo aliyedaiwa ni ‘msukaji mkuu’ alikataa kabisa kuhusika.

Nakumbuka miongo kadhaa iliyopita lilipofanyika shambulio la kigaidi barani Ulaya, iwe ni la kweli au ni Operesheni Gladio nyingine ya kukosea kusoma bendera http://en.wikipedia.org/wiki/Operation_Gladio ambako makundi tofauti yangetangaza kuhusika. Labda hii ilikuwa ni njia ya CIA kukwepesha

kurunzi lisiangalie kwake, lakini inaonyesha kuwa kila shirika la ujasusi linafahamu umuhimu wa kutangaza kuhusika kwa asasi iliyofanya shambulio lililofanikiwa. Licha ya kuwa Bin Laden alikanusha kuhusika, mwaka 2001 baadhi ya viongozi wa Al Qaeda, wakiwa wanajua umuhimu wa mashambulio ya 9/11, walitangaza kuhusika na shambulio hilo na kumkosoa Rais Ahmedinejad wa Iran aliyehoji maelezo rasmi ya Marekani.

Licha ya kuwa ni Wamarekani wachache sana wanaofahamu mahojiano ya Septemba 28 2001 ambako Bin Laden alikanusha kuhusika na mashambulio ya 9/11, Wamarekani wengi wameona video zilizopigwa baada ya mashambulio hayo ambako mtu anayedaiwa ni Osama bin Laden anajipongeza kwa shughuli hiyo. Kuna matatizo mawili na video hizo. Watalamu wamezichunguza na kugundua kuwa ni bandia, na video zote

hizo zilitolewa baada ya Bin Laden kuripotiwa na gazeto la Observer la Pakistan, magazeti ya Misri, na shirika la habari la Fox nchini Marekani kuwa alikufa katikati ya Desemba 2001, kutokana ugonjwa wa mapafu.

( T a z a m a : h t t p : / /w w w . f o x n e w s . c o m /story/0,2933,41576,00.html See also http://www.legitgov.org/News-Bin-Ladens-Death-and-Funeral-December-2001)

Bin Laden pia al iugua ugonjwa wa figo. Taarifa ya kituo cha utangazaji cha CBS ilisema January 28 2002 kuwa Osama bin Laden alikuwa amelazwa kwa tiba ya figo katika hospitali ya kijeshi ya Rawalpindi nchini Pakistan hapo Septemba 10, 2001, siku moja kabla ya 9/11.

(http://www.globalresearch.ca /where -was -osama-on-september-11-2001/3194 )

Ni wazi kuwa mtu aliyekuwa anaugua magonjwa ya kufisha

ya mapafu na figo hakuishi kwa miaka mingine kumi kuuawa na kikosi maalum cha wanamaji wa Marekani, SEAL Team 6 huko Abbottabad. Mahojiano ya televisheni na jirani wa kile kilichoitwa ‘nyumba aliyokuwa akikaa Bin Laden’ alifichua usanii wa kuuawa kwake. Mahojiano haya ya kishindo pia hayakutangazwa katika ‘vyombo huru ya habari’ nchini Marekani. Nilijitahidi kupata tafsiri ya mahojiano hayo, na yako hapa:

(http://www.globalresearch.c a / p a k i s t a n - t v - r e p o r t -contradicts-us-claim-of-bin-laden-s-death/25915 See also http://www.bbc.co.uk/news/world-south-asia-13329078)

Mara baada ya kilichodaiwa kuwa ni mauaji ya Osama, wanamaji 30 wa kikosi cha SEAL walikufa katika ajali ya kutatanisha ya helikopta nchini Afghanistan, na sasa tunasikia kuwa hakuna hata mmoja kati ya maelfu ya wanamaji wa meli ya kivita ya kubeba ndege, USS Carl Vinson, aliyeona kilichodaiwa ni mazishi ya bin Laden baharini kutoka meli hiyo. Taarifa za magazeti zinasema bila hiyana kuwa kwa sababu ambazo hazikuelezwa, hiyo ilikuwa siri hata kwa wanamaji wa meli hiyo. Hii inasemekana ndiyo sababu ya taarifa za simu za wanamaji kuwaambia wanafamilia na marafiki kuwa hawakuona mazishi yoyote baharini. Baadhi wanakisia kuwa wanamaji hao walilipuliwa kabla maswali miongoni mwao kama ‘Ulikuwa kwenye shambulio?’ hayajafika nje ya kikosi. Vyombo vya habari na wananchi kwa jumla hawahisi kuwa ni jambo la ajabu kuwa serikali ya Marekani ingemkamata mbunifu mkuu wa ugaidi bila kumhoji na bila kubakiza ushahidi wowote au kutoa mashuhuda kuunga mkono dai la kuuliwa kwake.

Adolf Hitler alidai kuwa wakomunisti walichoma jumba la Bunge (mjini Berlin, mwaka 1933) na kuwa askari wa Poland walikuwa wamevuka mpaka (1939) na kuishambulia U j e r u m a n i , K a t i k a 9 / 11 Wamarekani wameujua aina hii ya uwongo mkubwa. Osama bin Laden aliyekuwa anakufa kwa magonjwa yasiyotibika katika nchi ya mbali ya Afghanistan alishinda miundo mbinu yote ya kiusalama ya dola ya Marekani na kupeleka shambulio lake ndani ya kuta za Pentagon yenyewe, kuhitaji, kwa ajili ya ulinzi wa Marekani, ‘vita dhidi ya ugaidi’ iliyoteketeza uhuru wa mtu binafsi na kufilisi nchi ili kuzuia ushindi wa mtu ambaye alishakufa kwa vianzio vya kawaida Desemba 2001.

Mei 9, 2011 Profesa Michael Chossudovsky alichapisha tena mahojiano ya Septemba 28 2001 na Osama bin Laden katika jarida la Global Research.

Mahojiano na Osama bin Laden : Osama akanusha kuhusika na 9/11

Makala hii inapatikana(http://www.globalresearch.

ca/interview-with-osama-bin-laden-denies-his-involvement-in-9-11/24697-Imetafsiriwa Kiswahili na Anil Kija)

Page 6: ANNUUR 1048.pdf

6 AN-NUURMUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012Makala/Tangazo

NIMESHAJIIKA kuiandika makala hii baada ya kuisoma makala ndani ya gazeti la Mzalendo Jumapili tarehe 11-17,2012, makala ilioandikwa na Dk. Mohamed Seif Khatib yenye jina la Tumeagana na Nyonga?

Bwana huyu alianza makala yake kwa kuandika-Hapa ninanukuu:-“Waswahili utajiri wao umo katika misemo iliyoshiba falsafa. Ukipiga mbizi humo, lazima utaibuka na lulu ya maudhui mazito”.

Hapa niliona ni vizuri nianze kumjibu Bw. Seif Khatib kwa utajiri wa Waswahili wa hiyo falsafa ili apige mbizi na kuibuka na lulu. Sikia kama unalo sikio la kusikia. “Mtumaini cha nduguye hufa masikini”. Bw. Mohamed Seif Khatib ndani ya makala

Zanzibar ina uwezo wa kujitawala na kujikimu

Na Ibrahim Mohammed Hussein

yake anajaribu kutupumbaza na kututumainisha kuendelea kuitumainia Tanzania Bara kwa vile ni nchi tajiri na ina uwezo mkubwa sana. Anauliza muandishi huyo:-

Hivi nani angepaswa kulalamika katika Muungano, Watanzania Zanzibar au Watanzania Bara? Anasema muandishi:-

“Watanzania Bara wana uchumi mpana, eneo kubwa, watu wengi na fursa kadhaa za kiuchumi, kiafya na kirasilimali sio wanaonung’unika, wale wadogo wenye watu wachache, eneo dogo lao la ardhi, uchumi wa kisiwa na fursa chache za kijamii ndio wanaobwata kuwa hawataki Muungano.”

Anasema: “Uchumi wa kisiwa hauwezi kuibeba Zanzibar yenyewe. Hili lahitaji darubini. Eneo la Zanzibar na ongezeko la watu wake katu haiwezi kujihimili peke yake. (Hong kong inabebwa na nani?”

Muandishi anaweka khofu na kuziviza akili za wananchi walio wengi ambao yeye mwenyewe amesema ndani ya makala yake kwamba ”Watu wetu kwa uelewa mdogo nao wamekuwa kama tanga la ngalawa, huwa linafuata upepo tu.”

Muandishi ndio ameona bora awadumaze watu wake kwa kuwatia hofu ya kutoweza kujitegemea peke yao bila ya msaada kutoka Bara.

Muandishi anazidi kuweka v i t i s h o n a k u w a p u m b a z a Wazanzibari kwamba Muungano ukivunjika, basi huo umeme wa Pemba na huo umeme wa Unguja

utokao Tanzania Bara mtalipa kwa dola ya Marekeani. Vile vile sio umeme tu, bali hata vifaa vya ujenzi mfano wa bati, saruji, mbao na misumari mtaweza kuvinunua kwa dola? Matikiti ya Wagogo, mbatata za Wahehe na nyanya za Wasambaa zitaletwa Zanzibar na watu kununuwa kwa Dola?

