annuur 1113

16
ISSN 0856 - 3861 Na. 1113 RABIUL THAN 1435, IJUMAA , FEBRUARI 21-27, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Facebook:[email protected] Tupo Mwananyamala Islamic Club Kona ya Makumbusho Dar es salaam. Tunaendelea Kusajili wanafunzi wa Q.T, Reseaters O-Level, waliofeli Kidato cha Pili na Kidato cha nne. Kwa mawasiliano zaidi tutembelee Shuleni au piga simu 0767 307 607, 0783- 723 312 au 0652 010 136. Pata elimu Bora kwa Gharama Nafuu. SEKONDARI YA JIONI ( MESS) Inatangaza nafasi za masomo 2014 WAISLAMU nchini wametakiwa kukusanya nguvu ili kuhakikisha Masheikh wa Jumuiya WITO wa uwasilishaji wa wasifu (CV) kwa Waislamu wenye taaluma ya Shariah kwa ajili ya kazi ya Ukadhi katika sehemu mbalimbali nchini umeitikiwa kwa kishindo. Mratibu wa zoezi hilo, Amir wa Baraza Kuu, Alhaj Sheikh Mussa Yusuph Kundecha, amelipasha gazeti hili Ijumaa ya wiki iliyopita kwamba tokea kutangazwa kwa suala hilo amekuwa akipokea simu nyingi kutoka kwa Waislamu wakitaka ufafanuzi zaidi. Kundecha, Togwa wazungumzia ushiriki wao Bunge la Katiba Waislam watakiwa kuchangia dhamana Masheikh Uamsho Na Bakari Mwakangwale ya Uamsho, wanatimiza masharti ya dhamana waliyopewa na Mahakama Kuu ya Zanzibar. Wito huo umetolewa na Naibu Amir wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu Zanzibar, Sheikh Yusuph Khamis, akiongea na An nuur Inaendelea Uk. 6 Dhamana ya Sheikh Ponda yaiva Mahakama Kuu yasubiri upande wa mashtaka Waislamu waitikia uteuzi wa Makadhi Na Bakari Mwakangwale Inaendelea Uk.2 SHEIKH Ponda Issa Ponda (kushoto) akiteta jambo na Mawakili wake katika Mahakama Kuu Jijini Dar es Salaam Jumatano. (Picha na Abdulkarim Msengakamba) Uk. 10

Upload: zanzibariyetu

Post on 26-Nov-2015

680 views

Category:

Documents


43 download

TRANSCRIPT

Uk. 10

ISSN 0856 - 3861 Na. 1113 RABIUL THAN 1435, IJUMAA , FEBRUARI 21-27, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz Facebook:[email protected]

Tupo Mwananyamala Islamic Club Kona ya Makumbusho Dar es salaam. Tunaendelea Kusajili wanafunzi wa Q.T, Reseaters O-Level, waliofeli Kidato cha Pili na Kidato cha nne. Kwa mawasiliano zaidi tutembelee Shuleni au piga simu 0767 307 607, 0783- 723 312 au 0652 010 136.

Pata elimu Bora kwa Gharama Nafuu.

SEKONDARI YA JIONI ( MESS)Inatangaza nafasi za masomo 2014

WAISLAMU nchini wametakiwa kukusanya nguvu ili kuhakikisha Masheikh wa Jumuiya

WITO wa uwasilishaji wa wasifu (CV) kwa Waislamu wenye taaluma ya Shariah kwa ajili ya kazi ya Ukadhi katika sehemu mbalimbali nchini umeitikiwa kwa kishindo.

Mratibu wa zoezi hilo, Amir wa Baraza Kuu, Alhaj Sheikh Mussa Yusuph Kundecha, amelipasha gazeti hili Ijumaa ya wiki iliyopita kwamba tokea kutangazwa kwa suala hilo amekuwa akipokea simu nyingi kutoka kwa Waislamu wakitaka ufafanuzi zaidi.

Kundecha, Togwa wazungumzia ushiriki wao Bunge la Katiba

Waislam watakiwa kuchangia dhamana Masheikh UamshoNa Bakari Mwakangwale ya Uamsho, wanatimiza

masharti ya dhamana w a l i y o p e w a n a Mahakama Kuu ya Zanzibar.

Wito huo umetolewa

na Naibu Amir wa Taasisi na Jumuiya za Ki i s lamu Zanzibar , Sheikh Yusuph Khamis, akiongea na An nuur

Inaendelea Uk. 6

Dhamana ya Sheikh Ponda yaiva Mahakama Kuu yasubiri upande wa mashtaka

Waislamu waitikia uteuzi wa Makadhi

Na Bakari Mwakangwale

Inaendelea Uk.2

SHEIKH Ponda Issa Ponda (kushoto) akiteta jambo na Mawakili wake katika Mahakama Kuu Jijini Dar es Salaam Jumatano. (Picha na Abdulkarim Msengakamba)

Uk. 10

2 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Habari

Waislamu waitikia Uteuzi wa MakadhiInatoka Uk. 1

“Mpaka sasa hivi (Ijumaa iliyopita) kuna muitikio mkubwa kutoka kwa Waislamu ambao ni walengwa (wenye taaluma ya Sharia) kwa maana tumeshapokea simu nyingi wakiulizia mahali pa kuwasilisha”. Alisema Alhaj Kundecha.

A l i s e m a , w e n g i wamekuwa wakiulizia kuwasilisha vyeti vya taaluma zao, lakini a l i sema wamekuwa wakiwajibu kwamba kinachohitajika kwa sasa ni wasifu tu (CV).

Alisema, wasifu huo

(CV) unatakiwa uwe umeonyesha umesoma vitu gani katika taaluma ya Sharia za Kiislamu na kwa sasa upo wapi kisha cheti kitafuata baadae.

A l h a j K u n d e c h a alisema baada ya hapo wataandaa mchakato wa kuwaita wale wote watakaowasilisha wasifu wao i l i kuwafanyia uhakiki kisha kufanya nao semina ya pamoja juu ya kuweka ofisi za Makadhi katika namna nzuri ambayo ni imani yao itawafaa Waislamu.

“ N a p e n d a n i w a h a k i k i s h i e

Wa i s l a m u k wa m b a m f u m o w a K a d h i a m b a o h a s w a Waislamu walikuwa wakiutaka ndio huu sasa unaandaliwa na kuratibiwa na Baraza Kuu kwa kushirikiana na Hay’at”. Alisema Alhaj Kundecha.

Kwa maana hiyo , Alhaj Kundecha, aliomba ushirikiano wa kutosha kutoka kwa Waislamu ikiwa ni pamoja na kuwakumbusha jamaa zao waliohitimu somo la Shar ia kuomba nafasi hiyo kwa ajili ya kuwatumikia Waislamu katika taaluma hiyo.

MSIKITI ni mahali maalum kwa ajili ya Waislamu kufanya ibada mbalimbali.

M s i k i t i k w a Wa i s l a m u , n d i k o mahali sahihi kwa a j i l i ya k u j a d i l i , kukupanga, na kupata muafaka wa mambo yao ya Kiislamu. Iwe ni ya kiimani, kisiasa, kiuchumi au kijamii.

Katika enzi za Mtume Muhammada (saw), msikiti ulitumika kama Ofisi kuu ya Mambo ya Waislamu. (Mfano Madina State).

Mbal i na swala , Mtume (SAW) alitumia msikiti wa Madina kupanga mikakati ya kiutawala, kiuongozi, Baraza la mashauri mbalimba, kujadili masuala ya kiuchumi husasi masuala ya kukusanya na kutumia kodi, na kutoa elimu kwa Waislamu.

K w a u j u m l a tunaweza kusema kuwa Msikiti katika Uislamu, una falsafa kubwa katika mfumo mzima wa maisha jamii ya Kiislamu.

Pamoja na somo hilo kutoka kwa Mtume (saw) kuhusu namna alivyotumia Msikiti kama chimbuko la kufanikisha ustawi wa jamii ya Kiislamu, hapa kwetu sasa hali i n a o n e k a n a k u wa tofauti.

Tunasema hivyo k w a s a b a b u s i k u z a h i v i k a r i b u n i kumetokea vuguvugu la mabadiliko, hususan y a k i u o n g o z i a u kimfumo katika baadhi

Tusipokuwa makini misikiti itapoteza hadhi yake

ya misikiti yetu. Kwa bahati mbaya,

v u g u v u g u h i l i linainyemelea zaidi M i s i k i t i a m b a y o i n a o n e k a n a k u wa m f a n o m z u r i wa k i u e n d e s h a j i a u kiuongozi kwa jamii ya Kiislamu nchini.

Kwa bahati mbaya, m a b a d i l i k o h a y a yanaonekanakuzua hofu na wasiwasi mkubwa miongoni m w a W a i s l a m u , wakihofia matokeo hasi katika misikiti hii, tofauti na hali ilivyokuwa hapo awali.

Mabadi l iko s iyo jambo baya kama mabadiliko yenyewe y a n a l e n g o l a kuboresha zaidi kuliko kulinda maslahi ya kundi au watu fulani.

W a s i w a s i unakolea zaidi kwa Waislamu kwa kuwa s e h e m u k u b w a ya wa n a o p i g a n i a m a b a d i l i k o h a y o , k u t a k a k u c h u k u a mamlaka katika msikiti hii au kubadili umilini wa kitaasisi, wana sifa zisizoridhisha katika masuala ya uendeshaji shughuli za Waislamu huko watokako.

T u m e l a z i m i k a k u k u m b u s h a h i l o kutokana na dalili zinazojitokeza siku hizi, ambapo baadhi ya Misikiti imeanza k u g e u z w a k u w a mahali pa Waislamu kuswali tu na kuondoka zao. Katika siku za nyuma misikiti hiyo hiyo ilikuwa kitovu cha jamii ya Kiislamu kupata mawaidha,

darsa, na kwa hakika i l i k u w a m a h a l i sahihi pa Waislamu kuweka mikakati na mipango yao thabiti ya maendeleo.

Tayari baadhi ya Misikiti imefanikiwa kufanya mabadiliko hayo na tayari ishara za misikiti hiyo kudumaa imeonekana.

Kama tulivyoeleza hapo awali, mabadiliko sio jambo baya katika j i t i h a d a k u s a k a maendeleo ya watu au waumini au kwa lengo la kuboresha zaidi Misikiti hiyo. Lakini mabadil iko hayo yanapokuwa ni ya kurudi nyuma, y a n a w a k w a z a W a i s l a m u n a k u w a t i a s i m a n z i japo waliopigania ua kufanya mabadiliko hayo, kwao inaweza kuwa si neno ilimradi t u m a t a k w a y a o yametimia.

Msikiti wa Mtambani ni moja ya Misikiti inayonyemelewa na hatari ya mabadiliko haya hasi. Hofu ya Waislamu ni aina ya

watu wanaopigania m a b a d i l i k o h a y o kulingana na sifa na rekodi zao za kiutendaji katika masuala ya Kiislamu.

Jamii ya Waislamu i n a p a t a m a s h a k a makubwa ikitizama rekodi wa watu hawa.

