27.b – malkia
DESCRIPTION
Chapta 27– Malkia: Economy yetuTRANSCRIPT
CH 27 [FINAL].indd 10 13/04/2012 11:19
market..
Aiii! Kwani vitunguu zako zinakuja na ndege?
hio bei ni ghali.
Nkt! Maskini!
Kama hamna pesa songeni niongee na mwenye duka.
hehehe
mnacheka nini...
?
aaaargh
kwetumarket
CH 27 [FINAL].indd 11 13/04/2012 11:19
Mheshimiwa! Mheshimiwa!
Mheshimiwa! Tutakutana kwa
maskan!?
Mnaona? ...He knows class
1
2 3
7
8
914
15
16 ...kwani minister
ana-need gari ngapi
Auuu uu! Wameharibu
biashara yangu…
CH 27 [FINAL].indd 12 13/04/2012 11:19
…tunaumia huku nao wananona na magari
kubwa kubwa!
Hao watu wana-deserve.
Unadhani wanauza
mangoes?Nyinyi ni watu wadogo
sana kuelewa vile government ina-spend.
Vile ina-spend pesa yao inahusu Wakenya wote.
Hata hao MP hawalipi taxes wananunua
unga ghali,
Gas na mafuta imependa,
nilipeleka mtoto wangu hospitali na hakukuwa
na madaktari
Hizi shida zote ni juu hawa watu
wanatumia pesa zetu vibaya.
hahaha! Wewe Mama Mboga unajua nini?
CH 27 [FINAL].indd 13 13/04/2012 11:19
Stop! Cheki…
Poleni sana! Msi pigane
Hehe! Nimetumwa hapa na
mheshimiwa kulipia hasara.
...
Pesa ya serikali ina husu watu wadogo kama
hawa?
Serikali ikitumia pesa mingi kwa barabara, pesa ya mahospitali
ina punguka.
Kwa hivyo vitu ni ghali juu wananunua
magari wasiohitaji?
Aaaah, yes!
Actually… wako right.
CH 27 [FINAL].indd 14 13/04/2012 11:19
CH 27 [FINAL].indd 15 13/04/2012 11:19