M h e s h i m i w a h a y a n a n i kamwambia kwamba Zanzibar ikiwa na mamlaka yake kamili haitakubaliwa kuwa mwanachama wa Umoja wa Afrika Mashariki na itatengwa na nchi jirani kwa hivyo majirani zetu wote Kenya na Uganda watatususia vile vile kama itakavyotususia Tanzania. Hivyo mheshimiwa huyu haelewi kwamba Zanzibar chakula chetu kilikuwa kikitoka India. Mchele, Vitunguu, Mbatata n.k. takriban kila kitu chetu kilikua tukiagiza kutoka nje. Lipi la ajabu. Hukumuona Marehemu Karume alitoa agizo la kutonunua hata msumari wa bati kutoka Tanganyika, kila kitu ilikua tukiagiza kutoka Uengereza katika Kampuni ya (Crown Agent) Mh. Zanzibar ilikua ikilipia vitu hivyo kwa fedha za kigeni, hilo sio jambo la ajabu kwa Zanzibar.

Marehemu Mzee Karume alichukuwa hatua hizo na kila mtu anaelewa vyema. Mheshimiwa huyo anasema:-

“Katu Zanzibar haitaweza kujihimili peke yake” na ametoa sababu mbili. Eneo la Zanzibar na ongezeko la watu wake. Haya maneno ya kusema katu Zanzibar haiwezi”

ni kweli haiwezi wala haitaweza kutokana na mikakati mulioiwekea Zanzibar ya kuifungia milango yake yote kwa kuitumia KATIBA ya Jamhuri ya Muungano kifungu 17:1 kila atakaetaka kuja kuishi Visiwani basi rukhsa imeshatolewa kwa nguvu za Katiba na aje tu kwa kadiri watakavyopenda. Kutokana na hali hiyo ni kweli “Katu Zanzibar hitaweza. Vile vile Muheshimiwa huyu anasema:-

“Zanzibar ina fursa chache za kijamii” hili nalo ni kweli Muungano umetuzuwia kuzitumia fursa zote za kuiwezesha Zanzibar kujipatia misaada na mikopo katika dunia ya leo. Hili nalo ni tatizo la Katiba yetu.

Maana ka t ika mfumo wa Muungano uliopo ambao ndio sera ya CCM. Zanzibar imenyimwa nafasi ya kujiombea misaada yenyewe moja kwa moja. Yote hayo ni matatizo ya katiba yetu. Sasa kama tumegundua kwamba Katiba ni kikwazo kwetu, basi ni kukataa mfumo wa kikatiba. Tumeona leo ni miaka 20 imetimia tokea suala la OIC lilipojitokeza na wakatulazimisha tujiondowe kwa vile tumevunja katiba, basi ni hasara kwetu kubwa ya kiuchumi tulioipata kwa kusababishwa na Katiba. Sasa hatutaki katiba tunataka mkataba ambao hautatoa fursa ya kumezana, kubebana na kuoneana.

“Ikiwa dawa ya kutibu ni kukata kiungo kisichofaa kwa nini tusifanye hivyo tusubiri mwili mzima uoze.” Hebu niambieni jamani, mapato yote ya vyanzo vya Muungano yanaingia katika mfuko wa Tanzania Bara ambao kikatiba sio mfuko wa Muungano bali ni wa Serikali ya Tanganyika.

Muheshimiwa huyu tena huitwa Dk. anasema katika hali kama hizi eti! Nani angepaswa alalamike katika Muungano, Watanzania Zanzibar au Watanzania Bara? Mbele nitaonesha madudu na manyago ya Muungano ambayo bwana huyu huwa hayaoni abadani.

Halafu katika kutaka kushawishi anajitumainisha kwa mali ya nduguye anasema:- “Bara wenye uchumi mpana, eneo kubwa, watu wengi na fursa kadhaa za kiuchumi, kiafya na kirasilimali”. Hapa ndio nilipomwambia kwamba “mtumaini cha nduguye hufa masikini”.

S a s a M h e s h i m i w a h u y u anasema jambo ambalo ndani yake ukilitafakari ni aibu tupu. Chama cha CCM, juu ya utajiri wote huo, basi chama imeikamatisha bakuli la omba omba Serikali yake iwe inatembea dunia nzima kuomba “Yalla Maskini” huku chama kikishindwa kuutumia utajiri na rasilimali zake alizonazo. Leo mheshimiwa Seif Khatib anataka kutwambia nini juu ya utajiri wa Tanzania Bara. Wao wenyewe maisha yo taabani pamoja na utajiri huo, bado ni masikini. Vipi atatutumainisha sisi Wazanzibari tutegemee rasilimali wasioweza kufaidika nazo wenyewe Watanganyika ziweze kutusaidia sisi huku Zenji? Mwisho mheshimiwa anasema:- “Uchumi wa kisiwa hauwezi kuibeba Zanzibar yenyewe. Hili lahitaji darubini. Hivi Dk. Huyu anafikiri Zanzibar yenyewe haiwezi kujiendesha. Mimi nafikiri sasa mheshimiwa aisome Zanzibar. Hii hapa Zanzibar.

Z a n z i b a r i n a u t a j i r i unaojitosheleza. Visiwa vya Zanzibar vina historia inayovifanya viwe kivutio cha utalii kitu ambacho ni chanzo kikubwa cha utajiri. Visiwa vingi duniani vinaishi kwa kutegemea utalii tu na kufanikiwa kuufanya uchumi wake kuwa imara, pamoja na utajiri Zanzibar inacho

kitu kingine ambacho ni cha utajiri ambacho ni zao la karafuu mbali na bidhaa za baharini ambazo ni tegemeo kubwa kwa uchumi wa nchi zilizozungukwa na bahari kama ilivyo Zanzibar.

Utajiri wote huo tulionao bado Zanzibar haikupiga hatua zozote za kimaendeleo kwa vile haina maamuzi yake yenyewe. Kila kitu kimejifunga ndani ya muundo wa Muungano wa kikatiba tulio nao. Visiwa vya Zanzibar ni Visiwa tajiri sana kuliko visiwa vyote katika Bahari ya hindi vilivyo katika mwambao wa Afrika.

Kitu cha awali kinachofanya visiwa hivi kuwa na utajiri ni historia yake ambayo ni kishawishi kikubwa cha kuvutia Utalii. Visiwa vingi duniani vimeneemeka kwa njia hii ya utalii lakini kwa Zanzibar bado ni kitendawili. Zanzibar bado inanuka ufukara ndani ya bahari ya utajiri iliyonayo.

Mbali na utajiri wa kitalii ambao Zanzibar haijaweza kunufaika nao hadi hivi sasa, bado Zanzibar inavyo vitega uchumi vingine vinavyotosha kuufanya uchumi wake kuwa imara na kuweza kuneemesha maisha ya Wananchi wake. Zanzibar ina ardhi yenye rutba inayoweza kukubali kilimo cha aina mbali mbali hususan kwa mazao ya biashara. Isitoshe Zanzibar inalo zao la biashara ambalo ndio alama ya visiwa hivyo, Karafuu.

Kama kisiwa cha Mauritius kinaweza kuimarisha uchumi wake kwa kutegemea zao moja kuu la biashara ambalo ni miwa, kwa nini Zanzibar ishindwe kuimarisha Uchumi wake kwa kutegemea zao la Karafuu zao ambalo halina ushindani kama lilivyo zao la miwa? Pamoja na karafuu Zanzibar haijaweza pia kunufaika na bidhaa za baharini kama ilivyo kwa nchi nyingine zilizozungukwa na bahari.

Kwa maana hiyo inabidi tujiulize ni kitu gani kinachotufunika macho na kutugeuza vipofu? Muungano huu tulionao ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo yetu. Lakini Mheshimiwa anatujejea anasema: “Zanzibar, wanayo Serikali yao, Rais wao, bendera yao, wimbo wa Taifa na mamlaka ya ndani”.

Hivi mheshimiwa ameona Serikali gani isiotegemea sera ya fedha kuwa ni silaha na nyenzo kubwa ya kupanga sera na maendeleo yake? Je! Zanzibar inayo silaha hiyo? Jawabu haina. Tutegemee nini katika maisha ya Muungano huu katika kukuza uchumi wetu?

Hata tukikubaliana mafuta yawe yetu pekee bila ya kushirikiana na Tanzania Bara, madhali sarafu itakua sio yetu basi hapana faida yoyote itakayopatikana upande wetu . Kichekesho n i pa le Waheshimwa hawa wanapotutaka tuamini kwamba, Tanganyika na Zanzibar zimeungana, lakini Tanganyika imekufa na kila mwaka wanaadhimisha sherehe za Uhuru wa Tanganyika. Ukweli ni upi basi? Ukweli Tanganyika ipo, Bunge la Tanganyika lipo, Katiba ya Tanganyika ipo na Rais wa Tanganyika yupo na mwishowe unaposema TANZANIA ujuwe unasema Tanganyika kwa hizo herufi tatu za mwanzo yaani TAN (maana yeke Tanganyika) na unaposema ZAN (unasema Zanzibar) Hapana chochote cha Tanganyika kilichopotea, kila kitu chake kipo na kinatenda kazi yake chini ya kivuli cha Muungano wa KATIBA YA SERIKALI MBILI.