Tayar i u l iokuwa m s i k i t i m a a r u f u wa Idrisa Kariokoo jijini Dar es Salaam, u m e s h a f a n y a m a b a d i l i k o tunayoyazungumzia. Sasa tunashuhudia M s i k i t i u k i w a ‘domant’!, zile hutba za kiamiri hazisikiki. Habari au taarifa za matuk io (Current affair) hakuna.

Kutokana na ishara ambazo zimejitokeza katika misikit i hii iliyokuwa ikijitahidi kutimiza wajibu wake kwa Waislamu, kwa n i a n z u r i k a b i s a , ndio maana tunaona kwamba kuna haja ya uongozi au taasisi z i n a z o s i m a m i a Misikiti, kuwa makini

sana na wanaoendesha v u g u v u g u h i l i l a ‘mabadiliko’ yanayotia mashaka ya kudumaza waumini.

Tutoe tu tahadhari k w a m b a i w a p o umakini utakosena katika kuisimia na kuiendesha misikiti hii, tutasahau zile kazi zilizokuwa zikifanyika kat ika Msiki t i wa Madina enzi za Mtume Muhamad (saw) na badala yake, itabakia misiki t i ya swala , dhikri na milango ya msikiti kufungwa.

K u n a h a j a y a Waislamu kuwa macho kuhakikisha kwamba mis ik i t i ha ipotez i maana yake halisi kwa Waislamu. La msingi ni kuhakikisha kuwa inalindwa barabara dhidi ya watu wachache ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakibeba sifa mbaya za kudumaza harakati z a m a e n d e l e o ya Wa i s l a m u k a t i k a misikiti hapa nchini.

3 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014Habari

Kundecha, Togwa wazungumzia ushiriki wao Bunge la KatibaM B U N G E w a kuteul iwa kat ika B u n g e l a K a t i b a kupitia Taasisi za Kidini, Sheikh Mussa Kundecha, amesema watasimamia maslahi ya Waislamu kwa hoja wakizingatia muongozo wa Qur an na Sunnah.

Akiongea na An nuur, mwishoni mwa wiki iliyopita Mh. Shkh. Kundecha, alisema pamoja na kwamba maoni ya Waislamu hayakupatikana moja kwa moja hususani y a l e y a k i i m a n i , kimsingi hiyo ni fursa nyingine ya kwenda kuyaongelea Bungeni, kwa hoja zaidi.

Alisema, pamoja na uchache wao lakini watasimama katika misingi ya hoja kwa kuz ingat ia madia ya Wais lamu kwa kuzingatia muongozo wa Qur an na Sunnah, na kwamba watakuwa wamekamilisha eneo l a o k wa k i wa n g o kikubwa kabisa.

“Ilivyo ni kwamba y a p o m a o n i y a Waislamu ambayo hayakupatikana moja kwa moja haswa yale ya kiimani lakini pia yapo mambo mengine ni ya Kiislamu lakini y a m e k a a k i j a m i i z a i d i a m b a y o p i a y a n a w a h u s u Waislamu moja kwa moja, tutayasimamia kwa hoja madhubuti k w a k u z i n g a t i a muongozo wa Qur an na Sunnah.” Alisema Mh. Kundecha.

M h . K u n d e c h a , alisema msingi wa kuingia katika Bunge l a m a b a d i l i k o ya Katiba, una namna m b i l i a m b a z o kwanza ni rasimu ya Katiba yenyewe na la pili ni yale maoni ya tume (yenyewe) yaliyokusanywa na kusema, hizo ndizo

Na Bakari Mwakangwale

re jea kuu ambazo zitajadiliwa katika Bunge la Katiba.

A k i f a f a n u a z a i d i a l i sema, kwa kuwa ripoti ya Tume inakiri kwamba ilipokea maoni ya Waislamu, isipokuwa ilishindwa kuyaingiza kwa sababu ilizoziona yenyewe, na kwamba kwa kuwa mjadala wa Bunge hilo utatokana na ripoti ya Tume na rasimu i l iyopo, wanaimani bado fursa ya maoni ya Waislamu yana nafasi.

M h . K u n d e c h a , alisema kwa sababu bado wapo ndani ya nchi hii wanatakiwa kujipanga na ku j i ra t ibu za idi kupitia mfano wa zoezi hili na kwamba, ikiwa (Waislamu) watajiratibu vizuri zaidi ni wazi wana nafasi ya kuingiza jambo wanalolitaka na likakubalika.

L a k i n i p i a M h . K u n d e c h a , a l i s e m a

watakuwa wameandika historia kwamba hili jambo l imekatal iwa na wao walisimama katika msimamo wao na hata wakati watasema hata katika kikao cha maamuzi walikifikisha, lakini hakikuzingatiwa.

Alisema, kiujumla w a m e j i p a n g a n a wamekuwa wakikutana wote ambao wamepata fursa hiyo na wataendelea k u f a n ya v i k a o v ya pamoja kwa kadri ya shughuli za vikao vya Bunge vitakavyokuwa v i n a e n d e l e a i l i kuona ni kwa namna g a n i w a n a t u m i a uchache wao vizuri zaidi kuliko uchache huo pia ukatumika k w a k u t o k u w a n a mawasiliano ya karibu yenye tija.

Akijibu swali kuhusu wao kama Waislamu kuingia katika jambo h i l o l e n ye s u r a ya Kisiasa, alisema katika

hali ya sasa duniani kote, vikao vyote vya maamuzi vinawafikisha watu kupitia mfumo wa mlango wa siasa unaotumika na nchi husika uwe wa Kiislamu au mwingine.

Na kwamba, kwa hali halisi iliyopo, ukiacha ushabiki na jazba zisizo na msingi , ukiacha kushiriki katika vikao vya maamuzi kama bungeni, wengine watapanga na kuamua kwa niaba yako na matokeo yake ni lazima mamlaka za nchi zitakulazimisha kutekeleza.

Kwa upande wake, M b u n g e , m t e u l e m w i n g i n e U s t a d h i Hamisi Togwa, alisema kwa kuteliwa kwake kuingia katika Bunge la katiba kwa mlango wa Wa i s l a m u , a n a imani kuwa ataweza kuwawakilisha vizuri Waislamu kwa uwezo wa Allah (sw).

Mh. Tongwa, ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Wakuu wa Shule za Kiislamu Tanzania, a l i sema anafahamu matakwa ya Waislamu, kutokana na kushiriki katika mchakato wa maoni ya Waislamu tokea awali.

A l i s e m a , k w a kushirikiana na wenzake ambao wana uzoefu na uoni mpana zaidi katika mustakabali wa Waislamu nchini ana imani kwamba wataweza kusimama kwa hoja ili kuyawakilisha vyema.

Hata hivyo, Mh. Togwa, ambaye pia ni Mkuu wa Shule ya Kiislamu ya Kir in j iko, Same, alisema suala si kusema tu, bali ni kuratibu masuala yanayowahusu W a i s l a m u k a t i k a utaratibu unaoeleweka ili kuweza kuyafikisha Bungeni na hatimaye kuf ik ia lengo l i l i lo kusudiwa.

MBUNGE wa kuteuliwa katika Bunge la Katiba kupitia Taasisi za Kidini, Sheikh Mussa Kundecha.

4 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014Habari

MFUKO wa Urafiki na Mshikamano wa Rehema Friendship and Solidarity Trust, kwa kushirikiana na Doctors World Turkey na Turkish C o o p e r a t i o n a n d Development Agency (TICA) pamoja na madaktari kutoka Azerbaijan wametoa matibabu ya bure ya macho kwa wakazi wa wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani.

H u d u m a h i y o i m e z i n d u l i w a mwishoni mwa wiki katika hospitali ya wilaya ya Mkuranga, Ambapo itawahusu w a n a n c h i w a maeneo ya Vianzi, M w a n a m b a y e , Sangasanga, Mlamlezi, N jop e k a n a v i j i j i vingine vya jirani.

M k u r u g e n z i Mtendaji wa mfuko huo Bw. Abdi Adamu, alisema kuwa taasisi yake na washirika wa k e wa m e a m u a kutoa huduma hiyo, kufuatia takwimu (CIAworld factbook) zinaonyesha kwamba asilimia moja kati ya watanzania wote ni walemavu wa macho au ni vipofu, kwa maana ya watanzania laki nne na themanini, ambapo nusu yao ni wagonjwa wa mtoto a jicho.

Alisema kiwango cha kimataifa cha huduma ya macho kinataka wagonjwa 2,000 kati ya idadi ya watu milioni moja watibiwe kila mwaka, lakini hapa nchini wagonjwa wanaopata h u d u m a h i y o ya matibabu ni wastani wa wagonjwa 500 badala ya 96,000 kwa watu milioni moja, ambao ni robo ya kiwango cha kimataifa.

Alisema katika nchi

Rehema Trust watoa matibabu ya macho MkurangaNa A. Msengakamba

zilizoendelea, idadi ya wagonjwa wanaopata huduma ya upasuaji wa m a g o n j wa ya macho ni 5,000 kwa idadi ya watu milioni moja, hivyo katika nchi hizo hakuna upofu unaosababishwa na mtoto wa jicho.

B w . A d i m u aliongeza kuwa kwa

hapa nchini, kiwango cha wagonjwa wa macho kinaongezeka kutokana na gharama kubwa za matibabu, ufahamu mdogo wa wagonjwa kuhusu ugonjwa huo, umbali mrefu wa kuwafikia wagonjwa pamoja na uhaba wa upatikanaji wa huduma za macho

nchini.Baadhi ya huduma

ambazo hutolewa na mfuko wa Rehema hapa nchini ni pamoja na kusaidia katika sekta ya elimu, afya, chakula , kusaidia yatima, kuwajibika katika majanga na maafa na kusaidia wananchi katika tatizo

la maji.Naye daktari wa

kitengo cha macho katika Hospitali ya Wilaya ya Mkuranga, Dk. Halison Peter M j e m a , a l i s e m a k a t i k a s i k u y a uzinduzi wa huduma hiyo ya macho, kwa k u s h i r i k i a n a n a madaktari hao wa Uturuki na Azerbaijan wamepokea wagonjwa wapatao 180, kati ya hao 50 wamekutwa n a m a t a t i z o y a mtoto wa jicho na watafanyiwa upasuaji. A l i s e m a we n g i n e 80 wamegundulika kuwa na tatizo la short sight na watapatiwa huduma ya miwani.

Kwa upande wake R a i s m s t a a f u wa awamu ya pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi, aliwataka watanzania pamoja na raia wa k i g e n i wa n a o i s h i nchini kushirikiana p a m o j a k a t i k a kufanikisha suala zima la huduma ya afya kwa Jamii yote kwa ujumla.

M z e e M w i n y i a m b a y e a l i k u w a mgeni rasmi katika utoaji wa huduma h i y o y a m a c h o , alisema ushirikiano katika kukabiliana na maradhi hayo ya macho ni wa muhimu kwa maslahi ya kijamii hasa ikiz ingat iwa k wa m b a h u d u m a za afya, elimu, ajira n a m a j i b a d o n i changamoto kubwa k w a w a t a n z a n i a wengi.

Aliwataka wananchi wa Mkuranga na vijiji vya jirani kujitokeza kwa wingi kupatiwa huduma hiyo ya bure kutoka Mfuko huo kwa kushirikiana na madaktari bingwa wa macho kutoka Uturuki na Azerbaijani.

