06.c - maria kim

6
Ee msupa, chill kidogo... Sema mresh, najua umeni- miss. Sikuwa supposed kukwambia, lakini take care sweetness, kuna watu hawafurahishwi na kile unafanya. Si-understand... Sasa Maria, naeza ongea na wewe? In private. Mwambie kile unataka nikiwa hapa. Twende J.K. GRRRRRRRR! 18

Upload: well-told-story

Post on 06-Mar-2016

258 views

Category:

Documents


3 download

DESCRIPTION

Chapta 6 - Maria Kim: Ana-Expose Ufisadi!

TRANSCRIPT

Page 1: 06.c - Maria Kim

Ee msupa, chill

kidogo...

Sema mresh, najua umeni-

miss.

Sikuwa supposed kukwambia, lakini take care

sweetness, kuna watu hawafurahishwi na kile

unafanya.

Si-understand...

Sasa Maria, naeza ongea na

wewe?

In private.

Mwambie kile unataka nikiwa

hapa.

Twende J.K.

GRRRRRRRR!

18

Page 2: 06.c - Maria Kim

Nimepata new

info juu ya LATF na ina projects za

constituencies kote nchini.

Last year, constituency yetu

ilipata 4 Million na ikatumiwa kujenga

library.

Hio ni poa, lakini sijaona laibu hapa.

Iko?

si naweza kuwa nafanya homework

kwa laibu?

Fathangu ni pastor. Twende

tumuulize.

Unajua pale library

iliojengwa iko?

Naijua. Twende niwaonyeshe.

19

Page 3: 06.c - Maria Kim

Hii library ilijengwa na 300,000 shillings!

Nilituma SMS kwa 3002 na

kupata hiyo information.

Asante sana.

Yaani pesa za laibu zime-

tumika vibaya bila sisi wenyeji

kujua?!

Mmm... 3002. Nitajulisha congreta-tion na watu wengine juu ya hio number kwa sermon ya Sunday. Elimu ni nguvu!

Siamini!!

4 million!

Ndio hii library!

Mlitoa 4 million

wapi?

20

Page 4: 06.c - Maria Kim

Hatutakubali! Wacha ku-jam

hivo Maria, kumbuka fathangu alisema, knowledge is

power.

Finally jobo

imeisha.

Tutaweka hizi posters kesho

morning.

Kwani ulikuwa ukitaka?

Kesho morning ni too late! Hebu tuziweke

usiku!

Sawa, tuanze na sides gani?

LATF meeting ya next itakuwa September. Tunaweza julisha watu juu ya

umuhimu wa kui-attend na juu ya 3002 SMS service. Then watu

wanaweza jua venye LATF inatumiwa kwa area zao na ku-question

maendeleo ya area yao.

21

Page 5: 06.c - Maria Kim

Sunrise inapendeza.

Kama wewe, Maria...

er... um...Hebu nicheki

brathangu….

Thanks J.K! Tuchekiane baadaye

22

Page 6: 06.c - Maria Kim

Nonsense!

Deal na huyu msichana once and

for all! Hii ni serious bizness! Naskia unapenda huyu msichana.

Nakupa advice,Pata pesa na wasichana wataifuata. Mnyamazishe

mara moja!

Local Authority Transfer Fund/ LATF ilianzishwa 1999 kupitia LATF act No. 8 ya 1998 ili ku-improve huduma kwa local community kwa kuendeleza projects kwa wards kote nchini. A certain percentage ya budget kwa kila council huwa ni ya LATF.

Mkutano hu-anncounce-iwa ili wana-ward wa-attend. Mmoja wa community hu-appoint-iwa ku-chair mkutano wa ward. Kisha wana-ward hu-discuss venye wanaweza ku-solve shida zao kwa kuanzisha projects kwa ward. Hizi projects ni kama health, education, maji, na ingine itakayo benefit watu wa community.

Community ina-prioritize projects tatu zitakazo anzishwa. Hizi proposed projects hu-forward-iwa kwa council committee inayo-forward kwa local council ili zi-present-iwe kwa Annual LATF Meeting.

Kila mwaka, council huwa na Annual LATF Meeting inayo-announce-iwa through newspapers. Kwa annual LATF meet-

ing, wenyeji wa wards zote za council hukutana na ku-present projects zao ili ziwe-considered kwa plans za council.

Hata kama hizi meetings hu-advertise-iwa, wananchi wachache hujua juu ya hizi meetings za ward na councils. Hii inafanya decisions kufanya na wachache. Miradi pia huchukuliwa na watu wanao ji-benefit wenyewe /cartels na impact ya miradi haifikii wenye kijiji.

Ili LATF fund iweze kutumika ku-benefit local communities, ni kuhimu kwa wenyeji

1. Kupata info juu ya dates za mikutano kupitia posters badala ya newspapers sababu ni wachache hupata kuona announcement Annual LATF Meeting ya kupitia newspapers. Posters na mbinu zingine zinaweza kutumika.

2. Wananchi wachukue jukumu la ku-attend LATF meetings kwa wards wa-participate kwa ku-identify na ku-

run projects ili kuji-develop. In that way, watapata ku-own hizo projects. Ni responsibility yako ku-participate kwa maendeleo ya area yenu.

Infonet imeunda SMS system ya ku-saidia wananchi na info juu ya funds zilizo allocate-iwa kwa matumizi ya LATF kote nchini. Tuma SMS yako kwa 3002 iliyo na jina la ward na mradi/project na utapata amount iliotengwa kwa hiyo project. Hii info itasaidia kufanya viongozi kuwa accountable na transparent.

Mfano: Rabai#Education.

Tumia DJ B views na opinions juu ya hii storo ya LATF on 3002.

Endeleza area yako through LATF

23