TEL: 0715-498363

Page 7: ANNUUR 1048.pdf

7 AN-NUURMUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012Habari

Imam ‘abambikwa’ ujambaziIMAM wa Masjid Swabirina Buza Capetown Yombo, Sheikh Salim Seleman, ameswekwa rumande baada ya kubadilishiwa mashitaka yaliyokuwa yakimkabili.

Awal i She ikh Sa l im alikamatwa na polisi usiku wa kuamkia Oktoba 18, 2011, huko nyumbani kwake Buza Capetown akidaiwa kuwa amevunja bucha la nyama ya nguruwe, mali ya Bi. Nuru Lawrance na kuiba nyama na kufanya uharibufu wa mali.

Imefahamika kuwa baada ya kukamatwa She ikh Selemani, alifikishwa katika kituo cha Polisi Chang’ombe, ambako alifunguliwa jalada na baadae kufikishwa katika mahakama ya Wilaya Temeke ambako kesi ilifunguliwa na kuachiliwa kwa dhamana.

Imeelezwa kuwa tangu wakati huo, kesi imekuwa ikitajwa mahakamani lakini

Na Shaaban Rajab bila ya mlalamikaji kutokea mahakamani, huku upande wa polisi nao ukidai upelelezi bado haujakamilika.

Kutokana na upande wa mashitaka kushindwa kutokea mahakamani kila kesi inapotajwa, na upande wa upelelezi kuchukua muda mrefu kukamilisha upelelezi wake, hakimu aliyekuwa a k i s i k i l i z a k e s i h i y o , Nyambona Masabe, alitishia kuifuta kesi hiyo.

M w a k a 2 0 1 2 , s i k u ambayo ilitajwa tena kesi hiyo, mshitakiwa alishangaa kukuta mashitaka yaliyokuwa yakimkabili, yamebadilishwa na safari hii akisomewa shitaka la kupora pikipiki na kuiba shilingi 30,000.

Kesi iliahirishwa hadi Desemba 4 mwaka huu ilipotajwa tena.

Hata hivyo, i l ipofika Desemba 4, 2012, siku ambayo mlalamikaji naye a l i k u w e p o m a h a k a m i , mshi tak iwa a l i shangaa kusomewa shitaka jingine.

Safari hii akisomewa shitaka jipya la unyang’anyi kwa kutumia nguvu (robbery), na wakati huo huo, hakimu anayesikiliza kesi yake akiwa ni mwingine.

Baada ya kusomewa shitaka hilo jipya mahakamani hapo,

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad ametoa wito kwa Mwenyekiti wa Tume ya Kuratibu Maoni ya Wananchi juu ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba na tume yake kuweka bayana muundo wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya yatakayo jadili maoni ya wananchi, ili kuepusha Mabaraza hayo kutawaliwa na wajumbe wa chama kimoja.

Maalim Seif alisema hayo juzi huko katika viwanja vya Alabama Michenzani, wakati alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara ulioandaliwa na chama hicho, ikiwa ni siku moja kabla ya Tume hiyo ya kuratibu maoni ya wananchi juu ya mabadiliko ya Katiba kuanza kazi hiyo katika Wilaya ya Mjini jana tarehe 06/12/2012.

Maalim Seif ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, alisema baada ya hatua hiyo ya kuchukua maoni ya wananchi kukamilika, tume itarudi ofisini kuyajadili na baadaye yataundwa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ambayo pia yataweza kujadili maoni hayo ya wananchi, kabla ya kuchukuliwa hatua nyengine.

Alisema kuwa lazima kuwe na uwazi na wananchi waelezwe Mabaraza hayo yataundwa na wajumbe wepi, ili kuondoa dhana mbaya inayoweza kujengwa na wananchi kuwa wajumbe hao watatoka katika chama kimoja cha siasa.

Alisema dhana kama hiyo ikijengeka inaweza kusababisha dosari katika mchakato mzima wa mabadiliko ya Katiba, hivyo tume hiyo ichukue hatua za makusudi kulitolea ufafanuzi suala hilo.

“Mhesh imiwa War ioba lazima muwe wawazi, hadi sasa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya hapana anayejua muundo wake, vyenginevyo unaweza ukakuta wajumbe wote wanatoka katika chama kimoja”, alishauri Maalim Seif.

Aidha, Maalim Seif alisema uwazi pia unahitajika wakati wa kuundwa kwa Bunge la Katiba, ambapo mbali ya Wabunge wote na Wawakilishi wote kuwa wajumbe kuna wajumbe wengine 164, ambao watateuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa ushirikiano na Rais wa Zanzibar, lakini hadi sasa utaratibu gani utatumiwa kuwapata wajumbe hao haufahamiki.

Alisema ili kujenga imani kwa wananchi na kuepusha dhana mbaya itahitajika uadilifu mkubwa kwa Rais, hasa kwa wale watakaotoka Zanzibar basi kuna haja wawe angalau 55, na vile vile wasitoke katika chama kimoja cha siasa.

Aidha, Maalim Seif alisema hata katika suala la kura ya maoni itakayokuja kufuatia huko mbele, bado kuna masuala mengine ya kujiuliza, kuhusu utaratiubu upi utatumika, wakati wa kura hiyo kwa Wazanzibari wanaoishi Tanzania Bara na watu wa Tanzania Bara wanaoishi Zanzibar.

Alieleza kuwa hofu hiyo inakuja kwa vile sheria ya

Maalim Seif ataka Tume ya Warioba kuwa wazi

mabadilikko ya katiba inasema mabadiliko hayo yatapitishwa, iwapo angalau nusu ya wananchi wa kila upande kati ya Tanzania Bara na Zanzibar wataunga mkono mabadiliko hayo, hivyo

amehimiza mambo hayo lazima kwanza yawekwe wazi.

Kuhusu maoni ya wananchi juu ya mabadiliko ya Katiba, Maalim Seif ametowa wito kwa Wazanzibari kutoa maoni

ambayo yatazingatia zaidi maslahi ya Zanzibar, na kusema kuwa mfumo wa Muungano wa serikali mbili uliopo sasa kamwe hauwezi kuleta ufumbuzi wa matatizo ndani ya Muungano

yaliyodumu tokea Muungano huo ulipoanzishwa.

Aidha a l iwafahamisha wananchi hao kuondokana na dhana ya serikali mbili kwani haina maslahi ya nchi kwani hata rais wa Zanzibar huwa anabezwa katika kufanya baadhi ya maamuzi kwa nchi yake.

“Mimi sina haja ya kuficha wala kutafuna maneno, mimi ni muumini wa Muungano wa Mkataba, maana ni imani yangu kuwa muundo wa Muungano huu tuliuonao hauwezi kuondoa kasoro zilizopo hadi kiama”, alisema Katibu Mkuu wa CUF.

Alitoa wito kwa wananchi k a t i k a Wi l a y a y a M j i n i kujitokeza kwa wingi kwenda kutoa maoni kuanzia leo, na wasikubali kudanganywa na baadhi ya watu wanaotoa fedha kuwarubuni wakatoe maoni, kama wanavyowaelekeza wao.

Mapema, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Umma na Haki za Binaadamu wa CUF, Salum Bimani aliwataka Wazanzibari kuweka mbele maslahi ya Zanzibar katika zoezi la kutoa maoni ya katiba na kuweka kando itikadi zao za vyama vya siasa.

Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Hamad Massoud Hamad, kwa upande wake amesema Chama hicho kimezidi kuimarika kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwake, na kuwaomba wananchi waendelee kukiunga mkono ili kutimiza malengo yake ya kutetea maslahi ya Zanzibar ndani na nje ya nchi.

(Habari kwa hisani ya -OMKR).

Sheikh Selemani, alielezwa kuwa shitaka hilo halina dhamana hivyo atakwenda rumande hadi tarehe 18 mwazi huu, kesi hiyo itakapotajwa tena, ambapo mlalamikaji alitakiwa kuleta mashahidi wake siku hiyo.

MKUU wa Jeshi la Polisi, Said Mwema.

MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Bi Consolata Ngimbwa kutoka Electrics International ya Dar es Salaam anayesimamia

ujenzi wa Skuli ya Sekondari Tunguu.