MADAKTARI Bingwa wa macho toka Uturuki wakimpima macho Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mkuranga mwishoni mwa wiki.

MGONJWA wa macho akiwa katika hatua za awali za kupimwa macho, Mkuranga mkoani Pwani.Nyuma ni foleni ya wananchi wakisubiri zamu yao ya kufanyiwa uchunguzi.

5 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014Habari za Kimataifa

R I P O T I m a a l u m u iliyotolewa na Umoja wa Mataifa, imeeleza kuwa mauaji dhidi ya jamii ya Waislamu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati yameongezeka.

Hayo yamesemwa na Mshauri wa Shirika la Kimataifa la Amnesty International, Bi. Joanne Mariner.

Alisema kuwa, mauaji ya halaiki yanaendelea kufanywa na waasi wa Kikristo wa Anti-Balaka dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, mauaji makubwa yamefanywa dhidi ya Waislamu wa Kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

Kamishna Mkuu wa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, alisema kuwa ameshuhudia maafa ya kibinadamu yasiyoelezeka wakati alipotembelea Jamhuri ya Afrika ya Kati hivi karibuni.

Guterres ameongeza k u w a m a a n g a m i z i makubwa ya kikabila na kidini yanaendelea kufanyika huko Jamhuri ya Afrika ya Kati na kwamba, ukatili wa kutisha na v i t e n d o v i s i v y o n a kibinadamu vimegubika mauaji wanayofanyiwa Waislamu nchini humo.

Hii ni katika hali ambayo Shirika la Kutetea Haki za Kibinadamu Duniani la Amnesty International, l i m e k o s o a k i m y a kinachopigwa na jamii ya kimataifa kuhusu mauaji yanayoendela kujiri nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Shirika hilo limetangaza k u wa l i n a u s h a h i d i unaoonyesha kufanyika mauaj i ya mamia ya Waislamu yaliyofanywa na Wakristo wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, tangu yalipofanyika Mapinduzi ya kijeshi ya mwaka 2013.

Naye Afisa Mwandamizi wa kundi la Madaktari Wasio na Mipaka huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, Catherine Ainsworth, amesema kuwa robo ya wananchi wa nchi hiyo wameyakimbia makazi yao kutokana na hali mbaya ya kiusalama.

Catherine Ainsworth, a m e s e m a k u wa k i l a siku wastani wa watu 10 hupelekwa hospitalini kufuatia kujeruhiwa kwa kupigwa risasi, jambo

Wakristo waendelea kuua Waislamu kikatili CAR

NAIROBISERIKALI ya Kenya imelishutumu vikali Shirika la Misaada la Marekani USAid kuwa linafanya uchochezi na njama za kuzusha m a c h a f u k o n c h i n i Kenya.

M w e n y e k i t i w a Kamati ya Ushauri wa Usalama wa Taifa ya Kenya, Francis Kimemia, amelishutumu shirika la Misaada la Marekani nchini humo USAid, kuwa linatumia fedha z a k e k u c h o c h e a maandamano dhidi ya serikali ya Jubilee na kudhamini harakati za siri za kuleta machafuko nchini Kenya.

B w . K i m e m i a alidai kuwa serikali ina habari za kijasusi zinazodhibitisha kuwa U S A I D i m e k u w a i f a d h i l i m a s h i r i k a yas io ya k iser ika l i yanayopinga serikali ya Rais Uhuru Kenyatta, kwa kutoa maelfu ya dola kwa wanaharakati Boniface Mwangina John G, kufanikisha maandamano mj ini Nairobi.

A l i o n g e z a k u wa ,

Sasa Kenya yaishutumuMarekani kwa uchochezi

linaloashiria kukidhiri maafa ya kibinadamu nchini humo.

Afisa huyo ameongeza kuwa, hali bado ni tete nchini humo, hasa katika mjini mkuu wa kwani milio ya risasi bado inaendelea kusikika mjini humo.

Kwa upande wake, Mhariri mkuu wa Pan African News Wire huko M i c h i g a n M a r e k a n i , A b a y o m i A z i k i w e , amesema kuwa kasoro kubwa za kiuongozi ndiyo chanzo kikuu cha matatizo yanayoikabili Jamhuri ya Afrika ya kati.

Azikiwe alibainisha kwamba nchi za Magharibi zinajitumbukiza Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa lengo la kupora maliasili na utajiri mkubwa wa madini ya urani, dhahabu na almasi.

lengo la njama hizo za Marekani ni kusukuma taratibu malalamiko ya watu ndani ya Bunge la Kenya, ili kuwachochea wabunge wa Kenya wafanye uadui dhidi ya serikali ya nchi hiyo.

Kwa muda mrefu K e n y a i m e k u w a mshirika mkubwa na wa karibu wa Marekani, hasa baada ya kuletwa msamiati wa vita dhidi ya ugaidi.

U m u h i m u w a kijiografia wa Somalia katika Pembe ya Afrika imetajwa kuwa ndiko k u n a k o w a f a n y a viongozi wa Marekani waipe uzito mkubwa nchi hiyo.

H a t a h i v y o , k wa u p a n d e m w i n g i n e hususan kuhusu mambo yanayohusu siasa na mamlaka ya dola ya Kenya, uhusiano baina ya nchi h izo mbi l i ul idhoofika mwaka u l i o p i t a , b a a d a ya aliyekuwa Balozi wa Marekani nchini humo kuwaonya Wakenya k u t o w a p i g i a k u r a watuhumiwa wa kesi za mauaji ya halaiki, yaani Rais Uhuru Kenyatta na

Makamu wake William Ruto, katika uchaguzi mkuu uliopita.

M a d a i h a y o yalikolezwa zaidi juma lililopita na ripoti iliyo mnukuu al iyekuwa kiongozi wa mashitaka katika mahakama ya kimataifa ya ICC, mjini Hague Uholanzi, Louis Moreno Ocampo, akikiri kuwa alishinikizwa na mataifa ya magharibi kuweka vikwazo ili k u w a z u i a w a w i l i hao wasiwanie urais katika uchaguzi mkuu u l i o f a n y i k a m we z i Machi mwaka uliopita.

Kiongozi wa Kenya Kenyatta na Makamu w a k e W i l l i a m R u t o , w a m e k u w a wakiyalaumu mataifa ya kigeni kushinikiza kesi dhidi yao katika mahakama ya ICC.

Hata hivyo, Balozi wa Marekani nchini Kenya Robert Godec, amekanusha madai hayo akisema miradi yao yote nchini Kenya imeruhusiwa na serikali.

Bw. Godec alisema serikali yake imekuwa ikichangia maendeleo na utawala bora nchini

Kenya kwa kipindi cha miaka 50.

Tamko kali la Kamati ya Usalama waTaifa ya Kenya dhidi ya Marekani , l imekuja baada ya wanaharakati wa asasi za ki jamii kufanya maandamano dhidi ya serikali mjini Nairobi.

Polisi walilazimika k u t u m i a m a b o m u ya k u t o a m a c h o z i k u w a t a w a n y a waandamanaji j i j ini Nairobi wiki iliyopita.

Waandamanaji hao walikuwa wakiituhumu ser ika l i ya Jub i l ee kuwa imejaa ufisadi na ubadhirifu na kwamba, imeshindwa kupambana na umaskini, ukosefu wa kazi na ukosefu wa usalama nchini Kenya.

M r a t i b u w a maandamano hayo, B o n i f a c e M wa n g i , alipinga madai hayo.

M w a n a h a r a k a t i mwingine mashuhuri nchini Kenya Timothy Njoya, aliyeshiriki katika maandamano hayo, alisema kuwa madai ya serikali ya Kenya ni ya kipuuzi.

MUUAJI wa Kikristo (Anti-Balaka) akiburuta maiti ya kijana wa Kiislamu mjini Bangui.

6 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014Makala

Waislam watakiwa kuchangia dhamana Masheikh Uamshokatika ofisi za Imamu wa Msikiti wa Mtambani, Jumatatu wiki hii.

Kufuatia wito huo, Shura ya Maimam, imeaanda Kongamano kubwa katika Msikiti wa Makukula Buguruni, Jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kufanya harambee ya michango kwa ajili ya dhamana ya Masheikh.

Akiongea kwa niaba ya Amir wa Shura ya Maimam, Imam wa Msikiti wa Mtambani, Abuu Rahiyan, alisema Kongamano hilo litaanza majira ya saa nne asubuhi na kuhitimishwa mara baada ya swala ya Adhuhuri (saa Saba).

A l i s e m a , u j u m b e wa Masheikh kutoka Zanzibar, watakuwepo k u z u n g u m z a n a Waislamu na kuelezea m w e n e n d o m z i m a wa kesi hiyo ambayo i m e w e k a h i s t o r i a kufutatia masharti ya dhamana waliyowekewa M a s h e i k h wa l i o p o gerezani.

A l i s e m a , m b a l i y a M a s h e i k h h a o kutoka Zanziba, pia watakuwepo Masheikh wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu wa Jijini Dar es Sa laam, na Morogoro, ambapo kwa ujumla watazungumzia mwenendo wa kesi z i n a z o w a k a b i l i Masheikh wa Tanzania B a r a n a Wa i s l a m u wengine kwa ujumla.

Aidha, Imam huyo alisema Masheikh hao pia watazungumzia uteuzi na ushiriki wa Masheikh wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu w a k i o n g o z w a n a Amir wa Baraza Kuu na Shura ya Maimam, Alhaj Mussa Yusuph Kundecha, katika Bunge la Katiba.

Akizungumzioa juu ya ziara yao, Amir Khamis, akiwa ameambatana na ujumbe maalum kutoka Z a n z i b a r , a l i s e m a wamefika Ji j ini Dar es salaam, kukusanya nguvu kutoka kwa

Inatoka Uk. 1

Waislamu ili kuweza kukabiliana nakadhia ya dhamana ya Mashekh waliopo mahabusu kwa muda wa mwaka mmoja na miezi minne sasa.

A l i s e m a , kilichowasukuma kufika Jijini Dar es Salaam, ni kukusanya nguvu kutoka kwa Waislamu wa Tanzania Bara, ili kuweza kupatajumla ya Shi l ingi Mil ioni miambili Hamsini, kwa ajili ya dhamana ya Masheikh.

“ T u n a w a o m b a W a i s l a m u k u w a pamoja katikakuitafuta dhamana ya Masheikh wetu, kwa kuzingatia Khadithi ya Mtume Muhammad (s a w) inayosema, mwenye kumsitiri Muislamu m w e n z a k e n a y e a t a m s i t i r i s i k u ya k iama, na mwenye kumuondoshea uzito mwenzake katika maisha

ya dunia naye Allah (sw) atamuondoshea uzito katika maisha yake ya akhera, kwa hivyo kila Muislamu aweze kutoa mchango wake kutimiza jambo hilo”.Alisema Amir Khamisi.

A l i s e m a , t o k e a kutolewa masharti ya dhamana hiyo ambayo imeelezwa masharti y a k e h a y a j a w a h i kutolewa popote katika tawala z inazofuata utawala wa sheria, wamekuwa wakipigania kufanikisha dhamana ya Masheikh hao ili ikiwezekana ipatikane kabla ya Februari 27, siku ambayo kesi yao itatajwa tena.