Page 8: ANNUUR 1048.pdf

8 AN-NUURMUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012Makala

NA. JINAWASICHANA

1 AISA ABDALLAH HAFIDH2 BIAISHA ABDALLA MSANGI3 DIANA HAMISI ISMAIL4 HAJRA HEMED TESUA5 L AT I P H A R N U R D I N M O H A M E D

SHEDAPHA6 LIDYA A. SALIM7 MWANAMANI FADHILI TESUA8 MWEMA MOHAMED ABDALLA9 REHEMA JUMA HASSAN

10 SALMA ABDULWALL MOHAMED11 SAMEERA QASSIM QURAISH12 SAMIRA JAMAL MOHAMED13 WADA MAJALIWA MKUZO14 ZIADA TWAHA15 ADIA RAMADHANI MWINGIRIKO16 AISHA ISMAIL KIHAGA17 AISHA RAMADHANI SANGU18 AISHA RASHIDI KITUNDU19 AISHA ZAHOR SULEIMAN20 AMINA ABDUL MSUYA21 AMINA ALLY ATHUMANI22 AMINA BAKARI NYUMBA23 AMINA MOHAMED KHALFAN24 AMINA OTHMAN OMAR25 AMNE ABTWALIB YUSUPH26 ASFARA ALLY LEMA27 ASHA YUSUPH OTHMANI28 ASHURA AHMADI CHINYANYA29 ASIA RAMADHANI KIBASI30 ASMA ALLY SEUGENDO31 BILHA DAUD MAYALA32 FATHIYA HAMIS SHABAN33 FATMA ATHUMANI YUSUPH34 FATUMA BASHIRU ALLY35 FATUMA SALUM KHALFAN36 FAUDHAT IBRAHIM JUNGU37 FURAHA HUSSEIN MSUYA38 HAFSA OTHMAN OMAR39 HANAYYAH MUHAMMED SULEYMAN40 HAWA HARUN MSANGI41 HUSNA HASHIM ATHUMANI42 HUSNA JAMAL OMAR43 JAMILA RAMADHANI MAGWA44 KHADIJA AFACKY KHAMIS45 KHADIJA IDDY NYAGAWA46 KHADIJA MIRAJI HUSSEIN47 KHADIJA NOOR AHMED48 KULTHUM SUDI ABDALLAH49 KURUTHUMU HAMAD SALKA50 LAILA ABASY PELEMBELA51 LATIFA SALIMU JUMA52 LEILAT HUSSEIN SAGNALI53 LUT-FIYA KHAMIS SUMBA

Bismillahir rahmanir RahiimISLAMIC PROPAGATION CENTRE

ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA JANUARI 2013 KWA SHULE ZA IPC 1. KIRINJIKO ISLMIC SECONDARY SCHOOL-SAME

54 MAIMUNA MOHAMEDI KASUBI55 MARIAM OMARY ALLY56 MARIAM SALUM MYOWELA57 MARYAM CHANDE MATESSA58 MARYAM SHENI KIZEGA59 MASRA MUHAKIRU KABYEMERA60 MAYNASRA SIRRY ABDALLAH61 MUNIRA MUHIDINI RAMADHANI62 MUNIRAH MAULIDY KAZIMOTO63 MWAJUMA RAMADHANI NJETA64 MWANAIDI ATHUMANI MCHOMVU65 MWANAIDI MUSTAPHA MASONGOLE66 NAISHA MRIWA TSOKYO67 NAJMA SALUM NGARAWA68 NASRA SHABAN KIAME69 NEEMA LAILA MASOUD MYANZA70 NURU MUSA MWAKANGWALE71 RAHMA FUAD ABDALLAH72 RAHMA KOMBO TAIMOR73 REHEMA RAMADHANI KIBARATI74 RUKIA JUMA SIRA75 SADA SAID HAFIDH76 SAIDA ALLY HONDO77 SALHA AHMAD ALAWI78 SALHA ISSA ALLY79 SALMA ABDUL-FATAH AMIRY80 SALMA MASOUD OMAR81 SALWAH MAULID SASILO82 SHARIFA NAYNGE MSUYA83 SHARIFA RAMADHANI KALANGA84 SOPHIA SAID MUSSA85 SWAUMU HARUNI MANDARI86 TABIA SHABANI GUNDA87 TATU ABDILLAHI MOHAMED88 TWALHAT IBRAHIM KIONE89 WAHIDA HAROON SALUM90 ZABIBU KAYA KAZEMA91 ZAFARANI HANZURUNI KWENYEYE92 ZAINAB MOHAMED AHMAD93 ZENA HASSAN KAOGO94 ZUHURA HAFIDH HUDDI95 ZUHURA RICHARD SEMBUA96 ZULFA MSTIRI MALONGWE97 ZUWENA SEIF SAID98 LATIFA SAID MHINA99 SHARIFA IBRAHIM ISSA

100 AISHA MOHAMED KOMBO101 FIRDAUSI ALLY SULEIMAN102 SWABRINA HAMID MBATA103 ZULEKHA ABASI104 LATIFA HASSAN MAGAYU105 AMINA ISMAILI DINALLI106 AMINA NUHU MKUMBWA107 ASHA RAJABU MWETA108 ASMAA IDDY RAMADHANI109 FARIDA HEMEDI MBULI110 HALIMA RAMADHANI111 KHADIJA RAJAB IBRAHIM112 KIDAWA HASSANI MNZAVA

113 LEYLA RAJABU MPIMBI114 MWAJABU FADHILI BASHIRI115 MWANAIMA ABDI ABDALLAH116 NADHUHA HARUNA MSALA117 SALHA SALMINI SHELIMO118 SAMIRA AMANI MTENGA119 SANIRA S. MMASA120 SUMAYYA RASHID OTHMAN121 SWAIBA SULEIMAN BILALI122 ZAHRA HAFIDH LIYIMO123 ZINIRA HAJI ABUU124 ZULPHAT KHAMIS125 HAWA SHABANI126 REHEMA ABDUL MBAGA127 ASMAA R. KIDUBA128 ASMARA MAULID129 ZULFA ALY KHAMIS130 ASHA ABDALLAH JUMA131 ASHA ISMAIL GULANGA132 ASMA ALLY ISSA133 CHIKU MUSTAFA134 FATMA OMARY MOHAMED135 HALIMA MOHAMED MTAMBO136 MWAJUMA SALUM SINGO137 NASREEN ZUBERY MYOVELA138 TAMRINA ALAWI BARAKATI139 MARIAM HASSAN MTEMBA140 FAUDHIA RAJABU MTENGULE141 MWADAWA MASUDY IDDY142 ZAMZAM OMARY ABRAHMAN143 ZUHURA RAMADHANI MOHAMED144 ASHA ALLY JUMA145 NURATH AYUBU YAHYA146 ZEANA SAID SUDI147 AISHA HASANI SAID148 AISHA MOHAMED HASSAN149 ALMASI IDDY150 AMINA MAJALIWA ASUMANI151 AZIZA SHAFII AYUBU152 BATUL KHALID HASSAN153 FADIA JAFARI MWANGA154 FATUMA MBWANA155 HADIJA ATHUMANI MBWANA156 KHADIDA SHEMAHONGE157 MARIAM BENDERA JUMA158 MARIAM HAJI ABEDI159 MARIAM MSABAH MSAKA160 MARIAMU HAJI HATIMU161 MARIAMU RASULI162 MASHA NASORO ABDALLAH163 MWANAHARUSI JUMA KIMOSA164 MWANAHASWA HASSAN165 MWANTUMU MANSOORY166 NASMA RAMADHANI ALLY167 NASRA MOHAMED KADIBO168 SAUMU SAID PACHIDEDI169 SHAMIM KAJILU170 SHUFAA MRISHO MFINANGA171 SOPHIA MUSTAFA SEMWAIKO172 ZAINABU OMAR HASANI

Page 9: ANNUUR 1048.pdf

9 AN-NUURMUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012Makala

173 ZENA SARIMU LUKOSI WAVULANA1 OMAR AUNI MASANGI2 SAID NURU IDD3 OSAMA YAHYA MWASHA4 ALLY SALIM5 MUSTAPHA KASSIM MUSTAPHA6 ANUR SALIM MOHAMED7 HAFIDH BARAKA8 RAJAB SULEIMAN SWALEH9 PAULO ABIHUD SALIMU

10 RAMADHAN RASULY11 JASSAM KHALIPHA HUSEIN12 AHMED AWADH13 ABDULKARIM ALLY SAID14 HALIFA HASSAN NGAULAH15 AHMED HAMZA ALLY16 IBRAHIM ISMAIL KIHAGA17 YUSUF JUMANNE SALUM18 BASHIRI RAMADHANI HALIFA19 HALIMA ABDALAH SHOMARY20 NURDIN IBRAHIM KIVINA21 ABDUL-AZIZ ABDALLAH SADRUY22 STONE NUREN JIM ROGER23 HAMISI HASSAN MBIRU24 HAIDARY YAHYA SHABAN25 ABDULKAREEM SAEED NYAMATAMA26 MUSSA FADHILI AMIRI27 OTHMAN JUMA ATHUMANI28 TTUUR ABOOD SALEH29 ABUU MUSTAFA KISATU30 SAIDI BUSHIRI MKWANJERA31 ABDILLAH MBAROUK SALIM32 AL-AMIN MUSTAPHA SHEMNG’ONDO33 KHAMIS MIRAJI ALLY34 IDDY DAUDI IDDY35 MUHARAMI MADADI AMRI36 SALEHE MUSSA MALONGWE37 SHABANI KARUME CHAUSA38 ABDUL-RAZAQ HASSAN MUHAMMED39 ANWAR SAIDI SELEMANI40 MOH’D KHAMIS SALIM41 SEIF ALY LYAUKO42 AMRAN OMAR ABDUL43 PINDE TWAHA ALLY44 MAHMUD ATHUMANI HAMISI45 SALIM MUSSA RAMADHANI46 SHAFII JUMANNE MSAGO47 ABDALLAH JUMA ISSA48 HASSANI BASHIRU ALLY49 AHMED HADJI MDEMU50 MRISHO AZIZI MILIMO51 MUSSA ABDULLAH KULAVA52 YUNUS BARUANI KASSIBA53 ABDULWAHID ABDULRAHMAN MIRAJI54 HASSAN MOHAMED ABBAS55 JUMA SALUM MTORO56 KASSIM PINDU KORONGO57 MOHAMMED ALLY NASSOR58 TARIQ ABDUL-AZIZ KHAMIS59 ABDULKHALIM OMAR MUHAMMED60 KILEMILE ASHIRI KILEMILE61 MOHAMMEDY RAMADHANI MADAMBO62 SHAFII OMARY SALEHE