A m i r , K h a m i s i a l i s e m a , i k i w a w a t a f a n i k i s h a kukusanya michango hiyo na kutekeleza masharti mengine, basi siku hiyo (Februari 27) wataweza kuondoka

na Viongozi hao na watakuwa wakif ika M a h a k a m a n i h a p o wakitokea majumbani mwao.

Alisema, mathalani wakipatika Waislamu Stini elfu, na kila mmoja akato akiasi cha shilingi elfu tano, kwa muda m f u p i w a t a k u w a wa m e p a t a s h i l i n g i milioni mia tatu.

“ Tu n a h i t a j i k i l a Muislamu achangie kwa uchache kiasi cha Shilingi elfu tano tu, na yule ambaye atajaaliwa zaidi basi anaweza kutoa pia.Tunalazimika kufanya hivi kutokana na ugumu wa masharti y a l i y o w e k w a n a Mahakama Kuu ya Zanzibar.” Alisema Shkh. Khamisi.

Amir, Khamis, alisema wamewekautaratibu wa kukusanya pesa kwa njia ya mitandao yote ya simu za mkononi, kwa

Muislamu mmoja mmoja na kupitia Misikitini katika mkusanyiko wa Waislamu.

Alisema, kuna risiti m a a l u m k wa wa l e w a t a k a o c h a n g i a a m b a p o b a a d a y a kuchangia atapatiwa ili kuepuka uchangiaji holela au kuwaepuka matapeli watakaoibuka k u c h a n g i s h a k w a kutumia anuani ya mchango wa dhamana ya Masheikh.

“Kuna watu maalum watafanya zoezi hili na watakuwa na risiti m a a l u m , a m b a z o zitatolewa na michango ya Msikitini itatolewa risiti moja kwa anuani ya Msikiti kwa niaba ya waumini wa Msikirti husika.” Alifafanua Shkh. Khamisi.

A m i r . K h a m i s , a l i s e m a m i c h a n g o hiyo inahitajika mpaka

Inaendelea Uk. 7

BAADHI ya Masheikh wa Uamsho wakiwa Msikitini kabla kukamatwa.

7 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014Makala

Waislam watakiwa kuchangia dhamana Masheikh UamshoInatoka Uk. 6

Februari 26, 2014, kabla ya Masheikh hao kurudi Mahakamani Februari 27, 2014, na baada ya hapo alisema, wataangalia na kuwatangazia Waislamu hali imekuwaje.

“Sasa hivi tumeweka zoezi hili kama awamu ya kwanza mpaka hadi Februari 26, 2014, i l i kutazama tumefanikiwa kwa kiasi gani na kama michango na masharti y a k i w a b a d o b a s i michango itaendelea, m p a k a t u f a n i k i we . ” Alisema.

Hata hivyo, alidaiJaji wa Mahakama Kuu Zanzibar, katika kesi hiyo katika kutoa kwake masharati ya dhamana amefanya ubaguzi wa dhahir i , kwa kutaka wadhamini kuwa wafanya kazi wa Serikali tu, akimaanisha waliokuwa si wafanyakazi Serikalini hawana haki ya kuwachukulia dhamana Masheikh hao.

“ H i c h o n i k i t e n d o kinachokwenda kinyume n a K a t i b a y a n c h i , Mahakama ilikuwa ndio chombo ambacho kiwe cha kwanza kulinda haki za raia lakini imekuwa ya kwanza kuvunja haki na kuwabagua raia, kwa hili Jaji ametoa sharti ambalo limekwenda kinyume na Katiba”.Alisema.

A l i s e m a , Wa i s l a m u h a w a n a b u d i k u m t a n a b a i s h a J a j i B i . F a t m a , k wa m b a amewanyima baadhi yao haki ya kuwachukulia d h a m a n a v i o n g o z i wao kwa wale wasio wa f a n ya k a z i , a m b a o ndio asilimia kubwa ya Wazanzibar.

“ Wa f a n y a k a z i w a Tanzania Zanzibar ni asilimia thelathini tu, sisi tusio wafanyakazi tupo wengi , kwa mashart i hayo mtu anashindindwa kumchukulia dhamana ndugu yake kwa sababu si mfanyakazi wa Serikali hivyo tumenyimwa haki ye tu h iyo” . Al i sema akionyesha kusikitishwa na masharti hayo.

Amir. Khamis, alisema Pamoja na ugumu huo jitihada zinafanyika kwa pamoja ikiwa ni kutafuta p e s a n a k u a n g a l i a uwezekano wa kuwapata hao wadhamini kutoka S e r i k a l i n i , a m b a o

wameshaanza kujitokeza huku akiwatoa hofu kwa dhana ya kufukuzwa kazi kwani hiyo ni haki yakikatiba kumchukulia dhamana ndugu yake au jamaa yake.

Alisema, kuna masharti kama kumi waliyopewa Masheikh hao ambapo aliyataja miongoni mwa hayokuwa ni kuwasilisha pesa tasilimu 25ml, kwa kila mmoja pia wapatikane wafanyakazi watatu wa Serikali, na wawili kati ya hao wawasilishe hati ya kitu kischo hamishika kama nyuma au shamba vyenye thamani ya Shilingi 25ml, vilivyothaminiwa na mthamini wa Serikali.

Lakini pia alisema, Masheikh hao ambao ni viongozi wa Waislamu Visiwani Zanzibar na Tanzania kwa ujumla, wametakiwa wasi toe mawaidha is ipokuwa kuswalisha tu sambamba

nakutotoka nje ya Kisiwa cha Unguja.

“Haya mashari yote ni magumu sana kulingana n a m a k o s a w a n a y o t u h u m i w a n a y o n a mengine yanapingana na Katiba ya nchi”.Alisema Amir Khamis.

Awali, Amir Khamis, a l i s e m a w a n a i m a n i k w a m b a Wa i s l a m u wakipata taarifa hizi Bara na Visiwani pesa hiyo inaweza kupatikana kwa siku moja tu kama wataamua na si zaidi ya siku kumi, kubwa ni taarifa kuwafikia Waumini.

Alisema, Waislamu waelewe kuwa Masheikh hao ni watetezi wa haki na siku zote unaposimama katika haki katika utawala usiofuata haki, haya ni matokeo yake.

Hata hivyo alisema, baadhi ya Wais lamu Z a n z i b a r , wa l i o p a t a taarifa hizi wameitikia

wito lakini wengi wametoa ahadi kulingana na hali ya kiuchumi ilivyo sasa ndio maana ikawalazimu kutoka nje ya Visiwa hivyokwani Waislamu wote ni ndugu.

“Ahadi zipo nyingi k u t o k a k wa b a a d h i ya Wa i s l a m u l a k i n i bado hatujafikia lengo lililokusudiwa kwa sababu tunaimani Wais lamu wengi hawana taarifa na hawajahamasishwa au kupewa utaratibu wa kutoa michango yao”. Alisema.

Amir Khamis, alisema wakiwa J i j ini Dar es Salaam, watatembelea katika Misikiti mbalimbali k u wa p a t a a r i f a h i z i Wa i s l a m u , a m b a p o a l i o m b a i k i wa k u n a Msikit i au Muislamu yoyote atawahitajikwa ajili ya kuchangia wapo tayari kuwafikia.

“Natoa taarifa kwa

Waislamu kwa ujumla wao, kila atakayepata taarifa hii ajitokeze katika kutoa mali yake au chochote alichojaaliwa kwa ajili ya kutarajia kupata malipo kutoka kwa mola wake.” Alisema Naibu Amir Shkh. Yusuph Hamisi.

Amir Khamis, alizitaja namba za simu za kutuma michango kwa ajili ya kukamilisha dhamana ya masheikh hao, kuwa ni EZY PESA-0773 388 080. TIGO PESA-0715 312 238. M.PESA-0757 262 585, Pamoja na AIR TEL MONEY-0785 790 485.

Masheikh na viongozi hao wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, walikamatwa na kufungul iwa kesi katika Mahakama Kuu, ambayo mpaka sasa bado haijasikilizwa, ambapo Januari 31, 2014, Mahakama hiyo ya Zanzibar iliweka wazi dhamana zao zenye masharti magumu

SHEIKH Farid Hadd (katikati) akiwa na Sheikh Azzan Hamdan (kulia).

8 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014Makala

Inaendelea Uk. 9

MAKALA hii inaweka kwa ufupi machapisho ya awali kuhusu tukio la 9/11 na nafasi ya Al Qaeda katika sera za nje za Marekani. Kwa maelezo zaidi angalia Michel Chossudovsky, America’s ‘War on Terrorism, ’ Global Research 1005.

“Marekani ilitumia mami l ion i ya do la kuwapelekea watoto w a s h u l e n c h i n i Afghanistan vitabu vya kiada vilivyojaa picha za kikatili na mafundisho ya utumiaji nguvu ya Kiislamu …. Vitabu hivyo vya kufundishia madarasa ya awali , vilivyojaa lugha ya Jihad na michoro ya bunduki, risasi, wanajeshi na mabomu ya kutegwa, vimekuwa vikitumiwa kuanzia wakati huo k a m a s e h e m u y a mafunzo muhimu. Hata utawala wa Taliban ulitumia vitabu hivyo kutoka Marekani…” (gazeti la Washington Post, Machi 23,2002)

“ M a t a n g a z o y a biashara, yaliyolipwa k u t o k a m i f u k o ya CIA, yaliwekwa katika magazeti na vijarida kote duniani kuahidi vivutio na motisha kujiunga na Jihad.” (Pervez Hoodbhoy, Peace Research, May 1, 2005)

“ B i n L a d e n aliandikisha wapiganaji wa kujitolea elfu nne kutoka nchini mwake na kujenga mahusiano ya karibu na wengi kati ya viongozi wa siasa kali wa Mujahidina. Pia alifanya kazi kwa k a r i b u n a C I A , … . Tangu Septemba 11

UCHAMBUZI: Kutoka Ronald Reagan na Vita ya Urusi nchini Afghanistan hadi George W. Bush na Septemba 11, 2011

Na Profesa Michel ChossudovskyGlobal Research, Septemba 9, 2010

(2001) maofisa wa CIA wamekuwa wakisema kuwa hawakuwa na u h u s i a n o wa m o j a k w a m o j a n a b i n Laden.” (Phil Gasper, International Socialist Review, Novemba-Desemba 2001)

Marejeo muhimu-Osama bin Laden,

mtwishwaj i mizigo mkuu wa Marekani, aliandikishwa na CIA mwaka 1979 wakati Jihad inayofadhiliwa na Marekani ilipoanza (nchini Afghanistan). Alikuwa na umri wa miaka 22 na alipewa mafunzo katika kambi ya kufunza wapiganaji porini iliyoundwa na CIA .

- Wa a n z i l i s h i w a mkakati wa kif icho kuunga mkono ‘siasa k a l i y a K i i s l a m u ’ ulioanzishwa wakati wa utawala wa Ronald R e a g a n u l i k u w a m u h i m u k a t i k a kuanzisha ‘Vita dhidi ya Ugaidi’ ya dunia nzima baada ya Septemba 11.

-Rais Reagan alikutana na viongozi wa Islamic Jihad katika Ikulu ya Marekani mwaka 1985.

- Chini ya utawala wa Reagan, sera ya nje ya Marekani ilielekea k u u n g a m k o n o bila kipingamizi na kuwakubali ‘wapigania uhuru wa Kiislamu.’ Katika dunia ya leo, ‘wapigania uhuru’ hao wanapachikwa jina la ‘magaidi wa Kiislamu.’

- K a t i k a l u g h a y a Pa s h t u n , n e n o ‘Taliban’ lina maana ya ‘Wanafunzi , ’ au wahitimu wa madrasa (vituo vya kusomea au shule za Kurani)

z i l i z o u n d w a n a wakufunzi Wahhabi kutoka Saudia, kwa msaada wa CIA.

- Elimu katika kipindi kilichotangulia vita ya Urusi na Afghanistan i l ikuwa zaidi ni ya k a w a i d a . M k a k a t i wa siri wa elimu wa Marekani ul iharibu e l imu ya kawaida . Idadi ya mashule za k i d i n i ( m a d r a s a ) yaliyofadhiliwa na CIA iliongezeka kutoka 2,500 mwaka 1980 hadi zaidi ya 39,000 miaka kadhaa baadaye.

Vi ta ya Urusi na Afghanistan ilikuwa ni sehemu ya agenda ya siri ya CIA iliyoanzishwa wakati wa utawala wa Jimmy Carter ambayo hasa ililenga kuunga mkono na kutoa fedha kwa brigedi za Kiislamu, baadaye zikaitwa Al Qaeda.

Serikali ya kijeshi ya Pakistan ilikuwa

n a n a f a s i k u a n z i a mwanzo katika miaka ya 1970 mwishoni , n a f a s i m u h i m u k a t i k a o p e r e s h e n i za kijeshi na kijasusi nchini Afghanistan z i l i zos imamiwa na M a r e k a n i . B a a d a ya kumaliz ika kwa ‘Vita Baridi’, nafasi hii ya Pakistan katika operesheni za kijasusi za Marekani ilipewa upana zaidi katika eneo la Asia ya Kati na Mashariki y a K a t i . K u a n z i a mwanzo wa vita ya Urusi na Afghanistan mwaka 1979, Pakistan chini ya utawala wa kijeshi iliunga mkono kwa nguvu brigedi za Kiislamu. Ikishirikiana kwa karibu na CIA, idara ya ujasusi wa kijeshi ya Pakistan, ‘Inter Services Intelligence’ (ISI) ikawa taasisi yenye nguvu, serikali ya ziada, yenye kukusanya nguvu na ushawishi mkubwa.

Vita ya siri ya Marekani nchini Afghanistan , iki tumia Pakistan kama jamvi la kuruka kufika Afghanistan, ilianzishwa wakati ya utawala wa Carter kabla ya ‘uvamizi’ wa Urusi nchini Afghanistan.

“Kwa muj ibu wa historia rasmi, misaada ya CIA kwa Mujahidina ilianza mwaka 1980, kwa maana kuwa ni baada ya jeshi la Urusi kuvamia Afghanistan, Desemba 24, 1979. Lakini hali halisi, iliyokuwa imelindwa kwa siri hadi sasa, ni tofauti kabisa. Naam, ilikuwa Julai 3, 1979 ambako Rais Carter alitia saini agizo la kwanza la kupeleka misaada ya siri kwa wapinzani wa utawala wenye kukabiliana na Urusi mjini Kabul. Siku hiyo hiyo, niliandika dokezo kwa rais ambapo nilimweleza kuwa kwa

RAIS wa zamani wa Marekani Ronald Reagan (mwenye suti nyeusi) akiongea na viongozi wa Mujahidina wa Afghanistan Ikulu ya Marekani.

9 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014Makala

Inaendelea Uk. 11

UCHAMBUZI: Kutoka Ronald Reagan na Vita ya Urusi nchini Afghanistan hadi George W. Bush na Septemba 11, 2011Inatoka Uk. 8maoni yangu msaada h u u u t a s a b a b i s h a Urusi iingilie kijeshi nchini Afghanistan.” (Mshauri za zamani wa Usalama wa Taifa nchini Marekani, Zbigniew Brzezinski, akihojiwa na ‘Le Nouvel Observateur,’ jarida la Ufaransa, toleo la Januari 15-21 1998).

Katika kumbukumbu binafsi alizochapisha Waziri wa Ulinzi Robert Gates, ambaye alikuwa katika nafasi ya Naibu Mkurugenzi Mkuu wa CIA wakati vita ya Urusi nchini Afghanistan inauma, ujasusi wa M a r e k a n i u l i l e n g a kuanzia mwanzo, kabla ya uvamizi wa Urusi, kupeleka misaada kwa brigedi za Kiislamu.

Wakiungwa mkono na CIA na kupelekewa misaada mingi ya kijeshi, ISI ya Pakistan ilikuzwa na kuwa ‘mfumo tofauti wenye nguvu katika fani zote za serikali,’ a n a s e m a D i p a n k a r Banerjee, ‘Uwezekano wa uhusiano kati ya ISI na uzalishaji wa madawa ya kulevya’ kat ika jarida la India Abroad, Desemba 2, 1994. ISI i l ikuwa na maofisa wa kijeshi na kijasusi, watawala, majasusi kificho na watoa taarifa, wanaokisiwa kufikia 150,000 kwa mujibu wa jarida hilo.

Wa k a t i h u o h u o , operesheni za CIA z i l i k u wa z i m e l i p a nguvu jeshi la Pakistan likiongozwa na Jenerali Zia Ul Haq:

‘Mahusiano kati ya CIA na ISI yalizidi kuimarika baada ya (Jenerali) Zia kumwondoa (Zulfikar Ali) Bhutto na kuanza kwa utawala wa kijeshi. …..Wakati wa kipindi c h o t e c h a v i t a ya

Afghanistan, Pakistan ilikuwa na chuki zaidi kuhusu Urusi kuliko hata Marekani. Mara baada ya majeshi ya Urusi kuvamia Afghanistan mwaka 1980. Zia (ul Haq) alimpeleka mkuu wake wa ISI kuvuruga mataifa ya Urusi ya Asia ya Kati. CIA ilikubali mpango huu baadaye mwezi Oktoba 1984,’ kwa mujibu wa jarida hilo hilo.

ISI ikiwa inafanya kazi kama idara tanzu ya CIA, ilichukua nafasi kubwa katika kupeleka misaada kwa makundi ya kijeshi ya Kiislamu nchini Afghanistan na baadaye katika jamhuri za Kiislamu za iliyokuwa Urusi.

Ikitekeleza shughuli za CIA, sh i r ika l a ISI li l i j ishughulisha na kuandik isha na kutoa mafunzo kwa Mujahidina. Katika kipindi cha miaka kumi kutoka 1982 hadi 1992, kiasi cha wapiganaji 35 ,000 kutoka nchi 4 3 z a K i i s l a m u w a l i a n d i k i s h w a kupigana katika Jihad nchini Afghanistan. M a d r a s a n c h i n i Pakistan, yakifadhiliwa na vikundi vya misaada vya Saudia, vilianzishwa k w a m s a a d a w a Marekani kwa nia ya ‘kukuza maadili ya Kiislamu.’ “Makambi hayo yakawa vyuo vikuu vya ukereketwa wa K i i s l a m u h u k o baadaye,” kwa mujibu wa Ahmed Rashid, ka t ika k i tabu ‘The Taliban.’ Mafunzo ya wapiganaji wa porini chini ya CIA na ISI yalikuwa ni pamoja na mauaji ya kuvizia ya mtu mmoja mmoja, na mashambulio kwa k u t u m i a b o m u l a kutegeshea katika gari.

‘Silaha zilipelekwa na jeshi la Pakistan na ISI kwa makambi ya waasi katika jimbo la mpakani Kaskazini Magharibi karibu na mpaka wa Afghanistan. Gavana wa jimbo hilo ni Luteni-Jenerali Fazle H a q a m b a ye ( k wa m u j i b u wa A l f r e d M c C o y ) a l i r u h u s u mamia ya mitambo ya kusafisha heroin kujengwa katika jimbo alilosimamia.’ Kuanzia mnamo 1982, magari ya kijeshi ya Pakistan yakiwa yamebeba silaha za CIA kutoka Karachi mara kadhaa hupakia heroin katika jimbo la Haq na kurudi yamejaa heroin. Yanalindwa y a s i p e k u l i w e n a pol is i kutokana na vitambulisho vya ISI .’ (1982-1989: US Turns Blind Eye to BCCI and Pakistan Government Involvement in Heroin

Trade. Angal ia pia McCoy, 2003, uk. 477)

Osama bin LadenOsama bin Laden,

mtwishwaj i mizigo mkuu wa Marekani, a l i a n d i k i s h w a n a C I A m w a k a 1 9 7 9 wakati inaanza Jihad i l i y o f a d h i l i w a n a Marekani. Alikuwa na umri wa miaka 22 na alipewa mafunzo katika kambi iliyoundwa na kusimamiwa na CIA.

Wakati wa utawala wa Reagan, Osama, ambaye alitokea familia tajiri ya ki-Saudi ya Bin Laden a l ipewa nafasi ya kusimamia utafutaji fedha kwa ajili ya brigedi za Kiislamu. Makundi tofauti ya kusaidia wenye shida na mifuko maalum iliundwa. Operesheni hiyo ilisimamiwa na idara ya ujasusi ya Saudia ik iongozwa

na Prince Turki al-Faisal, akishirikiana kwa karibu na CIA. Fedha iliyotokana na mashirika ya misaada ilitumika kulipia kusajili Mujahidina wa kujitolea. Al Qaeda, au maskani kwa Kiarabu ilikuwa ni kituo cha kukusanya wapiganaji wa kujitolea w a l i o a n d i k i s h w a kupigana katika jihadi ya Afghanistan. Kituo hicho cha kuhifadhi taarifa na takwimu za walioandikishwa hapo mwanzo kiliongozwa na Osama bin Laden.

Utawala wa Reagan waunga mkono ‘siasa kali’ ya Kiislam

Shirika la Ujasusi la kijeshi la Pakistan, ISI l i l i tumika kama ‘mshenga.’ Misaada ya kificho ya CIA kwa M u j a h i d i n a n c h i n i Afghanistan ilifanyika

GEORGE W. Bush. Dick Chenney

10 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014Makala

Dhamana ya Sheikh Ponda yaivaMAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeahirisha kesi inayomkabili Katibu wa Jumuia na Taasisi za Kiislamu nchini Sheikh Ponda Issa Ponda, hadi Februari 26, 2014, kufuatia ombi la upande wa mashtaka kutaka upewe muda kujiandaa zaidi.

Kesi hiyo ilisikilizwa tena katika Mahakama hiyo Jumatano wiki hii, kwa ajili ya kusikiliza maombi ya rufaa yaliyowasilishwa na mawakili wa Sheikh Ponda Mahakamani hapo.

J a j i A g u s t i n o Mwalija wa Mahakama Kuu,aliyesikiliza kesi hiyo, alikubaliana na maombi ya Wakili wa Serikali Bw. Tumaini Kweka, aliyeiomba M a h a k a m a h i y o kuupa upande wa mashtaka muda zaidi ili wajiandae vizuri.