63 AL-KARIM YUSUPH NJAU64 HAMISI RAMADHANI MKIMA65 HATIBU RAMADHANI HATIBU66 HASHIMU HAMDANI KAONEKA67 HASSAN HAMIS SHEMAINDA68 LAGHRISS RASUL DAUDI69 RASHIDI BARIKI OKAMA70 ALLY JUMA GEREZA71 MASUD SAIDI RAMADHANI72 ALLY ABDALLAH JUMA73 FEISAL SEIF MOHAMMED74 MOHAMMED RAMADHANI ABDALLAH75 RAJABU JUMA MWINYIHAJI76 SAIDY RAJABU SAIDY77 ISMAIL IDDY KIDOGA78 KASSIM SALUM MKOPA79 MOHAMEDI MASHUHURI SAIDI80 MUAMAR AHMED BOBSATH81 ABDALLAH SALUM KAKIMA82 MUSSA HASHIM RASHID83 AHMAD DAUD MSANGI84 ISSA MWIDADI JUMA85 OMARY KAHMSI MBWANA86 ABDULRAHMANI HAJJI MNYIKA87 ARAFATI ABEID MWANGA88 ISMAIL JUMA MDUNGUMA89 SAID ABDALLAH JUMA90 ABDILLAH KIMWERI TEMBA91 ISSA KASIM MSARO92 OMARI SILIMA MAKUNGU93 SAIDI (SALMIN) DANIEL KIVUYO94 ASHRAF MUHIDIN95 HARITHI YAZIDU HAMZA96 ABDILLAH HUSEI SABUNI97 IBRAHIM SAID ISSA98 JUMA JAFFAR MJENGA99 AMUOR KHAMIS MOHAMED

100 ADINANI RAMADHANI101 JABIRI AHMADI NYANGASA102 RAMADHANI ISMAIL KIWANGO103 BARAKA ABRAHMANI DAIBAH104 ABDALLA IZADIN MUGHAMBA105 HASSAN RAMADHANI106 OMARY BAKARI BARAJAH107 SALEHE KHATIBU KIMLOLA108 YUNUSI SALMIN RAMADHANI109 DAUDI A. MWITA110 HALFAN KUNA MSUYA111 RAMADHANI ISMAIL RAMADHANI112 ABUBAKAR OMARY ABUBAKAR113 MICKDADI KUDURA RAMADHANI114 OTHMAN KASSIM OTHMAN 115 RAJAB IBRAHIM RASHID116 DUMHAJIRA JUMA117 KIVALE SHUKURU KIVALE118 HUSSEIN OMARY MNZAVA119 FREYJHAM OTHMAN120 HABIB RAMADHANI SWDI121 IDRISA MUHIDINI ISMAIL122 MUHARAMI ISMAIL RASHID123 RAHIM ADAM MUSSA124 HAFIDH SAID MNUNDUMA125 JUMA SALUM JUMA126 ABUBAKARI MOHAMED NAMONDE

127 MUSHRAH SHAIBU KANYOCHOLE128 MLECHE SALUM IDDI129 MUHAJIRINA JUMA NYONGOLI130 FARIDY SALUM ABDALLAH131 RAJABU NANANA MPIMBI132 SELEMANI JUMANNE KABUHI133 RAJABU HAMISI MLANGI134 RAMADHANI KHALIFA135 JUMA ABBAS SHEKIDELE136 SEIF KULEBA IDDY137 YUSSUF ABDALLAH138 ABUTWALIB HAMID MSHERI139 FEISAL MOHAMED SALIM140 RAMADHANI KHATIB OMAR141 ABDI FADHIRI142 MBWANA RASHIDI SHEKIVUNGE143 MOHAMED ATHUMANI144 ABDULLAH RASHIDI SEIF145 MOHAMED RAMADHANI HOSSENI146 IDRISA OMAR MAHANYU147 OMAR IBRAHIMU OMARY148 MOHAMEDI ABDULLAH149 ANUARI SWAHIB CHAMBO150 MUSSA ABDI NYAKI

WASICHANAS/ JINA1 LUKIA KHALFANKI SALUM2 ASYA SWALEHE ALLY3 MARYAM SALEH ALLY4 ZAINABU AMRI RABU MZEE5 ASHFA ABDUL NJOVU6 ZAINABU MUHAMMED NDULI7 MARYAM ADAM BAJAH8 SWALHA ABDALLAH9 AMINA HAMIS ALLY

10 ALFATI ATHUMANI MWEGERO11 LEILA AZIZ LOGOME12 HIDAYA ABDALLAH13 ESHA TWAIBU LUNAS14 ANIFA JUMA15 ASHA SIMAI ALLY16 SIBELA H. TIMBULO17 HALIMA SALUMU KAPONDA18 ZUHURA ISMAIL MYOELA19 SALMA H. HABIB20 RAHMA MOHAMED HASSAN21 NEMHINA HAJI22 ZAFA RASHIDI ALLY23 AMINA HASSAN NZARO24 ARSHI BARAKA SHIGILI25 LATIFA CHUMA ATHUMANI26 RIZIKI AHMAD NAMGAGA27 SALAMA ABASI BUNGARA28 SAUDA OMARY RASHIDI29 WARDA OMARY PAZI30 ZAINA S. MWAYOLE31 NURAT KHATIBU BLAZA32 AZIZA SELEMANI KEA33 MWANAKOMBO MOHAMEDI

2. MKUZO ISLAMIC HIGH SCHOOL - SONGEA

MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE (JOIN INSTRUCTIONS) YANAPATIKANA SHULENI KIRINJIKO NA KATIKA VITUO ULIVYOFANYIA MITIHANI.

N B : WA L I O K O S A K I R I N J I K O WAMECHAGULIWA KWENDA MKUZO ISLAMIC HIGH SCHOOL

Page 10: ANNUUR 1048.pdf

10 AN-NUURMUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012Tangazo

34 LATIFA HUSSEIN MOHAMEDI35 SHAMILA YUSUFU SHABANI36 ZUHRA MUSSA JUMA37 NEEMA MOHAMEDY MSHANA38 NURU ABDALLAH AWADH39 NURU ISSA TINDWA40 SWAUMU SALEHE SABO41 FADHIRA HASSAN MDOWE42 AMINA ABDALATIF MAPONDELA43 SAKINA HAFIDHU MKINDI44 KHADIJA ALMASI45 ZAKIA SHABANI46 KHADIJA RAMADHANI MSIBA47 SHIEL ABDALLAH48 FATUMA SALIMU KOMBO49 LAILA KHAMISI50 ZULFA AGUSTINOM FUMBIKA51 AMINA KISAKENI ABUBAKARI52 ASHA ALLY ABDULRAHMAN53 ASIA HAMIDU SENODKI54 HADIJA ATHUMANI MAULID55 HALIMA SHABANI SALUMU56 MARIAM SALIM SAID57 MARIAM SALUM ISLAM58 MWANAMKASI SHAME IDDI59 SAIDA JOHN MBEZI60 MWANAMVUA SALUM MBAI61 KHADIJA SAIDI JUMA62 MARIAMU HUSSEIN MAGANGA63 KASHINDE JUMA KASWAGA64 AISHA YUSUFU MANDARI65 MOSHI MUSTAPHA MPANGACHUMA66 TATU ATHUMANI DIO67 SABAH SAUM ISLAM68 MAGUNO JOHN TUPANDANE69 ASHA ANANASI TAMIMU70 AZIZA HILAL HAMIDU71 HAWA HUSSEIN SOMBWE72 SOPHIA ABUU MWISHEKHE73 HADIJA SUNA KIPANZI74 AMINA ATHUMANI HAMISI75 HAWA MOHAMEDI HARUNA76 ASMA MGAZA KOMBO77 SHAMSA HAMZA KWEKA78 FATMA HABIBU ABDALLAH79 FATUMA AMIRI MAKUNGANYA80 NASRA MUSTAFA PAZI81 REHEMA SHABANI HEMEDY82 ZAINAB NYANGE MSUYA83 NUSURA HUSSEIN RAJABU84 ZAMDA KASSIM MUHAMMED85 RABIA ABASI JUMA86 SALMA MAJIDI KILIMA87 HABIBA MIKIDADI MUSSA88 STELLA CHARLES ZAKAYO

WAVULANA

1 MIHINZO RUPIA JFAR2 BURHANI KHAMIS SALUM3 FARAJA MOHAMED TANGI4 KITAH ABDALLAH BAJAH5 IDDY SHABAN NGULLAH6 MUHAMMED HAMIS BANDA7 ABDALLAH HARUBU WASIR8 SELEMANI HUSSEIN MWENESI9 HAMISI SELEMANI ABDULFATAH