A k i o n g e a n j e y a M a h a k a m a hiyo , Waki l i Juma N a s s o r o , a l i s e m a siku ya Jumatano ilikuwa Mahakama i s i k i l i z e m a o m b i ya o ya d h a m a n a waliyowasilisha awali kat ika Mahakama hiyo.

“Kesi leo ilikuwa i m e k u j a k w a a j i l i y a k u t a j w a k u f u a t i a m a o m b i t u l i y o w a s i l i s h a Mahakamani hapa, i l i i we z e k u p i t i a mwenendo mzima wa ile kesiya Morogoro”. A l i s e m a Wa k i l i Nassoro.

Akifafanua zaidi Wakili Juma, alisema wal iamua kurudi

Na Mwandishi Wetu

kat ika Mahakama Kuu, kufuatia kuwapo k w a m a p u n g u f u mengi na makubwa ya kisheria katika kesi aliyofunguliwa Sheikh Ponda, Mjini Morogoro.

“Leo ( Jumatano) k i l i c h o t o k e a n i kwamba upande wa Jamhuri hawajajibu bado yale maombi y e t u , k wa h i v y o wametakiwa wajibu ifikapo Februari 24, 2014. Na sisi kama tutakuwa na maelezo mengine tutayatoa Februari 25, hivyo kesi imeahirishwa hadi Februari 26, 2014. ( Jumatano ya wiki ijayo) ambapo tutarudi Mahakamani hapa kuendelea.” Alisema Wakili Nassoro.

Hata hivyo alisema k wa m b a k u wa p a muda upande wa Mashtaka ni jambo la kawaida katika taratibu z a k i m a h a k a m a k w a s a b a b u k e s i h a i w e z i k u a n z a k u s i l i z wa m p a k a p a n d e m b i l i zinazohusika ziwe z i m e w a w a s i l i s h a v i e l e l e z o v y a k e muhimu na ndiyo jambo tunalolitaka.

Sheikh Ponda Issa Ponda, ambaye Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, anakabiliwa na kesi ya uchochezi sambamba na kudaiwa kukiuka amri ya Mahakama ya Kisutu iliyomhukumu kifungo cha nje cha mwaka mmoja mwaka jana.

DVD, inayozungumzia umuhimu wa El imu ya kumjua ALLAH (SWT), sasa zinapatikana. Mwasilishaji wa mada hiyo ni Sheikh Fahad Ibrahim kutoka Shule ya Alfurqaan, Buguruni-Malapa.

Kwa mahitaji na mawasiliano zaidi piga Simu No:- 0773 032 328, 0712 232 328, 0768 816 040.

DVD DVD DVD

SHEIKH Ponda Issa Ponda (kushoto) akizungumza na Mawakili wake katika Mahakama Kuu Jijini Dar es Salaam Jumatano. (Picha na Abdulkarim Msengakamba)

11 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014Makala

UCHAMBUZI: Kutoka Ronald Reagan na Vita ya Urusi nchini Afghanistan hadi George W. Bush na Septemba 11, 2011Inatoka Uk. 9

kwa kificho kupitia ISI, hivyo CIA haikupeleka misaada moja kwa moja kwa Mujahidina. Kwa maneno mengine, i l i operesheni hiyo ya siri ifaulu, Washington iliweka tahadhari ya kutokufichua lengo la msingi la Jihad hiyo, ambalo hasa lilikuwa ni kuiteketeza Urusi.

Mwezi Desemba 1984, Sharia (ya Ki is lamu) ilitangazwa kama mfumo wa sheria nchini Pakistan baada ya kura ya maoni iliyovurugwa na utawala wa kijeshi wa Jenerali Muhammad Zia ul-Haq. Miezi michache baadaye, Rais Ronald Reagan alitoa uamuzi wa Usalama wa Taifa namba 166 ‘kutoa misaada ya siri kwa wingi zaidi kwa Mujahidina’ pamoja na kuunga mkono propaganda za kidini.

Kutangazwa kutumika kwa Sharia nchini Pakistan na kuinuliwa kwa ‘siasa kali’ ya Kiislamu ilikuwa ni sera ya makusudi ya Marekani kufikia malengo yake ya kimkakati katika eneo la Kusini ya Asia, Asia ya Kati na Mashariki ya Kati. Makundi ya hivi karibuni ya ‘siasa kali ya Kiislamu’ yalipata misaada ya moja kwa moja au kwa kificho kutoka Marekani, mara nyingi ik ip i t ia mashirika ya misaada ya ki-Saudia na nchi za Ghuba. Wakufunzi kutoka wanazuoni wa ki-Wahhabi nchini Saudi Arabia , wasiotaka lipunguzwe neno lolote katika sharia, wal ipewa kusimamia mpango wa madrassa yanayofadhiliwa na CIA kaskazini ya Pakistan.

C h i n i ya a m r i ya NSDD 166, mfululizo wa operesheni za siri za CIA na ISI ulianza.

Marekani ilitoa silaha kwa brigedi za Kiislamu kupitia ISI. Maofisa wa CIA na ISI walikuwa w a n a k u t a n a k a t i k a makao makuu ya ISI mjini Rawalpindi kuwezesha misaada ya Marekani kwa Mujahidina. Chini ya NSDD 166, kupatikana kwa silaha za Marekani kwa wapiganaji wa Kiislamu

kuliongezeka kutoka tani 10,000 za bunduki na risasi mwaka1983 hadi tani 65,000 kwa mwaka, mnamo 1987. “Pamoja na silaha, kutoa mafunzo, vifaa vingine muhimu vya kijeshi vilipelekwa ikiwa ni pamoja na picha za kijeshi za satelaiti na vifaa vya kisasa zaidi vya mawasiliano,” kwa mujibu wa jarida la University Wire, Mei 7, 2002.

Wakati wa utawala wa William Casey kama Mkurugenzi Mkuu wa CIA, NSDD 166 ilielezewa kuwa operesheni ya siri kubwa kuliko zote katika historia ya Marekani.

Mkusanyiko huo wa misaada u l ikuwa na sehemu muhimu tatu – utawala na miundombinu, teknolojia ya kijeshi, na msaada wa propaganda k wa k u e n d e l e z a n a kuhimiza upinzani wa Afghanistan (kwa uwepo wa jeshi la Urusi nchini humo).

L a k i n i m c h a n g o m k u b w a z a i d i w a Marekani ilikuwa ni kuleta watu na silaha kutoka nchi za Kiarabu na kwingineko. Wapiganaji wenye uzoefu na dhamira ya dhat i kiitikadi walitafutwa kwa mantiki kuwa watakuwa ndiyo wapiganaji bora. Matangazo, yaliyolipiwa na fedha kutoka CIA, y a l i w e k w a k a t i k a matangazo na vijarida kote duniani yakiahidi motisha na ushawishi wa kujiunga na Jihad, (kwa mujibu wa Pervez Hoodbhoy, ‘Afghanistan na Chanzo cha Jihad ya Kimataifa,’ Peace Research, May 1, 2005)

Usisitizaji wa itikadi ya kidini

Chini ya NSDD 166, misaada ya Marekani kwa brigedi za Kiislamu i l i y o k u w a i k i p i t i a Pakistan, haikuwa tu ni kwa mahitaji ya kijeshi. Washington pia iliunga mkono na kutoa fedha kwa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) kuendeleza uinuaji itikadi ya dini, i l iyowezesha kuangamizwa kwa taasisi za kiraia, za kawaida.

M a r e k a n i i l i t u m i a m a m i l i o n i y a d o l a kuwapatia watoto wa shule nchini Afghanistan vitabu vya kusomea ilivyojaa picha za ukatili na shari za mafundisho ya Kiislamu, sehemu ya operesheni ya kificho ya kuinua upinzani kwa kukaliwa na Urusi nchi hiyo.

Vitabu hivyo vya awali, ambavyo vilikuwa vimejaa lugha ya Jihad na michoro ya b u n d u k i , r i s a s i , wapiganaji na mabomu ya kutegwa, vimeendelea kutumika kama vitabu vya kiada (vya kufundishia) k a t i k a m f u m o w a masomo wa Afghanistan. Hata Taliban ilipokuwa madarakani i l i tumia vitabu vilivyotengenezwa Marekani.

Ikulu ya Marekani ilitetea mwelekeo huo wa kidini wa vitabu, ikisema kuwa kanuni za Kiislamu zimejijenga katika utamaduni wa Afghanistan na kuwa vitabu hiyo ‘vinaendana kabisa na sheria na sera

za Marekani.’ Wataalamu wa sheria hata hivyo, wanauliza kama vitabu hivyo havikiuki kanuni ya kikatiba ya kupiga marufuku kutumia fedha za kodi kuhamasisha dini.

Maofisa wa shirika la misaada la USAID w a l i s e m a k a t i k a mahojiano kuwa waliacha v i t a b u h i v y o b i l a kugusa kilichoandikwa kwa sababu waliogopa wakufunzi wa ki-Afghani watakataa vitabu ambavyo havina chembe nzito ya fikra ya Kiislamu. Shirika hilo liliondoa nembo yake na ishara yoyote kuhusu Serikali ya Marekani katika vitabu vya dini, msemaji wa USAID Kathryn Stratos alisema.

"Siyo sera ya USAID k u u n g a m k o n o mafundisho ya dini ," alisema. "Lakini tuliendelea na mradi huo kwa sababu dhamira muhimu ....ni kuwafundisha watoto, kitu ambacho hasa ni cha kawaida (siyo cha kidini)."

...Ikiwa inachapishwa katika lugha muhimu za Afghanistan za ki-Dari na ki-Pashtuni, vitabu hivyo vya kusomesha vilitengenezwa katika miaka ya awali ya 1980 chini ya msaada wa USAID kwa Chuo Kikuu cha Nebraska, jimbo la Omaha, na kituo chake cha utafiti juu ya Afghanistan. Shirika hilo lilitumia dola milioni 51 katika programu za chuo kikuu hicho kuhusu Afghanistan, kuanzia 1984 hadi 1994," kwa mujibu wa gazeti muhimu la Washington Post, Machi 23, 2002.

(Imefasiriwa kwa Kiswahili na Anil Kija kutoka-9/11 ANALYSIS: From Ronald Reagan and the Soviet-Afghan War to George W Bush and September 11, 2001-Hii ni sehemu ya uchambuzi wa Prof Michel Chossudovsky, G l o b a l R e s e a r c h , September 09, 2010.)

Picha: Mstari wa mbele kutoka kushoto: Meja Jenerali Hamid Gul, Mkurugenzi Mkuu wa ISI (idara kuu ya ujasusi ya jeshi la Pakistan), Mkurugenzi Mkuu wa CIA William Webster, Naibu Mkurugenzi wa Operesheni Clair George, kanali wa ISI, na afisa mwandamizi wa CIA, Milt Beearden, wakiwa katika kambi ya kufunza Mujahidina jimbo la mpakani la kaskazini magharibi ya Pakistan, mwaka 1987. (Picha na RAWA).

12 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014Mashairi/Makala

Wahenga walishanena, si leo toka zamaniAda ya mja hunena, methali kamilisheniMsibakie kuguna, mkishindwa ulizeniYanenwayo na kupangwa, twayangoja matendoni.

Si juzi wala si jana, ni Jumanne jioniTulipoanza kuona, na kusikiza uneniMwororo tena mwanana, wa wajumbe 'mjengoni'Yanenwayo na kupangwa, twayangoja matendoni.

Yanenwayo yatafana, kwa kutiwa matendoniBali yatavia sana, kwa kubaki 'HANSADINI'Tija na yake maana, ni kuchakatwa kaziniYanenwayo na kupangwa, twayangoja matendoni.

Sioni yake maana, kuyajaza 'HANSADINI'Na kubaki 'lundikana, mithili taka jaaniSi jambo la kiungwana, na ninyi tafakariniYanenwayo na kupangwa, twayangoja matendoni.

Kwa sasa nachokiona, ni viroja 'HANSADINI'Migombo na kuzozana, na misutano bungeniKumbukumbu kujazana, kama hizi ni kwaniniYanenwayo na kupangwa, twayangoja matendoni.

Kwangu hasa ya maana, 'HANSADI' ya vitendoniKatu si yenye maana, 'HANSADI' ya kauliniKwa 'HANSADI' ya maana, utendi tuuenziniYanenwayo na kupangwa, twayangoja matendoni.

Shime mabibi, mabwana, mlo humo'mjengoni'Aula ninokiona, utendaji himizeniSi kukaa kulumbana, kwa hoja za midomoniYanenwayo na kupangwa, twayangoja matendoni.

Kaditamati kunena, kwa vina na kwa mizaniLengo ni kukumbushana, pamwe kukuusieni"Ada ya mja hunena, muungwana kitendoni"Kwaherini waungwana, twawangoja matendoni.

Abuu Nyamkomogi MWANZA.

BUNGE LA KATIBA (ADA YA MJA HUNENA...!)

Kalamu nimeishika, kuwauliza vijanaMajibu yenu nataka, msijefanya khiyanaUhuni sitautaka, nijibuni kiungwanaSiku hii Valentine, asiliye hasa nini?

Kwa kweli naliwazika, kutunukiwa ujanaJapo nasikitikia, utumizi wa ujanaKathiru twaghururika, kwa huu wetu ujanaSiku hii Valentine, walengwawe hasa nani?

Wapendwa mnopendeka, wapenzi wa ValentinaNipeni basi hakika, nini hasa ValentinaYu ukhti anotajika, au siku ya fitinaSiku hii Valentine, muasisiwe yu nani?

Arubashara 'kifika, Februari twaonaIdhaani hutajika, i siku ya ValentinaHupambwa na kupambika,na kughilibu vijanaSiku hii Valentina, tarehe hii kwanini?

Thuma nderemo huzuka, za mabibi na mabwanaKumbini hujumuika, na denda wakinyonyanaKwa sana 'huserebuka', wa kila rika vijanaSiku hii Valentine, mseto huu wa nini?

Libasi zinovalika, ahamaru tena sanaDukuduku lanishika, kunako yake maanaKwa wale mnojivika, nijuzeni yake manaSiku hii Valentine, wekundu huu wa nini?

Upendo unosifika, katu si wa kuoanaKwa nduni watambulika, ya uzinifu kufanaMwishoni huathirika, kwa 'ngoma' wengi vijanaSiku hii Valentine, hatimaye hasa nini?Kichwani natatizika, nahitaji mbayanaMwenye hoja za hakika, za mambo ya ValentinaWazi apate 'niweka, kwa marefu na mapanaSiku hii Valentine, Lengole hasa ni nini?Vijana mlolimbuka, vipenzi wa ValentinaNyote ninawaalika, mlo na hoja mwananaMezani hoja naweka, nangojea mbayana.Siku hii Valentine, wa kunifunda ni nani?

Upambe sitautaka, uso na hoja za manaJapo utoke kwa kaka, au dada AminaSitaupa mlahaka, nakujuzeni bayanaUtata wa Valentine, wa kuutatua nani?

Abuu NyamkomogiMWANZA.

UPOGO WA SIKU YA VALENTINE !

N A P E N D A k u t o a m a e l e z o m a c h a c h e kuhusiana na michango tulioitisha kwa ajili ya matibabu ya mtoto Mansoor Hamad Saleh a m b a y e a n a h i t a j i m a t i b a b u b a a d a ya kuanguka katika mnazi na kukaa hospitali kwa m wa k a m z i m a b i l a ya mafanikio. Huu ni mwaka wa tatu sasa tokea Mansoor kuwa kitandani.

Daktari anayemkagua Mansoor alitupa makisio ya shilingi millioni 20 ili zipatikane asafrishwe kupelekwa India.

Jitihada zetu za awali hadi sasa zimefanikisha k u p a t i k a n a s h i l i n g i millioni 3 na laki 4, . Alhamdulillah.

B a d o t u n a e n d e l e a kukusanya na Inshallah tunatarajia tutafanikiwa kwa uwezo wa Allah, nia ipo ya kumsaidia.

L a k i n i p i a tumewapeleka madaktari wawili mmoja kutoka M n a z i M m o j a n a mwengine kutoka Dar es Salaam na wote kimsingi wa m e t u m a m a wa z o matatu yanayofanana.

M t a a l a m u w a p h i s i o t h e r a p y ametushauri kwamba kwa muda huu anahitaji kupata mat ibabu ya kunyooshwa v iungo vyake ili kumpunguzia maumivu anayoyapata kwa kukaa muda mrefu katika kiti hicho cha mbao.

P i l i , a n a h i t a j i kubadilishiwa kiti badala cha mbao apate ki t i chengine kilaini.

Tatu , tumeambiwa Mansoor anahitaji kupata t i b a ya k i s a i k o l o j i a angalau kwanza aweze kuondokana na mawazo al iyonayo ya kukata tamaa na kuishi kwake.

Kims ing i kufuat ia hayo mashauri matatu tuliopewa na wataalamu, n i m e a n z a k u c h u k u a khatua na khatua ya k w a n z a m i m i k w a kushirikiana na wazazi wake Mansoor ambao hawana uwezo hata kidogo, tumemsafirisha kumpeleka Dar es Salaam angalau tu aondoke hapa Zanzibar na atakuwepo

Taarifa ya Mansour

hapo kwa muda fulani i l i a we z e k u p a t i wa matibabu hayo ya awali ya kumuondoshea hali aliyonayo kisaikolojia na nadhani ataweza kidogo k u c h a n g a m k a k i s h a tutamrejesha Zanzibar na kuanza naye phisiotherapy lakini hapo alipo ameanza kupata hayo matibabu ya phisiotherapy pia.

Na khatua ya p i l i tumejaribu kuongea na wenzetu kumuagizia k i t i m a a l u m u n a A l h a m d u l i l l a h t u n a v y o a m b i w a kimepatikana kwa hivyo wenzetu kwa juhudi kubwa sana waliosaidia kwa dhati kuchangishana f e d h a wa m e k i t a f u t a kiti ambacho naamini kitamsaidia sana kama alivyotuelekeza daktari.

Na tayari tumeshampata d a k t a r i a m b a y e amejikubalisha atakuwa t a y a r i k u m f u a t i l i a Mansoor pale Mnazi Mmoja kwa hali zote hivyo hilo nalo tumefarijika sana kupata mtu dhamana na atalichukulia suala hili kwa uangalifu kabisa.

A l h a m d u l i l l a h , t u n a m s h u k u r u n a t u n a m p o n g e z a s a n a daktari wetu mzalendo kwa kubeba dhamana hii.

ANGALIZO: Fedha a m b a z o t u m e t u m i a kumsafirisha Mansoor D a r e s S a l a a m s i o

zilizochangishwa, bali fedha tunazochanga ni kwa ajili ya matibabu ambayo tumeagizwa na daktari kwa sasa tunatumia fedha zetu tunahitaji k w a n z a k u m s a i d i a aweze kupata matumaini n a a o n d o k a n e ya l e madhila yanayomkabili na Inshallah atapata nafuu kwani alikuwa anasikitisha kutokana na maumivu ayapatayo.

Pamoja na kuwepo h u k u D o d o m a nikikabil iwa na kazi ngumu ya kitaifa, lakini bado naendelea kufuatilia kwa karibu sana hali ya Mansoor inavyoendelea n a p i a n a e n d e l e a kukusanya michango yetu ambayo wenzetu waliojitolea wamekuwa wakikusanya kutoka Oman, Dubai, Turky na Kenya na huku Zanzibar pia nimemuweka mtu kwa ajili ya kukusanya michango hiyo.

Na mwisho kabisa napenda nitoe pongezi zangu za dhati kabisa kwa wale wote waliojitolea na kukubali kuchukua dhamana hii ya kukusanya michango ya mtoto wetu na wale wote waliosaidia kwa njia moja au nyengine katika kumsaidia mtoto huyu kwa kutoa michango yao ya fedha na mawazo na natoa wito zaidi watu waendelee kuchangia ili kumsaidia mwenzetu huyu.

Mansoor Hamad Saleh

13 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014Makala/Tangazo

“Na Mtume alikuwa a k i s e m a ; “ E w e Mola wangu mlezi! Hakika watu wangu w a m e i f a n y a h i i Qur’an ni kihame.” (25:30)

A ya h i y o h a p o juu inaonyesha jinsi M t u m e ( S . A . W ) al ivyoshitaki kwa Mola wake kuhusu taabu aliyoipata kwa watu wake katika kufikisha ujumbe, lakini wakaihama, kuipuuza na kuifanyia inda na uadui.

Hivyo s i kat ika wakati wa Mtume (S.A.W) tu, bali hali i m e e n d e l e a h a d i leo japo Waislamu wamekiri kuwa Qur’an ni kitabu chao.

N i s a w a n a m u m e k u j i t a p a a n a m k e , k u m b e alishamtelekeza miaka chungu nzima wala hajui maisha ya huyo mke yanafanana vipi!

N A M N A W A I S L A M U WALIVYOIHAMA QUR’ AN

Kutokuisoma Qur’ an: Hawakujifunza t a n g u u t o t o , hawakule lewa na Qur’an hivyo kukata t a m a a k u j i f u n z a ukubwani kwa aidha kutokuona umuhimu wake, kuridhika na Uislamu wa majina (kuoa/kuzikwa).

Mbinu mbovu za ufundishaji Qur’an husababisha watu kukata tamaa kusoma.

K u j i k i t a z a i d i katika vitu vingine vya kusoma kama C o m p u t e r , T . V, magazeti, vitabu vya hadithi, tuition kwa wanafunzi nk.

Ni jambo ala ajabu kidogo mtu kujipa sifa asizokuwa nazo, hakika ataonekana kuwa ana kasoro kat ika aki l i yake. Kwa hiyo ni ajabu

Tumeihama Qur’an!

mtu kujiita Muislamu wakati haijui Qur’an.

Wapo waliojifunza Q u r ’ a n l a k i n i hawaisomi. Aidha kwa uvivu, uzembe, kazi nyingi, starehe za dunia au hawaoni fa ida ya kuisoma Qur’an hapa duniani wala akhera. Qur’an w a m e i s u s a n a y o imewasusa.