10 HASSAN HUSSEIN MWENEOSI11 NURDINI O KONDO12 SALUM KHAMIS SAID13 IBRAHIM AHMED MZOTA14 ABDULRAHMAN M. LIDEA15 HARUNA S MWAMBUSI16 AWADH ISMAIL17 YASINI MBARAKA18 HIKMA KASSIM ABDALLAH19 HASSAN H. TIMBULO20 JUSTINE YALED MWANG21 JUMA J MWANGU22 KHATIBU T BARAJA23 UWESU KHAMIS KWEJA24 ADAM SALUM

25 ABDI MUSSA ABDI26 AYUB NASOR MWANGA27 FARID MOHAMED ABDULRAHIM28 HAFIDHI ADAMU BAKARI29 IMRAN HAMIDUN KIMARO30 JUMA MUSTAFA LESSY31 MUSSA JUMA SHEGWANDO32 HUSEIN MUHAMMAD ALLY33 PETER GERALD SAMBAI34 SHEHE IDRISA MBWANA 35 YASSIR THABIT TARIMO36 IBAHIM IDD SILAYO37 SAID MUSSA LIHOMBA38 MAULID ABDILLAHI39 RAMADHANI AMIRI HOZA40 ASHIRAFU HIRI CHONA41 IDDI ABDULI MWISHWA42 JUMA RAJAB43 IBRAHIM ZUBERY44 RAHIM R. MWINCHANDE45 MAARUFU OMARI NANG’UTA46 RAJABU OMARI MRUTU47 ABUBAKAR ABDUL MALLYA48 KESSY MUHAMMAD KESSY49 HASSAN BAKARI NGETI50 BAKARI RAMADHANI SINGANO51 JAMALI MNDOLWA52 ATHUMANI HAMZA OMARI53 FEISAL JUMA AMOUR54 AMMY MUHIDIN ABDALLAH55 ABDUL KARIMU SWADAKATI56 OMARY ABDALLAH KILINDO57 HAMID JAFARI MUKI58 BILAL SALEH JABIR59 THABIT ABDUL GWAKA60 ATHUMANI MOHAMEDI MUSSA61 MUNDHIR HILAL SEIF62 YASSIR NASSOR MUHAMED63 YAKINI SADIKI ABDULI64 ZAHIRI RAMADHANI KOLOWA65 AL-IMRAN RAMADHANI SWEDI66 MAGANGA BAKARI KIONGA67 ISMAILI SELEMANI SAMADU68 ABDUL JOSIAH KULWA69 OMARI SALEH SHOMARY70 ALLY HARUNA MSHOMI71 DANIEL JOSEPH SWAI72 HAMMAM MOHAMED LIPAMBA73 FADHILI RAMADHANI KALOWA74 ABUBAKARI RAMADHANI MUYA75 RAMADHANI ALLY KIJANGWA76 HAMAD STAMBULI ADAM77 ABOURAKARI MASOUDI KIPANGA

3. NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL WASICHANA

S/No JINA1 ADIJA R. RAJABU2 AFISA ABBAKARI IDD3 AISHA MAJID HUSSEIN4 AISHA S. ABBAS5 AMINA ABDILLAH ELIMI6 AMINA IS-HAQA NYEMENGA7 AMINA MOHAMMED HAMIS8 AMINA MUSTAPHA9 AMINA NASSOR MAULID

10 ASHA SELEMANI ABDALLAH11 ASHURA HAKIM KATABAZI12 ASMAA HAMDAN SALUM13 ASMAA IDD MASOUD14 ASMIN ISMAIL JUMA15 AZIZA MAKONDA ABDALLAH16 CHIKU ATHUMAN KIZINDO17 DADA OMARY ABUBAKARY18 DOTO MAULID OMARY19 ESHA SALUM KALEMBO20 FARIZANA BASHIR21 FATUMA ABUBAKARY22 FATUMA ALLY MOHAMMED23 FATUMA BAYUMI MUNIS

24 FATUMA HAJI RAMADHAN25 FATUMA HAWAMU HASSAN26 FATUMA HUSSEIN JUMA27 HABIBA ISSA ABDALLAH28 HAFSAH SWALEH ATHUMAN29 HAFSAT ISSA ABDALLAH30 HAJRA SALUM SHABAN31 HAMIDA R. RUDETE32 HANIFA R. IBRAHIM33 HIDAYA TWALIB KAMGISHA34 HINDU HAMZA MATAGIRA35 HUDHAIFA YASSIN36 HUSNA HUSSEIN NASSOR37 HUSNA KHATIB RAMADHAN38 HUSNA S. LUSENENE39 JALIA SHIGILI40 JOHA AMANI DAUDI41 KHADIJA GHANIM SSETUMBA42 KHADIJA LAMECK MASHENENE43 KHADIJA RAMADHAN LWAMO44 KULWA MAULID OMARY45 MARIAM JUMA KEJEMBE46 MARYAM H. BALEKAO47 MUTLAQ SALEH48 MWAMVUA HUSSEIN SHOMARY49 MWANGE ILUNGA KAPUNGU50 MWASITI YUSUPH PAZI51 MWAVITA M. HASSAN52 NAJATH NASSOR HAMOUD53 NAJMA IBRAHIM AYOUB54 NASRA ABDALLAH HAROUB55 NURU SULEIMAN MBAKILEKI56 RABIA ABUBAKARY57 RAHMA IDRISA RUBENI58 RAHMA J. JOHN59 RATIFA RASHID PANDISHA60 REHEMA BADIRU HUGO61 REHEMA HAMIS IDDY62 SADA MUSTAPHA MGAWE63 SAKINA MIRAJI RAJABU64 SALAMA C. SINGIJA65 SALMA IDDY MNEMA66 SAMIRA MABEJA RAMADHAN67 SAT-HIYA YASSIN ABDALLAH68 SAUDA SWALEHE GWOTA69 SHAKIDA AZIZ IDRISA70 SHAMSA HILLARY NASOR71 SHANI SALEH ZACHARIA72 SIPHA HASSAN MOHAMMED73 TATU ADAM JUMA74 TATU SAIDI HARUNA75 TAUSI JUNI ALLY76 TAUSI SWALEHE NASSOR77 TIBA HAMIS ATHUMAN78 TITI NASSOR KAPAMA79 TITI SAID MLYOMI80 ZAHARA RAJABU MDULU81 ZAINAB MSHINDO SHOMARY82 ZAINAB NKURANGA MARIJAN83 ZAINAB RASHID MIRAJI84 ZAINABU B. MOHAMMED85 ZAITUNI J. HARUNA86 ZAKIA SHABAN RAMADHAN87 ZEANA HEMED KHALFAN88 ZEANA SAID SOUD89 ZIADA DAUD HASSAN ULAYA90 ZINATH IBRAHIM MATENGA91 ZUHURA M HAMISI92 ZUHURA MASELO MARWA93 NILAM SULEIMAN YUSUF94 ZAINABU SAIDI MMANYWA95 SAFINA YASINI YUSUFU96 KHUWAIDA SELEMANI MALICK97 ISSA RAMADHANI IDDY98 \MAISARA JUMANNE99 SHADYA MUSTAFA MSENGA

100 MNIRA MZIRAY BADRU101 ASHURA JUMANNE LOYA102 SHELLAH SAID MMANYWA103 RUKAIYA ALLY ISSA104 SHARIFA RAJAB HUSSEIN

105 MARIAMU HAMISI SOA106 ARAFA IDDI HASSAN

WAVULANA1 ABDALLAH NASSOR MOHAMMED2 ABDLLAH M. ABEID3 ABDUL ALIM IS’HAQ NUHU4 ABDUL-KARIM HAMIDU MWANANDEGE5 ABDULKARIM JUMA JABIR6 ABDUL-RAUF AMINU7 ABUBAKARI SHABAN MBAILWA8 ABUL HASSAN9 ABUNAIMU LEMA NEMES

10 ADNAN SULTAN SAID11 AHMAD KHAMIS MUSSA12 AHMADA YAKUBU BUSHUMBILO13 AHMED HUSEIN14 ALLY J MALANAYA15 ALLY T. SAIDI16 AMAL IBRAHIM HASSAN17 ANAS OMAR ANAS18 ARAFAT S. SWADI19 ATHUMAN MOHAMMED20 BARAKA A. MSONGA21 BARAKA K. AMANI22 DAUDI HAMISI DAUDI23 DEWJI ATHUMAN MPUTI24 EDDY KELLO RASHID25 FAISAL TAMIM KHALFAN26 FIKIRINI KASSIM IDD27 GULAMALI HAMISI SAID28 HAMAD SALUM MHOZYA29 HAMDUNI ALLY SAID30 HAMISI ISMAIL NASIBU31 HASSAN ELIYASA BUHALIJE32 HASSAN IBRAHIM HASSAN33 HASSAN MUHIDIN34 HASSAN OMARY SHABAN35 HUSSEIN MALUNDE36 IDDI BUHANZA YAHYA37 IDRISA ISMAIL MASOUD38 IDRISA RAJABU SALUM39 IDRISSA OMARY SHARIF40 ISSA H. RMADHAN41 ISSA AMAN ABDALLAH42 ISSA JUMANNE BAKUNDA43 JAMAL MAFTAH KANKALA44 KAMALUDINI A. MAHMOUD45 KARIM RAMADHANI KATAKULA46 KASSIM KHAMIS MHOMBA47 KHAMIS OMAR MISIGARO48 KIEMBA IS-HAQA MOHAMMED49 MAUDUDI HAKIM50 MAULID MAJALIWA ALLY51 MIKIDADI HASSAN ABDALLAH52 MIRAJI SAID FUNDIKIRA53 MOHAMMED A. AYOUB54 MOHAMMED FADHILI ABDALLAH55 MOHAMMED FEROUZ KORONGO56 MOHAMMED H. BALEKAO57 MOHAMMED H. RASHID58 MOHAMMED OMARY JUMA59 MOSHI ISSA60 MUHAJIRINA JUMA NYONGOLI61 MUSTAPHA HAMISI MAKONGOLO62 MUSTAPHA MOHAMMED63 NAJIM NASSOR KATALA64 NASHIR J. HOTI65 OMARY YAHYA ALBOSSY66 RAHIM RAMADHAN MASOUD67 RAMADHAN ABDALLAH68 RAMADHAN JUMA KIRUGE69 RASHID JUMA FUNDI70 RASHID MRISHO KISANZO71 SAID A. MKIWA72 SAID ALLY OMARY73 SAID BARGHAISH NASSOR74 SAIDI MOHAMMED SAID75 SALAMADA SADI MSHULE

Page 11: ANNUUR 1048.pdf

11 AN-NUURMUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012

17 ADAM FAKHI ADAM18 SEKI AMI SEKI19 ABOUD ABDALLAH SALIM20 ISMAIL ABDUL-RAHMAN MUSHI21 ABDALLAH ALLY MASHAUSI22 HUSSEIN KHALID MOHAMED23 ABDUL-RAHMAN MOHAMED SHITE24 KHALID MOHAMED OMARY25 ZAHIR KHAMIS SULEIMAN26 ANWAR ZAHOR SULEIMAN27 HARUNI ISSA ALPINA28 AKRAM SALUM ALLY29 ABDUL-MALIK MOHAMED MVOGOGO30 RASHAD AMOUR RASHIDI31 ANNUR HANAFI HAMISI32 MUSSA MIRAJI MSUYA33 JUNEIDY ALLY OMARY34 ABRI TWALIB MRINGO35 YAHYA BAKARY NASSORO36 ABDULRAHMAN ILIASA RAMADHAN37 OMARI SIRAJI BALEKAO38 YUNUSU IBRAHIM HASSAN39 ABDULLAH MASOUD NASSOR40 ABUBAKARI MWIGAMBWA MFAKI41 MOHAMED SALEHE MASOUD42 MOHAMMED RAMADHANI MWASONGO43 FEISAL YAHYA MGENI44 SUHAYL SULEIMAN ALLY45 ABDUL-KARIM MALILO KISINZAH46 SALIM MOHAMED ISSA47 ABDALLAH ALLY MAZRUI48 MOHAMED SADI LIPELA49 YUSUPH HAFIDH MSOFE50 ABDULHAMID SHEIKH KAISARY51 HAJI AHMED SADIKI52 ZAKARIA DOTTO LELO53 KHAMISI ALLY RAMADHANI54 YAKUB ISSA MAIGE55 IBRAHIM AMIRI MATIMBWA56 SAIDI MASOUD SAID57 SAID KHAMIS ASHOUR58 SAIDI JUMANNE SINDE59 MAKAME HAJI TWAHA60 FAHAD THABIT KOMBO61 ARAFATI RAHISI MSANGA62 JUMA IBRAHIM SULEIMAN63 ALLY RASHID ALLY64 ABDUL-KARIM ISMAIL HASSAN65 HAMADI ALLY ABDULRAHMAN66 FADHIL YUNUS MBAGA

DAEE YOUTH ART GROUPInakutangazia Semina ya Ndoa na Talaka kwa mujibu wa Qur-aan na

Sunnah itakayofanyika.Siku: Jumamosi na Jumapili, kwa wiki 12.

Kozi itaanza Tarehe 15-12-2012 Saa 2 Asubuhi- 8 Mchana.Mahali: Answar Islamic Model School - Kinondoni Studio

Vyeti vitatolewa kwa watakao maliza mafunzo mpaka mwisho, Mada zitakazofundishwa ni pamoja na, Taratibu ya kutafuta mchumba, sifa zake, Ndoa na Nguzo Zake, haki za Mke kwa Mume na Mume kwa

Mke, Eda Talaka na athari zake, Mirathi kwa mjane, Ndoa ya Mke Zaidi ya Moja na taratibu zake, Malezi ya Watoto, Jimai na Migogoro ndani

ya Ndoa n.k.Kwa mawasiliano zaidi piga simu

0715-24 7262/ 0715- 114373.Nyote mnakaribishwa Wake kwa Waume

76 SALMIN NABII JABIR77 SALUM MBARAKA SALUM78 SALUM MOHAMMED MLILA79 SALUM OMARY SALUM80 SAMIRU MAULID MUSSA81 SHABAN RAMADHAN82 SHAFII JUMA MUCHAULU83 SHAKIRU SHAFII SHABAN84 SUDI M. ALLY85 TARIQ HAMDUN86 YUSUPH ABUBAKAR KEABA87 YUSUPH JAFARI BUNDALA88 KAIMU AHMED AMASI89 NAJIMUDIN MBATINA90 ASHRAF KASSIM BARAKA91 ALMAHADI MURSHID92 MUSTABA ABDULSWAMAD93 ABASI SAIDI RAMADHANI94 SHAMTE KHAMIS CHOBBO95 HASSAN KHALID ABDUNULE96 SSALI ABDULBASITI KIGUNDU97 MIKOTA ABEID KARENGA98 AKBARU MUHOZA RAMADHAN99 RATIBU SHABAN MUGANGA

100 MOHAMED ATHMAN101 HUSSEIN YASSIN HAMIM102 AHMAD KASSIM HUSSEIN103 RAHMA ATHUMAN MUNA104 YASIRU MOHAMED105 NASIQ MUZAWALU106 SALUMU HAMIS KILOLO107 HUSSEIN MUHAMMAD KILONGO

4. UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOLS/ JINA KAMILI1 AMINA ADAM SINGANO2 GHANIA ABDALLAH ALLY3 AIKAMA NASSORO ALLY4 FATMA HASSAN MOHAMMED5 HABIBA ALLY MOHAMMED6 RAYA HAMAD MOHAMMED7 AISHA HUSSEIN KITWANA8 FATMA KARLAL ABDULAZIZ9 SARAH BASHIRI KISUMOH

10 MAUA SUDI SAIDI11 ASIA SAIDI MBWELA12 RAHMA RAMADHANI TESSUA13 RAYA SAIDI SALIM14 ZAINA RAMADHANI BILALI15 SWAFAA YAHYA MADENGE16 HAFSA RASHID ALLY17 FURAHA ZAIDI HUSSEIN18 MWANSITI MOHAMED NJAMA19 MARIAM NASSOR SHEBE20 NAJMA SHABAN GEYA21 NASRA RAMADHANI NJEMU22 HADIRA THABIT HASSAN23 FIRDAUD ALLY SALIM24 RUKAIYA SAIDI BAKILI25 ZULFA AHMAD MASINDANO26 MWELEZA HAMZA JUMA27 HALIMA MTUMWA RAMADHANI28 FATMA SHUKURU KAMPATA29 FATUMA AHAMAD NGUYA30 MARYAM KARMAL MSUYA31 ANAFY HUSSEIN MANYAI32 SAMIRA ALLY MOHAMED33 SWABRINA NUHU RAMADHANI34 AZIZA AHMADI MUSSA35 MARIAM MUSSA ABRAHMANI36 RAPHIA MOHAMEDI MBUGUNI37 GHALITYE SALUM MSAFIRI38 SALMA SADIQ KASSIM39 NURU MOHAMED HAMAD40 AISHA SEIF HEMED41 AISHA ALLY KOMBO42 HAJRA YUSUPH MAHUNYA43 ROSHNY HUSSEIN SAJAN44 RUQAYYA OMAR KAI45 AISHA NASSOR MBAROUK

46 HUSNAT OTHMAN RAMADHANI47 ZAINABU HALFA HASSANI48 NAJMA ZUBERI BILALI49 MARIAM IBRAHIM SAEEDIA50 KABULA MOHAMED MIRAMBO51 FANSWARI ABDUL-HAMID YUSUPH-ASALY52 ASHURA RAJAB JUMA53 AISHA JUMANNE HAMIMU54 RAHILA SALUM ISSA55 MARYAM SALUM KITANGA56 LATIFA MUSTAPHA MOHAMEDI57 SALAH MSHINDOMUYYAGA58 ZUBEDA OMARI AWESO59 SAMIRA OTHMAN MGOMI60 UMMY MBWANA MRAMI61 ZAHARA HASHIMU KAIJAGE62 FADHILA SWALEHE JAFARI63 NASRA H MBEGA64 HUSNAT HASSAN MTEPA65 SAMIA SAID OMARI66 SHUFAA SALUM SAID67 HALIMA MUSSA MABIRANGA68 SHEKHA VYAMUNDU AMANI69 ZAIDAN HASSAN OMARY70 AZIZA YASSIN SADICK71 NASRA JUMA HASSANI72 SAMYA FAHAD MPONDA73 TUNU ABUU SHIBU74 AISHA HASSAN SHABANI75 MUTHAINA NASSOR ABDALLAH76 JOHARI ABDUL-RAHMANI SHAIBU77 HABIBA ASEDY CHOGA78 SADA ABDULRAHMAN ALLY79 FATMA ADINANI MSANGI80 MWANAIDI SELEMANI KIBASAME81 FATUMA MUSTAPHA KIPANDE82 NASRA HAMISI MWINYI83 HASINA MFAUME ABDULRAHMAN84 AZZA SEIF SAID85 ASHURA SAID MPULLA86 ZAINAB SAID NUNGU87 ASHA ATHUMANI HASSANI88 AISHA MOHAMED OMARY89 NAILA HASSAN SAID90 AZAMBE MAKATU MNEKEYA91 RIGEYE FAUZ SALUM92 SHYROSE ATHUMANI MSUNGWA93 MISKI SWAIBU ABDALLAH94 SABRA RASHID AHMAD95 AMINA HEMEDI MBAROUK96 HASSNATH HASSANI AMIRY97 RADHIA JUMA NGASI98 PILI BOAZ KITANGA99 JANNAT SALUM MBWANI