K u i s o m a k w a m a t i n i . H u k u n i kusoma bila kujua maana na ujumbe halisi uliokusudiwa k a t i k a k i l e m t u a n a c h o k i s o m a , j a p o k u w a m t u anasoma vizuri kwa hukmu na sauti ya kupendeza. Qur’an ni maneno ya Allah (sw) kuwapa ujumbe v i u m b e wa k e i l i w a u f a h a m u n a wautekeleze.

Hivyo kusoma kwa kelele tu ni kupoteza muda bure na kuondoa ithibati katika kusoma. N i s a wa n a m t u asiyejua kiingereza akasoma novel yote bila kuelewa maana,

huyu atakuwa na kasoro akilini.

Ni Waislamu wengi wamehifadhi Qur’an v i fuani mwao au wana jua kuisoma v i z u r i n a k u o n a kuwa Uislamu wao umekamil ika kwa hilo, kumbe ni sawa na punda kubeba mzigo usio na faida kwake.

Kuwaachia baadhi tu ya watu. Waislamu wamekwepa kuishi katika Qur’an kwa kuamini kuna watu maalumu walioteuliwa kuisoma hiyo Qur’an, n a w a o h a w a n a ulazima wowote kwa kuwa watakuwepo Mashekhe/ Maustadhi watakaosoma kwenye

s w a l a n a k h a f l a mba l imbal i kama dua, hitma, harusi, maziko n.k, kisha wao watabakia kuwa watoaji wa malipo/gharama kwa watu hao.

Makundi yote hayo matatu yanaishi mbali na lengo la kuumbwa (51:56 ), yaani kumcha Allah (sw). Hakika mtu hawezi kumcha Allah (sw) bila kufuata njia aliyoelekeza kumcha. Na n j i a h iyo ipo kwenye mwongozo ambao ni Qur’an, (2:2) na Mtume (saw).

“Hik i n i k i tabu k i s i c h o k u w a n a shaka ndani yake, ni mwongozo kwa wamchao Mwenyezi Mungu“ Na Qur’an hiyo (mwongozo) mtu hawezi kuijua hadi asome.

Ndugu Waislamu, t u z i n d u k e , t u t i e n i a t u i s o m e n a t u i e l e w e Q u r ’a n . Hapo tutaithamini n a k u i p e n d a Qur’an na hatimaye kuifanyika kazi kama inavyotakikana.

Wallahu a’alam.Zabibu Idd Ng’onda

Inawatangazia Waislamu wote Kongamano kubwa litakalo hutubiwa na Masheikh kutoka Jumuiya na Taaisi za Kiislamu Bara na Visiwani.Mada: - Hatma ya dhamana kwa Masheikh wa Uamsho Zanzibar. - Mwenendo wa kesi ya Sheikh Ponda Issa Ponda. - Ushiriki wa Viongozi (Masheikh) wa Kiislamu Katika Bunge la Katiba.Mahali:- Masjidi Makukura- Buguruni.Siku:- Jumapili, Februari 23, 2014Muda:- 4:00 (Saa nne-Asubuhi) hadi Saa 7, baada ya Swala ya Dhuhuri.

Imam Masjid MtambaniK.n.y. Amir wa Shura ya Maimam.

SHURA YA MAIMAMU

Kongamano

14 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014Makala

TEL AVIVNAIBU Spika wa Bunge la Israel Moshe Feiglin, amesema kuwa ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu ni ya Mayahudi na kwamba, Wa p a l e s t i n a w o t e wanapaswa kupelekwa Saudi Arabia.

Naibu Spika huyo ametaka Wapalestina wote waondoshwe na kupewa makazi mapya nchini Saudi Arabia.

Bw. Feiglin alianza k w a k u u v u n j i a heshima Msikiti wa Qubbat Sughra, kwa kuingia msikitini humo n a v i a t u n a k i s h a kutangaza kwamba Wa p a l e s t i n a w o t e wanapaswa kufukuzwa na kupelekwa Saudi Arabia.

Aliongeza kuwa, Quds Tukufu ni ya Mayahudi na Waarabu wanapaswa kuelekea Saudi Arabia na kwamba, nafasi ya Wapalestina iko nchini humo.

Wapalestina wote wapelekwe Saudi Arabia

SANA’AHabari kutoka Yemen z i n a e l e z a k u w a , s h e h e n a k u b w a ya s i laha kutoka Marekani na Saudi Arabia imekamatwa katika jimbo la Amran lililoko kaskazini mwa Yemen.

Taarifa zinasema k u w a , s i l a h a n a zana hizo za kivita zimegunduliwa katika mji wa Houth, ulioko katika jimbo la Omran, baada ya kundi la wa n a m g a m b o wa al Houthi kufanya operesheni kali katika eneo la kab i la la Hashid.

Taarifa zinasema k u w a , u h a l i f u mkubwa ukiwemo kukatwakatwa na k u u a wa k i n ya m a

Yemen yafichua silaha za Marekani, Saudi Arabia wa t o t o z i m e s h u h u d i wa katika eno hilo, baada ya wanamgambo kutoka kabila la Hashid kukimbia mji wa Houth.

Taarifa hizo zimeeleza kuwa, jinai hizo za kutisha zimefanywa na makundi hayo kabla ya kutoroka katika eneo hilo.

Abdulkarim ar Razihi , mmoja kati ya viongozi wa eneo hilo amesema kuwa mbali ya kukamatwa kiasi kikubwa cha silaha na milipuko, makundi h a y o ya wa n a m g a m b o walishafanikiwa kufanya uhalifu kubwa katika eneo hilo.

S iku za h iv i kar ibuni yameshuhudiwa mapigano makali kati ya wanamgambo wa al Houthi dhidi ya makundi ya Kiwahabi na Kisalafi ambayo yanapata misaada ya silaha na fedha kutoka Saudi Arabia. RAIS wa Marekani, Barack Obama.

NAIBU Spika wa Bunge la Israel Moshe Feiglin.

15 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014Matukio

WA N A H A R A K AT I w a Kiislamu, Sheikh Hamisi Shemtoi (kushoto) akiwa na Ustadhi Ally Issa Dimoso, wakiwa katika hospitali ya Teule, Muheza Tanga, baada ya kupata ajali ya Pikipiki, mapema mwezi huu wakiwa katika harakati za Da’awa, katika Kijiji cha Mbomole, Amani, Mkoani humo.

Katika ajali hiyo Shemtoi, amevunjika mguu wa kulia mara mbili na kupasuka m d o m o k wa n d a n i n a kushonwa nyuzi nne.

Naye Ust. Dimoso (pichani chini) ameumia kwa kupata majeraha makubwa kichwani na kupoteza fahamu kwa muda wa siku mbili. Kwa sasa wanaendelea vizuri. (Picha Na. Bakari Mwakangwale)

Masheikh wapata ajali

16 AN-NUURRABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 201416 MAKALA

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

AN-NUUR16 RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 21-27, 2014

Soma AN-NUUR

kila Ijumaa

UGAIDI na vita dhidi ya ugaidi, ni mchezo wa maadui wa Uislamu waliopania kuupiga vita Uislamu.

H i y o n i k w a s a b a b u , u g a i d i n i jambo lisilokubalika katika mafunzo ya Uislamu na kwamba wanaofungamanisha jambo hilo na Uislamu ni kutaka kuipaka matope dini ya Kiislamu kwa chuki zao.

Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Kituo cha Kiislamu cha Markaz Chang`ombe Dk. Osama Ismail , katika semina elekezi ya Maimamu iliyofanyika kituoni hapo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Akiwasilisha mada katika semina hiyo, Dk. Ismail alisisitiza kuwa ugaidi ni tatizo ambalo linadhuru mtu mmoja mmoja na jamii pia na kwamba, mafunzo ya Kiislamu yanakataa kabisa jinai hiyo hivyo kuitaka jamii kamwe kutohusisha ugaidi na Uislamu.

Kwa upande wake Amiri wa Shura ya M a i m a m u n c h i n i S h e i k h M u s s a Kundecha, amewataka M a i m a m u h a o n a waliohudhuria semina hiyo kutambua kuwa ugaidi ni chanzo cha fitna hapa duniani.

A l i s e m a , u g a i d i husababisha madhara makubwa kwa jamii huku wenye kuasisi jinai hiyo wakitumia fursa hiyo kutimiza m a l e n g o y a o n a

Maimamu Dar watakiwa kujihami na fitna ya ugaidi

Na Azza A. ahmed

kuwasukumia mzigo wa jinai Uislamu kwa propaganda na fitna.

Kwa upande wake Sheikh Suleiman Amran Kilemile, ambaye ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanazuoni Tanzania a m e w a k u m b u s h a M a i m a m u h a o kutambua umuhimu wao wa kulingania k a t i k a k u b a i n i s h a ufahamu sahihi wa Uislamu.

A l i w a h i m i z a washiriki wa semina hiyo kuwa kulingana na nafasi yao, wao ni watu ambao wanakutana na watu wengi mara n y i n g i z a i d i k w a siku mara tano, kwa m a a n a h i y o wa n a majukumu makubwa

katika mabega yao ya kuwaeleke za watu na kuwafundisha Uislamu sahihi na kuwataka wa a c h a n e n a ya l e yasiofaa katika Uislamu.

A l i s e m a , k w a k u w a M a i m a m u wanaongoza jamii ya watu mchanganyiko, hivyo wana dhima ya kuikumbusha jamii ya le ya l iyo sahih i , kwani wapo Waislamu wanaofanya makosa kwa kufahamu na wengine kwa kutokufahamu.

Naye Sheikh Swalaha Sayed Hussein Maftah, Mwalimu wa Al-Azhari, Sharif aliwakumbusha Maimamu hao kukaa na vijana na kuwaelimisha juu ya umuhimu wao katika kusimamisha

dini ya Allah (s.w) na kuhitajika kwao katika jamii.

Akiwasilisha mada yake katika semina hiyo, aliwataka Maimamu kuwalingania zaidi vijana kuwa wao ndio nguzo ya umma na ndio tegemeo katika kujenga tabia njema, ili kuja kupatikana kizazi k i l i cho na maadi l i b o r a k a t i k a j a m i i inayowazunguka.

Alisema, vijana ndio a m b a o wa m e k u wa wakitumika vibaya bila wao kujitambua katika kuharibu amani na utulivu, kukosa maadili m e m a n a k u f a n ya matukio yasio sahihi na kumuudhi Allah (s.w).

Wakat i huo huo,

Dk. Ahmad Mahmud Abdulatif, ambaye ni Naibu Mkurugenzi w a M a r k a z , y e y e a l i wa s i l i s h a m a d a i s e m a y o U i s l a m u unalingania juu ya amani na siugaidi.

Katika mada hiyo a l i s e m a D i n i y a M w e n y e z i M u n g u daima imedumu katika kuwafundisha watu mafunzo sahihi ambayo yanasisitiza amani.

Katika mada hiyo, aliwaeleza Maimamu hao kuwa kwa hakika D i n i y a K i i s l a m inaukataa ubaguzi na ugaidi wa aina yoyote na kwa kiumbe yeyote bila ya kuangalia utaifa, rangi au Imani yake.

PICHA ya pamoja ya Maimamu wa jijini Dar es Salaam baada ya kumaliza semina elekezi iliyoandaliwa na Markaz Chang'ombe mwishoni mwa wiki.