100 SADA CLETUS MOSHI101 AISHA ATHUMANI MLEKWA102 RIZIKI HUSSEIN MSUYA103 FATMA AHMED KIHERE104 MWATATU SWALEHE BYAROG105 ZULFA OTHMAN KIBWANA106 KAUTHAR JAMAL107 FATMA MARINGO UHUMBI

WAVULANA

S/N JINA KAMILI1 RAZACKIMY SHAIB MAKANDE2 ABDUL-KARIM SWALEH NJAKU3 HASSAN FERUZ KAHAMBA4 MUHAMMAD ALY HAMAD5 ALLY ABDULRAHMAN NYENYE6 YUSUF SALIM ISSA7 ALLY ABDALAH SALUM8 AKRAM NAFIISU KALISA9 HASSAN ABDUL KAWAMBWA

10 MBARAKA GHARIBU SWALEHE11 ABID ISSAC KUMBI12 ABDULLATWIFTABRANI KINOJI13 OMARY YUSUPH SAIDI14 FEISAL SULEIMAN HAIDAR15 SHABAN KHALFAN SHABANI16 NASSOR HAMAD ALLY

67 SHAMIR ALLY AWADH68 ARAFATI KIBWANA BWANGA69 IDRISA MOHAMMED KAONEKA70 ABDIRAHIM ABDALLAHMAHAMUD71 MUKHATAR ALLY AHMED72 MKAMI MUSSA MKAMI73 MUSSA MUHAMMED MUSSA74 AHMED RAMADHANI MAYOMBE75 SALEHE RAYMOND PETER76 FUAD MSABAH ALLY77 MOHAMED FARAJI SAIDI78 MOHAMMEDY HENRY ATHUMANI79 KHAMIS TWAHA HAMISI80 TARIK SAID HEMED81 OMARY HUSSEIN MUSSA82 HAMZA MAHAMOUD HAMZA83 SAIDI RAMADHANI MRISHO84 ISMAIL YUSUFU MBAGA85 ABDUL-KARIM HAMIS ALLY86 HAMISI HASANI MAPANDE87 ALLY BILAL KITAPPA88 MBARAKA HASSAN MGAWE89 ABDUL-AZIZ SHABAN KAPINGA90 IBRAHIM ABDILLAH HASSAN91 ISMAIL BARAKAT SALEH92 RAMADHANI MOHAMED MKAMA93 ABDUL-SHAKUR SHAHIDU SHAABAN94 SADAM ZEHPANIA LULANDALA95 ISSA MOHAMMED ISSA96 ALLY ABDI MBAROUK97 BILAL ZUBER MOHAMED98 ABDUL-RATIF ALLY MSHAM99 ALLY HAJI MWELUWE

100 YUNUS SENZOTA LEVIRA101 BAKAR SEIF SAID102 ABDIKADRI HARUN MDOE103 ABDUL-HAIDH ABDDUL-RAHMAN HAFIDH104 OMARY RAMADHANI MAGEMBE105 SULEIMAN FARAJI MSANGI106 IBRAHIM HARUNA MWAMBOGOSO107 ALLY HARUNA SEBARUA108 IDDY JUMANNE MSUMAGILLO109 SAIDI SHABANI SAIDI110 ABDUL-AZIZ HUSSEIN MAINGO111 ALLY SULEIMAN ALLY112 YASIN HAMISI MBAYA113 SHABANI MOHAMED WAZIRI114 MUDATHIR ANUWARY ALLY115 ABDUSWAMADU KARIM

Maelekezo ya waliochaguliwa kujiunga na shule (Join Instructions) yanapatikana shuleni na katika vituo ulivyofanyia mitihani.

NB:

Wale waoliokosa nafasi ya BWENI katika shule ya Kirijiko wanashauriwa wafike Ubungo Islamic High School kwa ajili ya kupewa nafasi ya kujiunga na MKUZO ISLAMIC HIGH SCHOOL - SONGEA.

Page 12: ANNUUR 1048.pdf

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

AN-NUUR12 MUHARRAM 1434, IJUMAA DESEMBA 7 - 13, 2012

Usikose nakala yako ya AN-NUUR kila

Ijumaa

UISLAMU umehimiza kuishi kwa upole na unyenyekevu sambamba na kuvumiliana, k u f a n y i a n a w e m a i l i kudumisha amani katika jamii.

H a y o y a m e b a i n i s h w a na Mkurugenzi wa ki tuo cha Kiislamu cha Markaza Chang’ombe, Jijini Dar es Salaam Dr. Ossama Mahamoud Ismaili, akiongea na Waislamu wa Kisiwa cha Mafia, hivi karibuni katika kongamano la kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu (1434).

Akiwasilisha mada yake yenye anuani ya athari za kuhama na kuonyesha msamaha wa Uislamu

Dr. Ismail, alisema Uislamu unahimiza kuishi vizuri kwa kumfanyia mema anayekufanyia ubaya.

A l i s e m a , m a f u n d i s h o h a y o h u w e z i k u y a p a t a kama hujausoma Uislamu hususan Qur an na hadithi za mtume Muhammad (s a w), huku akiwapongeza na kuwaunga mkono Waislamu wa Kisiwa cha Mafia kwa yale wanayoyashughulikia kwa misingi ya Uislamu sambamba na kuwafundisha watoto wao Qur-ani.

Kwa upande wake, Bi. Aisha Sururu, akiongea katika kongamano hilo aliwahimiza wanawake wa Kiislamu kisiwani humo kuwasimamia watoto wao katika elimu hususani Qur – ani, na dini yao kwa ujumla.

A l i s e m a , U i s l a m u haujatenganisha elimu hivyo n i vyema Wai s l amu wa Mafia wakatoa kipaumbele kwa masomo yote ili kuweza kuandaa Waislamu walio na maaduili mema.

Naye, Sheikh Omar Kimbau, Mbunge mstaafu wa Mafia, aliishukuru Taasisi ya Bi Aisha Sururu pamoja na Mkurugenzi wa Markazi ya Kimisri kwa kuichagua Mafia na kufanya kongamano hilo.

Alisema, hali hiyo imeweka k u m b u k u m b u h u s a s a n i kwa Waislamu wa Mafia na kuwazindua kuujua mwaka wao

Mafia wahimizwa kufanyiana wema

Na Mwandishi wetu. wa Kiislamu jambo ambalo ni kheri kwa wanamafia, kujua kalenda ya dini yao.

Aidha Sheikh wa Wilaya ya Mafia, Yussuf Seleiman Juma akitoa maana Hijiria alisema, ni kuanza kwa mwaka mpya, pale Mtume alipohama kutoka Mji wa Makka kwenda Mji wa Madina, na ndipo hesabu ya mwaka wa Kiislamu ulipoanza.

Kongamano hilo liliandaliwa na Kituo cha Kiislam cha Marakazi, Chang’mbe kwa kushirikiana na Taasisis ya Bi. Aisha Sururu, ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Sheikh Mohamed Khamisi.

Mkurugenzi wa kituo cha Kiislamu cha Markaza Chang’ombe, Jijini Dar es Salaam Dr. Ossama Mahamoud Ismaili (katikati) akiongea na Waislamu wa Kisiwa cha Mafia, hivi

karibuni katika kongamano la kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu (1434).

The Acting Principal of the University College of Education, Zanzibar (UCEZ), cordially invites all graduands of the academic year 2011/2012, for the 12th Graduation. The Ceremony will be held on Sunday January 6, 2013 at the College premises

All graduands are required to confirm their participation to the Academic Office not later than December 15, 2013. Graduands are reminded to pay paid Tshs. 10,000/= (non-refundable) before December 26, 2012 for graduation gowns.

Please note that travel, meals and boarding expenses will be met by the graduands themselves. All graduands are requested to report at the College by 8:00 am on Saturday January 5, 2013 for rehearsal and logistical briefings. Graduands who will not participate in rehearsal will not be allowed to take part in the event.

For more information contact the College on the following address:

The Academic OfficerUniversity College of Education – Zanzibar

P.O. Box: 1933 Zanzibar.Tel: +255242234102

Email: [email protected]

Mobile: 0777-863580/0773181786

UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION – ZANZIBAR INTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA - KHARTOUM

12TH GRADUATION